Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

Magufuli - Kama kuna kiongozi yeyote maagizo yangu yanamkwamisha aache kazi, atoa kauli ya mwisho

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 гру 2016
  • Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli ameonya kuwa kama kuna kiongozi yeyote ambaye hayupo tayari kutekeleza maagizo yake aachie ngazi mara moja na siyo kuendelea kufanya kazi kinyume na maagizo yake.
    Kauli hiyo ya Rais Magufuli ni kufuatia baadhi ya Wakuu wa mikoa, Wilaya na Wakurugenzi wa Halmashauri kuendelea kuwasumbua wafanya biashara wadogo kwa kuwahamisha maeneo yao wanayofanyia bishara na kuwalekezea maeneo ambayo hayajaandaliwa kwa ajili yao.
    --
    Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali tembelea www.dar24.com
    #Dar24 #Dar24Media

КОМЕНТАРІ • 258

  • @isaacandrew1039
    @isaacandrew1039 2 роки тому +9

    Duuuh!! Aisee huyu rais wetu alikuwa mtu aisee!! Cjuw kwako mwenzangu!!!

  • @globalctvonline1562
    @globalctvonline1562 6 років тому +5

    ubarikiwe sana mh' wetu mie nakukubali sana 99%
    sema ukweli toka moyo.
    naimani mungu yuko pamoja na wewe mh'

  • @mwambodzemwangongo3884
    @mwambodzemwangongo3884 2 роки тому +3

    Mungu akuweke mahali pema peponi" ww ulitangulia sisi tuko nyuma..nani anamkubali marehemu gonga like nkuoni 2021

  • @nizzogallaxy8086
    @nizzogallaxy8086 2 роки тому +9

    Kama kuna kura zakupga ili mtu arudshwe duniani Tanzania ingesimama naingepiga kura hizzo urudi. wewe zaidi nazaidi Mungu akulinde na adhabu zote zakabuini.

  • @muhidinally3753
    @muhidinally3753 6 років тому +10

    Rais wetu tunakuombea kwa Allah akupe Afya njema na Allah akuzidishie huruma kwa wanyonge. Hatuna cha kusema kwa namna unavyotafutia ufumbuzi katika changamoto zinazowahusu wanyonge. Tumekuona Rais kwa mifano jinsi unavyoishi katika kauli na ahadi zako. Kwa kweli tunakuelekezea dua zetu uendelee kututumikia.

  • @princekingson2888
    @princekingson2888 2 роки тому +26

    Sichoki kusikiliza NASAHA zako! Na hua zinanipa ujasiri mkubwa sana

    • @dianamkita6571
      @dianamkita6571 2 роки тому

      Kweli kabisa Prince,,hata Mimi kila Mara sichoki kumsikiliza Hayati JPM...

    • @amirimakorani8335
      @amirimakorani8335 2 роки тому

      Me pia napenda sana

  • @omarikessy2339
    @omarikessy2339 6 років тому +1

    Asante sana Raisi wangu Mwenyezi Mungu akupe maisha marefu na akulinde mimi binafsi nakuombea dua la ulinzi kwa ajili yako.mapolisi mzee wanafanya sisi vijana tunaishi kwa shida Hasa kesi za kubambikiwa hasa za biashara ya unga vijana tunakupenda sana ila ilo la kesi la unga kweli tunaumia

  • @nyabendasayumwe8514
    @nyabendasayumwe8514 2 роки тому +5

    Kwaukweli Magufuli yuko mbinguni.

  • @jumaagugu1012
    @jumaagugu1012 2 роки тому +6

    Ndio utajua ukitaka kujua tabia ya mtu mpaka apate cheo ama pesa mama samia hapa alikua mnyenyekevu kumbe ni nyoka mkubwa

  • @willywaire50
    @willywaire50 2 роки тому +3

    This was the true leadership you forever be in our hearts,we loved you Magufuli but God loved you most,,may your soul rest in peace🇹🇿🇰🇪

  • @abdallahsuleimani7416
    @abdallahsuleimani7416 2 роки тому +5

    Huyu mtu alikuwa very intelligent dah !! Kweli wema hwaishi muda mrefu

  • @manasemwakilasa5931
    @manasemwakilasa5931 2 роки тому +4

    Nakukumbuka daima Baba pumzika kwa amani

  • @kimosamingwa3432
    @kimosamingwa3432 2 роки тому +3

    Mungu akuludishe baba

  • @gabrielmathias3382
    @gabrielmathias3382 2 роки тому +4

    baba alikuwa akiongea unatingisha kichwa kuwa u mkalimu kwa wanyonge kumbe ulikuwa shetani wa kuwanyanyasa masikini mungu anakuona we we ulie dikteta was masikini

