Uyu mwanaume play boy anaonekana TU unamtia kweny maji mwanamke kwa sababu ya simu wakat shida ni yakwako wanaume wakibongo wanazingua sana mwanaume mzur kuliko mwanamke wanini sasa muuza sura uyo
🤣🤣🤣mm co kwny maji ningevunja vunja 😂😂 vyte na mpya acngeipata. Na huyu mwanaume sio mpenz. Hana akil ya uanaume. Mwanamke hutakiwi kumfanya hvo. Yani hapo dada jua hauna mpenz bali una mattzo hakupendi
Yani ilo ndio jembe Sasa kutupa simu kwenye maji ingesaidia Nini nawewe brow angaliaga nawatu wakuwaletea michongo Kama iyo ona Sasa umezalilishwa umetupwa kwenye maji kibwege 📵😁
😂😂😂😂😂 team kucheka after Mr uky kurushwa kwa maji
Hahaaa
Mr uky hongera xan kwa kaz nzur
But girls jifunzen watu wakuanao kweny mahusiano tatzo mnapenda xan mabishoo
Ni kweli broo
Pole mr uk , uhakikishaji wa mawasiliano ya watu.kama yapo sawa , yamekufanya uoge bila kutaka ila endelea hvyo hvyo
Nimecheka kma mazuri uwiiiii😅😅😅
😂😂😂😂
Uyu mwanaume play boy anaonekana TU unamtia kweny maji mwanamke kwa sababu ya simu wakat shida ni yakwako wanaume wakibongo wanazingua sana mwanaume mzur kuliko mwanamke wanini sasa muuza sura uyo
Huruhusiwi kutupa simu ya mwenzio katika maji
Coz hizo simu zina vitu vingine vya msingi mno.
🤣🤣🤣mm co kwny maji ningevunja vunja 😂😂 vyte na mpya acngeipata. Na huyu mwanaume sio mpenz. Hana akil ya uanaume. Mwanamke hutakiwi kumfanya hvo. Yani hapo dada jua hauna mpenz bali una mattzo hakupendi
Kabisa tena anaweza kuliwa na wahuni 😂😂😂
Yani ilo ndio jembe Sasa kutupa simu kwenye maji ingesaidia Nini nawewe brow angaliaga nawatu wakuwaletea michongo Kama iyo ona Sasa umezalilishwa umetupwa kwenye maji kibwege 📵😁
Ajamani siwezi det na Vijana wa Aina hiyo
we misso misondo umepigaje hapo😂
We shoga
Pole sanaaa jamaaa nomaaa ila ndo ivoo kazihazikosi changamoto
Maaaake kwanza nicheke mr uky akaoga bila kutaka jaman 😂🙌
sijawah kucoment kweny kaz zako mr uky ila leo dah had nimesubcrbe 😂😂😂😂😂😂
Nimecheka sana kweli uyo dada ana asira kama za kwangu kwel😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
hahahahhahahahha huyo jamaa anataka kunivunja mbavu zang umbea mbaya sana😅😅😅😂😂😂
Akii nimechekaa sanaaa mwanaume nyokooo na wew me uky tutakuja kufa ona sasa umeog bila kupenda
Dah! Pole kaka Leo yamekukuta
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaaaah.....tupo liiiiiveeeee.....
Jins mr uky ilivyokuwa anamwangalia mwamba kutoka kweny maji😂
Ka anaomba msaada wa kuokolewa 😄😄
Roho imeniuma kwa mr uky jmn
😆😆🤣🤣🤣🤣
Pole sana dear nimoja ya changa moto kila kazi inachanga moto jaman pole sana
Ila Mr uky hatakagi aman kabisa sasa anavoangalia hizo dm jamn❤😂
Sa apo kunamwanaume jaman😀😀
Jamaa Ana akili kapotea dem kaondoka na ubapa😂😂😂😂
Mnakutana na chagamoto
mbona iyooo SIM mpyaa aijatupwaaa😄😄😄😄😅😂
Nimecheka kwanguvu ujue 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂nacheka kama mazuri khaaaa yaani uniletee upuuzi then kweny maji uniweke aki wanaume wanajua kugeuza kibao pheeeee🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌
Bado sijajua wanaume mnataka nn dada Ana pesa ana umbo zur nn shida daah acha tu niendelee kua mbali na mapenz😢
Hoooo😅😅😅😅Mr UK ndan na yy
😂😂😂😂😂😂😊Mr UK unatupwa kwenye maji nimecheka Adi kufa😂😂😂😂
Jmn mr uk choz limenitok ila viumbe hawa m sitakii
Atari sana mapenzi akuna tena wanaume ni wahogo .
