NAMNA GANI UNAWEZA KUONGEZA KASI YA KUTIMIZA MAONO YAKO (JOEL NANAUKA)

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 288

  • @user-rp6ev9ux1o
    @user-rp6ev9ux1o 2 місяці тому +6

    Natamanisana niwe mfanyabiashara mkubwa ,mungu anisaidie Amina

  • @doreendeus1742
    @doreendeus1742 2 роки тому +12

    Mungu wangu wa Mbinguni niwezeshe nami ninunue kiwanja kabla ya huu Mwaka kuisha

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 2 місяці тому +6

    Nimechoka kuwa mtumwa wa watu,sitaki Tena kuwa mtumwa wa watu Tena.

  • @WardaKhatib
    @WardaKhatib Місяць тому +3

    Dini yetu inatuhimiza kutafuta elimu, na haikutuekea mipaka au kikomo cha elimu na nani wa kutupatia elimu hio, mimi ni muislam lakini sijali utofaut wa dini zetu mana sio dhambi, najifunza mengi na mazuri kwako, ahsante, nlikua mbali nakushuka kwa sababu ya watu, lakini umenifunua macho sasa, ahsante tena.

  • @anastasiamainaministries2700
    @anastasiamainaministries2700 3 роки тому +10

    Amen siku moja nitahuduria mikutani yako hapo tanzania na nitasafiri kwa ndege hata ingawa leo sina nauri ya daladala kwenda jijini...kenyans watching you Joel.....much love sir

  • @Coachsamwel
    @Coachsamwel 3 роки тому +19

    Powerful speech 💪 .. Funguo muhimu sana hiz
    1. Identity (Badili ujionavyo)
    2. Knowledge
    3. Bidii ya kufa mtu
    Be blessed 🙏

  • @omarkhalfan8048
    @omarkhalfan8048 3 роки тому +8

    Allah mlipe malipo bora kaka joer Arthur nanauka kwanisomesha elim nzur sana hii

  • @nyanjigekalyehu2944
    @nyanjigekalyehu2944 Рік тому +6

    Unabiii huu naona kama ulikuwa umenilenga yaan nmeshika madafutar ni some mara moyo ukanisukuma fungua utube nilipofungua tu nmekutana na ujumbe huu nmefarijika na nmejifunza kwakwel mwlm kagusa maisha yangu kwa umla nmebarikiwa sana mungu akuvariki sana mtumishi umetuka kuwa njia ya mafanikio ya watu wengi sifa kwake mungu aliye kutumia kukomboa taifa lake

  • @JamalPaulo-jt1ju
    @JamalPaulo-jt1ju 2 місяці тому +2

    Kaka joel . Wewe ni dhahabu amboyo nilikua naitafuta .sana NITAKUOMBEA KWA MUNGU AKUFIKISHE MBINGUNI" uwe MALAIKA wamilenamile" UMEBARIKIWA SANA

  • @JemaMbwilo
    @JemaMbwilo 3 місяці тому +2

    Mtumishi wa Mungu mbona unayazungumzia mambo yangu yote nashukuru sana kwa kunifungua ubarikiwe sana na Mungu

    • @annagloriaroman30
      @annagloriaroman30 3 місяці тому +1

      Tumefunguliwa Kwa pamoja.....Amen Amen Amen Sanaa🙏🙏🙏🤝🙏

  • @happysanka9679
    @happysanka9679 Рік тому +3

    Nitakua mwanauchumi mkubwa Sana katika dunia hii mm ni mwana wa MUNGU 🙏🙏 Asante MUNGU

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 10 місяців тому +2

    In this very moment your words has changed me.I am the child of God..my dreams will come true no matter what the situation I am now.

  • @ponsianaprotas8990
    @ponsianaprotas8990 Рік тому +2

    Joel Nanauka asante sana. Mungu akubariki. Nimeefaidika kiroho na kimwili, pia nimefurahi sana, umenichekesha pia.

