Timu ya Simba sc ni timu nzuri mnoo lkn kitu kibaya sana kinafanywa na benchi la ufundi kucheza mpira taratibu sana, mpira wa kujiona mno , "show game" yaani kucheza bar pass,"pass za nyuma bila sababu yoyote ". Kama benchi ya itacheza mpira wa kasi basi watafunga magoli mengi....
Ukweli usemwe timu ikiwa inashambulia kwa speed hua ni rahisi kuwafanya timu pinzani kufanya makosa Sasa inavocheza simba hili ni tatizo bado linaitafuna simba
Kuna watu wanasema Simba hawakucheza mpira wa kasi. Jamani hivi inapocheza na team ambayo team nzima wote wamerudi nyuma kuzuia hizo mbili unakua unakimbilia wapi?? Mimi naweza kusema Tabora united ndio walioamua kuifanya Simba kucheza vile. Team inapozuia huwezi tu kukamata mpira na kukimbia badala yake inabidi utumie akili Sana namna ya kuwafungua wapinzani ambao wote wamerudi nyuma. Big upo sana wachezajo wa Simba kwa kuamua kua watulivu Ii kutafuta nafasi.
WACHEZAJI WA SIMBA MJITAHIDI KUPEANA PASI USILAZIMISHE KUFUNGA KM HAKUNA UWEZEKANO HAUPO. AHOUA USIWE UNALAZIMISHA KM UWEZEKANO HAUPO MPE MWENZIO AFUNGE. LENGO NI NI TIMU ISHINDE CY UBINAFSI WAKUTOTOA BASI KWA WENZAKO. MNAIKOSESHA SIMBA MAGOLI MENGI.
Mm ni shabiki wa simba lakini simba hoi sana maana hawana mshambuliaji tena simba wanacheza mpira sikio sana hata tem haileti Radha imewapasa wawe na kasi mpira wa taratibu huo siyo
Mbwaduke japo wewe yanga lkn wasaidie Simba kuwaeleza ukweli juu ya madhaifu yao ya kiujumla na ya mchezaji mmoja mmoja. Kocha adili na kusahihisha tatizo la Kila mchezaji mmoja mmoja. Simba Bado Wana matatizo makubwa
Watu wengi wanapata tabu ya kiilinganisha Simba na yanga kwasasa lakini yanga inamiaka mitatu sasa imejengwa Simba Ina miez 2 tu sasa hapo ndio kwenye shida Wacha Tim ijengwe kwanza ilituone matokeo
Mnyama simbaaa ❤
Napenda sana kukusikiliza,,upo vizuri sana,,wewe ni mwalimu wa mpira
Hongera Sana kwa uchambuzi mzuri
Nakubali sana mchambuzi wangu
Mmmmh!
Nakubali chambuzi la ukweli
nakukubali sana
What game 🎯🎯🎯
Upo sahihi mbwaduke
Timu ya Simba sc ni timu nzuri mnoo lkn kitu kibaya sana kinafanywa na benchi la ufundi kucheza mpira taratibu sana, mpira wa kujiona mno , "show game" yaani kucheza bar pass,"pass za nyuma bila sababu yoyote ". Kama benchi ya itacheza mpira wa kasi basi watafunga magoli mengi....
Katika wachambuzi wasio wa micho go ni weww unasema ukweli uko kama ali mayayi alivyokuwa mchambuzi hana ushabiki ukweli ni ukweli Big up
Kama haikucheza na na wachezaji sita, kwa maana hiyo walicheza wa 5, shelia inasemaje?
Ukweli usemwe timu ikiwa inashambulia kwa speed hua ni rahisi kuwafanya timu pinzani kufanya makosa Sasa inavocheza simba hili ni tatizo bado linaitafuna simba
Mwaduke, waambie wachezaji wa simba wanavotoka kwao kwenda lango la mpizan inatakiwa wawe na kasi kubwa na pasi ndefu ili kupata matokeo.
