MWANAFUNZI MTANZANIA ANAYELIPWA LAKI 2 KWA SIKU SOUTH AFRIKA,KAJENGA NYUMBA YA MILLION 40

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 553

  • @rachelmlingwa8880
    @rachelmlingwa8880 4 роки тому +14

    Hongera sana mtoto wa mwanamke mwenzangu namuomba Mungu namimi mtoto wangu awe mfano kama wewe

  • @ndinagweandendekisye3722
    @ndinagweandendekisye3722 4 роки тому +69

    Hongera mwanangu kwa kuwakumbuka wazazi, stay blessed son

    • @sadickmtoi2990
      @sadickmtoi2990 4 роки тому +1

      Hi

    • @irenemagetamarwa4677
      @irenemagetamarwa4677 3 роки тому

      Hongera brother

    • @danieldaniel5848
      @danieldaniel5848 3 роки тому +1

      Habari ndugu zangu, ninawapenda sana naomba msapoti channel yangu ya neno Elimu TV kwa kubonueza alama nyekundu kama Utaipenda, ninankupenda sana❤

  • @marcondokeji8982
    @marcondokeji8982 4 роки тому +51

    Mtangazaji uko vizuri unampatia kijana muda wa kutosha na kazi yako iko makini, hongera kijana Tanzania tunajivunia kuwa na wewe.

    • @godfreymillardayoripota3002
      @godfreymillardayoripota3002 4 роки тому +2

      Shukrani sana ndugu yangu

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 роки тому

      Jmn mbona sie tusojua English tunakosa mazur uwiiii natamn kupata nafas huko na mie nijitafutoe maisha walah jmn naombe njia passport ninayo ila sasa English ndio mgongano otakuwaje na mm natak kujuja?

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 роки тому +1

      @@munaahmed8499 unavyomuona huyo ameenda kwa vigezo vya English?

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 4 роки тому

      @@onesmojustice2348 hilo si jibu kwa hiyo kam huwez nijibu vzr ni kher ujae mimya maan ukioita sitokufata nikakuuliza ok pls

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 4 роки тому

      @@munaahmed8499 sio ugomvi😀

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 2 роки тому +1

    Hongera Sana kijana kweli wazazi umewapa heshima🙏🙏 na baraka utazidi kuzivuna ktk maisha yako yote.

  • @spsaguti8461
    @spsaguti8461 4 роки тому +5

    Hongera sana kijana hiyo nineema uliyonayo,Allah akuepushe na macho ya husda ,umefanya ihsani nzur kwa wazazi wako hongera sana kijana.

  • @jrochuboy5802
    @jrochuboy5802 4 роки тому +25

    Safi sana bro umenifurahisha sana kwa kuwakumbuka wazazi kwanza mungu akuongoze 🇹🇿🙏🏼🇹🇿❤️🙏🏼🙏🏼

  • @michaelmauki6690
    @michaelmauki6690 4 роки тому +4

    Hongera sana kijana. Mungu akujalie umri mrefu uweze kuwagusa vijana wengi na kuipaisha bendera ya Tanzania

  • @VictoriaCharlesMwanziva
    @VictoriaCharlesMwanziva 4 роки тому +4

    Brilliant, M/Mungu aendelee kumsimamia katika hatua zake; Tunajivunia yeye 🇹🇿

  • @saidmatikti2783
    @saidmatikti2783 3 роки тому +1

    Nmependa Sana huyu kijana alivyowafanyia wazazi wake, m. Mungu atujaalie kizazi Chenye manufaaa kwetu na Jamii kwa ujumla

  • @HamiduChamboko
    @HamiduChamboko 4 роки тому +3

    Masai ni bright hatariii. @respect mdogo wangu. Mtaani Kuna PHD azijagundua hata kirahinishi

  • @annachales9623
    @annachales9623 4 роки тому +36

    Mungu alikupa ubongo mdogo wangu hongera sana

  • @catherinekasoyaga9523
    @catherinekasoyaga9523 4 роки тому +3

    Powerful & Inspiring! Kila kitu kinawezekan, ni kujiamini, kuthubutu na kupambana. Hongera sana na Mungu azidi kukuongoza. The fact that umekumbuka wazazi, utaendelea kubarikiwa sana!

