Ujue hawa wanaaminika watu mahusiano yao hakuna mwanaume ambaye anamwanamke mmoja iyo haipo sasa utu mwenye harusi anakuli wakati anaenda kwenye ndoa ajui kama wapo wanawake wanao tafuta ata iyo ndoa haipo
,Koredio soma huu ujumbe, Ukiwa kama mwanume tumia hakili, Mtu unajua yuko kazini, wanaume tuna hustle usiku na mchana, we unaleta ujinga, hujui mtu anaumiza hakili kiasi gani na maisha we hutaki kuwazaa hilo mzee.... unayumbaaa Sanaaaa
Huoni pia kiredio yupo kazini na pia na yeye ni mwanaume anae umiza kichwa kama kufanya hicho anachofanya 😁 tuache ushamba bhana kila mtu apambane na kazi yake 🙌 keep going bro 💪❤️
We mbwa unakula Mbs zangu sana. Notification ipo on. Asee ni bless ata Mb za buku tano. Kuna li levi limoja lina piga sana mke wake. Uje uli challenge na husiliambie kama ni challenge naamini lita acha pombe tu.
Muda huooo mnasema bi arus mjinga mwenzenu niko na mume wangu sahz nampetpet na challenge nmefanya na malipo yangu ya kutosha nkapewa na siachiki Ata aje na challenge kumi kwa wakat mmoja kredio njooo tena😂
Huyu dada ni mjinga huwezi kubali huu upuuzi kamwe kwenye hali kama hiyo mimi ingekuwa ni huyo mwanaume ungeolewa na kiredio Kuna vitu utani hauhitajiki
Kaka kuwa makini zaidi nakazi yakokunabaadhi ya mahusiano umeshayavuruga jaribu kufanya chalenge ambazo unaamini hazitakuwa namadhara kaka najua nikazi lakini kazi yako isiwe chazo chakusababisha machungu kwa wengine
Mke wangu popote ulipo usije ukafanya huu ujinga utamfuata kiredio nimesema 😢
😅😅😅😅
😂😂😂😂😂 nimecheka sn
😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Tuliokuja fast UA-cam tujuane ila huu ujinga sifanyi haki wallah
😅😅😅😅😅😅😅bwana angu mimi angenikataa kbsaa
Ujue hawa wanaaminika watu mahusiano yao hakuna mwanaume ambaye anamwanamke mmoja iyo haipo sasa utu mwenye harusi anakuli wakati anaenda kwenye ndoa ajui kama wapo wanawake wanao tafuta ata iyo ndoa haipo
Kwakweli nimekuja chap
@@AnthonyAnatorynashanga
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂 nyie nyie mm sitak huu ujinga kabisa wee mwishoe niache bure
😂😂😂walivyogoma kufanya challenge nmecheka sana walah
Yule babe angu pangechimbikaaa,Wallah nikikuonaa nitakimbia mbio za paka chongo
Unaweza fanya mzaa ukajutia.
Kiredio wewe kiredio litakuja kukukuta jambo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kwa mm nilivoelewa hili ni tangazo 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Limkute malangap
,Koredio soma huu ujumbe,
Ukiwa kama mwanume tumia hakili,
Mtu unajua yuko kazini, wanaume tuna hustle usiku na mchana, we unaleta ujinga, hujui mtu anaumiza hakili kiasi gani na maisha we hutaki kuwazaa hilo mzee.... unayumbaaa Sanaaaa
Hata hivyo kuna wengine wana tatizo la presha akumbuke na hilo.
Huoni pia kiredio yupo kazini na pia na yeye ni mwanaume anae umiza kichwa kama kufanya hicho anachofanya 😁 tuache ushamba bhana kila mtu apambane na kazi yake 🙌 keep going bro 💪❤️
Haya ni maigizo mtu mzima na akili zake si dhani kama anaweza kubali kuharibu ndoa yeke
Huyu mume wangu hatajua kiredio wala kispika. Nitafarikishwa😂😂😂😂
😂😂😂😂
nimecheka atar eti kispika😂
😂😂😂😂
We mbwa unakula Mbs zangu sana. Notification ipo on. Asee ni bless ata Mb za buku tano. Kuna li levi limoja lina piga sana mke wake. Uje uli challenge na husiliambie kama ni challenge naamini lita acha pombe tu.
