MWANAFUNZI MTANZANIA ANAYELIPWA LAKI 2 KWA SIKU SOUTH AFRIKA,KAJENGA NYUMBA YA MILLION 40
Вставка
- Опубліковано 6 лют 2021
- Erick Laizer ni mwanafunzi mtanzania anayesoma chuo cha African Leadership Academy kilichopo South Africa na alipata nafasi hiyo baada yakugundua mtambo wakumsaidia mtu kujilinda na majanga mbalimbali ikiwemo moto,wizi na hitilafu za umeme ambapo aliibuka nakushika nafasi ya kwanza kwenye mashindano ya kisayansi Tanzania
Erick anasema kwenye chuo anachosoma cha African Leadership Academy analipwa zaidi ya laki mbili kwa siku kwa kutengeneza simu laptop ukiachia mbali fedha nyingine anazolipwa na wanafunzi kwa kuwatengenezea vifaa mbalimbali na amewajengea wazazi wake nyumba ya shilingi millioni 40
Hongera sana mtoto wa mwanamke mwenzangu namuomba Mungu namimi mtoto wangu awe mfano kama wewe
Hongera mwanangu kwa kuwakumbuka wazazi, stay blessed son
Hi
Hongera brother
Habari ndugu zangu, ninawapenda sana naomba msapoti channel yangu ya neno Elimu TV kwa kubonueza alama nyekundu kama Utaipenda, ninankupenda sana❤
Safi sana bro umenifurahisha sana kwa kuwakumbuka wazazi kwanza mungu akuongoze 🇹🇿🙏🏼🇹🇿❤️🙏🏼🙏🏼
Mtangazaji uko vizuri unampatia kijana muda wa kutosha na kazi yako iko makini, hongera kijana Tanzania tunajivunia kuwa na wewe.
Shukrani sana ndugu yangu
Jmn mbona sie tusojua English tunakosa mazur uwiiii natamn kupata nafas huko na mie nijitafutoe maisha walah jmn naombe njia passport ninayo ila sasa English ndio mgongano otakuwaje na mm natak kujuja?
@@munaahmed8499 unavyomuona huyo ameenda kwa vigezo vya English?
@@onesmojustice2348 hilo si jibu kwa hiyo kam huwez nijibu vzr ni kher ujae mimya maan ukioita sitokufata nikakuuliza ok pls
@@munaahmed8499 sio ugomvi😀
Mungu alikupa ubongo mdogo wangu hongera sana
So excited hearing all dat mamen from Smith compas USA river...... Fighting poverty through education!!!!!!
in Life, a Mentor is very important variable
Angalia sana hayo makampuni makubwa yasikupe mikataba mibovu ukapoteza haki kwenye vitu unavyovitengeneza ama unavyovigunduwa.
Brilliant, M/Mungu aendelee kumsimamia katika hatua zake; Tunajivunia yeye 🇹🇿
Hongera sana kijana. Mungu akujalie umri mrefu uweze kuwagusa vijana wengi na kuipaisha bendera ya Tanzania
Utazidi kufanikiwa kwa sababu hukuwasahau wazazi. Mungu akubariki Genius
Amen nawapenda sana
Kabisa kabisa. Yaani kawafikiria wao kwanza.
@@ericksimon8323 niaje faza
Bro Umeongea maneno machache Yenye Tija na Yenye kufundisha . Kuna watu wanataman kufanya unachoFanya hivyo usikate tamaa utawaangusha keep on fighting in case ya William its Good he is A friend with benefit keep on Man
Thanks kaka
Serikali fanya chap, chukua kijana uyo jenga kiwanda cha kutengeneza iyo mitambo.... Uchumi wa kati
Hongera sana kijana hiyo nineema uliyonayo,Allah akuepushe na macho ya husda ,umefanya ihsani nzur kwa wazazi wako hongera sana kijana.
Umefanya mazur kwa wazazi Mungu atakulipa safi sana kijana angekuwa mwingine yeye na maden viwanja starehe lkn kwako Mungu akupe haja ya moyo wako.
Masai ni bright hatariii. @respect mdogo wangu. Mtaani Kuna PHD azijagundua hata kirahinishi
Hongera Sana kijana kweli wazazi umewapa heshima🙏🙏 na baraka utazidi kuzivuna ktk maisha yako yote.
Powerful & Inspiring! Kila kitu kinawezekan, ni kujiamini, kuthubutu na kupambana. Hongera sana na Mungu azidi kukuongoza. The fact that umekumbuka wazazi, utaendelea kubarikiwa sana!
Ukiwaheshimu wazazi unakuwa na siku nyingi za kuishi nami ni imani yangu ya kwamba hakika utajenga hiyo nyumba ya ndoto yako kwani tayari umejipatia siku za kukufanya utimize ndoto pale ulipoamua kuwapa wazazi wako ile faida ya awali. Sasa hv wanajivunia zile gharama walizotumia miaka yote jinsi zimerudi kwa pamoja kama vile mvua za ukame mrefu zikinyesha kwa mafuriko. Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu kijana, nakuomba uendelee kumtunza na kumpa kibali na maarifa zaidi.
