DUDU BAYA ,HARMONIZE AMESHAPOTEA SHOW YA TAIAFA HAKUNA ALICHOKIFANYA MAMBO YALEYAL

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 2 лип 2024
  • #bongo24 #harmonize #dudubaya
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 33

  • @alibinali_
    @alibinali_ Місяць тому +4

    Dudu Baya anaongea ukweli big up Konki Master 🔥🔥🔥

  • @HangiMakina-wf8hw
    @HangiMakina-wf8hw Місяць тому +8

    Dudubaya Yuko sawa

  • @bonifaceferdinand566
    @bonifaceferdinand566 Місяць тому +3

    Mamba uko sahihi 😂😂😂

  • @user-ys5iu3qu3u
    @user-ys5iu3qu3u 27 днів тому +1

    Big point kwelli kabisa bongo flevo ya zamani nzuri kuliko hizi amapiano

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Місяць тому +4

    UKO SAHIHI DUDU

  • @AishaYahaya-ld5lb
    @AishaYahaya-ld5lb 29 днів тому +1

    Msema ukweli ❤❤

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 24 дні тому +1

    7:36 kweli kabisa mimi siwez tofautisha luludiva na mimi Mars ama fina sjui madem wana igana sana

  • @husseinmkanga7794
    @husseinmkanga7794 Місяць тому +3

    Sasa unaimba albam nzima unamsifia kiongozi wa siasa wakati sifa unazotoa hazina ukweli wowote nani atakuelewa? Na hiyo albam itatoka nje ya nchi? Ndio maana wakiwa nje ya nchi wanapiga kwenye mabaa.

  • @RodaMwakatundu
    @RodaMwakatundu Місяць тому +1

    Trueee konk3masta

  • @AndrewMajingwa-ln7oi
    @AndrewMajingwa-ln7oi Місяць тому +2

    😂😂 ila konkii hapa umepuyanga wenzio hawataki mziki wa kuishi wanataka mziki New model na wanapiga pesa hatariiiiiii,,, angalia ni ENJOY hapo inachanja mbuga

  • @user-rh4ue7rb6t
    @user-rh4ue7rb6t Місяць тому +1

    Wewe mzee mtafute Mika mwamba mbafu sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 24 дні тому +1

    Anasema ukweli top 10 hazina maana 😂😂 watu wana Bluetooth hawana mda wa kwenda club😂

  • @jumayusuph5733
    @jumayusuph5733 16 днів тому +1

    ukweri ndio huo endelea kuwachana hao madogo

  • @alibinali_
    @alibinali_ Місяць тому

    DUDU BAYA NOMA SANA 😂😂😂😂😂😂😂

  • @AckriniSikulumbwe2000
    @AckriniSikulumbwe2000 Місяць тому

    HHaahahhahahaah hii nchi

  • @johnmike6059
    @johnmike6059 Місяць тому +1

    We nimuongo

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Місяць тому +2

    Wewe umefanyanini enzi zako?

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Місяць тому +2

    Huyu jamaa kapotea yeye .. kila kitu kwake sicho anachukia wasanii bila sababu ovyoooo

  • @redockbracard9455
    @redockbracard9455 Місяць тому +1

    Wewe ni mzee mda wako umeukula vibaya una wivu na Harmonize kijana mdogo ana kuzidi pesa na umaarufu aumuwezi

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 Місяць тому +3

    Kwa kwel ww enz zako hela ulipeleka wap mbona unatia huruma uwez fikia level za mmakonde

  • @DelightfulFish-ps8ny
    @DelightfulFish-ps8ny Місяць тому +2

    Huyu kaka hampendi konde boi

  • @evansobewa7741
    @evansobewa7741 Місяць тому +2

    Jamaa anaongea maneno mengi ila hana lolote,tafuta pesa wacha mdomo

    • @user-nx4eg7sf8u
      @user-nx4eg7sf8u Місяць тому

      Wewe ndo hujitambui unapenda kiingereza kuliko kiswahili chako halafu unajigamba umeitawara nchi yako muda huo huo unasema kiingereza, cha mtu mavi hebu acha kuiga cha mtu watanzania muudumishe utamaduni wenu hebu rudini kwenye bongo flava.

    • @Wamoyothenumberone
      @Wamoyothenumberone 27 днів тому

      Loloote analoo

    • @evansobewa7741
      @evansobewa7741 6 днів тому

      @@user-nx4eg7sf8u biashara jomba fanya kile kinakupa faida sio maneno mengi

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Місяць тому

    We kaka msanii au mchambuziii atukuelewii au ume ACHA kuimba toa ww nyimbo kumawee

  • @user-wn3zb5xv6v
    @user-wn3zb5xv6v Місяць тому

    Umeferi huu wakati wa konde ata upondevipi wwnzio washakuacha mbali mmechezea mziki kazi makelele kuwaongelea wenye mziki wao

    • @albertkadyanji9722
      @albertkadyanji9722 Місяць тому

      Wakati wa konde hahahahahaha mmakonde kwa kipi hana jipya ameshafeli