Masha Allah! Shekh mazinge wallah sijui hata nikuombee dua gani kila dua nitayoomba nahisi haistahili kulingana na heshma yako ndani ya dini yetu lakini Allah anajua zaidi Akuhifadh tunakuhitaji zaidi ya neno sana
Mama wa mwenzio ndio mama ako na wake za Mitume ni wanaadamu wanasifa za kuzaa na kuzaliwa. Lkn Mungu hana sifa ya kuzaa wala kuzaliwa. Km unaakili timamu huezi kufananisha mfano wa wake za Mitume na Mungu. 😊
Mungu ni mmoja sasa ime kuwaje hizi dini wame tuletea binadamu wenzetu wao wame zipata wapi na sisi tumeshindwaje kuzipata bila wao… kwa wema gan walio kuwa nao paka wapewe kibali cha kutu andikia vitabu sisi
Mazinge Wacha chenga ....jibu swali vizuri.....kama mwana katoka kwa mungu kwa kauli yake, huyo mtoto atakuwa ametoka wapi kwenda wapi? Na mtoto atakuwa nani? Pili mke wa shetani nani? maana ana kizazi chake.
@@fredrickonyango94 onyango soma tena kiswahili kisha utaelewa....jibu bado hata mtoto wa chekechea anafahamu hili ndo maana mnadanganywa kufunga hadi kufa kule shakahola..watu wa yes boss
@@imageinternational.1100 hahahaaa akiwemo yesu mwenyewe tutaingia naye jehanamu kwa sababu ndo Wa kwanza alopinga na kukataa kuitwa mwana Wa mungu akasema yeye ni mtu alokuja kutwambia kweli aloisikia kutoka kwa mungu hakuwahi kusema mimi yesu ni mwana Wa mungu sasa wacha tumfate yeye
unajua kuna kitu watu hawaelewi ila cku za mwisho zitakapofika mtajibu hayo makufuru na na mabishano mbele za mungu tafuteni njia ya kweli na uzima msitafute vilivyopo kwenye giza maana mtapolea gizan enyi wa christo na waislamu acheni hayo mambo maana mungu anahasira na hayo mambo mnayoyafanya upanga upo juu yenu ote
Yaani hawa wakristo mamwehu kweli, ilo jibu lililotolewa mwisho mmelifaham kama mm lakini, maana uyo mchungaji amepigia mfano wake wa Muhammad kuwa mama zetu kiheshma tu lakini sio mama zetu kweli, pia akasema na yesu ndo hivohivo, kwa nilivyomuelewa kamaanisha Hata yesu sio mwana wa Mungu Bali wamempachika kama heshima tu sasa mnao amini yesu mwana wa mungu Shaurizenu
Huu ubishi niwa kupotosha watu wasio na upeo. Biblia imekataza mabishano. Mungu mwenyewe atalitetea neno lake kama watu awaelewi sio kutia mabishano. Maana asilimiakubwa inapotezatu watu
Hakuna dini iitwayo uislamu...dini ni Moja...na Kama ni mbili hizi Dini,mbona waislamu bado wanamsubiri Esah ambaye ni yesu..mbona siku ya kiama wasimsubiri mtume wao ambaye ni mohammad
Keep it up ndacha let God give you more for the good work you do for evangelism ministry
Ndasha mungu akihifadh na akuajaalie mwish mwema napend sana maubir yakoo
Mwisho mwema ataupata inshallah akiingia katika uislam ila kama yupo huko bas hawez pata mwisho mwemaaa asilan
Asante kaka
Pesa ndacha itakutumbukia nyongo
Ndacha wafundishe 🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸🇺🇸 proffessor wa vitabu mr Francis ndacha wafundishe
Mazinge is a comedian,....
