Dah am blessed Ila nakumbuka niliwai kufanya project Kama hii Ila nilikosa nguvu na maisha ya misuko suko yakanikwamisha..jaman wazazi nanao farakana nakuleta ugomvi kwenye familia naomba mjifunze kwa wazazi Hawa Mana mtoto wao aliwapelekea fursa wakaipokea na kuisupport kwa kumpa mashamba ayafanyie kazi
Kilimo hakiondoi urembo wa mtu. Urembo natural. Huyu binti Mungu alimjalia ubunifu. Hakuna aina ya kazi inayo zuia urembo wa mdada. Mungu akutie nguvu dada hamasisha na wengine.
Mtangazaj anang'ang'aniza kwann afanye kilimo kwakuwa n mrembo why? Kwan mrembo sio binadamu wa kawaida? Big up dadaa hongera sana. Unacho kifanya kama n kitu kikubwa wengi tunatamani sana
Huyo sio kwamba anaakil sema anawazazi wenye akil, wanatumia Pesa nying il aonekane anaakil make Kuna vijana wakimaskin wanaakil balaa na mawazo mazur Zaid tatizo n mtaji.
Zama zimebadilika,siku hizi warembo wanajiongeza sana kuliko ilivyokuwa zamani.Kudanga si dili tena. Wadada wajanja siku hizi hawauzi sura ni kazi kazi!
Kumbe shamba la familia!!!! Hongera sana Jackie kwa mawazo mazuri hayo. Watto wachache sana wenye akili kama yako. Natamani ningekuwa na mtoto mwenye akili kama ya kwako!!!! Anatumia wataalam so it means inawezekana baba aliprovide capital na binti akatumia akili alizonazo. Capital plus akili ni safi sana sana!!! Big up Jackie.
Salaam za pongezi mdogo wangu Jackline kwa kufanya kazi uipendayo ndoto ya maono yako,sawa sawa na ndoto ya JPM kutengeneza mabilionea wazawa.Tunashkru pia kwa ukarimu wa mwaliko wa kuja kujifunza. Tunaomba mawasiliano.
Amen Yesu n mwema,Ila mpokee Bwaa Yesu ili uwe tajiri duniani pia update uzima Wa milele,n hasara kupata mamilion ya pesa dunian afu ukamsahau Mungu wako,mhubiri 12:1,maana yote yatapita Ila Mungu n wamilele.hivo mtafte sana Yesu upate yote.
taarifa hii inapotosha huyu kiumbe alikua rafk yang sana mara ya kwanz alifany kwa carrymastory kwa vitu ambavy sio vyake tena nasoma nae college kimara na anasoma kozi ya business fupi anafany hivi kupata fame tu anadanga hatar
Hongera Ago TV ongeza interview zaidi kwa vijana kama huyu iwe motisha kwa vijana wengine wanao hangaika mitaani na degree zao. . Pia angulizwa kuhusu mtaji, vijana ambayo wazazi wana mashamba, hawana fedha za kuanzusha project kama hizi, watalaam amewapataje na kutoka wapi? Kimsingi maelezo ambayo itawafaa wengine hamasika na kupenda kujiingiza huko.
akili zako finyu kaka ndio maana atakuiskiliza interview hujaweza (bogus man) as i said kuna wengine wanachance wanashindwa kuzitumia bro muonee embu sikiliza tena then tafakari (BOGUS)
Hapa naona PONGEZI ziende kwa wazazi kwa kumuamini binti yao nankuingiza mmzigo wa maana...harakaharaka hapo IMEINGIA zaidi ya milioni 100....shamba Lina majengo na wataalamu...bila Shaka na matrekta ya kutoshha... hongereni wazazi kwa uthubutu wa kumpatia Jack pesa yote hiyo akaingiae shambani... Jack nitakupa PONGEZI zako BAADAE....kwa Sasa PONGEZI ziende kwa wazazi
DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... . Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo. 1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia 2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo 3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk 4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka 5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha 6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility) 7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika 8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU) 9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume 🔟 Inarutubisha mayai NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248
Hongera San ila tu nilichogunduwa unaweza kuwa ulitowa mawazo kwa wazee wako nao ndo wakawekeza maan huo uwekezaji Ni mkubwa San si chini ya M10 au M20 nk so honger San kwa wazaz wako kupokea mawazo yako na kufanyia kazi Hilo Jambo🙋🤔
Kila kitu kinawezekana muhimu uanze kidogo kidogo kilimo hakihitaji pesa ya pamoja mkononi baba yangu ni mkulima so hatumii pesa nyingi kwa wakati mmoja wengi mnaogopa kilimo kwasababu mnapiga hesabu ndefu kwa mara moja
Hongera kwake, Lakini tukumbuke hapo uhalisia ni mradi wa familia na yeye ndio msimamizi mkuu , tusidanganyane kua hapo ni mtaji wake binafs hapana , its a lot of many, ukizingatia yeye ni mwanafunzi wa chuo Swali la msingi alilojisahau mtangazaji je kama ni la kwake binafs mtaji aliupata wapi?
