Huyu dada ako n'a sauti tamu sana, kanikumbusha Enzi za taarab île nyakati ya zamani, endelea ivo ivo Kiswahili yangu si nzuri vile Mimi natoa mke uswahilini🌹 Nakuskiza kutoka ufaransa mimi mkenya 🇨🇵🇪🇺🇰🇪
I wish ungeliendeleza zile kaswida kama katika habari ya kutolewa roho,tutaiacha dunia,shida ya mwenye kutolewa roho.Naona ukiendeleza hivi utaingia wasafi.I have been following your kaswida tangu 2014.Tumuogope Allah na tubaki katika msingi ya dini.Dunia ni yenye mapito.Mziki ni Haram.
I was here again 28th of august.... i yell you this song keeps me awake day in day out....a kenyan by birth living in Amsterdam city....long live my Tanzania artists......hope the founder of this song will attend my wedding wen I get back into Africa♥️♥️♥️♥️👋
Mashallah 👌 mashallah your voice is very nice 👌 mashallah 👌 your voice from paradise mashallah mashallah thank you so much 👸 princess dida you are best 👌 and best in the world 👌 🌎 Mashallah
C'est incroyable j'ai l'impression C'est du comorien c'est fou comment on se ressemble culturellement et la langue même la façon dont ce mariage est fait c'est exactement la même chose aux comores 🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲
Huyu dada ako n'a sauti tamu sana, kanikumbusha Enzi za taarab île nyakati ya zamani, endelea ivo ivo
Kiswahili yangu si nzuri vile
Mimi natoa mke uswahilini🌹
Nakuskiza kutoka ufaransa mimi mkenya 🇨🇵🇪🇺🇰🇪
Wallahi
Mashallah ukhty dida mtt usojua kununa wallah kazi zako huwa sichoki zitazama nakupenda mtt mzuri Allah akuondoshee husna za watu na majini
I wish ungeliendeleza zile kaswida kama katika habari ya kutolewa roho,tutaiacha dunia,shida ya mwenye kutolewa roho.Naona ukiendeleza hivi utaingia wasafi.I have been following your kaswida tangu 2014.Tumuogope Allah na tubaki katika msingi ya dini.Dunia ni yenye mapito.Mziki ni Haram.
Sure, uko sahihi Sasa anapiga taarabu sannah hatar inakuja zaidi zinaporuka kwenye public
Mm harusi yangu nawalika
Machallah Ukhty Dida tunashukuru sana kwa ma kaswida zako, khasatan Mimi kuliko nisikilize niombo afadhali kaswida muendeleye
Hakika hizo ni nyimbo tu na miziki na allah ameharamisha
😮
mashallah i always 💖💝 this qaswida congratulations ukty dida
ouzouri wa zanzibar raha nana fasi hamou nyengui oulawa rohoni Marahaba wadjama watoukoufou wami bweni mariama wami oufourahi kabisa nahikiya saouti ndjema kasuida🤲🏻🤍 macha allah saouti yatarabou AAAA🤍🤍🎉🎉🤍🎉💓🤍💖💖🎉🎉💯💯💯🎉🎉🤩🥰🤩🤩💋💋💋🤩🤩💋👍🏾👍🏾💋
Mashaallah ukthy dyder nakupenda sana na naikubali sanaaaaa kazi yako Allah akupe kheri na mwanga kwenye kazi zako🤲 wallah raha sana
Mashaallah ukthy dyder nakupeda Sana
@@shuwenahassan1970 hi
Mashallah ukthy dyder naipnda xna
Hi to
Da dida siwez kujiung n chuo chen wallah nawapend mpk bas
Ukhty Dyda mashaallah nakupa sn hapa Dar nisalimie Fakky na juma wote AQaz
Ma sha Allah Swadakta Mungu Akuwezeshee Zaidi Ukhty Dida
7a🙂
apaa.didaa me rohoo yng kituu inapndaa nawaza harus yng.inshallah ukujeee sin shakaa habibty😊😊😊
Ukhty Didah NAKUPENDA buree.... nice nasheed🤩🤩🤩👌
Hii sio nasheed kipenz
Ukhaty dida pambeeee 2 haubahatishgi ww, nakupend my sis kaz nzur more bless keep it up
Ukhty umetish mashallah mola akulinde❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉
Weuweeeeee dyda hap umetisha kuliko zote mmh yan adi rahaa kitu pambeeee ataryyy
Mashaallah kaswaida imetulia sn nkpnd sn diyda ww kwel kiongoz wa mabanat hilo hkn wa kupingaa
Dyda jamaniii wallah ww hatar na nusu ....mashallah. ...jicho la hasad lsikuonee......faaaa akeeeeee
💞🤝💃🏼
Amin thumma AMin
Wonderful song. Sisi waswahili toka Rwanda na DRC tunaburudika na Qaswida
Dida upo juu mashallah Allh akubarik akupe riski za halli inshaallah
Ameen🤲
Hongera dida nimeangalia hii qaswida ina view 2.3M
Yupo vzr uht dida mashaallah mng mzdshie mwenyewe
Hakuna kaswida ktk Dini yetu .zote hizi namfan wahizi ni nyimbo tu .Allah awaongoze nass pia .
