MFANYABIASHARA MBEYA AKUNJA MAMILIONI KILA MWEZI KWA UFUGAJI WA SAMAKI,AFIKIRIA MIRADI MKUBWA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 30 вер 2024
  • #MbeyaYetuTv

КОМЕНТАРІ • 66

  • @eddymbwana3239
    @eddymbwana3239 3 роки тому +21

    Waandaji wa Interview ni muhimu Sana kuandaa maswali muhimu kwa manufaa ya watazamaji
    1.Garama za mradi
    2.Upatikanaji wa Masoko
    3. Changamoto za mradi
    4. Mapato
    5.Nini faida ya Mradi ukilinganisha na miradi mwingine... e. t. c
    Msikurupuke kufanya interview pasipo maandalizi. Kiukweli sijajifunza chochote kwenye clip hii zaidi ya kumjua Jose Masamaki. Tubadilike twende kisomi sio kukurupuka!

    • @selegioelias9076
      @selegioelias9076 3 роки тому +1

      Sijakuelewa na wewe umetoa ushauri au unawalaumu ?

    • @cletuslyelu3864
      @cletuslyelu3864 2 роки тому +2

      Hii taaluma imevamiwa sana

    • @wilbertmahenge7051
      @wilbertmahenge7051 2 роки тому

      Ni kweli kabisa yaani mada nzuri lakini wanakosa mwaswali sahihi ya kuwaongoza kwenye mahojiano lakini pia wanakosa mtiririko mzuri wa mahojiano

    • @MbeyaYetuOnlineTV1
      @MbeyaYetuOnlineTV1  Рік тому +2

      Is it hujapata chochote kweli au umeamua tu kuponda

    • @Sifa_film_tv72
      @Sifa_film_tv72 Рік тому

      Umenena vyema hata mimi moyoni nilisema hili 🤣

  • @kigesomichael8061
    @kigesomichael8061 15 днів тому

    Mwndsh ulza maswl yamaana

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika
    @uwezawamungumkuu.amaniafrika 7 місяців тому

    Vinywaji,vitafunwa, video stori hayo ni machapisho kwenye mabasi mengi lakini ndani akina kitu.

  • @RamadhaniBendera-sq5gt
    @RamadhaniBendera-sq5gt 4 місяці тому

    Shukrani kwa somo vijana tujifunze na tuingie kwenye kilimo hiki

  • @ManenoMmbucwa
    @ManenoMmbucwa 7 місяців тому

    Kiongozi wakati utapata sms hii naomba mawasiliano na mzee wangu

  • @deviskitonge6478
    @deviskitonge6478 Рік тому

    Hongera sn umejitahid sn ogeza bidii mm npo nyuma yko

  • @luganostewart8320
    @luganostewart8320 4 роки тому +3

    Asante sana kwa kipindi kizuri, Tafadhali nisaidie namna ya kumpata huyo Jose Masamaki. Ingefaa zaidi kama ningepata mawasiliano Yake

  • @KaseseMakubi
    @KaseseMakubi 6 місяців тому

    Hongera sana kwa huo mradi nimejifunza kitu nafanya maandarizi nami nianzishe huo mradi nakuhitaji kwa ushauri naomba namba zako za simu

  • @cutelady7410
    @cutelady7410 3 роки тому +2

    Ww yaan Kuna watu Wana akili ya biashara sana

  • @yusufulight-iz6ro
    @yusufulight-iz6ro 7 місяців тому

    Ninauza suluali za kuvulia samaki,

  • @pwezasamaki6075
    @pwezasamaki6075 2 роки тому

    Aliehojiwa yupo deep kwenye kujibu..yupo vzur sana

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Рік тому

    Natamani nimfaham anifundishe kitu

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Рік тому

    Maji sio machafu ni langi ya chakula

  • @fikirijoelmupenda6652
    @fikirijoelmupenda6652 6 місяців тому

    ongera sana. ufugaji wa samaki inaomba nini na ina omba pesa ngapi?

