DIVA THE BAWSE AONYESHA MAISHA YA KIFAHARI/ SOFA YA MILLION 20/AFUNGUKA SAUTI ZA KWA MANGE KIMAMBI

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 570

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 8 місяців тому +21

    Sio swala la ukishua ndio uwe unapenda kusoma vitabu mimi pia napenda sana kusoma vitabu sana ila sio mtoto wa kishua ni hobbi ya mtu jamani diva

  • @dianerditto
    @dianerditto 8 місяців тому +27

    Tuliokuja moja kwa moja kutokea kwenye app ya mange tujuane

  • @starzone0458
    @starzone0458 8 місяців тому +28

    She is hard working she deserves a serious man for love

    • @novasmgode2943
      @novasmgode2943 8 місяців тому +2

      If that’s the only thing you think men wants, u should do more research

  • @user-jf6vk1qm2b
    @user-jf6vk1qm2b 8 місяців тому +19

    Huyu dada anahitaji msaada wa kisaikolojia ana tatizo kichwani

  • @esthermatisho2604
    @esthermatisho2604 8 місяців тому +29

    Diva ananipa huzuni kila ninapo msikiliza 😢 she needs help kichwa au akili yake imetigisika kwakweli,especially baada ya kusikiliza voice notes kwa Mange App as woman utalia guys 😢😢

    • @moffimms8211
      @moffimms8211 8 місяців тому

      Naomba nitumie namimi iyo voice

    • @kandydgitaltz
      @kandydgitaltz 8 місяців тому +1

      utakuta hujawahi kuolewa, kuogea utumbo kama huu sio ajabu

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 8 місяців тому

      😅😅😅😅nimecheka hapo akili imetingisika😂😂😂. Huyu dada ana tatizo very serious, she needs help

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 8 місяців тому +2

      Aan vituko ipo hiv 80% waafrika hatujajielewa akili zetu zimeishia hapo kuonyesha saman za ndan tunachekesha kwakwel 😅😅😂😂😂

    • @Anzalmidel
      @Anzalmidel 7 місяців тому

      😂😂😂

  • @elviuskanena6799
    @elviuskanena6799 8 місяців тому +15

    Huyu analazimisha kuonewa wivu wakati ni wa kuonea huruma.😅

    • @tunajaribu
      @tunajaribu 8 місяців тому

      😂😂😂😂 me naona aibu

  • @marthagodson4447
    @marthagodson4447 8 місяців тому +37

    diva ana shida ya afya ya akili

  • @godsdaughter2820
    @godsdaughter2820 8 місяців тому +51

    Body language,face expression,can tell everything 😂😂😂the woman is forcing everything 😢alafu Diva una ushamba mwingii,matajiri hawajitangazi,miwani kwa nyumba ndo imenimaliza😂😂😂😂😂

    • @ReshimaaChitende
      @ReshimaaChitende 8 місяців тому +3

      Miwan nyumban😢mshamba haswaaa😅

    • @vickyitenyo.
      @vickyitenyo. 8 місяців тому +1

      I know right??! Miwani ni za nini kwa nyumba??

    • @user-vv1te9fu8q
      @user-vv1te9fu8q 8 місяців тому

      Miwigi na miwani mpk nyumbani tena ndani hujiamini mshamba mkubwa nyumba unazopanga kila kitu unakikuta humohumo ukishindwa kodi unasepa na begi lako hizo nyumba nyumba ni parm village mtu yoyote anakaa

    • @aminamgaya7511
      @aminamgaya7511 7 місяців тому

      Kabisa aise halafu ukimwambia ukweli anakublock🤣🤣🤣

  • @PriskilaMajengo
    @PriskilaMajengo 8 місяців тому +21

    Huyu Diva sijui sura yake vizuri anabadilika Kila siku jamani

  • @marianabenangodi5522
    @marianabenangodi5522 8 місяців тому +36

    Demu anajiaibisha, coz ayo sio maisha yake watu tunamjua fika.
    But anahitaji msaada wa kisaikolojia

