UNYAMA ULIOPITILIZA: DADA WA KAZI ATOLEWA FIGO NA BOSS WAKE BILA KUJUA, SASA NI MLEMAVU KABISA..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • UNYAMA ULIOPITILIZA: DADA WA KAZI ATOLEWA FIGO NA BOSS WAKE BILA KUJUA, SASA NI MLEMAVU KABISA..
    Dunia si sehemu salama tena ya kuishi! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema, kufuatia mkasa wa kusikitisha wa mwanadada Judith Nakintu wa nchini Uganda, ambaye aliajiriwa kwenda kufanya kazi za ndani Saudi Arabia, Uarabuni, lakini mwisho akajikuta akitolewa figo yake bila ridhaa na mwisho akapooza na kurudishwa nyumbani kwao akiwa ni mtu mwingine tofauti kabisa!
    Mbali na kutolewa figo, kingine kinachosikitisha ni kwamba Judith amerejeshwa kutoka Uarabuni akiwa amepooza upande mmoja, hawezi tena kutembea vizuri kama ilivyokuwa mwanzo, hawezi kuzungumza vizuri kama ilivyokuwa mwanzo na hata uwezo wake wa kuwatambua watu, umepungua tofauti na mwanzo.
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
    ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

КОМЕНТАРІ • 510

  • @mutaladjasmini4815
    @mutaladjasmini4815 3 роки тому +27

    Allah yuko nayeye ndie Mkubwa atalipa In Sha Allah 😭😭😭😭🤲

  • @kisakim5660
    @kisakim5660 3 роки тому +5

    Nachukia sana kitu kinaitwa umaskini daah😭😭😭😭😭😭 pole sana dada Mungu atakulipia

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 3 роки тому +6

    Jamani kapata ukilema wa maisha pole Sana da Judith na pia poleni sana Wana family

  • @Thebaddest255
    @Thebaddest255 3 роки тому +25

    Mungu awasimamie mama zetu wanaohangaika kwaajili yetu

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 3 роки тому +19

    Allah atawahukum hapa duniani nakesho akhera wote walochangia uyo ukatili😭😭😭😭😭😭😭

  • @fatumahassan1357
    @fatumahassan1357 3 роки тому +40

    Hawa watu wabaya warabu walaniwe wala mungu atamlipia 🙏

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 3 роки тому +8

      Si Kila mwarabu mkorofi km ilivo si Kila mtu mweusi mkorofi hayo waliomfanyia Mungu atamlipia ila takriban ukatili km huu aweza fanya mwarabu mswahili na tunaona ktk jamiil zetu mna ukatili mkubwa waarabu hufanya ukatili pia waswahili au watu weusi pia hufanya km nikuapiza tuwaapize waliohusika na tendo hili usijumuishe watu wote

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому

      subhanallah subhanallah

    • @gloryidelya9899
      @gloryidelya9899 3 роки тому +1

      @@zahorsuleyman3429 Asilimia nikwamba Mwarabu Na weusi ndivyo ilivyo Roho zao nitofautu Utachekewa Tuu Machoni Ila Mioyo Yao tofautii Sisi weusi Sawa Unyama Pia Upoo but Ukoo hiyo ndio Uwarisia Waoooo Best Nikuwa Mkini Nao Tuu tunapo enda Tafuta Risk

    • @zahorsuleyman3429
      @zahorsuleyman3429 3 роки тому +3

      @@gloryidelya9899 Naona bado zigo la lawama walishusha upande mmoja haya mambo yapo mote ktk waarabu na waswahili kitu muhim tusitukane watu kw ujumla wao Kila mtu ana mapungufu yake

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 3 роки тому +1

      @@zahorsuleyman3429 haya majitu ni mashenzi tu hayana maana

  • @JudithKisusi
    @JudithKisusi 2 місяці тому +1

    Pole sana Judy,,,, nimeumia sana

  • @fatmamsiliwa8485
    @fatmamsiliwa8485 3 роки тому +6

    Mungu aliwashusha mitume ktk inch za kiarabu kwasababu aliwaona wakorofi roho mbaya yan kila sifa wanazo

