Mama tunaweza kumlaumu sana kwasababu baba alivyokuwepo matukio hatuku yaona kama ivi yani ukiamka asubhi unakutan na matukio ya vifo hi inamaana GANI Sasa tunakuwa n rais wa nini kam ndy ivi mama tunaomba ukae na watu wa usalam maisha yetu Yapo hatarini ukienda kazini ukiridi salama unamshukuru mungu.
Kwa kweli haya mambo ya mauaji yamezidi, kila kukicha ni matukio ya mauaji. Poleni wafiwa Mungu awape subra kwa kipindi hiki kigumu kwenu, na Mungu akampe kauli thabit marehemu, iina Lilah Wainnailah Rajuun. 30.01.22.
Pepo la mauti Tanzania, Toka kwa Jina la Yesu.Eee mwenyenzi Mungu tusamehe mahali tulipokosea pasipo sisi kujua.turehemu ss ni waja wako. Halafu sijawahi kumpenda hii salamu tunayoanzaga nayo..Salamu kwa jamuhuri ya Tanzania!! Hatumuweki MUNGU mbele, Tusalimiane kwa Jina la mwenyenzi Mungu muumba wa mbingu na nchi,na vyote vilivyomo, tukiwepo sisi wanadamu.
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu Allah awaadhibu wote walio mdhulumu nafsi yake.
Mama Tanzania nchi yangu inatakiwa kukombolewa maana damu inayomwagika juu yake ni najisi kubwa 😭😭😭😭, Mungu tupe nguvu ya kuikomboa ardhi ya nchi hii ili ibaki nzuri na ya kupendeza!!!!
Du hatari kama maaskari ndiyo wanao shiriki kufanya uhalifu raia tuta ponaje serikali iangalie hili swala kwa Kweli huku chekereni matukio ni mengi sana tunaogapa sana r i.p broo mungu akupunguzie adhabu ya kabri😭😭😭
Yn ningekuwa raisi, akiamungu ningeweka shelia kwa yeyote atayethubu kutoa huai wa mwenzie kwa kukusudia, Wallah wangenyongwa na kufa vibaya.. My be watu wangekuwa na hofu ya Mungu but why guys hatuna uluma😭😭😭😭😭😭😭😭😭....!!!!!!
Poleni ndugu zangu mulie mupeteza Kija ppoleni sana ila jkt juma sio wazuri ata kidogo ni waaonefu muno na sio uko kwenu kila mahali walioko juma niwaonefu muno ila nao inafaa wachukuliwe atua kali sana na serikali la sivyo watawaumiza wasamaria wema
Kinachosikitisha Zaidi ni campuni ya kiliflora inamilikiw na wazungu.Suma JKT NI WATANZANIA.kwanoni Suma mnawauwa ndugu zenu? Mwisho wa siku suma mnalipwa tu vijisenti na wazungu kwa Mwenyezi Mungu mtatoa hesabu ya hizo roho za watu mnazodhulumu.
Askari wameua watu wengi mno hakika polise nizaidi ya magaidi na mungu na ss watanzanzania hatutawaacha salama hawa ma mbwa kila uonapo askari ona kama umekutana na simba mia jitetee hawa makumaaa tuu tunawaweza msiogope
Matendo yamauaji kinyama yanayoendelea kila uchao kote nchini ni matokeo ya uongozi mbovu wa vyombo vyetu vya usalama. Tumechoka na mauaji haya ya kinyama yasiyokoma, viongozi wa juu wawajibishwe ili kupisha wengine wenye uwezo kuongoza vyombo hivi vya usalama.