    • @faidhacute
      @faidhacute 8 місяців тому +1

      Acha wivu utakuuua 😢

    • @jacquelineshija2984
      @jacquelineshija2984 8 місяців тому

      We acha tu pengine yuko kwenye tangazo na utoto mwingi sana

    • @NasraSaid-qc5hf
      @NasraSaid-qc5hf 8 місяців тому +1

      Hilosofa lamilioni 20 naona silioni hapo niyakawaidatuu

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 8 місяців тому +1

      Kuna muda nawaza hata ndoa na Abdul ilikuwa kiki tuu hamnaga... Yani she is soooo fake

    • @tunajaribu
      @tunajaribu 8 місяців тому

      Hata yangekuwa yake unayaona yanachochote cha maana kweli

  • @neemajeremiahs8430
    @neemajeremiahs8430 8 місяців тому +40

    Hivi hizi hela si angejenga nyumba yake jamaniii 😔😔😭.. Kwelii tunatofautiana vision

    • @awadhisarai4331
      @awadhisarai4331 8 місяців тому +6

      Kwani umesauh umsemo wa wenye akili hawana mali na wenye mali hawana......😅😂

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 8 місяців тому +1

      Mmenichekesha mno Hadi raha

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 8 місяців тому +1

      Kweli Kwa kabisa angejenga tu

    • @monadinadi5295
      @monadinadi5295 8 місяців тому +1

      Umeonaeee

    • @masalakulwa7601
      @masalakulwa7601 8 місяців тому

      yaani anaona amemal8zaaa

  • @gres1182
    @gres1182 8 місяців тому +15

    Zari ana pesa lakn sija wai kumuona ana ushamba kma huu jamen 😂😂😂😂😂

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 8 місяців тому +2

      Kweli maneno yako! Ila kila mtu na Tabia yake😅

    • @MwanaishaShattry
      @MwanaishaShattry 8 місяців тому

      Mashamba sana katika kwenye maisha ya Chini sasa kama kipofu aliyeona jogoo kila kitu yeye anasema kikubwa kama jogoo

  • @tirzahtess3799
    @tirzahtess3799 8 місяців тому +2

    Aki am kenyan and I love diva am coming so that she can adopt 💞💞me

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 8 місяців тому +19

    Alhamdulillah kwa afya mungu alionijalia mengine ni mapambo tuy ya dunia

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 8 місяців тому +4

    ilove diva ana slaying nzuri big up diva

  • @tidyclevertz
    @tidyclevertz 8 місяців тому +61

    Ila hili life la kiwaki sana, tunavyooneshwa hiyo nyumba as if she owns it, yet akiumwa wanaanza kuomba michango kubabeeki

    • @wardawarda-fp3qe
      @wardawarda-fp3qe 8 місяців тому +2

      Kabisaa yaani 😢😢

    • @jacquelineshija2984
      @jacquelineshija2984 8 місяців тому +5

      Bwana we mara hizo furniture unazikuta unaingia wewe na begi lako la nguo tu

    • @tidyclevertz
      @tidyclevertz 8 місяців тому +2

      @@jacquelineshija2984 tunapigwa na vitu heavy 🤣🤣🤣

    • @TausiOmary-od3my
      @TausiOmary-od3my 8 місяців тому +1

      Kodi yenyewe alichangiwa hapo akwende

    • @user-mr7gl5ox6u
      @user-mr7gl5ox6u 8 місяців тому +2

      Matajir hawajionyesh nyumba ake ipo simple sana

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 8 місяців тому +2

    Mashaallah M/Mungu awajaalie kwenye maisha yenu Inshaallah

  • @Boaz22
    @Boaz22 8 місяців тому +22

    Laptop inawekwa kwenye box la viatu halafu na nyie mnamwamini??😂😂 matajiri hua hawaongei, huyu hana kitu, hivyo vitu vyote unakuta kwa apartments, muongo mkubwa Diva. Hana lolote dada kunuka😢