    • @frankgikaro5159
      @frankgikaro5159 4 роки тому +1

      Ukiwaheshimu wazazi unakuwa na siku nyingi za kuishi nami ni imani yangu ya kwamba hakika utajenga hiyo nyumba ya ndoto yako kwani tayari umejipatia siku za kukufanya utimize ndoto pale ulipoamua kuwapa wazazi wako ile faida ya awali. Sasa hv wanajivunia zile gharama walizotumia miaka yote jinsi zimerudi kwa pamoja kama vile mvua za ukame mrefu zikinyesha kwa mafuriko. Ahsante Mungu kwa ajili ya huyu kijana, nakuomba uendelee kumtunza na kumpa kibali na maarifa zaidi.

  • @sakinakaikai3511
    @sakinakaikai3511 4 роки тому +2

    Hongera sana dogo, Mwenyezi Mungu akujaalie umri mrefu ili uweze kusaidia jamii ya kwetu n ulimwenguni, Mungu akulinde na hasada za sina yoyote, endeleakuwa mzalendo wa nyumbani Tanzania

  • @justinkalika589
    @justinkalika589 4 роки тому +9

    Bro Umeongea maneno machache Yenye Tija na Yenye kufundisha . Kuna watu wanataman kufanya unachoFanya hivyo usikate tamaa utawaangusha keep on fighting in case ya William its Good he is A friend with benefit keep on Man

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 4 роки тому +19

    Angalia sana hayo makampuni makubwa yasikupe mikataba mibovu ukapoteza haki kwenye vitu unavyovitengeneza ama unavyovigunduwa.

  • @owdenisaga4361
    @owdenisaga4361 4 роки тому +1

    Hongera ziende kwake....
    Tuendelee kuona that tatizo sio raia wa Tanzania but ni system....Police watapata taarifa within 5seconds ila mda ambao wao watatumia kufika eneo la tukio ndo hatari....

  • @gaby06099
    @gaby06099 3 роки тому +1

    Vijana wa Tz, haya ndio Mambo ya kuiga., Lkn sio lazima ni maamuzi binafsi. Wasanii wanadanganya sana mkiendelea kuwaiga hamna mtakacho pata.
    Mungu ambariki kila kijana mwene mlengo na matumaini ya kujituma Kwa kadri ya uwezo wake.

  • @hassanhamudy6639
    @hassanhamudy6639 4 роки тому +15

    So excited hearing all dat mamen from Smith compas USA river...... Fighting poverty through education!!!!!!

  • @salimmatala1027
    @salimmatala1027 4 роки тому +1

    Mzee umetisha mungu akupe maisha marefu kaka wazazi ndokitu chakwanza kabisa na umefanikiwa Hilo pia 🙏🙏🙏

  • @Ivavoxvibe369
    @Ivavoxvibe369 4 роки тому +8

    umetisha safi sana Mungu awe nawe daima

  • @Justinebaada
    @Justinebaada 3 роки тому +1

    Big up sana asee nimependa kuona kwamba hata sisi watanzania tunaweza kufanya vitu vikubwa san

  • @najma3268
    @najma3268 4 роки тому +24

    Hongera sana ,20 years umefanya makubwa hivyo ,Allah aendelee kukupa maarifa inshaallah

    • @utaani1
      @utaani1 4 роки тому

      Naomba namba yako tafadhali

  • @editatairo9667
    @editatairo9667 4 роки тому +64

    Utazidi kufanikiwa kwa sababu hukuwasahau wazazi. Mungu akubariki Genius

    • @ericksimon8323
      @ericksimon8323 4 роки тому +5

      Amen nawapenda sana

    • @mwana4599
      @mwana4599 4 роки тому +1

      Kabisa kabisa. Yaani kawafikiria wao kwanza.

