MBWADUKE: ONYO KALI! SIMBA YA FADLU YAANZA KUFYATUA MAKUCHA YAKE/ KILA MCHEZAJI ANAUTAKA/YAUA 3-0...

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 60

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 2 місяці тому +2

    Mnyama simbaaa ❤

  • @mohamedguveti5372
    @mohamedguveti5372 2 місяці тому +2

    Napenda sana kukusikiliza,,upo vizuri sana,,wewe ni mwalimu wa mpira

  • @alfoncekasanyi6584
    @alfoncekasanyi6584 2 місяці тому +1

    Hongera Sana kwa uchambuzi mzuri

  • @yusuphmwampashi858
    @yusuphmwampashi858 2 місяці тому +4

    Nakubali sana mchambuzi wangu

  • @danielramadhan1117
    @danielramadhan1117 2 місяці тому

    Mmmmh!

  • @KalebuSinkala
    @KalebuSinkala 2 місяці тому

    Nakubali chambuzi la ukweli

  • @Samwel25_Daniel
    @Samwel25_Daniel 2 місяці тому +1

    nakukubali sana

  • @DanielChaula
    @DanielChaula 2 місяці тому +1

    What game 🎯🎯🎯

  • @HappyBabyKittens-wx2mb
    @HappyBabyKittens-wx2mb 2 місяці тому

    Upo sahihi mbwaduke

  • @bedomgwalupogo2652
    @bedomgwalupogo2652 2 місяці тому +1

    Timu ya Simba sc ni timu nzuri mnoo lkn kitu kibaya sana kinafanywa na benchi la ufundi kucheza mpira taratibu sana, mpira wa kujiona mno , "show game" yaani kucheza bar pass,"pass za nyuma bila sababu yoyote ". Kama benchi ya itacheza mpira wa kasi basi watafunga magoli mengi....

  • @waziribori2280
    @waziribori2280 2 місяці тому +1

    Katika wachambuzi wasio wa micho go ni weww unasema ukweli uko kama ali mayayi alivyokuwa mchambuzi hana ushabiki ukweli ni ukweli Big up

  • @MussaRamadhan-h4g
    @MussaRamadhan-h4g 2 місяці тому +2

    Kama haikucheza na na wachezaji sita, kwa maana hiyo walicheza wa 5, shelia inasemaje?

  • @4jay4tech
    @4jay4tech 2 місяці тому +1

    Ukweli usemwe timu ikiwa inashambulia kwa speed hua ni rahisi kuwafanya timu pinzani kufanya makosa Sasa inavocheza simba hili ni tatizo bado linaitafuna simba

  • @DicksonMsuha
    @DicksonMsuha 2 місяці тому +1

    Mwaduke, waambie wachezaji wa simba wanavotoka kwao kwenda lango la mpizan inatakiwa wawe na kasi kubwa na pasi ndefu ili kupata matokeo.

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 місяці тому

    MBWADUKA UPO VZR SANA TENA SANA WEWE NDY FUNDI WA MPIRA. UNACHAMBUA VZR SAAANA HONGERA SANA KWAKO

  • @MashangoBausi-vh7sd
    @MashangoBausi-vh7sd 2 місяці тому

    Haina haja ya hujibu mtu hata uki mpa ball apige danadana 7 hawezi

  • @juliusmsegu3347
    @juliusmsegu3347 2 місяці тому

    Kuna watu wanasema Simba hawakucheza mpira wa kasi. Jamani hivi inapocheza na team ambayo team nzima wote wamerudi nyuma kuzuia hizo mbili unakua unakimbilia wapi?? Mimi naweza kusema Tabora united ndio walioamua kuifanya Simba kucheza vile. Team inapozuia huwezi tu kukamata mpira na kukimbia badala yake inabidi utumie akili Sana namna ya kuwafungua wapinzani ambao wote wamerudi nyuma. Big upo sana wachezajo wa Simba kwa kuamua kua watulivu Ii kutafuta nafasi.

    • @athumanidilunga7770
      @athumanidilunga7770 2 місяці тому

      Wewe unajua soka, Tabora hawakufunguka so huna nafasi ya kukimbia Wala kucheza kasi

  • @MichaelMnangili
    @MichaelMnangili 2 місяці тому

    Mchambuzi ,Tanzania one

  • @mswakisaid2320
    @mswakisaid2320 2 місяці тому

    Weé muache tu haijui Simba vizuri,dirisha dogo atapewa thank you😂

  • @allyally5303
    @allyally5303 2 місяці тому

    Maoni yetu mashabiki WA simba waache uchoyo WA kupeana pasi na kukaa na mpira muda mrefu TUNA wapingeza kwa ushindi