  • @nasorohamisi4401
    @nasorohamisi4401 2 роки тому +4

    Tulikuelewa sana mkuu,

  • @soloartist_ivanvespalusind1609
    @soloartist_ivanvespalusind1609 2 роки тому +2

    Da! Yaani huyu jamaa anaongea kutoka ndani ya moyo yani, sio siasa. Jambo hili lizingatiwe milele Tanzania, I’m listening while I’m crying. Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

  • @shalomamani2670
    @shalomamani2670 6 років тому +1

    Umenena kweli mheshimiwa Ndiomaana ulipokuja Tunduma ukiwa waziri wa ujenzi baada Yakushuka kwenyegari nakutembea kwa miguu nilikwambia live kuwa wewe ndie raisi wetu ujaye baada ya kikwete kwa kazi nzuri ukiwa waziri WA ujenzi.penda Sana MAGUFULI mm

  • @rafaeltilia562
    @rafaeltilia562 2 роки тому +3

    Aiseee nadhan soon atatokea mwingine kama wew wale ambao walikusema kwa ubaya nadhan sasa wanakukumbuka pumzika kwa aman

    • @magdalenapeter419
      @magdalenapeter419 2 роки тому

      Wa kwanza mume wangu alikua hampendi ila leo anasema yule alikua jembe

  • @kelvinmulengo8555
    @kelvinmulengo8555 2 роки тому +6

    I will always remember you sir your soul rest in peace

  • @suleinahassan9925
    @suleinahassan9925 2 роки тому +3

    Kweli tutakukumbuka kwa mengi mazuri!

  • @daudhenry913
    @daudhenry913 6 років тому +4

    Amen ubarikiwe sana DR MAGUFULI

  • @hamisimkopoka1533
    @hamisimkopoka1533 2 роки тому +2

    Daah! Uyu alikua mwamba kwelikweli

  • @vailethobedi4723
    @vailethobedi4723 2 роки тому +1

    Sitachoka kukulilia hayati Magufuli uliongea ya maana sana baba 😭😭😭😭😭😭😭😫😭😭. Ila tunamwachia Mungu kwa yaliyopo sasa.

    • @feetynanyangwe8599
      @feetynanyangwe8599 2 роки тому

      Uyu mama alikua mnafiki kwa magu leo kasema awalipi kodi awomachinga sawa mama mungu anakuona

  • @emmanuelbonifas2804
    @emmanuelbonifas2804 Рік тому

    Mungu akupe raha ya milele jpm upumzike kwa aman hakika ungetukomboa sana baba basi tu ni siri kubwa mno iliopo kwenye kifo chako

  • @kelvinchacha5557
    @kelvinchacha5557 2 роки тому +1

    Leadership is a gift from God 🙏 and he is the one to take it too,,,,,RIP MR.PRESIDENT 🇰🇪🇹🇿🇰🇪🇹🇿

  • @isaackayayoo5410
    @isaackayayoo5410 6 років тому +5

    duuu hakika Leo raisi amezungumza ukweli jamani, congratulations to you ma president

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 2 роки тому +1

    mungu aiweke roho yako mahali pema 👍👍

  • @simonitolya8029
    @simonitolya8029 2 роки тому +6

    R.I.P Sir,You will always be remembered,You have been playing the best always😭

    • @alibinusiyasini9884
      @alibinusiyasini9884 2 роки тому +1

      Mwenyezi mungu ailaze roho ya huyu mzee mahari pema peponi

  • @ezekiellondrot338
    @ezekiellondrot338 6 років тому +2

    Asante sana Rais wangu kwa Uwongozi wako wa haki, Mungu azidi Kukupa uzima Uwendelee Kutuongoza. Lakini pia Mweshimiwa nikuombe jambo moja?

