Wafunge na kuomba kama sisi haikuwa rahisi kumpata tumesugua goti sana awepo mtu angalau ashtue hii rushwa ya Arusha na jina lenyewe limekaa kirushwa kabisa
Saluti kwako mh. Makonda mama akuhamishie Iringa, na nakuombea Kwa MUNGU Mama Samia akimaliza miaka yake ya uraisi wew uje ushike uraisi maana Tz inahitaji sana mtu kama wew! "In the Jesus name I believe it will be."
Bro @paschal ndo huyo kijana anatakiwa aeleze vizuri kuwa mfumo uko hivyo na hizo tozo zote ni halali, yaani Tume ya madini, kijiji, Halmashauri,mmiliki na huyo mtu mwingine.
Sasa muhuheshiwa na wewe unalalamika mwanamchi anakamuliwa si serekali ya chama chenu ndo mikakat yake hiyo ndo kitu watu wanacholalamika hicho kuwa maisha magum sasa ni hiyo mchanga ni kila kitu makamuz ndo hayo hayo then ugum wa maisha
Respect sanaaa p ww ndio unaweza kukivaa kiatu cha magu mungu awe naw akulinde namafisadi🙏🙏💪💪💪💪💪
Wasukuma mungu katujalia Sana utambuzi na haki
Makonda hongera Sanaa kwakusikiliza KERO mbalimbali Jimbo letu la karatu
Mungu akutunze kaka
Mikoa mingine wanamtamani Makonda lkn cc mama Samia katupendelea Arusha.
Mama Samia Mungu azidi kukulinda.
Huyu mama anavojua kupangua ,utakuta Sasa hivi anabadilishwa mkoa
Aletwe songwe
Makonda aletwe songwe
Piga kazi tunakuombea jembe la wanyonge tanzania nzima kweli mungu ni mwema naamini magufuli hajafa yupo mrith wake
Kabisa
Yes
Nisawa
My role model
😂😂😂😂
God bless you makonda
PIGA KAZI KONDA,UKIMALIZA ARUSHA MAMA AKUHAMISHIE MKOA MWINGINE UKASAFISHE MACHAKA,
Nimecheka daah😂😂😂😂😂 yaani umevaa suti afu hueleweki
makonda oyeeee
Makonda ananifurahisha Kuwa mwelewa haraka
Wafunge na kuomba kama sisi haikuwa rahisi kumpata tumesugua goti sana awepo mtu angalau ashtue hii rushwa ya Arusha na jina lenyewe limekaa kirushwa kabisa
Safisha njia baba 25 kama naiona hv
Saluti kwako mh. Makonda mama akuhamishie Iringa, na nakuombea Kwa MUNGU Mama Samia akimaliza miaka yake ya uraisi wew uje ushike uraisi maana Tz inahitaji sana mtu kama wew! "In the Jesus name I believe it will be."
Kwani iringa hamna mkuu wa mkoa
Au analala tu
Kijana anashindwa kiujieleza hao ilipwasa kusema mfumo wa ukusanyaji kodi mbovu walipwasa wajumuishe iwe moja
Kumbe na Arusha nako mnaliwa kifala huku mnasema chuga wajanja 😅😅
Ningepata namba ya Makonda ningempa kero nyingine hapo Ngaramtoni
Houeeeee mkuuu🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼💯
Hiii ni sehemu ndogo ya kerooo
Yaaani Commissioner wa madini ana wakala alafu Bado anakusanya tena yaaani hapo kuna double taxation ya wazi kabisa
Ni bora kumsikiliza mtaalamu halafu baadaye ukamhoji kwa uhakika.
Bila wao halmashauri haipati chochote
Kabisa, huyu jamaa sometimes anasaidia lkn kuna sehemu anazingua.
Tukipata viongozi kama 15 wa hivi atleast
lile shati la mkuu wa mkoa mnalikumbukaa??
Basement means "Ghorofa ya chini"😂
😂😂😂😂
Yes
Sehemu ya chini ya ardhi
Shkamoo baba
Ambao hawampendi makonda wachimbe mashimo wajifukie
2025 kama mama ana hicho la kuona akupe uwaziri mkuu unyoshe watu
Tuna liwa Sana
Moto
Mh. Utakuja lini huku mafinga, watu tunakutegemea uje utatue migogoro ya uonevu katika umiliki ardhi
Mtoto mdogo jizi duuu ukifika uzeeni ijeee
Bro @paschal ndo huyo kijana anatakiwa aeleze vizuri kuwa mfumo uko hivyo na hizo tozo zote ni halali, yaani Tume ya madini, kijiji, Halmashauri,mmiliki na huyo mtu mwingine.
😢
Camera man pour kabisa ujaitendea haki tafuta camera
Sasa muhuheshiwa na wewe unalalamika mwanamchi anakamuliwa si serekali ya chama chenu ndo mikakat yake hiyo ndo kitu watu wanacholalamika hicho kuwa maisha magum sasa ni hiyo mchanga ni kila kitu makamuz ndo hayo hayo then ugum wa maisha
Hii nchi bwana ..
Madaraka ya kulevya
Lakini huyo kijana yupo sawa tatizo ni mfumo wa serkali ndiyo ulivyo na hivyo makonda mambo mengine unapaswa upige simu kwa commissioner wa madini
Makinda unatibu ugonjwa ambao serikali yako ndio imeleta . Unaleta matatizo ambayo unakuja kuyasove wewe mwenyewe
Makonda anataka kushangiliwa lkn huyu dogo yuko sahihi
Tatizo kujiaelezea vizuri ndo hawezi