EXCLUSIVE: VITUKO VYA MCHEKESHAJI ELIUD SAMWEL, ASIMULIA MAISHA YAKE, ELIMU NA MAHUSIANO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 153

  • @RoseGeofrey
    @RoseGeofrey 3 місяці тому +2

    Eliudi ana kipaji kizuri sana ukweli ni kwamba anaweza pia akakaza katika ibada akaenda mbinguni maana hata lugha yake ni nzuri hata mtoto anaweza kumsikiliza ana lugha njema sana ❤❤❤❤Mungu ampe mwisho mwema amina

  • @aishakimosa2492
    @aishakimosa2492 Місяць тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂sifanyi nao jicho kinachopelekea mimba. Your done. Keep it up mtumishi

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 Рік тому +32

    Ila Eliud 😂😂😂ana vituko sema napenda alvyo muwazi Mungu azid kukubarik zaid ya hapo🙏🙏

  • @petromsomba4523
    @petromsomba4523 Рік тому +61

    Kuna tofauti ya kipaji Cha kuchekesha na mtu kusomea uchekeshaji ira Eliudi una kipaji Cha kuchekesha

  • @furahasanga2534
    @furahasanga2534 Рік тому +12

    NAKUPENDA MTUMISHI WA MUNGU, UCHEKEAHAJI UPO KWENYE DAMU, NI MKWELI
    MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA.

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 Рік тому +16

    Jamanii muende dar na uhai pamoja na maalifa🤣🤣🤣Eliud salute kwako🙌

  • @sifaisack7470
    @sifaisack7470 Рік тому +9

    Ziko baraka znapatkana ktk ndoa,,, huezjua huenda mafankio yako yanawezatokea baada ya kuish naee,,,, najambo zuri sana pale mkiwa pamoja ktk kushrkiana maadam tuu mkinia mamoja. Jtaid usmpoteze huyo bibie cz inaonyesha ni mwanamke bora sana kwako Eliud.... Much love wa kumyitu❤️❤️

  • @hassanbakari4525
    @hassanbakari4525 Рік тому +34

    MAISHA BHANA,,YULE MSHINDI WA KWANZA CHEKA 2,,HAVUMI KAMA AVUMAVYO MSHND WA 2,,,KWELI JUHUDI NDO KILA KITU.

    • @AmosYusuph-cj6gb
      @AmosYusuph-cj6gb Рік тому +2

      Kama mandonga2

    • @margrethamsechu7088
      @margrethamsechu7088 Рік тому +3

      Kabisa eliud alistahi

    • @martinkagussa3406
      @martinkagussa3406 Рік тому +2

      Kwani ni mkorea😅😅😅😅😅

    • @rashidakimaro7407
      @rashidakimaro7407 Рік тому +3

      Mm mshindi wng wa kwanza alikuwa eliud

    • @mwljuliuskiwovele
      @mwljuliuskiwovele Рік тому +3

      Huyu jamaa hata kabla ya kuwa mshindi wa pili ,alipita kule Mbeya kwa kura ,maana walitakiwa wapite wawili Mungu alivyofundi sasa daah huyu ndio anavuma sana ,lakini pia aliyestahili kushinda ni Leornado kwa wakati ule sema Eliud kadiri siku zinavyozidi kwenda na style yake ya uchekeshaji ndivyo anavuozidi kuwa wa moto.

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Рік тому +19

    My home boy!! Nakukubari Mwaisa🤣🤣

  • @NazpherMunyu
    @NazpherMunyu 8 місяців тому +5

    kumuhoji eliud raha sana huku nafanya kazi na huku unaongeza ck za kuishi kwa kucheka😂

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 Рік тому +9

    Pamoja class mate Mungu aendelee kukupigania

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Рік тому +29

    Eliudi anaongea ukweli sana ila anavyojibu sasa anajibu kiuchekeshaji 🤣

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 місяців тому +6

    Big up brother
    Kwa Yesu rahaaa
    Nafurahi kusikia una Yesu

  • @NaybenBen-fg9rq
    @NaybenBen-fg9rq Рік тому +17

    Napenda sana huyu kaka anavyoongea ukweli

  • @dkdinno
    @dkdinno Рік тому +7

    Maaa big Brother Kila dakika Kila sekunde Kila siku anaongea about life lahapa dar big Brother tunajifunza mengi kwako na unatusanua Mengi nakupigia soon ngoja tuongee vzr na Hom Boy V van boy

