Mimi sio mbaguzi wa rangi, lakini siamini kama yesu ni mtu mweupe. Ukiristo na usilamu uliletwa Africa kuwadanganya waafrika ili watawaliwe. Kwannini sura zote za picha zinatundikwa makanisani ni picha za mtu mweupe na sio mchanganyiko wa rangi mbalimbali za binadamu wote duniani. Watu weusi sasa hivi duniani wanaonekana kama ndio wabaya mashetani. Kabla ya ukoloni waafrika walikuawa na dini zao, tuliomba mungu wetu Milimani kwenye mapango, mitoni, na baharini. Mungu alitusikia. Tuliomba mvua, mvua zikanyeesha, tuliomba matibabu tukatibika. Yesu ni mtume wa wazungu kwa maoni yangu.
My friend nadhani ni bora utafute mada nyingine za kuzungumzia, wakristo wa kweli hamwamini Yesu aliyechorwa kwenye picha au sanamu, waaminio wa kweli hawaamwamini Yesu kwa sura umbo au wajihi wake, tunachoamini ni NENO LAKE. siyo rangi, kimo, wala.sura. na Yesu atakaporudi hatutampokea kwa kumwangalia sura yake wala mavazi, urefu, rangi ya nywele zake au ndevu zake, bali ULIPO MZOGA NDIPO WANAPOKUSANYIKA TAI. Na mwisho kwa taarifa yako YESU KRISTO WA NAZARETI AMEFUFUKA NA YUPO HAI. HAYUPO KABURINI. WALA HAYUPO KATIKA WAFU. Historia yako ni hatari, ya kishetani ya uwongo, isiyorandana na ukweli wa Yesu Kristo kibiblia wala nabii Issa katika uislamu. Pole sana unahitaji msaada wa Mungu kwa kuwa mpotoshaji na mjumbe wa iblis na shetani.
Ndio maana sisi waislamu kweny movie za kiislamu hakuna mtu aliegiza kuwq yy ni mtume Mohammad (s.a.w) kwakuogopa watu kunakili sura....Huyu jamaa ameeleza ipasavyo may be uwe umkoti vibaya
Bwana Mungu wa wote wenye mwili hapa duniani Yesu Kristo, nakupenda Sana, najua siku kazi yangu itakapoisha hapa duniani nitakuona, na nitaweza kujua jinsi sura yako ilivyo. Amen.
Jamal Mustafa leo nakupa sentensi mbili tu nadhani tutajifunza wengi. "Be a hero for one minute or coward for a lifetime"...Bro mwanzo tulikukataa ikiwemo mimi lakini ukakata kua muoga leo tunakuita shujaa. "If you want peace prepare for a war" Ulihitaji amani ,ukajiandaa kwa vita ndo maana kuna muda ulikua kimya kujiandaa na vita leo vita umeishinda na una amani. Hongera kaka
Daima usikubali watu wakushushe! keep fighting and prove them wrong! they will praise you... well done Jamal April....I always believe in Talent and Commitment
Kipindi jamal alipo weka story yake. Ya kwanza watu mlisema hammtaki wala hammuelewi lkn now karibia wote mnamkubali ..hii inafanya niamin kabisa kwamba ktk kufanikiwa mwanzo huwa mgum sanaa lkn ukijituma mambo huwa yanakja kbadilika
Hongera sana Jamal April - The Professor, kwa kazi zako nzuri. Mimi niseme tu kuhusu kaburi, lenye jina la Yesu KWAMBA, kwenye nchi aliyozaliwa bwana Yesu Kristo-Messiah, kulikuwa na watu wengine walioitwa Yesu. Mfano, yule Bar-Yesu aliyeandikwa kwenye matendo ya mitume 13:6-7. Hali kadhalika jina lake la Emmanuel pia wanatumia watu wengi. Hivo yule ambaye jina lake lilikutwa kwenye kaburi atakuwa siyo yeye. Yesu alikufa na kufufuka na mifupa wala nyama yake haipo kaburini.
Dah.. mzee hongera sana umenifungua kwenye jambo nisilokuwa nalijua ama kweli ww ni genius na naamini kweli una uwepo wa MUNGU ndani yako Asante kwa elimu nzuri na mwenyez MUNGU azidi kukuongoza..🙏🙏
Mimi kutoka Kenya. Asante kwa kazi nzuri kaka April! Uwepo wa yesu ni myth. Vitabu vya dini vimeandikwa kwa mbinu ya allegory. "Allegorical language". siyo facts za history. Hiyo ni sababu moja mbona vitabu vya dini havina "dating system". yani mbinu ya kutumia tarehe katika matukio haiko katika hivi vitabu. naomba ufanye research kuhusu mythical beings wengine ambao wana historia sawa na Yesu ilihali myths zao zilkuwepo miaka mingi kabla ya yesu.