  • @EmanuelMambo-rb5ix
    @EmanuelMambo-rb5ix 4 місяці тому +1

    Ahsante sana Mwalimu Joel Nanauka kwa Elimu nzuri adhimu unayoendelea kuitoa kubadilishana jamii kuwa katika mtizamo mpya

  • @SuzanaTemba
    @SuzanaTemba 4 місяці тому +3

    Hakika umetukomboa wengi Mungu azidi kukuongoza

  • @jacquelinemwacha7784
    @jacquelinemwacha7784 21 день тому

    Hatima yangu ni kubwa Ee Mungu nisaidie na mim nifanikiwe

  • @nellylewa4457
    @nellylewa4457 Місяць тому +1

    Natamani niwe mwana biasha mungu uwrupande wangu

  • @aminambughi9613
    @aminambughi9613 10 місяців тому +2

    Nimejifunza kitu na naamini nitabadilisha sana maisha yangu

  • @KhajraMchimae
    @KhajraMchimae 2 місяці тому +1

    Ashukuliwe Mungu,, kwa kutupatia mtu huyu🙏🙏🙏

  • @marinpascalrafiki4794
    @marinpascalrafiki4794 2 роки тому +2

    Unanifuraisha sana Mzee wangu eti Mimi ni mnyooo aise nacheka sana Mungu akupe sikunyingi zakuishi duniani

  • @lovenesslubilo1218
    @lovenesslubilo1218 3 місяці тому +2

    You joel nanauka nikinunua simu kubwa nitakuwa naiga mafundisho yako na kuwafundisha wengne huku nam nikiyafanyia kazi

  • @fredricksanga5693
    @fredricksanga5693 Рік тому +1

    Tangu nimeanza kusikiliza hotuba zako Mungu amenisaidia na ninaimani ya kutoshindwa ubarikiwe mtumishi was mungu

  • @GraceMushi-wo7gm
    @GraceMushi-wo7gm 3 місяці тому

    Thanks God Because of you.God love Tanzanian this means development of political,personal and world wide.God continue blessing you and Grace

  • @AlceAnacreth-rv2md
    @AlceAnacreth-rv2md 4 місяці тому

    Kwa hakika ninaujasiri wa kusema ahsante MUNGU Kwaajili ya uwepo wa huyu kaka, Nanauka God bless you 🙏🙏

  • @IsakaMgeje
    @IsakaMgeje 17 днів тому

    Naamini kabisa usemayo . Nakumbuka mwalimu alituuliza unataka kuwa nani . Kila mtu alijibu kwajins anavyoweza .zamu yangu ikafika kuulizwa nikawambia future yangu nifike Ulaya .wakacheka sana wanafunzi wenzangu😂. Lakini Acheni Mungu aitwe Mungu Ndoto yangu Imetimia .walonicheka wamebaki kunipa hongera. Nimejua Maono yanatimia kama utayasimamia. By 2024

  • @annamallya8756
    @annamallya8756 26 днів тому

    Ubarikiwe sana 🙌🙌Najifunza vingi sana

  • @user-rb1lu5il1i
    @user-rb1lu5il1i 9 місяців тому

    Asante baba nimepata hamani sana mahana nimevunjika moyo sana hila kwasasa najiani mm ni bola sana na niwathamani sana mm nitajili

  • @evanestory3711
    @evanestory3711 3 місяці тому +1

    Asante kwa mafundisho mazuri bro.aonavyo mtu nafsini mwake ndivyo alivyo nimeipenda hii.tujinenee to be higher.

  • @saraholuche1117
    @saraholuche1117 Рік тому +1

    Hivi karibuni,, naenda, kununua ploti,, na ntaajiri wafanyikazi,, ntakuwa tajiri,, hivo ndo najiona

  • @user-vo8go4zj6t
    @user-vo8go4zj6t 5 місяців тому

    Asant sana baba mtumish Hakika nimelia sana hili somo limenipa vitu adimu sana Hakika Mungu akuinue zaid

