Mungu akusaidie baba angu uyo mwanamke aliyezaliwa na mwanamke muachie Mungu Sali moabidhi Mungu Kila kitu. Utakuja kumshuhudia na wale mashahidi wa uwongo wote utawashuudia amini ilo. Kwa Mungu haki zote zimeifadhiwa baba.
Mungu atakulipia Dua ya Madhlum hujibiwa kwa haraka lakini kwa haraka urudi kwenye Dini yako kwa imani. Mnafanya mchezo kuoa na kubadilisha Dini. Fanyeni michezo yenu yote msicheze na Dini.
Ila mapenz yakiisha jmniiiiiiiiii 💔😢😢 Pole sana Mzee ukwel wako anaujua Mwenye enz Mungu ila tu nikwambie dunian kupata haki ni ngumu mtegemee Mungu tu mali ni kitu cha kupita tu Bora uhai wako
Kumbuken dunia tunapita tu namali siyo zetu vyote ni maua ya mwenyezi mungu nass anatutumia tu kuvitafuta na kupendezesha dunia yake pea anaweza kuvichukua akiamua hivyo we mama uszan utajir unaolilia niwa muhimu kuliko ubinadam
Hata juzi mwezi huu April tarehe 27 kunajamaa amefanyiwa ivi ivi na mwanamke Polisi wa pale Songea mjini nanipolisi pia sijui hizi Mali za hii Dunia zitawapeleka wapi Hawa watu WP wajitafakari sana Jamani jamani Mungu wa Mbinguni anawaona tafuteni ya Mungu hii dunia mtaaviacha vyote chini ya ulimwengu
Rudi kwa mungu wako uliyoyafanya ndio.mungu anakulipa umeacha dini yko ya haki umesaliti kwa ajili ya mapenzi kwa tubu kws mungu wako akusamehe yote yatakua sw kwa uwezo wa allaah hukuwa na imani ya dini yako ya Uislam Pole san kakasngu
Masikini mama Tz, nimeumia sana. Wanao tumeshafika hapo! Ziko wapi zile sifa zako za amani na utulivu, ambavyo ni asili, na jadi yako? Uko wapi moyo unaweza kuvumilia dhuluma, na ukatili kama huu, na bado tukabaki ndugu, kama ulivyotulea?
Pole kaka Mungu si kiziwi na wala hana upendeleo na haonei mtu. Ila anatwambia adui yako mwombee, maana kwa kufanya hivyo unampalia makaa ya moto kichwani.
Hatari sana, Kumbe ni kweli watu husema, raia wa kawaida usioe polisi, utajuta. Baba ukiweza hama usiishi nae jirani anajambo huyo. Mungu awe nawe.Glory be to God.
Kama hawajafa wote hao dhulmati watalipwa mmoja baada ya mmoja.Hizi ndizo mahakama zetu na watoa haki wanaotegemewa,pepo ya Mungu nahisi haitakua na hawa watu wanaoitwa watoa haki. Vuta subra Mzee Mungu halali utauona mwisho wewe amka kila usiku wa manane kilio hicho kibadilishe kuwa ibada mlilie Mungu atakujibu kwa namna bora
Sheria Iko wap inakanyagwakanyagwa tu tutaishi wapi ss kama mahaka hazitoi haki?? Pole Sana Mzee wangu mm ushauri wangu kashtaki msikitini kwaidadi ya misikiti utayojaghaaliwa kutoa taarifa ifanyike Dua ya wengi hakika mwenyezi mungu ndie mjuzi 😢😢 naamini lolote laweza kutokea jema kwako wabillah twaufiq
Mungu n mwaminifu pole sana baba Mungu yupo amesikia kilio chako serikal itakusaidia pia huku tulioguswa tunakuombea kila kitu kutakuwa Sawa Mungu n mwaminifu na Ndio maaan kila kesi hakupati anavyotaka yeye uwee dah uyo mama atapata alichokivuna Mungu yupo haki ya Mungu naapa utapata haki yako 🤲🙏
Mzee ulikosea kosa kubwa sana la kubadilisha dini ! Hayo yote yanayo kukuta ni kwa sababu ya kubadili DINI. Fanya shime kurudi kwenye dini yako. Koran haikucha kitu kwa hao manaswara. Umeyataka mwenyewe kwa hiyo basi usimuombe msaada Raisi wala mtu yeyote. Muombe sana MwenyeziMungu peke yake . MwenyeziMungu akunusuru inshaallah.
