Tuwe makini na hawa wakuja.Sio watu wote wanaipenda nchi ya Tz na amani yake. Hii tunu tuliopewa na mwenyezi mungu. Tumtumikie mungu njia ipasavo. Inchi yetu itakuwa na amani milele.♥️
yeye mwenyewe tapeli mm nimefika mapaka kanisani kwake kipindi icho kanisa la mabati pembeni ndio alikuwa anajenga jipyaa lipo kwenye msingi nakwambia huyu muhuni sema uwezi elewa lkn tapeli kweli ukiingia kwenye kopi umeumia,cku hizi kila leo makanisa ynaongezeka lengo sio wokovu bali wizi,utapeli,kwakifupi wanadili na upande wa dunia tu
Jpm nakuomba urudi ktk uislamu kwani muonekano wako na moyo wako haufanani naa maneno yako ya kila siku lazima utaje maeno ya kiisilamu hasa unapokua apo kwenye ofisi yako yakujitaftia kipato yaani kanisani
Wewe wajiita mtume, utume huo kakupa nani, na icho kitabu chako kinaitwaje. Kazi yenu utapeli tu. Enyi wakristo acheni kudanganywa, msichezewe akili zenu na wachungaji
Hii ndio dunia samaki mkubwa kummeza mdogo huo ndio mchezo wa watumwa wa shetani wanaopola mali kwa udanganyifu watumishi hao wapo kila kona ni kosa kuwaita wachungaji ni matapeli mchungaji wa yesu haibi hapoli mali
Prophet wa 24 ni Issa wa 25 na wa mwisho ni Muhammad. Wengineo ilishasemwa ukikaribia mwisho wa dunia watatokea wengi wa uongo sasa tunaona lugha yao ni pesa tu. Yesu alihubiri hata nje na alipanda Punda au alitembea kwa miguu hebu wasikilize wanazungumzia mamilioni
Ni mabishop wa shetani,wana nguvu za kishetani..WanaNigeria ni matapeli wakubwa duni a ni.Nchi za Uarabuni hawataki kuwaona kabisa. Madawa ya kulevya ni kama c h ai tu
Ipm ulisema una degree Saba unatafuta ya nane hivi wizara ya mambo ya ndani ikihitaji your academic background hautaonekana na wewe Tapeli??? Kwa sababu Nina uhakika huna !!
Mze nauliza kanini watumishi wa Mungu munapendeza kuchafua wenzenu watumishi? Kupitia wapagani faida?kilamutu afanye kazi kivyake bila husda gisi mulivyoitwa!!munaleta haya saaana
Juu yako Mimi naamini kuwa mungu yupo kwa ukweli wako. Amen, amen..
Mungu mwema atusaidie. Sana onekama mungu baba Tunaangamia Rehemia sana moyo Tuliza sana roho yangu inakutumainia
Daah ok sawa acha maisha yaendelee
Mungu akubariki.
Jina lako ni hilo tu?.kwa umono wangu ni kifupi .Ningekuomba ulifunguwe kwa kirefu.
Eneza injili Baba 🙏
Noma sana
Dah nimejifunza sana
Excellent
Tuwe makini na hawa wakuja.Sio watu wote wanaipenda nchi ya Tz na amani yake. Hii tunu tuliopewa na mwenyezi mungu. Tumtumikie mungu njia ipasavo. Inchi yetu itakuwa na amani milele.♥️
Sasa hivi kuna watu kutoka Kongo jirani zetu.
Mungu ni wetu sote
Asante
Yeye mwenyewe tapeli
Simamia kweli ya Mungu lpm maana Mungu alisema shika sana ulichonacho asije mtu akakupokonya
Kweli
Jamani wachungaji kwann msifanye kazi mliotumwa na mungu mnakashifu watumishi wenzenu
Mmm
Jamani msimkandie prophet ipm anatufunza hapa ss wahanga tuliokumbwa na hiz mambo
yeye mwenyewe tapeli mm nimefika mapaka kanisani kwake kipindi icho kanisa la mabati pembeni ndio alikuwa anajenga jipyaa lipo kwenye msingi nakwambia huyu muhuni sema uwezi elewa lkn tapeli kweli ukiingia kwenye kopi umeumia,cku hizi kila leo makanisa ynaongezeka lengo sio wokovu bali wizi,utapeli,kwakifupi wanadili na upande wa dunia tu
WaNigeria wasialikwe kwetu wanakuja kutuibia kwa vile sisi wajinga .Tufumbue macho,Sisi siyo sham b a la bibi😢
Halafu hili lijamaa linajuwa Ayaa za Allah kabisa. Ila tuu tamaa imempeleka hovyo. Kwenye dini kaka
Abu jahli pia l alikua anajua ila ni kafiri mmungu kamlani
Jpm nakuomba urudi ktk uislamu kwani muonekano wako na moyo wako haufanani naa maneno yako ya kila siku lazima utaje maeno ya kiisilamu hasa unapokua apo kwenye ofisi yako yakujitaftia kipato yaani kanisani
Eeeh! Jamani!
