Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢
Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂
Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa
Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢
Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema
Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life
Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂
Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment
DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA
Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa
Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣
Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie
Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani
Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana
UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?
Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???
Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you
MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.
Huna wakishuwa chochote acha majivuno diva ungekuwa mzuri wallah cjui ingekuwaje .mungu amekupa machoo TU lakini .alikuwa angekupa sura shepu ingekuwa shidah lakini mungu 🙏 amejuwa maskini..Sasa hiyo miwani haivuliwi hiyo sura inashida ganiii?
@@fatmafatu1128 kwani mtu aambiwi ukweli sofa za milioni20 Sasa siuongo hayo maneno aseme bosi wake sio yeye kapuku km wewe na mimi.km ukweli mtu anaambiwa km unaona uchungu kajinyonge .huyo mtu wa misifa wewe humjui ndio mana umesema ivyo
Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako
Diva kwenye interview unajifanyaga kiswahil kinakupa tabu... Ila ukiwa unamuanika mumeo unaongea kiswahil imenyooka hatari huongez hata neno moja là kimombo😂😂
Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh
Sio swala la ukishua ndio uwe unapenda kusoma vitabu mimi pia napenda sana kusoma vitabu sana ila sio mtoto wa kishua ni hobbi ya mtu jamani diva
Tuliokuja moja kwa moja kutokea kwenye app ya mange tujuane
Inaitwaje hio app napitwa
She is hard working she deserves a serious man for love
If that’s the only thing you think men wants, u should do more research
Huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia ana tatizo kichwani
Haswa
Yeah anastahiri
Yani kiukweli ayuko sawa
Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢
Naomba nitumie namimi iyo voice
utakuta hujawahi kuolewa, kuogea utumbo kama huu sio ajabu
😅😅😅😅nimecheka hapo akili imetingisika😂😂😂. Huyu dada ana tatizo very serious, she needs help
Aan vituko ipo hiv 80% waafrika hatujajielewa akili zetu zimeishia hapo kuonyesha saman za ndan tunachekesha kwakwel 😅😅😂😂😂
😂😂😂
Huyu analazimisha kuonewa wivu wakati ni wa kuonea huruma.😅
😂😂😂😂 me naona aibu
diva ana shida ya afya ya akili
Sana sana
Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂
Miwan nyumban😢mshamba haswaaa😅
I know right??! Miwani ni za nini kwa nyumba??
Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa
Kabisa aise halafu ukimwambia ukweli anakublock🤣🤣🤣
Huyu Diva sijui sura yake vizuri anabadilika Kila siku jamani
Ana sura 99 bado moja zifike 100
Kabisa ata Mimi simjui diva hahaha
@@kubrymtutala9574 😂😂😂😂
Demu anajiaibisha, coz ayo sio maisha yake watu tunamjua fika.
But anahitaji msaada wa kisaikolojia
Acha wivu utakuuua 😢
We acha tu pengine yuko kwenye tangazo na utoto mwingi sana
Hilosofa lamilioni 20 naona silioni hapo niyakawaidatuu
Kuna muda nawaza hata ndoa na Abdul ilikuwa kiki tuu hamnaga... Yani she is soooo fake
Hata yangekuwa yake unayaona yanachochote cha maana kweli
Hivi hizi hela si angejenga nyumba yake jamaniii 😔😔😭.. Kwelii tunatofautiana vision
Kwani umesauh umsemo wa wenye akili hawana mali na wenye mali hawana......😅😂
Mmenichekesha mno Hadi raha
Kweli Kwa kabisa angejenga tu
Umeonaeee
yaani anaona amemal8zaaa
Zari ana pesa lakn sija wai kumuona ana ushamba kma huu jamen 😂😂😂😂😂
Kweli maneno yako! Ila kila mtu na Tabia yake😅
Mashamba sana katika kwenye maisha ya Chini sasa kama kipofu aliyeona jogoo kila kitu yeye anasema kikubwa kama jogoo
Aki am kenyan and I love diva am coming so that she can adopt 💞💞me
Alhamdulillah kwa afya mungu alionijalia mengine ni mapambo tuy ya dunia
ilove diva ana slaying nzuri big up diva
Ila hili life la kiwaki sana, tunavyooneshwa hiyo nyumba as if she owns it, yet akiumwa wanaanza kuomba michango kubabeeki
Kabisaa yaani 😢😢
Bwana we mara hizo furniture unazikuta unaingia wewe na begi lako la nguo tu
@@jacquelineshija2984 tunapigwa na vitu heavy 🤣🤣🤣
Kodi yenyewe alichangiwa hapo akwende
Matajir hawajionyesh nyumba ake ipo simple sana
Mashaallah M/Mungu awajaalie kwenye maisha yenu Inshaallah
Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢
Jama yani mimi nilitaka kusema ivyo ivyo izo nywele zake zenyewe ni feki yani feki sana sana 🤣🤣🤣
Sio box la viatu mbona ni box lake kabsa
Iyo nikweri👍🏽👍🏽👍🏽
@@claudiokelly8944kwahio ata wewe ujui box la viatu lilivyo,? Pole sana
Diva anamatatizo ya akili. Kuhusu Abdul hana love kabisa na diva. Wanaume tafuteni pesa please, ukiwa mwanaume hunapesa unakuwa lofa tu.
Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema
Dada pole uko mjinga ,unamajigambo
Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life
Sio zote zingine zinakuwa wazi, au saa ingine wewe mhitaji unaweza waambia huhitaji furniture
Apartments zipo ambazo ziko wazi pia my darling. Sio zote ni fully furnished
@@samwa9496hizo Appartement nazijua zina kila kitu ndani humo kaongeza tu vitabu tu hvy 😂😂
@@aishamridy4774 😂😂😂
Ni kweli kila kitu unakikuta umo zaid ya nguo zako tu ndio unaongia nazo 😅
Aki uyu dem limbukeni acha tu
Diva uwa mshamba yan anatumia nguvu nyingi kutuaminisha vitu sijui yupoje asee
Hyo hela ya kubadilisha furniture mara hii kannue good quality wigs😢
For real
😂😂😂😂😂😂
😂 😂 😂 😂
Uyu ameshaga changanikiwa anaongea sana tena hajaulizwa yani ana ka mchangnyiko furani waliyo kua karibu nae wamupeleke kuona mganga wa hakili😅😅😅😅
Diva anapenda sifa mbele zawatu ssa kujifanya ww upojuu zaid yamumeo ndo nn?afu ikitokea kitu namumeo jaribu kuwanaka mfyuuu
Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂
Mimi ktk mastaa nampenda sana shilole. Yule ndio staa wa kuigwa jamn yupo kwakeeee. Hata ukiingia kwake kila kitu ni chake.
Mwongo, furniture za appartement za hapo amezikuta 😅
Diva upo kwenye denial mbaya mno. Huyo atakuja kukupiga tukio baya hutaamini maana hakupendi
Inakuhusu nini! Si uache apige tuu
Kabisa
Wivu acha wivu
Ampige matukio mara ngapi 😂😂😂
Hata mimi nimehisi hasa haya maisha yake hayapendi ila anapata pakutelezea tu! Mungu awasaidie
Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment
DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA
Acha unafki😂😂
Nakupenda we mdada mpaka naumwa ❤❤❤❤❤ DIVA THE BAWSE ❤❤❤
Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa
Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣
Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie
@@zamdamasondole8272why zombi jamani
😅😅😅😅
Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani
Siyo kwa kujisfia huko duh😊😊😊
Mungu niweke mie ,unapesa arafu umepanga mtiani jamani master wa bongo pasua kichwa
Diva dada aaangu usitumie nguvu nyingi kuaminisha watu....kuwa huyo kaka unampeleka.....ndomaana watu wanafanya makusudi kukumiza coz ndounaonyesha uzaifu wa ww kupend sanas
Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana
Mungu akusaidie jamani Mumeo awe mkweli abadirike na husiache kumuombea
Huyu dada nyie ni mgonjwa wallah😂😂 Diva sio mzima kabisa na wambieni 😢
💯 true
😃😃
Mgonjwa kivipi fafanua daktari wake
Mashaallah
UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?
Divaa wacha pombe ur cute hardworking lady 🎉
Diva ukimaliza nyumba yako nitafute mm nitakufanyia design na kukuwekea vitu vya kisasa mpaka utashangaa..😊
Kwa kweli mana apo mh! Cjaona cha ajabu sana 😢
Palm village na Dar villas apartments gharama zake kwa mwaka unaweza jenga nyumba yako kubwa nzuri tu,,sasa sijui wanafeligi wapi hawa watu,,,
Wigi limekauka kama limedumbukia kwenye uji
Diva the bawser unyama ni mwingi sanaaa😅😅😅😅
Mashaallah pazur
Ingekuwaa nyumba anamiliki yy hajapanga ningesena pazuri
Ferniture 20mil then baada ya miezi 3 anagawa loh!
Uongo wa kiwango cha rami
Diva adi namuonea huruma Aseee jinsi Anavyompenda uyu kaka afu uyu kaka Amekaa kihuni sana wala hana mpango na mkewe
Kwahiyo na miwani ya fashion ukiwa umekaa ndani kwako?😅
😂😂😂😂😂
Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???
Mtangazaji kashajua diva hayuko sawa na anaenda nae Ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂😂🙌
😂😂😂😂😂😂😂
Diva usisahau kujenga my det
Hizi ndio hela zetu tulizokuchangia nini😂
😂😂😂😂😂
Mlimchangia za nini?