  • @neziaosena6381
    @neziaosena6381 2 роки тому +3

    Duh! Kweli mauti imevikwa taji dhidi ya maombi yetu kwako

  • @gibsonyshadrack4543
    @gibsonyshadrack4543 6 років тому +3

    Mungu,akupe uzima ,Baba ,,,ili tufike pale unapotaka kutufikisha,

  • @saikalyasi2707
    @saikalyasi2707 2 роки тому +1

    Mama alivyokuw anasikiliza vizuri na kusaport utafikiri anaelewa, kumbe ndo kawa wakwanza kumgeuka na kunyanyasa raia wake😢😢
    R.i.p magufuli hakika ulikuwa raisi wa wote😭😭

  • @matinmwal1622
    @matinmwal1622 2 роки тому +5

    You will be remembered for years and years to come. Death is so cruel R.I.P JPM

  • @johnkavishe2645
    @johnkavishe2645 2 роки тому

    Dh Rais wetuu pumzika kwa aman Mungu akupokee vyema😢😰

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 2 роки тому +1

    Baba lait ungejua hao waliokuzunguka hapo ni majini usingeongea nao.maana yute uliyo ongea hapo wenzako wapepindua pindua hovyo hovyo.

  • @lameckgunze6376
    @lameckgunze6376 2 роки тому +2

    Utu, ubinadamu Kama Upo 😂😂😂😂😂 makini Sanaaaaaa

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 2 роки тому

    Pumzika kwa amani mzee wetu MAGUFULI..nafika Mahala namwaga Machozi kwa ajili yako Pumzika salama MAGUFULI

  • @ismailmasagasimjilima3319
    @ismailmasagasimjilima3319 3 роки тому +1

    Sitochoka kutizama hutuba zako mana nakuelewaga vizur sana malengo uliokua nayo enzi za uhai wako mwenyez mungu akulehem na akupunguzie azabu za kabuli

  • @ancomagu8531
    @ancomagu8531 6 років тому +2

    Nakuelewa balaaah 😍😍😍😍😍😍😀😀😀😀

  • @williamsadick9157
    @williamsadick9157 6 років тому +6

    Sitakusahau Rais wewe upo sahihi asilimia 100%

  • @osgentertainmentdancers8924
    @osgentertainmentdancers8924 3 роки тому +1

    Safi sana maelekezo ya msingi sana haya mh Rais

  • @eliakimchaiikobellah358
    @eliakimchaiikobellah358 2 роки тому +1

    Daaah utazan mama hakuwa yeye

  • @allymamba8215
    @allymamba8215 7 років тому +8

    Ni Rais tuliopewa na mungu kuwa sauti ya wanyonge.mungu akuzdishie amiri jeshi wetu

    • @johaashura9958
      @johaashura9958 6 років тому +1

      Mungu asimamie nawe baba yetu yaani kweli Mungu ametuckiza kilio chetu Mungu akupe uimara zaid rais wa Mimi mnyonge love u sana Mr msukuma uko vzur mmno

  • @eugenmgaya6623
    @eugenmgaya6623 6 років тому +3

    Safi sana.....!!!!

  • @salummohdnyiga9760
    @salummohdnyiga9760 6 років тому +3

    Mungu tunakuomba utulindie huyu rais wetu,anayosema ni kweli kabisa ukikumbuka enzi zile maganzo wachimbaji waliteswa sana na mashamba ni yao. Eti eneo la muwekezaji hii viongozi wabaya ndiyo wanafanya watu waichukie ccm.

  • @manstiko5890
    @manstiko5890 2 роки тому

    Uyu mama anajifanya anachangia mada kumbe mnafiki mkubwa 😭😭😢

  • @jumaabdalla3374
    @jumaabdalla3374 2 роки тому +1

    Mama kwann hufati hizi nyayo za hayati jpm

  • @dikodikson559
    @dikodikson559 2 роки тому +4

    R.I.p my president ❤️❤️❤️❤️❤️

  • @elibaricksadock9562
    @elibaricksadock9562 2 роки тому +1

    Kifo chako kime pelekea sis tuteseke 😭😭😭

  • @mansourmkanakuta6641
    @mansourmkanakuta6641 3 роки тому +1

    Hayatiii Rip president wetu mungu akulaze pema peponi

  • @davidmaginga9562
    @davidmaginga9562 6 років тому +2

    Mungu awape nini watanzania Mungu kawapendelea Rais
    Mwenye
    Hekima Tunataman awe Rais wa kenya

    • @tonyi6807
      @tonyi6807 2 роки тому

      Kaka David maginga...#

  • @peterjohn1969
    @peterjohn1969 6 років тому +1

    Raisi mungu akulinde sikuzote umeonge mpaka nime sikia uchungu moyoni mwanga nauzuni ndani yangu

  • @josphatbayyo1926
    @josphatbayyo1926 6 років тому

    Asantee sana mhe. Rais ww ndiye Rais halali tuliyekutafuta kwa mda mrefu uongoze Taifa letu, Mungu akulinde daima,!!!