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 3 роки тому +25

    😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭Mimi siongei k2 jmn, Mn bd nipo kwenye lmaya yao eheeeee Mola wngu tujalie sote tuliokuwa nchi za kiarabu, maskini judithi😭😭😭😭😭😭😭😭😭

    • @wanaupendotv7183
      @wanaupendotv7183 3 роки тому +2

      Amiina rabi

    • @khanifaally8752
      @khanifaally8752 3 роки тому +2

      Amiin

    • @sikujuasikujua9036
      @sikujuasikujua9036 3 роки тому +2

      Ndio mrudi makwenu mnaishi nawatu makatili Kias icho msha wajua bado manasuburi mpaka mfanyiwe unyama ndio muangalie njia ya nyumban

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 3 роки тому +4

      @@sikujuasikujua9036 ukatili ni wamtu binafsi na sio kabila mbona huko kwetu kila siku watu wanachinjana watoto wanaua wazazi wapenzi wanauana kwani ni waarabu? Ni kuomba Mungu tu.

    • @sikujuasikujua9036
      @sikujuasikujua9036 3 роки тому +5

      @@batulimabewa6953 hayo ya ukukwetu nivisa kulipizana visasi mapenzi naugumu wamaisha ndiomaana mauaji yanazd lakini uko uarabuni mtu mweus wanakuona kama mdudu ambaye hanathamani kwabinaadam wakaona waondio wanaofaakuishi kwa uzima nakumtoa mwenzao Figo onaanavyoteseka mpaka tumbolimekata Allah amlinde Judith

  • @ferouzmasoud4870
    @ferouzmasoud4870 2 роки тому +8

    Duuuuh inauma Sanaaa 😭 Dunia cyo mbaya ila binadamu ndyo wabaya Sanaaa 😭

  • @goodteam7890
    @goodteam7890 3 роки тому +34

    Jamani sio wote mi nipo oman miaka 9 sasa naishi vizuri sana na kila baada ya miaka 2 nakuja home tz likizo wamenijengea na nyumba tz ambayo wanaishi watoto wangu na wazazi wangu pia kutokana na kazi hii nasomesha wanangu mmoja yupo chuo udom na mwengine form 5. Ukatili upo kote sikatai warabu makatili wapo na wazuri pia wapo hali kadhalika kwa mataifa mengine ni hivohivo

    • @lovemwantiti8130
      @lovemwantiti8130 2 роки тому

      Kweli

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 2 роки тому +3

      Unajua kl kabila kuna watu wema na waovu. Ndio mana ALLAH aliumba pepo na moto. Aliwajua waja wake wengine sio wema.

    • @umfahad2609
      @umfahad2609 2 роки тому +2

      Ni kweli ndugu yng. Umeongea point. Kl sehemu wapo wema na wabaya. Namuomba ALLAH ampe uzima na afya huyu mdada. 😭😭

    • @patelekamagie8277
      @patelekamagie8277 2 роки тому

      Nitafutie namm bs ila niangalizie seem nzuri ambapo awatesi

    • @MariaKirusha
      @MariaKirusha 9 місяців тому +1

      Me ndomaan napnd Oman

  • @asha.mwambamwamba1774
    @asha.mwambamwamba1774 3 роки тому +10

    Jamanii nimeumiaa adinimelia nilitaka kwenda mungu alininusurishaa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому

      Saudi 🇸🇦hakufai ukitaka kwenda nenda nchi nyingine

  • @jointjoint4507
    @jointjoint4507 2 роки тому

    Pole ulipambana kwa ajili ya wanao mungu akupe nguvu na jua tumeacha watoto wetu si kama tunapenda ila nyakati tunazopita ee mungu tusaidiee

  • @wangadeche1179
    @wangadeche1179 3 роки тому +8

    😭😭😭😭I can't stop my tears knowing that am here in Saudi Arabia...what ahell that we are going through here🙆🙆 Soo many girls are out of there sense's being hidden inside those migration offices.. good job groble tv let's the world know the truth

  • @ayushsaeed1051
    @ayushsaeed1051 3 роки тому +4

    😭😭😭😭Daa pole my sister mungu atawahukumu kwa dhurma wanazizifanya

  • @abirhuwel5699
    @abirhuwel5699 3 роки тому +6

    Mungu atawalipia InshaAllah 😪

  • @tinangimba8909
    @tinangimba8909 3 роки тому

    Pole.mdogo wangu, hakimu ni mungu peke yake

  • @shehugakwaya71
    @shehugakwaya71 Місяць тому

    Mwenyezi mungu awape azabu kali Dunian na Akhera walio mfikisha katika iyo hali

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 3 роки тому +15

    Hawa watu wabaya wa kiarabu mlaniwe, Allah atawalipa kwa kile mnachokipanda. Dah! inauma sana😭.

