Mr Uky KAZUA BARA "MAPENZI"🙌

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 бер 2024
  • Zawadi Ya B day Ime Geuka Maji....

КОМЕНТАРІ • 192

  • @PonsianaMkalimoto
    @PonsianaMkalimoto 2 місяці тому +10

    😂😂😂😂😂 team kucheka after Mr uky kurushwa kwa maji

  • @BenedictoMakulile
    @BenedictoMakulile Місяць тому +2

    Mr uky hongera xan kwa kaz nzur
    But girls jifunzen watu wakuanao kweny mahusiano tatzo mnapenda xan mabishoo

  • @NeemaJoseph-mb6qm
    @NeemaJoseph-mb6qm 4 місяці тому +1

    Pole mr uk , uhakikishaji wa mawasiliano ya watu.kama yapo sawa , yamekufanya uoge bila kutaka ila endelea hvyo hvyo

  • @deborahmchona5584
    @deborahmchona5584 5 місяців тому +20

    Nimecheka kma mazuri uwiiiii😅😅😅

  • @leilatabdala1325
    @leilatabdala1325 5 місяців тому +19

    Uyu mwanaume play boy anaonekana TU unamtia kweny maji mwanamke kwa sababu ya simu wakat shida ni yakwako wanaume wakibongo wanazingua sana mwanaume mzur kuliko mwanamke wanini sasa muuza sura uyo

    • @ramadhaniharuna5441
      @ramadhaniharuna5441 4 місяці тому +1

      Huruhusiwi kutupa simu ya mwenzio katika maji
      Coz hizo simu zina vitu vingine vya msingi mno.

    • @SabraThemua
      @SabraThemua 4 місяці тому

      🤣🤣🤣mm co kwny maji ningevunja vunja 😂😂 vyte na mpya acngeipata. Na huyu mwanaume sio mpenz. Hana akil ya uanaume. Mwanamke hutakiwi kumfanya hvo. Yani hapo dada jua hauna mpenz bali una mattzo hakupendi

    • @emnanuelimtui1805
      @emnanuelimtui1805 4 місяці тому

      Kabisa tena anaweza kuliwa na wahuni 😂😂😂

    • @onesmomwakasege5215
      @onesmomwakasege5215 2 місяці тому

      Yani ilo ndio jembe Sasa kutupa simu kwenye maji ingesaidia Nini nawewe brow angaliaga nawatu wakuwaletea michongo Kama iyo ona Sasa umezalilishwa umetupwa kwenye maji kibwege 📵😁

    • @Sharifajafari-ys6gx
      @Sharifajafari-ys6gx Місяць тому

      Ajamani siwezi det na Vijana wa Aina hiyo

  • @Oman-xx1nm
    @Oman-xx1nm 5 місяців тому +17

    we misso misondo umepigaje hapo😂

  • @user-yg2hd5mw4k
    @user-yg2hd5mw4k 4 місяці тому +3

    Pole sanaaa jamaaa nomaaa ila ndo ivoo kazihazikosi changamoto

  • @UmmyMsafiri
    @UmmyMsafiri 6 днів тому

    Maaaake kwanza nicheke mr uky akaoga bila kutaka jaman 😂🙌

  • @user-fb6hx4de2e
    @user-fb6hx4de2e 11 днів тому

    sijawah kucoment kweny kaz zako mr uky ila leo dah had nimesubcrbe 😂😂😂😂😂😂

  • @user-ih6ng6sf6o
    @user-ih6ng6sf6o 10 днів тому

    Nimecheka sana kweli uyo dada ana asira kama za kwangu kwel😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @CorrinsKalolo
    @CorrinsKalolo 4 місяці тому +1

    hahahahhahahahha huyo jamaa anataka kunivunja mbavu zang umbea mbaya sana😅😅😅😂😂😂

  • @AngelDaniel-kr7qr
    @AngelDaniel-kr7qr 3 місяці тому

    Akii nimechekaa sanaaa mwanaume nyokooo na wew me uky tutakuja kufa ona sasa umeog bila kupenda

  • @eliyadavid3629
    @eliyadavid3629 5 місяців тому +2

    Dah! Pole kaka Leo yamekukuta

  • @EvaNicholaus-og4im
    @EvaNicholaus-og4im 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂daaaaah.....tupo liiiiiveeeee.....

