Hii inakumbusha hata mama yangu alikuwa anaipenda sana. Pumzika mahali pema peponi mama hakika mungu anaweza kila kitu. Nakupenda mama. Asante mungu wewe ni zaidi ya washindi
Qiukweli napendaga Sana Qaswida japo Mimi nim krsto nampenda Sana arafa na nyimbo zake zote namavazi yake ya hesma waislam wote nawatakia mfungo mwema kwa watakaofunga kwauwami nifuu MUNGU 🙏 awape kilaitaji la mioyo yenu
Allahu Akbar. nimuondolee of munaotaka uhakika wa taarifa ya kutaka kujua kuwa yu hai ama laa! mukiangalia katika mtiririko juu ya kifo cha msanii sam .utakutana na picha ya mwanadada araf. akiojiwa mwenyewe anatamka ajabakwa na bado yu hai .nimemsikiliza vizuri nendeni you tube mujirizishe.
Mimi mkirsto ila napenda sana nyimbo za uyu dada sana 😍😍🔥🔥🔥
Mashaallah
mimi pia cha msingi ujumbe 😍
❤❤❤❤ MashaAllah
Mambo
Mashaallah ameacha sautinzuri na jumbe Tam Allah ampekaulithabit
Mashallah Allah kareem akufanyie na kutufanyie wepes hapa 🌍na kesho akhera. Amin
Hii inakumbusha hata mama yangu alikuwa anaipenda sana. Pumzika mahali pema peponi mama hakika mungu anaweza kila kitu. Nakupenda mama. Asante mungu wewe ni zaidi ya washindi
Pole my nikisikia iv naon uluma san 😪😪😪😪😪😪😪😪😪😪
niseme2 ukweli tangu niisikie hii qaswida sjawahi kuichoka mpaka leo mwaka 2019 naipenda inawoosia mzur sana mungu akujalie dadaangu
Maashaallah.....Ni ukumbusho mzuri wenye faida na mazingatio kwa wote wenye kujitambua.
Mimi ni mkristo ila napenda sana hizi nyimbo!! Nawatakia kila LA kheri na mfungo mwema kwa Waislam wote
Inshallah🤲nakwako mungu akupe Kila itaji la moyo wako🙏🙏🙏
Anllah akulipe kheli 🤲
Bas badili dini kipenz
Tupo wengi❤️
Hii kaswid naipenda San sichok kuckiliz . mung anawez akun ashindwalo. Mashaallah
Ma sha Allah sichoki kuangalia qasida zako pia ma sha Allah hujipodoi Allah akuongoze ivo ivo
Maa shaa Allaah.....sichoki kuisikiliza hii qasida. It's message.... ukweli mtupu!
Yaan maneno yk yanavina na mizan yanagonga kumoyo haswa hii mmh mashaallah Dada
Kama unaipenda dini yetu ISLAM na qaswida zetu gonga like yako TWENDE SAWA
MOHAMEDI SARAFI
MOHAMEDI SARAFI
Godfrey Thomas m djujcucjcif liogPglvovlmm m m . ogkbhxm
MOHAMEDI SARAFI
MaashaAllah kweli Mungu anaweza tumuombe2 atujaalie subira
Uislam ni mzr sana sema sisi wenyewe tunaacha ya kwetu.na kuiga ya watu tuamken waislamu bado wakti tunao mungu answezaa.
Dada unaqasida nzuri na una utunzi ulio bora kwa kweli
kweli kabisa lazima tuwe na subra ya kweli
Qiukweli napendaga Sana Qaswida japo Mimi nim krsto nampenda Sana arafa na nyimbo zake zote namavazi yake ya hesma waislam wote nawatakia mfungo mwema kwa watakaofunga kwauwami nifuu MUNGU 🙏 awape kilaitaji la mioyo yenu
Zina fundisha sana❤❤❤
mashallah kaswiida nzuri
it's my fvrte
Allahu akubari,masha Allah,natamani siku moja nikuone face,to face,thanxs gd msgs
2019 nasikiliza qaswida za Arafa, ni mawaidha mazur... Gonga like hapa kama unaamini Arafa yupo hai.. Insyaallah
Masha Allah
Masha allah
Omary Shafii kweli kDa,nzuli,unawezakunilushiya,album,yake+25768580967
K
Omary Shafii
20q
mashllah ya allah tuzidishie subra
Wow nawamisi sana lakini Mimi nimkristo lakini nawapenda naninapenda nyimbo zenu ❤ Ninaomba mungu awape mayisha mwema🫶🫶🫶🫶🫶💓👌🌹🇧🇮
Wimbo mzuri mashaallah...huchoki kuuskiliza
Ramadhan Kareem to all Muslim Around the World 🌙
Allah akupe manyanzikiyo katika qaswida zako na akupe amzi na afya
Kaswida ni nzuri sana kwani ina mafunzo Alhamdulillah
Mimi ni mkeisto pyua ilaa nyimbo za arafa zinanibariki sanaaa
2020 naskiliza napenda Mungu anawezaa
Mashaallah munguanaweza nasusubiri wakati wangu ufike ataniliwaza
Kila asubuhi lazma nisikilize kaswida za arafa mungu akujaalie kheri dad arafa ❤❤❤❤
Mashaalla matatizo yote muachie alla na akuzidishie kila la kheri
Namkubali sana ARAFA BY DENNIS TRANSPORT IFAKARA
Mashallah mungu akuzidishie maana hii kasida hata nikiwa na mawazo nikisikiriza hii tuh basi mawazo natoa
Mashalla mungu akuzdishie uwezo
Ur songs inspire me,wow
Mashllah mashllah very nice voice your voice from paradise mashllah
Katika yeye ni muweza ♥️♥️
Arafa fundi wakaswida inaujumbe mzito inanifunza mengi sana tuamini mungu nimuweza wakilajambo
Napendaga xn hii qaswida💖💖💖👌👍🇰🇪
Allahu Akbar. nimuondolee of munaotaka uhakika wa taarifa ya kutaka kujua kuwa yu hai ama laa! mukiangalia katika mtiririko juu ya kifo cha msanii sam .utakutana na picha ya mwanadada araf. akiojiwa mwenyewe anatamka ajabakwa na bado yu hai .nimemsikiliza vizuri nendeni you tube mujirizishe.