    • @nunuodo3401
      @nunuodo3401 3 роки тому +1

      Amiiin

    • @johasaeed391
      @johasaeed391 2 роки тому +1

      Watu wabaya sana japo hawazidiani

    • @shekhazahran4608
      @shekhazahran4608 2 роки тому

      Ulaniwe ww kwanza mbwa we sio warabu wote shenzi hapa mara ngapi wanauliwa kutwa visa vya mauwaji n warabu hao uwe n adabu shenzi

    • @malugukushaha6764
      @malugukushaha6764 2 роки тому +1

      @@shekhazahran4608 akili yako ni fupi ndiyo maana unaongea ujinga.nani kakwambia waarabu wote, au huelewi maana ya waarabu ambao ni wabaya??.

    • @noortz9416
      @noortz9416 2 роки тому

      @@shekhazahran4608 tena mlaaaniwe mbwa nyinyi..mlaaniwe mlaaniwe...paka weupe wabaridi nyinyi kwahili mlaaniwe tuuu...

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 3 роки тому +5

    Subhannallah, mtihani kwakweli 😭😭😭

  • @fatumakwekwe3211
    @fatumakwekwe3211 2 роки тому +4

    May Lord Jesus heal you Amen

  • @sweetluc2660
    @sweetluc2660 3 роки тому +17

    Jamani nimelia Mimi hawa watu hivi kesho watajibu nini kwa Mungu

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому

      waarabu wanajua wakifa moja kwa moja pepon

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 2 роки тому

      So kweli so warabu wote wako hivvyo

    • @hamisaLbsi
      @hamisaLbsi 6 місяців тому

      Kwan hawa wanowatetea warab ndo mabwana senu au warabu ucheke nao 2 lkn asilimia 💯 wabaya sana

  • @safiyatheonlything7848
    @safiyatheonlything7848 2 роки тому

    Subhanallha pole sana daaah kuna warabu wengine mashetani allha atakulipia hapa hapa duniani hizo figo azito fanya kazidiwa lnshallha

  • @nasriabdi9046
    @nasriabdi9046 3 роки тому +2

    poleni sana ila inaumiza sana mungu yupo

  • @SamiHamood-x3b
    @SamiHamood-x3b 2 місяці тому

    Pole sana my sister kwel mungu atusaindie jmn😭😭😭😭😭😭

  • @waridyswaleh8843
    @waridyswaleh8843 2 роки тому

    Yaraby mwenyezimngu atuangalie sote tulo nje ya chi ze2 yaraby, kwani hatusafiri kwa raha ni dhiki tu jamn, 😭😭, subhanallah

  • @nunuuali5316
    @nunuuali5316 2 роки тому +3

    Hii dunia ina viumbe wana roho mbaya ajabu,YaAllah tusamehe Yarabii! Kuna vitu vinaumiza unaweza hata ukakufuru ila ipo siku. Allah yupo macho

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 3 роки тому

    Subhannahllah pole sana mpedwa Allah awaadhibu wote walio kufanyia ukatili huo.

  • @FaidhaHassan-o3c
    @FaidhaHassan-o3c 5 місяців тому

    Inauma saana mungu ata kulipia dadaanngu

  • @tatubadi9010
    @tatubadi9010 2 роки тому +1

    Nashkur mungu nimerud salama.. Nawaombea wote walioko uarabuni na nje ya uarabunni Allah awalinde mumalize mikataba yenu ilimurudi nyumban.. Allahuma ameen..