    • @vema_tv
      @vema_tv 4 роки тому

      @@ericksimon8323 niaje faza

  • @manjaugodwin7834
    @manjaugodwin7834 4 роки тому +29

    Umefanya mazur kwa wazazi Mungu atakulipa safi sana kijana angekuwa mwingine yeye na maden viwanja starehe lkn kwako Mungu akupe haja ya moyo wako.

  • @saidalhinai1131
    @saidalhinai1131 3 роки тому +1

    Hongera sana kijana kuwa makini usioneshe kipaji chako nje ya nchi hususan Afrika ya kusini wazungu wanawivu sana hawataki kuona waafrika wanakipaji kama Iran wszungu wanawauwa wa Iran wataalam wa nyuklia

  • @josephinekicheleri860
    @josephinekicheleri860 4 роки тому

    Kijana MUNGU akubariki sanaa...HAYA SASA KILA MTANZANIA AKIENDELEA HUWA WANAMWAMBIA FREEMOSORY ..kwa kweli tuache ujinga huu WATANZANIA WANAUWEZO MKUBWA SAN NA KAMA WANAPATA FURSA WANAKUWA MABILIONEAA..nchi yetu watu wetu tunaakili sana sana na nchi yetu ni tajili sana ila TUMEJIKANDAMIZA WENYEWE.MUNGU IBALIKI TANZANIA NA WATU WOTE

  • @innocentgodwin5855
    @innocentgodwin5855 2 роки тому

    Hongera sana na hongera pia kwa St.. Jude schools

  • @vero57
    @vero57 4 роки тому +6

    Wangekua watu wengine wangekua wanastarehe na wanawake kwa wingi tuu, HONGERA SANA kijana

  • @imanilaizer9994
    @imanilaizer9994 3 роки тому

    Wow nice sana laizer fanya kazi nchini kwako mwya usiibiwe na wajanja ika nice sana big up ginious wetu wa kimasae

  • @Jameskaguo
    @Jameskaguo 4 роки тому +28

    in Life, a Mentor is very important variable

  • @bisengobubasha
    @bisengobubasha 4 роки тому +1

    Ongera sana, Mungu akutangulie

  • @beatricesaru1624
    @beatricesaru1624 4 роки тому +1

    Wow, go boy go, the sky is the limit. Hongera kwa kuwakumbuka wazazi.

  • @tabumpate9762
    @tabumpate9762 4 роки тому +4

    Mashallah.M/MUNGU akuzidishie kila jema kwa wakati katika maisha yako

  • @deboramudogo9934
    @deboramudogo9934 3 роки тому

    Hongera sana mwenyezi mungu azidi kukuneemesha na kukuongezea ufahamu wa kujua mambo makubwa zaidi

  • @salmakaratta1420
    @salmakaratta1420 3 роки тому

    Ubarikiwe sana hiyo ni neema kubwa kwa wazazi amini.

  • @nsiaelieza9568
    @nsiaelieza9568 2 роки тому

    Wema utakufikisha mbali. Mungu akubariki

  • @moshimgaza5642
    @moshimgaza5642 4 роки тому +2

    Ongera sana,m.mungu akujaalie na kazi yko.m.mungu akuzidishie zaidi ya hapo.mungu awajalie wazazi wako.kukulea vizuri

  • @fatumagodfey8838
    @fatumagodfey8838 4 роки тому +36

    Huyu mtangazaj noma sana anaibua habar Kali sana Milady nyie Ni namba moja dunian

  • @jklymollel5992
    @jklymollel5992 4 роки тому +2

    Hongera sana ....Mungu akupe haja ya moyo wako

  • @pendopeter1790
    @pendopeter1790 3 роки тому

    Mungu wewe ni Mkuu na sifa zako ni za juu....Hongera sana mdogo angu kwa hekima Mungu akuongezee zaidi na hakika utabarikiwa.