  • @jeremiaisowe4443
    @jeremiaisowe4443 4 місяці тому

    Mimi nimkubwa sanaaaaaaaaa Jeremia Frank Isowe

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE 12 днів тому +1

    Yes Jesus ❤sio maigizo

  • @johnluoga6963
    @johnluoga6963 2 роки тому +2

    ooooh thanks God nimee jifunza kitu kutoka kwako mungu akubaliki

  • @user-kj7us9mx5s
    @user-kj7us9mx5s 4 місяці тому

    Amen Amen,nakataa kujiona mtu wa Kawaida, Maana hatima yangu imebeba hushuda💪💪 lnuliwa zaidi Mtumishi 🙏

  • @JLXNINEJNINE
    @JLXNINEJNINE 12 днів тому +1

    ❤❤ mpya hii ata leo

  • @PrickaKibaba-hi5qg
    @PrickaKibaba-hi5qg 23 дні тому

    Mungu Akubariki sana kaka joel umekuwa baraka kwa kizazi cha leo

  • @zenamarugujo9003
    @zenamarugujo9003 Рік тому +1

    Atakama kwa sasa nipo gizani bado naamini ipo siku ntakua mtu mkubwa kiroho na kidunia. God bless my vision

  • @mariabasso7466
    @mariabasso7466 5 місяців тому

    Kwa jina la yesu kuanza Léo nimebadilisha mtazamo wangu... nitakuwa tajirii nakuweza kuajiri watu

  • @daudrmatonange1512
    @daudrmatonange1512 2 роки тому +2

    Umetokea kuwa balaka katika maisha yangu, sijawahi jutia Toka nimekujua

  • @jacksonmollel9749
    @jacksonmollel9749 7 місяців тому

    Amen Amen nakupata vizuri nikiwa Nairobi Kenya, Asante kwa ujumbe huo wa ufahamu

  • @richardmadede9974
    @richardmadede9974 3 роки тому +1

    Hii imenigusa sana kaka naona kabisa na mimi nahitaji kuchukua hatua za namna ya kuwa wa tofauti

  • @theresiachigali9482
    @theresiachigali9482 2 роки тому +1

    Amina hakika joel umeibadirisha hakili yangu naamini Mimi n mshindi mungu akubariki sana

  • @saeedamour5483
    @saeedamour5483 Рік тому +1

    Ili jamaa i wish angekuwa my blood brother

  • @joessy
    @joessy 3 роки тому +3

    Mimi ni watofauti na hatima yangu ni ya tofauti

  • @humbemusa3480
    @humbemusa3480 Рік тому +2

    Kweli umekuwa chachu ya mimi kusimama pia, kumbe nilikuwa kwenye kituo cha daladala sikupaswa kunung'unika na kulalamika. Mimi nimshindi daima

  • @user-qn8sk8xr8p
    @user-qn8sk8xr8p 4 місяці тому

    Toka nimeanza kukusikilizaa kuna kitu kimebadilika kabisa kwenye maisha yangu barikiwaaa

  • @NeemaMinga-pl8ty
    @NeemaMinga-pl8ty Рік тому

    Binafsi nimekuelewa sana, nakufatilia na umekuwa mtu muhimu sana ktk maisha yangu. Ww ni mwalimu Bora sana, nimfariji na daktar mkuu. Mungu aendelee kukutunza.

  • @magrethalphonce-yb1xw
    @magrethalphonce-yb1xw 3 місяці тому

    Natamani kufikia maono yangu kwa wakati Asante kwa mafundisho mazuri

  • @KeyvanNaomy
    @KeyvanNaomy Місяць тому

    Nitabadilisha ninavyojiona Mtumishi wa mungu barikiwa sana

  • @AllinAllTV-mn5pu
    @AllinAllTV-mn5pu Рік тому

    IPO siku Mungu ataniinua na kunifanya kuwa tajiri mkubwa duniani
    Nitamiliki kampuni kubwa duniani
    Africa nitaajiri vijana wenzangu
    Na duniani watatumia mitandao yangu mikubwa
    Mtanukumbuka tu
    Na jina langu ni MJ JOHN

  • @kelvinbernard5453
    @kelvinbernard5453 Рік тому +1

    Nimejifunza kitu mwaka 2022 naamini 2023 nitafanya makubwaaaa , asante mwalimu Joel nanauka

