- 91
- 91 002
Misana Manyama
Tanzania
Приєднався 3 сер 2015
kama unashauku ya kupata elimu ya biashara ili kuikuza biashara yako Au unatafuta elimu ya kukusaidia kuanzisha chanzo kingine cha mapato ili kuongeza ustawi wa maisha yako
Upo mahali sahihi, Jifunze pamoja na Misana Manyama, mfanyabiashara mwenye uzoefu biashara wa zaidiya miaka 15. Atakupatia vidokezo vya maarifa na mikakati ya biashara pamoja na uhalisia wa stori za kutia moyo na matukio ya nyuma ya pazia katika safari yake yake ya ujasiriamali.
Iwe ndiyo kwanza unaanza au unatafuta kuongeza biashara yako iliyopo, ushauri wa Misana unaweza kutekelezeka na elimu hii itakuongoza kwenye njia yako ya kupata mafanikio katika biashara.
Karibu tujifunze pamoja.
www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1
Upo mahali sahihi, Jifunze pamoja na Misana Manyama, mfanyabiashara mwenye uzoefu biashara wa zaidiya miaka 15. Atakupatia vidokezo vya maarifa na mikakati ya biashara pamoja na uhalisia wa stori za kutia moyo na matukio ya nyuma ya pazia katika safari yake yake ya ujasiriamali.
Iwe ndiyo kwanza unaanza au unatafuta kuongeza biashara yako iliyopo, ushauri wa Misana unaweza kutekelezeka na elimu hii itakuongoza kwenye njia yako ya kupata mafanikio katika biashara.
Karibu tujifunze pamoja.
www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1
MAFANIKIO HULETWA NA SPEED YA KUBADILIKA : Misana manyma
MAFANIKIO HULETWA NA SPEED YA KUBADILIKA : Misana manyma
Переглядів: 282
Відео
Ni wakati gani sahihi wa kuchukua Faida kwenye Biashara - Misana Manyama
Переглядів 1 тис.14 годин тому
Somo la leo ni majibu ya swali ambalo nimekuwa nikiulizwa na watu wengi. Ni wakati gani sahihi wa kuchukua faida kwenye biashara wakati biashara inaendelea kukua? ungana nami katika somo la leo uweze kupata elimu ya biashara itakayo kusaidia. www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1 TikTok: www.tiktok.com/@misana.manyama Instagram: misanamanyama LIKE - COMMENT - SUBSCR...
Tofauti ya Biashara na Mwenye Biashara - Misana Manyama
Переглядів 1,1 тис.День тому
Leo ninazungumzia moja ya sababu ambayo inawakwamisha wafanyabiashara wengi kuona wanapiga hatua na kuanza kupata faida kutoka kwenye biashara zao. nimeelezea kwa kina namna ambavyo itakusaidia kuweza kujitofautisha na biashara yako ili kuwe na utofauti hasa kwenye upande wa namna ya kudeal na upande wa mapato. www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1 TikTok: www.tiktok.com/@misana.m...
Ukitaka Kuwa Masikini Fanya yafuatayo... - Misana Manyama
Переглядів 1,2 тис.14 днів тому
Mara nyingi tumekuwa tukifundisha namna ya mtu kufanikiwa na kuwa Tajiri, Leo nimeona nifundishe mambo haya ambayo yatamfanya mtu anaetamani kuwa maskini aupate umaskini bila kiuwa na shida yoyote. Somo hili linaweza likakusaidia kufanikiwa au kutokufanikiwa.. www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1 TikTok: www.tiktok.com/@misana.manyama Instagram: misanamanyama LIKE ...
Bonus: Tofauti kati ya Taarifa na Maarifa-Misana Manyama
Переглядів 70221 день тому
Bonus: Tofauti kati ya Taarifa na Maarifa-Misana Manyama
Mabadiliko yanayoweza kuleta Mafanikio - Misana Manyama
Переглядів 1,4 тис.21 день тому
ukweli ni kwamba unahitaji mabadiliko ili uweze kupata mafanikio katika maeneo mbalimbali ya maisha yako. kauli hii inaweza kuwa na maana tofauti kwa kila mtu klutegemeana na anahitaji mabadiliko gani ambayo yatamsaidia kuweza kupiga hatua katika maisha www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1 TikTok: www.tiktok.com/@misana.manyama Instagram: misanamanyama LIKE - COMME...
Namna nzuri ya kupanga Bei kwenye Biashara - Misana Manyama
Переглядів 2 тис.Місяць тому
Watu wengi wana changamoto kubwa linapo kuja swala la kupoanga bei kwenye bidhaa au huduma. Ungana nami siku ya leo uweze kupata maarifa yatakayokusaidia kukuza biashara yako. www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1 TikTok: www.tiktok.com/@misana.manyama Instagram: misanamanyama LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE #malengo #fursa #ujasiriamali #mafunzo #tanzania #biash...