From Somalia... Saa hii nina soma Kiswahili.. Nampenda this girl. Sauti yaku ni nzuri sana ❤
Y66ý
Ww unajua vizur kiswahili
⁸7this y5ou😢f😊
@@Cutiehelena ir
Penda sana!
She sings well tusimuonee wivu tumpongeze🥰🥰🥰🥰🥰
Pambe
Mashalah
MashaAllah 🤲🇰🇪💕💕💕
Ongera mwaya
Very good
Mashaalaa...inapendeza sana😍😘🥰🥰🥰🥰
ahsante sana kwa wimbo mzuri sana kutoka Rwanda
Mashaallah Mashaallah anaimba Hana pupaaa katuliaaa 👌👌❤️❤️
wallahi didah itabidi uniozeshe mwanafunzi wako mmoja mwenye sauti kinanda kama yako, nafarijika kuskiza qaswida zako
I was here again 28th of august.... i yell you this song keeps me awake day in day out....a kenyan by birth living in Amsterdam city....long live my Tanzania artists......hope the founder of this song will attend my wedding wen I get back into Africa♥️♥️♥️♥️👋
Mmekuw kama siafuuu😂😂😂😂😂
Mashaallah ❤
Mashallah siz... Inshallah harusi yngu nakualika hku Kenya💖💕❤️
Masha Allah kuolewa raha jaman 😘😘😘😍😍😍😍😍
❤❤❤ukhty Diyda ahallumtangana from khm shy
يا سلام أغنية فوق الوصف ومنظر رآئع جدا
اي لغة هاذي الاغنية؟ وفي أي بلد؟ ، الأغنية رائعة
زيجبار من تنزانيا@@HindAli-fu5wx
Dyda wandu mshuli nakupend atary I love u dyda Allah akuzidishie kipaji chako Ameen nakupenda mno Kwa kwl by ifa
Nakupenda piaaaa
Unatisha xana dada akeee!!!!❤❤ Maashallah
❤❤❤❤❤❤❤ ovyo 🎉
Classic wedding 💒... @ukhtydida can I marry you ❤️💞 please I'm from Somalia nimekupenda 🤩
Mashallah nimependa wimbo sana wimbo wako Raha leo raha
I love you so much my sister yaan huna mbay dadaang
Epitome of Taarab, uandishi 💯💯💯🔥🔥🔥, mashairi 🔥🔥🔥 I love this 😊
Hongera sn Ukht Dyda qaswida njema sn, nisalimie sn Swahiba wng Juma fakky v Fakky mbarouk.
Nakupenda sana dida na qaswida zako napenda kusikiliza sana allaha akuongoze inshaallaah ktk kipaj chako
Mashallah 👌 mashallah your voice is very nice 👌 mashallah 👌 your voice from paradise mashallah mashallah thank you so much 👸 princess dida you are best 👌 and best in the world 👌 🌎 Mashallah
Nice kasida pambe tup👌mashallah 😘😘😍😍
From somali
So Amazing voice an qasida
My sister keep going
Mash allh mash allh
100/%
Wfhbkfvmjvcxcvvbbvvvvvv v v
Mashaallah ukhty dida pambeeeee
Mm nimekwama hapa kwa wanao subiri lift hawana element
😁😁😁😁😁
Mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie kipaji❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Asmaa from Kenya love 💕 so much congratulate
Hongela dada nyimbo nzuli sana ❤❤❤❤
Nikekupaa chansy Yako offf 100 ni weww or unajaribuu jahazi latakaa kuenda wasubiriwa wew ukotayarii nifanye Sab fast
Mashallah god blessing you...I love you ma sister
Thanks a lot my dear...👍👍👍
Umebarikiwa sana sauti nzuri Hadi nkatamani kuolewa uswahilini
Mashallah hongera dada Allah akuzidishie kipaji chako kizidi
Mashaallah ukhity dida . Mim nakuhitaj ninaharc ya mtoto Wang naomba mawasilian yako nitakupataje
Piga no hii 0777868264 utapata unacho kihitaji
Mashaallah mashaallah ukhty nakupenda sana allah akuzidishie
Mashaala ukhty dyad
aoq1q
@@athumanimunguakupewepesikw1708 Z. .......