Jaman hebu sasa tukae tulie na Mungu watu wanatekwa, wanachinjwa ,wanachomwa visu wanabakwa ,wanajinyonga,mara moto, mara mafuriko sijaskia serekali ikitoa tamko lolote sasa watu wanajichukulia maamuzi tu😭😭😭😭
Rais Mama Samia upo?! Ww si ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii? Vyombo vya ulinzi na usalama, services za upelelezi na ujasusi sizipo chini yako ? Mbona hauchukui hatua yoyote? Wananchi tumkimbilie nani mwingine ? 😭😭😭
Watanzani tunahitaji mabadoliko jeshi letu ni la uuwaji chadema tukisema tunaonekana wabaya lakini Hali ni mbaya Sana police badala ya kulinda watu wanauwa watu
Kuna haja ya kuanzisha kampeni # SIRRO MUST GO !! GO SIRRO
Jamani ndugu zangu tuswali Sana tumuombe mungu Sana tutubie zambi zetu Sana hizi ni dalili za mwisho tuombe mwisho mwema
Nikweri kabisa maana hi Tumachi Tz yetu watu rihozao zimebadilikahivi😭😭
Jamani
Mama tunaweza kumlaumu sana kwasababu baba alivyokuwepo matukio hatuku yaona kama ivi yani ukiamka asubhi unakutan na matukio ya vifo hi inamaana GANI Sasa tunakuwa n rais wa nini kam ndy ivi mama tunaomba ukae na watu wa usalam maisha yetu Yapo hatarini ukienda kazini ukiridi salama unamshukuru mungu.
Kwa kweli haya mambo ya mauaji yamezidi, kila kukicha ni matukio ya mauaji. Poleni wafiwa Mungu awape subra kwa kipindi hiki kigumu kwenu, na Mungu akampe kauli thabit marehemu, iina Lilah Wainnailah Rajuun. 30.01.22.
Hasa huko Arusha mauaj kila kukicha
Pepo la mauti Tanzania, Toka kwa Jina la Yesu.Eee mwenyenzi Mungu tusamehe mahali tulipokosea pasipo sisi kujua.turehemu ss ni waja wako.
Halafu sijawahi kumpenda hii salamu tunayoanzaga nayo..Salamu kwa jamuhuri ya Tanzania!!
Hatumuweki MUNGU mbele,
Tusalimiane kwa Jina la mwenyenzi Mungu muumba wa mbingu na nchi,na vyote vilivyomo, tukiwepo sisi wanadamu.
Surely
😭😭😭😭Ee Mungu wangu yalio tabiliwa yanatimia, Mungu tuhulumie
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu Allah awaadhibu wote walio mdhulumu nafsi yake.
Poleni jamani wafiwa poleni sana .mungu awape subra
Mama Tanzania nchi yangu inatakiwa kukombolewa maana damu inayomwagika juu yake ni najisi kubwa 😭😭😭😭, Mungu tupe nguvu ya kuikomboa ardhi ya nchi hii ili ibaki nzuri na ya kupendeza!!!!
Jaman mbona mawaji yamezidi hif
Poleni sana wafiwa mungu awape subra wakati huu wa huzuni
Du hatari kama maaskari ndiyo wanao shiriki kufanya uhalifu raia tuta ponaje serikali iangalie hili swala kwa Kweli huku chekereni matukio ni mengi sana tunaogapa sana r i.p broo mungu akupunguzie adhabu ya kabri😭😭😭
Dah kwakweli hii Alli nimbaya sana mungu tunakuomba tusimamie
Aiise nimejikuta napata hasira kwa haya yanayoendelee
Mungu wangu jamani kwanini lakini
Maisha yamekuwaje mbona viongozi wapo kimya?
Acha tu inaumiza na akuna kiongozi anayezungumza .Tunaenda wapi?
Utusamehe Mungu utuhurumie, uwafariji hawa waliopotelsewa na ndugu yao. Urejeshe amani ndani ya mioyo nayo. Natubu Mungu kwq ajili ya taifa langu
Pole sanaa sana mama
Yn ningekuwa raisi, akiamungu ningeweka shelia kwa yeyote atayethubu kutoa huai wa mwenzie kwa kukusudia, Wallah wangenyongwa na kufa vibaya.. My be watu wangekuwa na hofu ya Mungu but why guys hatuna uluma😭😭😭😭😭😭😭😭😭....!!!!!!
Tz mauaji yamezidi aisee poleni sana familia
Mungu sis wanao tunauwawa kama wanyama tuangalie baba twaja mbele zako
Hakika inaumiza sana mungu tuangalie watoto wako
SUMA JKT kuna shida. Tanzania nzima wanalalamikiwa. NIT ni wao,
Poleni ndugu zangu mulie mupeteza Kija ppoleni sana ila jkt juma sio wazuri ata kidogo ni waaonefu muno na sio uko kwenu kila mahali walioko juma niwaonefu muno ila nao inafaa wachukuliwe atua kali sana na serikali la sivyo watawaumiza wasamaria wema
Kinachosikitisha Zaidi ni campuni ya kiliflora inamilikiw na wazungu.Suma JKT NI WATANZANIA.kwanoni Suma mnawauwa ndugu zenu? Mwisho wa siku suma mnalipwa tu vijisenti na wazungu kwa Mwenyezi Mungu mtatoa hesabu ya hizo roho za watu mnazodhulumu.