Yesu hatatokea akiwa amevaa mwili kama Jamali anavyodhani ila atakuja kwa roho. Na kitakachomuona sio macho yetu ila ni roho zetu. Na hawa wakina Blayan na Robert woa wanaigiza tu kufwatia maandiko na mtu anacho amini si sura ila ni matendo . Sura haiwezi kutufikisha popote. Okokeni maana hakili Yesu hatumuamini kwa resurch ao kwa archeology bali kupitia Biblia takatifu. Sema Amen kama tuko pamoja
Hongera sana mwenyezi mungu ata kulinda Niamini lakin watu wabaya wataanza kukupinga na kukukwamisha lakin mungu hashindwi kama ww nini mmoja wa watu ambao mungu amepanga kukutumia kwenye kazi yake amini hamna atakaye zuia japo vikwazo lazma ukutane navyo lakin usiogope wala kukata tamaa HONGERA SANA KUWEKA WAZI UKWERI UNAOFICHWA KILA UCHAO
Bwana wetu Yesu Kristu alikufa na alifufuka siku ya tatu. Na hicho kitambaa ndio alama alioiacha. Hivyo basi Yesu kristu atarudi tena kuishuhudia dunia na wale wanaompinga. Humu kila mtu ana imani yake tuache kudodosa ya mungu kwa kejeli hatujui kitakacho tukuta. Mimi naamini ya kwamba Yesu yu hai mpaka sasa na alisema atarudi tena kuchukua walio wake.
MTU MMOJA AKANIAMBIA KWAMBA KWANINI UNAMWAMINI YESU HAUJIU KWAMBA YESU NI MZUNGU NIKAMWAMBIA SIKILIZA NIKWEELEZE HAYOYOTE SITAKI KUJUA NINACHOJUWA AMENIOKOA , NILIKUWA MTUMWA AKANIWEKA HURU NDIO MAANA NINA MWABUDU,
Watafiti hao ni binadamu kama mm so cwez wahamin kwa makadilio yao iki ni kitendawili kikubwa sana. lakini cwez walaumu bali nawaombea kwa Mungu awabariki sana na waachane na kazi ya kukadilia sura ya Yesu bal wa muombe sana Mungu awabark wafike mbinguni waka muone yesu kwa uhalisia wake, Asante Mungu kwa kuniumba mm na wanasayansi wanao kisia sura ya mtoto wako tubark cc wote na utusamehe kwa dhambi zetu zote
@@ikrissaidrissa8613 Hapana God/Mungu ni wengi, inawezekana ni ng'ombe, mizimu, miti, mawe, moto itategemea na imani nyengine ila Allah ni Mwenyezimungu hana mshirika, hakuzaa wala hakuzaliwa, hakuna aliefanana nae, yeye ndie alieumba ulimwengu na kila kilichomo nae ana majina 99
Daima usikubali watu wakushushe! keep fighting and prove them wrong! they will praise you later and be their hero... well done Jamal April....I always believe in Talent, Hard work and Commitment
@@ceciliaeleuterymbangile7989 That's crazy me as well before doing my research I used to think that is the real picture of Jesus Christ..but it was damn lie 🤥
Wafilipi 2:5-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT) 5 Muwe na nia kama ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu; 6 yeye kwa asili alikuwa sawa na Mungu, lakini hakuona kwamba kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kush ikilia sana. 7 Bali alikubali kuacha vyote, akachukua hali ya mtumishi, akazaliwa na umbo la wanadamu. 8 Alipochukua umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii mpaka kufa, tena kifo cha msalaba. 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimwinua juu kabisa, akampa jina ambalo ni kuu kuliko majina yote; 10 ili kwa jina la Yesu, kila goti lipigwe, mbinguni na duniani na kuzimu; 11 na kila ulimi ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu
Jesus is lord and God over my life I have felt his love and grace in my life.Thank you lord.No matter what anyone says I know my lord is alive and his power is evident in my life amen.
Ukitaka kuijua Sura ya Yesu wewe zama kwenye imani kwa ndani kabisa utaijua sura yake, ambapo utakavyoiona wewe sivyo watakavyoiona wengine !! Imani ni fumbo ambalo analijua anayeiamini pekee !! Na kama Mungu alituumba kwa mfano na sura yake basi kila mwanadamu anayo sura ya Mungu !!