Miii hapana kwakweli nooo kubwa😂😂😂😂😂😂
Hyo biharus anakilanga mwee eti anapiga kabisaaa nyie mwendekezeni tu kiredio
😃😃😃
😂😂😂kwakweli Acha wamuendekeze tu
Kaaah mtu anaweza kuja kufa Yani daah 😅😢😂😂😂😂
hahahahahhhhhh nakupenda bure wemkaka jamani hiyo ni challenge plus tangazo so acheni makasiriko
Ukiachika mwali wetu Kiredio lazima akuoe 😂 by fire by force ❤
😂😂😂😂kiredio jmn lbd Kam ni tangazo sawa ila kama uko serious umuoe tu na vee ue na wake wawili cjapenda
Aah kw kweli hii yavunja mahusiano kabisa
Eeehh huuu ujinga sitokaa niufanyeee dah hujui anayeongea sijui ana hali gan.mara paap mahusiano yameharibika kwel utani mbayaaaa😢😢
Ata kuchukua mamuzi ya kujiua mtu uwezi jua mtu anakupenda kiasi gani mtu anatoka apo anajinyonga bule unaitwa mfiwa
IPO SIKU UTAMPONZA MWAIKIMBA📌
Hadi mwanza umetisha kiredio 😂😂
Mwanaume nimempenda n mstaarabu sana hatoi taarfa za mkewe kuna mikaka inalopoka kwa hasira
Umeonaee
Watu mnapenda kwl
Uwiii i can't kufanya hv😅
Muda huooo mnasema bi arus mjinga mwenzenu niko na mume wangu sahz nampetpet na challenge nmefanya na malipo yangu ya kutosha nkapewa na siachiki Ata aje na challenge kumi kwa wakat mmoja kredio njooo tena😂
😂😂uliogopa lkn
Nice waache wazngumzee lakin deal done ✅🤣🤣🌹❤️
Naomba kadi biharusi
Mpaka hapo ushavunja mahusiano mengi sana we kiredio wewe kah 😂😂😂😂ila mimi huu ujinga sifanyi 😜😜
Kiredio nikikukuta njian ntakimbia mbio hizo so kwa mamb haya
😂😂😂😂
Shenzi kabisaaa😂😂😂😂😂
Mmmh labda cyo fulani wangu, jembe lingelima lami😂😂😂
we jamaa fala sanaa😅😅😅😅🙌🙌
Huo ujinga kiredio usije kufanya tena utakuja kufanya watu wakuozeshe ww
😂😂😂😂Nimekuja yutb kwakukimbia mpk nimejikwaa🤣🤣🤣🙌🙌
Anatangaza biashara ya mashela hapo
We kiredio acha hayo mambo kabisa jamaa angu
Kiredio njooo mwanza chap kwa ajili ya mahusiano yangu yavunjike yasivunjike fresh tu
Akija uni dm
Yaan huyu bi harus anachekelea kabisa heee mi siwezi haya mambo utaachika hvi hvi na usiamini
same here🤣
Huu ujinga akinifanyia mpenz wang tunachana staki discussion
Mm ujinga huo siutaki😂😂😂
Mh we kiredio wew😂😂
😂😂😂 mungu wang kiredio unadhambi ww
Bi harusi weeeee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Siwezi kufanya huu upuuzi hata kwa dk 1 labda sio mimi
Akiiiiii😪😂😂😂
Content zingine sio kabisa haifai
Hi harusi hajielewi kabisaaaaaaaa
😂😂😂😂Kiredio utauwa watu Na hizo challenge zako ety 😂😂😂😂
Kama unaipenda furaha ya mahusiano yako epuka kukutana na Vicent.
