#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2023
  • #EXCLUSIVE: TX DULLAH AFUNGUKA ALIVYOACHA UALIMU NA KUINGIA KWENYE UCHEKESHAJI
    www.youtube.com/@Wasafi_Media...
    WATCH WASAFI TV📺
    AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
    LISTEN WASAFI FM 📻
    88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
    Follow Us On:
    INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
    TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
    FACEBOOK: / wasafitv
    𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 70

  • @andrew0502
    @andrew0502 10 місяців тому +13

    All the best Tx Dullah mnyama Mungu akushike mkono ufike levo za juu zaidi

  • @andrew0502
    @andrew0502 10 місяців тому +30

    Kuna point nimeipenda hapo bora upate mtu anaekupenda alafu wew mkubali na uanze kumpenda taratibu coz mtu ukimpenda, hasa mwanamke atakutesa mno

  • @honmaka6200
    @honmaka6200 10 місяців тому +7

    Diva anaumwa mapenzi hata kuhoji anahoji vitu vilivyomwangusha yeye kwenye love circle

  • @King-Buda
    @King-Buda 10 місяців тому +4

    Nlianza kumkubar since day one pale Dodoma kwenye Cheka 2 comedy search aliua sana kuhusu Panya wa kisasa VS wa uswahilini

  • @Secondborn_
    @Secondborn_ 10 місяців тому +8

    Diva chizi kweli kwa hyo hapa ndo anampima mwana hesabu dah hahah

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 10 місяців тому +5

    Txdullah ungetupa ile asante sana ndugu mtangazaji napenda kutuma salama kwa ex wangu wala simkumbuki jina
    Ujumbe salome haya sio maisha

  • @andrew0502
    @andrew0502 10 місяців тому +3

    Tx Dullah mnyama nakuona

  • @shukranchau2285
    @shukranchau2285 10 місяців тому +6

    Nimependa sana hii kitu jamaa anajua kujibu maswali

  • @mussahamisi-ln3qc
    @mussahamisi-ln3qc 10 місяців тому +4

    Nakubali mwamba👍

  • @zuberimohamed43
    @zuberimohamed43 10 місяців тому +3

    Umeamua kurudisha kwa jamii toa mfukoni mwako au anzisha tamasha watu watoe maokoto waingie hayo maokoto peleka kwa wahitaji hamuwaoni watu wa mpira?? Mkiambiwa ukweli mnasema haters? Diva mwenyew unatatzo la afya ya Akili ndomana mambo ya familia unayaanikaga mitandaon

  • @BarakaKanyamibwa-lo4gc
    @BarakaKanyamibwa-lo4gc 10 місяців тому +2

    Jamaa anapoa sana bhana

  • @imaniyohana
    @imaniyohana 9 місяців тому

    Home boy dullah ikowa one,

  • @charzclassic3579
    @charzclassic3579 10 місяців тому +2

    Wana PCM umetuwakilisha lakn sasa diva kauuliza very simple questions au ndo mnatuweka sawa?

  • @Shukutu
    @Shukutu 4 місяці тому

    Tx Dullah

  • @MydearYasini-zp7rd
    @MydearYasini-zp7rd 10 місяців тому +1

    Kwel dullah

  • @hamisijumanne4137
    @hamisijumanne4137 10 місяців тому +3

    Kumbe tx dula nikajua una akili kumbe ukili zpo umeongea pwenti sana kuusu kuongea inategemeana nakipato🙏🙏

  • @mdachiog5211
    @mdachiog5211 10 місяців тому +2

    Ulikuwa huna hela boss😂😂

  • @LAVIIBESTCRIS46
    @LAVIIBESTCRIS46 2 місяці тому

    😂😂😂🎉 txdula subaru

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 10 місяців тому +4

    Kweli wababa tunalea wtt sio wetu kati ya 3 mmoja sio wako

  • @matokeojoseph9839
    @matokeojoseph9839 10 місяців тому +2

    diva..mbona.umekuwa.mkali.hasila.za.mume.wko.umehamishia.kwenye.kipindi

  • @PanchoValentino-wh7wt
    @PanchoValentino-wh7wt 10 місяців тому +1

    TX Dullah Unajua unajua saana aisee 😅😂😁🤣😬

  • @kondoatown8765
    @kondoatown8765 10 місяців тому +4

    Eti mtu anasifiwa kupata jibu la 2+2+2=6 ETI!!! HATARIIIIII

  • @mylasadick5189
    @mylasadick5189 10 місяців тому +1

    Kumbe limekuuma watu walivyogoma😂kuchangiwa😂

  • @samkoka3
    @samkoka3 10 місяців тому +2

    Sauti tu inahema😅😅😅

  • @JuniorAlex-iy4ml
    @JuniorAlex-iy4ml 10 місяців тому

    ahahah da bro ulitisha kinm kweny salam apooo da

  • @ladamofficial4263
    @ladamofficial4263 8 місяців тому

    Komedi ni ualimu pia good point sio lazma ufanikiwe kwa ulichosomea

  • @abdallahkambangwa7215
    @abdallahkambangwa7215 10 місяців тому +3

    Dada unachanganya sana kingereza na kiswahili mpaka unaboa

  • @King-Buda
    @King-Buda 10 місяців тому

    Bles

  • @malinyasavco7964
    @malinyasavco7964 9 місяців тому

    TX dula nakukubali mwamba nakusikiliza usiku wa manane usiku wa manane

  • @christiannyamamba9089
    @christiannyamamba9089 10 місяців тому

    Aisee kumbe dulla bado dogo hivi miaka 27 focus kwenye kazi mdogo angu mapenzi yapogo tu

