UPO SAHIHI SANA LAKINI WAAMZI KWANN WANAKUWA WAJINGA? HV HAWA WENZENU MAREFU WA NCHI NYINGINE WANAOCHEZESHA KWANN MSIIGE KWA MRERFA WENGINE.?VIBENDERA NA RAZIMENI KWANI WANAKAZI HAPO? OSMANI KAZI WAPE DARASA MAREFA WETU WA TANZANIA.
Ifike hatua itungwe sheria, iwapo timu itakuwa imefaidika na maamuzi ya hovyo ya marefa basi matokeo yaliyosababishwa na tukio hilo yafutwe. Sio kila siku ni blablaa tuu.
Makolo mtaumia sana. Marefa hao hao makolo waliwasifia baada ya kuwapora ushidi Azam. magoli yote mawili ni ya kuotea lkn waamuzi walikuwa wazuri. Hapo halizungumzwi kosa la kuushika mpira ulotoka kwa zouzua.
Kabla hata VAR kuanza kutumika Tanzania waamuzi ni janga kubwa.. Yaani Var itakuwa ndiyo refa kamili Tanzania na waamuzi watakuwa ndiyo assistants... Shida kubwa
Hata nje ni HIVYO hivyo pamoja na high tech VAR!! Marefa ni shida! Timu nyingi zitafungwa na Yanga kwa kuikamia,kucheza wasifungwe nyingi, kutoshambulia na kubaki nyuma! Ndo maana msimu huu hizi mech chache tunaona MAGOLI machache ya Yanga! Tff pia, iangalie hivi viwanja vya mikoani,vinatia aibu!
Ipo siku nahiyo ligi mnayoisema niya sita africa mtaishusha🎉🎉 wenyewe kama marefarii Wamekuwa bingwa wa kubeti na vichenji ndo waamue vizuri hamna ligi ya sita hapo ..
Yanga mechi zote za ligi kuu awachezi vizuri yani kama wanazalau mbona champion league wanacheza kwa kujituma lkn ligi kuu awajitumi tatizo nini au kwasababu amna goli lamama yanga tuna kikosi bora sana lkn kwasasa amchezi vizuri
Hawa LAPTOP FC wametumia mbinu 2 katika kuusaka ubingwa. (1) kudhamini vilabu vingi kwa manufaa ya LAPTOP FC (2) kuongea na waamuzi kwa ajiri ya kuwapakata LAPTOP FC wasifungwe na wakubaliwe magori ya off side wanaayofunga. Mechi ya jana Matokeo costo sc 0 laptop fc 1 ni gori la refarii maana hiyo pia ilikuwa off side. Hii Ndio Tanzania unayoijua
Hapo tunashuhudia pointi 4 sasa wamepewa, kwa coastal union walistahili pointi 1 na mechi yao na simba napo walistahili pointi 1, hadi sasa walitakiwa kuwa na pointi 17 tu na sio 21
Hawa wachambuzi nao pia wanachangia kuaribu mpira wa ligi ya Tanzania mana ndo wameupatia kwaajili ya kujaza matumbo Yao kwa kutuibia MB zetu Ili wapate pesa kupitia sisi kwanini msingejitokeza kwa wingi pale pale uanjani...acheni umbea mana mko wengi sana nyinyi wachambuzi unazi mara Leo mwachambua hivi mara hivi acheni fitna Nendeni mkasomee Tena uchambuzi bila ya hivyo mnawatapeli mashabiki wa kitanzania kwakunufaisha matumbo yenu
aya var inatumiwa na watu mtu akigoma kwamba s offsid huwez kutoboa lkn mm nna ushaur kwa makolo make mtulie mkubali kunyolewa maan hamna kikosi kizur hatakidogo
Makosa hata marefa wa nje wanafanya mengi sana. Tumezidi sana kudhani marefa wa nje ni malaika…..mistakes zinatokea, na mara nyingi walio ktk ubora huwa wanafursa zaidi ya kunufaika na makosa ya kibinadamu.