Yaani mie ndio maana napenda hii Ayo jamani. Mtangazaji anampa muda mtu anaeleza kila jambo hamkatishi. Na wanatuletea vitu vya maana. Hongera sana Laizer nitatafuta hiyo kidude
Hongera sana dogo, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu ili uweze kusaidia jamii ya kwetu n ulimwenguni, Mungu akulinde na hasada za sina yoyote, endeleakuwa mzalendo wa nyumbani Tanzania
Huyu mtangazaj noma sana anaibua habar Kali sana Milady nyie Ni namba moja dunian
Ahaa kwa siku ni nyingi nilijuwa kwa mwezi
Kaizer Jina La bilionea
Ndio wana habar mzur
Hongera sana ,20 years umefanya makubwa hivyo ,Allah aendelee kukupa maarifa inshaallah
Naomba namba yako tafadhali
umetisha safi sana Mungu awe nawe daima
Vijana wa Tz, haya ndio Mambo ya kuiga., Lkn sio lazima ni maamuzi binafsi. Wasanii wanadanganya sana mkiendelea kuwaiga hamna mtakacho pata.
Mungu ambariki kila kijana mwene mlengo na matumaini ya kujituma Kwa kadri ya uwezo wake.
Yaani umenifurahisha uliposema umejenga Kwa Mil 40...wangekua jamaa zetu wangesema Mil 700...keep it up..!
kweli
😄😄😄😄😄😄😄 wale bongo mavi
Yani true
@@sophiekivuyo6028 Ndio Hawo Hawo Na Wakiongea Lazima Waingize Kizungu Matope.
Mie nilijengewa kajumba kadogo ka vyumba viwili kwa zaidi ya 70m. Hakika a mungu amujalie zaidi
Well done to the young man, M/Mungu azidi kukuongoza.
Dogo you are among of the BRIGHT SHINNING START SCIENTISTS of TZ if not Africa or in the world
Venyee unamuita dogo as if umejenga nyumba ya milion 40😆😆
@@animusstudio3302 wewe venyee ndio mdudu gani maana hata kiswahili hujui ubamebaki tu venyee 😆 huna hata ndururu 😅
Dogo yuko vizuri
Tena ww ni mkenya njoo huku TZ usifikiri tunashida kama nyinyi njoo uone watu wanamiliki mashamba siwe umebaki kusema venyee
Njooo TZ tukufundishe
Masha allah, Mungu akusimamie brother.
Babumtakeover the real king of interviews 254 wadau wapi likes za 254 1k the first person to comment
We can do better all
Big up bro!
Wangekua watu wengine wangekua wanastarehe na wanawake kwa wingi tuu, HONGERA SANA kijana
Ndo mawazo ya wanaume wakipata pesa
Mashallah.M/MUNGU akuzidishie kila jema kwa wakati katika maisha yako
Ongera sana,m.mungu akujaalie na kazi yko.m.mungu akuzidishie zaidi ya hapo.mungu awajalie wazazi wako.kukulea vizuri
Be blessed bro, Tanzania is so proud of you boy 🙌🏽🙏🏽💪🏽
Aisee huyu dogo ame onesha ile wanasema "FROM ZERO TO HERO"
Jicho lahasad lisimpate huyu kijana yarabbi
Hongera sana mdogoangu.....daaah.....mungu akulinde sana...jmn.....!
Hongera sanaa kijanaa 🔥🔥
Hongera sana mwanafunzi wangu! Moyo wangu umelipuka kwa shangwe.
Big up sana asee nimependa kuona kwamba hata sisi watanzania tunaweza kufanya vitu vikubwa san
Wow, go boy go, the sky is the limit. Hongera kwa kuwakumbuka wazazi.
Hongera ziende kwake....
Tuendelee kuona that tatizo sio raia wa Tanzania but ni system....Police watapata taarifa within 5seconds ila mda ambao wao watatumia kufika eneo la tukio ndo hatari....
Masha Allah ❤❤❤ kazi nzuri sana 💪
Kichwa sana huyu mtu😙😙😙😍
Habari za siku munira
Big Up Brother🥰🥰❤❤💯💯
Am inspired...Keep it up
Mwenyeenzi mungu akujaalie nawe uwe bilionea kama wenzako akina Laizer
Kuwa makini huko South Africa, siipendi Sana hio nchi. Wana maugomvi sn.
Pamoja.African boy.Africa will reach where we want to be."Pongezi sana Young African Scientist "
Hongera sana Simon, Mungu ni Mwema. I'm happy for all that.
Hongera sana kijana kuwa makini usioneshe kipaji chako nje ya nchi hususan Afrika ya kusini wazungu wanawivu sana hawataki kuona waafrika wanakipaji kama Iran wszungu wanawauwa wa Iran wataalam wa nyuklia
Safi sana,thats very inspiring......