  • @MultiBice
    @MultiBice 7 місяців тому

    Pole sana dada nimeumia saana

  • @honeytabaybie5287
    @honeytabaybie5287 2 роки тому +1

    May God grant us🙏🙏

  • @noelamoshi8552
    @noelamoshi8552 2 роки тому

    Dah inauma Sana dah mungu simamia hili

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 9 місяців тому

    😭😭😭 namuomba Allah atulinde na kutusimamia ya'Rabby

  • @aminakhamis9734
    @aminakhamis9734 2 роки тому

    Mungu akusaidie nakushauri nenda Kwa Mwamposa nabii TZ kawe upokee uponyaji kiraisi

  • @consolatanechesa3004
    @consolatanechesa3004 2 роки тому

    Mbona watu hawana hutu aki mungu watia nguvu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @MareMa-kb3iy
    @MareMa-kb3iy 5 місяців тому

    Pole sana

  • @rukiyamohammed2945
    @rukiyamohammed2945 2 роки тому

    Pole sana Judith Allah atakulipia kila kitu

  • @sheryphamwenevalley6124
    @sheryphamwenevalley6124 3 роки тому +16

    hata huyo waliompa hiyo figo yako atadumu nayo kwa uwezo wa Mungu atakufa tu kwa uwezo wa Allah atateseka mpk kifo

  • @delishaluhyaqueen6950
    @delishaluhyaqueen6950 3 роки тому +1

    Hoooo i know this hospital king Fahad Saudi Arabia 🇸🇦🇸🇦 Quick recovery my God be with you 🙏🙏

  • @HappyBobsleigh-mn6sq
    @HappyBobsleigh-mn6sq 8 місяців тому

    Pole sana dada mungu. Atakulipa kwa ukatili walokufanyia

  • @mwanaishaalfan3145
    @mwanaishaalfan3145 2 роки тому +2

    Allah ndie atakae kuukumia malipo ni apa apa duniani😢😢😢

  • @latifaalsh5421
    @latifaalsh5421 3 роки тому +3

    Subhanaallah 😭😭😭😭bc kutoa hata wafanye taratibu wa kaamua kumtia ulema wa maisha ehee mungu wangu 😭😭😭😭😭

  • @SamsungA-sq9pi
    @SamsungA-sq9pi 3 роки тому +4

    Mungu atulinde

  • @kakakakabeka624
    @kakakakabeka624 2 роки тому

    Pole dadangu mungu akutangulie utapona.

  • @saumsaum1916
    @saumsaum1916 3 роки тому +20

    Sala 5 wanaficha mambo yao huku ni shida

    • @saimarmuhsin9578
      @saimarmuhsin9578 3 роки тому

      Usinasibishe sala 5 na matendo ya mtu my uislam umekamilika ila waislaam hawajakamilika hao ni roho mbaya zao tu na hasad walizonazo

  • @oman7710
    @oman7710 3 роки тому +1

    Subhanallah

  • @rosemzava5149
    @rosemzava5149 2 роки тому

    Mwenyezi mungu akuponye dada 🙏

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon81 2 роки тому

    Ila waaabu mna roho mbaya, Mungu atawaraani, Mungu akuponye Judith

  • @waheedahtanzania4912
    @waheedahtanzania4912 3 роки тому

    Subhanallah 😭 Mmhu hata nashindwa kucoment

  • @salimumohammedsalimu1720
    @salimumohammedsalimu1720 2 роки тому

    Sio poa noma sana

  • @airinsumeno2490
    @airinsumeno2490 3 роки тому +1

    Kama 😭😭😭😭😭

  • @jumakalukule5312
    @jumakalukule5312 3 роки тому

    Pole sana ant m/mungu atakulipa warabu wanaroho mbaya sana kuliko weupe wote wamejifichia kwenye dini