Charity The Golden I wish ungewaeleza watu waliodhania kwamba Jamal anaikashif imani fulani kisa anaongelea rangi ya mwili ya yesu. Hapo ndio unajua mabeberu wanetutawala hadi fikra
Dah yan wa2 vigeugeu sana yan ,,@JAMAL wasamehe wote waliokuvunja moyo na hongera kwakuonyesha kua unaweza Fact MSIPENDE KUMUHUKUM MTU BILA KUMPA NAFAC
Hongera umejitahidi kusimulia! Kitu ambacho binafsi yako huamini lakini umesimulia vizuri !! Wewe unaamini kuwa Yesu hakufa alipaishwa mbinguni kutokana na imani yako! Sisi twaamini alikufa akafufuka Swali langu kwako kutokana na simulizi yako Je! Wewe unaamini mwili uliokutwa kwenye jeneza ni wanani? ??
Hakuna haijuaye sura ya yesu
Waamini gonga like p1
aha amazimgua
Hayo ni maigizo tu
@@ElikiSELEMANI hamna sura ya YESU hapo. Hayo ni maigizo tu
Anae amini Yesu ndio jibu la maisha yako Gonga like hapa
Jibu la maisha yako? Kivipi hebu tuweke sawa kidogo
Sio mungu bali ni yesu eti
Kivip yaaani
Brian Dickon ndio jibu tena?
Yesu ni binadam kama mimi na wewe na hawez kuwa jibu wala swali
Kama unampenda yesu na unaamini ndiye mkombozi wetu gongs like hapaa!!
🙏
Kama unampenda yesu kama Mimi like naziomba nyingnyngi tujuane
yesu kama mm tuu
yesu si kama ww unakosea
Watu wakilike ww unafaidika n'a nn ?
we unampenda mtu humjui acha ujinga huo, yesu alikuwa mwanadam tu ruhusu ufahamu wako kufanya kazi nje ya bible usiwe kama robot
kinachowaponza wengi ni kunukuu bible kwa kila kitu as ifu wew huwezi kufikiri
Twende pamoja acha tuisikilize leo nimewai kuwa wa kwanza mazee Gonga like kama wampenda Yesu
WCB4LIFE 👑
Amen
Nmekukuta kwa sky na interview ya liliomy na uku upooo umetiasha mwamba
andrew lio
Amen
Kama unamuamini Mwenyezi mungu na Yesu Gonga like Hapa💗💗👇👇
acha mambo yko yesu sio Mungu mzee fikilia kwanz
@@salumchamwiti1017 lakini Vicent kaainisha Mwenyez Mungu na Yesu hakusema Mwenyez Mungu ni Yesu...labda umeelewa tofauti!
Salum Chamwiti Kama wewe sio mkristo nitakuelewa lkin wachristo tunajua ni mungu
Mimi sio mbaguzi wa rangi, lakini siamini kama yesu ni mtu mweupe. Ukiristo na usilamu uliletwa Africa kuwadanganya waafrika ili watawaliwe. Kwannini sura zote za picha zinatundikwa makanisani ni picha za mtu mweupe na sio mchanganyiko wa rangi mbalimbali za binadamu wote duniani. Watu weusi sasa hivi duniani wanaonekana kama ndio wabaya mashetani. Kabla ya ukoloni waafrika walikuawa na dini zao, tuliomba mungu wetu Milimani kwenye mapango, mitoni, na baharini. Mungu alitusikia. Tuliomba mvua, mvua zikanyeesha, tuliomba matibabu tukatibika. Yesu ni mtume wa wazungu kwa maoni yangu.
YESU NI MUNGU.💕💕❤
Makala,moja amazing aisee dah . Cjawahi comment ila leo sina budi
Yaani🔥🔥🔥
Imedhihilisha ulivo mbuzi Kuma wew sas stor Ina mashiko gan sas hyo??
Amen nishafundishwa nabeda mambo km.haya Ebenezer atusaidie
@@luccabosslugendo9722 ongera kwa matusi mazito endelea ivyo ivyo. Ila juwa iposiku.