  • @nemeskulaya3962
    @nemeskulaya3962 Рік тому +5

    You made my day kaka Eliud, thanks!😂😂

  • @andrewsalmo-bq4hr
    @andrewsalmo-bq4hr Рік тому +5

    Jamaa anajua sana💯

  • @davidmwangama6130
    @davidmwangama6130 Рік тому +7

    Best interview ever

  • @barrynzeyimana6270
    @barrynzeyimana6270 Рік тому +3

    Sisi sio watoto wa Mungu. Sisi ni watu wa Mungu. Mungu hazai hadi awe na watoto. Mungu Hana mikono. Kupata haina uhusiano na Mungu

    • @mama_mlezi7744
      @mama_mlezi7744 Рік тому +3

      Mungu Ni baba,,na sisi Ni Wana wake "watoto"

  • @aishakimosa2492
    @aishakimosa2492 Місяць тому +1

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et eliud Kama ningekua Sina ningekua hv?😅

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 Рік тому +9

    Eti kipindi kile 2015 IT ilikuwa inalipa nikasoma IT

  • @MuzoallianceMuzoglobal
    @MuzoallianceMuzoglobal Рік тому +2

    Eleud unatixha tukupe mauwa yako🌹🌹🥀🥀

  • @dianerditto
    @dianerditto Рік тому +7

    Hii ni interview lakn nacheka kama nasikiliza cheka tu

  • @farajakivuyo9389
    @farajakivuyo9389 Рік тому +5

    Eliud samweli 💯💯💯

  • @naimasuleiman6489
    @naimasuleiman6489 Рік тому +10

    😂😂😂😂yani huyu anacomedy yke ya tafauti

  • @johnbupamba
    @johnbupamba 6 місяців тому

    Blessed sana

  • @abdulwahidsuleiman
    @abdulwahidsuleiman Рік тому +5

    Aliud yup smart for some how

  • @SamwelMyoya-dk6si
    @SamwelMyoya-dk6si Рік тому +1

    Daah kila kitu kinawezekakana kwa yesu

  • @charlesmakuri792
    @charlesmakuri792 Рік тому +16

    Haka kajamaa kanajua anaongea ualisia wa maisha

  • @princekagame8203
    @princekagame8203 День тому

    Huy na baba levo ni watu flan hivi

  • @faustinimasisi8792
    @faustinimasisi8792 Рік тому +3

    Watu wanatoka mbali sana

  • @messaabbas739
    @messaabbas739 Рік тому +10

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,,afu upo serious ajaab 🙆🤣🤣🤣🤣🤣

  • @InnocentLeonard-gy1mn
    @InnocentLeonard-gy1mn 7 місяців тому

    Kusema ukweli ukiwa kwa yesu Raha Sana

  • @patriciakalinga9176
    @patriciakalinga9176 Рік тому +3

    Nimependa alivo jieleza,kwa hekima

  • @Asheri-k5k
    @Asheri-k5k Рік тому

    Nimefarijika sana kusikia vichekesho vyako

  • @olivemwamengonakilimombeya6951
    @olivemwamengonakilimombeya6951 Рік тому +15

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu jaamaaa et ngoja nikuonyeshe ,maishaa haya ,feli ujue ukwel wa maishaa

  • @raginarhobi2453
    @raginarhobi2453 Рік тому +1

    😂😂😂eliud Sanam lako lijengwe pale postal

  • @agathamatambula538
    @agathamatambula538 Рік тому +3

    Dah eliud kboko 😂😂😅

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Рік тому +6

    Jamani Vido Uyo kaka Nikiwonaga ❤❤❤ Moyo wangu Unatapata kama bata🦆kameza pumba kavu🎤plz Ufikishiye Ujumbe wangu 🧘

  • @ChristinaKabisi
    @ChristinaKabisi 8 місяців тому +1

    Kwa kweli Mungu aendelee kukuinua ni mkweli sana yani anavyoongea tu ni burudani sana😂😂😂😂

  • @JofuJoel-wy7sc
    @JofuJoel-wy7sc Рік тому +2

    nimecheka sana

  • @kautharramadhan5918
    @kautharramadhan5918 Рік тому +5

    😂😂😂 nakukubali sana💪

  • @martinkagussa3406
    @martinkagussa3406 Рік тому +5

    Anaangalia video 😅😅😅😂😂😊

  • @aminamnzava4757
    @aminamnzava4757 Рік тому +6

    Eti Mungu amenitoa gizani

  • @saidmatikiti1566
    @saidmatikiti1566 Рік тому +2

    Safi sana

  • @bibip9181
    @bibip9181 Рік тому +2

    Eliudi umetakata kweli umejua kuoga maji ya da!