  • @Richbtz
    @Richbtz 4 роки тому

    Mafanikio siku zote ni kujitoa na kujua wewe unataka kuwa nani Naamini Dogo katambua anataka kuwa nani ndio maana leo kapiga hatua sna tena sna..Hakuangalia familia aliyotoka bali aliangalia Ndoto yake ni kuwa nani Big Up sna
    Congratulations sna 🤝🤝🤝🤝🙏

  • @julysusa5998
    @julysusa5998 4 роки тому +1

    Hongera sana Simon, Mungu ni Mwema. I'm happy for all that.

  • @marympango9247
    @marympango9247 4 роки тому +5

    Hongera sana mdogoangu.....daaah.....mungu akulinde sana...jmn.....!

  • @dapinitiative2451
    @dapinitiative2451 4 роки тому +3

    Millard Ayo uko Vizuri aiseee! Alafu huyu mtangazaji ni namba 1 because he is creative!! Kuna na yule jamaa anayetumiaga gharama kibao kwenda China... Yuko vizuri Sana aiseee, ni mpole na anauliza maswali ya mantiki kinomanoma!

  • @liliangabriel3953
    @liliangabriel3953 4 роки тому +1

    May God be with yuh on all step dat yuh a stepping.

  • @kanyewest1850
    @kanyewest1850 4 роки тому +21

    Hongera sanaa kijanaa 🔥🔥

  • @raytorrosy4402
    @raytorrosy4402 4 роки тому +2

    Hongera Sana dogo na uckate tamaa kamwe

  • @leganmichael6148
    @leganmichael6148 3 роки тому

    Kazi nzuri, kipawa toka kwa Mungu

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 4 роки тому +13

    Kichwa sana huyu mtu😙😙😙😍

  • @geturdablatch9706
    @geturdablatch9706 4 роки тому +18

    Yaani mie ndio maana napenda hii Ayo jamani. Mtangazaji anampa muda mtu anaeleza kila jambo hamkatishi. Na wanatuletea vitu vya maana. Hongera sana Laizer nitatafuta hiyo kidude

  • @KA-yz2ld
    @KA-yz2ld 4 роки тому +23

    Well done to the young man, M/Mungu azidi kukuongoza.

  • @vannesseramadamalick3038
    @vannesseramadamalick3038 4 роки тому

    Majina ya akina Laizer....yamebalikiwa.....anyway bigup hongera sana

  • @ismailyusuph740
    @ismailyusuph740 4 роки тому +76

    Yaani umenifurahisha uliposema umejenga Kwa Mil 40...wangekua jamaa zetu wangesema Mil 700...keep it up..!

    • @khadijaomari9344
      @khadijaomari9344 4 роки тому +2

      kweli

    • @sophiekivuyo6028
      @sophiekivuyo6028 4 роки тому +3

      😄😄😄😄😄😄😄 wale bongo mavi

    • @hildaheart8830
      @hildaheart8830 4 роки тому +3

      Yani true

    • @salimsaid7200
      @salimsaid7200 4 роки тому +3

      @@sophiekivuyo6028 Ndio Hawo Hawo Na Wakiongea Lazima Waingize Kizungu Matope.

    • @geturdablatch9706
      @geturdablatch9706 4 роки тому +3

      Mie nilijengewa kajumba kadogo ka vyumba viwili kwa zaidi ya 70m. Hakika a mungu amujalie zaidi

  • @khayraatsaidi3801
    @khayraatsaidi3801 4 роки тому

    Maa Shaa Allah
    Hongera sana Kijana
    Mungu Akubariki

  • @jomba6514
    @jomba6514 4 роки тому +2

    Ubarikiwe sana mungu ni mwema

  • @binkamwanah9498
    @binkamwanah9498 4 роки тому

    Hongera sana, umefanya jambo zuri sana

  • @aurrylassy5078
    @aurrylassy5078 4 роки тому

    Hongera sana kijana kwa kazi nzuri. Kaza buti.

  • @Waytozanzibar
    @Waytozanzibar 4 роки тому +8

    Kuwa makini huko South Africa, siipendi Sana hio nchi. Wana maugomvi sn.

  • @saraenock7600
    @saraenock7600 4 роки тому

    Daaah hongera kwakutumia ujuzi wako kwa manufaa ya wengine!! Sio kungojea kuajiriwa ila kujiongeza.