Dada kasema kwamba mtaji ni wa mzee uyu mtangazaji na akili yake fupi anamlazimisha kuwekeza kuwekeza uyo binti ajui chochote hapo asitake kunogesha interview😃
Hongera sana dada. Binti mdogo ila mwenye ndoto kubwa. Wazazi tujifunze hapa kuwa hata mtoto anaweza kua na fikra nzuri na ndoto nzuri hivyo tuwasaidie ili wazikanilishe. Pia tunaomba mawasiliano jinsi ya kufika shambani hapo.
Hilo Ni shamba la mshua Sio la huyo dada mtangazaji unamnaadi huyo binti,mbona shamba Ni la babaake Sio la huyo Mtoto acha uongo na ujinga mtandaoni ongea ukweli
Aisee not inspired watu wanahustle hawaonekan cz mitaji tatzo tutafutien watu waliofanikiwa kwa hustle . huyu Dada ni msimamiz was mradi wa familia ameandaliwa.
Beautiful With brain Maashallah sio wale watoto wanao subiri wazazi wafe warithi mali na wakifa tu wanauza kila kitu
We wazazi wako wamekuachia nini😹
@@rose_Winchester86 Alhamdulilah
Walinipa urithi wa elimu hekima busara kuwa na hofu ya ALLAH na ndivyo ninavyo ringa navyo mjini hapa
@@queenlinda255 ALLAH ATUJAALIE MWISHO MWEM
@@allahisone6386 Ameen in shaa Allah🙏🏻
Dah am blessed Ila nakumbuka niliwai kufanya project Kama hii Ila nilikosa nguvu na maisha ya misuko suko yakanikwamisha..jaman wazazi nanao farakana nakuleta ugomvi kwenye familia naomba mjifunze kwa wazazi Hawa Mana mtoto wao aliwapelekea fursa wakaipokea na kuisupport kwa kumpa mashamba ayafanyie kazi
Wew ni kama mim
Japo sapoti ya wazazi imehusika,bado nakupa big up dada. Angekuwa binti mwingine angeomba kufunguliwa Saloon au kijiwe cha Mgahawa.
Sapoti ya wazazi imekuja baada ya KUWAFUNGUA ubongo wazazi wake. Girl you are ON FIRE
Issue sio aina ya biashara kaka, issue ni mafanikio kama saloon itakuwa inakuingizia pesaa ya kutosha sio mbayaa.
sio lazma wote wafanye kilimo,chochote tuu ni sawa kama kinauezekano wa kuleta mafanikio
Mzazi anausika kwenye Mafanikio yako yote kakupeleka shule,kakulea so ukisema saport ya wazazi nani asiyena saportvya wazazi
Sio kila watoto wa kishua wana akili za hivyo si tunaona vishua wengi tu mjini mambumbumbuuuu hongera bibie 👏🏽
Ndo Ommie yule yule- mchina 🏃♂️. Kweli ulipo tupo.
@@severinatyphone6122 😁😁😁 dah umenifanya nicheke tu boss
Bonge moja la interview maombi yetu angalau kuwe Kila wiki na kipindi kimoja cha kuonyesha uwezo wa vijana ili iweze kuwa invasion kwa wengine
Kabisa
Umeongea point
9
Poops of a 👌 😎 ones OK 😎 ones out on 💩 and poo 💩 💩 OK
On a Sunday
Hongera sana Jack!, ww ni mfano wa kuigwa katika jamii. Maono yako yafike mbali na Mungu aibariki kazi ya mikono yako.
