Polepole kumbe alishaumaliza mwendo, kila kinachotokea ktk awamu ya 5, ni utekelezaji wa kauli hizi za Polepole, BigUp Polepole, BigUp JPM, nawakubali sana.
Uko vizuri polepole ulikuwa unasimamia maslahi mapana ya mama tz kuna watu Walidhani Magufuli alijileta tu Ccm huwa inaangalia imeteleza wapi,unaona uongozi ujao wataweka viongozi wakali ambao watakao ridhi mikoba ya jpm ambao sio ndio ndio kwa mabeberu
Unamuitaje mtu kunguni !,na wakati ni msema kweli?..Au bila shaka hujamuelewa Polepole na kama humuelewi kuna kitu kinakusababisha usimuelewe,Na kwasababu hiyo hutaendelea kumuelewa.
mi huwa makuelewa sana pole pole, ila sababu wabongo wameshazoea kudanganywa unaposema ukweli huwa wanakereka sana nashangaa! jpm ndio mtu sahihi sana katika kujenga hili taifa walio wengi ni wabinafsi tu kama ulivyosema walitaka kwenda ikulu kwa maslahi yao na familia zao, na marafiki zao na sio kwa ajili ya kulibadilisha taifa hili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii, kitamaduni na kuwajenga watu katika uzalendo wa kuipenda, kuilinda na kuitetea nchi yao.
Awe rais kwa lipi mtu huyu mnafiki. Mambo mengi mabaya yaliyofanywa na awamu ya tano hajainua domo lake kusema. Eti sasa ni mwonaji tenamkufunzi wa kiongozi wa inchi. Hiyo hadhi ya kuwasemea watu anaitoa wapi. Nafikiri anyamazere tu apamban
polepole kakaangu usemacho ni kweli lakini usemayo yatoke moyoni sio mdomoni maana yatakuhukumu pindi ukiyarejea ikumbukwe Tanzania hii ni ya watanzania na fedha hofu yangu kuu ni pale siasa za tz na watz kuwa nyuma ya wakati kisiasa.
sasa hivi hana cha Kurithisha Vizazi vyake. maana hakuna cha katiba mpya wala mchakato, Ubinafsi umechukua nafasi yake. Tatizo la wana siasa hawanaga kumbukumbu. Mungu awasaidie.
Utasema ccm ikataliwe!!! Ndio maana nakushangaa leo hii hii!! Ulipovua hii suti nyeusi ukavaa green yeyeyeyeyeye.!!! Njiapanda, mauwaji nk. Wazee hao ndio wanaokusikia ukisema uwongo mwingi kuleanaleana kwingi!! Basi bwana!!
Nasikitika sina hata uwezo wa kuwa mjumbe wa "nyumba 10". Maana nasikia "Wajumbe" nao ni waleta maendeleo na hawana hata haja ya "Ubunge". But I really like politics though....
Sasa ndugu yangu Polepole, leo tuna tolerance na Kibiti, watu kutekwa, viongozi kupigwa risasi, Nyumba za viongozi kuchomwa moto, ofisi za mawakili kulipuliwa, wanasiasa kuzibwa mdomo, udikteta uchwara, hali ngumu ya maisha, mashule kuchomwa moto, wanasiasa kuwanunua wanasiasa uchwara, viongozi kukiuka Katiba, na kila aina ya matatizo. Lakini cha ajabu, hayo yote umetuambia tuyavumilie tu ktk awamu hii ya tano. Loooooh, Polepole, kumbe kelele zote zile zilikuwa ni mbio za kutafuta madaraka tu. Hays bhana, cheo ni dhamana na mtaani ni mtakuja, najua na wewe IPO Siku utarudi huku mtaani kwetu ulikotuacha. Safari njema, endeleeni kutuliza.
Polepole kumbe alishaumaliza mwendo, kila kinachotokea ktk awamu ya 5, ni utekelezaji wa kauli hizi za Polepole, BigUp Polepole, BigUp JPM, nawakubali sana.
You Polepole whom I admire in my entire life.🔥🇹🇿
Nakuelewaga sana kijana!
Natamani vingozi na watjmishi wa umma wooote wangekua na mizamo kama hii
Kaka yaani maneno yako yapo Muruaa
Na kueleweka kabisa ,watu kama nyinyi ndo mnaitajika kujenga nchi hii.,
Stay bless
nimekuwa nikikufutilia sana siku.you are my role model because of you, i have started liking polics.
uko sawa kama ulikuwa mtabiri uchaguzi wa 2015 ndio maana kwakweli mmekuwa na msimamo kwenye hii serikali ya sasa mko vizuri sana
Uko vizuri polepole ulikuwa unasimamia maslahi mapana ya mama tz kuna watu Walidhani Magufuli alijileta tu Ccm huwa inaangalia imeteleza wapi,unaona uongozi ujao wataweka viongozi wakali ambao watakao ridhi mikoba ya jpm ambao sio ndio ndio kwa mabeberu
Huyu ni asset yuko vizuri sana...