  • @user-tc1zp9is6y
    @user-tc1zp9is6y 10 місяців тому +3

    Diva kaamishia asira za mumewe kwa kua anamchiti😂😂

    • @honmaka6200
      @honmaka6200 10 місяців тому

      kumbe tupo pamoja😅😅

  • @mwasitibett1990
    @mwasitibett1990 10 місяців тому +6

    Minina miaka 12 sijawai kumsaliti mume wangu

    • @breezy679
      @breezy679 10 місяців тому +1

      Hii imeenda😂😂😂

    • @FastpayMauzo
      @FastpayMauzo 10 місяців тому

      Una mapungufu

    • @Enjoyyourday512
      @Enjoyyourday512 10 місяців тому

      Mzungu akusaidie usije ukamsaliti
      Your message motivated me thanks

    • @soundmale
      @soundmale 10 місяців тому

      Huenda alikuwahi kwa mwakatobe😁😁kwa mganga😁😁

    • @Fgldesigns
      @Fgldesigns 10 місяців тому +1

      Hiyo miaka 12 ndo ya ndoa au ndo ambayo ulimsaliti...
      Kwamba ya mwanzo ulimcheat ukaacha njiani

  • @user-iv4hh2ow5g
    @user-iv4hh2ow5g Місяць тому

    Unacho sema nikweli kunamda unakuta unaikana family yako ilimradi apate kitu chamda mfup imagine unasema ujaoa lakn family iko nyumban inakusubia urudi naa Chochote kitu

  • @JokerMdoli-db8se
    @JokerMdoli-db8se Місяць тому

    Mmh mnyama San uyu 😂😂 2+2+2 watoto wa Pure mathematics ...

  • @ibrahimmwanzolo9280
    @ibrahimmwanzolo9280 10 місяців тому

    Jembe tx ikowa ya udinde au ikowa ipi

  • @johnnyoni3976
    @johnnyoni3976 9 місяців тому

    HV WE DADA N MTANZANIA AU N WA NCHI GANI?? UNABOWA UNAPENDA KUCHANGANYA RUGHA SANA KTK VIPINDI VYAKO ,

  • @jaffaryhamiddy8939
    @jaffaryhamiddy8939 10 місяців тому

    sema huy dada anachek vibaya mtoen bana hpo wekeni pisi km Minah Ally pisi ikichk unym huy km mjus sijui nn

  • @greysonmsigwa5741
    @greysonmsigwa5741 10 місяців тому

    Ila TX dula unaswaga😂

  • @augustuss4503
    @augustuss4503 10 місяців тому +2

    Mimi naomba Diaspora, Watanzania waishio nnje ya nchi wapewe haki zao, sio lazima Uraia pacha, kwasababu wanatoa mchango mkubwa kwa maendeleo ya Taifa .

  • @user-ry6kh1zn8j
    @user-ry6kh1zn8j 10 місяців тому +2

    Ulisoma mwecau

  • @devgodfrey
    @devgodfrey 10 місяців тому +1

    😂😂

  • @user-nf7yn8pt5d
    @user-nf7yn8pt5d 10 місяців тому +1

    mmmmmh ninamimba ila si yako

  • @enockmwilongo5771
    @enockmwilongo5771 10 місяців тому +1

    😂😂😂😂😂😂

  • @halifajuma6196
    @halifajuma6196 10 місяців тому +1

    Diva wewe nawe unamatatizo Mana nanyi wasanii pia mmezidi kikubwa

  • @stephanomkwambe2647
    @stephanomkwambe2647 10 місяців тому +2

    Kumbe mwamba ni hatar kwa kichwa

  • @tonymasy8872
    @tonymasy8872 10 місяців тому +3

    Acheni kupotosha uma mbon tuliopo Kwa ndoa tuna fraha kuliko nyie viruka njia, hasa nyie wasanii mbwa nyny😅

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION 10 місяців тому

    Hafundishi ila ualimu ni taaluma yake,,, so huwezi acha taaluma

  • @samley1
    @samley1 10 місяців тому

    Stahili yama penziii

  • @Whoisthismantalking
    @Whoisthismantalking 10 місяців тому

    Interviewer kaongea kuliko interviewee. Imagine unamualika mtu kwaajili ya kum interview ila unaishia kuongea sana kuliko uliemualika. This means she also have mental health problems.

  • @mack_B.
    @mack_B. 10 місяців тому +3

    Nko hpa songea naona ki tax chenu kinazurura zurura😂

    • @anthonygenge4366
      @anthonygenge4366 9 місяців тому

      Kitax kinazurura zururaa😂😂😂😂