  • @FranceMsumba-lg2oc
    @FranceMsumba-lg2oc 5 місяців тому +6

    Jins mr uky ilivyokuwa anamwangalia mwamba kutoka kweny maji😂

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Місяць тому

      Ka anaomba msaada wa kuokolewa 😄😄

  • @user-ki2pu7qc1q
    @user-ki2pu7qc1q 4 місяці тому +7

    Roho imeniuma kwa mr uky jmn

  • @ramasalm-wk5zj
    @ramasalm-wk5zj 5 місяців тому

    Pole sana dear nimoja ya changa moto kila kazi inachanga moto jaman pole sana

  • @user-ef6zt8dr7p
    @user-ef6zt8dr7p 3 місяці тому

    Ila Mr uky hatakagi aman kabisa sasa anavoangalia hizo dm jamn❤😂

  • @EstaPulo
    @EstaPulo 4 місяці тому +2

    Sa apo kunamwanaume jaman😀😀

  • @trofimogodfrey5386
    @trofimogodfrey5386 5 місяців тому +2

    Jamaa Ana akili kapotea dem kaondoka na ubapa😂😂😂😂

  • @GabrielMaganga
    @GabrielMaganga 10 днів тому

    Mnakutana na chagamoto

  • @MphilipinoFilmsTv-bs4mw
    @MphilipinoFilmsTv-bs4mw 4 дні тому

    mbona iyooo SIM mpyaa aijatupwaaa😄😄😄😄😅😂

  • @user-pl2xs1nl6r
    @user-pl2xs1nl6r 12 днів тому

    Nimecheka kwanguvu ujue 😂😂😂😂

  • @RichardMauya
    @RichardMauya 3 місяці тому

    😂😂😂😂😂nacheka kama mazuri khaaaa yaani uniletee upuuzi then kweny maji uniweke aki wanaume wanajua kugeuza kibao pheeeee🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @OmanOman-ns3iw
    @OmanOman-ns3iw 4 місяці тому +1

    Bado sijajua wanaume mnataka nn dada Ana pesa ana umbo zur nn shida daah acha tu niendelee kua mbali na mapenz😢

  • @zwadiijaxen
    @zwadiijaxen 2 місяці тому

    Hoooo😅😅😅😅Mr UK ndan na yy

  • @EstherMulindwa-fp3ml
    @EstherMulindwa-fp3ml 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😊Mr UK unatupwa kwenye maji nimecheka Adi kufa😂😂😂😂

  • @CutenessSanga-ys7dc
    @CutenessSanga-ys7dc 5 місяців тому +1

    Jmn mr uk choz limenitok ila viumbe hawa m sitakii

  • @user-uz7uq5lj5w
    @user-uz7uq5lj5w 5 місяців тому

    Atari sana mapenzi akuna tena wanaume ni wahogo .

  • @Zouh480
    @Zouh480 3 місяці тому

    Hahaha huyo marioo kachafukwa ujue😅😅😅

  • @AbdallahRajabu-it1pc
    @AbdallahRajabu-it1pc 2 місяці тому +1

    Iyo noma

  • @devothalugela8048
    @devothalugela8048 3 місяці тому

    Kwa mara ya kwanza nmecomment kwenye hz challenge walah nimecheka 😂

  • @MwanaidBakar
    @MwanaidBakar 4 місяці тому

    Sema woyoooooooo

  • @onesmomoses-dl8re
    @onesmomoses-dl8re 5 місяців тому +3

    hz challenge mta kuja uliwa

  • @eunicedaniel
    @eunicedaniel 5 місяців тому +1

    😂pole sana yupo kazini na ni moja ya changamoto ya kazi yake hawezi acha kazi kisa changamoto Keep it up nichek nina jambo langu😂😂😂

  • @OMONDIMTUKAZIOG
    @OMONDIMTUKAZIOG 5 місяців тому

    Pole mzee Leo kazini pamekuwa na kazi ndoivo kk pole vip ilikata au ataendelea😂

  • @user-sp1up1jt3r
    @user-sp1up1jt3r 4 місяці тому

    Pole kaka uyo tutatafuta nayeye tumtupe baharini

  • @bensonluta4907
    @bensonluta4907 Місяць тому

    Sema wadada hamjuagi wanaume wahivyo ukimwangaliatu anyone kana kabisa anamambomengi ila ving'ang'aniz

  • @florencejames-jo1cz
    @florencejames-jo1cz 4 місяці тому

    Kazini kwangu kuna kazi

  • @tunulupene1933
    @tunulupene1933 4 місяці тому

    😂😂😂😂 kazini kuna kazii jamani iyoo imeendraaaa ulivolushwaaaaaa duuuuh sim inauma bhana