Hahaha huyo marioo kachafukwa ujue😅😅😅
Iyo noma
Kwa mara ya kwanza nmecomment kwenye hz challenge walah nimecheka 😂
Sema woyoooooooo
hz challenge mta kuja uliwa
😂pole sana yupo kazini na ni moja ya changamoto ya kazi yake hawezi acha kazi kisa changamoto Keep it up nichek nina jambo langu😂😂😂
😂😂😂uwiii aisee
Pole mzee Leo kazini pamekuwa na kazi ndoivo kk pole vip ilikata au ataendelea😂
Pole kaka uyo tutatafuta nayeye tumtupe baharini
Sema wadada hamjuagi wanaume wahivyo ukimwangaliatu anyone kana kabisa anamambomengi ila ving'ang'aniz
Kazini kwangu kuna kazi
😂😂😂😂 kazini kuna kazii jamani iyoo imeendraaaa ulivolushwaaaaaa duuuuh sim inauma bhana
Bro!! Alisahau kumrusha kamera man kweny maji
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
huwezi ukarusha sim yangu kwenye maji nikae kimya mnaoga wote
Mbn uju jaamaa na yule alofumaniwa kwenye gari wanafanana
😂😂😂😂tupo nawe mpaka pale watapokuua
😂😂😂😂 dah wanawake wanapata tabu sn kulea wanaume
Waifungie abaki na kopo lakee😂
Ningeirusha na nkabeba mkoba na simu yangu mpya mbio sana
Mr uky UK pow
Duh hatar sana Yan nimecheka sana
😅😅camera man vipi ubapa part 2 ije pls
😂😂 poleni aise.ndo mkaogeshwa
Mr uky leo umekutana na kitu kizito
😂😂😂Aaaaaah nmecheka jmn asicheke mwingne sio vxur
Ndio ukome kazi unbeya 😂😂😂
Aki nimecheka sana 😂😂😂
Amna mwanaume apo ata kwa. macho tu iyo cm ni Bora ungemnunulia ata mama akozazi
Lyoli sanyunu ushajile mwana wetyu
😂😂😂😂😂pole Mr Uky jmn
Wekeni actors wanaoweza kuwa serious. Tunajua mnatufunga kamba kwa uongo lkn wekeni uongo unaofanana na kweli. Dakika 3:30 anacheka sana
😂😂😂😂😂ckutarajia kabsa Yan n ww Kam utatupwa ukafate cm
Hapa bongo hakuna mwanaume wa msichana mmoja😢
Ndo upunguze Mr uky hzo
Mr uky
da pole sana bro ila usiache kufanya ili tuzidi kujuwa mengi
Duuh pole sana
Nimecheka sanaa
Uyo ndio mwanaume sasa anampiga demu kwa tishu ety 😂😂 cheka san aisee
Hhhhhhhhhhhhhhh nd ukome , umbea ,uky 😂😂😂😂😂
Mmh
😂😂😂😂😂😂pole changamoto za kazi bro
Mbonahuyu kaka mmemuweka mara fumanizi la gari mara huku
Jmn wanaume mnashida gan lakin khaa😂
😮😅😅😅😅mr uiky leo kimeumana
Duuuuuuuh kazi na malipo😅😅
Jaman this location ni nzuri anae ijua plz ipo wapi??? I need to go there nimtoe out my man
Nimechka kwasauti wallah🤣🤣
Wallai watu wamevulugwa mnakuja waretea ujinga😅😅😅😅
Yanini kutupa sim je kama namba kakalili yaani huyu bwana ajakuoa😂 unaenyeka tu ndo maana miye🙌🤐
Mbavu sina😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂kiboko Mr uky
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamn mnapitia mingi mambo
Jemeni hakuna kazirahisi kweli
Pole umekutana nacho
😅😅😅😅😅 heeee
Aah kukubabake huyo mwanaume ningeenda kumroga agongwe na roli sitak ujinga mim
😂😂😂😂😂mapenz nyokoooooo
Shida Mnapenda Mabishoo😅😅
nmecheka😂😂😂😂
Nimecheka saana
Jamani mbavu zangu😅😅😅😅😅😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂😂😂 kaziii ngumu sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maskin' pole Mr Uk
😂😂😂mkaogeshwa kwa lazima manina
Mfyuuyy
Hhhhaahhh walivorusha ss kma ndege😅
Jamani huyu si yupo kwenye siri huyu birthday boy
Nimechek kama mazuri
Nimecheka kama mazuri
ivi ni kweli 😂
Dah