Eliudi ana kipaji kizuri sana ukweli ni kwamba anaweza pia akakaza katika ibada akaenda mbinguni maana hata lugha yake ni nzuri hata mtoto anaweza kumsikiliza ana lugha njema sana ❤❤❤❤Mungu ampe mwisho mwema amina
Ziko baraka znapatkana ktk ndoa,,, huezjua huenda mafankio yako yanawezatokea baada ya kuish naee,,,, najambo zuri sana pale mkiwa pamoja ktk kushrkiana maadam tuu mkinia mamoja. Jtaid usmpoteze huyo bibie cz inaonyesha ni mwanamke bora sana kwako Eliud.... Much love wa kumyitu❤️❤️
Huyu jamaa hata kabla ya kuwa mshindi wa pili ,alipita kule Mbeya kwa kura ,maana walitakiwa wapite wawili Mungu alivyofundi sasa daah huyu ndio anavuma sana ,lakini pia aliyestahili kushinda ni Leornado kwa wakati ule sema Eliud kadiri siku zinavyozidi kwenda na style yake ya uchekeshaji ndivyo anavuozidi kuwa wa moto.
Maaa big Brother Kila dakika Kila sekunde Kila siku anaongea about life lahapa dar big Brother tunajifunza mengi kwako na unatusanua Mengi nakupigia soon ngoja tuongee vzr na Hom Boy V van boy
Eliudi ana kipaji kizuri sana ukweli ni kwamba anaweza pia akakaza katika ibada akaenda mbinguni maana hata lugha yake ni nzuri hata mtoto anaweza kumsikiliza ana lugha njema sana ❤❤❤❤Mungu ampe mwisho mwema amina
😂😂😂😂😂😂😂sifanyi nao jicho kinachopelekea mimba. Your done. Keep it up mtumishi
Ila Eliud 😂😂😂ana vituko sema napenda alvyo muwazi Mungu azid kukubarik zaid ya hapo🙏🙏
Kuna tofauti ya kipaji Cha kuchekesha na mtu kusomea uchekeshaji ira Eliudi una kipaji Cha kuchekesha
NAKUPENDA MTUMISHI WA MUNGU, UCHEKEAHAJI UPO KWENYE DAMU, NI MKWELI
MUNGU AKUBARIKI SANA KAKA.
Jamanii muende dar na uhai pamoja na maalifa🤣🤣🤣Eliud salute kwako🙌
Ziko baraka znapatkana ktk ndoa,,, huezjua huenda mafankio yako yanawezatokea baada ya kuish naee,,,, najambo zuri sana pale mkiwa pamoja ktk kushrkiana maadam tuu mkinia mamoja. Jtaid usmpoteze huyo bibie cz inaonyesha ni mwanamke bora sana kwako Eliud.... Much love wa kumyitu❤️❤️
MAISHA BHANA,,YULE MSHINDI WA KWANZA CHEKA 2,,HAVUMI KAMA AVUMAVYO MSHND WA 2,,,KWELI JUHUDI NDO KILA KITU.
Kama mandonga2
Kabisa eliud alistahi
Kwani ni mkorea😅😅😅😅😅
Mm mshindi wng wa kwanza alikuwa eliud
Huyu jamaa hata kabla ya kuwa mshindi wa pili ,alipita kule Mbeya kwa kura ,maana walitakiwa wapite wawili Mungu alivyofundi sasa daah huyu ndio anavuma sana ,lakini pia aliyestahili kushinda ni Leornado kwa wakati ule sema Eliud kadiri siku zinavyozidi kwenda na style yake ya uchekeshaji ndivyo anavuozidi kuwa wa moto.
My home boy!! Nakukubari Mwaisa🤣🤣
Shitindi wapo na wanyiha
kumuhoji eliud raha sana huku nafanya kazi na huku unaongeza ck za kuishi kwa kucheka😂
Pamoja class mate Mungu aendelee kukupigania
Eliudi anaongea ukweli sana ila anavyojibu sasa anajibu kiuchekeshaji 🤣
Big up brother
Kwa Yesu rahaaa
Nafurahi kusikia una Yesu
Napenda sana huyu kaka anavyoongea ukweli
Maaa big Brother Kila dakika Kila sekunde Kila siku anaongea about life lahapa dar big Brother tunajifunza mengi kwako na unatusanua Mengi nakupigia soon ngoja tuongee vzr na Hom Boy V van boy
You made my day kaka Eliud, thanks!😂😂
Jamaa anajua sana💯
Best interview ever
Sisi sio watoto wa Mungu. Sisi ni watu wa Mungu. Mungu hazai hadi awe na watoto. Mungu Hana mikono. Kupata haina uhusiano na Mungu
Mungu Ni baba,,na sisi Ni Wana wake "watoto"
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 et eliud Kama ningekua Sina ningekua hv?😅
Eti kipindi kile 2015 IT ilikuwa inalipa nikasoma IT
😂😂😂😂
Eleud unatixha tukupe mauwa yako🌹🌹🥀🥀
Hii ni interview lakn nacheka kama nasikiliza cheka tu
Eliud samweli 💯💯💯
😂😂😂😂yani huyu anacomedy yke ya tafauti
Blessed sana
Aliud yup smart for some how
Daah kila kitu kinawezekakana kwa yesu
Haka kajamaa kanajua anaongea ualisia wa maisha
Huy na baba levo ni watu flan hivi
Watu wanatoka mbali sana
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂,,afu upo serious ajaab 🙆🤣🤣🤣🤣🤣
Kusema ukweli ukiwa kwa yesu Raha Sana
Nimependa alivo jieleza,kwa hekima
Nimefarijika sana kusikia vichekesho vyako
🤣🤣🤣🤣🤣🤣huyu jaamaaa et ngoja nikuonyeshe ,maishaa haya ,feli ujue ukwel wa maishaa
😂😂
😂😂😂eliud Sanam lako lijengwe pale postal
Dah eliud kboko 😂😂😅
Jamani Vido Uyo kaka Nikiwonaga ❤❤❤ Moyo wangu Unatapata kama bata🦆kameza pumba kavu🎤plz Ufikishiye Ujumbe wangu 🧘
Naomba no yako
@@rachelkingdom-rg4vl Ndg yangu sijakuelewa🤷
Kwa kweli Mungu aendelee kukuinua ni mkweli sana yani anavyoongea tu ni burudani sana😂😂😂😂
nimecheka sana
😂😂😂 nakukubali sana💪
Anaangalia video 😅😅😅😂😂😊
Eti Mungu amenitoa gizani
😂😂😂😂😂
Safi sana
Eliudi umetakata kweli umejua kuoga maji ya da!