You are correct
Ndacha Mungu akuzidishiye Mara elfu
I like the way Paulo is reading....the reader is marvelous
Majina ni Kayembe yves kutoka komgo drc niko south Africa nataka kitabo chako mimi nadambaza video zako apa nakupenda sana❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ndacha ni moto
Mungu akubariki
Ndikwendete yesu kristo yesu yesu yesu ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Ukristo ndiyo dini ya kweli na Yesu ndiye njia ya kweli ya kufika kwa Yehova
Ndacha kiboko ya Mazinge, ongera sana mwalimu Ndacha🎉🎉🎉🎉❤❤❤ unajibu bila chenga, Mazinge ni m'babaishaji tu hana lolote
Ndachaaaaaaaaaaawpige nyundo hao wasio waelewa
Yesu aliingia kwenye sinagog sinagog ni msikiti so yesu ni muislam mpende MSI pende
Mazinge doctor hatari sana
Atawanyoosha FRANCIS NDACHA, mutabatizwa leo
Kiboko yenu ndacha hata muite majini😂
Wislam mutubu Yesu chritu atawasamehe
Mwalimu Ndacha unakazi kweli wale unafunza, wana masikio na hawasikii
Masha Allah! Shekh mazinge wallah sijui hata nikuombee dua gani kila dua nitayoomba nahisi haistahili kulingana na heshma yako ndani ya dini yetu lakini Allah anajua zaidi Akuhifadh tunakuhitaji zaidi ya neno sana
Mashaallaah
Ndacha mungu akubariki sana
NDACHA KWA KUPOTOWA WATU 😅 MAZINGE PROFESSER
Mashallah Allah katupa professor
Ndacha kiboko anasoma maendeleo
Kiboko ya Ndacha ni Professor ALLAH amlinde na madui
Mazinge badala ajibu swali anapinda pinda hata haeleweki,Hakuna shekhe hapa janjajanja nyingi 😁
Mazinge hana lolote
Mama wa mwenzio ndio mama ako na wake za Mitume ni wanaadamu wanasifa za kuzaa na kuzaliwa. Lkn Mungu hana sifa ya kuzaa wala kuzaliwa. Km unaakili timamu huezi kufananisha mfano wa wake za Mitume na Mungu. 😊
Ndacha kuja timboroa please we need to get this good gospel that you have
Msomaji WA ndacha ni hatali sana mungu akubaliki
Allah akuifathi ya Rabb na akulipe siku ya haki Sheikh Mazinge❤
Ndacha Mungu akubaliki ila napenda sana mkutano wa ndacha na mazinge😅😅
Mazinge Wacha vituko yesu ndiye njia
I love adventist my church
MNGU NI MWEMA tunawafatiria sana burundi
Subhanalha ❤
Mungu ni mmoja sasa ime kuwaje hizi dini wame tuletea binadamu wenzetu wao wame zipata wapi na sisi tumeshindwaje kuzipata bila wao… kwa wema gan walio kuwa nao paka wapewe kibali cha kutu andikia vitabu sisi
Nashukuru Mungu nimezaliwa mkristo,Ningekua muislamu maskini Pepo ningeisikia tu 🙌
Pole sana
Allah akuoneshe haki
Kwani utaingia peponi?
Pole sana ndugu yangu
Na huo ukristo wako pepo pia utaiskia tu
Haha mazinge ni professor..Allah amuhifadhi
Amin
Ma prof wakiislam ndo haw kina mazinge
Kwa kweli Allah ako na watu wake na Mungu ako na watu wake na sio siri
Profesa wa mapepo, hata haeleweki
Ndacha jibu maswali kwaza elimu hauna kwakweli
Hakunakitu kwamazinge
Namshukuru mungu kwakunibadili na kuwa mkristo japo wakristo wengi hawajui ukwel
Sasa nijukumu lako kuwalisha uongo uujuao n ukweli
Mazinge Wacha chenga ....jibu swali vizuri.....kama mwana katoka kwa mungu kwa kauli yake, huyo mtoto atakuwa ametoka wapi kwenda wapi? Na mtoto atakuwa nani? Pili mke wa shetani nani? maana ana kizazi chake.
Swali la Ustadh Mazinge halijajibiwa hata 😂😂...
Hukua makini andiko limetolewa yesu na baba ni umoja tatizo lako unapenda majibu za propaganda kushinda andiko.
