msanii kulipwa milioni kumi sio tatizo dudu, issue inakuja uyo msanii anaweza leta watu wakaingiza iyo amount na kupata faida ,ili walio andaa warudishe hela zao walizolipa msanii uyo, mziki wetu bado ujashika vizuri kwenye jamii hata club nyimbo za wasanii wetu hazichezwi sana wapo wawili watatu,tunawashuru watu wa radio wameuinua mziki wa ndani, dudu hapo alipo nani atamlipa wakati hana ngoma za maana sasa ivi zilizoshika kwenye jamii na media zote...dudu punguza kuponda
Konki Master The Great Thinker 🙌
kunakitu anaongea Dudu baya kina make sense wasanii ni waongo sana wamekuwa marafiki na wauza magari kazi kudanganya
Fact ❤
Maongezi yake nikuwasema Wenzio.Yeye Sijui anafanyia wapi?
Sense Talk
Mama @Dinga'no where are you mama @manager Dingano
mwamba kaitaja sana Burundi
Anachekaaaaaa
Konk tatu master nakubal
Mbona huyo @Dinga'no haizungumuzii hii ya konde na amekula za uso
😅😅utumbo2 cm hunalolot
msanii kulipwa milioni kumi sio tatizo dudu, issue inakuja uyo msanii anaweza leta watu wakaingiza iyo amount na kupata faida ,ili walio andaa warudishe hela zao walizolipa msanii uyo, mziki wetu bado ujashika vizuri kwenye jamii hata club nyimbo za wasanii wetu hazichezwi sana wapo wawili watatu,tunawashuru watu wa radio wameuinua mziki wa ndani, dudu hapo alipo nani atamlipa wakati hana ngoma za maana sasa ivi zilizoshika kwenye jamii na media zote...dudu punguza kuponda
Heeee mikono vipeeeee 😳😳😳
Sio vipele bana ni matatu angalia
wewe tunakujua huwezi kusema kitu kizuri kwa mmakonde, wewe ni wcb label ya akina juma lokole 😂😂😂
Konde kaingiza doo ww unapga domo na kuongea pumba