Dini hizi mbili ni utumwa wa akili..ni wengi wamepitia mambo mazito zaidi na hakuwa wamehusika na dini yeyote..wengini wako kwa dini zao wamefata kikamilifu na bado wamekuwa au wako kwenye mapito mazito sana. Hebu waafrika tujinasue kutoka kwa utumwa. Utumwa ulianza na waarabu halafu wakafata wazungu na moaka leo hatujiulizi kwanini sisi tunafata dini za watu ambao walikuja watukuta kwetu tukiwa tunamjua Mungu. Pili hakuna bara lingine duniani ambayo inaafata dini ya kuletewa. TULILOGWA NA NANI SISI ??
Dah Mungu wa mbinguni akupe nguvu baba huyo mama hakukupenda alipenda Mali zako inauma kwakweli hakika ni bora ukosee kujenga nyumba kuliko mke au mume Allah atujalie tukutanae na watu watakaotupenda kwa dhati
Magu angkuepoo jmnii ungeskia naomba uyu baba asikilizwe 😢 uwiii kun watu wanakuag Yan kam vile hawan moyo kabsa uwiii maskinii jasho lako linakuangamiza🙌🙌
Pole Sana.wanaume mkipata fedha fanyeni mambo yenu wenyewe.Wanawake wamezoea kutawaliwa na kumilikiwa.mwanamke anapenda kutumia vya mwanaume Ila akiwa na uwezo kuliko mwanaume lazima amnyanyase
Nimepitia mengi sana na hawa wanawake ndio maana sitaki hata kusikia kitu kinachoitwa ndoa, Mungu anisamehe na namshukuru kwa kunipatia watoto hiyo tosha kabisa kwangu. Kwa kizazi hiki ndoa ni ngumu sana.
Mnafanana wote..wanaume tuko wakati mgumu..kuoa mwanamke wa kufaa mama watoto ni game of chance.. nafasi kubwa za utawala TZ mnazo, bado mnadai upendeleo.. Nampa pole huyu shujaa..ndiyo,ni ushujaa kutoka hadharani kueleza hayo
Sasa ktka maelezo y huyu ndgu yangu, awali waliponunua shamba hakumshirikisha m/kiti wa kijiji? Na kwa hali hiyo hakupewa hati ya kijiji ya kumiliki shamba hilo? Hati hiyo ingemsaidia sana kama ipo. Kama nayo hana, kwa mwendo wa dhuluma ya dunia ya sasa,asitegemee huruma ila maumivu zaidi! Pole sana.
Bw. Kipa, kama nyumba za Dodoma na Morogoro zipo upande wako, basi muachie cho chote anachogombea. Ishi kwa kutegemea hizo nyumba 2. Mali ni ya dunia hii, haitamsaidia, ina machozi ya kweli. Muombe Mungu akupe uzima tu na uhame msionane na hilo jambazi. Muachie hiyo mali, wala haitafika saa 12, utakuwa umepata matokeo. Narudia tena muachie hiyo HAKI yako aimeze iwe ndoano kooni.
Mama samia suluhu hasan nakuita ×3 tunakuomba kwa heshima yako na kwa upendo wa mungu umsaidie huyu baba kuweza kufanikiwa haki yake ipatikane ni mimi mkizimkazi mwezio by sada mohd
BREAKING NEWS! USIKUBALI KUPITWA na HABARI ZA GLOBAL TV. JIUNGE na WhatsApp Group Now: chat.whatsapp.com/Kh8n9Xk0OWJ0bE75nzavlm
Habar
@@shebbymusic6224 N nzur
Mahakama zetu zinatuumiza Kila Leo jamani hizi haki zetu yutapewa na nani?
Mungu lazima akulipie HAPA duniani
À11q@@ayshamahariq6665
Ifike wakati tuwe tunautambua uwepo wa mungu ktk maishayetu ili tusipate ujasir wakunyanyasa watu jmn hiidunia niajabu sana
Mungu akusaidie baba angu uyo mwanamke aliyezaliwa na mwanamke muachie Mungu Sali moabidhi Mungu Kila kitu. Utakuja kumshuhudia na wale mashahidi wa uwongo wote utawashuudia amini ilo. Kwa Mungu haki zote zimeifadhiwa baba.