Hhh😂😂😅
😂😂😂😂
Kama unaangalia cctv camera gonga like hapa
Msenge sana huyu bi harusi…
Fala Sana yaan anamwendawazim na nusu
Hatari mno usijaribu hii wala usipime 😂
Kiredio🙌🙌
Kwaiyo kiredio tuje uchi shenzi kabisa😂😂😂
Utakuja kuuwawa nyama ww😂
Dah bora jamaaa kakufahamu aseee😂😂😂😂 nimekilia utube fasta kama radi
We jamaa huna akili kabisa IPO siku utakuja kufanywa kitu mbaya hutakaa usahau nakuambia
Mmmh Kwakwali huu ni ujinga mm siwez fanya huu ujinga maisha
Kiredio kiredio🙌🙌🙌🙌
Jamani mimi sifany abadani eti nijue napendwa au sipendwi 😂😂😂
Daa mim hapana jmn🧐🧐
Mmh hizi challenge ni za ajabu sana kwa kweli unaweza kuachwa hivihivi.
Huyu mdada kama ni kwl Ako na ufala sana na anastaili kuachwa 😅😅😅😅😅
acting
Maisha sio kuwa serious kaka refresh ur mind
@@neemasovela5037 Kabisa yani ..
Nomaaaa sanaaa
Mwanamke anayejitambua awezi kukubari kumjaribu mmewe mtarajiwa Kwa huu upumbavu kamweeee
Aisee
Mtakuja fanya watu waachike wallahi 😂😂😂
Na watu wako na masiala na shela jamani😂😂😂
Biharusi wewe ni mjinga, yaan mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyew
Anamwamini bana @kiredio anachangamsha mambo ikiwa chenjeu ndo una yamwaga
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ww kiredio ww utakua uvunje ndoa za watu😂😂😂😂😂 wanaume wengine machozi ujuwe
🤣🤣kiredio nikikuona popote ni mbio kuliko kibaka aiseee
Challenge zngne ni za kiboya bhana
Kama tu mi nmeogopa, je kiredio😅
Suzie kipnz za siku afu kiredio huyo hahaha angalia usiachike
😅😅
Aaaah mistaki😂😂😂
Kiredio msenge sana mamqk😅
Uuuuuuwiiii kiredio weeeeee
Mwanamke mjinga sana huyu
Una balaa wewe dadaa😂😂
Duh wew kiredio unahatari
Una risk NDOA kisa challenge ...wah
Upuuz wa Hali ya juu😂
Kiredio ww utauwa
Uhuu ujinga siwezi jaribu ata kidogo
HUU NI UJINGAAAA WE MDADA..., Mfyuuuuuuuuuu😮
Huyu mwanamke ni fara kbsa... kafanya ujinga na liredio wake afu anajichekesho me nakuacha hapohapo na hautaamini
wameshaanza kwenda uchi😂
Huyu dada ni mjinga huwezi kubali huu upuuzi kamwe kwenye hali kama hiyo mimi ingekuwa ni huyo mwanaume ungeolewa na kiredio Kuna vitu utani hauhitajiki
Keredio bhna ety ongea ongea😅😅😅😅
Mwanamke mjinga ataibomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe
hayo maigizo hapo...unavutwaaa kila siku...hao wote waigizajii huyo dada hajaolewa wala nini ni washkaji wa kiredio tu
Mmsifanyi kamahii😂😂😂😂
Vai wa kiredio mshaur kijana wako
Ww kiredio acha utani 🙆🙆
Kiredio kiredioo😂😂🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻🙌🏻
We acha hayo mambo utafunja ndoa ya mtu asee
Nimekuja fasta
Mimi moyo ulikua unanidunda. Mpaka walivyo maliza kuongea. Ufiiii…❤
Bi harusi moyo unadunda😂😂😂
❤❤❤❤
Kumekucha tena
Mtakuja kuuwana
Baadhi ya wanawake akili zao bhna.
Mm nngekuwa kama mwanamke nsingefanya huo upuuz
😂😂😂kiredio nyooo kumbe muoga
Kaka kuwa makini zaidi nakazi yakokunabaadhi ya mahusiano umeshayavuruga jaribu kufanya chalenge ambazo unaamini hazitakuwa namadhara kaka najua nikazi lakini kazi yako isiwe chazo chakusababisha machungu kwa wengine