Mbwaduke kamueleze yule mzee anayekaaga Kwenye kipindi Cha michezo cku ya juma pili azamu spot 1, kama miwani yake haioni vizuri, anakataa kuwa haikuwa of side yule mzee ni yanga nn
😢Huyu refa aliyesimamia mechi ya yanga na coast na laizment wake Tff angalieni Hawa hata var haina haja Hawa wakatafute kazi ya kufanya Kama sio yanga wapewe kombe
Nadhani issue ya kujadili ni je Aucho aliugusa mpira au la? Kwa picha zilizorushwa haina hakika kama aligusa.. pia angegusa ungeongezeka kasi Baleke alikuwa karibu ingekuwa ngumu kwake kucontrol akiwa karibu vile. Ni issue ya kujadili
I dont care tunashindaje! Timu gani haijanufaika na waamuzi ya marefa! Nje wana var na waamuzi bado wanafanya mistakes! Mnalia nini mnaolia! Simba walishindaje juzi! Same goals! Coast wa walifanya nini kufunga!?
Ili kupunguza visibguzio na waamuzi,ili hali team nyingn Zina vikosi vichovu mfano Simba anayelalamika sana hata mech zsizo zake juu ya waamuzi naye ana kikosi kibovu ...Hivyo pigieni kelele swala la VAR ili midomo ya kolo na wachambuzi wake wale wataarabu ifungwe.
Makolo kufeni basi kama imewauma Nyie kwa coastal mlifanywaje? Siku ya derby ile offside ya ateba ilkuwaje? Nyie kuma jifunzeni kutoa lawama kwa anaehuska. Marefa hawako smart kwenye maamuzi yao si kwa yanga tu ama simba ni kotekote ndio maana hawachaguliwi kuchezesha mechi za kimataifa. Mwenye akili atakuwa ameelewa.
Kuna tabia siku za karibu ni za kutoa shutma kwa waamuzi. Zimeanza kutoa ladha. Sasa mbwaduke kea mkusanyiko huo ni malaika pekee ndiye angeona. Sasa hivi akifunga yanga au Simba basi mnaleta sababu za kulaumu waamuzi. Be fare this is football!!
Kwa hiyo Simba ndo reference yako eeeehh , kitaeleweka tu siku sio nyingi mafuta na maji vitajitenga,jikumbushe kidogo Kwa Ken gold, Kagera, Simba na Costoal ukipata majibu ndo ulizia vya upande wa pili.
Maagizo goal, ajaabu tunaona match mbili Sasa mfululizo anabebwa ili aongoze league inaumiza Sana kwa wanaowekeza Mpira ni gharama,sijui tuiteje upuuzi ,ushenzi au Nini ? Katika soka la Tanzania
Kwa nini makosa mara zote yananufaisha timu moja tuu??? Hiyo benefit of doubt kwa nini isiwe kwa timu nyingine. Iwe iwavyo maamuzi mabovu yanavunja moyo wa ushindani na uwekezaji hasa kwa timu ndogo ambazo zinapambana ku aki ligi kuu. Iwe simba au yanga au timu yoyote ile maamuzi yawe ya haki na yakufuata sheria za mpira bhaasi.
Asante kwa kusema ukweli mbwaduke wamezidi kubebwa hawa yanga
Yanga jana tumecheza ovyo sana😢😢😢😢
Wachambuzi mnawasifu yanga wakati magori yote wanayofunga ni magumashi
UPO SAHIHI SANA LAKINI WAAMZI KWANN WANAKUWA WAJINGA? HV HAWA WENZENU MAREFU WA NCHI NYINGINE WANAOCHEZESHA KWANN MSIIGE KWA MRERFA WENGINE.?VIBENDERA NA RAZIMENI KWANI WANAKAZI HAPO? OSMANI KAZI WAPE DARASA MAREFA WETU WA TANZANIA.
Kazi naye kimeo anachambua wakati naye ndio alikuwa walewale
@@alfoncejohn2104ALIKUWA LAKINI MTU HUBADILIKA.
Shetani akizeeka anakua malaika 😂😂😂@@alfoncejohn2104
@@alfoncejohn2104anachambua kishabiki
Marefari wa kibongo
Ifike hatua itungwe sheria, iwapo timu itakuwa imefaidika na maamuzi ya hovyo ya marefa basi matokeo yaliyosababishwa na tukio hilo yafutwe. Sio kila siku ni blablaa tuu.
