Це відео не доступне.
Перепрошуємо.

"MKURUGENZI UPO KITAMBI KIKUBWA WATOTO WANAKAA CHINI" MAGUFULI AMBANA DC, MTOTO AMSHANGAZA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 29 лип 2020

КОМЕНТАРІ • 153

  • @agesag.m2476
    @agesag.m2476 3 роки тому +7

    Such a wonderful Leader, poleni sana Watanzania kwa kumpoteza Rais wa Wanyonge.

  • @charlesnyao8970
    @charlesnyao8970 10 місяців тому +6

    Mob love from Kenya.
    Keep resting in peace JPM

  • @asheryngaiti5549
    @asheryngaiti5549 4 роки тому +29

    Mh huyu Rais jaman akisimama sehemu lazima mtafurahia uwepo wake

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 4 роки тому +12

    Asante Sanaa Baba magufuri Mw/MUNGU akujalie maisha marefu Zaid 🙏 🙏🙏 🙏

  • @joycemaregesi4189
    @joycemaregesi4189 4 роки тому +9

    Hahahahaha! Et na ole wako uile big up uncle Magu Mungu akubariki uishi miaka kama yote

  • @madiyaahmad7453
    @madiyaahmad7453 4 роки тому +4

    Ole wako pesa uile iiiiiiiiiii baba wewe Mungu akudumishe akupe uhai na uzima kura zangu zote kwako wewe Ahsante saanna❤❤

  • @amosmahona433
    @amosmahona433 4 роки тому +31

    Hapo unaweza ukanya Bila kutegemea nampenda Sana raisi wangu maana anachukua maamuzi pale pale kwa WATU wazembe wazembe

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 4 роки тому +14

    NINA BABA YANGU ASIYE SHINDWA KAMWE,,NAMPENDA SANA RAIS WANGU ,NAFUATILIA SANA ,MWENYEZI MUNGU AKUTUNZE BABA.

  • @robertsuna
    @robertsuna 4 роки тому +9

    Magufuli daaaah wewe mwanaume wewe una upekee sana ndani yako. I respect you

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 4 роки тому +6

    Mungu Akulinde sana Rais wetu. Pole sana kwamajukumu.chapa kazi zetu ni Dua kukuombea Afya njema.In sha Allah Allah Akufanyie Wepesi.

  • @lifeinmiddleeast8179
    @lifeinmiddleeast8179 10 місяців тому +2

    😢😢😢 kama ni Mungu aliamua ufe pumzika kwa amani lakin 😢😢😢 Mungu hujua zaidi

  • @zainabubakari8489
    @zainabubakari8489 4 роки тому +7

    Mungu akupe maisha marefu jpm

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 4 роки тому +17

    Man of action!!

  • @fredrickfresters3610
    @fredrickfresters3610 4 роки тому +10

    Hahahahahahaaa.... Aiseee..!! Rais inabidi utembelee kila sehem. Tutanyooka tu watanzania.. !! Maisha yanasonga..!!

  • @patrickissakalenga589
    @patrickissakalenga589 4 роки тому +3

    Mungu akupe maisha marefu Muheshimiwa MAGUFULI. Afrika, tungekuwa na Ma Raïs kama na wewe, Afrika ingkuwa imeendeleya mbele sana.

  • @shunshmc8868
    @shunshmc8868 4 роки тому +4

    Wa llahi Wa billahi wstaghafillah hakuna rais bora duniani kama john pombe magufuli ,,,,,Allah akubariki ,,,tena unafaaa upewe tuzo ya noble

  • @rezegerezege691
    @rezegerezege691 3 роки тому +7

    Tutakukumbuka Baba yetu 😭😭😭😭😭 R.I.P BABA

  • @farhatfarhat3816
    @farhatfarhat3816 4 роки тому +12

    Yani akifika hoi maana kila sehem anasimama

  • @harounlyakunga4982
    @harounlyakunga4982 4 роки тому +6

    Kupita bila comment siyo kweli Daaaar!tuna mtu ambaye sikutarajia kama nilikosea kumpatia nafasi ya kuwa Rais 2015 kikweli unafaa kuliongoza taifa kwa awamu nyingine ya pili.

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 4 роки тому +7

    Nimecheka kwa saut unajua kunifurahisha musukuma mwenzangu rais magufur😄😄🙏

  • @donardmsomi8451
    @donardmsomi8451 3 роки тому +5

    Nitakukumbuka daima baba. Pumzika kwa amani

  • @abrahamsamwel7955
    @abrahamsamwel7955 4 роки тому +2

    Oyooo big up kwa kamanda huyu captain mi tangu zamani namkubali sana watoto wakae tuu kuna wasenge wachina walileta barabara mbovu!!!!!mh dingi nakuelewa #.ar to nmg

  • @rosemarymsangi3960
    @rosemarymsangi3960 4 роки тому +9

    Matumbo lazma yaishe huu mwaka, hapa kazi tu!