    • @queenlinda255
      @queenlinda255 8 місяців тому +5

      Jama yani mimi nilitaka kusema ivyo ivyo izo nywele zake zenyewe ni feki yani feki sana sana 🤣🤣🤣

    • @claudiokelly8944
      @claudiokelly8944 8 місяців тому +1

      Sio box la viatu mbona ni box lake kabsa

    • @chany9950
      @chany9950 8 місяців тому

      Iyo nikweri👍🏽👍🏽👍🏽

    • @Boaz22
      @Boaz22 8 місяців тому

      ​@@claudiokelly8944kwahio ata wewe ujui box la viatu lilivyo,? Pole sana

  • @btylove1870
    @btylove1870 8 місяців тому +18

    Diva anamatatizo ya akili. Kuhusu Abdul hana love kabisa na diva. Wanaume tafuteni pesa please, ukiwa mwanaume hunapesa unakuwa lofa tu.

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 8 місяців тому +5

    Huyu atatokaga hapa maiti sababu analazimisha saaana mpaka huruma ulivokua unajigamba eti mwanamke unapaswa kua hivi vile kumbe ilikua utopolo tu pole amka bado mapema

  • @sisifaty9183
    @sisifaty9183 8 місяців тому +5

    Dada pole uko mjinga ,unamajigambo

  • @user-tx6nz4up5h
    @user-tx6nz4up5h 8 місяців тому +24

    Nilichojifunza hapo ni kujitahidi kuonyesha maisha ya kitajiri lakini kiuhalisia huyu dada ni mwongo, kwenye appartment huwa mara nyingi zinakuwa na vitu ndani, ila huyu dada anajitutumua kumweka mume kwenye maisha flan ili atulie naye, lakini ana fake life

    • @samwa9496
      @samwa9496 8 місяців тому +2

      Sio zote zingine zinakuwa wazi, au saa ingine wewe mhitaji unaweza waambia huhitaji furniture

    • @preciouspeter6126
      @preciouspeter6126 8 місяців тому +3

      Apartments zipo ambazo ziko wazi pia my darling. Sio zote ni fully furnished

    • @aishamridy4774
      @aishamridy4774 8 місяців тому +2

      @@samwa9496hizo Appartement nazijua zina kila kitu ndani humo kaongeza tu vitabu tu hvy 😂😂

    • @samwa9496
      @samwa9496 8 місяців тому

      @@aishamridy4774 😂😂😂

    • @ElizabethWamcha
      @ElizabethWamcha 8 місяців тому

      Ni kweli kila kitu unakikuta umo zaid ya nguo zako tu ndio unaongia nazo 😅

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp 8 місяців тому +7

    Aki uyu dem limbukeni acha tu

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 8 місяців тому +3

    Diva uwa mshamba yan anatumia nguvu nyingi kutuaminisha vitu sijui yupoje asee

  • @fatmaabasi6867
    @fatmaabasi6867 8 місяців тому +9

    Hyo hela ya kubadilisha furniture mara hii kannue good quality wigs😢

  • @glorianikiza3940
    @glorianikiza3940 8 місяців тому +6

    Uyu ameshaga changanikiwa anaongea sana tena hajaulizwa yani ana ka mchangnyiko furani waliyo kua karibu nae wamupeleke kuona mganga wa hakili😅😅😅😅

  • @chimamilion
    @chimamilion 8 місяців тому +6

    Diva anapenda sifa mbele zawatu ssa kujifanya ww upojuu zaid yamumeo ndo nn?afu ikitokea kitu namumeo jaribu kuwanaka mfyuuu

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 8 місяців тому +4

    Naona yupo nyuma sana kimaendeleo😂 watu siku hizi hawaeki perfumes na cream kwenye dressing table kuna kabati maalum za perfume..ww mtangazaji njoo ufanye interview kwangu halafu uone the different kwangu na kwake😂😂

  • @elizabethbwakila3982
    @elizabethbwakila3982 8 місяців тому +1

    Mimi ktk mastaa nampenda sana shilole. Yule ndio staa wa kuigwa jamn yupo kwakeeee. Hata ukiingia kwake kila kitu ni chake.