  • @elibarikilukasimakala5534
    @elibarikilukasimakala5534 2 місяці тому

    Naunga mkono hoja ✍️💪🦁

  • @MkubwaAbdalla-r2w
    @MkubwaAbdalla-r2w 2 місяці тому

    Uko vizur

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 місяці тому +3

    Timu inayovuia inatakiwa kutumia ufundi kuifunga na hicho simba imekifanya

  • @MichaelMnangili
    @MichaelMnangili 2 місяці тому

    Kaka wanatakiwa wakusikilize sana makocha wa simba

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 2 місяці тому

    Mzee wadata bonge mchambuz nakugatilia sana najua kocha ataenda kumwelekeza Ahua acheze kitimu atatufetisha timu isipate magor mengi

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 2 місяці тому +1

    Huyu jamaa ndo mchambuzi asiye kuwa na ushabiki anasema kweli kitaalamu

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 2 місяці тому

    WACHEZAJI WA SIMBA MJITAHIDI KUPEANA PASI USILAZIMISHE KUFUNGA KM HAKUNA UWEZEKANO HAUPO. AHOUA USIWE UNALAZIMISHA KM UWEZEKANO HAUPO MPE MWENZIO AFUNGE. LENGO NI NI TIMU ISHINDE CY UBINAFSI WAKUTOTOA BASI KWA WENZAKO. MNAIKOSESHA SIMBA MAGOLI MENGI.

  • @pambaboniface1199
    @pambaboniface1199 2 місяці тому

    Ubwela wamepiga bomu mochwari .....

  • @FrankMusimu
    @FrankMusimu 2 місяці тому

    Mm ni shabiki wa simba lakini simba hoi sana maana hawana mshambuliaji tena simba wanacheza mpira sikio sana hata tem haileti Radha imewapasa wawe na kasi mpira wa taratibu huo siyo

  • @izackwiliblod1472
    @izackwiliblod1472 2 місяці тому

    Mzee ww unakuja mpira

  • @charleslinhege690
    @charleslinhege690 2 місяці тому +12

    Mbwaduke japo wewe yanga lkn wasaidie Simba kuwaeleza ukweli juu ya madhaifu yao ya kiujumla na ya mchezaji mmoja mmoja. Kocha adili na kusahihisha tatizo la Kila mchezaji mmoja mmoja. Simba Bado Wana matatizo makubwa

    • @MkaliZuberi-rt3gb
      @MkaliZuberi-rt3gb 2 місяці тому +4

      We akili huna hata binadamu hakamiliki hata hiyo tim inamadhahifu pia hata kama bora

    • @adammwandambo4143
      @adammwandambo4143 2 місяці тому +1

      Sawa vp kuhusu utumiaji WA extra energy kwa ngaya

    • @makamelila
      @makamelila 2 місяці тому +3

      Watu wengi wanapata tabu ya kiilinganisha Simba na yanga kwasasa lakini yanga inamiaka mitatu sasa imejengwa Simba Ina miez 2 tu sasa hapo ndio kwenye shida Wacha Tim ijengwe kwanza ilituone matokeo

    • @theonasmkoba6121
      @theonasmkoba6121 2 місяці тому

      1:12

    • @theonasmkoba6121
      @theonasmkoba6121 2 місяці тому +1

      Nani kakwambia kuwa Mbwaduke ni Yanga. Unamfahamu sana wewe? Uliza

  • @PendoMkaka
    @PendoMkaka 2 місяці тому

    Kati ya wachambuzi wote wewe ni mtu usie egemea popote hauna chuki na simba , unaonge ukweli na unaufajamu mpira

  • @kanoleausi4204
    @kanoleausi4204 2 місяці тому +4

    Hao tabora united wamecheza bila wachezaji sita . wewe wasifie tu 😂

    • @Shemahonge-ku7xx
      @Shemahonge-ku7xx 2 місяці тому +1

      Wakowapi warewaliocheza ni wasimba?

    • @emmanuelnkwabi8610
      @emmanuelnkwabi8610 2 місяці тому

      Acha mihemuko ww mama watoto

    • @feetfirsttz
      @feetfirsttz 2 місяці тому

      Jamaa hujabahatika kuwa na akili salama!!

    • @SilasJacob-z6v
      @SilasJacob-z6v 2 місяці тому

      We kajinga na mwenye chuki ko uwanjani waliingia watano? Sema ubaya ubwera umeanza

    • @enockmathayo2330
      @enockmathayo2330 2 місяці тому

      Kwaio wamecheza pungufu?

  • @bestman3651
    @bestman3651 2 місяці тому

    Kweli huyu jamaa ni mchambuzi. Kama kweli we ni Yanga lkn unaiongelea simba hivi umejitofautisha na wale chawa wa kule wachafu fm😅

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 2 місяці тому

    Mnyama simbaaa ❤

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 2 місяці тому

    Mnyama simbaaa ❤

  • @SirajiRashidy
    @SirajiRashidy 2 місяці тому

    Mnyama simbaaa ❤