  • @goldshukri86
    @goldshukri86 4 роки тому +1

    SHUKRANI sana Rais wa AFRICA NZIMA ✊😢 mimi siyo mtanzania ILA TUNAKUECHIM SANA kwetu burundi MUNGU AKUBARIKI baba yetu na akup maisha marefu

  • @agnesvintan1538
    @agnesvintan1538 4 роки тому +4

    Daaaah hii ya secondary kukaa chin jau kwel🤔mi nakumbuka shule yetu viti vilikua vya kugombania,,had tunaandika majina kwenye viti

  • @doctorwamapaatz6571
    @doctorwamapaatz6571 10 місяців тому +1

    I MISS YOU DADY💚

  • @user-rv3it6oh8i
    @user-rv3it6oh8i Рік тому +1

    mwamba pumuzika kwa amani nakama ulilala kwa mapenzi ya mugu basi jina lake lisifiwe ila kama kuna mipango ya wanadamu mungu atalipa ila pengo lako linaonekana

  • @mathytz25
    @mathytz25 10 місяців тому +1

    Dah! i miss when The True king spoke out,Every line was a hit..we had the president once..tunakukumbuka na utusamehe kwa kila kitu

  • @raulmagige2698
    @raulmagige2698 4 роки тому +4

    Dahh!! Huyu raisi kwann tunataka atoke why? Kwnn tusimuache akae milele tunataka nn tena

  • @mimitijara4806
    @mimitijara4806 3 роки тому +1

    Wil mss u alot big ddy

  • @madhuru2554
    @madhuru2554 3 роки тому +2

    R.I.P.Mr.President Kazi ya Mungu Haina Makosa.

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 роки тому +12

    Mbunge katoa million 2 fasta bila kupenda

  • @exalttarimo5083
    @exalttarimo5083 4 роки тому +5

    My president my choice

  • @teresaonduko4443
    @teresaonduko4443 4 роки тому +2

    Mtukufu Rais Magufuli, Mola akuangazie Neema na faraja tele👏👏Nakupenda kwa kazi njema uifanyayo@Kenya

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 4 роки тому +8

    Kaah yani mkurugenzi amekoma😢😀😀

  • @MohamedBlanker-jw9qy
    @MohamedBlanker-jw9qy 10 місяців тому +1

    Rip magufuli

  • @bikozikomo9496
    @bikozikomo9496 4 роки тому +2

    Sion umuhim wa jpm kupgaa kampeni mwaka huu2020,akae tu ofsin ajirekond tu bas

  • @juneahir-by7hd
    @juneahir-by7hd Рік тому +1

    mkurugenzi poleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

  • @rehemashafi4809
    @rehemashafi4809 4 роки тому +1

    Mashallah rais wetu adi raha jmn

  • @arnoldarnold6271
    @arnoldarnold6271 6 місяців тому +1

    Rest in peace sir

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 3 роки тому +1

    Mungu akulehemu kwakweli

  • @nahyialetomia9284
    @nahyialetomia9284 4 роки тому +4

    21st century, Tanzania kwa uchumi wa pili na hamna viti? Mnamuangusha rais!

  • @rahimamkumbo3238
    @rahimamkumbo3238 4 роки тому +5

    Ww ni Rais wa dunia

  • @abdiriirashid7717
    @abdiriirashid7717 Рік тому +1

    Rip sir the best president in Africa

  • @alenyema
    @alenyema 10 місяців тому +1

    Rais kaomba radhi kwa kuwapotezea muda watu wake

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 4 роки тому +7

    Na olewako uile hahahahahahah...akila pesa yako hajipendii.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 роки тому +3

    Nakupendaga bure

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 4 роки тому +1

    Wakuu wa mikoa ina maana hamjui kuwa watoto wanakaa chini dah Tanzania viongozi mnafanya nini sasa Raisi asingepita ndio basi tena watototo wanakaa chini waziri wa wanawake na watoto jina tu hajui kero za watoto na wanawake ni mambo ya kusikitisha sana Raisi anahitaji asaidiwe peke yake hawezi sasa mnachaguliwa ili mfanyeje duh hii kali

  • @jumakapilima5674
    @jumakapilima5674 4 роки тому +3

    Tunavifanyia kazi,,,,, mh!!