@@luccabosslugendo9722 bangi hizo
Duh nlikuwa nakuona hujui mwanzoni nmegundua unajua mno kuliko mtiga,unachimba sana duhhh🤔🙌🙌🙌🙌
Yan Leo kaharibu we ndo unasema umemwelewa?! We kwel huna tofaut na bundi mzee
Lucca Boss Lugendo acha majungu yako mzee baba kaharibu wap acha wivu Au chuk zko jamaa kaumiza sna leo hii tuache Chuki zisizokua na sababu yeyote 😎
I like ,uko sawa,napenda bwana.
Usirudie tna icho ktu kumfananish na mtiga hampati ata kidgo.yule Ni fundi
@@RashidRashid-ko2zhnendenim kamfuate efm
Ooooohoooo YESU alifufuka, unataka ushahidi mtafute Roho Mtakatifu kutoka kwa MUNGU atakujuza.
Safi Sana wasafi Media tupo makini na story book ya wasafi🇿🇲🇿🇲🇿🇲
Kabisa kabisa...
Watu wa Yesu dam dam tujuane.
Nabii Issa au yesu nampenda sana na namuamini kama ni Mtume wa mungu ktk "chain" ya mitume waliotumwa na mungu
Kabisa yan
Muami sana naye atakuinua hautajuta kumuamini amen
Uko vzur kaka
YESU TUTAMUONA MBINGUNI, TUWE TU WATAKATIFU
Andika Yesu or YESU usiandike yesu
My friend nadhani ni bora utafute mada nyingine za kuzungumzia, wakristo wa kweli hamwamini Yesu aliyechorwa kwenye picha au sanamu, waaminio wa kweli hawaamwamini Yesu kwa sura umbo au wajihi wake, tunachoamini ni NENO LAKE. siyo rangi, kimo, wala.sura. na Yesu atakaporudi hatutampokea kwa kumwangalia sura yake wala mavazi, urefu, rangi ya nywele zake au ndevu zake, bali ULIPO MZOGA NDIPO WANAPOKUSANYIKA TAI.
Na mwisho kwa taarifa yako YESU KRISTO WA NAZARETI AMEFUFUKA NA YUPO HAI. HAYUPO KABURINI. WALA HAYUPO KATIKA WAFU.
Historia yako ni hatari, ya kishetani ya uwongo, isiyorandana na ukweli wa Yesu Kristo kibiblia wala nabii Issa katika uislamu.
Pole sana unahitaji msaada wa Mungu kwa kuwa mpotoshaji na mjumbe wa iblis na shetani.
Kweli kabisa kaka
Ndio maana sisi waislamu kweny movie za kiislamu hakuna mtu aliegiza kuwq yy ni mtume Mohammad (s.a.w) kwakuogopa watu kunakili sura....Huyu jamaa ameeleza ipasavyo may be uwe umkoti vibaya
We weng wanaamin yes ndo Huyo muigizaj mnakalilisha mpaka watot
Ww io dini umeipata kuptia ukolon acha kujikta unaijua SNA dini..pia filamu ya yesu io ndio iliowapagawsha sna watu weusi
Bwana Mungu wa wote wenye mwili hapa duniani Yesu Kristo, nakupenda Sana, najua siku kazi yangu itakapoisha hapa duniani nitakuona, na nitaweza kujua jinsi sura yako ilivyo. Amen.
Amina
Yesu ni Mungu??? Wacha kufuru kijana
@@albertpike5893 1Yohana4:1-3.
@@micamathew2595
Hiyo say imesema yesu no mungu!! Soma John 20:17
@@albertpike5893 Yohana 14:6. Soma hiyo mpendwa, Yesu ni Mungu wako.
Jamal Mustafa leo nakupa sentensi mbili tu nadhani tutajifunza wengi.
"Be a hero for one minute or coward for a lifetime"...Bro mwanzo tulikukataa ikiwemo mimi lakini ukakata kua muoga leo tunakuita shujaa.
"If you want peace prepare for a war"
Ulihitaji amani ,ukajiandaa kwa vita ndo maana kuna muda ulikua kimya kujiandaa na vita leo vita umeishinda na una amani.
Hongera kaka
Kweli Jamal anasimulia vizuri sana
Daima usikubali watu wakushushe! keep fighting and prove them wrong! they will praise you... well done Jamal April....I always believe in Talent and Commitment
Fact bro
feyzal Yusuph Kabisaaa
Mm binafsi sikumkatia tamaa jamal April sababu nilijua tu ipo siku nitampa mia kwa mia na imetimia na tangia mwanzo nilikuwa namkubali jamal April
Nimesikiliza ili nijifunze kitu japo mm ni muislamu... Kuna mengi ya kujifunza zaidi ya haya...
Asante jamal mustafa...
