BABA LEVO na MWIJAKU wapigana mbele ya DIAMOND/ DIAMOND awaamua WASIVUNJANE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • ...........................................................
    Contact Us : 0742447854
    -------------------------------------------------------------------------------
    Instagram www.instagram....
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Facebook / rickmediatz
    ---------------------------------------------------------------------------------
    Website www.rickmediatz.com
    -----------------------------------------------------------------------------------
    #Diamond #babalevo

КОМЕНТАРІ • 84

  • @ag-rabbitzenj1379
    @ag-rabbitzenj1379 2 роки тому +5

    yani hawa usicheke dahhh😀😀😀big up ..yani hadi raha

  • @jaymapepefatma5936
    @jaymapepefatma5936 2 роки тому +3

    From Mozambique 🇲🇿. Mwijaku tayar ndo umikuja WCB

  • @geophreymlewa3863
    @geophreymlewa3863 2 роки тому +3

    Nyie watu wawili mnaakili nyingi sana Baba Levo na Mwijaku big up sana ma broo haondoki mtu mjini hahahaaaaaa

  • @kingmichael1234
    @kingmichael1234 2 роки тому +3

    Inapendaza sana Tanzania moja 😂😂😂🇹🇿🇹🇿🇹🇿🙌🏽🙌🏽🙌🏽

  • @queeniesamantha3073
    @queeniesamantha3073 2 роки тому +4

    Mwijaku na Babalevo munakicekesha sana muendey mashindano kweli kwenye media 🔥🔥🔥🔥🔥

  • @alainmuhindo2137
    @alainmuhindo2137 2 роки тому +3

    Simba babalao 🔥🔥🔥🔥

  • @tonygee5680
    @tonygee5680 2 роки тому +3

    Unbelievable eti kuna management hapa

  • @future4574
    @future4574 2 роки тому +3

    upepo wa harmonize na kajala umeboma upepo Paula na mama yake umeboma upepo harmonize kujivika dress umeboma na matukio simba akinguruma porini ujue

  • @msafirimfilinge5774
    @msafirimfilinge5774 2 роки тому +5

    Baba levo C.O wa machawa.

  • @princessbim6096
    @princessbim6096 2 роки тому +4

    Baba levo chawa mpaka anakera

  • @mariamhassan1723
    @mariamhassan1723 2 роки тому +13

    Hawa watu wanajua kutafuta hela 🤣

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 2 роки тому +3

    Mambo ni mooooootooooooo

  • @omarihamadumetishasanalava4725
    @omarihamadumetishasanalava4725 2 роки тому +3

    Machawa

  • @kalistotv8795
    @kalistotv8795 2 роки тому +3

    Babalevo nomaaa

  • @TRAINERNGANGA
    @TRAINERNGANGA 2 роки тому +8

    wakenya tunapenda mwijaku saaana

  • @mrjohn4446
    @mrjohn4446 2 роки тому +4

    Diamond inabidi awe makini sanaa na watu anao waleta karibu yake, minaamini kitu kimoja kumsamehe mtu sio shida, Bali snitch ni snitch tu , awe makini sanaaa na watu wake anavyowaleta karibu yake maana sio wote baadhi yao wanampenda na kumkubali kwa moyo mmoja, kati walio mzunguka Kuna madui wengi karibu yake awe makini sanaa

  • @mcnyota
    @mcnyota 2 роки тому

    Alafu Rick Media sauti yenu mbaya sana

  • @pritymoraakirera5066
    @pritymoraakirera5066 2 роки тому +6

    Diamond will never go broke

  • @pacomezouzoua9175
    @pacomezouzoua9175 2 роки тому +1

    Mwijaku na baba levo nawakubali Sana

  • @ebengapierre8826
    @ebengapierre8826 8 місяців тому

    Awa wanajua kutafuta pesa awagombani nyinyi munawatukana machawa ndio machawa lakini wanahingiza pesa nyingi Awa wana Fanya siasa eti wana gombana kumbe riski inazidi kuhingia

