Wow jamn. Mungu ni mwaminifu yang nilipata kazi Katika sehemu ambayo niliambiwa kuna uchawi na nguvu za giza na hiyo kazi ikafika hatua mkataba ilikuwa urudishwe. Lakini sasa tupo kazini mwezi wa tatu Mungu ni mwema
Endelea kusali kupitia online Mahubiri mbalimbali plz usimwache Mungu, hata hivyo ninani ajuae kama hukupelekwa huko kwa makusudi maalum! Bwana akutumie Sawa na Mapenzi yake 🎉
Pastor mmbaga nimeanza kukufatilia muda ni mungu amenikutanisha na mahubiri yako hakika nimeokolewa na ninazidi kuwa jasiri siku zote naimalika asnte BWANA kwa mtumishi wako ulompka mafuta mtie nguvu zaidi amina
Mm kuna siku nikiwa kazin, wakati watu wameondoka nikapiga magoti, nikaandza kuomba, wakati, kila kitu kimetilia, nikahisi kama mtu ako nyuma yangu, kidogo nikasikia kama mfuko umeshikwa, wakati mfuko wenyewe uko kwa kabati, na niliweka toka juzi na hakuna upepo wowote
Ubarikiwe mtu wa Baba nipo kitandani nimelala nilikuwa siwezi ila kadili ninavyosikiliza mafundisho yako toka kambi la nyakanazi nasikia kuna nguvu inaendelea kunifungua na ninajisikia huru sasa na nguvu nyingi
Pr mafundisho yako ni mazuri, lakini kuhusu kutumia dawa za asili bila masharti ya kishirikina nadhani hakuna kosa, kilicho safi hata kama taaarifa zinatoka kwa shetani kitaendelea kuwa safi tu, Mungu anasema vitu vyote ni mali ya Bwana, kwahiyo hata kama mti fulani kama dawa atauelekeza shetani kwamba ni dawa mti huo hauto badilika kuwa najisi kwasababu muumbaji wa mti huo ni Mungu na wala si shetani,
Wow jamn. Mungu ni mwaminifu yang nilipata kazi Katika sehemu ambayo niliambiwa kuna uchawi na nguvu za giza na hiyo kazi ikafika hatua mkataba ilikuwa urudishwe. Lakini sasa tupo kazini mwezi wa tatu Mungu ni mwema
Niko maeneo ambayo hakuna kusali hakuna makanisa yeyote jaman mnaoishi ktk nchi ambazo kuna Uhuru wa kuabudu, Mshukuruni Mungu Sana kwaajili ya hilo
Endelea kusali kupitia online Mahubiri mbalimbali plz usimwache Mungu, hata hivyo ninani ajuae kama hukupelekwa huko kwa makusudi maalum! Bwana akutumie Sawa na Mapenzi yake 🎉
@@mborawakiche7564 🙏🏽🙏🏽
Kusanyika na familia yako nyumbani chukua vupindi hivi weka kwenye tv inatosha kabisa sadaka tuma
Kanisa ni kuabudu kwako na Imani na kuwa na Utulivu WA Nafsi na kutenda mema . Hiyo ni ibada Tisha🙏
Polenisana ndugu zanguwote mlioko hukombali uzuli Munguwetu anajua hajazenu namaombienu yakimoyomoyo yeye nimkuu mno kuliko kitu chochote Munguawasaidie
Sina cha kusema zaidi ya kumshukuru Mola❤❤ mbarikiwe na Bwana Mch
Mm nashukuru mungu, kwa wema wake, anayo nitendea niyaajabu sana,
Thanks pastor yu changed my life
Pastor mmbaga nimeanza kukufatilia muda ni mungu amenikutanisha na mahubiri yako hakika nimeokolewa na ninazidi kuwa jasiri siku zote naimalika asnte BWANA kwa mtumishi wako ulompka mafuta mtie nguvu zaidi amina
Mpendwa uwe unaandika Mungu Kwa herufii kubwa sio mungu sawa
@@bahatijohn1958 sawa
Pastor thank you ❤may God open our eyes in the Name of Jesus Christ. Amen Amen Amen Lord
Very good preaching
Kpita mahubiri Yako postor najifunza mengi ambayo sikuyajua
Ninabarikiwa sana ❤
God bless you pastor ,Hakika wewe umeteuliwa na 𝗠𝗨𝗡𝗚𝗨 na Barikiwa Sana Nitazamapo na kusikiliza Mahubiri yako
Mungu ni mwema sana
Pastor nilikuwa Kwa vita kali ya kiroho na umetumiwa na Mungu sana kunisaidia kupigana mpka matokeo nimeyaona Mungu akuzidishie sana Pastor.