Nikweli kabisa
Iko pow
Jifunze kupitia kwenye kitabu cha mwisho kwa binaadamu. AL QUR'AN KAREEM. Takbeer
@@anodendagambie1933 anataka kujua kuhusu yesu sio isa
Kipindi jamal alipo weka story yake. Ya kwanza watu mlisema hammtaki wala hammuelewi lkn now karibia wote mnamkubali ..hii inafanya niamin kabisa kwamba ktk kufanikiwa mwanzo huwa mgum sanaa lkn ukijituma mambo huwa yanakja kbadilika
acha tu
yaaan haya maisha
Mie mpaka leo simkubali kwakuwa napenda historia lazima niskilize
Mtiga Fundi ww... Huyu anaweza kwa nafas yake
mtiga ana xauti hatari
Unafiki unawasumbua tu
Hongera sana Jamal April - The Professor, kwa kazi zako nzuri. Mimi niseme tu kuhusu kaburi, lenye jina la Yesu KWAMBA, kwenye nchi aliyozaliwa bwana Yesu Kristo-Messiah, kulikuwa na watu wengine walioitwa Yesu. Mfano, yule Bar-Yesu aliyeandikwa kwenye matendo ya mitume 13:6-7. Hali kadhalika jina lake la Emmanuel pia wanatumia watu wengi. Hivo yule ambaye jina lake lilikutwa kwenye kaburi atakuwa siyo yeye. Yesu alikufa na kufufuka na mifupa wala nyama yake haipo kaburini.
KAma umeipenda hii story gonga like hapa
Allah akuzidishie kaka uzidi kuzindua watu kutoka usingizini na kuwatoa kwenye njia iliyopotoka
Hamna usingizini ila ukweli unabaki ukibainika kuwa yesu atabaki kuwa yesu na wote waliyoigiza kila kitu walikitoa katika bibilia.
Dah.. mzee hongera sana umenifungua kwenye jambo nisilokuwa nalijua ama kweli ww ni genius na naamini kweli una uwepo wa MUNGU ndani yako Asante kwa elimu nzuri na mwenyez MUNGU azidi kukuongoza..🙏🙏
Naombeni like kama umeielewa Jamal anachosema ni ukweli tuacheni kupotoshana Sisi Kwa sisi
The storybook inazidi kuwa tamu zaidi na zaidi
Mungu ni Roho Sisi Sura haituhusu ,tunamwaminj Yesu na sio Sura wala mavazi , wew usiposhe Iman za watu
Mimekua wa kwanza kucoment
from Zambia
JAMAL MWAMBIE DIAMOND AKUONGEZEE MSHAHARA AKUPE MILIONI 3 YANI UNAJUA SANA MPAKA UNAOGOPESHA...
😂😂😂😂 Sana aisee
Kwel kabxa maan jamaa anajituma xan
Sure😂
We unajua analipwa ngap
Kweli
Umetusahulisha @mtiga.. acha tuendelee kukusuport" weka like👍
Mimi kutoka Kenya. Asante kwa kazi nzuri kaka April! Uwepo wa yesu ni myth. Vitabu vya dini vimeandikwa kwa mbinu ya allegory. "Allegorical language". siyo facts za history. Hiyo ni sababu moja mbona vitabu vya dini havina "dating system". yani mbinu ya kutumia tarehe katika matukio haiko katika hivi vitabu. naomba ufanye research kuhusu mythical beings wengine ambao wana historia sawa na Yesu ilihali myths zao zilkuwepo miaka mingi kabla ya yesu.
Thx bro kwa uchambuzi God bless you.
Wanaosem jamal mustafa anajuwa snn lik hp zimife 30 tt kam kwel jam anajuwa
Hahaha mpaka unachapia kisa kuwahi like😂😂😂
Yesu hatatokea akiwa amevaa mwili kama Jamali anavyodhani ila atakuja kwa roho. Na kitakachomuona sio macho yetu ila ni roho zetu. Na hawa wakina Blayan na Robert woa wanaigiza tu kufwatia maandiko na mtu anacho amini si sura ila ni matendo . Sura haiwezi kutufikisha popote. Okokeni maana hakili Yesu hatumuamini kwa resurch ao kwa archeology bali kupitia Biblia takatifu. Sema Amen kama tuko pamoja
Acha uongo bna imeandikwa kila jicho litamwona sasa ww unaesema roho ndo zitamwona unamaana gani sasa
@@alvinbexton6338sio macho haya ya kawaida maana miili hii tulionayo itakua imebadilishwa
Jamal Mustapha this man is geneous
Huu mzgo umengusa mnooo,Jamaluch respect hii story umeresearch saaana big up
Mzungu
God bless Brian and his family
Jamal April hii kitu ya leo ni kubwa sana Kaka, Mungu akupe mwongozo Mkubwa sana kwa hii Kitu, daaah mpaka nasikilliza kwa umakini sana aiseee🙏🙏🙏❤
True buddy👌🔥🔥🔥🙌😍
We umekua brainwashed nae at hujielewi Kama Nyumbu Fara ww kwa stor gan hpo mpka unasema amezama
@@luccabosslugendo9722 sasa unampangia kipi apebde na kipi asikipende?