@@fredrickonyango94 onyango soma tena kiswahili kisha utaelewa....jibu bado hata mtoto wa chekechea anafahamu hili ndo maana mnadanganywa kufunga hadi kufa kule shakahola..watu wa yes boss
@@barakawabuge5285 kweli uislamu bila uongo haupo, mimi vitabu vya majini siwezi amini ni mungu wetu wanamzungumzia bali ni shetani ndie kiongozi wao
Dini ya kweli ni islam
Dini ya kweli ni kuwasaidia yatima na wajane
Professor Mazinge utawauwa hao wakristo kwa hoja
Mazinge hawezi vunja hoja moja ya ndacha kwabb Ni mindaalo mengi tulisha shuudia.
Hakuna hoja yoyote hapo bali ni sarakasi tu
Mazinge ni 0 hamna kitu
Allahuakibaru jazakumllah kheir ust mazinge
Ndacha kama hukuacha kupoteza watu moto wa jahannamu unakusubiri
Moto wa jehanamu ni kwa wale wanaopinga kua Yesu Kristo ni mwana wa Mungu
@@imageinternational.1100 hahahaaa akiwemo yesu mwenyewe tutaingia naye jehanamu kwa sababu ndo Wa kwanza alopinga na kukataa kuitwa mwana Wa mungu akasema yeye ni mtu alokuja kutwambia kweli aloisikia kutoka kwa mungu hakuwahi kusema mimi yesu ni mwana Wa mungu sasa wacha tumfate yeye
Kinacho nifrahisha mungu nimwanamke au mwanaume nakama mwanaume hivi kwri mwanaume anaza Keri acheni ujinga wakana mazinge
Huyu ndacha hujifikicha na kiswahili kicha panzi
Ust mazinge nakupenda kwa ajili ya Allah mola akuongonze ktk hili inshaallaah
Mazinge mapepo yamekuchanganya,hata unachojibu ni utumbo,nashangaa pumba zinazokusupport
Bro unapotea mpokee yesu wacha mawenge
Shekhe mazinge Allah akihifadhi vyema uzidi kutuelekeza ishaallah
Uislamu ni sanaa
Kabisa
Mungu akupe maisha malefu ndacha unasoma kweli lakini mazingecanasomo kipisi Cha neno hasomi neno lote
Mwalm ndacha Mungu awe nawe
Mazinge mambo mbaya sana Ndacha ww nlikwambia usipoteze watu bure kila siku kwenye mjadala unashindwa nahuachi😂
Takbiriiii
Ww brach hakufahamu maandiko acha kuficha ukweli
Big up ustadh
Nyie mnadhani mnahua lugha sana ..ila uelewa wenu mdogooo
Allah endelea kumuhifadhi Sh Mazinge na umpe umriii mrefuu yaan Allah bado tunamuhitaji Sanaaa mafunzo yake n Nuru kwetu
Amiiiin 🙏🙏🙏
Nimekuba mazinge sana kwasababu nikiboko chawakirito wafudishe wajiga hanaakili
Alihadulihi mungu ni kubwa usiwaje Au macafiri hostas mamzigue
Hahahahaha.ndio nini sasa
Video quality ikiwa nzuri sauti inaenda kuwa mbaya
Ndacha analipwa bana
Ndacha 🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤ Allah akulipe
Mwaljmu Ndacha Mungu akupe neema zaidi na hekima zaidi ubarikiwe sana ndugu
Wakristo Mnapote sana
Wewe ndio ulipotea tangu kuzaliwa
Soma vema Quran Yako ili ujue kuwa bible ilkuwapo kabla ya dini hiyo ya mapepo
Wap vip vya kiroh waelew hao
Hii mishenzi kumbe wanaijua qur an lkn haitak kusilimu
Mshenzi ww tusilimu tukajitoe muhanga au tukaue watu au tuwe waganga au tutengeneze majini au tukaswali na majin?