Asante Bwana wetu Yesu Kristo Kwa kunivuta karibu Yako.
Nabarikiwa sana.Mungu akubariki sana Pastor.🙏🙏
Ubarikiwe sana pr Mmbaga kwa ufundishaji wenye uwezo wa Roho Mtakatifu.
My pastor of all times Mungu aendelee kukubariki kwa utukufu wake.
Natarajia Muujiza wangu pia mimi naamini siku moja itafika Mungu atantendea na mimi
Asante mahubiri TV, nimefurahi sijawapata hewani muda naomba msiache kirusha mahubiri ya Makambi
Mungu awabariki Sana Mahubiri TV mana mnanifanya nisali nipate neno kila wkt. Mungu ashukuriwe na atukuzwe kwa ajili yenu
Asante
SoMo zuri
Palikiwa sana muhubili nami naomba mungu anifungue macho ya ndani
Tunabarikiwa sanaaaaa
Bwana na Atukuzwe sana
Ahsante Sana kwa mafundisho mema ❤❤❤❤
Amen Pastor Mungu akubariki
Amen 🙏
Amina
Mchungaji umefanya mie nikapadirisha mtazamo wangu ahsante kwa mafundisho Yako,be blessed abundantly my spiritual father ❤
Barikiwa saana pastor
Aminaa
Asante Mungu kwa huwai ulionipa.
Barikiwa Pr.Mbaga mana unanibariki
AMINA
Amen umbarikiwe
Kilioooooooooooo😭😭😭😭😭Tafadhali hili somo fanyeni tulidownload mana halidownlodiki,
Mm kuna siku nikiwa kazin, wakati watu wameondoka nikapiga magoti, nikaandza kuomba, wakati, kila kitu kimetilia, nikahisi kama mtu ako nyuma yangu, kidogo nikasikia kama mfuko umeshikwa, wakati mfuko wenyewe uko kwa kabati, na niliweka toka juzi na hakuna upepo wowote
Ubarikiwe mtu wa Baba nipo kitandani nimelala nilikuwa siwezi ila kadili ninavyosikiliza mafundisho yako toka kambi la nyakanazi nasikia kuna nguvu inaendelea kunifungua na ninajisikia huru sasa na nguvu nyingi
Amina mungu nimuweza wa yote
Amen..
Naomba muweke namba tutume sadaka zetu tinao hitaji kufanya hivyo
Amen.
Amen
Pastor umenifanya nicheke eti tunategemea kichwa kimoja na kweli ni safari ndefu kweli mpaka unasema eee muda wote huu niko angani
Harimucungaji mafundisho yako.yamenisaindiya san
Jambo pasta, hajiri alifukuzwa pamoja na mamaye akiwa na myaka ngapi?
Muchungaji naomba unijibi, naomba kuongea na wewe.
Pr mafundisho yako ni mazuri, lakini kuhusu kutumia dawa za asili bila masharti ya kishirikina nadhani hakuna kosa, kilicho safi hata kama taaarifa zinatoka kwa shetani kitaendelea kuwa safi tu, Mungu anasema vitu vyote ni mali ya Bwana, kwahiyo hata kama mti fulani kama dawa atauelekeza shetani kwamba ni dawa mti huo hauto badilika kuwa najisi kwasababu muumbaji wa mti huo ni Mungu na wala si shetani,
Amina
Amen