Dini yetu inatuhimiza kutafuta elimu, na haikutuekea mipaka au kikomo cha elimu na nani wa kutupatia elimu hio, mimi ni muislam lakini sijali utofaut wa dini zetu mana sio dhambi, najifunza mengi na mazuri kwako, ahsante, nlikua mbali nakushuka kwa sababu ya watu, lakini umenifunua macho sasa, ahsante tena.
Amen siku moja nitahuduria mikutani yako hapo tanzania na nitasafiri kwa ndege hata ingawa leo sina nauri ya daladala kwenda jijini...kenyans watching you Joel.....much love sir
Unabiii huu naona kama ulikuwa umenilenga yaan nmeshika madafutar ni some mara moyo ukanisukuma fungua utube nilipofungua tu nmekutana na ujumbe huu nmefarijika na nmejifunza kwakwel mwlm kagusa maisha yangu kwa umla nmebarikiwa sana mungu akuvariki sana mtumishi umetuka kuwa njia ya mafanikio ya watu wengi sifa kwake mungu aliye kutumia kukomboa taifa lake
Naamini kabisa usemayo . Nakumbuka mwalimu alituuliza unataka kuwa nani . Kila mtu alijibu kwajins anavyoweza .zamu yangu ikafika kuulizwa nikawambia future yangu nifike Ulaya .wakacheka sana wanafunzi wenzangu😂. Lakini Acheni Mungu aitwe Mungu Ndoto yangu Imetimia .walonicheka wamebaki kunipa hongera. Nimejua Maono yanatimia kama utayasimamia. By 2024
Binafsi nimekuelewa sana, nakufatilia na umekuwa mtu muhimu sana ktk maisha yangu. Ww ni mwalimu Bora sana, nimfariji na daktar mkuu. Mungu aendelee kukutunza.
IPO siku Mungu ataniinua na kunifanya kuwa tajiri mkubwa duniani Nitamiliki kampuni kubwa duniani Africa nitaajiri vijana wenzangu Na duniani watatumia mitandao yangu mikubwa Mtanukumbuka tu Na jina langu ni MJ JOHN
Nkukubali sana kaka joel nmefurai Sana kwamafuzo mazur kwamafundisho haya sasaiz najiona watofaut Sana nilisha katatama kwamafundisho haya najiona mm niwajuu Sana 🙏
Pamoja na yote una cha ziada bro tena kikubwa zidi kwa nyakati hizi tulizo nazo hasa kwa sisi tunaotaka kufanikiwa - umepewa kutupeleka kulee na kututia moyo - safari ya mafaniko ni ya mmoja mmoja - mchakato , nmekuelewa sana
Natamanisana niwe mfanyabiashara mkubwa ,mungu anisaidie Amina
Naiwe ❤🎉
Mungu wangu wa Mbinguni niwezeshe nami ninunue kiwanja kabla ya huu Mwaka kuisha
Hongera vp ushanunua
Nimechoka kuwa mtumwa wa watu,sitaki Tena kuwa mtumwa wa watu Tena.
Chukuwa Atua❤
Dini yetu inatuhimiza kutafuta elimu, na haikutuekea mipaka au kikomo cha elimu na nani wa kutupatia elimu hio, mimi ni muislam lakini sijali utofaut wa dini zetu mana sio dhambi, najifunza mengi na mazuri kwako, ahsante, nlikua mbali nakushuka kwa sababu ya watu, lakini umenifunua macho sasa, ahsante tena.
🎉🎉🎉
Ata mm..huyu mtu ndo.Amenifanya nijitambue Aiseeee
Amen siku moja nitahuduria mikutani yako hapo tanzania na nitasafiri kwa ndege hata ingawa leo sina nauri ya daladala kwenda jijini...kenyans watching you Joel.....much love sir
Hey you guys
Powerful speech 💪 .. Funguo muhimu sana hiz
1. Identity (Badili ujionavyo)
2. Knowledge
3. Bidii ya kufa mtu
Be blessed 🙏
Allah mlipe malipo bora kaka joer Arthur nanauka kwanisomesha elim nzur sana hii
Unabiii huu naona kama ulikuwa umenilenga yaan nmeshika madafutar ni some mara moyo ukanisukuma fungua utube nilipofungua tu nmekutana na ujumbe huu nmefarijika na nmejifunza kwakwel mwlm kagusa maisha yangu kwa umla nmebarikiwa sana mungu akuvariki sana mtumishi umetuka kuwa njia ya mafanikio ya watu wengi sifa kwake mungu aliye kutumia kukomboa taifa lake
Hata mimi
Kama mimi
Kaka joel . Wewe ni dhahabu amboyo nilikua naitafuta .sana NITAKUOMBEA KWA MUNGU AKUFIKISHE MBINGUNI" uwe MALAIKA wamilenamile" UMEBARIKIWA SANA
Mtumishi wa Mungu mbona unayazungumzia mambo yangu yote nashukuru sana kwa kunifungua ubarikiwe sana na Mungu
Tumefunguliwa Kwa pamoja.....Amen Amen Amen Sanaa🙏🙏🙏🤝🙏
Nitakua mwanauchumi mkubwa Sana katika dunia hii mm ni mwana wa MUNGU 🙏🙏 Asante MUNGU
I am greatest ECONOMIST ✅✅✅
Mungu akubariki
In this very moment your words has changed me.I am the child of God..my dreams will come true no matter what the situation I am now.
