Mchungaji ubarikiwe sana na haya mafundisho, Mungu amenitendea muujiza mkubwa sana, nilikuwa na tatizo lililonisumbua kwa muda wa miaka mitano na kidogo nimetumia dawa za kila aina na hospital nilikuwa naambiwa ni kawaida tuu. Mwezi ulioisha nilikusikiliza ukiwa makambi ya Kwaraa ulitoa kisa cha mama wa Dodoma aliyeuguliwa na mtoto wake. Nami nikaingia kuomba kama ulivyoelekeza nikamwambia Mungu wewe sio mgonjwa wala mwenye dhambi ndio maana ulishuka kwa sisi wagonjwa na wenye dhambi basi naomba uzima wako ndani yangu. Hiyo hali imetoweka mpaka leo sijaiona tena. Mungu azidi kukutumia kwaajili ya utukufu wake Ameen🙏
pastor Mungu akubariki Mimi nipo Israel saizi na vita inaendelea pia ninamatumaini ya kuzidi kuwa salama mpaka nitakapo rudi Tanzania. Wahimize vijana wenzangu kupambana kwa kumtegemea Mungu maana ndie kimbilio letu na ngao Yetu.
Nina USHUHUDA Mimi mwenyewe nyumba yangu Iko kwenye lenta miaka kumi Sasa ,batinzipo ila mbao za only 3.6M zimetushinda.Zikipatikana tu tatizo lingine linaibuka Pesa zinaenda kwenye tatizo.Hili SoMo ni Kwa ajili yangu na Nina Imani Sasa hii nyumba inaenda kuisha Kwa Jina la Yesu Kristo. Maombi Yako Pastor 🙏🙏
Pastor pray for me I want to be preacher and am working on it,I can recall I prayed God to bless me with job then I shall further my studies to preach his gospel
Hata mimk niliwahi sahau mzigo kariakoo siku mbili sikumbuki niliuach wapi, nikafunga jamani .. nikasikia sauti inaniambia ni rudi kuangalia, nikakumbuka sehemu ni liyosahau nikajipa moyo mkuu mana kuna sauti ilikua inanirudisha nyuma kwamba napoteza tu muda... nikaenda nikakuta mizigo kwenye duka wamenihifadhi, Mungu ni mwema sana
Asante sana nimepata mengi ya kujifunza na kunikuza imani yangu mungu azidi kukupa hekima zake na kuendelea kuzidi kudumu katika utukufu wake yesu kristo amen ubarikiwe pia
Nikweli Mimi niliskiliza haya masomo nilikuwa nimeajiliwa kwa duka la mtu nilianza kuona duka langu kiroho nikamwambia mungu mwaka huu mwezi wa sta niwe na duka langu kwa Imani tarehe 20/06/2023 nilimiki duka langu namshukuru sana huyu mungu kwa Imani anajibu sana mungu analipa sana watu wa mungu.
nashukuru mtumishi wa mungu.Kweli kabisa umetaja kinacho subua maisha yangu ya kwanba kila nilicho nacho ni silaha ya mungu.nimeamuaa kwa jna la yesu ushindi niwa yesu ndani yangu na milele zote yesu ni rafiki mpendwa....neema ili nisimame mpaka mwisho
Kila saa nashukuru Mungu kwa kufanya nipate kukujua Pastor Mbaga.... maana umenifundisha mengi na kupata kumjua Mungu zaidi na zaidi na kukua kiimani kila saa... Barikiwa sana sana MCHUNGAJI WA MUNGU🙏🏻🙏🏻
Nashukuru sana Mungu mwema Kwa kunipa kazi na kunipa mke mwema hakika Mungu ni mwaminifu sana. Ila nina jaribu napitia kwenye familia yangu plz nahitaji msaada wa maombi
Hakika mchungaji,Mbaga mafundisho yako mambo mengi nimeyafanya kwa vitendo na kwa imani kwa vitendo na nimefanikiwa vitu vingi.Shamba nimelima,kabla sijanununua nilimshirikisha Mungu na hata sijaona shamba niliomba magunia 20 na zaidi.Ikawa hivi nilipolima nikapata magunia 22.Unafundisha imani halisi
Sure, GOD is everything in everything in our lives. Thank you Pastor for this lesson and wonderful message. May our LORD protect you as you continue serving Him in His vineyard.