  • @PauloSanga-xe9ss
    @PauloSanga-xe9ss Рік тому +1

    Vzr kaka

  • @Brayban
    @Brayban Рік тому +3

    Vidox hauna furaha na hii interview, kabisa

  • @AngelicBen-je7gx
    @AngelicBen-je7gx Рік тому

    Hahaaa we kak mungu akubaliki😂😂

  • @RusyJackson
    @RusyJackson 7 місяців тому +1

    🙏🙏🙏

  • @kavisheonline2418
    @kavisheonline2418 7 місяців тому

    Eliud fala sana

  • @Emanuelpaskal-bd9tw
    @Emanuelpaskal-bd9tw Рік тому +1

    huyu vido angemhoji zumaridi angepigwa vibao vingi

  • @BerthaModest
    @BerthaModest Рік тому +2

    😂😂afu anaongea kama atakib🙌

  • @MorryUshindi
    @MorryUshindi 8 місяців тому

    Hahahahahahahaha usiwe nae kwan we n nan na maandiko yameagiza baba

  • @NiceBiscuit-qo4dq
    @NiceBiscuit-qo4dq Рік тому +5

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eliud bna we kibok duuuh ahaahhahaahaahahahahahahah ach nichke mie 😂😂😂😂😂 ❤

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Рік тому +6

    Alikuwa mweus mpaka ajioni akijitafuta 😅😅😅

  • @saidsalim851
    @saidsalim851 Рік тому +3

    Kumbe kuishi Dar ni neema 😂😂😂😂

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 місяців тому +1

    Ila eliud kipaji kwakweli
    Hatumii nguvu ujue😂😂

  • @dorothelimhoo5440
    @dorothelimhoo5440 Рік тому +2

    Watakulazimisha wakuue mwaisaa😂😂😂😂😂

  • @luluray2115
    @luluray2115 3 місяці тому

    Home boy

  • @MorryUshindi
    @MorryUshindi 8 місяців тому

    Vidox anacheka daaaaaah,,, eliud ni kukimbia mafarakanoo

    • @MorryUshindi
      @MorryUshindi 8 місяців тому

      Hahahahahahahaha

    • @MorryUshindi
      @MorryUshindi 8 місяців тому

      Weeeee mwakasege tupo ukoooo

    • @MorryUshindi
      @MorryUshindi 8 місяців тому

      Ety yanakaaga sehemu weee eliud weeeeee

    • @MorryUshindi
      @MorryUshindi 8 місяців тому

      Wanyakyusaa na wakingaaaaaaa😂😂😂
      Tunajijuaaa,,, hatuweziiii kutunza pesaa mpaka wawepoo wakingaaaaaa

  • @lucydelina1749
    @lucydelina1749 Рік тому +1

    Eliud njoo huku kuna ndug yako

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Рік тому +2

    Et uwez kujuta daktari mweusi

  • @barakaswillah635
    @barakaswillah635 Рік тому +3

    Nakubali Sana Eliud hhahah

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Рік тому +4

    Et kwa kipindi kile setifiketi ndio ilikuwa ina hiti 🤣🤣🤣🤣

  • @RusyJackson
    @RusyJackson 7 місяців тому

    ❤❤🙏🙏🙏🙏

  • @dafemadafema1365
    @dafemadafema1365 Рік тому

    Mwaisa bhna

  • @catherinemuhagama7338
    @catherinemuhagama7338 Рік тому +3

    Vido Happy Easter kwako❤🙏

  • @gilmangeorge366
    @gilmangeorge366 Рік тому +9

    Huyu jamaa anakpaji sana ila watu watamrudisha nyuma sana sababu ya dini yake

    • @alikomwandoto1258
      @alikomwandoto1258 Рік тому +1

      Mawazo hasi

    • @deboraezekiel784
      @deboraezekiel784 Рік тому +1

      Unamawazo hasi Mungu ndo kamuweka hapo

    • @m2pc
      @m2pc Рік тому +1

      Ili jamaa lina akiri kweli dini inaingiaje hapo tz na mambo ya udini tumeyaanza lini