Joel Nanauka asante sana. Mungu akubariki. Nimeefaidika kiroho na kimwili, pia nimefurahi sana, umenichekesha pia.
Ahsante sana Mwalimu Joel Nanauka kwa Elimu nzuri adhimu unayoendelea kuitoa kubadilishana jamii kuwa katika mtizamo mpya
Hakika umetukomboa wengi Mungu azidi kukuongoza
Hatima yangu ni kubwa Ee Mungu nisaidie na mim nifanikiwe
Natamani niwe mwana biasha mungu uwrupande wangu
Nimejifunza kitu na naamini nitabadilisha sana maisha yangu
Ashukuliwe Mungu,, kwa kutupatia mtu huyu🙏🙏🙏
Unanifuraisha sana Mzee wangu eti Mimi ni mnyooo aise nacheka sana Mungu akupe sikunyingi zakuishi duniani
You joel nanauka nikinunua simu kubwa nitakuwa naiga mafundisho yako na kuwafundisha wengne huku nam nikiyafanyia kazi
Tangu nimeanza kusikiliza hotuba zako Mungu amenisaidia na ninaimani ya kutoshindwa ubarikiwe mtumishi was mungu
Thanks God Because of you.God love Tanzanian this means development of political,personal and world wide.God continue blessing you and Grace
Kwa hakika ninaujasiri wa kusema ahsante MUNGU Kwaajili ya uwepo wa huyu kaka, Nanauka God bless you 🙏🙏
Naamini kabisa usemayo . Nakumbuka mwalimu alituuliza unataka kuwa nani . Kila mtu alijibu kwajins anavyoweza .zamu yangu ikafika kuulizwa nikawambia future yangu nifike Ulaya .wakacheka sana wanafunzi wenzangu😂. Lakini Acheni Mungu aitwe Mungu Ndoto yangu Imetimia .walonicheka wamebaki kunipa hongera. Nimejua Maono yanatimia kama utayasimamia. By 2024
Ubarikiwe sana 🙌🙌Najifunza vingi sana
Asante baba nimepata hamani sana mahana nimevunjika moyo sana hila kwasasa najiani mm ni bola sana na niwathamani sana mm nitajili
Asante kwa mafundisho mazuri bro.aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo nimeipenda hii.tujinenee to be higher.
Hivi karibuni,, naenda, kununua ploti,, na ntaajiri wafanyikazi,, ntakuwa tajiri,, hivo ndo najiona
Asant sana baba mtumish Hakika nimelia sana hili somo limenipa vitu adimu sana Hakika Mungu akuinue zaid
Mimi nimkubwa sanaaaaaaaaa Jeremia Frank Isowe
Yes Jesus ❤sio maigizo
ooooh thanks God nimee jifunza kitu kutoka kwako mungu akubaliki
Amen Amen,nakataa kujiona mtu wa Kawaida, Maana hatima yangu imebeba hushuda💪💪 lnuliwa zaidi Mtumishi 🙏
❤❤ mpya hii ata leo
Mungu Akubariki sana kaka joel umekuwa baraka kwa kizazi cha leo
Atakama kwa sasa nipo gizani bado naamini ipo siku ntakua mtu mkubwa kiroho na kidunia. God bless my vision
Kwa jina la yesu kuanza Léo nimebadilisha mtazamo wangu... nitakuwa tajirii nakuweza kuajiri watu
Umetokea kuwa balaka katika maisha yangu, sijawahi jutia Toka nimekujua
Amen Amen nakupata vizuri nikiwa Nairobi Kenya, Asante kwa ujumbe huo wa ufahamu
Hii imenigusa sana kaka naona kabisa na mimi nahitaji kuchukua hatua za namna ya kuwa wa tofauti
Amina hakika joel umeibadirisha hakili yangu naamini Mimi n mshindi mungu akubariki sana
Napataje kitabu chako iri nipone namimi.
Ili jamaa i wish angekuwa my blood brother
Mimi ni watofauti na hatima yangu ni ya tofauti
Kweli umekuwa chachu ya mimi kusimama pia, kumbe nilikuwa kwenye kituo cha daladala sikupaswa kunung'unika na kulalamika. Mimi nimshindi daima
Toka nimeanza kukusikilizaa kuna kitu kimebadilika kabisa kwenye maisha yangu barikiwaaa
Binafsi nimekuelewa sana, nakufatilia na umekuwa mtu muhimu sana ktk maisha yangu. Ww ni mwalimu Bora sana, nimfariji na daktar mkuu. Mungu aendelee kukutunza.