  • @asyakareem2416
    @asyakareem2416 2 роки тому

    Kumbe uchawa ni kazi dah

  • @davidmugambi248
    @davidmugambi248 2 роки тому +3

    Show biz 1 0 1😂😂

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 2 роки тому +4

    Babalevo yuko juu Yanga Hoyeeeee 💛💚

  • @vodacomhalotel8096
    @vodacomhalotel8096 2 роки тому +2

    huyu mwijaku anafuata maslahi,ni km bendera ikifuata upepo.🤓😎🙄💀🤯🤬🙄🧐

  • @zuhuramuhanga5400
    @zuhuramuhanga5400 2 роки тому +1

    Hao siyo chawa ni panya rodi mwa mondi

  • @yuzzohcrayze
    @yuzzohcrayze 2 роки тому +3

    Hawa machizi 😂😂😂

  • @SamirBSam
    @SamirBSam 2 роки тому +2

    Acheni upuuzi

  • @axelnshimirimana5147
    @axelnshimirimana5147 2 роки тому

    H baba aje kuiga mfano wa mana ya kua chawa

  • @faridhassan8906
    @faridhassan8906 2 роки тому +1

    Wasenge

  • @janemhangomhango5841
    @janemhangomhango5841 2 роки тому +1

    Hivi vichwa hapana wanachekesha kwakweri

  • @jobodeke7462
    @jobodeke7462 Рік тому

    Apo babalevo alitukosea sana kama mashabiki

  • @abdulally3911
    @abdulally3911 2 роки тому +1

    Mwijaku aeleweki akirudi dar atabadilika

    • @jackierama1817
      @jackierama1817 2 роки тому

      Ndo ilivyo subir kesho na kesho kutwa atakavyomponda domo😅😅😅

    • @vodacomhalotel8096
      @vodacomhalotel8096 2 роки тому

      😀😄🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂

    • @vodacomhalotel8096
      @vodacomhalotel8096 2 роки тому

      huyu anafuata upepo,km bendera yalipo maslahi yupo

  • @mixstarboy992
    @mixstarboy992 2 роки тому

    Amatembeya nawehu😅😅😅😅

  • @fatemazanzibar877
    @fatemazanzibar877 2 роки тому +1

    Kwakwel jamani

  • @evelynensanga3330
    @evelynensanga3330 2 роки тому +2

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @eriqueettours6011
    @eriqueettours6011 2 роки тому

    Diamondi huyu manyele mob uneacha tu hivyoo ikiendaaa?

  • @kingsleykenya3445
    @kingsleykenya3445 2 роки тому

    Mwijaku na baba levo acheni matani yenu

  • @jamalmullerjordan
    @jamalmullerjordan 2 роки тому

    Hii wasafi bet n odi bet ya kenya hii wasafi bet n ya mkenya diamond n kama picha tu sio yake

    • @user-zk1ho5ig2c
      @user-zk1ho5ig2c Рік тому

      Kira kitu cha tz nichenu watching shobo mbuzi ww

  • @swalhashuaibu
    @swalhashuaibu Рік тому

    Umaskini mbaya jamani laaaaaa 😅

    • @ebengapierre8826
      @ebengapierre8826 8 місяців тому

      Sio umaskini ni kazi Awa jama wanahingiza pesa nyingi

  • @kassimussimachanoh6971
    @kassimussimachanoh6971 Рік тому

    Ukweli nivizuri kuwana kampuni za kubeti, napo da hiyo kienyeji kwa nini hapo ndio naamini hao ni machawa. Ila ujiko kwa, daa er Salam yanga. Africa na simba. S. Club. Wasafi kwa wate hapo nimependa Big up...

  • @stephanokimbei
    @stephanokimbei Рік тому +1

    But 😂😂😂🤣🤣🤣😂😂mnatuchanganya hatar levo ni yanga afu ni chawa wa mond mond mwenyew Simba afu jaku ni Simba afu ni chawa wa hamo duuhhhh😂😂😂😂😂🤣

  • @amzish26576
    @amzish26576 2 роки тому

    Hahahahahahaa

  • @sadamramadhan9887
    @sadamramadhan9887 2 роки тому

    Hahaha

  • @navanjkiba2439
    @navanjkiba2439 2 роки тому

    Hahahahaaaa

  • @mkariwanyota4398
    @mkariwanyota4398 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣

  • @denisimaliyaweni9183
    @denisimaliyaweni9183 2 роки тому

    Yan hawa watu

  • @lucylucy3678
    @lucylucy3678 2 роки тому

    Mwijaku,baba levo hizo tumbo au nini maan mm naona matumbo tu na nyuma kumejaa kama nini khaaa.

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 роки тому

    Wasafi mnajua kumvuta mtu

  • @najuf8021
    @najuf8021 2 роки тому

    Hawa jamaa wanajua kutafuta hela

  • @janeshigami8769
    @janeshigami8769 2 роки тому

    Tafadhali Diamond asimpe Mwijaku pesa yeyote......

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu 2 роки тому

      Nenda ww.uwa mtu ashalipwa ndo ankuja kufanta vtu adharani

    • @janeshigami8769
      @janeshigami8769 2 роки тому +1

      @@mdalamgir-gu9hu Nieleweshe tu bila matusi jameni....

    • @mdalamgir-gu9hu
      @mdalamgir-gu9hu 2 роки тому

      @@janeshigami8769 pole bt hop cjatukana ama sure of it..

    • @janeshigami8769
      @janeshigami8769 2 роки тому

      @@mdalamgir-gu9hu Sawa dada

  • @prosperitymaarifa1336
    @prosperitymaarifa1336 2 роки тому

    Nami nataka nibeti nafanyaje

  • @aliabdullah8819
    @aliabdullah8819 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣

  • @Hawa-ed2hg
    @Hawa-ed2hg 2 роки тому

    🤣🤣🤣🤣