Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
"MKURUGENZI UPO KITAMBI KIKUBWA WATOTO WANAKAA CHINI" MAGUFULI AMBANA DC, MTOTO AMSHANGAZA
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 29 лип 2020
КОМЕНТАРІ • 153
Наступне
Автоматичне відтворення
MAGUFULI AWAKA, AMSHUSHA BODYGUARD KWENYE GARI, AMNYANG'ANYA MKURUGENZI GARIMillard Ayo
Переглядів 487 тис.
Wananchi 'WAMCHONGEA' MBUNGE, DC kwa MAGUFULI LAIVU - "WANATUTISHA"Global TV Online
Переглядів 726 тис.
JPM ‘alipomtwangia’ simu Jafo na kumtaka aanze safari ya kwenda MkurangaAzam TV
Переглядів 2,5 млн
SCHOOLBOY RUNAWAY В РЕАЛЬНОЙ ЖИЗНИ 📚🔔 #schoolboy #runaway #schoolboyrunaway #shorts YOUNGYOUNG
Переглядів 2,2 млн
ВІКТОРИНА #37. EL КРАВЧУК ТА ВАСИЛЬ БАЙДАК х КУРАН ТА ВЕНЯ | НОВИЙ НАЙБОЖЕВІЛЬНІШИЙ ВИПУСК ВІКТОРИНИВетерани космічних військ
Переглядів 497 тис.
РЕЙНДЖЕРС - ДИНАМО. Детальний огляд матчу. ЛІГА ЧЕМПІОНІВFootball Hub
Переглядів 307 тис.
Кадиров пішов НА ПЕРЕГОВОРИ із ЗСУ? АХМАТівці ТІКАЮТЬ! Київ захоплює НОВІ МІСТА РФ | НОВИНИ СЬОГОДНІУКРАЇНА СЬОГОДНІ
Переглядів 517 тис.
MAMA APAMBANA KUMFIKIA MAGUFULI, ASIMULIA MWANAE KULAWITIWA, AMTAJA IGP, JAJI MKUUMillard Ayo
Переглядів 857 тис.
DUH! JPM AMVAA MFUNGWA ALETOKA GEREZANI "ALIKAA MIEZI SITA, MSHIKENI TENA, AKALIME MZURURAJI"Millard Ayo
Переглядів 427 тис.
LIVE: MAGUFULI AMKATAZA MKURUGENZI KUONGEA KIINGEREZA "NITAKIFUNGA"Millard Ayo
Переглядів 95 тис.
MAGUFULI AMKAANGA KIGOGO TAKUKURU "MNAJIPENDEKEZA KWANGU, MIMI MOYO USHAKUA SUGU"Millard Ayo
Переглядів 267 тис.
RAIS DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA KATIKA MARADI WA UJENZI WA MACHINJIO VINGUNGUTIIkulu Tanzania
Переглядів 2,7 млн
MAMA ALIYEIBIWA NG'OMBE 'AJILIPUA' MBELE YA JPM/ "MLIPENI MILIONI 15 ZAKE"Mtanzania Digital
Переглядів 216 тис.
Rais Magufuli afurahi kukutana na Pacha wake Mafinga MjiniAmanitz News
Переглядів 2,1 млн
Rais Magufuli afanya ziara ya kushtukiza Terminal One JNIA Mei 13,2016Ikulu Tanzania
Переглядів 410 тис.
CHALAMILA : NIMEOA ILI NIYATUMIKIE HAYO MAPENZI WANAYOSEMA NAPENDAGangana Info Channel
Переглядів 35 тис.
Гордон. Что Арестович пообещал русским, армия предала Путина, Лукашенко сбежал на Запад, конец РПЦВ гостях у Гордона
Переглядів 779 тис.
Валерий Ширяев о событиях в Курской области и их последствиях / Редакция. ИнтервьюРедакция
Переглядів 2,1 млн
⚡❗Массовая сдача в плен российских солдат в Курской областиВОТ ТАК
Переглядів 3,2 млн
Get 10 Mega Boxes OR 60 Starr Drops!!Brawl Stars
Переглядів 10 млн
Я тоже так могуDouble Bubble
Переглядів 2,2 млн
Гордон. Начало крутого замеса, Кубань просит присоединения к Украине, заговор армии против ПутинаВ гостях у Гордона
Переглядів 666 тис.