Jaman jaman inauma
Poleni sana
Uongozi wa Suma uko wapi
MWAKA HUU WATU WANAKUFA, NDUGU, JAMAA, RAFIKI NA WAPENDWA WETU WENGI WANAUAWA, KAMA HATUNA VIONGOZI WALA WATAWALA
🤔🤔🤔🤔🤔🤔
Duh ee Mungu wangu
Sasa alifuata nn kwa office za watu? Nanyi askari mngempeleka police.Jamani majambazi wa bunduki mbona hampambani nao?mnapambana na hao watoto
Askari wameua watu wengi mno hakika polise nizaidi ya magaidi na mungu na ss watanzanzania hatutawaacha salama hawa ma mbwa kila uonapo askari ona kama umekutana na simba mia jitetee hawa makumaaa tuu tunawaweza msiogope
Kabisa yani
Wanazngua kisenge yan huku mbagala zakhem wiki iliyopita waliuwa jamaa wa mtaani kabsa
Mwisho wasiku RAIA watachoka tutaanza kuwapiga mawe
Mkiwa tayari mnipitie kama mwanamke uchungu naujua nimeumia sana Sina Imani naaskar yeyoteyule
Suma Vijana wabaya sana na wengi wao wanadhulma wanadhulumu watu kwa fojari mbalimbali mungu ni mwema watalipwa kwa yale wanayofanya hapa hapa duniani
Umeona kila Siku mauaji mauaji mauaji
Asanteni Sana 😭😭
Mauaji yamezidi sana jamani
Askari wavuta bangi Sana cku hizi
Yaan baada ya kulinda wananchi wanauawa kama kuku.
Jamani wameua kwanini wameua ameiba nini hayo maua ndiyo uuwe mtu maua na roho ya mtu kipi cha maana hivi kwanini askari wanaua sana
DAAAAA HIII HARI IMESHAKUWA NGUMU SANAAAAA🤔
Mungu tsaidie jmn duh!!!! Mama Samia ckia kilio chawatu mahaskar wamezidi ktumia nguvu jmn 😭😭😭😭😭
Subhannallah
innalilah wainailehm rajiun
Huyo baba kanitia uchungu jamni😭😭😭😭😭😭
Dawayao nikuvamia nao wakauliwa tu haya matukio ya askari kuuwa watu ktk nchii yameka endelevu sasa dawayao nawaonikuuliwa tu kammbua naiwe mmbuai tu
Nileteeni Hamza,,,
Mungu atunusulu tunaelekea kubaya mno
Jmn jmn jmn jmn 😭 tunaenda wapiiiii kwani
Kwa hiyo sasa hv imekuwa tanzania ya vilio kila kona. Maana kila kukicha ni misiba inayotokana na mauaji.
Poleni sana jamani 🙏🙏🙏
Ila ninyi wauwaji ninyi mngejua jinsi mnavyozichosha familia za watu mnavyofanya familia kuishi maisha magumu jamani poleni sana familia
Achatu ndugu yangu
HIVI NIULIZE TU KWANINI HUWA MNAHOJI WAFIWA WENYE UCHUNGU MPAKA WANASHINDWA KUONGEA😔😔
Kwani wasinge wahoji ungekuja hapa ku comment
Kazi ipo! Askari na raia
Eee Mungu tusaidie na utusamehe matukio yamekuwa ni mengi mnoo
Jamani Tanzania mbona mauaji yamezidi kiasi hiki kuna pepo gani hili Tanzania
Mauaji mauaji mbona yanaongezeka ?
Maaskari wageuka wauwaji.
iGP Sirooooo KAAMBIWA NA mama Niniii
Kazi iendelee 🤣🤣🤣
Aisee nchi hii ma askari wamekua sio wa kuaminika yani wanaweza kukuua na kesi hakuna
Hizo siasa wanataka vita ahooo mungu baliki Tanzania yetu 😭😭😭😭
Matendo yamauaji kinyama yanayoendelea kila uchao kote nchini ni matokeo ya uongozi mbovu wa vyombo vyetu vya usalama.