Mungu atakulipia Dua ya Madhlum hujibiwa kwa haraka lakini kwa haraka urudi kwenye Dini yako kwa imani. Mnafanya mchezo kuoa na kubadilisha Dini. Fanyeni michezo yenu yote msicheze na Dini.
Mshitakie kwa Mwenyezi Mungu. Ataku tetea
Sijawah kumuona baba angu sijawah feel ulebupondo wa baba ila hii stor ya huyu mzee imeniliza sana wallah
Ila mapenz yakiisha jmniiiiiiiiii 💔😢😢
Pole sana Mzee ukwel wako anaujua Mwenye enz Mungu ila tu nikwambie dunian kupata haki ni ngumu mtegemee Mungu tu mali ni kitu cha kupita tu Bora uhai wako
Kumbuken dunia tunapita tu namali siyo zetu vyote ni maua ya mwenyezi mungu nass anatutumia tu kuvitafuta na kupendezesha dunia yake pea anaweza kuvichukua akiamua hivyo we mama uszan utajir unaolilia niwa muhimu kuliko ubinadam
Wallahi pole sana baba yani hukiona mwana mume yuwalia juwa ameumia sana rudi kwa mola wako kilio chako milie Allah atakujibu in shallah
Pole xn Bab yangu aisee mungu atakulipia ... Inaumiza xnaaaa pole daah
pole sana baba yangu ningekua nauwezo ningekuchukua maana mi sina baba
Wapo wanawake wengi wananyanyasa wanaume ,wanaume wamedhuliwa wamenyangajywa watoto na hawana pakukimbilia
Hata juzi mwezi huu April tarehe 27 kunajamaa amefanyiwa ivi ivi na mwanamke Polisi wa pale Songea mjini nanipolisi pia sijui hizi Mali za hii Dunia zitawapeleka wapi Hawa watu WP wajitafakari sana Jamani jamani Mungu wa Mbinguni anawaona tafuteni ya Mungu hii dunia mtaaviacha vyote chini ya ulimwengu
Rudi kwa mungu wako uliyoyafanya ndio.mungu anakulipa umeacha dini yko ya haki umesaliti kwa ajili ya mapenzi kwa tubu kws mungu wako akusamehe yote yatakua sw kwa uwezo wa allaah hukuwa na imani ya dini yako ya Uislam
Pole san kakasngu
Hata hastahili pole mshenzi huyu
Eti dini ya haki khaaa😂😂😂 hv kuna dini ya haki Zaid y Imani yako ww na Mungu wako
Kumbe Dini
@@princematumbokuma la mama ako
😢 Subhana Allah pole sana baba Allah atakulipia kwa hili dhulma alokufanyia huyo mwanamke mpumbavu sana
😭😭😭 Subhana Allah baba umeniliza sana mali ulochuma wewe leo zinakutesa pole sana kwa dhati ya moyo
Pole sana babangu,,mwenyezi mungu anajibu kwa wakati na malipo yake ni hapa hapa dunianj,,mungu atakusaidia ,,utapata haki yako,,dahh so sad kwa kweli
Masikini mama Tz, nimeumia sana.
Wanao tumeshafika hapo! Ziko wapi zile sifa zako za amani na utulivu, ambavyo ni asili, na jadi yako? Uko wapi moyo unaweza kuvumilia dhuluma, na ukatili kama huu, na bado tukabaki ndugu, kama ulivyotulea?
Mungu atalipa chozi la Mnyonge halipotei bure Ila mzee kosa kumkabizi mali Asimamie mwanamke
😢😢😢malipo duniani atalipwa tu uyo mwanamke kwa njia yoyote
Duuuuuh kunabaadhi yawatu nikatili sana. Mshukuru mungu uko hai kaambali nahuyo mwanamke
Subhana ALLAH, Pole Sana kakangu ALLAH atakulipia, ila mwanamke mwenzangu ubabe hauna nafasi katika hii dunia yataja kukutokea puan hayo
Duh mateso Pole sana kaka Hongera kwa ustamhimirivu MashaAllah.
