Ila Arusha Noma: RC Makonda, Yani Jamaa Anawatoza Ushuru Anakula Yeye Peke Yake Halafu Bado Ana..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 56

  • @chusseboywcb2808
    @chusseboywcb2808 4 місяці тому +12

    Respect sanaaa p ww ndio unaweza kukivaa kiatu cha magu mungu awe naw akulinde namafisadi🙏🙏💪💪💪💪💪

  • @MayoSulle
    @MayoSulle 4 місяці тому +3

    Makonda hongera Sanaa kwakusikiliza KERO mbalimbali Jimbo letu la karatu

  • @MohmadHassan-x2s
    @MohmadHassan-x2s 4 місяці тому +7

    Mungu akutunze kaka

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts 4 місяці тому +3

    Mikoa mingine wanamtamani Makonda lkn cc mama Samia katupendelea Arusha.
    Mama Samia Mungu azidi kukulinda.

  • @RhodaLema-z8w
    @RhodaLema-z8w 4 місяці тому +8

    Piga kazi tunakuombea jembe la wanyonge tanzania nzima kweli mungu ni mwema naamini magufuli hajafa yupo mrith wake

  • @fidelotyeno
    @fidelotyeno 4 місяці тому +12

    My role model

  • @NormanHerman-dr6qj
    @NormanHerman-dr6qj 4 місяці тому +4

    God bless you makonda

  • @JumaAthuman-bk6hx
    @JumaAthuman-bk6hx 4 місяці тому +4

    PIGA KAZI KONDA,UKIMALIZA ARUSHA MAMA AKUHAMISHIE MKOA MWINGINE UKASAFISHE MACHAKA,

  • @MrTop-wj7no
    @MrTop-wj7no 4 місяці тому +1

    Nimecheka daah😂😂😂😂😂 yaani umevaa suti afu hueleweki

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 4 місяці тому +4

    makonda oyeeee

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 4 місяці тому +4

    Makonda ananifurahisha Kuwa mwelewa haraka

  • @kanankirannko6174
    @kanankirannko6174 4 місяці тому +2

    Wafunge na kuomba kama sisi haikuwa rahisi kumpata tumesugua goti sana awepo mtu angalau ashtue hii rushwa ya Arusha na jina lenyewe limekaa kirushwa kabisa

  • @Bquality
    @Bquality 4 місяці тому +6

    Safisha njia baba 25 kama naiona hv

  • @AnnaKomba-nn2wu
    @AnnaKomba-nn2wu 4 місяці тому

    Saluti kwako mh. Makonda mama akuhamishie Iringa, na nakuombea Kwa MUNGU Mama Samia akimaliza miaka yake ya uraisi wew uje ushike uraisi maana Tz inahitaji sana mtu kama wew! "In the Jesus name I believe it will be."

  • @golebenson4597
    @golebenson4597 4 місяці тому +2

    Kijana anashindwa kiujieleza hao ilipwasa kusema mfumo wa ukusanyaji kodi mbovu walipwasa wajumuishe iwe moja

  • @marijanimussa
    @marijanimussa Місяць тому

    Kumbe na Arusha nako mnaliwa kifala huku mnasema chuga wajanja 😅😅

  • @regnaldmoshi9780
    @regnaldmoshi9780 4 місяці тому +1

    Ningepata namba ya Makonda ningempa kero nyingine hapo Ngaramtoni

  • @tumainipeter458
    @tumainipeter458 4 місяці тому

    Houeeeee mkuuu🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💯

  • @oscarmisiru9725
    @oscarmisiru9725 4 місяці тому

    Hiii ni sehemu ndogo ya kerooo

  • @olaislukumay2208
    @olaislukumay2208 4 місяці тому +4

    Yaaani Commissioner wa madini ana wakala alafu Bado anakusanya tena yaaani hapo kuna double taxation ya wazi kabisa

  • @gilbertshirima2684
    @gilbertshirima2684 4 місяці тому +3

    Ni bora kumsikiliza mtaalamu halafu baadaye ukamhoji kwa uhakika.
    Bila wao halmashauri haipati chochote

    • @Darian2550
      @Darian2550 4 місяці тому

      Kabisa, huyu jamaa sometimes anasaidia lkn kuna sehemu anazingua.

  • @Joh-p9f
    @Joh-p9f 4 місяці тому +1

    Tukipata viongozi kama 15 wa hivi atleast

  • @jabarmalid5393
    @jabarmalid5393 4 місяці тому

    lile shati la mkuu wa mkoa mnalikumbukaa??

  • @yusuph1547
    @yusuph1547 4 місяці тому +3

    Basement means "Ghorofa ya chini"😂

  • @elizabethysamweli2187
    @elizabethysamweli2187 4 місяці тому +1

    Shkamoo baba

  • @martinabayyo9982
    @martinabayyo9982 4 місяці тому

    Ambao hawampendi makonda wachimbe mashimo wajifukie

  • @BEATHARWANYUMA-fc1ec
    @BEATHARWANYUMA-fc1ec 4 місяці тому

    2025 kama mama ana hicho la kuona akupe uwaziri mkuu unyoshe watu

  • @eliasammomunguitunzeeyanga1454
    @eliasammomunguitunzeeyanga1454 4 місяці тому

    Tuna liwa Sana

  • @gwamakajohn7122
    @gwamakajohn7122 4 місяці тому

    Moto

  • @cecilianyirenda3377
    @cecilianyirenda3377 4 місяці тому

    Mh. Utakuja lini huku mafinga, watu tunakutegemea uje utatue migogoro ya uonevu katika umiliki ardhi

  • @TinahFrank
    @TinahFrank 4 місяці тому

    Mtoto mdogo jizi duuu ukifika uzeeni ijeee

  • @charlesjohnjohn7953
    @charlesjohnjohn7953 4 місяці тому

    Bro @paschal ndo huyo kijana anatakiwa aeleze vizuri kuwa mfumo uko hivyo na hizo tozo zote ni halali, yaani Tume ya madini, kijiji, Halmashauri,mmiliki na huyo mtu mwingine.

  • @SamNecessity
    @SamNecessity 4 місяці тому

    😢

  • @neemamollel6057
    @neemamollel6057 4 місяці тому

    Camera man pour kabisa ujaitendea haki tafuta camera

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 4 місяці тому

    Sasa muhuheshiwa na wewe unalalamika mwanamchi anakamuliwa si serekali ya chama chenu ndo mikakat yake hiyo ndo kitu watu wanacholalamika hicho kuwa maisha magum sasa ni hiyo mchanga ni kila kitu makamuz ndo hayo hayo then ugum wa maisha

  • @mc-stephenmasome6553
    @mc-stephenmasome6553 4 місяці тому

    Hii nchi bwana ..

  • @davidami7980
    @davidami7980 4 місяці тому +1

    Madaraka ya kulevya

  • @paschalpaul3862
    @paschalpaul3862 4 місяці тому

    Lakini huyo kijana yupo sawa tatizo ni mfumo wa serkali ndiyo ulivyo na hivyo makonda mambo mengine unapaswa upige simu kwa commissioner wa madini

  • @WinnieBenard-x5c
    @WinnieBenard-x5c 4 місяці тому

    Makinda unatibu ugonjwa ambao serikali yako ndio imeleta . Unaleta matatizo ambayo unakuja kuyasove wewe mwenyewe

  • @SimonEmilyo
    @SimonEmilyo 4 місяці тому

    Makonda anataka kushangiliwa lkn huyu dogo yuko sahihi