  • @yustamshana-sx8dy
    @yustamshana-sx8dy 8 місяців тому +5

    Mwongo, furniture za appartement za hapo amezikuta 😅

  • @cdeleo9336
    @cdeleo9336 8 місяців тому +13

    Diva upo kwenye denial mbaya mno. Huyo atakuja kukupiga tukio baya hutaamini maana hakupendi

    • @BarbaraPatience-qt9cc
      @BarbaraPatience-qt9cc 8 місяців тому

      Inakuhusu nini! Si uache apige tuu

    • @teedullah5708
      @teedullah5708 8 місяців тому

      Kabisa

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 8 місяців тому

      Wivu acha wivu

    • @barikiwa22
      @barikiwa22 8 місяців тому

      Ampige matukio mara ngapi 😂😂😂

    • @ummySheikh72
      @ummySheikh72 8 місяців тому

      Hata mimi nimehisi hasa haya maisha yake hayapendi ila anapata pakutelezea tu! Mungu awasaidie

  • @chibandamwende3676
    @chibandamwende3676 8 місяців тому +4

    Ila Diva unafosi jamani hivi huyu mhuni bado unamuweka???yani the body language is off !!!alafu dont bother about price alot just give us a tour we will know how much 😅😅😅,good apartment

  • @user-tt6jt8pz5m
    @user-tt6jt8pz5m 8 місяців тому +4

    DIVA MIE HATA UWEJE NAKUPENDA. UKICHEKA LAZMA MIE NICHEKE😂❤❤U MADE MY DAY TODAY WALAH. ILA KWA UTANGAZAJI NI FIRE❤❤my BEST COUPLE IS ABDUL AND DIVA😂😂NAWAPENDAAAA 😂😂😂MNAWACHOMA ROHO WASOWAPENDA

  • @faidhacute
    @faidhacute 8 місяців тому +5

    Nakupenda we mdada mpaka naumwa ❤❤❤❤❤ DIVA THE BAWSE ❤❤❤

  • @hamidasalum157
    @hamidasalum157 8 місяців тому +5

    Huyu dada aibu hana nyumba ya kupanga ndio anajishauwa hivi du kweli bora ukose mali upate akili tuuu uyu dada hama haya sijui ana nini vitu anavyojishauwa na matendo yake tofauti unaona kabisa anajitututumua ili kutafuta sifa

  • @mackysuphian
    @mackysuphian 8 місяців тому +11

    Hata hao matajiri hawabadilishi furniture after three months😂😂😂khaaa! Kama ni hvyo si bora ujenge tuu..na tuna abari zako umetelekeza furniture huko kazilipie kwanza🤣🤣🤣

    • @zamdamasondole8272
      @zamdamasondole8272 8 місяців тому +4

      Tumuombe tu baada ya miezi 4 huyu mtabgazaji arudi tena kwake 😅.Diva ni muongo sanaa 😂hao matajiri hawafanyi hiivyi😅.wiki lenyewe fake😅limekakaa km Zombie

    • @stellahlinusi8215
      @stellahlinusi8215 8 місяців тому

      ​@@zamdamasondole8272why zombi jamani

    • @poshsmith4268
      @poshsmith4268 8 місяців тому

      😅😅😅😅

    • @umukulthumu1419
      @umukulthumu1419 8 місяців тому +3

      Waarabu wenye hela zao wenye maisha yao hawabadilishi makochi hovyo😂😂😂 labda mpaka sikukuu ikikalibia wanapeleka kwafund kubadilisha kitambaa chanje hawanunui mpya😆😆😆😆😆😆sijui yy anajikuta nani