Upo sahihi,mbona Gori la Simba na alhaly tripoli lilifutwa? Kwanini Tff hawana akili? Upuuzi huo tumechoka na ujinga WA Yanga na marefa
Waamuzi wamesajiliwa yanga, au hamjui?
Makolo mtaumia sana. Marefa hao hao makolo waliwasifia baada ya kuwapora ushidi Azam. magoli yote mawili ni ya kuotea lkn waamuzi walikuwa wazuri.
Hapo halizungumzwi kosa la kuushika mpira ulotoka kwa zouzua.
Yanga tumecheza chini ya kiwango.
Yanga mechi zao zote wanabebwa
Yanga mwaka huu hawana uwezo ila hawatafungwa kwa kubebwa na waamuzi na kwa mpango huuwatakua mabingwa maisha
Kabla hata VAR kuanza kutumika Tanzania waamuzi ni janga kubwa.. Yaani Var itakuwa ndiyo refa kamili Tanzania na waamuzi watakuwa ndiyo assistants...
Shida kubwa
Hata nje ni HIVYO hivyo pamoja na high tech VAR!! Marefa ni shida! Timu nyingi zitafungwa na Yanga kwa kuikamia,kucheza wasifungwe nyingi, kutoshambulia na kubaki nyuma! Ndo maana msimu huu hizi mech chache tunaona MAGOLI machache ya Yanga! Tff pia, iangalie hivi viwanja vya mikoani,vinatia aibu!
Acha uutopolo wewe
@@AbuuBakar-h7n na utakua sana! Points zinaingia kwenye kapu
Kubebwa n kawaida yao
Ipo siku nahiyo ligi mnayoisema niya sita africa mtaishusha🎉🎉 wenyewe kama marefarii Wamekuwa bingwa wa kubeti na vichenji ndo waamue vizuri hamna ligi ya sita hapo ..
Yanga mechi zote za ligi kuu awachezi vizuri yani kama wanazalau mbona champion league wanacheza kwa kujituma lkn ligi kuu awajitumi tatizo nini au kwasababu amna goli lamama yanga tuna kikosi bora sana lkn kwasasa amchezi vizuri
Bora umesema
Kweli mm ni Yang lkn naumia
Hilo jicho la kitaaramu sana mfatilie ucho na azzk Huwa unapuguza kasi......mpaka wanabowa
Nasemaje subiri club bingwa ianze kama ya hatashikilia mkia kwenye kundi, yeye ndo kibonde
Sio muda yanga itakata moto, mtanambia we subiri kidogo
government inajua kumwaga pesa za magoli. lkn haichukui jitihada kuhusu waamuzi.
Yawezekan ni kweli, lakini mpaka anafunga tayari offside ilikuwa imefutika. Na pia kwa umbali wa refa msaidiza si rahisi sana kuiona.
walishasema wao wanachuwa ubingwa miaka kumi mpila Tanzania umesha alibika na GSM
Jamani kama waamuzi ni wa gsm kwani mo hana?
Wenyewe wanAfurahi ubingwa wa mbeleko , tatizo bahasha tff wapo kimyaaaaa
kila goli yanga yanakataliwa kwa Nini?
Sa kama mtu yupo offside asikataliwe sema yanga Jana wanecheza chin ya kiwango
Hawa LAPTOP FC wametumia mbinu 2 katika kuusaka ubingwa.
(1) kudhamini vilabu vingi kwa manufaa ya LAPTOP FC
(2) kuongea na waamuzi kwa ajiri ya kuwapakata LAPTOP FC wasifungwe na wakubaliwe magori ya off side wanaayofunga.
Mechi ya jana Matokeo
costo sc 0
laptop fc 1
ni gori la refarii maana hiyo pia ilikuwa off side. Hii Ndio Tanzania unayoijua
Upuuzi mtupu
Tanzania Hii ni aibu kubwa sna mbona tunatimu zuri ila hatuna marefarii?