  • @benedictflorence2870
    @benedictflorence2870 3 роки тому

    Mungu akubarik

  • @rayaalirashid656
    @rayaalirashid656 4 роки тому +1

    mungu akubariki na akujaalie ufanikiwe ndoto zako

  • @allymanyika3502
    @allymanyika3502 4 роки тому +6

    Mwenyeenzi mungu akujaalie nawe uwe bilionea kama wenzako akina Laizer

  • @jenifamtima9325
    @jenifamtima9325 4 роки тому +4

    Ila umefanàna na wachina, .....hongera cn ufike mbali zaidi

  • @franklyimony7497
    @franklyimony7497 4 роки тому

    Pamoja.African boy.Africa will reach where we want to be."Pongezi sana Young African Scientist "

  • @nyambirotrueinformation7500
    @nyambirotrueinformation7500 4 роки тому +2

    Nakuona mtangazaji umemsalut Dogo Hongera Young boy

  • @janetndeanasiambene3975
    @janetndeanasiambene3975 4 роки тому +1

    Usimsahau Mungu aliyekuwezesha hayo maono! Uzidi kubarikiwa. Wasaidie vijana wenzio wanaoshinda vijiweni kulalamika na kumlaumu kila mtu!

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 4 роки тому +3

    Hongera San mungu akulinde

  • @Donrugi
    @Donrugi 4 роки тому +13

    Be blessed bro, Tanzania is so proud of you boy 🙌🏽🙏🏽💪🏽

  • @osamashakeeb7194
    @osamashakeeb7194 4 роки тому +7

    Masha Allah ❤❤❤ kazi nzuri sana 💪

  • @diegomontenego5158
    @diegomontenego5158 3 роки тому

    Kwamazuri umefanya sikatai mdogowangu. Ila kale kadenikakangu nilipe bwana siunajua nilikufanyia kazi Erki. Japo uliamua kulipakidogo kidogo fanya mpango tumalizeee dogo langu au unataka zilekelele za mlinzi wa Nnkya ulipokuwa kwa zile Apatiment.

  • @beatricemisso7310
    @beatricemisso7310 3 роки тому

    Hongera sana,👏 mwenyezi Mungu azidi kukuzidishia.🙏 Nimependa ulichokifanya.

  • @jamesgodfrey4683
    @jamesgodfrey4683 4 роки тому +1

    Safi Sana Kijana Mwenzetu kwa Akili yako ya kuwaza Mbali

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 3 роки тому

    Mashallah ALLAH barik

  • @josephinelaurent7972
    @josephinelaurent7972 4 роки тому

    safi sana kwa ufupi waafrica tupo vizuri sema tuu wazungu wanatubania itabidi tupambane tuu na level zetu

  • @siahmaucky4459
    @siahmaucky4459 4 роки тому

    Mungu akuzidishie ufahamu ili uweze kuwasaidia na wengine.kwa kweli Mungu akutete.

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 4 роки тому +1

    Mashaallah hongera woow

  • @inocentlema5574
    @inocentlema5574 3 роки тому

    Hongera sn bro, that’s is talent,

  • @hildaeliapenda3938
    @hildaeliapenda3938 4 роки тому

    Hongera Sana mwanangu mungu akujalie zaidi na zaidi na ajalie pia wenetu insha'Allah

  • @lightmashauri1725
    @lightmashauri1725 3 роки тому

    Hongera sana lalashe wamasai oyeeee

  • @jeninunu9177
    @jeninunu9177 4 роки тому

    hongera sana kina Mungu ueneze utaalamu Afrika

  • @danielmoshi8325
    @danielmoshi8325 4 роки тому

    Ubarikiwe sana Mr simon

  • @jemmyrose2442
    @jemmyrose2442 3 роки тому

    Congratulations to him keep doing good job Mungu akubariki sana 🙏

  • @mwanakombojuma9029
    @mwanakombojuma9029 3 роки тому

    God bless you👌

  • @kingj3280
    @kingj3280 3 роки тому

    God bless u bro

  • @jumawaziri8501
    @jumawaziri8501 4 роки тому

    mashallah Mungu akuzishie maarifa zaidi

  • @melkezedeckamos1148
    @melkezedeckamos1148 4 роки тому

    Hongera sana qaqa ang....may the lord be with you always na uendeleee na moyo huooo💪✊