  • @user-ku4xq4nd9v
    @user-ku4xq4nd9v 6 місяців тому

    👏 👏 👏 Mungu ubariki kazi za mikono ya Kaka Joel Nanauka

  • @JacksonMinja-cd4nt
    @JacksonMinja-cd4nt 2 місяці тому

    Maono. Yangu ni makubwa sana mkuu,, umeniongezea kas , nazani saiv nikama naenda nimeona njia

  • @DevothaDamas
    @DevothaDamas Місяць тому

    Amina naona nakuwelewa sana

  • @aderiderkihupi7240
    @aderiderkihupi7240 3 роки тому +2

    Mungu n mwema nmebadilika sana baada ya kuanza kumckilza Joel Nanauka,
    Mungu akubariki

  • @RaymondCharlesSaliboko-to6vx
    @RaymondCharlesSaliboko-to6vx 3 місяці тому +1

    Super sana ❤❤❤

  • @user-iv7mn4qd4q
    @user-iv7mn4qd4q Місяць тому

    Nitabadilisha ninavyojionaaa

  • @yohanaisayasimoni
    @yohanaisayasimoni 4 місяці тому

    Amen baba natamani sana nifanye kazi ya Mungu

  • @HusnaVivian
    @HusnaVivian 2 місяці тому

    Pastor Mungu akubariki sana umenitia nguvu sana, nilikuwa nimekata tamaa

  • @kingabdul1745
    @kingabdul1745 2 роки тому +4

    May my god bless you, you helped me a lot, with knowledge thank you very much keep up the greatest work of lord

  • @dottorobert
    @dottorobert 2 роки тому +2

    Very good and precious presentation God bless you too abundantly forever amen

  • @navioma4882
    @navioma4882 23 дні тому

    Mwamba ubarikiwe🙏🙏🙏❤

  • @ziadiadam3035
    @ziadiadam3035 2 роки тому

    Nakushukuru kunipa tochi ya kumurika maisha yagiza sasa njiya naanza kuiyona;ubarikiwe,

  • @RahelMrope
    @RahelMrope 2 місяці тому +1

    Hatima yangu ni kubwa

  • @winifridamwanga8845
    @winifridamwanga8845 Місяць тому

    Week mwenyz Mungu nisaidie maono yangu yatimie nataka kuwa mfanya biashala mkubwa

  • @KhajraMchimae
    @KhajraMchimae 2 місяці тому

    Kabla cjamaliza chuo nitapata Kazi na nitafaulu Mitihan yangu🙏🙏🙏

    • @KhajraMchimae
      @KhajraMchimae 2 місяці тому

      Nitafaulu kwa viwango vya juu kwasababu mimi ni mwana wa kristo yesu🙏🙏

  • @patrisheradam5790
    @patrisheradam5790 3 роки тому

    Nkukubali sana kaka joel nmefurai Sana kwamafuzo mazur kwamafundisho haya sasaiz najiona watofaut Sana nilisha katatama kwamafundisho haya najiona mm niwajuu Sana 🙏

  • @salomenachunga3590
    @salomenachunga3590 Рік тому +3

    Pamoja na yote una cha ziada bro tena kikubwa zidi kwa nyakati hizi tulizo nazo hasa kwa sisi tunaotaka kufanikiwa - umepewa kutupeleka kulee na kututia moyo - safari ya mafaniko ni ya mmoja mmoja - mchakato , nmekuelewa sana

  • @SafilunaJuma
    @SafilunaJuma 2 місяці тому

    Amen 🙏 nitavipataje vitabu vyako natamani niwe nasoma kila siku

  • @AlinusweNgogo
    @AlinusweNgogo 2 місяці тому

    Ninashukuru sana kwa mafundisho Yako kupitia wewe nimefanikiwa.