😂😂😂😂😂
Jaman diva ukibadilisha izo sofa na iyo tv naomba unipe nakuomba sana shabiki wako sana kwenye lavi davi
Wow 👌 nikuzuri sana jamani nakumekaa expensive
Nimependa sn maisha yuko acheni kumuonea wifu
Unapenda sifa mpk una boa
Jamani pazuri mimi binafsi nimependa jinsi ilivyo hasa milango kuelejea balcon
Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you
Mkimaliza kwa Diva mje. Kwangu mlekodi jamani😁😁 Hizo fenicha unazobadili kila miezi mitatu naziomba
Yaan unaita media kutuonyesha vitu vya ndan 😂😂😂
Roja fala sana eti huea unalewa kabsa 😂😂😂😂😂😂😂 kwahy mtu anakunywa wine anashindwaje kulewa
Yani mtu anaejopanga kudanganya lazima avae miwanii😂😂 dada hajiamini huyu..
😂😂😂😂
Aaah kumbe ni apartment mm nkajua kajenga, nimeacha ata kuangalia
Mmh mkiumwa mnaomba kuchangiwa jaman😢
Mshamba huyo ndo uamini kwamba kwa mwanamke ndoa inathamani kubwa sana inampa ukamilifu duniani na hata mbele za mungu
Ila diva jaman kwahio huyu mwandish kamwita kwaajili ya kuonesha maisha anayoishi😂😂😂😂
Sawa dada turingishie tuu pesa zetu hizo
Sasa hapo Mange aliongea nini? Voicenotes zote uliongea wewe Diva, Mange alipost tu
Ndo ushangae
Sasa hlo wigi ndo nn mwandishi humwambii mwenzako
MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.
Ila kwenye kuomba michango unatuonyesha maisha ya sanaa tu
Aaaaah sure sure nimeona 😅😅😅
kila kitu very expensive
Uyu anajishaua jaman khaaaa mpk anakela
Muhaya huyo😂
@@happynathan8226kumbe
Wine na msala wapi na wapi duh
Huna wakishuwa chochote acha majivuno diva ungekuwa mzuri wallah cjui ingekuwaje .mungu amekupa machoo TU lakini .alikuwa angekupa sura shepu ingekuwa shidah lakini mungu 🙏 amejuwa maskini..Sasa hiyo miwani haivuliwi hiyo sura inashida ganiii?
Wanawake mna wivu siku zote tuoneshe kwako 😂😂😂
@@fatmafatu1128 kwani mtu aambiwi ukweli sofa za milioni20 Sasa siuongo hayo maneno aseme bosi wake sio yeye kapuku km wewe na mimi.km ukweli mtu anaambiwa km unaona uchungu kajinyonge .huyo mtu wa misifa wewe humjui ndio mana umesema ivyo
@@fatmafatu1128hahahaha mwambie atuoneshe kwake na sura yake
Diva madawa yamemkolea maskini kama ana ndugu wampeleke kwa mtaalam anatia hutuma sana hayupo Sawa 😢😢😢
Una uhakika unachokiongea? Halafu wewe kumbuka ni mwanamke kumsemea mwanamke mwenzio ni dhambi kubwa
Kila mtu na plan zake acheni kuwaambia nini wafanye ww kajenge ila yeye anataka appartment. Punguzeni ujuaji jamani kila mtu na maisha yake
Ko diva miwani anapikia anaogea ana lalia ana ...in short ,
question
ko miwani Kwa diva ndio Kila kitu
Alisema huwa anaona aibu
Kabati la mawigi hatujaonyeshwa , interview irudiwe. Diva alituambia ana mawigi zaidi ya mia moja, ni muhimu tukaonyeshwa😆😆😆
😂😂😂😂😂😂😂
Viko masaki na wewe😂😂😂
Alooooo kwakweli 🤣
Miwan hiyo ya macho au
Kuna watu wanaumia😂😂pambana naww sio kutokwa namapovu😂😂piga kazi dida mungu azidi kukufungulia
Jengeni Basi
😂😂😂 voice si uliongea mwenyewe. Sasa dada etu wa taifa ana husika wapi .
❤❤❤🎉 i love you 😘
😂😂😂😂 naamuwa kufurahia Tu maisha ya diva
Nikkah🎉
Duh!diva hizo sofa ukitaka kubadilisha nipe Mimi dear
Wewe umeamua asipate kazi za kuhangaika nazo bora akupe tu si kwa majisifu hayo
Mmmh
Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako
Muongo diva apartment nyingi hukuta kilakitu..nihiyo ck ya kudaiwa Kodi ndo itajua hujui cjui usowako utauweka wp?
Diva kwenye interview unajifanyaga kiswahil kinakupa tabu... Ila ukiwa unamuanika mumeo unaongea kiswahil imenyooka hatari huongez hata neno moja là kimombo😂😂
😅😅😂
Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh
Wee mtangazaji punguza kutumia pombe zinakufany uso wako waonekana mlevi kbs. Tazama kakitambi
Ila jmn comment yko imenichekesha waja mna maneno😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
😂
❤
Dizaini hizi uzee wao huwa wanasumbua sana wajukuu