Sureee aisee
Uko vzr. U make wasafi TV on 🔥
Those who believe in God shall really rejoice alleluia
Hongera sana mwenyezi mungu ata kulinda Niamini lakin watu wabaya wataanza kukupinga na kukukwamisha lakin mungu hashindwi kama ww nini mmoja wa watu ambao mungu amepanga kukutumia kwenye kazi yake amini hamna atakaye zuia japo vikwazo lazma ukutane navyo lakin usiogope wala kukata tamaa HONGERA SANA KUWEKA WAZI UKWERI UNAOFICHWA KILA UCHAO
Bwana wetu Yesu Kristu alikufa na alifufuka siku ya tatu. Na hicho kitambaa ndio alama alioiacha. Hivyo basi Yesu kristu atarudi tena kuishuhudia dunia na wale wanaompinga. Humu kila mtu ana imani yake tuache kudodosa ya mungu kwa kejeli hatujui kitakacho tukuta. Mimi naamini ya kwamba Yesu yu hai mpaka sasa na alisema atarudi tena kuchukua walio wake.
Kama una kubal huy jamaaa ni word mashine ,kiswahili kimetulia gonga likee
Wasafi media big up
Hivi ameshindwa kuleta habari ya muhammad analeta ya yesu
MTU MMOJA AKANIAMBIA KWAMBA KWANINI UNAMWAMINI YESU HAUJIU KWAMBA YESU NI MZUNGU NIKAMWAMBIA SIKILIZA NIKWEELEZE HAYOYOTE SITAKI KUJUA NINACHOJUWA AMENIOKOA , NILIKUWA MTUMWA AKANIWEKA HURU NDIO MAANA NINA MWABUDU,
Ameniiii
Ulikuwa mtumwa? 😂
Yesu alikuwa mtu mweusi wazungu waliwadanganya
Wanayo ipenda the story book mpoooo
Tupo
@@lilianmushy9127 nitafute sup 0625515631
Tupo napenda sana
Unajua sana kuerezea vizuri sana
Genius jamal april
Jamal April 💣💣uko makini brother
We mbwiga kwel makini gan sas hpo na hyo stor ya kiwaki?? Fara kwel nyote..
The story book iko pw xan we jamali uko vzr xan una saut nzur xan noma xan wasafi Media
My God bless you nakuoenda mbure👏👏👏🙏
King leo apo wasafi 🇶🇦🇶🇦
Asante sana kwa hi story mkubwa
Watafiti hao ni binadamu kama mm so cwez wahamin kwa makadilio yao iki ni kitendawili kikubwa sana. lakini cwez walaumu bali nawaombea kwa Mungu awabariki sana na waachane na kazi ya kukadilia sura ya Yesu bal wa muombe sana Mungu awabark wafike mbinguni waka muone yesu kwa uhalisia wake, Asante Mungu kwa kuniumba mm na wanasayansi wanao kisia sura ya mtoto wako tubark cc wote na utusamehe kwa dhambi zetu zote
Gonga like kama umekuwa wakwanza kuview
Qur an ndio inamtambua yesu kuliko MTU yeyote, hizi ni story tu!
@@nasraally4588 mmmh hatr
Naangalia story huku napitia comments baas muruuuua kabisa😊
Hahaha
Nakubali
genius jamal🏍🏍🏍🏍
We kwel mburula na familia yenu ni manyumbu stor ya kijiinga afu unasema genius hahahaha
Kaka ww unajua sana mzee piga kazi mzee
Uko vizuri sana hadisi zako nazipenda kutoka Jordanie nizielewa
God is Allah only... 🔥 🔥 🔥 🔥
Apo umemaanisha Mungu ni Mungu tuu .inamana waarabu awana jina la Mungu
😂😂😂😂 umechanganya kiarabu na kiingeleza yote maana ni moja mungu ni mungu or Allah ni Allah or God is God
@@ikrissaidrissa8613 STRONG
@@ikrissaidrissa8613 Hapana God/Mungu ni wengi, inawezekana ni ng'ombe, mizimu, miti, mawe, moto itategemea na imani nyengine ila Allah ni Mwenyezimungu hana mshirika, hakuzaa wala hakuzaliwa, hakuna aliefanana nae, yeye ndie alieumba ulimwengu na kila kilichomo nae ana majina 99
Jamal Mustafa. Talented. The story book.