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 4 роки тому +35

    Mungu alibariki tumbo la mama aliyekuzaa. Hongera kijana

    • @marympango9247
      @marympango9247 4 роки тому +1

      Yan kuna wanawake wanabarikiwa watt jmn!!!! Yan mpaka machoz ya ananitoka..

    • @frankgikaro5159
      @frankgikaro5159 4 роки тому +2

      Yaani Mungu akikubariki anakupa mpaka mvuto, yaani dogo anavutia hata kumrudia rudia kumsikiliza kwani kamebarikiwa hata sauti na uwezo wa kujielezea mpaka mtangazaji ameambulia kuuliza maswali machache tu huku akibaki kuvutiwa na jinsi anavyojielezea. Yaani hata kama kamenyoa kiduku lakini hakaashirii kuwa kahuni bali katoto kenye busara. Mungu aendeleze baraka juu yake kwa Jina la Yesu Kristo 💗💗💗💗💗

    • @zuenajohn8325
      @zuenajohn8325 4 роки тому

      Mungu akubariki

    • @sharamtulya9728
      @sharamtulya9728 4 роки тому

      Mungu akutangulie kijana

    • @simonmkodya3936
      @simonmkodya3936 4 роки тому

      Mngu am baliki baba yake alie mzalisha mama

  • @chrisshonga
    @chrisshonga 3 роки тому

    MUNGU azidi kukuangazia mwanga katika Njia zako zote! Siri ya ushindi kimaisha ni kujishusha kadiri MUNGU alikokutoa na jinsi alivyokuinua bila kujali umefika umbali wa kiasi gani jambo ambalo ndilo ninaloliona katika maisha yako!
    Ubarikiwe Sana na uzidi kujitoa Kwa Taifa lako ambalo linaweza kung'ara duniani kupitia maisha yako!
    Heri ya tumbo lililokuzaa

  • @kibaopipa3474
    @kibaopipa3474 3 роки тому

    WOOUW BLESS UP YOUNG PULL UP GOD BLESS AND GIVE YOU LONG LIFE AND GOOD HEALTH 👊🏽

  • @maigajohn702
    @maigajohn702 4 роки тому

    Hongera Sana mdogo m mungu azidi kukupa afya njema

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Рік тому

    Mashaaallah watu wa hali ya chini huwa wana akili sana mwenyezi mungu anawapa akili

  • @tinongolo2242
    @tinongolo2242 4 роки тому +1

    Safi sana,thats very inspiring......

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 4 роки тому +10

    Mashallah nimependa saana

    • @hildaamsi8737
      @hildaamsi8737 4 роки тому +1

      Waheshimu baba na mama upate miaka mingi na.heri duniani mengine utaongezewa

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 4 роки тому

    Hongera sana kuwajali wazazi na kuwajengea..
    Mungu azidi kukubariki na kukuinua

  • @naimamuturi3475
    @naimamuturi3475 4 роки тому +1

    MashaAllah, big up bro!!! Hongera sana we need young people like u to change our society.,am so excited to see that keeo it up. May Allah bless u

  • @ismsilmangare2411
    @ismsilmangare2411 4 роки тому

    Chalii Yuko vizuri na maungua aendelee Kum bariki

  • @shadowmedia7644
    @shadowmedia7644 4 роки тому +1

    Sana nakubaliiii appreciate for what you do congratulation Sana

  • @samsawidi5648
    @samsawidi5648 4 роки тому +2

    Salute sanaaa broo

  • @barakasamwely599
    @barakasamwely599 4 роки тому +1

    Good news. Brooo

  • @frankisaac3558
    @frankisaac3558 4 роки тому +1

    I love ue bro 🙌🙌 ume ni inspire sana