Alirejesha yale tulioibiwa, tukatabili na tukabariki,, sas yote yaliyolejeshwa na kutabiliwa na kubalikiwa leo yamekuwa PERMANENT 🔥🔥🔥🔥🔥🔥 watu wa maana kabisa hawa kutoka kwa Mungu aliye juu.......❤❤❤
Number 1 from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Tanzania me your like now please 🙏🙏🙏🙏🙏🙏 soon My song it's enjoy your day for song neema gospel choir come like
Tuliobarikiwa , sasa baraka zetu zinaenda kuwa PERMANENT.Gonga 👍 🇹🇿🇰🇪🇺🇬🇷🇼
Hakika mungu katutendea mambo permanent hakuna waku tunyang'anya💥💥baraka ni permanent
Ila nyie watu kuna huyu mtu anaitwa *Titus Alfred* Najua kuandaa Editin zake mazeee aisee sio kitoto ni vibao vya nguvu and they are very generous 😊
Ilikuwa Temporary and now is PERMANENT. MWAMBA NI Yule yule i really like this creativity. God bless You
Choirs nyinginezo zijifunze quality ya Recording kutoka kwa hawa jamaa, Mixing, Mastering ☑️
Getting blessed from Kenya 🇰🇪🇰🇪
Freddy Kuna namna ameumbiwa kuwa fundi wa muziki aisee, mwanamasanja ulemhola saana bhabha 🎹🎧🎸🎸
Baba kasema nisihofu yuko nami Tena, nisifadhaike Mkataba wa Baraka ni Permanent.🎉❤😂
God is Great to us . Napenda sana this Choir 🙏🇹🇿🇹🇷🇸🇸🇱🇾
Wimbo Mzurii Sana, Mungu Azidi Kuwabariki Kwa Jumbe Zenu Nzurii Kila Kukichaa🙏🙏👏👏
Mnajua kuufurahisha moyo wangu kila nikisikiliza nyimbo zenu huwa nafurahi tu
Shetani na watu wake kimya,
Mungu aendelee kuwaweka permanent,
Kila kitu kipo sawa kizazi muhimu Sana Cha AICT KWAYA, Kuliko vipindi vyote nimevisikiliza, muwekwe kwenye kumbukumbu ya kanisa mmekuwa mfano wa kwaya zote za AIC Hilo halina kupingwa,
Hakika mnaweka jiwe la ushuhuda kila mmoja anaona na kusikiliza,
Mtu akiona Ni rahisi ajaribu kufanya.
Hakika nimeamini Uwezo na bidii vinaanza ndio pesa inafata.🙌🙌
kuna mahali ninawaona zidi ya hapa mlipo
mtafika kwa neema ya Mungu.
HAMNA BAYA
Hakika nimefunga mkataba na huyu mzeee kwa kweli
Mkataba wa baraka ni permanent
Aseee hamjawahi kukosea hata siku moja nyie watu,,,,NEEMA GOSPEL CHOIR 🥰🥰🎉
Nakeshaa nasikiliza nyimbo zenu kila siku....zinanibarikii sanaa MUNGU AWATUNZE🙏🙏
Ilikuwa TEMPORARY ila sasa ni PERMANENT
May God greatly bless his servants and bless the works of your hands NEEMA GOSPEL CHOIR 🙏
Wale wa gitaa la solo safari hii hawaja leta mambo yao sana, this time naona ilikuwa kwa pianist na bassist, na drumers . Wimbo mzuri edit nzuri, light engineer yuko vzr, stage sound yuko vzr pia.
The calming sound of this song forces you to paying attention by default. and listen to the great words with no interruption.
Edit: Well done Neema Gospel Choir for blessing us. Praised to the most high God.
Nlikua naisubir san kwa mara kwanz ilkua pale kijitonyama lutheran🎉🎉🎉🎉🎉 musicians Mungu awabariki🎉🎉🎉🎉
Mkataba WA Baraka Ni Permanent 😘
Tuliyorejesha saiv ni permanent BABA Kasema🔥🔥🔥🔥
Love from burundi🇧🇮🇧🇮Ampiano is good vibe
Eeeeeeeeish wapi likes za kenyans
This song was arranged by a scientist💯❤️
Mungu kanitendea❤❤❤neema gospel perma nent
Mtaalam wa itifaki @Titus Alfred chukua maua yako mapema.