Amuwezi mtigAAA MIAKA 1000
Yesu ali fufuka mbona kuna fuvu lake
Glory be to God 🙏
Ukiwa mwombaji Mungu mwenyewe anaweza kujifunua kwako!!
Keep it man big mind strong story
Daima usikubali watu wakushushe! keep fighting and prove them wrong! they will praise you later and be their hero... well done Jamal April....I always believe in Talent, Hard work and Commitment
Mzee ukoseagi🔥🔥
Jamaal Mustafa ww sio m2 wa kawaidaaa 👏👏👏👏👏👏👏👏👏
But Jesus raised from death
He's no more in the tomb
I can't believe that....
We jamaa una akiri sana
Ni mwili tu
Big lier
Kabisa umenena
and thats why jamal said he doesnt believe that too
Jamal upo vizur sana unachimba sana endelea kaka
You did a great job, I see pple worshiping other pple,a lot has to be done to transform the mind of people especially the ones living in rural areas
Wako na picha Za hawa and kneel before them and pray to them
@@ceciliaeleuterymbangile7989 That's crazy me as well before doing my research I used to think that is the real picture of Jesus Christ..but it was damn lie 🤥
True
JAMAL STORY ZAKO USIMULII JUU JUU TU YANI UNACHIMBUA KABISA NDANI HUKO 🔥🔥🔥
Jamal mustafa uko vizuri bro👍 Big up sana👊👊
Wafilipi 2:5-11 Neno: Bibilia Takatifu (SNT)
5 Muwe na nia kama ile aliyokuwa nayo Kristo Yesu; 6 yeye kwa asili alikuwa sawa na Mungu, lakini hakuona kwamba kuwa sawa na Mungu ni kitu cha kush ikilia sana. 7 Bali alikubali kuacha vyote, akachukua hali ya mtumishi, akazaliwa na umbo la wanadamu. 8 Alipochukua umbo la mwanadamu, alijinyenyekeza akawa mtii mpaka kufa, tena kifo cha msalaba. 9 Kwa sababu hiyo, Mungu alimwinua juu kabisa, akampa jina ambalo ni kuu kuliko majina yote; 10 ili kwa jina la Yesu, kila goti lipigwe, mbinguni na duniani na kuzimu; 11 na kila ulimi ukiri kwamba Yesu Kristo ni Bwana, kwa utukufu wa Mungu
Ameeeen
@@blackman7532 Uongo gan wew
Amen
Kikawaida jina hua halibadiliki.mungu jina alilomwita haswa ni lipi.mana yesu ni kiswahili na yy alikua muibrania
Toa andiko yesu akisema yy ni mungu na si utoe andiko walilosema watu kama wewe acha kufuru wewe mtoto
Jamal wewe ni kiboko ya story ALLAH akubaliki
Labda abarikiwe na ALLAN SIO ALLAH.. STOL YA KISHENZ YA KUKASHF
@@luccabosslugendo9722 we nawe sijui binadamu wakoje msxuuuuuuu
@Lucca kasome acha kubururwa
Dah kaka jamali unajua sana mwanzo tulimzoea lakin umetuonyexha kuwa kila k2 kinawezekan ukiamuan
Natamani ktk uzao wang Mungu anipe mtt atakae kuw kama ww
Mungu akubariki sana Jamal the Genius
Big up jamal
jesus is alive my friend hekima ya kibinadamu ni upuuzi kwa Mungu
Aisee huyu jamaa alisomea wapi kama sio utafiti wahaliayaju gonga like kama mjanja
Asante sana kaka jamali Mustafa ulichozungumza Ni kweli kabisa
Mapema ndani ya the story book
Kama umekubal kumaliza MB zako kama mimi kwa ajil ya uyu jama gonga like twende sawa😀😀😀🤣🤣
Nampendagaaa
Hahahaha
🤣🤣🤣
Jamal kunywa Pepsi big queen darlin atalipia
Leo nimeongeza umakini kusikiliza the story book
Mm ndo nimekamilisha like ya 1k
Jesus is lord and God over my life I have felt his love and grace in my life.Thank you lord.No matter what anyone says I know my lord is alive and his power is evident in my life amen.