Pole Sana mzee mungu atakulipa uskate tamaa haki yako ipo itachelewa lakin utspata
Mungu atamlipa hapa duniani
Pole sana! Nguvu za giza zipo, pole sana. Jitahidi ufanye maombi!
pole sana baba Mungu atamuhukumu hapa hapa duniani namachozi yako hayatapotea
Subhana Allah
Astaghafirullah
Pole sana baba
Allah ni mjuzi zaidi haki yako haitapotea
Pole sana babu angu
Pole sana mzee, ukikosea kuoa ndio hivo
Wanaume tujifunze.....
Pole baba mungu yupo hivyo ni vitu vya duniani vyote tutaviacha,,mungu wako yupo
Pole baba malipo Ni hapa hapa duniani kwa mungu Ni hesabu tu muombe mungu na umlilie atamlipa
Pole sana ulikosea kuoa mke mwenye tamaa mbaya sheria ifate aki
pole sana baba jamani kunawanawake wanaroho mbaya sana Malipo nihapahapa duniani usjali ubaya unamwisho wake
Huyu mwanamke ni zaidi ya ibilisi aise, Hana utu wala khofu ya mungu hata kidogo mungu amlipe anachostahili hapa hapa Dunia kwanza
Pole kaka Mungu si kiziwi na wala hana upendeleo na haonei mtu. Ila anatwambia adui yako mwombee, maana kwa kufanya hivyo unampalia makaa ya moto kichwani.
Hatari sana, Kumbe ni kweli watu husema, raia wa kawaida usioe polisi, utajuta. Baba ukiweza hama usiishi nae jirani anajambo huyo. Mungu awe nawe.Glory be to God.
Jamani Roho inauma sana
Kama hawajafa wote hao dhulmati watalipwa mmoja baada ya mmoja.Hizi ndizo mahakama zetu na watoa haki wanaotegemewa,pepo ya Mungu nahisi haitakua na hawa watu wanaoitwa watoa haki.
Vuta subra Mzee Mungu halali utauona mwisho wewe amka kila usiku wa manane kilio hicho kibadilishe kuwa ibada mlilie Mungu atakujibu kwa namna bora
Sheria Iko wap inakanyagwakanyagwa tu tutaishi wapi ss kama mahaka hazitoi haki?? Pole Sana Mzee wangu mm ushauri wangu kashtaki msikitini kwaidadi ya misikiti utayojaghaaliwa kutoa taarifa ifanyike Dua ya wengi hakika mwenyezi mungu ndie mjuzi 😢😢 naamini lolote laweza kutokea jema kwako wabillah twaufiq
Mungu n mwaminifu pole sana baba Mungu yupo amesikia kilio chako serikal itakusaidia pia huku tulioguswa tunakuombea kila kitu kutakuwa Sawa Mungu n mwaminifu na Ndio maaan kila kesi hakupati anavyotaka yeye uwee dah uyo mama atapata alichokivuna Mungu yupo haki ya Mungu naapa utapata haki yako 🤲🙏
nakupongeza sana mwandishi kwa utulivu na umahiri mkubwa wa interviw hii
Yuko vizuri
Pole Sana bro ndio maisha ila muombe mungu Nina hakika hski HAIPOTEI RUDI ktk Imani ya dini ULIOKUWA MWANZO nnina hakika kazi itakua ngumu kwake
Uwiiii leo umenifundisha kitu kumbe kuoa hao watu ni hatari.😢😢😢😢eeeeh jamani yaani MUNGU ASIMAME MWANADAMU ASIPATE NGUVU.
Imeniuzunisha sana jamani pole sana baba yangu Mungu akutie nguvu ww mama kua na huruma vitu vya kupita hivyo
Mungu atalimpa mzee wangu kua na aman pole sana
Pole.sana.kaka
Pole sana baba
Duu Pole sana kaka kipa nimefanya kazi na wewe delina na kiasi mapito yako nayafamu Pole kaka yangu nimelia sana
Kaka hakiyako iko tu haitapotea mungu atasimama nawewe daima dhulma haidumu itamtesa tu
p0resana baba
Polee
Sanaaa kaka mpakachozi limenitoka naomba serekali kuu imsaidiee huyu baba
Mungu ataingilia kati haki itapatikana inshallah
Mzee ulikosea kosa kubwa sana la kubadilisha dini !
Hayo yote yanayo kukuta ni kwa sababu ya kubadili DINI.
Fanya shime kurudi kwenye dini yako.