Wow! She's a go getter,young, beautiful lady I really like her courage, big up from Nairobi Kenya.
wanawake nao wanaweza sana mungu ambariki san huyu dada ameamua kufanya si kuongea big up sana pia anaajili vijana pia hongera san
Am so inspired with this interview, she is so great
Kilimo hakiondoi urembo wa mtu. Urembo natural. Huyu binti Mungu alimjalia ubunifu. Hakuna aina ya kazi inayo zuia urembo wa mdada. Mungu akutie nguvu dada hamasisha na wengine.
Hapa mb zangu zimenda ki halali kabisa ❤️❤️❤️
Hhhhhhh
Mtangazaj anang'ang'aniza kwann afanye kilimo kwakuwa n mrembo why? Kwan mrembo sio binadamu wa kawaida? Big up dadaa hongera sana. Unacho kifanya kama n kitu kikubwa wengi tunatamani sana
Mungu ambariki na kila anaeangalia hii video sipungukiwe pesa kamwa
Aaamiin
Huyo sio kwamba anaakil sema anawazazi wenye akil, wanatumia Pesa nying il aonekane anaakil make Kuna vijana wakimaskin wanaakil balaa na mawazo mazur Zaid tatizo n mtaji.
@@texastexas2545 bro mtaji sio mpk uwe na pesa kuna wenye pesa na awajui wafanye nini mtaji ni akili tuu
Amina
Amina
Zama zimebadilika,siku hizi warembo wanajiongeza sana kuliko ilivyokuwa zamani.Kudanga si dili tena. Wadada wajanja siku hizi hawauzi sura ni kazi kazi!
Kabisa mpendwa
Kabisa ndg
Maguuuu product
Mshukuru Mungu wazazi wako wako na uwezo hongera madam
A humbled moneyed girl so inspiring indeed....she is so humbled watching from Nairobi Kenya
Kumbe shamba la familia!!!! Hongera sana Jackie kwa mawazo mazuri hayo. Watto wachache sana wenye akili kama yako. Natamani ningekuwa na mtoto mwenye akili kama ya kwako!!!! Anatumia wataalam so it means inawezekana baba aliprovide capital na binti akatumia akili alizonazo. Capital plus akili ni safi sana sana!!! Big up Jackie.
Amazingly work, she is really. Confident n self-reliance...🔥💖✊🏽
Hongera! Sana najua cha wazaz wako ndio chako ukikiendeleza vizur ishu ya ajira ktk ukoo wako itakuwa ndoto
Hongera sana jack haya ndiyo maono yenye maarifa Mungu atusaidie sana tufunguliwe maono yetu Mungu mbariki sana Jack afike mbali zaidi
Ameen 🤲🏽
Hongera Jackline 🦁🦁❤️
asante salam
Nzuri
@@jacklinembuge7776 😘
@@jacklinembuge7776 naomba namba ako plz
@@jacklinembuge7776 am thinking of a project please I need your help,well advice
Uwa mnaongea vizuri sanaa,nawapenda mnoo sanaa amna mambo ya kuppamba kazii
Safi sana hizo ndio issue zinafanya nchi kuendelea, Asante milliad Ayo na wenye shamba kwa hii taarifa
Lakini acha mchubuo dada, vizuri sana keep it up
Hongera Sana jack
Ww ni mwanamke wa kiugwa kwa vijana wote .
Hongera sana ila wazaz wako mpunga upo so simple to invest.
Jacky kama kweli lako vile mzee wako akiona hii interview atashangaa sana 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hyo sio yakee yaani wabongo kwa kubeza bhnaaa
Kwel kabisaa mzee anahusika na anakuja hapo😂😂
nyie ndio mizigo kwenye nchi yetu sishangai halfu inasikitisha kwa mwanaume kuw na akili finyu
Tujifunze kitu hapaa❤️
Exactly boss
aswaaa!
kabisa... boss nnatafuta mbia....karibu tujenge nchi
Money makes money boss
Big up jackline 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Wooo Soo amazing congratulations dear
Daaah hongra Dada pia wazz kwa saport yenu kwa bint mungu nijarie uzao watumbo langu
Sawa tunamsifia lakin angalieni na mtaji alio tumia kuwekeza hapo ni hatar,
kabisa asee
Saaana mabilioni yamezama hapo
Bila shaka mzazi wake kamsapoti vzr na nusu!