Bila chenga Wala nini Ile ni offside
Yaani pamoja na mikono ya wachezaji kuwa juu lakin lenz men akakaza moyo kudhulum watu
Utopolo wameruhusu magori mengi tu wanayo wenyewe jangwani huko
Tutaona klabu bingwa marefa sio watanzania Kosta wamenyimwa bao halali
Nipo hapa kusoma comment za Makolo😂😂 ila Kolo linaumia sana kuona Yanga inanufaika na makosa ya marefa😅😅
Halafu badae mseme mnatimu bora wakati mnasaidiwa na refa
Hiyo haikuhitaji marejeo ili kujua ni offside
Yanga mnabebwa sana huo ndo ukweli
Asante sanaa mwaduke aibu Kwa Taifa😢
Hivi Pirates walimfunga simba katika michuano ya Afrika, kwa uwezo gani?
Ligi ishapoteza ubora.
Hv refree wa kati huwa wanawasiliana na waamuzi wasaidizi kweli?ifike mahali wachezaji wakatae haya mambo km mbwai iwe mbwai
Juzi mzee MAGOMA alisema YANGA wanashida kwa KURUJUAN
Iko siku ligi Tutawaachia yanga peke yao
Tuachieni hiyo ligi tutacheza wenyewe msitutishe!!!
Aucho ajagusa angalia vizur
Mimi naona tff kuna tatizo kubwa tunajua waamuzi wananunuliwa lakini tff hawaoni hili. Hawa waamuzi walitakiwa washushwe kwenye ligi za chini.
2025 ?
Hapo tunashuhudia pointi 4 sasa wamepewa, kwa coastal union walistahili pointi 1 na mechi yao na simba napo walistahili pointi 1, hadi sasa walitakiwa kuwa na pointi 17 tu na sio 21
Kwa nn kwa yanga tuu swali?
Bahasha zinatembea
Mchome mbona uongeiiiiiiiii
Ligi ya 5 kwa ubora😂😂😂😂
Wanafungwa magoli yanakataliwa
hiyo haisadii wangekuwa wanazipoka hizo point ili nawao waumie kama zinavyoumia timu zingine
Nini kifanyike kwa haya makosa ya marefa manake hapo mtu tayari ashapata point 3 na mwengine kashapoteza point 3
Kwanini kuongea makosa yanayohusu Yanga mnamung’unya maneno? Mnatishwa ama mnalipwa?
Waamuzi ni wa GSM na hapo ndipo Ligi ya Tanzania inapokosa ladha maana anapatikana bingwa wa kupangwa!
Hamjasema mpaka mseme😂😂😂
Yanga washapora point 3 mpka mda huu ktk msimu huu
Vip kuusu ushindi wa simba zidi ya azam na penat ya simba zidi ya dodoma jiji, au GSM aliwanunulia hao waamuzi?
Simba nae kanunua point 6 zidi Azam na dodoma jiji
Hawa wachambuzi nao pia wanachangia kuaribu mpira wa ligi ya Tanzania mana ndo wameupatia kwaajili ya kujaza matumbo Yao kwa kutuibia MB zetu
Ili wapate pesa kupitia sisi kwanini msingejitokeza kwa wingi pale pale uanjani...acheni umbea mana mko wengi sana nyinyi wachambuzi unazi mara Leo mwachambua hivi mara hivi acheni fitna
Nendeni mkasomee Tena uchambuzi bila ya hivyo mnawatapeli mashabiki wa kitanzania kwakunufaisha matumbo yenu
aya var inatumiwa na watu mtu akigoma kwamba s offsid huwez kutoboa lkn mm nna ushaur kwa makolo make mtulie mkubali kunyolewa maan hamna kikosi kizur hatakidogo
Marefa ni binadamu ..Waambieni TFF walete VAR mbona hawataki sasa au wanajua Simba itakamatwa kwa udanganyifu wao na kubebwa 😂
Makosa hata marefa wa nje wanafanya mengi sana. Tumezidi sana kudhani marefa wa nje ni malaika…..mistakes zinatokea, na mara nyingi walio ktk ubora huwa wanafursa zaidi ya kunufaika na makosa ya kibinadamu.