Kweli kabiss yupo hai, mungu aendelee kumulinda
Mashallah qasda nzur sana
Lini
Kwely mwezawayote nimgu2 yeye nimlpaji mashalaa
Naam wengi tunasubir ndoto zetu insha allah
ALLAH BLESSES U. DEEP AND VERRY SPIRITUEL.
Anayatimiza muda muafaka kwake mungu anaweza
Mashaallah kaswida nzuri xana inanipa faraja ya moyo
mashaaalaaah kwa kawaida nzuri kama hili Allah akupe ujira mwema
dada mungu akuhifazi na moto
Napenda Sana qaswida mungu amlinde na Moto wa kabul
Hongera sana hata mm unanikosha sana
Allah akulipe kheri kwa ukumbusho
Mashaallah mungu Anaweza Akuna Ashindwalo
Mariamu Mariamu nafulai sana ninapo cikiliza kaxwid
Kwel mungu una weza nasubil ntajibiwa wakat ukifika
Uki vuta subila unafanikiwa kweli😍
Kikubwa ni SUBRA
Hasni
Naipenda sana
umetuachia store arafa nakupenda sana sjui kama atatokea mtu mwingine kuzba pengo lako💕💕💕💕
Queens zuwena arafa yupo hai
Subiri Allahuu qadri nice voice mashaAllah
Aminaksh Amoona mashaallah
mashaalah dd arafa nazipenda sana qaswida zako
Swadaqta habibty Allah Kareem subira huvuta Kher in sha Allah kher
Mashaalah
jj kjjjjjj
Mungu ukujalie maisha mema dadangu
Allah akurehem Arafah Abdallah
Alhamdullllilah mola wangu..
mashaa Alla nikweli kabisa mungu Anaweza kila jambo vuta subla Atakutimiziya muda muwafaka
Mashaallwh napend sana❤❤❤
Tunakupenda sana dada yetu arafa
mashallah,alla akuzidishie Mara elfu nyingi
Salma Ng'ojoko mashallah
❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤ you need dié Mense 👏👏👏
2021 nasikiliza tukiwa katika mwezi mtukufu wa Ramadhan..Mungu Anaweza
Masha ALLAH
Msg nzuri Allah akulipe kila lakheri
Napenda xna Dini yangu ya kiislamu
ma shaa Allah mungu akuzidishie
ama kwa hakika araf Dada yangu qaswida zako huwa ,zina nipa faraja sana
MashaAllha..allah akuongoze..ila Mbona siku iz aimbi
Zena Mohammed mbn kafark
Mi nilikuwa siamini kafariki kweli au
Zena Mohammed Kwa habari zisizo rasmin inasemekana uyu dada Amefariki iv ni kweli Au?
@@ramadhanially2783 mungu amlaze pema pepon
Jamani hajafa mbona ivi lakini
Mungu anawezaa jamanii
Mashaallah tabarakaallah mungu anaweza Ndio
Mimi.KKKT lakini nyimbo hizi nazipenda sana
Uyu mdada mashaAllh anamashair mazur yupo wapi haimb tena?
Mungu akuzidishie
Pumzka kwa amani ukuthy Arafa❤❤❤❤
Mashaala wislamu wapndeza
Mashallah nzur cn inatupa faraja mashallah
Naitwa mecky nazipenda sana pia nazipenda islam
MUNGU ANAWEZA ❤
2021 masha Allah arafa Mungu akupe makazi mema
Mungu anaweza 🙏
2024 let gather here ❤❤ Islamic religion qaswida
Kweli kabisa ewe mola wetu tupe subra
Anaweza kweli.mansha Allah.Allahu akbaru
Mashairi yakemazuri sana
Thanks allah for being my best Friend
Kweli bdugu nimuwwza kweli kweli
Naipendaa sanaaaa
mash ALLAH jazakallahu kher
Rukia Issa umeolewa
Mashallah naipenda kuitizama qaswida hii
Nampenda sana huyu Dada
Santé mungu ❤️❤️❤️❤️🤗
MashaAllah jadhaka Allah kheli
Mawaidha mazuri, twaomba mungu utuletee mengine tuwaidhike
shukran kwa ujube kwako Alah Afe.
Mungu anaweza atayatimiza muda muafaka kwake. Usicoke omba wala usikate tama.maashaallah
Nakupenda saaanaa
Mashalah alalhu akuongoze
Ninaipend💖
Nakupenda sana dada
Mashaallah dada angu mungu akubariki
Anaweza kwel Allah kuna magum nilipitia napitia lakin Allah hajawah niacha alhamdulilah