ПОДІЇ НА КУРЩИНІ: ЕКСКЛЮЗИВНИЙ РЕПОРТАЖ НАТАЛІ НАГОРНОЇ З СУДЖІТСН Тиждень
Переглядів 216 тис.
Перші думки батьків, коли дізнались про важке поранення сина #війна #україна #зсу #люди #shortsСуспільне Чернігів
Переглядів 155 тис.
Such a wonderful Leader, poleni sana Watanzania kwa kumpoteza Rais wa Wanyonge.
Mob love from Kenya.
Keep resting in peace JPM
Mh huyu Rais jaman akisimama sehemu lazima mtafurahia uwepo wake
Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏
Amen
@@brobabuu3973 🙏🙏🙏
Hahahahaha! Et na ole wako uile big up uncle Magu Mungu akubariki uishi miaka kama yote
Ole wako pesa uile iiiiiiiiiii baba wewe Mungu akudumishe akupe uhai na uzima kura zangu zote kwako wewe Ahsante saanna❤❤
Hapo unaweza ukanya Bila kutegemea nampenda Sana raisi wangu maana anachukua maamuzi pale pale kwa WATU wazembe wazembe
kwa kweli Amos hehehehehehe
Tena unajinyea ukiwa umesimama hatari hii jamani
😂😂😂😂😂😂😂
Hahahahajaa kweli
Mambo mengi yamerahisishwa. Kazi kwetu kuchapa kazi.
NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWE,,NAMPENDA SANA RAIS WANGU ,NAFUATILIA SANA ,MWENYEZI MUNGU AKUTUNZE BABA.
Magufuli daaaah wewe mwanaume wewe una upekee sana ndani yako. I respect you
Too much respect JPM utampenda
Mungu Akulinde sana Rais wetu. Pole sana kwamajukumu.chapa kazi zetu ni Dua kukuombea Afya njema.In sha Allah Allah Akufanyie Wepesi.
Ameen ishawah
😢😢😢 kama ni Mungu aliamua ufe pumzika kwa amani lakin 😢😢😢 Mungu hujua zaidi
Mungu akupe maisha marefu jpm
Man of action!!
Hahahahahahaaa.... Aiseee..!! Rais inabidi utembelee kila sehem. Tutanyooka tu watanzania.. !! Maisha yanasonga..!!
Mungu akupe maisha marefu Muheshimiwa MAGUFULI. Afrika, tungekuwa na Ma Raïs kama na wewe, Afrika ingkuwa imeendeleya mbele sana.
Wa llahi Wa billahi wstaghafillah hakuna rais bora duniani kama john pombe magufuli ,,,,,Allah akubariki ,,,tena unafaaa upewe tuzo ya noble
Tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭😭 R.I.P BABA
Yani akifika hoi maana kila sehem anasimama
Huyo ni jiwe wewe usisahau tena
Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.
Nimecheka kwa saut unajua kunifurahisha musukuma mwenzangu rais magufur😄😄🙏
Nitakukumbuka daima baba. Pumzika kwa amani
Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg
Matumbo lazma yaishe huu mwaka, hapa kazi tu!
RC wa Morogoro aanze gym
Matumbo yatafungwa mkanda
SHUKRANI sana Rais wa AFRICA NZIMA ✊😢 mimi siyo mtanzania ILA TUNAKUECHIM SANA kwetu burundi MUNGU AKUBARIKI baba yetu na akup maisha marefu
Daaaah hii ya secondary kukaa chin jau kwel🤔mi nakumbuka shule yetu viti vilikua vya kugombania,,had tunaandika majina kwenye viti
I MISS YOU DADY💚
mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana
Dah! i miss when The True king spoke out,Every line was a hit..we had the president once..tunakukumbuka na utusamehe kwa kila kitu
Dahh!! Huyu raisi kwann tunataka atoke why? Kwnn tusimuache akae milele tunataka nn tena
Wil mss u alot big ddy
R.I.P.Mr.President Kazi ya Mungu Haina Makosa.