Inshu mtajii unapuzungumziaa kuwekeza tuu kwenye nyanya Ukiwaaa miche kuanzia elfu 20
Inatakiwaa uwe na mtaji usiopunguaa 2M na zaidi
Na shambani ni bahati na Nasibu kupata au kukosa...
hongera sana jackline hakika wanawake wanaweza sana 🙏🙏🙏
Wanawake ndio hawaa❤️
Kumbe umeliona eeh❤️❤️❤️👌
Kabisa anatupa moyo ili tujitahidi zaid wadada 😆😆😆
Hivyo alivyo ukikutana nae unamuaribia. Tushakusomeni wanaume mlivyo
@@fatmafaki6163 namuaribiaje kwa mfano zaidi ya kumsaidia kukesha shamba😀
@@onesmojustice2348 wanaume ndo nyie nyie bwana.
Mashaallah hongera ❤
Mtoto wa Brigedia charles mbuge hongera kuwa na baba mchapakazi
Ndio maana iko vzr kumbe mtoto wa Brigedia mbuge
Salaam za pongezi mdogo wangu Jackline kwa kufanya kazi uipendayo ndoto ya maono yako,sawa sawa na ndoto ya JPM kutengeneza mabilionea wazawa.Tunashkru pia kwa ukarimu wa mwaliko wa kuja kujifunza. Tunaomba mawasiliano.
Maa shaa Allah
Mmungu awazidishie kheri zote.
Wow smart ameni inspire sana huyu dada God bless her
Wonderful an welcome job,God bless u 👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏💪❤️🌞🙏🇰🇪@Kenya.
Mungu akubariki dada angu Jacky mimi nime ona ajira tuna lipwa mshahara hautoshi 😭😭 biashara ni muhimu sana
Hongera sana sana bi mdogo kazi nzuri
hongera japo kuwa ni mradi wa pesa nyingi sana kuanzia eneo na miundombinu yakurun hyo project
Kbsa big up MWANA charles
Ni mawazo ya kujenga xana ila inahtaj mtaji wa kutosha aisee so poa kbsa
Bonge moja la interview big up Sana Jack
Alafu wabongo baadae utawasikia uyo frimasoni
Wabongo mbwa Sana😠😠
😂😂😂😂😂😂
Walah nimecheka
😂😂😂
😂😂😃😂😃😂😃😃umeonaee
Yani umewaza mbali sana
Wow mzuri sana kweli I love you baby 💖💖💖💖💖💖
Mfano Mzuri wa kuigwa na Vijana wengine hongera Jackie Mungu akuinue zaidi na zaidi
I love her❤️🇧🇮😊
Big up,ayo tv hizi ndo habari za kuelimisha jamii ielewe maisha utayapata shambani.safi sana jack.
hongera sana Jackie.,.. Mungu azidi kukuongoza
Amen Yesu n mwema,Ila mpokee Bwaa Yesu ili uwe tajiri duniani pia update uzima Wa milele,n hasara kupata mamilion ya pesa dunian afu ukamsahau Mungu wako,mhubiri 12:1,maana yote yatapita Ila Mungu n wamilele.hivo mtafte sana Yesu upate yote.
Umejuaje kama hana yesu?
Hongera sana jack umenihamasisha sana
Nakubali mi mwaka 1 mbele lazima nitoboe fursa ni nying vijana tuna lala ✋🏻✋🏻
Sasa humu ndio nafasi ya Ku-comment mno kuliko sehemu ingine hasa kwa Vijana
Kumbe umeliona eeh
Aswaah
Kabisaaa
Tunahitaji taarifa kama hizi zenye kuelimisha na kutia hamasa kwenye maswala ya utafutaji.
taarifa hii inapotosha huyu kiumbe alikua rafk yang sana mara ya kwanz alifany kwa carrymastory kwa vitu ambavy sio vyake tena nasoma nae college kimara na anasoma kozi ya business fupi anafany hivi kupata fame tu anadanga hatar
@@fatiiofficially7258 acha umbea shogaangu😂
hhhhhhh
Big up kwako dada!!!!!