Clement Mwaitebele kwako
May God give you a long life with your spirit nakuona mbali dont give up keep fighting
Hii HOTUBA ya moto sana , hadi 2021 bado ya MOTO !!! Waliokuja jana hawakuelewi
Uko wapi polepole mbona umelala kimya sana mwanangu mpenzi nakupenda sana
Ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU ewe mwenyezi MUNGU mkuu taifa rangu mkubwa la TANZANIA ripo mikononi mwako na viongozi wangu wote
Ungekuwa msema uongo ungependwa sana lkn wanakuchukia sababu ya uwazi na ukweli wako songa mbele kijana!!!
Cku hizi msema kweli hapendwi!
Kamati za Maadili zimeamka kwa ajili yao!
kaka na Mh Polepole huwa nakuelewa sana kwa point na namna uzungumzavyo kwa msisitizo
Na msomaga sana huyu mzee
hujega hoja sana/Full points
Kaka ww ni bora sijapata kuona
Du ! Pole pole uliwahi kuketi chini ukarejea clip hii jinsi ulivyojilipua ? Yaan ulipasua jipu hasaa ! Japo sasa limebakia kovu lakin chama kimepona !
Mimi nakuelewa sana na sijawahi kuona ukienenda nje ya maneno yako endelea kijana na mzalendo!!!
Ulikua jasiri toka mwanzo
Raisi Ajae ni Huyu Jamaa
Sema mtoto kinachowasumbua chadema ubinafsi mwenyekiti huyo hataki kuondoka kwenye uwenyekiti wake chadema imekwisha
Pumbavuu Leo humuogopi mungu unamuogopa mtu mnafiki wewe wewe
Umesema kweli mtoto
Kwa longolongo tu uko vizuri!!!!!!!
Kajinga haka
Mkitanguliza tanzania kwanza mtamuelewa ila ukiwa shoga utomuelewa
@@anuaryally6177 maku wewe!!!
Nkbr xn home boy..
H polepole uko sawa kabxa.
wenichizi huna akili umeleweshwa naaliyekupa madafaka
Nice , nadhani
Jpm alikuona hapo.
Unayasema haya kwa sasa mbona siku za nyuma hukuyasema
2020 .basi ccm inatosha hakuna .la maisha. Watanzaniya. Leteni mabadiliko. Ya kweli
Washaaza kukuharibia tial
Kunguni tu huyu, Kunguni akitka damu atanyonya ya Mzee, Mgonjwa, na hata kichanga. Pumbavu sana As far as am concerned he can go to hell.
Usimuhukumu mtu kabla ujaukumiwa shoga papa la mabebelu wee
Unamuitaje mtu kunguni !,na wakati ni msema kweli?..Au bila shaka hujamuelewa Polepole na kama humuelewi kuna kitu kinakusababisha usimuelewe,Na kwasababu hiyo hutaendelea kumuelewa.
Ujielewi wewe shoga wa mabebelu uko ughaibuni pumbavu wewe mkimbizi unaogesha vibibi uko wa mabebelu mbwa koko polini
Safi saana,nimekuelewa.
Wametumwa
Ulivyopata cheo umebadilika sana polopole
Who else watching this in 2020?
Katiba vipi
Tumbili Keshanunuliwa tena kwa Ndizi Mbivu.
Wewe umeolewa kwa kupenda vya bure ughaibuni na mabebelu
mi huwa makuelewa sana pole pole, ila sababu wabongo wameshazoea kudanganywa unaposema ukweli huwa wanakereka sana nashangaa! jpm ndio mtu sahihi sana katika kujenga hili taifa walio wengi ni wabinafsi tu kama ulivyosema walitaka kwenda ikulu kwa maslahi yao na familia zao, na marafiki zao na sio kwa ajili ya kulibadilisha taifa hili katika nyanja mbalimbali za kiuchumi, kisiasa, kijamii, kitamaduni na kuwajenga watu katika uzalendo wa kuipenda, kuilinda na kuitetea nchi yao.
Polepole kiongozi sina shaka nae
Ulipovaa kijani tuu akalogwa mweee!!!
Big up
jeee mbona munatamuka mungu pole pole huna mazuli
hana issue!
mswahili
Lakini hao uliowasema kipindi hicho umewapokea ccm kwa mbwembwe
Polepole
Oyeerrrrr
Ameshakuwa kama wao
wenye madoa walikatwa wakakimbilia ukawa .huo ndio ukweli na wanaendelea kutumbuliwa
Wanyonge wanyongeni khaki yao wapeni
Unajua katiba vizuri ww na utawala wa sheria au unabomoka tuuu???
Hongea wewe unayejua utawala mpumbavu tu
Huyu ndiye Rais Ajaye baada ya Magufuri Jembe kumaliza Muda wake 2025
unafikiri urais ni kitu kidogo?
Awe rais kwa lipi mtu huyu mnafiki.
Mambo mengi mabaya yaliyofanywa na awamu ya tano hajainua domo lake kusema. Eti sasa ni mwonaji tenamkufunzi wa kiongozi wa inchi.
Hiyo hadhi ya kuwasemea watu anaitoa wapi.