Nyoo yesu sio mungu na wala hana Sifa ya kuwa mungu pole sana njoo kweny usilam unusurike utakuja juta baadae ndg me nakupnda njoo uku
Thanky
Thanky my brother
Gai nyie waislamu simuendelee na muhamad wenu mbona mnalialia tu kwa ajili ya yesu, YESU ndie BWANA milele.
@@omarysaidy5524😅😅😅😅😅 pole yako wewe
Hongora San kijana
Aisee najifunza mengi san Kupitia the story book asante san
iki ndio kipindi bola kabisa cha story akuna sehemu nyingine unaweza kupata story za kijanja kama izi .Jamal unauwa Sana mzee .
Wanaopenda the story book kutoka dar mpo wangapi
Kwaiyo wapo 9 tu au mbona comment ninyingi, naona apo kuna like tisa tu
Nakukubali mwamba 👊
Fata matendo ya Yesu Sula haita kusaidia Chochote na Iman ya Yesu ndy itakayo kusaidia ktk maisha yako msifate Din maana din haipeleke m2 mbingun
Big up bro.... unaeleweka kinyama never give up we piga kazi c tutakusupport
Wasafi media
@4life
Jaman Kaz ya mungu kwann tunapenda kuzuchunguza lazima tupotoke .kwann tusifuate vile mungu anasem
Ukitaka kuijua Sura ya Yesu wewe zama kwenye imani kwa ndani kabisa utaijua sura yake, ambapo utakavyoiona wewe sivyo watakavyoiona wengine !! Imani ni fumbo ambalo analijua anayeiamini pekee !! Na kama Mungu alituumba kwa mfano na sura yake basi kila mwanadamu anayo sura ya Mungu !!
IMANI YA KIKRISTO SI MUONEKANO WA KIMWILI WA YESU BALI UMUNGU ULIONDANI YA YESU.
Charity The Golden I wish ungewaeleza watu waliodhania kwamba Jamal anaikashif imani fulani kisa anaongelea rangi ya mwili ya yesu. Hapo ndio unajua mabeberu wanetutawala hadi fikra
@@ladyubuyu4797 Ni kweli,
YESU Ni jina la kawaida Uyahudini lakini YESU KRISTO ambaye ni MUNGU hatuwezi kumfafanua katika mwili.
Wakwanza leooo nipeeni like zanguuu asee
Amen amen amen amen amen yes alikataa wamakanzu ndefu
Dah yan wa2 vigeugeu sana yan ,,@JAMAL wasamehe wote waliokuvunja moyo na hongera kwakuonyesha kua unaweza
Fact MSIPENDE KUMUHUKUM MTU BILA KUMPA NAFAC
Kama ww ni muislamu na unaamini yesu sio mkristo likes
😂😂 anachekesha afu unasikitisha
UKIRISTO ULIKUJA BAADA YA YESU
😪
Pole
Unapokuwa unamtafakari mwenyezi mungu utagundua kuwa hatumii nguvu kujitambulisha sasa dahh eti wanadai alipigwa misumari mwenyezi mungu hahaha
Yoooo Jamal April anakubal Sana wat ur doing brother unatufumbua akili Lina nn bro hauogob ukamatwa na watuwasiojulikana???
Mtiga au?😂😂😂
Mana now Jamal yuko on fire🔥🔥🔥
Yeah bro uko on fire jamal
We bwege kabisa sas kwa stor gan mpaka ufumbuliwe akiri?? Na wasiwas utakua unatokea familia ya vilaza tupu!!!
Lucca Boss Lugendo
huhuhu ww nahis mpuuuz
Hongera umejitahidi kusimulia! Kitu ambacho binafsi yako huamini lakini umesimulia vizuri !! Wewe unaamini kuwa Yesu hakufa alipaishwa mbinguni kutokana na imani yako! Sisi twaamini alikufa akafufuka
Swali langu kwako kutokana na simulizi yako Je! Wewe unaamini mwili uliokutwa kwenye jeneza ni wanani? ??
Yuda
MUNGU awe nawe pia mzee na azidi kukuongoza na kukubariki kwenye kazi ya mikono yako..🙏🙏
Kama unamkubal jamal gonga like za kuzidi😋😋😋😋
Kweli
Sana tuuu