  • @regganjohnmassawe5937
    @regganjohnmassawe5937 3 роки тому +2

    Ee..Mwenyenzi Mungu angalia waja wako😭😭🙏

    • @eshasozy69
      @eshasozy69 3 роки тому

      Amiin mgu atatufanyia wepesi lnshaallah 🙏🏻🙏🏻xana

  • @TatoIssa-w3q
    @TatoIssa-w3q 3 місяці тому

    Mtihani.wallaj

  • @GfgGgh-v5z
    @GfgGgh-v5z 9 місяців тому

    😭😭 Subhana Allah pole sana dada

  • @Sashafadhili-z2q
    @Sashafadhili-z2q Місяць тому

    Banange 😭😭😭😭

  • @JAMESMINJA-k8v
    @JAMESMINJA-k8v 21 день тому

    this is total painful

  • @amosmwampamba6914
    @amosmwampamba6914 3 роки тому

    Mungu akufanyie wepesi mungu yupo

  • @phibijuilus7748
    @phibijuilus7748 3 роки тому

    😭😭😭😭😭pole sana judhith

  • @GiftIddy-k2f
    @GiftIddy-k2f 7 місяців тому

    MH 🤲🤲🙏

  • @meybukmgahi4427
    @meybukmgahi4427 2 роки тому

    Dah 😔😭

  • @umlubnaalisali9366
    @umlubnaalisali9366 3 роки тому

    Jamani inauma sana

  • @nasrasaid6672
    @nasrasaid6672 3 роки тому +11

    Yani uku ni kuomba mungu tu hawa watu ni wabaya ni mungu tu atusaidiye lakini

    • @batulimabewa6953
      @batulimabewa6953 3 роки тому

      Yaani we acha tu Mungu atusaidie

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 3 роки тому

      😭😭😭😭😭

    • @asmasalum675
      @asmasalum675 3 роки тому

      Yaani. Ni. Nkweri. Awa. Watu. Wanaswali. Tu. Ndg. Lakni. Wee. Jamani. Wana. Loho
      Mbaya. Vbaya. Sana. Machoni
      Watu. Moyoni
      Mwao. Wana. Looza. Kishetani. Sana. Yaani. Namshukuru. Mungu. Sanasana bado. Kama. Wiki 2 mungu akipenda. Kwenye. Uzima naludi. Tzn nawachukia. Sana ili. Daah kote. Ni ktafta. Maisha Tu. Wao.mbona wanaenda. Kwawenzao. Kfanya. Kazi

  • @mwanamisakulembwa1147
    @mwanamisakulembwa1147 2 роки тому

    😭😭😭 subhallah yarabb.

  • @husnamanase3943
    @husnamanase3943 3 роки тому

    Pole sana judi mungu atakulipa nawalahani sana walio leta ugojwa huu nanchi zote wanao kubali chanjo kwanini hawakuleta chanjo yakansa au ukimwi kwanza kisha ndo covdi kwaiyo covdi dougojwa unao uwa kuliko magojwa yote hapa ripiani ata chizi kwahaya anajua Kama kuna muchezo duniani wakibiashala bila kuficha ndivyo ilivyo

  • @mahanjisanga3077
    @mahanjisanga3077 3 роки тому +1

    Jamani umaskini huu

  • @AthanasPatrick
    @AthanasPatrick 9 місяців тому +2

    Bora ukatili wa muzungu siyo mwarabu

  • @rozina2161
    @rozina2161 2 роки тому

    Jamani Oh. My God guard us here in saudia

  • @chrispinboniface3329
    @chrispinboniface3329 3 роки тому

    Daaaaa so sad,,,

  • @janetmochache3598
    @janetmochache3598 2 роки тому

    May almighty God heal.

  • @irankundaanitha585
    @irankundaanitha585 3 роки тому +1

    Oman mwaka jana mwezi wakumi na moja mdamda mmoja na yeye ametolewa maiti waripo mpereka hospital ili wafanye uchunzi warikuta warimchomowa roho 😭😭

  • @mndeyefatuma5335
    @mndeyefatuma5335 2 роки тому

    So much sad 😭

  • @patriciaschmidt2618
    @patriciaschmidt2618 2 роки тому

    Qr..and Blessings from Germany 🙏😥🤲

  • @mlekwaautomotive1508
    @mlekwaautomotive1508 2 роки тому

    Eeeh mungu tunusuru yaarabi

  • @lidiyakadada778
    @lidiyakadada778 2 роки тому

    Mungu wangu musaidiye mwezetu

  • @jullyjudy4962
    @jullyjudy4962 2 роки тому

    So painful ,nko Saudi Arabia Riyadh mungu atusaidia tu

  • @Amylotu
    @Amylotu 3 роки тому +15

    Mungu halali, atamlipizia tuu. Waarabu ni watu wabaya sana. Hata wakenya wengi wanapoteza maisha Yao siku Hadi siku.

