Sasa unaimba albam nzima unamsifia kiongozi wa siasa wakati sifa unazotoa hazina ukweli wowote nani atakuelewa? Na hiyo albam itatoka nje ya nchi? Ndio maana wakiwa nje ya nchi wanapiga kwenye mabaa.
😂😂 ila konkii hapa umepuyanga wenzio hawataki mziki wa kuishi wanataka mziki New model na wanapiga pesa hatariiiiiii,,, angalia ni ENJOY hapo inachanja mbuga
Wewe ndo hujitambui unapenda kiingereza kuliko kiswahili chako halafu unajigamba umeitawara nchi yako muda huo huo unasema kiingereza, cha mtu mavi hebu acha kuiga cha mtu watanzania muudumishe utamaduni wenu hebu rudini kwenye bongo flava.
Dudu Baya anaongea ukweli big up Konki Master 🔥🔥🔥
Dudubaya Yuko sawa
Mamba uko sahihi 😂😂😂
Big point kwelli kabisa bongo flevo ya zamani nzuri kuliko hizi amapiano
UKO SAHIHI DUDU
Msema ukweli ❤❤
❤
7:36 kweli kabisa mimi siwez tofautisha luludiva na mimi Mars ama fina sjui madem wana igana sana
Sasa unaimba albam nzima unamsifia kiongozi wa siasa wakati sifa unazotoa hazina ukweli wowote nani atakuelewa? Na hiyo albam itatoka nje ya nchi? Ndio maana wakiwa nje ya nchi wanapiga kwenye mabaa.
Trueee konk3masta
😂😂 ila konkii hapa umepuyanga wenzio hawataki mziki wa kuishi wanataka mziki New model na wanapiga pesa hatariiiiiii,,, angalia ni ENJOY hapo inachanja mbuga
Wewe mzee mtafute Mika mwamba mbafu sana
Anasema ukweli top 10 hazina maana 😂😂 watu wana Bluetooth hawana mda wa kwenda club😂
ukweri ndio huo endelea kuwachana hao madogo
DUDU BAYA NOMA SANA 😂😂😂😂😂😂😂
HHaahahhahahaah hii nchi
We nimuongo
Wewe umefanyanini enzi zako?
Huyu jamaa kapotea yeye .. kila kitu kwake sicho anachukia wasanii bila sababu ovyoooo
Wewe ni mzee mda wako umeukula vibaya una wivu na Harmonize kijana mdogo ana kuzidi pesa na umaarufu aumuwezi
Kwa kwel ww enz zako hela ulipeleka wap mbona unatia huruma uwez fikia level za mmakonde
Nashangaa kazi yake kuwasema wasanii tu
Huyu kaka hampendi konde boi
Hapan ukwel anaseama
Jamaa anaongea maneno mengi ila hana lolote,tafuta pesa wacha mdomo
Wewe ndo hujitambui unapenda kiingereza kuliko kiswahili chako halafu unajigamba umeitawara nchi yako muda huo huo unasema kiingereza, cha mtu mavi hebu acha kuiga cha mtu watanzania muudumishe utamaduni wenu hebu rudini kwenye bongo flava.
Loloote analoo
@@user-nx4eg7sf8u biashara jomba fanya kile kinakupa faida sio maneno mengi
We kaka msanii au mchambuziii atukuelewii au ume ACHA kuimba toa ww nyimbo kumawee
Huyu kipaji kingi wewe
Umeferi huu wakati wa konde ata upondevipi wwnzio washakuacha mbali mmechezea mziki kazi makelele kuwaongelea wenye mziki wao
Wakati wa konde hahahahahaha mmakonde kwa kipi hana jipya ameshafeli