Koran haikucha kitu kwa hao manaswara.
Umeyataka mwenyewe kwa hiyo basi usimuombe msaada Raisi wala mtu yeyote.
Muombe sana MwenyeziMungu peke yake .
MwenyeziMungu akunusuru inshaallah.
Mawazo yako tu
Dini hizi mbili ni utumwa wa akili..ni wengi wamepitia mambo mazito zaidi na hakuwa wamehusika na dini yeyote..wengini wako kwa dini zao wamefata kikamilifu na bado wamekuwa au wako kwenye mapito mazito sana. Hebu waafrika tujinasue kutoka kwa utumwa. Utumwa ulianza na waarabu halafu wakafata wazungu na moaka leo hatujiulizi kwanini sisi tunafata dini za watu ambao walikuja watukuta kwetu tukiwa tunamjua Mungu. Pili hakuna bara lingine duniani ambayo inaafata dini ya kuletewa. TULILOGWA NA NANI SISI ??
We kama huna unalo liwaza nibora upite tuu
Hauna akili
Mtumwa wa tamaduni za waarabu
Wanawaoneni watumwa manyani weusi mnawashangilia
Ovyo
Hasbiyallahu waneemal wakeeel
Pole sana
Na Sheria zetu TZ kwa upande wanaume huwa wanaonewaa jamani, tumwogope mungu
kinawanawake wanarohooo mbaya sana kama wachawii tu
Hatusikii sauti iko juu sana ya mziki
Pole mzee mwenzetu, ulikuwa unaishi na jini mtu
Hoo I'm so so sorry but it seems that the man is old than the wife , but mey God be with you
Pole bb hilo chixi unalolitoa mungu atakulipia
Pole brother hawa askari depo huwa wanaenda kufundishwa manyanyaso Kwa raia
Bro polesana
Mwenyezi atakufanyia wepesi uyo mama akae akijua Dunia hii tunapita atapigwa na mungu mwenyewe siku isiyokuwa na jina
Jaman Sisi wanawake tufike Mahal tubadilike jaman sad kwakwel .... huko uliko Mungu ana kuona
Pole sana mze wangu changamoto za wanawake zimekuwa nyingi sana ila inauma sana da😭😭
Jamani inauma pole sana kaka
Pole mzeewangu mwaminimungu
Dah Mungu wa mbinguni akupe nguvu baba huyo mama hakukupenda alipenda Mali zako inauma kwakweli hakika ni bora ukosee kujenga nyumba kuliko mke au mume Allah atujalie tukutanae na watu watakaotupenda kwa dhati
Uyo mama mwenyezi mungu ampe maradhi ambayo yatamfanya ajute kwa upumbavu na tamaa alizo zifanya Kama hatakufa vile?
Magu angkuepoo jmnii ungeskia naomba uyu baba asikilizwe 😢 uwiii kun watu wanakuag Yan kam vile hawan moyo kabsa uwiii maskinii jasho lako linakuangamiza🙌🙌
Pole sana ndg angu hao ndio wanawake tuishi nao kwa akili
Mrudie mungu wako
Umemkosea ALLAH
Anastahili kabisa yalomfika, mshenzi sana
Upuuzi huu
Mungu hana dini
Ni upwiru wa akili huu
Pole sana mzee
Pole kuoa afande
Pole Sana.wanaume mkipata fedha fanyeni mambo yenu wenyewe.Wanawake wamezoea kutawaliwa na kumilikiwa.mwanamke anapenda kutumia vya mwanaume Ila akiwa na uwezo kuliko mwanaume lazima amnyanyase
Eh!! Ni kweli kabisa dadangu
Hili ni fundisho kwa vijana wa kiume ambao hamjaoa: ogopeni kuoa Wanawake ma Polisi. Hawa wanafaa waolewe na ma Polisi wanaume.
kwanza ukitaaka stress oa hao askari kwani si mkeo peke yake hadi mabosi zake watakulia maana kule ni amri tu hawakataagi
@@d15355hamnakitu kama hicho hakuna amri kwenye mambo hayo
Watu wanaangainga na dunia 😢😢😢😢
Nimepitia mengi sana na hawa wanawake ndio maana sitaki hata kusikia kitu kinachoitwa ndoa, Mungu anisamehe na namshukuru kwa kunipatia watoto hiyo tosha kabisa kwangu. Kwa kizazi hiki ndoa ni ngumu sana.
