Aise kwa kwel Dominic namfaham tulsoma wote shule moja s/msing dodoma makulu alkuwa kanitangulia madarasa mawil na kwa tetes ninazo zpata muhusika nae nampata vzur tulsoma nae darasa moja na tulhtim nae mwaka mmoja mungu awapunguzie azabu ya kabur r.i.p Dominic au jongo
Kaka umetuacha na huzui leo hii juma umetuacha tena kaka ulikuwa unalia kwaajili ya dominick leo ni wew kweli duniani tunapita mungu ailaze Mahali pema peponi aminaa imeniumiza sana kifo chako kama ya domick kwli kizr hakidumu dah
Nyumba za uswahili huwa hazifungwi milango mkubwa. Maana kila mtu anaingia kwa muda wake. Ndani kuna vyumba sita na kila kimoja ni familia tofauti tofauti.
Kuna umuhimu mkubwa kwa wanaohusika na ustawi wa jamii waanze kufundisha uadilifu na uaminifu zaidi ktk jamii kuliko kusubiri changamoto zitokee ndipo wazitatue.Enyi vijana acheni kuwa na moyo wa jeuri,mtafuteni na kuishi na Mungu daima atawapa mengi ya hekima na usahihi.
Aise kwa kwel Dominic namfaham tulsoma wote shule moja s/msing dodoma makulu alkuwa kanitangulia madarasa mawil na kwa tetes ninazo zpata muhusika nae nampata vzur tulsoma nae darasa moja na tulhtim nae mwaka mmoja mungu awapunguzie azabu ya kabur r.i.p Dominic au jongo
Kaka umetuacha na huzui leo hii juma umetuacha tena kaka ulikuwa unalia kwaajili ya dominick leo ni wew kweli duniani tunapita mungu ailaze Mahali pema peponi aminaa imeniumiza sana kifo chako kama ya domick kwli kizr hakidumu dah
Dooh!! ndugu yetu anae hojiwa nae amefariki Leo kwa Ajali Dodoma makulu 21/02/2023
Duh
Kwa kweli hili ni janga la Kitaifa. Mauaji kila kona! Tujitafakari kama Taifa, kwa nini Shetani katushika pabaya hivi?
Muuaji inaonyexha alikuwa na mwenyeji humo ndani km hakuwa na mwenyeji humo ndani aliingiaje ndani alimfungulia nani mlango
Nyumba za uswahili huwa hazifungwi milango mkubwa. Maana kila mtu anaingia kwa muda wake. Ndani kuna vyumba sita na kila kimoja ni familia tofauti tofauti.
@@Hamy1109 huo mtihani Sasa mm Huwa nafunga Hadi nasogeza viti mtu akigonga km hataji jina sifungui
@@Hamy1109 sawa mlango wa chumbni aliingiaj bila wao kuckia
Inaonyesha umo ndani Kuna mtu alikuwa anawasiliana na muuaji.inamaana alipita wapi kuingia ndani walikuwa awakufunga mlango wa nje??
Mnyamwez wetuuu jaman bad mdg wamekuua😭😭😭😭😭
Kuna umuhimu mkubwa kwa wanaohusika na ustawi wa jamii waanze kufundisha uadilifu na uaminifu zaidi ktk jamii kuliko kusubiri changamoto zitokee ndipo wazitatue.Enyi vijana acheni kuwa na moyo wa jeuri,mtafuteni na kuishi na Mungu daima atawapa mengi ya hekima na usahihi.
Jamani hao wwpangaji wenzie vipi walishundwa hata kupiga cm kwa ofisi za serikali jamani nyumba kubwa kama hiyo au walimwagiwa dawa za usingizi
Duuu hatali sana m/mungu zilaze roho zamarehem mahali pema peponi pola kwa familiya
masikitiko sana shetan anajiinua kwapamoja tumshinde shetan
Ila wanawake! Unajua kabsa unamahusiano na mtu wako Tena unaanzsha mahusiano na mwngne dawa ya Moto mi Moto
Wadada au tubadirike wanawake na ukimuacha mtu usimdhalau yule mwingne wanawake wanazingua japo na mimi mwanamke aisee
Mungu tusaidie 😭😭mauji yamekuwa mengi sana
Dah poleni sana wanangu wa boda wote nimeumia sana dalal jobu kufanya hyo kitendo hata kama ni demu wake huwez kuwa katili kias hcho
Kila siku mauwaji hayeshi wakati hatuna hofu yamungu
Daaah
Kuna mafunzo hapa. Wasichana jitambueni
Itakua mwanaume wa huyu bint ndo kaua
Wasichana muache umalaya tu haya ndio madhara yake
🙏
Mara nyingi watu wa namna hii ni wavuta bangi na wanywa pombe mtu wa akili ya kawaida sio rahisi kufanya kitendo kama hiko
Hakika
R.I.P WOTE
Wanawake mjifunze kupitia hili tukio. Kuna masomo mengi sana hapo.
Yawezekana kuna siri ndani ya pazia kuchukuliana wanawake au waume za watu mwisho wake ndio unakuwa mbaya
Kabisa.
😭😭😭😭🙏🙏
😭
wāgogo wāŋāpęŋdā ķųųā