WAZEE WA MBELEKO HAO TUSHAWAJUA 😂😂😂😂
YANGA JMN MNATUKWAMISHA MASHABIKI WENU. HII HPN BWANA. NDO MAANA MNALALAMIKIWA SANA. MGEFUNGA MENGI HAKUNA WAKULALAMIKA😢
Mbwaduke kamueleze yule mzee anayekaaga Kwenye kipindi Cha michezo cku ya juma pili azamu spot 1, kama miwani yake haioni vizuri, anakataa kuwa haikuwa of side yule mzee ni yanga nn
Endeleeni kuwabeba watashindwa kubebeka nje ya nchi
😢Huyu refa aliyesimamia mechi ya yanga na coast na laizment wake Tff angalieni Hawa hata var haina haja Hawa wakatafute kazi ya kufanya Kama sio yanga wapewe kombe
Offside akifunga Yanga wengine magoli sahihi.
Tunataka VAR
Si walisema msimu huu wanaoleta car Kwan shida nn
SI na Simba watafute marefa wawasaidie?
Nadhani issue ya kujadili ni je Aucho aliugusa mpira au la? Kwa picha zilizorushwa haina hakika kama aligusa.. pia angegusa ungeongezeka kasi Baleke alikuwa karibu ingekuwa ngumu kwake kucontrol akiwa karibu vile. Ni issue ya kujadili
UTOPOLO BILA UWIZI HAMNA KITU, CLEAR OFFSIDE
Kwan VAR zako wapi?. Sisi marefal wa TV tunaona hasaa,kama vipi tushirikishwe kutoa taarifa kwa waamuzi wetu...
Makolo mmejisahaulisha mechi zenu na Dodoma jiji na Azam?
Tunazunguka tu ubingwa wa yanga wapewe tuuu mbona pesa zinatumika sana
Mimi ni yng but ile ni...........???
Point 3
Wakati yupo chini alikuwa umefanywaje mpaka akawa chini na hilo ilikuwa sio kosa mtu kushikiliwa mpaka chini?
Hapo sasa ndo nashangaa
Wamuzi wetu kilasiku tunapiga kerere nao wanjaa hatuna marefar bari tunawaralushwa
Ilo ni goli acha zako mzee mpira wa papatu papatu kama uwo auna ofside hao mabeki wa cost awakua makini kuuokoa uo mpira ilo gari kama magoli mengine
Jamani tusilalamike kuwa hawachezi vizuri mana nao wanachoka wanapumzika mda gani tuwapongeze tu kwa jitihada zao
I dont care tunashindaje! Timu gani haijanufaika na waamuzi ya marefa! Nje wana var na waamuzi bado wanafanya mistakes! Mnalia nini mnaolia! Simba walishindaje juzi! Same goals! Coast wa walifanya nini kufunga!?
Tuangalie adhabu ya FIFA na TFF? Ndio sababu ya kutokuwa na woga. Adhabu zetu haziumi.
Yanga mnabebwa sana hamna timu hapo ni msaada wa refa kwa kwenda jehanamu
Nahisi VAR haitumiki wakati ipo ,,,inawezekana washa honga hao
Kwahiyo nalile lakibu denisi zidi yayanga lilikuwa goli halali inamaana kwamba yanga huu msim wanaongozwa kwambeleko sana wanabenwa
Ili kupunguza visibguzio na waamuzi,ili hali team nyingn Zina vikosi vichovu mfano Simba anayelalamika sana hata mech zsizo zake juu ya waamuzi naye ana kikosi kibovu ...Hivyo pigieni kelele swala la VAR ili midomo ya kolo na wachambuzi wake wale wataarabu ifungwe.
Ongea kimpira
ni.kweli.yanga.anabebwa.goli.lilikuwa.off.side.la.coastal.mbona.nalo.limekataliwa.
