YAMETIMIA! DUDU BAYA AFUNGUA MEDIA YAKE/CROWN MEDIA NA WASAFI WAJIPANGE/BABA LEVO SIO LEVEL ZANGU

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 чер 2024
  • #SUBSCRIBE

КОМЕНТАРІ • 19

  • @Faith-s2o
    @Faith-s2o 15 днів тому

    Dudubaya Mzuka Mwingi
    Mwenyezi Mungu anaweza na akujalie maishani kakangu.
    Tunakuaminia

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 Місяць тому +3

    Kutoka Gikombaa Nairobi bro na kukubali Sana unaongea ukweli. Mungu akujalie avya njema

  • @melch3097
    @melch3097 Місяць тому +1

    Welldone bro, hakuna kuchoka. Pambana mpaka mwisho

  • @ismailmshana2828
    @ismailmshana2828 Місяць тому

    Mwambie chidi benzi na yeye afungue tv yake Kama anaweza

  • @jumaasungwi6574
    @jumaasungwi6574 Місяць тому

    The dudu

  • @DamianUlaya
    @DamianUlaya Місяць тому

    Konki nakukabar sana we auna unafik mzee upo poa sana mawazo yako Mapana sana sis Vijana tunachakujifunza mana u uchawa unaliua taifa

  • @user-xi4dq3kb3m
    @user-xi4dq3kb3m Місяць тому

    Mapafu ya mbwaaaa😂😂

  • @mocua2910
    @mocua2910 Місяць тому

    Pua kama ngumi

  • @atanasjisonge2538
    @atanasjisonge2538 18 днів тому

    Konk pia fanya uowe

  • @manrichchahe6620
    @manrichchahe6620 Місяць тому +1

    MambaZ💪🏿

  • @YusufuAbas
    @YusufuAbas Місяць тому

    Mamba,ngumi jiwe,konki master😂majina magumu.

  • @tigejuma9865
    @tigejuma9865 Місяць тому

    Sumbika mzizi hallow beib....Ngoma Kali xnaa😅

  • @domajosep3797
    @domajosep3797 Місяць тому

    😂😂😂

  • @user-sh6ch6ex1h
    @user-sh6ch6ex1h Місяць тому

    OIL CHAFU

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Місяць тому +1

    Dadu nakukubal sana ila kuna umri unapaswa kukaa kimya tu sasa unataka usikike kwa ngoma gani au kwa kipi,mbona kina sugu,solo thang, Ay ,Afande Daz nundaz na wengine hawapigi kelele why wew...jitafakali bro kuna sehem unakwama

    • @Laizer3
      @Laizer3 Місяць тому

      ACHA UJINGA MBONA WAKINA JAY Z WANAIMBA HADI LEO NA NI WAZEE

    • @cdeleo9336
      @cdeleo9336 Місяць тому

      Umesema ukweli kabisa hakujipanga mapema

    • @DamianUlaya
      @DamianUlaya Місяць тому

      Konki anafanya kitu anachokijua

    • @user-do2id6pp4g
      @user-do2id6pp4g Місяць тому

      Uwe muelewa sio anapiga kelele huyu ni mwanaharakati anaongea mda wote coz anapigania haki za wengine