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k 8 місяців тому +3

    Siyo kwa kujisfia huko duh😊😊😊

  • @khadijab7066
    @khadijab7066 8 місяців тому +1

    Mungu niweke mie ,unapesa arafu umepanga mtiani jamani master wa bongo pasua kichwa

  • @maimunaulotu2075
    @maimunaulotu2075 8 місяців тому +5

    Diva dada aaangu usitumie nguvu nyingi kuaminisha watu....kuwa huyo kaka unampeleka.....ndomaana watu wanafanya makusudi kukumiza coz ndounaonyesha uzaifu wa ww kupend sanas

  • @BrigitaKawau
    @BrigitaKawau 8 місяців тому +2

    Mimi sina kitu na haya maisha yako Diva siyapendi ni ushamba kwakweli Yani hata kama huna akili au unavyosema umesoma Kwanini usiwe mwenye uelewa huu ujinga haufanani kabisa wengi wanapesa na maisha mazuri yakukuzidi ila hawafanyi hivi pole sana

  • @user-xo4zc9vu5w
    @user-xo4zc9vu5w 8 місяців тому +12

    Mungu akusaidie jamani Mumeo awe mkweli abadirike na husiache kumuombea

  • @happynathan8226
    @happynathan8226 8 місяців тому +6

    Huyu dada nyie ni mgonjwa wallah😂😂 Diva sio mzima kabisa na wambieni 😢

  • @aminaaminamayalla3308
    @aminaaminamayalla3308 8 місяців тому

    Mashaallah

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 8 місяців тому +2

    UNAJIDAI NA NINI PUMBAVU WW WEWE SIIO MZUNGU AU UMEUZA ASILI YAKO. WAJIDAI KUONGE KIZUNGU RANGI JE ? MBONA WW NI MWAFRICA? WAJIDAI NA VITU JE UNGEKUA UNA UTAJIRI WA KINA BAHWANI UNGEFANYA NN. UNASALI ?

  • @Anzalmidel
    @Anzalmidel 7 місяців тому

    Divaa wacha pombe ur cute hardworking lady 🎉

  • @Rose-ue2ho
    @Rose-ue2ho 8 місяців тому +7

    Diva ukimaliza nyumba yako nitafute mm nitakufanyia design na kukuwekea vitu vya kisasa mpaka utashangaa..😊

    • @navyoagrey7523
      @navyoagrey7523 8 місяців тому

      Kwa kweli mana apo mh! Cjaona cha ajabu sana 😢

  • @michaeljohn9070
    @michaeljohn9070 8 місяців тому +1

    Palm village na Dar villas apartments gharama zake kwa mwaka unaweza jenga nyumba yako kubwa nzuri tu,,sasa sijui wanafeligi wapi hawa watu,,,

  • @annamontana2854
    @annamontana2854 8 місяців тому +3

    Wigi limekauka kama limedumbukia kwenye uji

  • @awesosaladi3638
    @awesosaladi3638 8 місяців тому +5

    Diva the bawser unyama ni mwingi sanaaa😅😅😅😅

  • @salimalaquimane3077
    @salimalaquimane3077 8 місяців тому +3

    Mashaallah pazur

    • @rizikiabdalla2501
      @rizikiabdalla2501 8 місяців тому

      Ingekuwaa nyumba anamiliki yy hajapanga ningesena pazuri

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 8 місяців тому +4

    Ferniture 20mil then baada ya miezi 3 anagawa loh!