Mbunge katoa million 2 fasta bila kupenda
Ahahaha
Inaitwa chap kwa haraka hiyo
inabidi vinginevyo kutumbuliwa kunakuhusu
huenda kajikuta katamka bila kujijua
@@bjzee1981 akifika kwa wenzie anawauliza hivi nilisemaje pale
My president my choice
Mtukufu Rais Magufuli, Mola akuangazie Neema na faraja tele👏👏Nakupenda kwa kazi njema uifanyayo@Kenya
Kaah yani mkurugenzi amekoma😢😀😀
Rip magufuli
Sion umuhim wa jpm kupgaa kampeni mwaka huu2020,akae tu ofsin ajirekond tu bas
mkurugenzi poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Mashallah rais wetu adi raha jmn
Rest in peace sir
Mungu akulehemu kwakweli
21st century, Tanzania kwa uchumi wa pili na hamna viti? Mnamuangusha rais!
Ww ni Rais wa dunia
Rip sir the best president in Africa
Rais kaomba radhi kwa kuwapotezea muda watu wake
Na olewako uile hahahahahahah...akila pesa yako hajipendii.
Nakupendaga bure
Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali
Tunavifanyia kazi,,,,, mh!!
Watoto wengi wa Shule za Serikali wanakaa chini kabisa. Tena shule za manispaa kabisa.
Wahusika angalieni hilo
Kama kuna kitu Tanzania tulishawahi kupoteza ni jembe la namna hii. Apumzike Kwa Amani mbinguni
Ukisikia wimbo wa serikali ya awamu ya 5 utafikiri Tz imeishakuwa paradiso ,kumbe usanii tu kila kona vilio mara maji, madawati ,shule hovyo
Tutashukuru Sana ukijatena muheshimiwa
Aaaaaah jmn rest easy baba angu😭😭🙏
Huyu jpm Niko tayari kufa kwa kuilinda picha yake tu isichanwe...
❤❤❤
Natazama kutoka nchi ya Kenya 🇰🇪.
wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.
Mzee Safi sana
Mh magu akila pesa yako huyo dc atakua hajipend
Thats my president...
Mh helanyingi sana hiyo wasikuibie
Yaani hapa issue hii Magu alikuwa ashatonywa ndo maana akauliza kuna shule hapa?
Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno
Laaaah masikini, jembe limelala.
Laaah jemadari R.I.p
J.p.m pengo lako halitazibika
Inauma sana
Pumzika kwa amani
Magufuri wetu maskini tunakumiss
R I p kiongozi
Upumzk salama
Endelea kupumzikaaa Muheshimiwa
piga kazi baba magu itapunguza madudu kiasi
Sawa baba
I hate you ccm. Ee mungu naomba unipunguzie hawa watu bado hawatoshi
Kusini mwa Tanzania bado watu ni wavivu kufikiri.matatizo mengine ni wananchi kumaliza na viongozi wao.ila kwa kuwa ni wavivu shida zote serikali
Nchi hiii bila kuendeshwa kikamanda mambo hayaendi
Aloo
Baba Mungu akupe maisha hadi useme mwenyewe sitaki tena!!!
😭😭😭😭 roho inauma
Hao viongozi wilaya ni wazito/Subload
Rais Samiya Suluhu
Makufuli dhaaaaaa
Kirausiefum
Shule yangu mwinyi kitambo sana
😢😢😢😢
Mwamba
😁😁😁
😭😭😭😭😭😭😭😭
Kuliwa
Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi
Hahahaa maguuuu
atakumbukwa
Hawa watoto wana bahati Sana. Kila siku wanakutana na rais ana kwa ana
Wanafunzi wanakaa chini sasa unashangaa nini? na zipo nyingi tuu mmeshindwa kutawala ACT WAZALENDO TAIFA KWANZA LEO NA KESHO, Mabadiliko chukua hatua. Viti tu hata meza na vyoo havifai Chakavu tupu.
Kuma ww
Mnacheza nyinyi
Kwendraaa
Daaaah raid ndio huyu
Pore baba kwa kutujari wote
Sema pole siyo pore,,,sema kutujali siyo kutujari
Mwamba kabisa
Hahaha na ole wako uile
Haaaaaaaaahaaaaaa huu utawala huu haaaaaaaaahaaaaaa duh viongozi wanatabu kweli
ua-cam.com/video/QZJZPy682mA/v-deo.html
Tazama shairi walilotungiwa wajumbe wa Ccm na Mpoto, joti na dk Kumbuka.😂😂😂
Du
ua-cam.com/channels/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*