  • @zahordida6034
    @zahordida6034 2 роки тому +2

    😢😢😢😢😢😢ipo siku mungu atatupa kama weww

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 2 роки тому +2

    Hivi viongozi mlio baki kwanini hamjifunzi toka kwa magufuli wetu?

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli8523 2 роки тому

    Hili jembe arolitoa uhai mungu atashugulika nae ,Kama ni mungu basi tunashukulu kwake mungu ila ila Kama nihujuma za watu wachache kwa faida zao hiiiiiiii

  • @mkurutomwaipha5241
    @mkurutomwaipha5241 2 роки тому +2

    Allah amjalie kauli thabiti na amrehemu amsamehe madhambi ya Siri na dhahiri kiumbe chake amjalie Pepo yake tukufu

  • @Sebastian-to4qd
    @Sebastian-to4qd 2 роки тому +1

    R.I.P
    Tunakukumbuka, najua najua hatutaweza kumpata wa kufanana nawe JPM. Asante kwa Maisha Yako

    • @abdibilali4186
      @abdibilali4186 2 роки тому +1

      Aiseee mm naumia Sana Ila kazi ya mungu haina makosa

  • @dismasalex5064
    @dismasalex5064 6 років тому +2

    Good. President

  • @chazyshadrack2558
    @chazyshadrack2558 2 роки тому +1

    mama samia safi sana 👍👍

  • @simonmartinekombe7031
    @simonmartinekombe7031 2 роки тому +1

    Siamin km kwel haupo na cc baba mzazi daaaah.......,,

  • @ramasanyiwa1690
    @ramasanyiwa1690 3 роки тому +2

    Daaaa mwamba

  • @peterisaya3863
    @peterisaya3863 2 роки тому +1

    Mnayaskia hayo

  • @ostazclassic3370
    @ostazclassic3370 6 років тому

    Mwenyezi mungu akutangulie rais wangu magufuli👂👈

  • @peterphilipo4152
    @peterphilipo4152 2 роки тому +2

    Huyu mama hivi huwa haangalii hizi video

  • @husseinally3681
    @husseinally3681 2 роки тому

    Daaaa

  • @shabihasaid5111
    @shabihasaid5111 6 років тому +3

    Asiekuelewa jua KUNA alivyo...

  • @eliaslenchekee1602
    @eliaslenchekee1602 6 років тому

    I support your

  • @jpocherehani3498
    @jpocherehani3498 2 роки тому

    Yaani mi sichokagi kumsikiliza mzee wetu Dah, pole kwa kw Tanzania

  • @bernadphilipo1013
    @bernadphilipo1013 2 роки тому

    Daar mzee sasa Mama kaanza kuwatimua machingaa

  • @evalinnkumbi4139
    @evalinnkumbi4139 6 років тому +2

    mungu akulinde baba.

  • @jessicarasigu2220
    @jessicarasigu2220 2 роки тому

    MUNGU wangu sifai kukuuliza maswali, Ila kifo cha MAGUFULI watanzania wanyoge imetuumiza tu Sana, 😭 😭😭😭😭😭😭 kwa uyu RAISI wetu MAGUFULI alitujali Sana watanzania bila ya kutubagua,kero zetu aliyasikiliza vyema,tulimwona Kama roho yako MUNGU ikokwake kutuurumia sisi Waafrica,Mpumzishe kwa Amani Raisi wetu kipenzi chetu MAGUFULI 😭😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏 sitachoka kuziangalia video zako baba JPM

  • @LeahKibona-n4v
    @LeahKibona-n4v 2 дні тому

    Uyo wa mmmm nae kama anaelewa unafki tu

  • @marykilasi6248
    @marykilasi6248 2 роки тому +1

    Kpenz tumekumiss sana jaman

  • @anthonytadeowangao1358
    @anthonytadeowangao1358 6 років тому

    baba mimi uwanakukubari sana lakini nikwambie baba vijijini tunateseka sana kama kijiji mabuye kiko wilaya ya missenyi mkoa wa kagera mtendaji anatunyanyasa sana pamoja na diwani mpka tunakosa maendeleo baba fatiria hili hutapa jibu ahsante baba mpendamaendeleo

