Stamina Shorwebwenzi - Msanii Bora Wa Hip Hop (Official Video)
Вставка
- Опубліковано 7 лют 2025
- #StaminaShorwebwenzi #MsaniiBoraWaHipHop #SlideDigital
Stamina Songs OUT WORLDWIDE ON MAJOR DIGITAL STORES:
ffm.to/stamina...
Written & Performed by Stamina
Video Directed by Eddy
Follow Stamina on:
/ staminashorwebwenzi
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: / slidedigitaltz
Rostam❤❤❤❤
Hip hop is back pole kwa moni centrozone
Bwenzii i'm The one like moree
Umemalizaa kaka atakayebishaa wew sio msanii bora wa hip hop,,,,, mwambie pasta anafelii mtihani wakati Yesu ni jibuu ,,,, awaeziii elewaaa
Kama mkenya Yuko hapa rusha likes stamina moto nani anakataa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
club naagiza soda mbele ya shomar kapombe... staminaaaaaaaaa
stamina babaaaaaaaaaaaaa
Imefika Congo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 courage stamina na kukubali sana salute kwako kaka 🙋♂️🙋♂️🙏
Hii nyimbo nimeisubili kwa miaka 25 sasa hatimae leo ndo imetoka much respect bro✊🏿
😂❤
Respect
We mzee 😂😂😂😂
Stamina nakukubali Sana nama ngoma zako uishi maisha marefu
Tanzanians in the house aallow us from Kenya to approve this tune,, Huyu stamina hajewai angusha beat
Kampala hands up🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬
Bro, miondoko hii hii Mzee! Naomba ujitahidi kufanya promotions nzuri kwny Ngoma zako wekeza Sana Bro, mm naumia Sana na Nachukia Sana sifa zako za crown yako wakivishwa watoto wadogo wasiojua kuandika hawana mistari yakuumiza kichwa hawana sifa kabisa Bro, ww ndo Rapper wangu no. 1 in this World unakilakitu na kama wanataka tuendenao kisasa BC tuendenao tupitenao humo kwny beats zao mpaka beats za S2Kizzy we pitanazooooooo! Wataelewa 2, watoto wadogo hawajui kuandika mistari yakupagawisha kichwa ubungo utikisike, wanaandika ushuzi 2 mistari lainiiiii hata mtoto wa Darasa la 2 anaandika, Kazi wanabebwa na beats na kupiga Makelele 2. Madai Yao wanaimba kisasa Alf kuandika wanaandika ushubwada.
Kaka angu stamina huna baya.....kiufupi broo unaweza kwenye game ya bongo.....na hakuna anaekuweza apa bongo ukweli usemwe..... salute sana bro...
Mkuu wa rap ❤243🇨🇩
Meru -Kenya representing.STAMINA TUNAKUAMINIA toka MERU-KENYA listening and playing the SONG.Stamina to the World 🌍🌍. follow up on
Meru side gani msela✍🏼
@@nathanmurithi01 Meru Kathelwa
@@nathanmurithi01sai kimeshika Colombo
Sana mwana
Wameru tuko hapa
Alf utaskia rapaa namba moja tanzania sjui young nani uko jmn stamina namba zoteeeeeeeeeee sio moja tu
Baba umekasirka yani mpaka umepitiliza hahaha safi sana kk
You killed it darling 🔥🔥🔥🔥🔥❤❤❤❤❤
Eti mkojo wa shoga..254 pwani wapi like za coast
Hands up 👐
Hii Kali big bro 🙌🚀
Embu kenya representing mara ya kwanza Tanzania wameweza hapa kali sana
Saruti sana captain unatisha sana sema nn Mzee baba hii punch umeuwa hatariiiiiiii
Aminia kaka braza umetisha toka zama za kale from kenya listening to this dope rap to the world, got u stamina
Wafunge Midomo Mzee wangu ✌️✌️✌️
Kali ya hip-hop bukavu tuna kubali🇨🇩
Kama watambua hii introduction..piga like.....WAMEMCHOKOZA .....??????
Morogoro moja nakumbuka enzi za kabwela niko sec. Form 1,,,,kuna wakaka wa form 3,,4,wakikaa tuu ilikua stor stamina daaa basi nilikua nasogea karibu ili nijue uyo stamina ni nani love u brooo umepambana sana
Mfalme bongo hiphop king stamina ❤
Brother sitami uko vizuri sana
Tunakusikia hapa 🇧🇮🇧🇮 tunataka bato🔥🔥🔥 na fablove
Stamina ndio mkali wao kwa hii shule🔥🔥🔥 mie sikohoi kama konde 😂 🇰🇪 show me love
Mombasani tunakupa asili mia mia❤❤❤
Wakwanza Mimi Leo like zanguu #morotown 🔥🔥🔥
Muitenni kaligraph afeeeeeeeee 🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tz kunavichwa asee najivunia kuwabong staa mwenyemadin
He Is The Greatest Of The All Time on Hip Hop. 😀💥... Stamina has Stamina on Shorwebwenz.