Mafanikio katika Biashara yanahitaji kiongozi muda wote - Misana Manyama
Переглядів 1,1 тис.Місяць тому
e, wajua mafanikio katika biashara, taasisi au maisha kwa ujumla yanakutegemea zaidi wewe kabla ya watu wengine?? Katika somo la leo ninaelezea jambo hili ambalo limeathiri wengi kwa kushindwa kuelewa kanuni hii. www.youtube.com/@misanamanyama24?sub_confirmation=1 TikTok: www.tiktok.com/@misana.manyama Instagram: misanamanyama LIKE - COMMENT - SUBSCRIBE - SHARE #malengo #fursa #u...
Acha kuepuka Mafanikio - Misana Manyama
Переглядів 1,1 тис.Місяць тому
Acha kuepuka Mafanikio - Misana Manyama
Jinsi ya Kufanikiwa - Misana Manyama
Переглядів 1,7 тис.Місяць тому
Jinsi ya Kufanikiwa - Misana Manyama
Mambo yanayoweza kukusaidia kuanza biashara - sehemu ya Pili: Misana Manyama
Переглядів 3642 місяці тому
Mambo yanayoweza kukusaidia kuanza biashara - sehemu ya Pili: Misana Manyama
Mambo yanayoweza kukusaidia kuanza biashara - sehemu ya kwanza : Misana manyama
Переглядів 7262 місяці тому
Mambo yanayoweza kukusaidia kuanza biashara - sehemu ya kwanza : Misana manyama
Hatua ambazo biashara inapitia: Sehemu ya Pili - Misana Manyama
Переглядів 1,1 тис.2 місяці тому
Hatua ambazo biashara inapitia: Sehemu ya Pili - Misana Manyama
Jinsi ya kutengeneza Mtaji katika Biashara - Misana manyama
Переглядів 1,5 тис.2 місяці тому
Jinsi ya kutengeneza Mtaji katika Biashara - Misana manyama
Hatua ambazo biashara inapitia sehemu ya kwanza - Misana Manyama
Переглядів 1,6 тис.2 місяці тому
Hatua ambazo biashara inapitia sehemu ya kwanza - Misana Manyama
Namna ya kuwalidhisha wateja wako - Misana Manyama
Переглядів 9732 місяці тому
Namna ya kuwalidhisha wateja wako - Misana Manyama
Mafanikio yapo Njiani... sehemu ya 2 : Misana Manyama
Переглядів 7083 місяці тому
Mafanikio yapo Njiani... sehemu ya 2 : Misana Manyama
Mafanikio yapo Njiani sehemu ya 1 : Misana Manyama
Переглядів 8163 місяці тому
Mafanikio yapo Njiani sehemu ya 1 : Misana Manyama
Umuhimu wa MUDA kwenye Mafanikio - Misana Manyama
Переглядів 1,2 тис.3 місяці тому
Umuhimu wa MUDA kwenye Mafanikio - Misana Manyama
Namna ya kuongeza Thamani - Misana Manyama
Переглядів 9323 місяці тому
Namna ya kuongeza Thamani - Misana Manyama
Usipite njia ya mkato( shortcut): Misana Manyama
Переглядів 1,4 тис.3 місяці тому
Usipite njia ya mkato( shortcut): Misana Manyama
Usifurahie Matumizi, Furahia kuwekeza, sehemu ya 2 : Misana Manyama
Переглядів 9853 місяці тому
Usifurahie Matumizi, Furahia kuwekeza, sehemu ya 2 : Misana Manyama
Namna ya kumfanya mteja kuwa Balozi wa biashara yako: Misana Manyama
Переглядів 8384 місяці тому
Namna ya kumfanya mteja kuwa Balozi wa biashara yako: Misana Manyama
Mbadilishano wa Thamani - Misana Manyama
Переглядів 6124 місяці тому
Mbadilishano wa Thamani - Misana Manyama
Umasikini sio chachu ya kupata Utajiri - Misana Manyama.
Переглядів 1,8 тис.4 місяці тому
Umasikini sio chachu ya kupata Utajiri - Misana Manyama.