  • @user-is7ot7bq9x
    @user-is7ot7bq9x 8 місяців тому +1

    Diva adi namuonea huruma Aseee jinsi Anavyompenda uyu kaka afu uyu kaka Amekaa kihuni sana wala hana mpango na mkewe

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 8 місяців тому +10

    Kwahiyo na miwani ya fashion ukiwa umekaa ndani kwako?😅

  • @Fear_Allah394
    @Fear_Allah394 8 місяців тому

    Viongozi wa Tnz M/Mungu anakuoeni. Nchi mmeikandamiza mpkaa mtu anafikia kuita waandishi wa habari ndani ya nyumba kuja kuonyesha vyakula, lotions, creams, shower gels, baby wipes, unbranded bags, viatu, miwani nk. Wkt hvyo vtu kwa maisha ya wenzetu ni kawaida???

  • @rahmahabibu4727
    @rahmahabibu4727 8 місяців тому +4

    Mtangazaji kashajua diva hayuko sawa na anaenda nae Ivo ivo 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @rehemamwandemani5182
    @rehemamwandemani5182 8 місяців тому +1

    Diva usisahau kujenga my det

  • @namsamson3443
    @namsamson3443 8 місяців тому +13

    Hizi ndio hela zetu tulizokuchangia nini😂

  • @HajatAbdul
    @HajatAbdul 8 місяців тому

    Jaman diva ukibadilisha izo sofa na iyo tv naomba unipe nakuomba sana shabiki wako sana kwenye lavi davi

  • @rerisamba
    @rerisamba 8 місяців тому

    Wow 👌 nikuzuri sana jamani nakumekaa expensive

  • @user-df5mj8pf2q
    @user-df5mj8pf2q 8 місяців тому +1

    Nimependa sn maisha yuko acheni kumuonea wifu

  • @aminaramadhan3815
    @aminaramadhan3815 8 місяців тому +7

    Unapenda sifa mpk una boa

  • @tanzcanmediatv4473
    @tanzcanmediatv4473 8 місяців тому +1

    Jamani pazuri mimi binafsi nimependa jinsi ilivyo hasa milango kuelejea balcon

  • @FatimaAli-of4gh
    @FatimaAli-of4gh 8 місяців тому

    Tutake radhi Diva house wife ni watu wa chini? Hiyo ni heshima tu ya kumfanyia mumeo watu wana pesa na wanapika sema kweli tu hujui kuoika au unataka na sisi tukuoneshe maisha zetu sisi sio marimbukeni like you

  • @joycemuhoja4729
    @joycemuhoja4729 8 місяців тому +1

    Mkimaliza kwa Diva mje. Kwangu mlekodi jamani😁😁 Hizo fenicha unazobadili kila miezi mitatu naziomba

  • @marianabenangodi5522
    @marianabenangodi5522 8 місяців тому +3

    Yaan unaita media kutuonyesha vitu vya ndan 😂😂😂

  • @faidhacute
    @faidhacute 8 місяців тому +3

    Roja fala sana eti huea unalewa kabsa 😂😂😂😂😂😂😂 kwahy mtu anakunywa wine anashindwaje kulewa

  • @neemaberny3598
    @neemaberny3598 8 місяців тому +4

    Yani mtu anaejopanga kudanganya lazima avae miwanii😂😂 dada hajiamini huyu..

  • @angelgodfrey4870
    @angelgodfrey4870 8 місяців тому +1

    Aaah kumbe ni apartment mm nkajua kajenga, nimeacha ata kuangalia

  • @user-su4fm8fb7b
    @user-su4fm8fb7b 8 місяців тому +2

    Mmh mkiumwa mnaomba kuchangiwa jaman😢

  • @ngotikongotiko2711
    @ngotikongotiko2711 8 місяців тому +1

    Mshamba huyo ndo uamini kwamba kwa mwanamke ndoa inathamani kubwa sana inampa ukamilifu duniani na hata mbele za mungu

  • @umukulthumu1419
    @umukulthumu1419 8 місяців тому +2

    Ila diva jaman kwahio huyu mwandish kamwita kwaajili ya kuonesha maisha anayoishi😂😂😂😂