Huna lolote na ww ni wale wale hivi msiposema wenzenu hamna Raha acha hizo fanya yako
uyu mkeli unauma utapeli utawamaliza lana mchunguji m kweli sana wewe ndio unaziwiya mchungaji asisemi u kweli mungu atamsimamia ep
Ye mwenyewe tapeli..aliombwa bato na sule kakimbia😊...na skuizi hasomi somi tena aya za quran
tena Sula lake tuu linaonekana jangiri😮
Afadhali kama hasomi tena aya za Quran maana ni aya za shetani tu, hakuna la maana.😂😂😂
Sema jina lake ili tusihingiye kwenye mtego kama ulihitwa na Mungu
Omba MUNGU akupe macho ya Kuona. Unafeli wapi
Yeshuwa ndie nabii wa mungu aliepewa kitabu cha injili, yesu alipewa kitabu gani?
Wewe wajiita mtume, utume huo kakupa nani, na icho kitabu chako kinaitwaje. Kazi yenu utapeli tu. Enyi wakristo acheni kudanganywa, msichezewe akili zenu na wachungaji
Ukweli kabisa
Malawi Ina Amani na utulivu ....
Hii ndio dunia samaki mkubwa kummeza mdogo huo ndio mchezo wa watumwa wa shetani wanaopola mali kwa udanganyifu watumishi hao wapo kila kona ni kosa kuwaita wachungaji ni matapeli mchungaji wa yesu haibi hapoli mali
Prophet wa 24 ni Issa wa 25 na wa mwisho ni Muhammad. Wengineo ilishasemwa ukikaribia mwisho wa dunia watatokea wengi wa uongo sasa tunaona lugha yao ni pesa tu. Yesu alihubiri hata nje na alipanda Punda au alitembea kwa miguu hebu wasikilize wanazungumzia mamilioni
Watu wangu wanapotea wachungaji wao wamewapoteza
Alikuona nyota yako mmefanana ndio mana alikufata. 😅😅
Unatafuta umaarufu TU
Umesema humtaji lakini ni mwanyumba, Sasa tumemjua!
Sio kuhubiri Biblia waende kuihubiri Injili
Bado neema ya uislamu inakutafuta
Mnafiki kuacha dini yake kwa tamaa ya pesa Allah akupe Hidaya kabla kifo hakija kufikia
Yulemuhama mfuga majini au unasema dini ipii
Dini ipi ?ya Kufuga Majini
Leo mwamba nimekuelewa
Du!!
Akiwemo kiboko Tapeli mkubwa
Ingekua wayne wote walk ivo kwa wake zao, mmmmingekua raha
Ni mabishop wa shetani,wana nguvu za kishetani..WanaNigeria ni matapeli wakubwa duni a ni.Nchi za Uarabuni hawataki kuwaona kabisa.
Madawa ya kulevya ni kama c h ai tu
Leo kama umenena yamana kwel
Ovyoo
Interview yenyewe mnaunganisha vipande bila umakini, hapo uliposema wanaigeria wasomi, vipande vimeungwa Tena vinautofauti
Ipm ulisema una degree Saba unatafuta ya nane hivi wizara ya mambo ya ndani ikihitaji your academic background hautaonekana na wewe Tapeli??? Kwa sababu Nina uhakika huna !!
Kama unauhakika thibitisha acha utoto ww
100 x 10,000=1,000,000 ni million 100 siyo BILLION 1 stori inautata.
Bro rudi shule, hiyo hesabu umeifanya vibaya
@@mrfashion1687😂😂
Ee! Ee! Eeeee! Hiyo uliyoandika ni milioni kumi au elf kumi 😂😂😂 uko kwenye kukosoa zaidi.
Samuelmhando.sikilza vzr story alafu upge maesab vzr..wwndo maesabu yako hayako sawa..
Tukutane mbinguni
Kudadadake mtasema yoote mnachezea MUNGU 😂
Mze nauliza kanini watumishi wa Mungu munapendeza kuchafua wenzenu watumishi? Kupitia wapagani faida?kilamutu afanye kazi kivyake bila husda gisi mulivyoitwa!!munaleta haya saaana
Wachawi ninyi, viongozi wenu pia wachawi
Noma
Huyo ipm nae tapaeli