Waandaji wa Interview ni muhimu Sana kuandaa maswali muhimu kwa manufaa ya watazamaji 1.Garama za mradi 2.Upatikanaji wa Masoko 3. Changamoto za mradi 4. Mapato 5.Nini faida ya Mradi ukilinganisha na miradi mwingine... e. t. c Msikurupuke kufanya interview pasipo maandalizi. Kiukweli sijajifunza chochote kwenye clip hii zaidi ya kumjua Jose Masamaki. Tubadilike twende kisomi sio kukurupuka!
Waandaji wa Interview ni muhimu Sana kuandaa maswali muhimu kwa manufaa ya watazamaji
1.Garama za mradi
2.Upatikanaji wa Masoko
3. Changamoto za mradi
4. Mapato
5.Nini faida ya Mradi ukilinganisha na miradi mwingine... e. t. c
Msikurupuke kufanya interview pasipo maandalizi. Kiukweli sijajifunza chochote kwenye clip hii zaidi ya kumjua Jose Masamaki. Tubadilike twende kisomi sio kukurupuka!
Sijakuelewa na wewe umetoa ushauri au unawalaumu ?
Hii taaluma imevamiwa sana
Ni kweli kabisa yaani mada nzuri lakini wanakosa mwaswali sahihi ya kuwaongoza kwenye mahojiano lakini pia wanakosa mtiririko mzuri wa mahojiano
Is it hujapata chochote kweli au umeamua tu kuponda
Umenena vyema hata mimi moyoni nilisema hili 🤣
Mwndsh ulza maswl yamaana
Vinywaji,vitafunwa, video stori hayo ni machapisho kwenye mabasi mengi lakini ndani akina kitu.
Shukrani kwa somo vijana tujifunze na tuingie kwenye kilimo hiki
Kiongozi wakati utapata sms hii naomba mawasiliano na mzee wangu
Hongera sn umejitahid sn ogeza bidii mm npo nyuma yko
Asante sana kwa kipindi kizuri, Tafadhali nisaidie namna ya kumpata huyo Jose Masamaki. Ingefaa zaidi kama ningepata mawasiliano Yake
Namba yake ni 0757283517
@@eliahkomba9357 🙏Shukrani sana
Hongera sana kwa huo mradi nimejifunza kitu nafanya maandarizi nami nianzishe huo mradi nakuhitaji kwa ushauri naomba namba zako za simu
Ww yaan Kuna watu Wana akili ya biashara sana
Ninauza suluali za kuvulia samaki,
Hazipitishi maji
Aliehojiwa yupo deep kwenye kujibu..yupo vzur sana
Natamani nimfaham anifundishe kitu
Maji sio machafu ni langi ya chakula
ongera sana. ufugaji wa samaki inaomba nini na ina omba pesa ngapi?
Naomba namba ya cm ya uyo mfugajo
Muandishi wa habari ni shabiki wa Jose , sio mtu wa kujua taarifa za biashara
Naomba namba ya cm ya uyo mfugajo
Wewe mtangazaji ovyoo kabisa acha mtu ajieleze amalize sio unamkatishakatisha tu tutajifunzaje sasa
Kazi nzuri Sana
Aweke namb za sim pia
Mshua anataka kutupa mbinu Mtangazaji hataki
Aisee hongera brother, nimependa sana aidia yako
Mie nilifika zamani ila saizi kupendeza sana hongera sana kaka
Msiri sana. Asante kwa ushauri
Namba naomba
Namba ya Jose Masamaki ili tujifunze zaidi
0757283517
Nimeipenda saana project hii.Ubarikiwe.
Sw lkn maji machafu badilisha
Safi
Nimeipenda laziness hiyo
safi sana
Naomba namba ya mkuu uyoo natak nifike nyumbani kwake niji funzee plz
Nipo kwangu
Naomba namba yako mtaalam
Hongera Kaka na me nakuja kupata elim
chakula wap nitapata
Idea nzuri Sanaa , ahsante sanaaaa
Mtangazaji anazingua
Nimpeb
Hongera kk nakuja
Namba yake
Tunaomba naamba yake jamn
0757283517
Hivi ndio vitu vya msingi kujifunza,asante sana ntakutembelea mkuu
Safi sana
Hongera sana
Nipee kazi tafadhali
Jaman tekash unataka ajira ya kufuga samak,si uimbe tu!! Hahahaaa
@@abeljoseph2615 haha wacha niimbe tu hila biashara ni nzuri
Ahsante tumejifunza mengii