❤❤❤ mna sehemu yenu mbinguni
Vous êtes ma chorale préférée . Que Dieu vous bénisse. Je vous à partir de Beni en république démocratique du Congo. Soyez bénît
Powerful 🙏🙏 MUNGU AZIDI KUTUKUZWA KWA MAMBO MAKUU ANAYOTUTENDEA
Ellice Ume fanya vizuri sana from Leandra
Best gospell for realll🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Wimbo mzuri
Hii ni Kubwa na Nusu,nina mwanangu hapa alikuwa anaipenda Temprary,ila kwa huu wimbo,namuona kauelewa zaidi,tumeurudia kuusikiliza zaidi ya mara Nne
You're of next generation , kubwa na la msingi kazi isiwe bure mbele za Mungu maana ndo lengo kubwa watu wafurahi na nyinyi muuone ufalme wa Mungu , kama yupo mmoja wa wanakwaya nina soda ya wapiga mziki kuipata tuwasiliane siku moja mkiwa mazoezini amin
Mungu Yehova yu nami kwa Kila kitu permanent. Amen
Nashukuru leo nimepata zawadi nzuri sana ya brithday yangu.....Naimba wimbo huu tu leo
Beautiful people you never disappoint! I love how you praise God He Is A Great God And He's Greatly To Be Praised 👏 🙌 🙏 ❤️ ♥️ 💖🎉👏 🙌
What a song!! My prosperity is permanent
What a hit song. Nyie watu wa Mungu mmebarikiwa. Tumerejeshewa baada kutabiri, na tukabarikiwa. Sasa zile baraka zimekuwa ni za permanent 😊
Afu ctep safar hi ndo kama za chino duh 😮😮😮😮 jitahd kubadilsha kdogo lakn yote Kwa yote MUNGU AWABARIKI SANA Kaz yenu n njema sanaaa❤❤❤❤🎉🎉
Amen amen, Hakika ni Permanent blessings🎉❤
Tuliokuwa tunasubiri huu wimbo kwa hamu tujuane
Ameeen from temporary to permanent 👌👌👌👌
Family your amazing 🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙌🏽🔥🔥🔥
❤❤❤❤
God is Great to us . Napenda sana this Choir 🙏🇹🇿
Love ❤ from the 254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Such a wonderful song, bless up guys 🙏
Oooh yes nimefunga naye mkataba sitangangana tena Amen Amen
Kwangoma hii daaaah .... yaaan alivyovinyang'anya shetan lazima virudi kwawana wa Mungu ngoma hiz zinatakiwa zilie saaaan
Beats iko sawa kabisa. Inakaa amapiano❤❤❤
Weeeeeeeeeeh nimerejeshewa sasa naenjoy nani kaona
This choir always gives a vibe in Christ ❤❤
Hii ni Kali ya MWAKA
Amina
Mbarikiwe Sana
Hakika Mmekuwa Safi Sana
Permanent ni firee,hao kastyle km kawimbo wa big God mmekawezea❤
Huu Wimbo Ni Wa Kimataifa Ikiwezekana Uwekwe Kumbukumbu Ya Kizazi Kijacho ❤
Waooohhhhh hiii nyimbo kaliiii balaa hongereni sana Mungu awabarikin sanaa🔥🔥🔥
I love this song 💯💯
Nyimbo zakuumiza vichwa kutunga ndo zinatakiwa saivi biashara yakua navinyimbo mserereko haitakiwi... wana wa Mungu tunatakiwa tuliteke soko lahuko mitandaon,sio kitu rahisi lakini kwakaz kama hizi naamini inawezekana....
This song is top notch...Mungu azidi kuwaenemesha na kuzidi kuwafikisha mbali.
Eiiyy jameni mbarikiwe kwa nyimbo huu🎉❤
Producer wawili hawa wakikutana ni hatari fredy na keifer vinanda moto
Nawapenda bure nyimbo zenu huwa zinanibariki mubarikiwe
I love you! Praise Jesus!
Amazing and beautifully done. Great lyrics and what a testimony
Best choir in East Africa be blessed 🙌 🎉
no One from Arusha Tanzania ❤️❤️❤️
kali sana...glory hallelujha
Nawapenda sana aloo
love you all, May God Bless you forever more 🙌🏾🙏🏾❤️❤️
Always nyie ni baraka kwangu
❤❤ finally Mkataba wa Baraka ni Permanent
Mimi si mtaalam wa kucoment lakini hapa nimeingia kwenye coment dahhh mko juu sijawahi kuona hongereni sana
Yeah yeah😊
Waooooo jaman mungu awabariki Kazi nzur sana❤❤❤❤❤
Eeeish🎉🎉🎉 Si I love you guys...🥰
Congratulation neema gospel
Ampiano mood😊😊😊😊😊😊❤❤❤
Much love from +254
Choir number one in tz
Nani kaona yale mungu amenitendea🔥🔥
NGC my best choir Kila wimbo mnasonga next level, next song change uniform 😂😂
Waaw congratulations 🎉🎉🎉 Neema Gospel choir.
I'm really blessed.... 🙏🙏🙏 Kuanzia kwa intro, sijui kama Kuna mwengine amehisi vile nimehisi.... These guys are heavenly singers, salute... 👏👏👏
Lyrics📌
Nani kaona yale mambo Mungu Baba kanitendea
Kanifanya niimbe Mbele ya adui nivimbe
Niko sure na huyu mzee Kanitendea
Amesema yuko nami wala siogopi Maana he is on my side
Baraka zake ni kwa wingi ninamuamini Ni mtetezi wangu Permanent
Baba kasema nisihofu
yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka Ni Permanent
Tumefunga naye mkataba Baraka sisi Mungu anatupaga
Ulinzi wake tu unatoshaga Haki zetu anapiganiaga
Oooh hatutanyang'anywa tena
Nimeshikika kwake Sitachomoka kwake Nipo Permanent
Baba kasema nisihofu
yuko nami tena nisifadhaike
Mkataba wa baraka Ni Permanent