  • @LuciaUngele-ye6tn
    @LuciaUngele-ye6tn 8 місяців тому +3

    Sawa dada turingishie tuu pesa zetu hizo

  • @ummuaisha7988
    @ummuaisha7988 8 місяців тому +9

    Sasa hapo Mange aliongea nini? Voicenotes zote uliongea wewe Diva, Mange alipost tu

  • @jacqlinejames7568
    @jacqlinejames7568 8 місяців тому +2

    Sasa hlo wigi ndo nn mwandishi humwambii mwenzako

  • @Jamila-cz5ge
    @Jamila-cz5ge 8 місяців тому +1

    MWANAUME ALI SAWASAWA HAWEZI KURIDHIKA AJE MWANAUME KUTEMBEA CHUMBA ANAPO LALA NA MKEO . UNAWAONESHA WATU NYUMBA NA VILIVOMA HUU NIUSHAMBA . NANIASIO KUANAVO. WAPOWATU WAMILIKI MAJUMBA YAMEPAMBWA KWA DHAHABU. NAHAJIGAMBI WALA KUJITANGAZA MITANDAONI. NJOO TUKUONESHE HUKU MAJUMBA NAVILIVOMA UTAZIMIA.

  • @lucasernest6012
    @lucasernest6012 8 місяців тому +1

    Ila kwenye kuomba michango unatuonyesha maisha ya sanaa tu

  • @naumikabila5880
    @naumikabila5880 8 місяців тому +1

    Aaaaah sure sure nimeona 😅😅😅

  • @nicholauspeter9454
    @nicholauspeter9454 8 місяців тому +1

    kila kitu very expensive

  • @rehemahassan7475
    @rehemahassan7475 8 місяців тому +6

    Uyu anajishaua jaman khaaaa mpk anakela

  • @woah.africa99
    @woah.africa99 8 місяців тому +1

    Wine na msala wapi na wapi duh

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 8 місяців тому +4

    Huna wakishuwa chochote acha majivuno diva ungekuwa mzuri wallah cjui ingekuwaje .mungu amekupa machoo TU lakini .alikuwa angekupa sura shepu ingekuwa shidah lakini mungu 🙏 amejuwa maskini..Sasa hiyo miwani haivuliwi hiyo sura inashida ganiii?

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 8 місяців тому

      Wanawake mna wivu siku zote tuoneshe kwako 😂😂😂

    • @ashurakiswamba7085
      @ashurakiswamba7085 8 місяців тому

      @@fatmafatu1128 kwani mtu aambiwi ukweli sofa za milioni20 Sasa siuongo hayo maneno aseme bosi wake sio yeye kapuku km wewe na mimi.km ukweli mtu anaambiwa km unaona uchungu kajinyonge .huyo mtu wa misifa wewe humjui ndio mana umesema ivyo

    • @omaryntagala3740
      @omaryntagala3740 8 місяців тому

      ​@@fatmafatu1128hahahaha mwambie atuoneshe kwake na sura yake

  • @estherminnahboaz6956
    @estherminnahboaz6956 8 місяців тому +2

    Diva madawa yamemkolea maskini kama ana ndugu wampeleke kwa mtaalam anatia hutuma sana hayupo Sawa 😢😢😢

    • @kissamwamunyange1018
      @kissamwamunyange1018 8 місяців тому

      Una uhakika unachokiongea? Halafu wewe kumbuka ni mwanamke kumsemea mwanamke mwenzio ni dhambi kubwa

  • @sophiasaid391
    @sophiasaid391 8 місяців тому +3

    Kila mtu na plan zake acheni kuwaambia nini wafanye ww kajenge ila yeye anataka appartment. Punguzeni ujuaji jamani kila mtu na maisha yake

  • @Keyjop
    @Keyjop 8 місяців тому +3

    Ko diva miwani anapikia anaogea ana lalia ana ...in short ,
    question
    ko miwani Kwa diva ndio Kila kitu