  • @yunisadam8494
    @yunisadam8494 6 місяців тому

    💪💪💪💪sku moja naamin watu watanijua na kunielewa
    In God i believe

  • @IsmailHassan-ql8fj
    @IsmailHassan-ql8fj 7 місяців тому +5

    Www ni zaidi ya degree of PHD Speaker ❤

  • @preceenosent6324
    @preceenosent6324 2 роки тому

    Asante sana brother tangia leo mm nitabadrisha navyo jiona nashukuru sana🙏🙏

  • @Rehema815
    @Rehema815 Місяць тому

    @joelnanauka ur too much 🎉🎉🎉

  • @januaryrashid8844
    @januaryrashid8844 6 місяців тому

    It's like I was too late to see and listen you Joel

  • @ruthsanga7976
    @ruthsanga7976 5 місяців тому

    Amina😢siku nitakua mfanya biashara mkubwa na kuajili watu ❤

  • @RahelMrope
    @RahelMrope 2 місяці тому +1

    Mimi ni watofauti,na hatima yangu ni yatofayti

  • @user-dj6bo6sr8f
    @user-dj6bo6sr8f Рік тому

    Niwezeshe mungu wangu katka mipango yangu niwe na wewe bwana

  • @ireneayieko9519
    @ireneayieko9519 2 роки тому +7

    This is so powerful. Mambo haya ni muhimu. I thank God for the revelation God has given you to share with us.

  • @byishimongirvmufasha6973
    @byishimongirvmufasha6973 3 роки тому

    Nataka kitabu cya timiza malengo yako
    Asante joer

  • @mussarobert4506
    @mussarobert4506 Рік тому

    Amina sana
    Najihisi kubarikiwa katika mafundisho haya.ubarikiwe sana

  • @adelinakibejile4696
    @adelinakibejile4696 2 роки тому

    Ubarikiwe sana kaka dah Dunian tuna resources sana dah tumepata resource kubwa sana kuw na ww an b blessed kaka ang

  • @marckmasaka
    @marckmasaka 11 місяців тому +1

    Mungu akulinde

  • @user-gy2lm6tu8q
    @user-gy2lm6tu8q 4 місяці тому

    Amen kuna mahali umenivusha.🎉

  • @user-iv7mn4qd4q
    @user-iv7mn4qd4q Місяць тому

    Hatima yangu niyatoutiiiii

  • @barakaenockdaniel260
    @barakaenockdaniel260 Рік тому +1

    Thank God, we became outstanding together

  • @TradersEasyWay
    @TradersEasyWay Рік тому

    Asante sana joel! Mungu akulinde kwa kweli unaelemisha sana!

  • @leahmtamba7404
    @leahmtamba7404 2 роки тому

    Wow there comes precious person from MTWARA Im blessed brother God bless you!

  • @remigiustumaini6977
    @remigiustumaini6977 2 роки тому +1

    Brother @joel nanauka kanisa lako liko sehemu gani nataka niwe nakuja kusali Na kujifunza kwako

  • @evamusuruve3196
    @evamusuruve3196 Рік тому

    Glory be to God ,,Naya weza mambo yote kwa huyu anitie Nguvu

  • @DevothaDamas
    @DevothaDamas Місяць тому

    Naamini mwaka huu nitampata mume bora

  • @cheronoanne
    @cheronoanne 10 місяців тому

    Nimepata mafunzo, nabadilisha mtazamo yangu ya future

  • @MagrethKisaka
    @MagrethKisaka 6 місяців тому

    Nabadili mtazamo wangu kufikia malengo yangu makubwa .🎉

  • @priscajoseph261
    @priscajoseph261 5 місяців тому

    I understand you my friend and brother Nanauka

  • @kabulamasunga6484
    @kabulamasunga6484 Рік тому

    Nimeamka mtumishi 🥂💌💞I'm the big boss in Africa 💞

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t 2 місяці тому +1

    Mimi ni milionea

  • @veronicamwautenga7394
    @veronicamwautenga7394 21 день тому

    Thank u brother joel

  • @BuzakeYvonne-cc4ge
    @BuzakeYvonne-cc4ge 2 місяці тому

    Asante kwa maono haya ni mazuri

  • @user-zb8kw1ri2r
    @user-zb8kw1ri2r 5 місяців тому

    I really listen to your talk and it's very inspiring

  • @user-ks9lf1vu1q
    @user-ks9lf1vu1q 7 місяців тому

    I like listening this life coach everything is smart