Paster nashukuru MUNGU sana kwa ajili yako hakika kupitia mafundisho yako nimeona mwanga mkubwa ktk safari yangu ya kwenda mbinguni mungu amefungua fahamu zangu
Mch nikweli unajitahidi sana kufundisha, na unafundisha neno la Mungu kwa ufasaha sana, lakini hao watu wako wa dini ya sabato wako zaidi kushika dini, na siku ya saba na roho mtakatifu haikubali hata moja, naww unamkubali roho mtakatifu, je hukutani na wachungaji wenzako kwenye kongamano yenu, je hapo wanachukuliaje, ukizingatia wanamkashifu roho mtakatifu
Mchungaji ubarikiwe sana na haya mafundisho, Mungu amenitendea muujiza mkubwa sana, nilikuwa na tatizo lililonisumbua kwa muda wa miaka mitano na kidogo nimetumia dawa za kila aina na hospital nilikuwa naambiwa ni kawaida tuu. Mwezi ulioisha nilikusikiliza ukiwa makambi ya Kwaraa ulitoa kisa cha mama wa Dodoma aliyeuguliwa na mtoto wake. Nami nikaingia kuomba kama ulivyoelekeza nikamwambia Mungu wewe sio mgonjwa wala mwenye dhambi ndio maana ulishuka kwa sisi wagonjwa na wenye dhambi basi naomba uzima wako ndani yangu. Hiyo hali imetoweka mpaka leo sijaiona tena. Mungu azidi kukutumia kwaajili ya utukufu wake Ameen🙏
Amen
Amin Amin
Hakika Mungu wetu ni mwaminifu tukiomba kwa imani
@@aishaally1859 Amen amen
Amen 🙏....Praise the LORD
pastor Mungu akubariki Mimi nipo Israel saizi na vita inaendelea pia ninamatumaini ya kuzidi kuwa salama mpaka nitakapo rudi Tanzania. Wahimize vijana wenzangu kupambana kwa kumtegemea Mungu maana ndie kimbilio letu na ngao Yetu.
Ubarikiwe mtumishi wa Mungu,nafurahi Sana kusikiliza nafundisho yako
Nina USHUHUDA Mimi mwenyewe nyumba yangu Iko kwenye lenta miaka kumi Sasa ,batinzipo ila mbao za only 3.6M zimetushinda.Zikipatikana tu tatizo lingine linaibuka Pesa zinaenda kwenye tatizo.Hili SoMo ni Kwa ajili yangu na Nina Imani Sasa hii nyumba inaenda kuisha Kwa Jina la Yesu Kristo.
Maombi Yako Pastor 🙏🙏
Waaaaaaaa mafundisho yameniponda ila nimefundishika mungu niongozeee
Amina .Nashukuru sana kwa Mafundisho yanayonifungua akili zangu .Ubarikiwe pastor Mbaga napata ujasiri mkubwa kupitia mafundisho yako🙏🙏🙏
Sijawah toka kapa ktk mafundisho yako,mungu akutunze
Ubarikiwe san mchungaji maan nimepat kitu kabisa
Mungu akubariki mtumishi
Barikiwe sana pastor kwa somo zuri
Amina,hii somo lilikua langu ,help me God to become successful for whatever i put my hand on in Jesus name
Amen Mungu kwanza. God help me to have teachable spirit and obedient to your word . Pray for me
Somo hili litafanya kitu kwangu mwaka huu...Mungu WA MBINGUNI ukatende kadri uwezavyo kwetu sote....
Nabarikiwa sana mafundisho haya nahitaji maombi pst
Ubarikiwe sana
Hatimaye muda umetimia, nilisubiri kwa shauku
Pastor pray for me I want to be preacher and am working on it,I can recall I prayed God to bless me with job then I shall further my studies to preach his gospel
Bwana akutie nguvu pr
Thanks man of God unanibariki na mahubiri yako napata ufahamu zaidi ni omba halafu bisha ndio kanuni
Nafurahi kujifunza ufalme wa mbinguni
Hata mimk niliwahi sahau mzigo kariakoo siku mbili sikumbuki niliuach wapi, nikafunga jamani .. nikasikia sauti inaniambia ni rudi kuangalia, nikakumbuka sehemu ni liyosahau nikajipa moyo mkuu mana kuna sauti ilikua inanirudisha nyuma kwamba napoteza tu muda... nikaenda nikakuta mizigo kwenye duka wamenihifadhi, Mungu ni mwema sana
Asante sana nimepata mengi ya kujifunza na kunikuza imani yangu mungu azidi kukupa hekima zake na kuendelea kuzidi kudumu katika utukufu wake yesu kristo amen ubarikiwe pia
Mungu atukuzwe ,hili Somo mungu alitaka niskilize ,ubarikiwe sana pastor ,Mungu azidi kukutumia kuongea na watu wake ,
Amina
Barikiwa sana PST MMBAGA hakika ni mengi nimejifunza kwako. Bwana Yesu asifiwe🙏🏾
Also this message is for me paster .nisajua shida yangu iko wait.Mungu akupaliki kwa hi some.
Amen 🙏🙏 MUCHUNGANJI,Leo tu nimetoka kunena kwamba nimechoka na hii life Asante YESU ,naomba msahee
Mungu akubariki na injili isonge mbele
Mchungaji huyu namkubali kwa mafundisho yake!❤
Ubarikiwe Pr.Nabarikiwa kwa mafundisho yako
Nikweli Mimi niliskiliza haya masomo nilikuwa nimeajiliwa kwa duka la mtu nilianza kuona duka langu kiroho nikamwambia mungu mwaka huu mwezi wa sta niwe na duka langu kwa Imani tarehe 20/06/2023 nilimiki duka langu namshukuru sana huyu mungu kwa Imani anajibu sana mungu analipa sana watu wa mungu.