  • @AbelMwanshinga
    @AbelMwanshinga 11 місяців тому

    Naomba namba ya cm ya uyo mfugajo

  • @chilumomo9309
    @chilumomo9309 2 роки тому

    Muandishi wa habari ni shabiki wa Jose , sio mtu wa kujua taarifa za biashara

  • @AbelMwanshinga
    @AbelMwanshinga 11 місяців тому

    Naomba namba ya cm ya uyo mfugajo

  • @KADALAtv255
    @KADALAtv255 3 роки тому

    Wewe mtangazaji ovyoo kabisa acha mtu ajieleze amalize sio unamkatishakatisha tu tutajifunzaje sasa

  • @saidhamisi2795
    @saidhamisi2795 3 роки тому +2

    Kazi nzuri Sana

  • @mfalisayo
    @mfalisayo 9 місяців тому

    Aweke namb za sim pia

  • @shedrackmwaipopo219
    @shedrackmwaipopo219 2 роки тому

    Mshua anataka kutupa mbinu Mtangazaji hataki

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 4 роки тому +1

    Aisee hongera brother, nimependa sana aidia yako

  • @rajabuomary3258
    @rajabuomary3258 4 роки тому +1

    Mie nilifika zamani ila saizi kupendeza sana hongera sana kaka

  • @SharifaHayatta
    @SharifaHayatta Рік тому

    Msiri sana. Asante kwa ushauri

  • @kennedyngusa8890
    @kennedyngusa8890 Рік тому

    Namba naomba

  • @veronicatweve4786
    @veronicatweve4786 4 роки тому +1

    Namba ya Jose Masamaki ili tujifunze zaidi

  • @emilymwandogo4322
    @emilymwandogo4322 2 роки тому

    Nimeipenda saana project hii.Ubarikiwe.

  • @abuuhilary4609
    @abuuhilary4609 3 роки тому

    Sw lkn maji machafu badilisha

  • @mrjambo8006
    @mrjambo8006 Рік тому

    Safi

  • @festokimuli1129
    @festokimuli1129 2 роки тому

    Nimeipenda laziness hiyo

  • @geofreyndambo8635
    @geofreyndambo8635 2 роки тому

    safi sana

  • @leornadjohn3839
    @leornadjohn3839 4 роки тому

    Naomba namba ya mkuu uyoo natak nifike nyumbani kwake niji funzee plz

  • @zahorrashid5254
    @zahorrashid5254 2 роки тому

    Nipo kwangu

  • @emmanuelmwambona3438
    @emmanuelmwambona3438 3 роки тому

    Naomba namba yako mtaalam

  • @sondayumbu6502
    @sondayumbu6502 3 роки тому

    Hongera Kaka na me nakuja kupata elim

  • @fredmswelo3720
    @fredmswelo3720 3 роки тому

    chakula wap nitapata

  • @kibasamohamedi8029
    @kibasamohamedi8029 4 роки тому +1

    Idea nzuri Sanaa , ahsante sanaaaa

  • @frankmgunjimgunji9261
    @frankmgunjimgunji9261 3 роки тому

    Mtangazaji anazingua

  • @emilymwandogo4322
    @emilymwandogo4322 2 роки тому

    Nimpeb

  • @giftyohana2150
    @giftyohana2150 3 роки тому

    Hongera kk nakuja

  • @user-gz9cj9dq6n
    @user-gz9cj9dq6n 3 роки тому

    Namba yake

  • @nikumwitikabenson6549
    @nikumwitikabenson6549 4 роки тому +4

    Tunaomba naamba yake jamn

  • @rikekikonyo2265
    @rikekikonyo2265 4 роки тому +2

    Hivi ndio vitu vya msingi kujifunza,asante sana ntakutembelea mkuu

  • @mussajohn1362
    @mussajohn1362 4 роки тому

    Safi sana

  • @musamwanisawa8250
    @musamwanisawa8250 4 роки тому

    Hongera sana

  • @hassanmapenzi6188
    @hassanmapenzi6188 4 роки тому +2

    Nipee kazi tafadhali

    • @abeljoseph2615
      @abeljoseph2615 4 роки тому

      Jaman tekash unataka ajira ya kufuga samak,si uimbe tu!! Hahahaaa

    • @hassanmapenzi6188
      @hassanmapenzi6188 4 роки тому

      @@abeljoseph2615 haha wacha niimbe tu hila biashara ni nzuri

  • @giselagonza1419
    @giselagonza1419 3 роки тому

    Ahsante tumejifunza mengii