  • @user-yw2fb7nm2t
    @user-yw2fb7nm2t 25 днів тому

    R. I. P mwamba hakika tutakukumbuka

  • @horizongroup-tanzania6363
    @horizongroup-tanzania6363 2 роки тому

    Hakika tulikuhitaji kwa miaka mingi zaidi.! Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @masigomhoja5182
    @masigomhoja5182 6 років тому +1

    nimekuelewa sana unkle komaa nao hata ukiwa unabadili wakuu wa mikoa kila baada ya mwaka mmoja watakuelewa tuu nadhani makonda alishakusoma toka mwanzo na baadhi ya wakuu wa mikoa lakini wengine bado sana mkuu

  • @milyalemukinga590
    @milyalemukinga590 6 років тому

    Mungu akupe ekima tuna shukuru umekuja kurudisha jina ya ichietu ilikua tayari inapotea usijali maneno piga kasi weni chaguo lamungu saluti sanah

  • @gibsonyshadrack4543
    @gibsonyshadrack4543 6 років тому +6

    Baba.Mungu akukumbuke,daima,

    • @ngoshanyanda1065
      @ngoshanyanda1065 2 роки тому

      tutakukumbuka milele watanzania

    • @ngoshanyanda1065
      @ngoshanyanda1065 2 роки тому

      umefanya kazi muda mfupi 2 tukakupeda sana ila MUNGU kakupeda zaidi

  • @marciannchimbi9392
    @marciannchimbi9392 6 років тому +2

    songea pia ongelea Mzee kimya sana

  • @mjunimpemuluke7440
    @mjunimpemuluke7440 2 роки тому +1

    Sawa baba pumzika kwa aman

  • @maheligati2936
    @maheligati2936 6 років тому

    watanzania mungu atupe nini? jamani hii ni neema mungu mbariki baba wa wanyonge rais wetu Joseph john pombe magufuri

  • @patricklembeli8523
    @patricklembeli8523 2 роки тому

    Alimasi inazungumza wakati wa uhai wake

  • @amolonyogea8686
    @amolonyogea8686 3 роки тому +1

    Mama kasha kugeuka kwa Sasa pumzika kwa amani JPM

  • @thekingcr7365
    @thekingcr7365 2 роки тому

    Kazi Mhh!! Mhh!! Kama unaelewa unayoambiwa, kumbe hamna kitu.

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 2 роки тому +1

    Huyu mama amekwama wapi?
    Mbona alikuwa kama msikivu
    Sana

  • @stevenhassan269
    @stevenhassan269 2 роки тому

    Kizuri hakidumu jamani

  • @jemedarikalimas7788
    @jemedarikalimas7788 2 роки тому +1

    Rip jpm always we should remember you rest in piece

  • @nicklassshaypanga8794
    @nicklassshaypanga8794 2 роки тому

    R.I.P shujaaa wetuu chuma hakuna kama ww mungu akupunzishe katika pepo la milele rest in peace baba🙏🙏🙏

  • @stevejoram8585
    @stevejoram8585 2 роки тому

    Aseeee mzee wetu nilikuenda sana ulale salama

  • @deniszimbihile2505
    @deniszimbihile2505 2 роки тому +2

    R. I. P magufuli

  • @fatmarashid3629
    @fatmarashid3629 2 роки тому

    Sikizoi iki kifo😥

  • @josephatbahakaso1183
    @josephatbahakaso1183 2 роки тому

    Du!! Rip anko

  • @onesmomashembo4123
    @onesmomashembo4123 2 роки тому

    Tanzania haitokusahau bado tunakulilia ona bado tunamuuliza mungu kwanini ulimchukua Rais wetu?😭😭😭😭

  • @dorcasmaunganya6207
    @dorcasmaunganya6207 2 роки тому

    Ndo bas tenaa

  • @masudmuhidini600
    @masudmuhidini600 2 роки тому +2

    Nilikupenda kwa misimamo yako ila dah! Kifo ni fumbo

  • @jeshimungiki5793
    @jeshimungiki5793 2 роки тому +1

    RiP JpM

  • @hussenyassin7453
    @hussenyassin7453 2 роки тому

    Twakukumbuka baba Mung akulaze mahala pepa peponi dahh

  • @fredkyara.babamunguwambing482
    @fredkyara.babamunguwambing482 6 років тому +1

    Naimani Mungu ni kwema kwa kuipendelea nchi yetu Tanzania kwa kutupa Rais mwenye dhamira ya dhat. Uwezo na nia

    • @georgemashauri4657
      @georgemashauri4657 6 років тому

      hiki kichwa huwa nakikubali sana mungu akupe maisha marefu.