MBWADUKA UPO VZR SANA TENA SANA WEWE NDY FUNDI WA MPIRA. UNACHAMBUA VZR SAAANA HONGERA SANA KWAKO
Haina haja ya hujibu mtu hata uki mpa ball apige danadana 7 hawezi
Kuna watu wanasema Simba hawakucheza mpira wa kasi. Jamani hivi inapocheza na team ambayo team nzima wote wamerudi nyuma kuzuia hizo mbili unakua unakimbilia wapi?? Mimi naweza kusema Tabora united ndio walioamua kuifanya Simba kucheza vile. Team inapozuia huwezi tu kukamata mpira na kukimbia badala yake inabidi utumie akili Sana namna ya kuwafungua wapinzani ambao wote wamerudi nyuma. Big upo sana wachezajo wa Simba kwa kuamua kua watulivu Ii kutafuta nafasi.
Wewe unajua soka, Tabora hawakufunguka so huna nafasi ya kukimbia Wala kucheza kasi
Mchambuzi ,Tanzania one
Weé muache tu haijui Simba vizuri,dirisha dogo atapewa thank you😂
Maoni yetu mashabiki WA simba waache uchoyo WA kupeana pasi na kukaa na mpira muda mrefu TUNA wapingeza kwa ushindi
Naunga mkono hoja ✍️💪🦁
Uko vizur
Timu inayovuia inatakiwa kutumia ufundi kuifunga na hicho simba imekifanya
Kaka wanatakiwa wakusikilize sana makocha wa simba
Mzee wadata bonge mchambuz nakugatilia sana najua kocha ataenda kumwelekeza Ahua acheze kitimu atatufetisha timu isipate magor mengi
Huyu jamaa ndo mchambuzi asiye kuwa na ushabiki anasema kweli kitaalamu
WACHEZAJI WA SIMBA MJITAHIDI KUPEANA PASI USILAZIMISHE KUFUNGA KM HAKUNA UWEZEKANO HAUPO. AHOUA USIWE UNALAZIMISHA KM UWEZEKANO HAUPO MPE MWENZIO AFUNGE. LENGO NI NI TIMU ISHINDE CY UBINAFSI WAKUTOTOA BASI KWA WENZAKO. MNAIKOSESHA SIMBA MAGOLI MENGI.
Ubwela wamepiga bomu mochwari .....
Mm ni shabiki wa simba lakini simba hoi sana maana hawana mshambuliaji tena simba wanacheza mpira sikio sana hata tem haileti Radha imewapasa wawe na kasi mpira wa taratibu huo siyo
Mzee ww unakuja mpira
Mbwaduke japo wewe yanga lkn wasaidie Simba kuwaeleza ukweli juu ya madhaifu yao ya kiujumla na ya mchezaji mmoja mmoja. Kocha adili na kusahihisha tatizo la Kila mchezaji mmoja mmoja. Simba Bado Wana matatizo makubwa
We akili huna hata binadamu hakamiliki hata hiyo tim inamadhahifu pia hata kama bora
Sawa vp kuhusu utumiaji WA extra energy kwa ngaya
Watu wengi wanapata tabu ya kiilinganisha Simba na yanga kwasasa lakini yanga inamiaka mitatu sasa imejengwa Simba Ina miez 2 tu sasa hapo ndio kwenye shida Wacha Tim ijengwe kwanza ilituone matokeo
1:12
Nani kakwambia kuwa Mbwaduke ni Yanga. Unamfahamu sana wewe? Uliza
Kati ya wachambuzi wote wewe ni mtu usie egemea popote hauna chuki na simba , unaonge ukweli na unaufajamu mpira
Hao tabora united wamecheza bila wachezaji sita . wewe wasifie tu 😂
Wakowapi warewaliocheza ni wasimba?
Acha mihemuko ww mama watoto
Jamaa hujabahatika kuwa na akili salama!!
We kajinga na mwenye chuki ko uwanjani waliingia watano? Sema ubaya ubwera umeanza
Kwaio wamecheza pungufu?
Kweli huyu jamaa ni mchambuzi. Kama kweli we ni Yanga lkn unaiongelea simba hivi umejitofautisha na wale chawa wa kule wachafu fm😅
Mnyama simbaaa ❤
Mnyama simbaaa ❤
Mnyama simbaaa ❤