    • @binaljabirmshihirzanzibar8369
      @binaljabirmshihirzanzibar8369 3 роки тому

      Allah ataleta kher yake inshaallah kher na atamuoneshaa inshaallah huyo boss wake

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 3 роки тому

      haswa wakenya wengi hurudi maiti

    • @jaliakamote5485
      @jaliakamote5485 2 роки тому

      Wa afrika tuzinduke turidhike na vipato vya nchi zetu.

    • @niasharma7735
      @niasharma7735 2 роки тому +2

      But sio wote warabu watu wabaya

    • @mwanaherhussani7425
      @mwanaherhussani7425 2 роки тому +1

      Nani kasema wewe usionge usilo lijia mbona Sisi tunawo warabu na hakuna kitu kama hicho Acha umbeaa

  • @veronicaoman8764
    @veronicaoman8764 2 роки тому

    Mtihani bila pepa

  • @faridaiddi104
    @faridaiddi104 2 роки тому

    Cjui twende wapi😭😭😭🙆🙆

  • @salvatoremathias1227
    @salvatoremathias1227 2 роки тому

    Warabuu sio watu wanaroho mbaya sana pole dada

  • @beatricendelwa7543
    @beatricendelwa7543 2 роки тому

    Jamani mwee

  • @lucymwenje3104
    @lucymwenje3104 2 роки тому

    It's good imefwatiliwa and justice she got....may you be healed sister in jesus's name

  • @lwanjiedna5233
    @lwanjiedna5233 2 роки тому

    God help us

  • @سعيدالراشدي-ش9ص
    @سعيدالراشدي-ش9ص 2 роки тому

    Subuhanallah

  • @abbasbakary3491
    @abbasbakary3491 3 роки тому

    Mungu tulinde

  • @suzanpatrick9380
    @suzanpatrick9380 2 роки тому

    It's so sad jmn Mwenyez Mungu na akutunze tyu

  • @umfahad2609
    @umfahad2609 2 роки тому

    Kwanza natoa pole saana kwa huyu dada na wazazi wake. Namuomba ALLAH ampe uzima na afya, ili aweze kulea wtt wake. Na kuhusu waarabu ni wabaya. Sio wote. Kl kabila wapo wabaya na wema. Ndio mana ALLAH alituandalia pepo na moto. Sbb aliwajua viumbe wake. Wapo wema na waovu, na makatili. Mungu awalani kl mwenye ubaya na binadamu mwenziwe. Ukatili na mauwaji upo kl sehemu. Tunamuomba ALLAH atulinde na watu km hawa.

  • @elizabethkamau8765
    @elizabethkamau8765 2 роки тому

    Mungu amu ponye

  • @Leahmjohn
    @Leahmjohn 3 роки тому

    Very sad

  • @mummymulla7570
    @mummymulla7570 3 роки тому +1

    weeeeeh naijua hiyooo

  • @tatuomary2008
    @tatuomary2008 2 роки тому

    Kuna watu ni wanyama jmn eeh mungu tusimamie 😭😭😭😭🙏

  • @SUZANAYAHAYA-sw6kr
    @SUZANAYAHAYA-sw6kr 2 місяці тому

    jamani nyie duu!!😢

  • @roselambert6700
    @roselambert6700 3 роки тому +3

    Mbaya sana jamani

  • @peteryukunda9239
    @peteryukunda9239 3 роки тому

    Mungu tenda haki.

  • @matatomlik1846
    @matatomlik1846 3 роки тому +1

    Subuhanna llah 😭😭😭

  • @naketizainabu7803
    @naketizainabu7803 3 роки тому +1

    Ooh my God 😭😭

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 3 роки тому

    Mtihani mkubwa mungu. Atunusuru ishaalah. Na mtihani huo

  • @tatuluanda6581
    @tatuluanda6581 2 роки тому

    Subhanalaa yarrab tunakwenda wapi

  • @isaacimbisi9696
    @isaacimbisi9696 2 роки тому

    Ni mbaya Sana