LIVE: RC MAKONDA ANAZUNGUMZA NA KUSIKILIZA KERO ZA WANANCHI WA LONGIDO - ARUSHA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 34

  • @abdallahmahsen4091
    @abdallahmahsen4091 4 місяці тому +5

    Mh. Makonda mungu akubariki sana ,, neno 1 kali sana ,, 1:59:19 ,, kwa maana yakwamba hapa kuna tochi badala ya kuwa na Taa ,, kwa maana ya kwamba ushakaa chini na kutafakari ,, kuwa Unafahmu kila kitu kinachoendelea katika kikao chako NAMANGA ,, mungu akubariki sana !

  • @leahkabura4271
    @leahkabura4271 4 місяці тому +1

    Mwenye shibe hamjui mwenye njaa! Mh Makonda Mungu akutunze

  • @issayasanaree1319
    @issayasanaree1319 4 місяці тому +10

    Me nakubali kila kiongozi ana mazuri yake na mabaya yake lakin pale anapo patia alau tumpongeze kusema ukweli makonda jwa sasa ndie kiongozi namba 1 tanzania anaye upiga mwingii

    • @paulnaingo6860
      @paulnaingo6860 4 місяці тому

      Kuna waziri wa aridhi nae yupo 🔥🔥🔥

  • @devotatarimo8141
    @devotatarimo8141 4 місяці тому +1

    Nampongeza huyo Mwl. Pili nampa pongezi huyo engineer anajua kufafanua vzr hongera dada.

  • @sospetermigera685
    @sospetermigera685 4 місяці тому +2

    Kiongozi Bora Sana, hongera sana tata Makonda

  • @churicharles7978
    @churicharles7978 4 місяці тому +1

    Makonda Kati ya viongozi na wew upo unafaa kuwa kiongozi daima

  • @MyMercy84
    @MyMercy84 4 місяці тому

    Engineer nimemkubali..anaelezea vizuri

  • @amisindondi4549
    @amisindondi4549 4 місяці тому +1

    Dawani kajivua mwenyekiti kajivua kazi wanayo

  • @JustineZepha
    @JustineZepha 4 місяці тому +3

    Makonda oyeeeeeee

  • @Mendietadiamante7971
    @Mendietadiamante7971 4 місяці тому +4

    Fedha zinazotolewa kwaajili ya miradi haziakisi gharama halisi za ujenzi muda mwingine Kwani utofauti wa bei za materials kwa maeneo mbalimbali unatofautiana, vilevile Geography factor kama anayosema engineer(ya bonde la ufa) inaweza kusababisha gharama kuwa tofauti kwani foundation inakua tofauti na maeneo mengine.Mh anachofanya ni kudictate maongezi.

  • @bakarimajaliwa247
    @bakarimajaliwa247 4 місяці тому +1

    watumishi wana dharau sana

  • @AbrahamMwambo
    @AbrahamMwambo 4 місяці тому

    Makonda nikiongozi bora

  • @janetymusa610
    @janetymusa610 4 місяці тому +1

    Kwakweli tunaumia sana wilaya ya longido bili ya maji Iko juu unit nishilingi 1800 ukipiga kwa mwezi ni hela nyingi sana tunaomba tu mtudaidie kupunguza bili hio nikubwa sana

  • @Japhary-sx3je
    @Japhary-sx3je 4 місяці тому +1

    Ongela mkuu wamkoa makonda ongela ras

  • @endeshyamat6773
    @endeshyamat6773 4 місяці тому +1

    Ila mkuu wa shule 😢

  • @ladslausngole2063
    @ladslausngole2063 4 місяці тому +2

    Ana kitu huyu kijana

  • @Mohamed-kx2ij
    @Mohamed-kx2ij 4 місяці тому +1

    Engineer uwezo mdogo kichwani, sijui chuo gani na ajira amepataje?

  • @goodluckBuretta
    @goodluckBuretta 4 місяці тому

    mambo ya miradi on fire

  • @denisngowi8572
    @denisngowi8572 4 місяці тому

    uyooo jamaaa mtu sana

  • @KamekaKameka
    @KamekaKameka 4 місяці тому +1

    Huyu jamaa atawanyoosha 😂😂😂😂

  • @neemasanare3474
    @neemasanare3474 4 місяці тому

    Huyu anaemwelekeza 😂

  • @Mohamed-kx2ij
    @Mohamed-kx2ij 4 місяці тому

    Mkuu wa wilaya hafai

  • @jessmassw1205
    @jessmassw1205 4 місяці тому +1

    Karbu tena Namanga

  • @smartboytz4724
    @smartboytz4724 4 місяці тому +2

    😂😂😂😂😂makonda nihatali

  • @JumaKipingu
    @JumaKipingu 4 місяці тому

    Gresi umenizarau sana

  • @jessmassw1205
    @jessmassw1205 4 місяці тому

    ❤❤

  • @rajanyoussuph1513
    @rajanyoussuph1513 4 місяці тому +1

    duh, jamaa anabana

  • @MwanahamisSaid-bt1xf
    @MwanahamisSaid-bt1xf 4 місяці тому +1

    😂😂😂😂😅🎉

  • @amirabdallah6984
    @amirabdallah6984 4 місяці тому

    Wapewe nafas watu wajieleze

  • @amoskahindi7256
    @amoskahindi7256 4 місяці тому +1

    Kwani vita ya DR GWAJIMA ilisha?

    • @martinemaganga5253
      @martinemaganga5253 4 місяці тому

      Zamani sana baada ya Jamaa kutoka ukuu wa mkoa wa Dar

  • @JumaKipingu
    @JumaKipingu 4 місяці тому

    😂