Iko poa sana na capital hapo si ya kitoto! Hongera kuwa na wazazi waelewa pia! Mafao yao wameyatumia vyema
Hiii
Hongera Ago TV ongeza interview zaidi kwa vijana kama huyu iwe motisha kwa vijana wengine wanao hangaika mitaani na degree zao.
. Pia angulizwa kuhusu mtaji, vijana ambayo wazazi wana mashamba, hawana fedha za kuanzusha project kama hizi, watalaam amewapataje na kutoka wapi? Kimsingi maelezo ambayo itawafaa wengine hamasika na kupenda kujiingiza huko.
Ongera sana dada upo vizur sana
Ma Shaa Allah. Akili kubwa
Nipeni number yk 😂😂😂😂
Nimekuwe inspired sana big up ccta jack naomba kupata location na contacts nipate wasaa wa kufika na kujifunza kuhusu kufuga samaki
Waooh♥️hongera saana jacy
Nimependa
Huyu n mtoto wa tajir make hapo mtaj wake s haba, Kuna watu weng Sana wana mawazo mazur kuzdi hapo tatizo n namna ya kupata mtaji.
Wapo watoto ambao wazazi wao wanakula kitu Ila hawana mawazo wanasubiri mazazi wa Mali izo wafe wagawane.
akili zako finyu kaka ndio maana atakuiskiliza interview hujaweza (bogus man) as i said kuna wengine wanachance wanashindwa kuzitumia bro muonee embu sikiliza tena then tafakari (BOGUS)
That was Savage and not kind
Ni kwel
Hongera Sana dada Ang Mungu akutienguvu
Dah sijui nitumie njia gn kumpongeza huyu mdada coz ameweza pakubwa
Hapa naona PONGEZI ziende kwa wazazi kwa kumuamini binti yao nankuingiza mmzigo wa maana...harakaharaka hapo IMEINGIA zaidi ya milioni 100....shamba Lina majengo na wataalamu...bila Shaka na matrekta ya kutoshha... hongereni wazazi kwa uthubutu wa kumpatia Jack pesa yote hiyo akaingiae shambani...
Jack nitakupa PONGEZI zako BAADAE....kwa Sasa PONGEZI ziende kwa wazazi
DAWA YA ALKALINE kiboko ya kibamia..na nguvu za kiume ..... .
Ni dawa ya kudumu yenye mchanganyiko wa dawa zaidi ya tisa ni maalumu kwa kutibu na kumaliza matatizo yote ya kibamia na nguvu za kiume kw asilimia100 % kama ifuatavyo.
1⃣ kuwa na dhakar ndogo/fupi na nyembamba yaani kibamia
2⃣ dhakar kusinyaa na kulegea wakati wa tendo
3⃣ mishipa iliyolegea kwa kujichua nk
4⃣ kuwahi kufika kileleni/kutoweza kuhimili katika tendo round nyingine kwa haraka
5⃣ Inarutubisha mbegu na kuziboresha
6⃣ Kuzipa speed mbegu ule uwezo wa KUOGELEA vizuru ( sperm mobility)
7⃣Ina balance HOMONI na kuimalisha misuli ya eneo lake husika
8⃣Inakupa nguvu za kawaida MWILINI ( HUONDOA UCHOVU NA UVIVU)
9⃣ Inaongeza idadi ya mbegu za kiume
🔟 Inarutubisha mayai
NB: HAINA MADHARA NI LISHE NA MMEA SALAMA
Epuka aibu hii tumia" ALKALINE " ndio kiboko yao
Karibuni sana ofisini kwetu msaada zaidi
Wasiliana kwa 0622945360 /whatsapp 0719174248
Hongera San ila tu nilichogunduwa unaweza kuwa ulitowa mawazo kwa wazee wako nao ndo wakawekeza maan huo uwekezaji Ni mkubwa San si chini ya M10 au M20 nk so honger San kwa wazaz wako kupokea mawazo yako na kufanyia kazi Hilo Jambo🙋🤔
Mtaji wa kwanza ni mawazo.
