Mtangazaji unapendeza sana ukivaa hivyo. Nimefurahi kuona umeendelea kuvaa mpaka baada ya mwezi wa Ramadhan. Sidhani kama kukaa mwili wazi ndio kupata mafanikio katika jambo lolote. Vaa zako stara, piga kazi unapendeza sana 100% unavutia sana ukiwa umevaa stara ❤ Hongera kwa hilo dumisha stara ❤ Lakini kwenye maswali jitahidini kuuliza maswali ya kimaisha. Anayehojiwa anaonekana anamambo mengi ya kuongea tatizo maswali ndiyo yanamrudisha kuongelea watu... Rekebisheni maswali hatakama mtu ni msanii kama anamambo ya kuongea nje ya sanaa muelekezeni huko huko 🙏
Mtangazaji jaribu kuwa unaangalia video zako ukivaa hivyo na zile ukivaa kihuni uone wapi unavutia... Hapo ukovizuri sana dada angu ❤ endelea kuvaa mavazi ya stara. Hata ZUHURA YUNUS aliyekuwa wa BBC alikuwa akivaa stara siku zote na alikuwa maarufu na aloporudi Tz kapata ajira nzuri tu na yupo ktk vazi lake. Raisi wetu mama Samia ❤ hadi raha kwa mavazi yake ya heshima. Hakuna vazi la kiisilamu na la kikristo sote tuvae nguo za heshima kwa wanawake wafunike vichwa vyao wataheshimika ❤
Nazipenda sana interview za Dudu Baya. Najifunza mengi sana. Mustafa Michenje from Pemba Mozambique❤
Wasalimie wa naz batata spensao na markado kariakoo😊
Wasalimie wa nas batata imolansao na merkado kariakoo
wote tunaomkubali dudu baya like ziwe nyingi hapa
Bro wew ni mkubwa Tanzania..be blessing bro
Mtangazaji unapendeza sana ukivaa hivyo. Nimefurahi kuona umeendelea kuvaa mpaka baada ya mwezi wa Ramadhan. Sidhani kama kukaa mwili wazi ndio kupata mafanikio katika jambo lolote. Vaa zako stara, piga kazi unapendeza sana 100% unavutia sana ukiwa umevaa stara ❤ Hongera kwa hilo dumisha stara ❤
Lakini kwenye maswali jitahidini kuuliza maswali ya kimaisha. Anayehojiwa anaonekana anamambo mengi ya kuongea tatizo maswali ndiyo yanamrudisha kuongelea watu... Rekebisheni maswali hatakama mtu ni msanii kama anamambo ya kuongea nje ya sanaa muelekezeni huko huko 🙏
Dudu baya nakukubali sana kijana wangu you're very very genius fanya tuwasiliane kuna vitu nataka ni share na wewe
Bigger up dude baya...unajua kuelezea....
Umepngea ponti sana
chini ya utatu mtakatifu Ameen
Mtangazaji jaribu kuwa unaangalia video zako ukivaa hivyo na zile ukivaa kihuni uone wapi unavutia... Hapo ukovizuri sana dada angu ❤ endelea kuvaa mavazi ya stara. Hata ZUHURA YUNUS aliyekuwa wa BBC alikuwa akivaa stara siku zote na alikuwa maarufu na aloporudi Tz kapata ajira nzuri tu na yupo ktk vazi lake. Raisi wetu mama Samia ❤ hadi raha kwa mavazi yake ya heshima. Hakuna vazi la kiisilamu na la kikristo sote tuvae nguo za heshima kwa wanawake wafunike vichwa vyao wataheshimika ❤
Nakuelewa sana, kuishi na mwanamke miaka mingi sio kigezo cha kumuoa
Du bara ni ❤❤
Dudu ❤❤
❤ mamba dudu baya
Mbengo TV wanampenda sana dudu
Eti kulinda walevi
Muwe mnamlipa bhana
Kweli kabisa sio Wana patawao tuu
Unataka kumwaribu sasa. Sio maisha yake.
analipwa hafany bure anatoa content
Dudu baya ana akili nyingi sana ! Na anakipaji Cha kujua mambo m engine sana kongole sana kwake !
Yup know how to explain big up
Leo nimekuwa wa kwanza eti ku watch,😂😂
Dudu baya ni level nyingine
Kwamba kama mbwa mwenye fangus 😂😂😂
Hapo umekoseya, nenda kamwambiye tayari walishakuwa namawasiliyano kitambo
Nikweli kabisa
🤙🙉
Wana tafuta content anatakiwa aanze kuchukuwa malipo
Heee psa ya karatasi imebandikwa Kwa super glue!?😢
Dudu baya nakukubali
😂😂😂😂😂😂nimecheka leo hii ila baba wille wee kiboko et anafinywa mpaka wipi
Dudu baya unanifunza sana nakusikiliza nipo omani
Diamond akamuoe Sara kwa kweli
DUDU ni jeshi hanaga ujinga
Sasa unakata wese la nini konk
Ninataka number ya Dudubaya
Konki nkubali
Konki umepigaje hapo
Bora uvue mtandio usitiri mwili wako dada.
Story Kama ya kwangu
Oil chafu
😂😂😂😂😂🙌🙌
Dudu baya konki master mwamba putin
Konki×3
Wana habar bure kabisa amuna maswali ni daimond kila mara dudu apendi maswali ya kimapenzi muulize kuusu harakati
Acha uwogo ww ndo mkorofi bhana ao wanawake wote akuna ata mmoja mwenye tabia nzuri?
😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wee ndo maria mwenyewe mtoto wa dudu😂
Sauti imeshaenda mrama! 😂😂😂 Pale leaders sijui kama tutajaa!