Jinsi ya Kuanzisha Biashara inayodumu kwa muda mrefu - Misana Manyama
Вставка
- Опубліковано 14 лют 2024
- Hakuna mfanyabiashara ambae anaanzisha biashara akiwa na mawazo ya kushindwa katika biashara yake, ingawa wote tumeshuhudia biashara zikianzishwa na kufa kabla hata hazijawa na mizizi.
Ungana nami katika episode ya leo tujifunze namna ya kuanzisha biashara imara ambayo itadumu kwa muda mrefu na kuleta faida kwako na kwa familia yako.
LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE
#malengo #fursa #ujasiriamali #mafunzo #tanzania #biashara #daressalaam
Ameen
Waooh Asante pia kwa somo laki kaka MUNGU Akibariki sanaa
Lesson
hii ni njema sana somo kubwa sana lenye faida
Nakuelewa sana kwa elimu unayonipa
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Hongera sana kaka kwa somo zuri, Mungu akubariki.
Amen amen Karibu tuendelee kujifunza
+MUNGU+ AKUBARIKI, kukutunza na kuzidi kwako zaidi YOHANA 14:14🙏
Amen amen kaka
Shukrani sana nimehelimika kwenye hili somo asante uzidi barikiwa
Asante sana kaka, nafurahi kusikia somo hili limefanyika msaada. Nisaidie kushare kwa watu wengine pia
Asante sana kwa elimu nzuri sana.ila nayafanyia kazi maneno yako.but nimeelewa sana
Asante sana, usiacha kuendelea kujifunza nasi. Subscribe ili upate updates haraka iwezekanavyo
Asante sanaa
Karibu tuendelee kujifunza
Ahsante sana kaka kwa somo . nakufananisha na marehemu luge mutahaba bila shaka atakuwa ndugu yako.... Ahsante na mungu akubarik
Asante sana kaka, Watu wengi wananifananisha na Ruge. Naona ni maajabu ya Mungu tuu.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