  • @ksmally1985
    @ksmally1985 4 роки тому +1

    Watoto wengi wa Shule za Serikali wanakaa chini kabisa. Tena shule za manispaa kabisa.
    Wahusika angalieni hilo

  • @Donyo-rh8do
    @Donyo-rh8do Місяць тому

    Kama kuna kitu Tanzania tulishawahi kupoteza ni jembe la namna hii. Apumzike Kwa Amani mbinguni

  • @fidelisiboniphacekatole1139
    @fidelisiboniphacekatole1139 4 роки тому +1

    Ukisikia wimbo wa serikali ya awamu ya 5 utafikiri Tz imeishakuwa paradiso ,kumbe usanii tu kila kona vilio mara maji, madawati ,shule hovyo

  • @hassanjumabajwala1862
    @hassanjumabajwala1862 4 роки тому +2

    Tutashukuru Sana ukijatena muheshimiwa

  • @neemahaji5766
    @neemahaji5766 3 роки тому +1

    Aaaaaah jmn rest easy baba angu😭😭🙏

  • @akidanyanje9072
    @akidanyanje9072 3 роки тому +1

    Huyu jpm Niko tayari kufa kwa kuilinda picha yake tu isichanwe...

  • @user-tr7ou5li1x
    @user-tr7ou5li1x 8 місяців тому +1

    ❤❤❤

  • @jonathankaranja5857
    @jonathankaranja5857 Місяць тому

    Natazama kutoka nchi ya Kenya 🇰🇪.

  • @samakisamaki3226
    @samakisamaki3226 4 роки тому +1

    wamejikanyaga hawa. katoa idadi ndogo ya uhaba wa viti, bei ya meza na kiti ni zaidi ya elfu 70. mzee kawapa wiki moja na hali ya kuwa hakuna hata kimoja cha mfano. hapo ndipo vitakapotengenezwa kwa kasi ya zima moto, ubora ni wa muonekano tu.

  • @johnkariuki2907
    @johnkariuki2907 4 роки тому +1

    Mzee Safi sana

  • @mauyahamisi7525
    @mauyahamisi7525 4 роки тому +1

    Mh magu akila pesa yako huyo dc atakua hajipend

  • @moudyngereza
    @moudyngereza 4 роки тому +1

    Thats my president...

  • @abdihq4228
    @abdihq4228 4 роки тому +2

    Mh helanyingi sana hiyo wasikuibie

  • @tawfiqmbagwa9407
    @tawfiqmbagwa9407 4 роки тому +1

    Yaani hapa issue hii Magu alikuwa ashatonywa ndo maana akauliza kuna shule hapa?

  • @gracemisokalya1061
    @gracemisokalya1061 4 роки тому +1

    Lazima aongezewe muda madarakani kutokana na uzalendo alionao. Kweli he is a man of action lkn hata viongozi wote wa Mkuranga wanaonekana ni wachapa kazi ndiyo maana hawajateteleka ht kujibu malalamiko ya wananchi wao,pigeni kazi kila sehemu one changamoto zake siyo huko tu jamani,hii nchi ni kubwa mmmmmmno

  • @mkombozifreshoil
    @mkombozifreshoil 3 роки тому +1

    Laaaah masikini, jembe limelala.

  • @abelialsen5383
    @abelialsen5383 10 місяців тому +1

    J.p.m pengo lako halitazibika

  • @edrisalusonge4141
    @edrisalusonge4141 3 роки тому +1

    Inauma sana

  • @siwonikewilliam9146
    @siwonikewilliam9146 Рік тому +1

    Pumzika kwa amani

  • @user-eg2wk4xx3h
    @user-eg2wk4xx3h 9 місяців тому +1

    Magufuri wetu maskini tunakumiss

  • @dastanmrope162
    @dastanmrope162 3 роки тому +1

    R I p kiongozi

  • @emmanuelbugabu115
    @emmanuelbugabu115 Рік тому +1

    Upumzk salama

  • @anawa4326
    @anawa4326 3 роки тому +1

    Endelea kupumzikaaa Muheshimiwa

  • @hamzamohamed5007
    @hamzamohamed5007 4 роки тому +1

    piga kazi baba magu itapunguza madudu kiasi

  • @somanet_tech
    @somanet_tech 4 роки тому +2

    Sawa baba

  • @user-jk4kw8jr4v
    @user-jk4kw8jr4v 10 місяців тому +1

    I hate you ccm. Ee mungu naomba unipunguzie hawa watu bado hawatoshi

  • @richardelias3952
    @richardelias3952 4 роки тому

    Kusini mwa Tanzania bado watu ni wavivu kufikiri.matatizo mengine ni wananchi kumaliza na viongozi wao.ila kwa kuwa ni wavivu shida zote serikali