Kila kitu kinawezekana muhimu uanze kidogo kidogo kilimo hakihitaji pesa ya pamoja mkononi baba yangu ni mkulima so hatumii pesa nyingi kwa wakati mmoja wengi mnaogopa kilimo kwasababu mnapiga hesabu ndefu kwa mara moja
Mtaji wa kwanza ni wazo, kuhusu gharama halisi kwa kutazama miundombinu ya eneo hilo hiyo milioni 20 zidisha walau mara 20
Hongera kwake,
Lakini tukumbuke hapo uhalisia ni mradi wa familia na yeye ndio msimamizi mkuu , tusidanganyane kua hapo ni mtaji wake binafs hapana , its a lot of many, ukizingatia yeye ni mwanafunzi wa chuo
Swali la msingi alilojisahau mtangazaji je kama ni la kwake binafs mtaji aliupata wapi?
Dada kasema kwamba mtaji ni wa mzee uyu mtangazaji na akili yake fupi anamlazimisha kuwekeza kuwekeza uyo binti ajui chochote hapo asitake kunogesha interview😃
Hapo umeongea point inshu nimtaji alitafuta kwa jasho alake
Hongera sana dada umechagua kazi nzuri sana Mungu atakusaidia
Mashallah nitafute pesa mie namie nije buni biashara na kilimo
She is my role model
Hongera dada. Mungu akutie nguvu
Nawafwata toka DRCongo, napendezwa sana na ufugaji samaki, naweza nikawaona hawa watu je ?
Kuna mtaalamu,ila sio huyu nikupee namba zake??
Hela iliyowekezwa hapo ni kubwa sana, sio mchezo. Jack atakuwa ni mtoto wa kishua.
Kwelii kaka
Kabisa
"Mimi nlimshauri"
Tanzania inayo takiwa kwa kila mwana nchi ni hi china imefika mbali kwa ajili ya kilimo, MUNGU wa elia tuongoze watanzania🙏🏻
MUNGU WA Eliya.
Mungu wa wote
Uyo mtoto wa boss hao wanasoma laki wazaz wana mitaji
Kweli kabisa
Wow dada vizur sana mrembo ssna mungu akupe umri mrefu uvune mavuno mazuri
Safi sana
Wow wow wow! This is amazing ❤️ namba za simu za Jack
Hongera sana my nimependa ulichofanya kilimo ni bora sana
Kilimo kina ela jaman aswaa akiwa na moyo wa subira mm ni mkulima pia najua hongera zake
Ni kweli kabisa
Naweza pata namba zako, coz hata mamaangu anashamba heka kumi na tano ila halitumii...
Hongera sana binti kwa kuonyesha mfano kwa vijana wenzio
Dada Jacky uko sawa.mola akupe neema ufanye makubwa zaidi .
Hongera sana dada. Binti mdogo ila mwenye ndoto kubwa. Wazazi tujifunze hapa kuwa hata mtoto anaweza kua na fikra nzuri na ndoto nzuri hivyo tuwasaidie ili wazikanilishe. Pia tunaomba mawasiliano jinsi ya kufika shambani hapo.
Huku ndio kutawala na kumiliki safii sana. Nimeipenda
MashaAllah
Hilo Ni shamba la mshua Sio la huyo dada mtangazaji unamnaadi huyo binti,mbona shamba Ni la babaake Sio la huyo Mtoto acha uongo na ujinga mtandaoni ongea ukweli
@@emmanuelpeter5686 haah kumbe
Hongela sana jackiy
Mungu wangu naipenda sana kaiyo kazi nzuri anaa 😁😁😁😁
Wow.. nimependa sana hii
Hongera sana mrembo
Mungu akubariki kazi mikono yako jack
Hongera jack
Masha Allah ❤❤❤hongera dada
Hongera sana dada yangu
Habar nzur hii hongera sana.
Woow that's good
Nahitaji saana elimu ya ufugaji samaki..naomba msaada jamani
Ingia instagram search page moja inaitwa waloma_kilimo_ufugaji wanatoa elimu hio .
Hongera niependa juhudi zako
Aisee not inspired watu wanahustle hawaonekan cz mitaji tatzo tutafutien watu waliofanikiwa kwa hustle . huyu Dada ni msimamiz was mradi wa familia ameandaliwa.
Hongera sana.