Nafikiri anyamazere tu apamban
Nafikiri ni busarea anyamaz
polepole kakaangu usemacho ni kweli lakini usemayo yatoke moyoni sio mdomoni maana yatakuhukumu pindi ukiyarejea ikumbukwe Tanzania hii ni ya watanzania na fedha hofu yangu kuu ni pale siasa za tz na watz kuwa nyuma ya wakati kisiasa.
Unayajuwa hayo hata leo? Mana umekuwa Kama nyoka wa pango.
Leo umejisahau
Maneno ni awamu ya nne. Lakini.mmesilikiliza vizuri hiyo clip?,?mnatufanya sisi wasikilizaji ni vibatari siyo???
Mnafiki mkubwa, keshanunuliwa zamani
sasa hivi hana cha Kurithisha Vizazi vyake. maana hakuna cha katiba mpya wala mchakato, Ubinafsi umechukua nafasi yake. Tatizo la wana siasa hawanaga kumbukumbu. Mungu awasaidie.
tatizo maslahi binafsi kishapata ulaji wake kasahau yeye pia mbinafsi na mwongo
Haka kajamaa kajinga sana wapinzani kilakukicha wanazuiliwa kufanya mikutano hata yandani pia police wanavamia tu huyuni msengelema au?
MNAFIKI WA KIWANGO CHA JUU KABISAA
Huyu jamaa sio mnafiki msikilize vizuri.
Unafikra finyu kama kimo cha pua yako Eliud
Utasema ccm ikataliwe!!! Ndio maana nakushangaa leo hii hii!! Ulipovua hii suti nyeusi ukavaa green yeyeyeyeyeye.!!! Njiapanda, mauwaji nk. Wazee hao ndio wanaokusikia ukisema uwongo mwingi kuleanaleana kwingi!! Basi bwana!!
Bora umeona hili ndugu yangu maana huyu mjinga hana heshima, anawatukana wazee.
Tayari we ni shetani huezi sema kweli ukiwa ccm tetea tonge
Yani haya maneno msemaji yanamsuta % kw sasa
Ujielewi
Wewe nani???
akuuuuuuuu
Ndio katibu mwenezi
Mtu ambaye anajifanya anajua Demokrasia Akisema Watu wakatwe bila Kutumia Njia ya Kura. Huyu Ndiye ati aliyehusika katika mchakato wa Katiba.
Maendeleo kwanza oyeeeesssss katiba ya mashoga ziiiiiiirooooo
Hapo alikuwa anatafuta cheo jmn, hakuna namna lzm ujimwambafai ujisifie
Nasikitika sina hata uwezo wa kuwa mjumbe wa "nyumba 10". Maana nasikia "Wajumbe" nao ni waleta maendeleo na hawana hata haja ya "Ubunge". But I really like politics though....
Vp kuusu ile katiba uliokua unaishabikia kipindi kile cha jk maana ulikua kipaombele sana lakini kwasasa vp au madalaka ya kuleva yasha kuleva
usiwe kama wale wazee, tatizo ubabe wa mkulu unakuharibu sana, unaanza kuwa kama wale wazee. Maana utafanyaje sasa!? Una ujasiri wa kutosha!?
Polepole huna adabu wewe.
Pole sabu hujui ulisemalo
Duuh
unafiki huo.mshauli boss tulejee kumalizia kiporo
Hivi anayakumbuka haya maneno yake
Mwanangonjera! Hodari wa kuongea but no morals
Lisu no morals domo kapu ubongo wa mende
Panya
POLE POLE KAMA KINYONGA NENDA BADILIKA NENDA.
TIME WILL TELL.
Polepole huyu wa Katiba Mpya ndiye Polepole wa leo, Katibu Mwenezi wa CCM?
panya
Buku
Amen. Mungu awasamehe
Wewe ndio nbinafsi koz uko kwaajili ya maslahi yako binafsi....
Sasa ndugu yangu Polepole, leo tuna tolerance na Kibiti, watu kutekwa, viongozi kupigwa risasi, Nyumba za viongozi kuchomwa moto, ofisi za mawakili kulipuliwa, wanasiasa kuzibwa mdomo, udikteta uchwara, hali ngumu ya maisha, mashule kuchomwa moto, wanasiasa kuwanunua wanasiasa uchwara, viongozi kukiuka Katiba, na kila aina ya matatizo. Lakini cha ajabu, hayo yote umetuambia tuyavumilie tu ktk awamu hii ya tano. Loooooh, Polepole, kumbe kelele zote zile zilikuwa ni mbio za kutafuta madaraka tu. Hays bhana, cheo ni dhamana na mtaani ni mtakuja, najua na wewe IPO Siku utarudi huku mtaani kwetu ulikotuacha. Safari njema, endeleeni kutuliza.
sasahivi nawewe umekuwa walewale wabinafsi
duuuuuu polepole niwew uliye kua ukidai katiba huna hata hofu ya mungu machoni kwako eeeee watazame wote hawa wanafiki siku ikifika uwakumbuke
Wewe nani???