  • @nicholausmushi44
    @nicholausmushi44 4 роки тому +2

    Nchi hiii bila kuendeshwa kikamanda mambo hayaendi

  • @halimasalim5477
    @halimasalim5477 3 роки тому +1

    😭😭😭😭 roho inauma

  • @mkalimala3564
    @mkalimala3564 4 роки тому +1

    Hao viongozi wilaya ni wazito/Subload

  • @Jimmy-kq3bi
    @Jimmy-kq3bi 17 днів тому

    Rais Samiya Suluhu

  • @cecilemkandama5051
    @cecilemkandama5051 4 роки тому +1

    Makufuli dhaaaaaa

  • @jumajuma6970
    @jumajuma6970 3 роки тому +1

    Kirausiefum

  • @stanleymakambi8304
    @stanleymakambi8304 4 роки тому +1

    Shule yangu mwinyi kitambo sana

  • @OjukuSiwila-br3kn
    @OjukuSiwila-br3kn 5 місяців тому +1

    😢😢😢😢

  • @PaulMelikizedeki-py1ke
    @PaulMelikizedeki-py1ke Рік тому +1

    Mwamba

  • @chrismrisho8321
    @chrismrisho8321 Рік тому +1

    😁😁😁

  • @user-kp7zz9qp2j
    @user-kp7zz9qp2j 8 місяців тому +1

    😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @kissdubaleewabibi812
    @kissdubaleewabibi812 4 роки тому +1

    Kuliwa

  • @badboy2577
    @badboy2577 4 роки тому

    Aibu kwani hakuna wizara? Rais anauliza kama kuna school Waziri wa Elimu yuko wapi? Tanzania mko chini bado Uozo uko chini kwa mwananchi.Huku Watu wanasifu oooh Tazara imependeza, oooh ..... mnasifia mtu sana badala ya kuelezea hali halisi

  • @bajunihilali95
    @bajunihilali95 4 роки тому +1

    Hahahaa maguuuu

  • @ShijaNtolela-rh9rk
    @ShijaNtolela-rh9rk 9 місяців тому +1

    atakumbukwa

  • @bjzee1981
    @bjzee1981 4 роки тому +1

    Hawa watoto wana bahati Sana. Kila siku wanakutana na rais ana kwa ana

  • @sasha-ri7tf
    @sasha-ri7tf 4 роки тому +2

    Wanafunzi wanakaa chini sasa unashangaa nini? na zipo nyingi tuu mmeshindwa kutawala ACT WAZALENDO TAIFA KWANZA LEO NA KESHO, Mabadiliko chukua hatua. Viti tu hata meza na vyoo havifai Chakavu tupu.

  • @zemgotanar5264
    @zemgotanar5264 4 роки тому +1

    Pore baba kwa kutujari wote

    • @selector728
      @selector728 4 роки тому

      Sema pole siyo pore,,,sema kutujali siyo kutujari

  • @josephpetermaganga2907
    @josephpetermaganga2907 Рік тому +1

    Mwamba kabisa

  • @misungwikids563
    @misungwikids563 4 роки тому +1

    Hahaha na ole wako uile

  • @lazarmakombe7009
    @lazarmakombe7009 4 роки тому

    Haaaaaaaaahaaaaaa huu utawala huu haaaaaaaaahaaaaaa duh viongozi wanatabu kweli

  • @FashionJr1
    @FashionJr1 4 роки тому +2

    ua-cam.com/video/QZJZPy682mA/v-deo.html
    Tazama shairi walilotungiwa wajumbe wa Ccm na Mpoto, joti na dk Kumbuka.😂😂😂

  • @aishaathumani2254
    @aishaathumani2254 3 роки тому +1

    Du

  • @mrbenedicto5660
    @mrbenedicto5660 4 роки тому +1

    ua-cam.com/channels/9rRQdZ2IHlqMgvv1OJBqIQ.html *Ndugu, Jamaa,Rafiki ..watoto kwa wakubwa naombeni support yenu kwa kwa Ku like na Ku subscribe channel yangu hii kwa kubonyeza link hapo juu 👆🏻👆🏻kupata Nyimbo nitakazo zitarajia kuzitupia hivi karibuni pamoja na video za fani mbali mbali kutoka kwangu.Ahsanteni sana🙏🏻 na Mungu awabariki saana 🙌🏻*