Hana roho mbaya tu
Kaka Kama umeniona vile,, yaan staki kuskia Wala kuambiwa,,,
Tuishi 😂😂tyu kuoa hapana
Simlizi ya huyu mzee wanaume wengi wanalizwa Sana wamama muwe na huluma na watoto wawanwake wezenu
Subhanallah wanaume muagaliaga wanawake wakuowa tatizo mnafagamia wanawake
Mnafanana wote..wanaume tuko wakati mgumu..kuoa mwanamke wa kufaa mama watoto ni game of chance.. nafasi kubwa za utawala TZ mnazo, bado mnadai upendeleo.. Nampa pole huyu shujaa..ndiyo,ni ushujaa kutoka hadharani kueleza hayo
Dah! Wanawake!!!
@@josephlorri431 we usitujumuishe kwenye ujinga kwahiyo unataka kusema tz hakuna wanawake tulokuwa natabia nzuri
@@maryamudunga1094 njoo nikuoe ila mpaka boksa zangu nitaandika majina ya ndugu zangu
@@Pedeshee01. Hufai kuoa kaa mwenyewe uoe alafu akili inaishi na nduhuzo kaa na ndugu zako inayosha
Pole sana baba, wanaume ndo tunapitia magumu
Pole sana baba MUNGU atakuacha
Mzee una uvumilivu sana sana ni wanaume wachache sana wanaoweza kuvumilia hayo.Huyo mama hata kazini kwake ana matatizo
Pole Sana Baba Mungu atakusimamia hayayote yatapita usiogope Mungu atkua upande wako Sheria duniani haki kwa Mungu
Hayo machozi unayotoa yatalipa baba mueke mungu mbele 😭😭😭😭
Ndiyo maana watu wa zamani walikuwa wanapeleleza kwanza familia unayoenda kuoa au kuolewa je wana utu?????
Sasa ktka maelezo y huyu ndgu yangu, awali waliponunua shamba hakumshirikisha m/kiti wa kijiji? Na kwa hali hiyo hakupewa hati ya kijiji ya kumiliki shamba hilo? Hati hiyo ingemsaidia sana kama ipo. Kama nayo hana, kwa mwendo wa dhuluma ya dunia ya sasa,asitegemee huruma ila maumivu zaidi! Pole sana.
Mwanamke ana roho mbaya dah 😢😢
Bw. Kipa, kama nyumba za Dodoma na Morogoro zipo upande wako, basi muachie cho chote anachogombea.
Ishi kwa kutegemea hizo nyumba 2. Mali ni ya dunia hii, haitamsaidia, ina machozi ya kweli. Muombe Mungu akupe uzima tu na uhame msionane na hilo jambazi. Muachie hiyo mali, wala haitafika saa 12, utakuwa umepata matokeo. Narudia tena muachie hiyo HAKI yako aimeze iwe ndoano kooni.
Ndio myaone 😮mkiambiwa wananyanyasa wanaume mnawatetea imauma sana😮
Mungu hulipa kwa haki kama usemayo ni kweli machozi yako hayataenda bure
Mama samia suluhu hasan nakuita ×3 tunakuomba kwa heshima yako na kwa upendo wa mungu umsaidie huyu baba kuweza kufanikiwa haki yake ipatikane ni mimi mkizimkazi mwezio by sada mohd
Pole sana kaka Mungu atakusaidia
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi upate haki zako.huyo mkeo na Mamba mla Watu
Mungu.atakulipa.tu
Naomba namba ya huyo mzee
Kaka endelea kuomba mungu..iko siku utayasahau hayo.maana mungu wa sasa iv ni kijana..pole sana ndio maana wengine wanauwa
Hapa duniani tunapita
Mwachie mungu huyo mwanamke yatamkuta dhuruma mbaya mwanamke kaudhu mkavu kweli kweli
Yaniii utadhan hajazaa nae😢😢
Wanawake jaman😭😭😭😭 tuwe na huruma 😭😭😭😭😭😭😭😭
Usilie kaka mungu atakusaidia uyo nishetani mukumbwa sio muntu na atataja kilakitu alichokifanya pole sana
Pole sana baba Mungu atamlaani
Dah inahuzunisha sana....
Dah baba mstaarabu sana