    • @tunajaribu
      @tunajaribu 8 місяців тому

      Alisema huwa anaona aibu

  • @mamabyela18
    @mamabyela18 8 місяців тому +6

    Kabati la mawigi hatujaonyeshwa , interview irudiwe. Diva alituambia ana mawigi zaidi ya mia moja, ni muhimu tukaonyeshwa😆😆😆

  • @najmasalim-rg6ow
    @najmasalim-rg6ow 8 місяців тому +1

    Miwan hiyo ya macho au

  • @mustafaosman1838
    @mustafaosman1838 8 місяців тому +2

    Kuna watu wanaumia😂😂pambana naww sio kutokwa namapovu😂😂piga kazi dida mungu azidi kukufungulia

  • @RachelBriervanity1
    @RachelBriervanity1 8 місяців тому +2

    Jengeni Basi

  • @marianabenangodi5522
    @marianabenangodi5522 8 місяців тому +2

    😂😂😂 voice si uliongea mwenyewe. Sasa dada etu wa taifa ana husika wapi .

  • @Anzalmidel
    @Anzalmidel 7 місяців тому

    ❤❤❤🎉 i love you 😘

  • @SarahKeza-lp1fv
    @SarahKeza-lp1fv 8 місяців тому +2

    😂😂😂😂 naamuwa kufurahia Tu maisha ya diva

  • @Anzalmidel
    @Anzalmidel 7 місяців тому

    Nikkah🎉

  • @MoureenMushi-ex5uq
    @MoureenMushi-ex5uq 8 місяців тому

    Duh!diva hizo sofa ukitaka kubadilisha nipe Mimi dear

    • @FatimaAli-of4gh
      @FatimaAli-of4gh 8 місяців тому

      Wewe umeamua asipate kazi za kuhangaika nazo bora akupe tu si kwa majisifu hayo

  • @neemadaniel6233
    @neemadaniel6233 8 місяців тому

    Mmmh

  • @keyla3641
    @keyla3641 8 місяців тому

    Diva wewe ni hodari sana unajituma nahitaji mtu sahihi wakuwa nae anaejituma km wewe ishi rahisi useful nyingi ujenge achana na ya dunia kaa kimya fanya yako

    • @AshaKassim-tu7gz
      @AshaKassim-tu7gz 8 місяців тому

      Muongo diva apartment nyingi hukuta kilakitu..nihiyo ck ya kudaiwa Kodi ndo itajua hujui cjui usowako utauweka wp?

  • @dayanafelly1488
    @dayanafelly1488 8 місяців тому +12

    Diva kwenye interview unajifanyaga kiswahil kinakupa tabu... Ila ukiwa unamuanika mumeo unaongea kiswahil imenyooka hatari huongez hata neno moja là kimombo😂😂

  • @steveabel5819
    @steveabel5819 8 місяців тому +2

    Apartment ni ya kawaida sanaaaa hamna cha ajabu like for real😅 hata kwenye charts hanusi……huu ni ushamba jmn kusema every worth ya kitu chako cha ndani for what then??!? Huyu hajielewi lol nilikua namwona wa maana kumbe hamna kitu😒 so sad watu wenye expensive life wanajenga mi mansion yeye anatamba na hio cheap apartment😂😂 ndo maana she settle for less kwa huyo mume wake ambae ni queer huh

  • @aminnoour4788
    @aminnoour4788 8 місяців тому +4

    Wee mtangazaji punguza kutumia pombe zinakufany uso wako waonekana mlevi kbs. Tazama kakitambi

  • @user-ez3tk5ry5f
    @user-ez3tk5ry5f 5 місяців тому

  • @suleimanikirassahassan9711
    @suleimanikirassahassan9711 8 місяців тому

    Dizaini hizi uzee wao huwa wanasumbua sana wajukuu