Maaashllh cn la kusem umetsh xn ukhty😘😘Allah azd kukup uwez ufnye vzr zaidi.Aamin🙏
Mmependa San na pia mnaimba vizuri San ten san jmn
Mashallah dada dida Allah akuzidishie kipaji chko🥰🥰
Shida hujubu coment ila kazi nzurii au vip
kuna mdada alievaa miwanii nampenda san km kun mty anamfaham anifamishe
Dida we ndo kiboko yao ...Hudhaifa frm Kenya
Mashaallahha mumy nakupenda sanaaa. ❤️❤️❤️❤️❤️❤️
And you call yourself UKHTY?? Subhaanallah. Allah akuongoze dada etu mana uko unakoelekea kubaya wallah.
Duh kwakweli msiba lakin vichwa havisikii kitu shetwani kawakamata kisawasawa
Ila huu wimbo ni mtamu sana yaan hauchoshi kusikiliza hata kutazama 😘🌹 hongera kipenzi kwa kazi nzuri
Yaani mwanamke ana sauti ya upole huyu
C'est incroyable j'ai l'impression C'est du comorien c'est fou comment on se ressemble culturellement et la langue même la façon dont ce mariage est fait c'est exactement la même chose aux comores 🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲🇰🇲
Même peuples
C'est quasiment la même chose, même peuple, quasiment le même langage 🇰🇲🇰🇲🇰🇲
L'homme blanc tjrs nous separe mais mous les mêmes
C'est jolie votre œuvre, je pensée bien c sont du Tanzanie
No it's comorian (( tsii yahatu)) but Tanzanian but rest very similar....
Mashallh jongera. Qaswida mashallh 👌👌👌👌👌👌👌😅
Waooooo jaman love ukhty dida jamn pambeeee weuweeeeeee honger nuwaila
Kaza didaaa watajiju weuweee wanikoshaje naona hafsaaa pambeee wamedamsh ila did umetukwema kimacho naliaaa😭😭 cjaona tabasamuuu lk stejin
Dida💜💜💋
Very nice qaswida. Mashaallah.
Mashaallah nzur adi raha😘😘😘
Mashalha dida machekooo
Hata me nampenda xn ukhuty d❤❤❤
From omán
Napenda qaswida zako dida
Faridah from Burundi love u so much Dida 😘
masha allah ya dyda mimi SHEIGH HAKIM COMOROS NAPENDA WEWE QASWIDA ZAKO PYA MASHA ALLAH HUSUDA BALI NAWE
Great song, great tune and words 👍👍
Mashallah
Naipenda hiyo Ngoma.
Naipenda hiyo Ngoma.
Mashallah kazi nzuri xana kipenzi .....I like
Courage my sister
Dida didaaaaaaaa didaaaaaa you're the best for ever no one can compared with you 💝 love you sooo much didaaaaa you're the best ever
Much love daa ukhty ❤❤❤
You'll definitely officiate my wedding in Kenya Ukhty Dida In Sha Allah Bi idhnillah 🤲
In shaa Allah
Mashaallah
Da napenda nyimbo zako. Tafadhali itayarishe official video ya wimbo "wapeni njia warembo". Love from Nairobi, Kenya
Hamna sio nyimbo ni mashair ya kiislam
@@ashrunaomar4882 nyimbo iyo qasida hapo ivo
Ooh my god 🤲🙏 niwamisi kinoma🫶🫶🫶🫶💓👌🇧🇮
Mashaallah thabarakallah dayda juu sana wallah
Mashallah mola akujalie n moyo huohuo ...mob lov kwako dyida 🇰🇪
Mashallah umewezaa mpezi!! Mungu akuzidishie kipaji habibty.♥️💯💯💯♥️
qaswida nayo ni kiboko yako pambe Mashallah
Dida ur so creative, even the way you use to mention the names of those Nuwaila's teachers is so poetric that i always keep on replaying the song
😊
From somalia napenda huyu mischana
MashaAllah na me mw/ mungu anijaalie nipate wa halali InshaAllaah
Ma shaallh nakupongeza nikiwa 🇰🇪
Kwel mungu azidi kukutia nguvu❤❤❤
Hapa Leo umnkosha ukhty dyda god akuzdshie saut mashallah nkpnd Burr bure
Mashallah Ukty Dyda Am always proud of you
Good masalla
Mashaallah dada dida mungu azidi kukupa nguvu kati kazi zako
Mashallah sana vooo👌🥰❤❤❤
Mashallah by ukhut swaumu anakupenda
Mashallah warembo kweli nawapenda sana ukhi Dida uko juu 👍
Mashaallah mungu akuweke daima dada dida
mashallah dada napenda sana kaswida zakoo maana zina ujumbe mzur 🌷
Masha Allah nimeipendasana hii kaswida Asante sana dada yetu kipenzi dida
I'm here with love of my life #Leen💖💖
MashaAllah Ukhty Dida Mungu akujazi kila la kheri
Ana pedeza sana huyu dada akicheza na sauti yake pia daa