Tumechoka na mauaji haya ya kinyama yasiyokoma, viongozi wa juu wawajibishwe ili kupisha wengine wenye uwezo kuongoza vyombo hivi vya usalama.
RIP poleni sana wafiwa
Polisi wanamaliza kaka zetu
Suma jkt sio polisi
Uyo mzee 2amesema ajui alafu anasema wizi ameitwa kwenda kuiba usiku.sasa amuoni kama Kuna kitu hapo.vijana vijana tamaa inatuponza sana.
Mungu tusaidie hatuna pa kukimbilia ila ni kwako tu
Bila katiba mpya tutalia sana,
Tatizo Tanzania sheria hazifuatwi hakuna haki jamani kunatisha
Rest in peace ✌️
Sijui tucoment Nini tumechoka
Poleni sana Jamani rest in peace brother 🙌
Jameni Maskari wakutulinda sisi tena njo inakuwa viikwazo kwa sisi RAIA KW3LI INATIYA UCHUNGU MWEINGI
Mwaka umeanza kwa mauwaji jamani mama ana uchungu wa mwana aujuwaye mzazi😭😭😭😭
Walimbishia hamza na wakasema alikua gaidi , , sasa hiki nini ? Mungu anafichua mliokua mnayaficha miaka mingi, askari wanaua raia wengi saana
Kijana bado mdogo jamani inahaja gani yakuongozwa na serkali kama serkali ndio viongozi wa mauwaji
Eeeh mungu wangu cjui tunapoelekea n wapi jamani
Hii arusha nisawana ŵatusi nawaĥutu ķila uchaômaûwaĵo
😭😭😭😭😭😭
Kwa matukio haya jamani Tanzania tunaelekea wapi!
Askari daah
Hiv kwani mkiwa maaskari ndo muuwe watu hovyo?
Eee mungu wangu😭😭😭
Inalilah waina ilah rajiun
Angekuepo rais kauzu upumbavu wa hiv usingekuepo
Duuuuuuuuuu!!!!! Mungu turehemu
Kwani huko Arusha kuna matatizo gani?
Jaman hebu sasa tukae tulie na Mungu watu wanatekwa, wanachinjwa ,wanachomwa visu wanabakwa ,wanajinyonga,mara moto, mara mafuriko sijaskia serekali ikitoa tamko lolote sasa watu wanajichukulia maamuzi tu😭😭😭😭
Rais Mama Samia upo?! Ww si ndio Amiri Jeshi Mkuu wa Nchi hii? Vyombo vya ulinzi na usalama, services za upelelezi na ujasusi sizipo chini yako ? Mbona hauchukui hatua yoyote? Wananchi tumkimbilie nani mwingine ? 😭😭😭
Hawa Askari wameingiwa na pepo gani jamani.wawe wanawanyonga ili wajifunzee
Watanzani tunahitaji mabadoliko jeshi letu ni la uuwaji chadema tukisema tunaonekana wabaya lakini Hali ni mbaya Sana police badala ya kulinda watu wanauwa watu
Kila siku lazima mtu auwawe sijui tatizo nn
R..i.p Richard!
Askari police wamekuwa majambaz, wauaji, wdhurumu haki, wapiga dili. Ni hasira kwasabab ya mishahara yenu midogo au pepo tu
Kwa Sasa vyombo vya habari vipo huru
Ndio kitupekee nnacho mpendea mama huyu ktk uongozi wake
He kumekucha bado eh
Inna Lilah wainna ilah rajiuun
Poleni sana wafiwa kwa msiba mzito Mola awape subra kipindi hiki cha msiba
Lipizeni kisasi ,lemaasai msikae kizembe kamateni hao suma piga Hadi uwa
MAMA SAMIA RAIS WANGU HAYA YANAYO ENDELEA TZ SIO MAZULI YATALETA MACHAFUKO WATU NI HATARI
Rip magufuli💔
Oooooh!Condolences kwa watanzania wote
Narudia lipeni kisas ikibidi hata chomeni moto hao
Innalillahi wainnalillah rajiun
😭😭😭😭😭😭jamani
Inna lilahy Wainna ilahy rajioun 😭😭