Asienkubali huyu ✨ Staa basi ni mwanga mimi nakupa maua yako.
Nepo kijana wako tka unahaz adi leo na bado nakuhamin ujawai niangush respect broo🎉
Umemaliza kaka hata bigblaza wa marekani ameshakiri ya kwamba wewe ni noma 🎉🎉🎉🎉🎉
Stamina💥💥💥
Kk unatisha tangu zamani. Congo tunakukubali sana . Apa Hona ...
Nomaaaaaa bro aina haj kuandika kwa herufi kubwaaa🔥🔥🔥
From kenya uyu saa ndo king wa rap bongo alafu kwa mix Roma aingie🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉hatari sana
Mkalii waooo tongwee records
Big up 👏
Mvutaji mwenye arosto kakutana na pusha..🔥 Unyama mwingi
The best now☝️
Shobweeeeees Leo umetumia Moro. Moro town dadekiiii... Mbeyambeyaaaaa sikuiziiiiii❤❤❤❤❤❤ chupa kali shabikiii yako wa dhatiii mzeee
Nakubali Sana pacha wangu, 🤗🤗💯💯💯💯
Mwamba huyu hapa ngoma kali sana hujawahi kuniangusha stamina🔥🔥🔥
Imepenya hii huku🇿🇦
Fundiiiiiiiiiiii HipHop umeibeba beganiii🎉🎉🎉🎉
Nakukubali kaka
Mzee baba sasahivi ndio naiona bongo hip hop, respect my brother hizi ndio ngoma tunataka kusikiliza aisee
Aggressive heavy beats, vina vyenye ujazoo i like this
Jamani STAMINA ameludi huu ndo stamina Sasa lazima awachane
ALOOOOH KULAANINA Maangamizi kama SHANGAZI kakutana na @KUSAH 😂😂😂 🙌🏾🙌🏾
Baba uko juu sana
Eb jarbu kuvaa earphone alafu ufungulie hili dundo kudadeq utakuja kunishukuru ❤❤
🤣🤣🤣
Umeumiza sana home Boy🔥🔥🔥🙌🙌
This is big 🔥🔥🔥
Mhhhh Sharobwenzi hapa umekamia kbs, skuizi unatoa mawe mpk nahsi umewapania kuwapa somo
Best Hip Hop Song 24 so far
Na club na agiza soda mbele shomari kapombe 🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mistari ya humu ndani ni🔥🔥🔥🔥🙌
Toka henzi yakabwera nalisongesha behewa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Oya Umu ndan angekuwepo young killer
Ulijuaje mwanangu
Oyaaa weeeh so poa
dah unajua kuwacollaboresha mzee😁🤙
Sawa kabisa kaka naku kubali sana stamina endeleya na kazi🎉🎉 ness depuis Congo 🎉🎉
Best Hip hop 2024
🇨🇩🇨🇩 big respect bro
One of the best❤️❤️
Always ur my no. 1 Hip Hop Artist.
Kali sanaaa
noma sana hii ngoma hatujifuniki maana uchumi wetu bado unashuka (imenikumbusha wimbo wa mwambie mwenzio) namuona stamina wa 2011
wapi like za huyu mwamba stamina
Sana🎙️
Dah stamina hatari kudadek🔥🔥🔥🔥
Hakuna kama wew mzeee ni motoo tuuuu
Oya weeeee😅🎉❤
Respect Ma'Bloder hujawah kuniangusha kakaaaaaaaaaaa!
Mdogo wanaipigia punyeeeetoooo
Uyu ndo mwamba stamina ninayemjua mm ujapoa broo mikazo mwanzo mwenga
🎉Ujawahi kuboa Bwenzi
Wewe ndo best namba moja kwangu wa hip hop 🔥🔥🔥👑
STAMINA gonjwa la Jiji Doctor Mwaka hawezi tibu.....
let make it be trending 1
Moto❤
Kila nikitaka kusema stamina mkali wa hip hop namkumbuka young lunya halafu nabaki nacheeeeka.
Qubabakeee..... Anaebisha aje Na hoja ,,,,Shorwebwenzii🔥🔥🔥
Representing my country.. Representing the whole rap industry... Thumb up my good people 👍
😂😂 mki like nakuja kuangalia tena
Iko sawa kaka paka tufike
Mda mwingine unalihusisha jina la Yesu mahala sio. Labda unaweza liangalia hilo.
Tz wow ❤The only artist who did this in tanzania ni Ay nimetoka kenya but khali need another collaboration with you likes,za mwamba
TAYAL NIMEKUPITISHA MKUUUU
From Kizimkazi one loveeeeee stamina
Staminaaaaaa 😂😂😂
Nakubali sana haujawah niangusha kwa hip-hop "MWAMBA"💪
Nakubari sana iyi kitu tokea Congo BUKAVU 🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Huna mpinzani 🎉
Mkal wa hip hop tunapeperusha bendera kutoka 🇿🇦 salute kaka mkubwa 👍👍