Vzr kaka
Vidox hauna furaha na hii interview, kabisa
Hacheki hata kidogo,,,hata smile asee!
Hahaaa we kak mungu akubaliki😂😂
🙏🙏🙏
Eliud fala sana
huyu vido angemhoji zumaridi angepigwa vibao vingi
😂😂afu anaongea kama atakib🙌
Hahahahahahahaha usiwe nae kwan we n nan na maandiko yameagiza baba
😂😂😂😂😂😂😂😂😂 eliud bna we kibok duuuh ahaahhahaahaahahahahahahah ach nichke mie 😂😂😂😂😂 ❤
Eliud wewe umejaaliwa
Alikuwa mweus mpaka ajioni akijitafuta 😅😅😅
Kumbe kuishi Dar ni neema 😂😂😂😂
Ila eliud kipaji kwakweli
Hatumii nguvu ujue😂😂
Watakulazimisha wakuue mwaisaa😂😂😂😂😂
Home boy
Vidox anacheka daaaaaah,,, eliud ni kukimbia mafarakanoo
Hahahahahahahaha
Weeeee mwakasege tupo ukoooo
Ety yanakaaga sehemu weee eliud weeeeee
Wanyakyusaa na wakingaaaaaaa😂😂😂
Tunajijuaaa,,, hatuweziiii kutunza pesaa mpaka wawepoo wakingaaaaaa
Eliud njoo huku kuna ndug yako
Et uwez kujuta daktari mweusi
Nakubali Sana Eliud hhahah
😅😅😅😅😅😅
Et kwa kipindi kile setifiketi ndio ilikuwa ina hiti 🤣🤣🤣🤣
❤❤🙏🙏🙏🙏
Mwaisa bhna
Vido Happy Easter kwako❤🙏
Hii
Hi
Habar
Huyu jamaa anakpaji sana ila watu watamrudisha nyuma sana sababu ya dini yake
Mawazo hasi
Unamawazo hasi Mungu ndo kamuweka hapo
Ili jamaa lina akiri kweli dini inaingiaje hapo tz na mambo ya udini tumeyaanza lini
Hauna akili mzee
Kwani nani alikwambia dini fulani ndo inamfanikisha mtu???? Acha hizo bana weee
Ni GRADE tuuuuu😂😂😂😂
Asotee kwanza 😂😂😂😂 elud 😂😂😂 asisote sanaa bas
Tumetoboa hadi zanzibar😂😂😂😂
Eliud unanichekesha 😂😂😂😂
😂😂😂😂 eliud
Et mweusi🤣🤣🤣🤣🤣Ila we mkaka
we jamaa vido unahoj kwaajil yako au mashabiki maana unaongeaga polepole ata maswali yako hayasikiki acha kuongea kirembo sheikh
😅😅😅😅 unajibu kama utani
Nina shida na no yako naipataje
Ka sentensi kafupi😅😅
Hakuna kuuliza kwa nini yani ni "USIZINI"😂😂😂
Grade 1😂😂😂😂
Umetakata sana
Bug up Eliud
Unaogea maziwa
pasua kichwa😅
Et biscuit 3000😂😂😂
Eti ametakata 😂😂
Mungu kanitoa gizani😂😂😂😂
Huyu mwamba jiniaz
😂eti nilivyoinuliwa
Hesabu😂😂😂
Eliud bwanaa 😂😂😂
💪💪💪💪
Wakinga ni bness oriented,kina vunja bei
Km wachaga,
Vido ❤️
Mc Eliud
Ila eliudi😂😂😂
Ila Eliudi 😂😂😂😂😂😂😂
😅😅😅😅 daaah
😂😂😂😂 cocobeach
😆😆😆