BABA LEVO na MWIJAKU wapigana mbele ya DIAMOND/ DIAMOND awaamua WASIVUNJANE
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- ...........................................................
Contact Us : 0742447854
-------------------------------------------------------------------------------
Instagram www.instagram....
---------------------------------------------------------------------------------
Facebook / rickmediatz
---------------------------------------------------------------------------------
Website www.rickmediatz.com
-----------------------------------------------------------------------------------
#Diamond #babalevo
yani hawa usicheke dahhh😀😀😀big up ..yani hadi raha
From Mozambique 🇲🇿. Mwijaku tayar ndo umikuja WCB
Nyie watu wawili mnaakili nyingi sana Baba Levo na Mwijaku big up sana ma broo haondoki mtu mjini hahahaaaaaa
Inapendaza sana Tanzania moja 😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Mwijaku na Babalevo munakicekesha sana muendey mashindano kweli kwenye media 🔥🔥🔥🔥🔥
Simba babalao 🔥🔥🔥🔥
Unbelievable eti kuna management hapa
upepo wa harmonize na kajala umeboma upepo Paula na mama yake umeboma upepo harmonize kujivika dress umeboma na matukio simba akinguruma porini ujue
Baba levo C.O wa machawa.
Baba levo chawa mpaka anakera
Hawa watu wanajua kutafuta hela 🤣
😂
Mambo ni mooooootooooooo
Machawa
Babalevo nomaaa
😂
wakenya tunapenda mwijaku saaana
😂
Sema ww mm nampenda baba levo
Mimi hapana....Baba Levo ndio.....
Baba levo kiboko wao banaa 😂😂
Mwijaku uso kwa uso na mwambino,😂
Diamond inabidi awe makini sanaa na watu anao waleta karibu yake, minaamini kitu kimoja kumsamehe mtu sio shida, Bali snitch ni snitch tu , awe makini sanaaa na watu wake anavyowaleta karibu yake maana sio wote baadhi yao wanampenda na kumkubali kwa moyo mmoja, kati walio mzunguka Kuna madui wengi karibu yake awe makini sanaa
That's true man
Watu wanaishi kwaakili mwijaku hana shida kabisa na diamond ni namna tu ya kutafuta hela
@@meshackmganga6948 a
Alafu Rick Media sauti yenu mbaya sana
Diamond will never go broke
😂
Mwijaku na baba levo nawakubali Sana
😂
Awa wanajua kutafuta pesa awagombani nyinyi munawatukana machawa ndio machawa lakini wanahingiza pesa nyingi Awa wana Fanya siasa eti wana gombana kumbe riski inazidi kuhingia
Kumbe uchawa ni kazi dah
Show biz 1 0 1😂😂
Babalevo yuko juu Yanga Hoyeeeee 💛💚
😂
@@yuzzohcrayze q
huyu mwijaku anafuata maslahi,ni km bendera ikifuata upepo.🤓😎🙄💀🤯🤬🙄🧐
Hao siyo chawa ni panya rodi mwa mondi
Hawa machizi 😂😂😂
Acheni upuuzi
😂
H baba aje kuiga mfano wa mana ya kua chawa
Wasenge
😂
Teena😂
Hivi vichwa hapana wanachekesha kwakweri
😂
Apo babalevo alitukosea sana kama mashabiki
Mwijaku aeleweki akirudi dar atabadilika
Ndo ilivyo subir kesho na kesho kutwa atakavyomponda domo😅😅😅
😀😄🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂
huyu anafuata upepo,km bendera yalipo maslahi yupo
Amatembeya nawehu😅😅😅😅
Kwakwel jamani
😟
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Diamondi huyu manyele mob uneacha tu hivyoo ikiendaaa?
Mwijaku na baba levo acheni matani yenu
Hii wasafi bet n odi bet ya kenya hii wasafi bet n ya mkenya diamond n kama picha tu sio yake
Kira kitu cha tz nichenu watching shobo mbuzi ww
Umaskini mbaya jamani laaaaaa 😅
Sio umaskini ni kazi Awa jama wanahingiza pesa nyingi
Ukweli nivizuri kuwana kampuni za kubeti, napo da hiyo kienyeji kwa nini hapo ndio naamini hao ni machawa. Ila ujiko kwa, daa er Salam yanga. Africa na simba. S. Club. Wasafi kwa wate hapo nimependa Big up...
But 😂😂😂🤣🤣🤣😂😂mnatuchanganya hatar levo ni yanga afu ni chawa wa mond mond mwenyew Simba afu jaku ni Simba afu ni chawa wa hamo duuhhhh😂😂😂😂😂🤣
Hahahahahahaa
Hahaha
Hahahahaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣
Yan hawa watu
Mwijaku,baba levo hizo tumbo au nini maan mm naona matumbo tu na nyuma kumejaa kama nini khaaa.
Wasafi mnajua kumvuta mtu
😂
Hawa jamaa wanajua kutafuta hela
😂
Tafadhali Diamond asimpe Mwijaku pesa yeyote......
Nenda ww.uwa mtu ashalipwa ndo ankuja kufanta vtu adharani
@@mdalamgir-gu9hu Nieleweshe tu bila matusi jameni....
@@janeshigami8769 pole bt hop cjatukana ama sure of it..
@@mdalamgir-gu9hu Sawa dada
Nami nataka nibeti nafanyaje
😂 ingia website
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