Muangalie huyo beki aliyemshika Aucho je haikuwa penalty
Makolo kufeni basi kama imewauma
Nyie kwa coastal mlifanywaje? Siku ya derby ile offside ya ateba ilkuwaje? Nyie kuma jifunzeni kutoa lawama kwa anaehuska. Marefa hawako smart kwenye maamuzi yao si kwa yanga tu ama simba ni kotekote ndio maana hawachaguliwi kuchezesha mechi za kimataifa. Mwenye akili atakuwa ameelewa.
Kuna tabia siku za karibu ni za kutoa shutma kwa waamuzi. Zimeanza kutoa ladha. Sasa mbwaduke kea mkusanyiko huo ni malaika pekee ndiye angeona. Sasa hivi akifunga yanga au Simba basi mnaleta sababu za kulaumu waamuzi. Be fare this is football!!
goli.la.off.side.mbona.la.coastal.limekataliwa.mmbebwa
Mbona hawa kesho kutwa tu kubebwa kutaisha,wakishakutana na singida tu kwisha habar yao,maana yanga mpira wanaoucheza msimu huu ni aibu sanaa
Tàwi lao no 1 Hilo anapigwa hata 3 huyo singida!
Hao ndugu zao wa karibu sana
Hamna mechi hpo yanga wanashinda hta 4 utaona kitachokea kwnye tawi lao
Ewe mchambuzi Baleke *offSide* kabisa. Mwamuzi alikuwa sahihi kaabisa
Nahis utakuwa na jambo lako kwa yanga kwann uchambue Gori la yanga tu mbona magori mengine hauchambuagi
Je ilee ya pacome aikuwa penalty
na.kwa.nini.isifungwe.var
Museme mukisema point 3 tumechukua ,mbona simba munabebwa sana sisi hatoengei na timu yenu mbovu iyo
Ligi ya 5 kwa ubora😂
Hiyo siyo offside acheni siasa makolo aucho aliangushwa pale hamkuona kama alikuwa ameangushwa ?
Kaangushwa na nani?
Wakat alijipinda alitaka afunge yeye Ile ni ofsd
Mbona hukusema ulipokuwa azam tv hukusema
Ndiyo maana akasema "baada ya kurudia picha za video baada ya mchezo".uwe unasikiliza maelezo kabla ya kupayuka🙄🙄😏😏
Hapa Tanzania munasema hii ni offside,ukienda epl premier league hilo goli ni halali
Hujakosea bali unajitajidi kuwapa unafuu wa kuongea kolo,ila wao magori yao yanakuwa sahihi
Utopolo wanabebwa hao.
Mbna kihusu mechi ya simba na azam mpo kimya na vp kuhusu dodoma jiji na simba ile pena vp mbna mpokmya
Kwa hiyo Simba ndo reference yako eeeehh , kitaeleweka tu siku sio nyingi mafuta na maji vitajitenga,jikumbushe kidogo Kwa Ken gold, Kagera, Simba na Costoal ukipata majibu ndo ulizia vya upande wa pili.
Ya wenzao midomo juu ya kwao kimya vp mechi ya simba na dodoma jiji je vp simba na Adam mbona mpo kimya jamani😅
Mm ni Yanga ile ni offside kabisa. Na yanga wanacheza hivyo na hawana kiwango kile tulichokitaka. Yaani kuna wachezaji mizigo mno
acha kulalama mbona Simba walipewa penat dhid ya tabora wakati ilistahil kuwa Kona na sisi mbona hatukulalamika Kaa kimya mnyolewe
Maagizo goal, ajaabu tunaona match mbili Sasa mfululizo anabebwa ili aongoze league inaumiza Sana kwa wanaowekeza Mpira ni gharama,sijui tuiteje upuuzi ,ushenzi au Nini ? Katika soka la Tanzania
Utopolo bira msada wa marefa mbaka mechi ya jana walikua wamesha poteza mechi 4
Kwa nini makosa mara zote yananufaisha timu moja tuu??? Hiyo benefit of doubt kwa nini isiwe kwa timu nyingine. Iwe iwavyo maamuzi mabovu yanavunja moyo wa ushindani na uwekezaji hasa kwa timu ndogo ambazo zinapambana ku aki ligi kuu. Iwe simba au yanga au timu yoyote ile maamuzi yawe ya haki na yakufuata sheria za mpira bhaasi.