Natamani kufikia maono yangu kwa wakati Asante kwa mafundisho mazuri
Nitabadilisha ninavyojiona Mtumishi wa mungu barikiwa sana
IPO siku Mungu ataniinua na kunifanya kuwa tajiri mkubwa duniani
Nitamiliki kampuni kubwa duniani
Africa nitaajiri vijana wenzangu
Na duniani watatumia mitandao yangu mikubwa
Mtanukumbuka tu
Na jina langu ni MJ JOHN
Nimejifunza kitu mwaka 2022 naamini 2023 nitafanya makubwaaaa , asante mwalimu Joel nanauka
👏 👏 👏 Mungu ubariki kazi za mikono ya Kaka Joel Nanauka
Maono. Yangu ni makubwa sana mkuu,, umeniongezea kas , nazani saiv nikama naenda nimeona njia
Amina naona nakuwelewa sana
Mungu n mwema nmebadilika sana baada ya kuanza kumckilza Joel Nanauka,
Mungu akubariki
Amen mt
Super sana ❤❤❤
Nitabadilisha ninavyojionaaa
Amen baba natamani sana nifanye kazi ya Mungu
Pastor Mungu akubariki sana umenitia nguvu sana, nilikuwa nimekata tamaa
May my god bless you, you helped me a lot, with knowledge thank you very much keep up the greatest work of lord
Very good and precious presentation God bless you too abundantly forever amen
Mwamba ubarikiwe🙏🙏🙏❤
Nakushukuru kunipa tochi ya kumurika maisha yagiza sasa njiya naanza kuiyona;ubarikiwe,
Hatima yangu ni kubwa
Week mwenyz Mungu nisaidie maono yangu yatimie nataka kuwa mfanya biashala mkubwa
Kabla cjamaliza chuo nitapata Kazi na nitafaulu Mitihan yangu🙏🙏🙏
Nitafaulu kwa viwango vya juu kwasababu mimi ni mwana wa kristo yesu🙏🙏
Nkukubali sana kaka joel nmefurai Sana kwamafuzo mazur kwamafundisho haya sasaiz najiona watofaut Sana nilisha katatama kwamafundisho haya najiona mm niwajuu Sana 🙏
Be blessed
Pamoja na yote una cha ziada bro tena kikubwa zidi kwa nyakati hizi tulizo nazo hasa kwa sisi tunaotaka kufanikiwa - umepewa kutupeleka kulee na kututia moyo - safari ya mafaniko ni ya mmoja mmoja - mchakato , nmekuelewa sana
Amen 🙏 nitavipataje vitabu vyako natamani niwe nasoma kila siku
Ninashukuru sana kwa mafundisho Yako kupitia wewe nimefanikiwa.
💪💪💪💪sku moja naamin watu watanijua na kunielewa
In God i believe
Www ni zaidi ya degree of PHD Speaker ❤
Asante sana brother tangia leo mm nitabadrisha navyo jiona nashukuru sana🙏🙏
@joelnanauka ur too much 🎉🎉🎉
It's like I was too late to see and listen you Joel
Amina😢siku nitakua mfanya biashara mkubwa na kuajili watu ❤
Mimi ni watofauti,na hatima yangu ni yatofayti
Niwezeshe mungu wangu katka mipango yangu niwe na wewe bwana
This is so powerful. Mambo haya ni muhimu. I thank God for the revelation God has given you to share with us.
amen
Nataka kitabu cya timiza malengo yako
Asante joer
Amina sana
Najihisi kubarikiwa katika mafundisho haya.ubarikiwe sana
Ubarikiwe sana kaka dah Dunian tuna resources sana dah tumepata resource kubwa sana kuw na ww an b blessed kaka ang
Mungu akulinde
Amen kuna mahali umenivusha.🎉
Hatima yangu niyatoutiiiii
Thank God, we became outstanding together
Asante sana joel! Mungu akulinde kwa kweli unaelemisha sana!
Wow there comes precious person from MTWARA Im blessed brother God bless you!
Brother @joel nanauka kanisa lako liko sehemu gani nataka niwe nakuja kusali Na kujifunza kwako
Glory be to God ,,Naya weza mambo yote kwa huyu anitie Nguvu
Naamini mwaka huu nitampata mume bora
Nimepata mafunzo, nabadilisha mtazamo yangu ya future
Nabadili mtazamo wangu kufikia malengo yangu makubwa .🎉
I understand you my friend and brother Nanauka
Nimeamka mtumishi 🥂💌💞I'm the big boss in Africa 💞
Mimi ni milionea
Thank u brother joel
Asante kwa maono haya ni mazuri
I really listen to your talk and it's very inspiring
I like listening this life coach everything is smart