  • @FranceMsumba-lg2oc
    @FranceMsumba-lg2oc 5 місяців тому +7

    Bro!! Alisahau kumrusha kamera man kweny maji

  • @isakahassan4275
    @isakahassan4275 4 місяці тому +1

    huwezi ukarusha sim yangu kwenye maji nikae kimya mnaoga wote

  • @AnnyStanslaus
    @AnnyStanslaus 4 місяці тому

    Mbn uju jaamaa na yule alofumaniwa kwenye gari wanafanana

  • @frankshedrack8259
    @frankshedrack8259 9 днів тому

    😂😂😂😂tupo nawe mpaka pale watapokuua

  • @user-os3wo9yy2o
    @user-os3wo9yy2o 4 місяці тому +1

    😂😂😂😂 dah wanawake wanapata tabu sn kulea wanaume

  • @fatumayahaya8901
    @fatumayahaya8901 4 місяці тому

    Waifungie abaki na kopo lakee😂

  • @chunaabdullah1333
    @chunaabdullah1333 3 місяці тому

    Ningeirusha na nkabeba mkoba na simu yangu mpya mbio sana

  • @angelyminja7967
    @angelyminja7967 3 місяці тому

    Mr uky UK pow

  • @user-xm5os9ku6q
    @user-xm5os9ku6q 4 місяці тому

    Duh hatar sana Yan nimecheka sana

  • @khaney-de-joance
    @khaney-de-joance 5 місяців тому +1

    😅😅camera man vipi ubapa part 2 ije pls

  • @angelmakasi3687
    @angelmakasi3687 4 місяці тому +1

    😂😂 poleni aise.ndo mkaogeshwa

  • @thobiasmajaliwa9282
    @thobiasmajaliwa9282 5 місяців тому

    Mr uky leo umekutana na kitu kizito

  • @user-wj3tx9rp9k
    @user-wj3tx9rp9k 2 місяці тому

    😂😂😂Aaaaaah nmecheka jmn asicheke mwingne sio vxur

  • @user-qo6ft7kg6h
    @user-qo6ft7kg6h 25 днів тому

    Ndio ukome kazi unbeya 😂😂😂

  • @hildaruben3372
    @hildaruben3372 3 місяці тому

    Aki nimecheka sana 😂😂😂

  • @SarahJames-e5d
    @SarahJames-e5d 15 днів тому

    Amna mwanaume apo ata kwa. macho tu iyo cm ni Bora ungemnunulia ata mama akozazi

  • @kingchriss1811
    @kingchriss1811 5 місяців тому +1

    Lyoli sanyunu ushajile mwana wetyu

  • @mankamassawe7030
    @mankamassawe7030 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂pole Mr Uky jmn

  • @nickymassacky9698
    @nickymassacky9698 4 місяці тому

    Wekeni actors wanaoweza kuwa serious. Tunajua mnatufunga kamba kwa uongo lkn wekeni uongo unaofanana na kweli. Dakika 3:30 anacheka sana

  • @user-yn8yj5xf2p
    @user-yn8yj5xf2p 5 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂ckutarajia kabsa Yan n ww Kam utatupwa ukafate cm