    • @betronbernado7221
      @betronbernado7221 Рік тому +1

      Hauna akili mzee

    • @bahatirngulika4493
      @bahatirngulika4493 Рік тому +1

      Kwani nani alikwambia dini fulani ndo inamfanikisha mtu???? Acha hizo bana weee

  • @zuberijuma7366
    @zuberijuma7366 Рік тому +4

    Ni GRADE tuuuuu😂😂😂😂

  • @GodfreyMbilinyi-kx7qb
    @GodfreyMbilinyi-kx7qb Місяць тому

    Asotee kwanza 😂😂😂😂 elud 😂😂😂 asisote sanaa bas

  • @theopisterjovent3483
    @theopisterjovent3483 Рік тому +1

    Tumetoboa hadi zanzibar😂😂😂😂

  • @margrethamsechu7088
    @margrethamsechu7088 Рік тому +3

    Eliud unanichekesha 😂😂😂😂

  • @jumakibo6150
    @jumakibo6150 8 місяців тому +1

    😂😂😂😂 eliud

  • @ruthaizeah-hd7pf
    @ruthaizeah-hd7pf Рік тому +2

    Et mweusi🤣🤣🤣🤣🤣Ila we mkaka

  • @matunzojr4862
    @matunzojr4862 Рік тому +6

    we jamaa vido unahoj kwaajil yako au mashabiki maana unaongeaga polepole ata maswali yako hayasikiki acha kuongea kirembo sheikh

  • @aminamoody5865
    @aminamoody5865 8 місяців тому

    😅😅😅😅 unajibu kama utani

  • @rachelkingdom-rg4vl
    @rachelkingdom-rg4vl Рік тому +1

    Nina shida na no yako naipataje

  • @pmoshy2466
    @pmoshy2466 Рік тому +3

    Ka sentensi kafupi😅😅

    • @batul95
      @batul95 Рік тому

      Hakuna kuuliza kwa nini yani ni "USIZINI"😂😂😂

  • @dorothelimhoo5440
    @dorothelimhoo5440 Рік тому +1

    Grade 1😂😂😂😂

  • @salimmseza9588
    @salimmseza9588 Рік тому +1

    Umetakata sana

  • @bahatiamiri1112
    @bahatiamiri1112 Рік тому +1

    Bug up Eliud

  • @AmosYusuph-cj6gb
    @AmosYusuph-cj6gb Рік тому

    Unaogea maziwa

  • @ERASTOMUSSA
    @ERASTOMUSSA Рік тому

    pasua kichwa😅

  • @TamalyMichael
    @TamalyMichael 3 місяці тому

    Et biscuit 3000😂😂😂

  • @Funnyclip2321
    @Funnyclip2321 Рік тому +3

    Eti ametakata 😂😂

  • @HermanTito
    @HermanTito 6 місяців тому

    Mungu kanitoa gizani😂😂😂😂

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 Рік тому

    Huyu mwamba jiniaz

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 місяців тому

    😂eti nilivyoinuliwa

  • @NyumbaniHabariMedia
    @NyumbaniHabariMedia Рік тому +1

    Hesabu😂😂😂

  • @Sonny733
    @Sonny733 Рік тому

    Eliud bwanaa 😂😂😂

  • @jasirimjasirimedia7940
    @jasirimjasirimedia7940 Рік тому +2

    💪💪💪💪

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 9 місяців тому

    Wakinga ni bness oriented,kina vunja bei
    Km wachaga,

  • @oliveroden9638
    @oliveroden9638 Рік тому

    Vido ❤️

  • @josephzakaria4462
    @josephzakaria4462 Рік тому +1

    Mc Eliud

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Рік тому

    Ila eliudi😂😂😂

  • @stellah3844
    @stellah3844 Рік тому

    Ila Eliudi 😂😂😂😂😂😂😂

  • @luseshelomwangole2408
    @luseshelomwangole2408 Рік тому

    😅😅😅😅 daaah

  • @penuelmwasalyanda
    @penuelmwasalyanda Рік тому +1

    😂😂😂😂 cocobeach

  • @evasilaa9064
    @evasilaa9064 Рік тому +2

    😆😆😆