Mh. Makonda mungu akubariki sana ,, neno 1 kali sana ,, 1:59:19 ,, kwa maana yakwamba hapa kuna tochi badala ya kuwa na Taa ,, kwa maana ya kwamba ushakaa chini na kutafakari ,, kuwa Unafahmu kila kitu kinachoendelea katika kikao chako NAMANGA ,, mungu akubariki sana !
Me nakubali kila kiongozi ana mazuri yake na mabaya yake lakin pale anapo patia alau tumpongeze kusema ukweli makonda jwa sasa ndie kiongozi namba 1 tanzania anaye upiga mwingii
Fedha zinazotolewa kwaajili ya miradi haziakisi gharama halisi za ujenzi muda mwingine Kwani utofauti wa bei za materials kwa maeneo mbalimbali unatofautiana, vilevile Geography factor kama anayosema engineer(ya bonde la ufa) inaweza kusababisha gharama kuwa tofauti kwani foundation inakua tofauti na maeneo mengine.Mh anachofanya ni kudictate maongezi.
Kwakweli tunaumia sana wilaya ya longido bili ya maji Iko juu unit nishilingi 1800 ukipiga kwa mwezi ni hela nyingi sana tunaomba tu mtudaidie kupunguza bili hio nikubwa sana
Mh. Makonda mungu akubariki sana ,, neno 1 kali sana ,, 1:59:19 ,, kwa maana yakwamba hapa kuna tochi badala ya kuwa na Taa ,, kwa maana ya kwamba ushakaa chini na kutafakari ,, kuwa Unafahmu kila kitu kinachoendelea katika kikao chako NAMANGA ,, mungu akubariki sana !
Mwenye shibe hamjui mwenye njaa! Mh Makonda Mungu akutunze
Me nakubali kila kiongozi ana mazuri yake na mabaya yake lakin pale anapo patia alau tumpongeze kusema ukweli makonda jwa sasa ndie kiongozi namba 1 tanzania anaye upiga mwingii
Kuna waziri wa aridhi nae yupo 🔥🔥🔥
Nampongeza huyo Mwl. Pili nampa pongezi huyo engineer anajua kufafanua vzr hongera dada.
Kiongozi Bora Sana, hongera sana tata Makonda
Makonda Kati ya viongozi na wew upo unafaa kuwa kiongozi daima
Engineer nimemkubali..anaelezea vizuri
Dawani kajivua mwenyekiti kajivua kazi wanayo
Makonda oyeeeeeee
Fedha zinazotolewa kwaajili ya miradi haziakisi gharama halisi za ujenzi muda mwingine Kwani utofauti wa bei za materials kwa maeneo mbalimbali unatofautiana, vilevile Geography factor kama anayosema engineer(ya bonde la ufa) inaweza kusababisha gharama kuwa tofauti kwani foundation inakua tofauti na maeneo mengine.Mh anachofanya ni kudictate maongezi.
watumishi wana dharau sana
Makonda nikiongozi bora
Kwakweli tunaumia sana wilaya ya longido bili ya maji Iko juu unit nishilingi 1800 ukipiga kwa mwezi ni hela nyingi sana tunaomba tu mtudaidie kupunguza bili hio nikubwa sana
Ongela mkuu wamkoa makonda ongela ras
Ila mkuu wa shule 😢
Ana kitu huyu kijana
Engineer uwezo mdogo kichwani, sijui chuo gani na ajira amepataje?
mambo ya miradi on fire
uyooo jamaaa mtu sana
Huyu jamaa atawanyoosha 😂😂😂😂
Huyu anaemwelekeza 😂
Mkuu wa wilaya hafai
Karbu tena Namanga
😂😂😂😂😂makonda nihatali
Gresi umenizarau sana
❤❤
duh, jamaa anabana
😂😂😂😂😅🎉
Wapewe nafas watu wajieleze
Kwani vita ya DR GWAJIMA ilisha?
Zamani sana baada ya Jamaa kutoka ukuu wa mkoa wa Dar
😂