Biashara nyingi hupitia yafuatayo... - Misana Manyama
Переглядів 7964 місяці тому
Biashara nyingi hupitia yafuatayo... - Misana Manyama
Biashara inayodumu zaidi ya Mwanzilishi - Misana Manyama
Переглядів 2,3 тис.5 місяців тому
Biashara inayodumu zaidi ya Mwanzilishi - Misana Manyama
Ushindani ni ngazi ya mafanikio katika biashara - Misana Manyama
Переглядів 2 тис.5 місяців тому
Ushindani ni ngazi ya mafanikio katika biashara - Misana Manyama
UADILIFU ni Mtaji - Misana Manyama
Переглядів 1,1 тис.5 місяців тому
UADILIFU ni Mtaji - Misana Manyama
Somo zuri, all the best 👍
Thanks
Jamaa akiongea namuona ruge kabisa dah SOMO zuri
Asante. Pia. Tunaomba. Somo ni. Namna gabi. Unaeza. Kuongoza. Mradi ikiwa. Mbali
Pamoja sana bro
Nimejifunza kitu🙏🙏
Umeongea vzr; kwa kuchangia napenda kusema 20% ya wages itategemea na proft margin kulingana na aina ya biashara, baadhi ya biashara margin ni 15% sasa haiwezekani kutoa 20% for wages labda km kuangalia faida na sio kipato cha biashara. Biashara zengine ni ngumu kuweka fedha kwenye business acc kwa sbb TRA wanaweza wakaamka vibaya wakapita nazo (incase of registered business) Pia partnership nyingi hapa Tz hua hazidumu kwa sbb waTz wanatizama zaidi maslahi binafsi kuliko maslahi ya biashara, mkiwa waili kila mmoja anakuja na akili zake, wengine kila siku ni kutaka alipwe tuu bila kujua biashara imeingiz nn !! Its very hard Thanks
@omarykitenge8283 Karibu sana na umechangia uhalisia sana wa kimazingira na namna Biashara za Tanzania zinaendeshwa basi itoshe tu kusema MWENYE Macho amekusoma. Uko practical nimependa sana
Shule kubwa kichwan mkuu! Safi sana
Shoo nzurii:Hiyo faida uiwekeze waap ili kufikia financial freedom ambalo ndo lengo mama la kila mfanyabiashara.
Unaweza kuongeza na kupanua mtaji wa biashara yako hiyo no 1, na kama tayari una mtaji wa kutosha unaweza kuanzisha line mpya ya biashara kwenye biashara hiyo hiyo unayoifanya. Ukitaka maelezo zaidi karibu tunaweza kukuhudumia kwa ukaribu zaidi....
@@misanamanyama24 ahsante sana
Asante
Ubarikiwe sana sana
❤
Thank you mentor.
Ameen
Asante. Endelea kutuhamasisha.
Unajua nini brother Nilikua nimeajiriwa nakawa nakufatilia Nikaamua kujiajiri mwenyewe na kufatilia maelekezo yako hakika muelekeo upo Mungu akubariki sana
@@BryanNassary Pongezi sana sana Bryan. Nakuombea mafanikio makubwa sana ili kuinua wengine
Umewzaje umepata pesa kwanza za kutosha au umeacha tu maana mimi natamani mnoooo ila nawaza
Unatisha Sana mzee
Tuko pamoja kaka
Thanks
Bado ngojea somo la jinsi ya kuacha kazi na kwenda kujiajiri. Alafu jinsi ya kuendesha biashara ya saloon ya kiume. Ahsante sana kwa maarifa.
Check this book "CASH FLOW QUADRATS by Robert kiyosaki
Umeongea mambo makubwa mno
Hii ni kweli kabisa.Hii issue ya kutaka huruma ilisha nighalimu ujumbe mzuri sana.
Absolutely
😂😂😂😂😂
Yupo vizur sana
Asante
Nimeelewa Somo vizuri
Asnte kwa dalasa mungu akubarik sanaaaa kwa funzo bora ulio tufundisha leo
Leo naungana wewe mkuu safi ssna
Asante mkuu this was a great introduction
Iko 👍sanaa
Nice
Great advise
hii kitu ni kweri kabisa mkuu
@@user-nl8js6xs6s Asante kwa kuthitisha kaka.
Kaka asante sana Mungu akubariki wewe na kk joeli nanauka muishi maisha marefu
Asante sana kaka,
Wewe ni genius
@@JoramTseko Mungu ni mwema
Asantee Mzee Wangu,Hizi Ni Siri Kubwa Sana Unatufunza Sina Zawadi Yakupa ila Twakuombea
mr misana shukhurani sana unaelekeza mambo makubwa sana hii Elimu yazindi kunitoa upande mmoja kwenda upande wa pili wa maendeleo ya biasha na maisha yangu kwa ujumla mkuu mungu Azidi kukubaliki.
@@user-nl8js6xs6s Asante sana kwa feedback zinanipa nguvu ya kuendelea
Bro imenibidi niingie Google Nikusome kwanza Nikakuta wewe ni CEO wa TUTUME WORLDWIDE ,, Mungu akuinue sana kwa Muda wako uishi maisha marefu.. Mfano wa mtumbwi na katamaa ,,
@@MelchizedekMajimbe karibu sana
Naomba namba yako plz ninaitaji ushauri binafsi tafadhali
@@BryanNassary +255759263287 Karibu
Heshma yako brother naomba kama una softy copy ya vitabu utuwekee mwongozo
@@BryanNassary hivi karibuni kitabu chetu cha Kwanza kinatoka
Kk asante sana ninaku elewa hakuna ambacho sijaelewa
Asante sana nimefurahi kusikia hivyo
Hongera sana Mzee, unafanya vzr
Asante sana nisaidie kuendelea kushare
Hahaaaa ....Misana upooo?
Nipo mkuu bila shaka Amani kabisa
this is my dad
Unanijenga sana mkuu
Asante sana mkuu
❤
Nakuelew Sana
Mungu aniongezee muda wa kukusikiliza hapa duniani
Asante sana mkuu, Nashukuru kwa kuendelea kunifuatilia, nisaidie kushare kwa watu wengi zaidi