Hongera Sana dogo na uckate tamaa kamwe
Brilliant
MashaAllah, big up bro!!! Hongera sana we need young people like u to change our society.,am so excited to see that keeo it up. May Allah bless u
Hongera man
This boy is so organized than my life
Hongera sana producer, keep it up!!!
Hongera sana ....Mungu akupe haja ya moyo wako
Congrats brother....🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 one.
Nakuona mtangazaji umemsalut Dogo Hongera Young boy
Sana nakubaliiii appreciate for what you do congratulation Sana
Congratulations young Man..God bless you
Wow nice sana laizer fanya kazi nchini kwako mwya usiibiwe na wajanja ika nice sana big up ginious wetu wa kimasae
Kijana MUNGU akubariki sanaa...HAYA SASA KILA MTANZANIA AKIENDELEA HUWA WANAMWAMBIA FREEMOSORY ..kwa kweli tuache ujinga huu WATANZANIA WANAUWEZO MKUBWA SAN NA KAMA WANAPATA FURSA WANAKUWA MABILIONEAA..nchi yetu watu wetu tunaakili sana sana na nchi yetu ni tajili sana ila TUMEJIKANDAMIZA WENYEWE.MUNGU IBALIKI TANZANIA NA WATU WOTE
Very nice
WOOUW BLESS UP YOUNG PULL UP GOD BLESS AND GIVE YOU LONG LIFE AND GOOD HEALTH 👊🏽
Wooow...this is very inspiring
Nmependa Sana huyu kijana alivyowafanyia wazazi wake, m. Mungu atujaalie kizazi Chenye manufaaa kwetu na Jamii kwa ujumla
Hongera sana kwa ujuzi ulionao bro 💕👏👏👏🙏
Mashallah nimependa saana
Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na.heri duniani mengine utaongezewa
May God be with yuh on all step dat yuh a stepping.
Daaah tunaosubiri ajira tuspite bila kulike
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani we acha tu mtu awezikujiongeza wanasubiri ajira vijana wengine wavivu.
Millard Ayo uko Vizuri aiseee! Alafu huyu mtangazaji ni namba 1 because he is creative!! Kuna na yule jamaa anayetumiaga gharama kibao kwenda China... Yuko vizuri Sana aiseee, ni mpole na anauliza maswali ya mantiki kinomanoma!
Hongera sana qaqa ang....may the lord be with you always na uendeleee na moyo huooo💪✊
MashaAllah
Mungu wewe ni Mkuu na sifa zako ni za juu....Hongera sana mdogo angu kwa hekima Mungu akuongezee zaidi na hakika utabarikiwa.
Hongera Sana mwanangu mungu akujalie zaidi na zaidi na ajalie pia wenetu insha'Allah
Hongera sana mwenyezi mungu azidi kukuneemesha na kukuongezea ufahamu wa kujua mambo makubwa zaidi
Hongera San mungu akulinde
Hongera wengn wangekula bata tuu
Hongera sana kijana,Mungu aendelee kukutunza!
I love ue bro 🙌🙌 ume ni inspire sana
Ongera sana, Mungu akutangulie
Be blessed more and more
Hongera sana kijana kwa kazi nzuri. Kaza buti.
Maa Shaa Allah
Hongera sana Kijana
Mungu Akubariki
Usimsahau Mungu aliyekuwezesha hayo maono! Uzidi kubarikiwa. Wasaidie vijana wenzio wanaoshinda vijiweni kulalamika na kumlaumu kila mtu!
Big up broo,Tanzania kuna vipaji vingi xana, sijui nini kinatukumbaga TZ but one day yes
Salaam za pongezi kwako.
Congratulations my billionaire keep going I know u can do it and one day u will b in billboards
Thanks mama love
Hongera sn bro, that’s is talent,
Your Born with Talent 😍
Hongera sana
Congratulations to him keep doing good job Mungu akubariki sana 🙏
Kwanini hamjataja shule ya ST JUDE iliyomsomesha Bure kuanzia darasa la kwanza mpaka form four? Bila ST JUDE asingefika hapa alipo Leo.
Mbona kataja?
Ko ww unatenda wemaili usifiwe
Mbona nyumba nzuri sana ila pesa ndogo? 40M tu?? Una Bonge la nyumba?? Hongera sana kijana
Wangekuwa wasanii wangesema million 200
@@frankakuno.9511 sasa wasanii wana kwama wapi mpaka wakaee kwenye nyumba zaku panga? Kwani iyo 40m hawana kabisa wakina Hamissa mobeto wakina Giggy??🤣🤣🤣🤣🤣
mungu akubariki na akujaalie ufanikiwe ndoto zako
Ubarikiwe sana mungu ni mwema
Daaah hongera kwakutumia ujuzi wako kwa manufaa ya wengine!! Sio kungojea kuajiriwa ila kujiongeza.
Shule ya St Jude Arusha ndio imemtoa huyu dogo, hizi zingine zote mbwembwe tu.
inaweza kuwa chanzo lakini Young Scientist.. ndio imemfungulia Milango
Ongera sana kijana
Mashaallah
Keep it up son, stay blessed