AchA kupotosha watu mazinge soma matayo 16:13hadi 20 unasoma matatu mmoja unatafsiri
Hivi waislam mbona wamekubali kuwa kwenye giza 😢
Mazinge MBNA nalia😂😂😂
Ajaabu watu huwa wanajitahidi kutafuta ilm kuongoza watu kina Ndacha nawenziye ujitahidi kutafuta ilm yakupotosha
Namkubali ndacha Ni genius Ni hatari sana
Nyie wakristo ni waongo tu subiri mazing awape vitu vya kiroh
Waislam tanunikeni
Hawa waislam hawana jibu rorote kumujibu ndacha
Ati yesu alizaliwa kwa neno wala si mke,maryam mamake yesu alikuwa MKE au NENO?????
unajua kuna kitu watu hawaelewi ila cku za mwisho zitakapofika mtajibu hayo makufuru na na mabishano mbele za mungu tafuteni njia ya kweli na uzima msitafute vilivyopo kwenye giza maana mtapolea gizan enyi wa christo na waislamu acheni hayo mambo maana mungu anahasira na hayo mambo mnayoyafanya upanga upo juu yenu ote
Dini ya haki mbele ya Allah ni islam
Adam alikua anaenda msikit gan yeye Muslim and Christin conman
Haki kwenu
Dini ya haki mbele ya Mungu ni kuwasaidia mayatima na wajane.
Waislam ni makatili saana halafu yanafuga majini mbwa hao waislam 😂😂
Na huyo allah ni mtu yuko mahali na si Mungu kama huyo allah pia anamuomba Mungu pia
Ndacha jibu swali umeshindwa kujibu swali
Ndacha dawa yao
wwe mazinge hauna mandiko kabisa
Yaani hawa wakristo mamwehu kweli, ilo jibu lililotolewa mwisho mmelifaham kama mm lakini, maana uyo mchungaji amepigia mfano wake wa Muhammad kuwa mama zetu kiheshma tu lakini sio mama zetu kweli, pia akasema na yesu ndo hivohivo, kwa nilivyomuelewa kamaanisha Hata yesu sio mwana wa Mungu Bali wamempachika kama heshima tu sasa mnao amini yesu mwana wa mungu Shaurizenu
Mazinge ananguvu zagiza za ubishi na upotoshaji anapuyanga puyanga tu hajui kitu naamini tukiweka mikono Pepo chafu zitalipuka.
Huu ubishi niwa kupotosha watu wasio na upeo. Biblia imekataza mabishano. Mungu mwenyewe atalitetea neno lake kama watu awaelewi sio kutia mabishano. Maana asilimiakubwa inapotezatu watu
Ni tamko la mwenyezimungu,wanakuceka juu unase ukweli,ila unaupinga
Nyi nyi mushaka wayi ona wapi nuru ina changanya na giza nyi nyi wote muko n'a kufuru mungu mwenye Ali ziumba mbingu n'a njii
Naupenda uislam
Allah awagifadhi Masheikh wetu. Amin
Usilinge mwambie mguu akupe hekima
Jamal Agostinho Auasse
Mwana wa adamu sababu alizaliwa na mwanadamu ,mazinge ni kujishasha tu na takbir za bure tu.
sasa kama Africa aipo kwenye vitabu ambavyo wote mna sema ndo vya mungu…sasa tupo kwenye vitabu gani ???
Najivunia kuwa Muslim
Ndacha wewe nojembee utoe jasho uyo aokoke sante sana mungu maana amekutumia vizuri wakasome upya ndio waje kwako komaa baba hawana wajualo bwebwetu
Hakuna dini iitwayo uislamu...dini ni Moja...na Kama ni mbili hizi Dini,mbona waislamu bado wanamsubiri Esah ambaye ni yesu..mbona siku ya kiama wasimsubiri mtume wao ambaye ni mohammad
Walakini maswali ya upumbavu ya katae hayo mwisho huzaa magomvi
Kwanza yohana omari uliposema hiyo aya kwa kiarabu ulikosea matamshi yake
Wesllam wanatumiaka ujaja tuh ila hawajuwi maandiko
Wafundishe Qur'an yao Ndacha
Tamko si ndio neno uyu wawapi mazinge
Ndacha mjanja sana kama chizi
Usimuite yesu uite nabiii