  • @user-dt1bb1yn8g
    @user-dt1bb1yn8g 4 місяці тому

    Hapa bongo hakuna mwanaume wa msichana mmoja😢

  • @user-zd9ec1vx3l
    @user-zd9ec1vx3l 5 місяців тому

    Ndo upunguze Mr uky hzo

  • @AdmiringCaptainHat-gh3tf
    @AdmiringCaptainHat-gh3tf 5 місяців тому

    Mr uky

  • @EMILYSAMSON-rv3ns
    @EMILYSAMSON-rv3ns 4 місяці тому

    da pole sana bro ila usiache kufanya ili tuzidi kujuwa mengi

  • @saumurashid972
    @saumurashid972 4 місяці тому

    Duuh pole sana

  • @youngchyna744
    @youngchyna744 2 місяці тому

    Nimecheka sanaa

  • @user-vz9nf8oq1y
    @user-vz9nf8oq1y 4 місяці тому

    Uyo ndio mwanaume sasa anampiga demu kwa tishu ety 😂😂 cheka san aisee

  • @libnashaban7604
    @libnashaban7604 5 місяців тому

    Hhhhhhhhhhhhhhh nd ukome , umbea ,uky 😂😂😂😂😂

  • @Reyjackson-f5c
    @Reyjackson-f5c 13 днів тому +1

    Mmh

  • @user-cc1ru5xe1t
    @user-cc1ru5xe1t Місяць тому

    😂😂😂😂😂😂pole changamoto za kazi bro

  • @user-js4bu1jp7n
    @user-js4bu1jp7n 2 місяці тому

    Mbonahuyu kaka mmemuweka mara fumanizi la gari mara huku

  • @user-du6hg6vh6r
    @user-du6hg6vh6r 5 місяців тому

    Jmn wanaume mnashida gan lakin khaa😂

  • @pendolymo9354
    @pendolymo9354 5 місяців тому

    😮😅😅😅😅mr uiky leo kimeumana

  • @martinetimotheoofficial3304
    @martinetimotheoofficial3304 5 місяців тому

    Duuuuuuuh kazi na malipo😅😅

  • @miriammshana8762
    @miriammshana8762 4 місяці тому

    Jaman this location ni nzuri anae ijua plz ipo wapi??? I need to go there nimtoe out my man

  • @user-rj1zx1ml4f
    @user-rj1zx1ml4f 2 місяці тому

    Nimechka kwasauti wallah🤣🤣

  • @user-rx9kv3if5q
    @user-rx9kv3if5q 2 місяці тому

    Wallai watu wamevulugwa mnakuja waretea ujinga😅😅😅😅

  • @user-rm9iz3yi5c
    @user-rm9iz3yi5c 3 місяці тому

    Yanini kutupa sim je kama namba kakalili yaani huyu bwana ajakuoa😂 unaenyeka tu ndo maana miye🙌🤐

  • @MemoryKamutandi
    @MemoryKamutandi Місяць тому

    Mbavu sina😅😅😅😅😅😅😅

  • @happyogongo217
    @happyogongo217 Місяць тому

    😂😂😂😂😂😂kiboko Mr uky

  • @user-pd8cm4sz7m
    @user-pd8cm4sz7m 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂jamn mnapitia mingi mambo

  • @user-lg9sx7fk1b
    @user-lg9sx7fk1b 2 місяці тому

    Jemeni hakuna kazirahisi kweli

  • @user-lg1ix5gk5i
    @user-lg1ix5gk5i 4 місяці тому

    Pole umekutana nacho

  • @user-yl8dv7ip7f
    @user-yl8dv7ip7f Місяць тому

    😅😅😅😅😅 heeee

  • @LetciaAlto
    @LetciaAlto Місяць тому

    Aah kukubabake huyo mwanaume ningeenda kumroga agongwe na roli sitak ujinga mim

  • @MariaFrances-xf1iw
    @MariaFrances-xf1iw 2 місяці тому

    😂😂😂😂😂mapenz nyokoooooo

  • @celvinrobert7972
    @celvinrobert7972 Місяць тому

    Shida Mnapenda Mabishoo😅😅

  • @gastonmkeyegele9225
    @gastonmkeyegele9225 4 місяці тому

    nmecheka😂😂😂😂

  • @user-jk5qe4iz3q
    @user-jk5qe4iz3q 2 місяці тому

    Nimecheka saana

  • @Sharifajafari-ys6gx
    @Sharifajafari-ys6gx Місяць тому

    Jamani mbavu zangu😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @JumaDezombie-cn3yu
    @JumaDezombie-cn3yu 5 місяців тому

    😂😂😂😂😂😂😂😂 kaziii ngumu sana

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 4 місяці тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Maskin' pole Mr Uk

  • @momkhan-hc7zh
    @momkhan-hc7zh 3 місяці тому

    😂😂😂mkaogeshwa kwa lazima manina

  • @Dareaziz
    @Dareaziz 4 місяці тому

    Mfyuuyy

  • @user-ir2tz7ki3p
    @user-ir2tz7ki3p 4 місяці тому

    Hhhhaahhh walivorusha ss kma ndege😅

  • @lidyastpgwaha1586
    @lidyastpgwaha1586 3 місяці тому

    Jamani huyu si yupo kwenye siri huyu birthday boy

  • @FetyJoseph-vj9th
    @FetyJoseph-vj9th 2 місяці тому

    Nimechek kama mazuri

  • @MwajabuAhmed-po4me
    @MwajabuAhmed-po4me 2 місяці тому

    Nimecheka kama mazuri

  • @tedytitus7205
    @tedytitus7205 5 місяців тому

    ivi ni kweli 😂

  • @user-ki2pu7qc1q
    @user-ki2pu7qc1q 4 місяці тому

    Dah