Amen amen nami napokea kwa jina la Bwana wetu YESU kristo
Be blessed pastor... napenda sana kujifunza habar ya Ufalme wa Mungu
Amen! Nabarikiwa sana na somo hili ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Watching from Kenya, nice teaching be blessed
Amen 🙏🏼 🙏🏼
Asante sana Mungu kwa ujumbe huu wenye kunifumbua akili zangu za kimwili na kiroho.Amina.
Pastor asantee kwa mahubiri yako. Naomba tusaidie uchambuzi wa Kina wa Historia ya Israel na Palestina.
Ubarikiwe mchungaji alie kwenye group la mchungaji
Aniweke
Thank you pastor i have learned something thank you for encouraging me
nashukuru mtumishi wa mungu.Kweli kabisa umetaja kinacho subua maisha yangu ya kwanba kila nilicho nacho ni silaha ya mungu.nimeamuaa kwa jna la yesu ushindi niwa yesu ndani yangu na milele zote yesu ni rafiki mpendwa....neema ili nisimame mpaka mwisho
Kila saa nashukuru Mungu kwa kufanya nipate kukujua Pastor Mbaga....
maana umenifundisha mengi na kupata kumjua Mungu zaidi na zaidi na kukua kiimani kila saa...
Barikiwa sana sana MCHUNGAJI WA MUNGU🙏🏻🙏🏻
pastor ubarikiwe unanitia nguvu katika neno la mungu mmebaki wachache saana
Nashukuru sana Mungu mwema Kwa kunipa kazi na kunipa mke mwema hakika Mungu ni mwaminifu sana. Ila nina jaribu napitia kwenye familia yangu plz nahitaji msaada wa maombi
Aminaa Mungu nmwema atakuepushia jaribu lako
@@eustina0 Amina nashukul sana 🙏🙏
@@EmmanuelyJoseph-cu8xv karibu sana
Thanks man of God,be blessed
Amen Mbarikiwe.
Amina pastor
Ninabarikiwa Pastor
Ameen ameen barikiwa Sana Mutumishi wa Mungu
AMEN 🙏🙏🙏🙏
Amen Amen. Ni kweli izo ni chawa kichwani. Mungu akubariki sana.
Hakika mchungaji,Mbaga mafundisho yako mambo mengi nimeyafanya kwa vitendo na kwa imani kwa vitendo na nimefanikiwa vitu vingi.Shamba nimelima,kabla sijanununua nilimshirikisha Mungu na hata sijaona shamba niliomba magunia 20 na zaidi.Ikawa hivi nilipolima nikapata magunia 22.Unafundisha imani halisi
Amen
Sure, GOD is everything in everything in our lives. Thank you Pastor for this lesson and wonderful message. May our LORD protect you as you continue serving Him in His vineyard.
Ubarikiwe Sana mch.wangu
Hili somo limenihusu kwa kiasi cha haja,asante mchungaji.
Mubarikiwe sana
Leo nimepona kwenye matumizi ya sabuni,nimeacha
Amen
Na iwe ivyo🙏🏿🙏🏿
Amen 🇰🇪
Amina🙏✍🙏✍
AMINA
🎉❤❤🙏🙏
Msomaji ana vituo vingi mno
Nimebarikiwa sana na mahubiri yako.
Huyu Mungu acheni tu aitwe Mungu huwa ananifanyia vitu mpaka nashangaa nitamuabudu nakumuamini kwa kila kitu nitaendelea kushukulu kwa mapenzi yake
Naitaji pia bwana anisaidiye. Nimerudi nyuma sana kwa kutowa ao kusaidiya maskini na mayatima.
Ni kweli mchungaji hata mimi niliacha laptop airport ya dsm kwenye vitotoli . security guard akaitunza nikarudi kutika kongowe hadi kiwanjani namuuliza receptionist anasema sijui ngoja nimuulize mlinzi mkuu . Kumbe aliichukua
Mungu nmwema
Paster nashukuru MUNGU sana kwa ajili yako hakika kupitia mafundisho yako nimeona mwanga mkubwa ktk safari yangu ya kwenda mbinguni mungu amefungua fahamu zangu
Ombea ndoa yangu
Inawasha
Mch nikweli unajitahidi sana kufundisha, na unafundisha neno la Mungu kwa ufasaha sana, lakini hao watu wako wa dini ya sabato wako zaidi kushika dini, na siku ya saba na roho mtakatifu haikubali hata moja, naww unamkubali roho mtakatifu, je hukutani na wachungaji wenzako kwenye kongamano yenu, je hapo wanachukuliaje, ukizingatia wanamkashifu roho mtakatifu
Wasabato wasio amini Roho mtakatifu hao sio wasabato achana nao,tena ni wachungaji,Hapana kwa kweli,
So mlinzi aliichukua akqitunza
Wee umefanikiwa mangapi nunua ndege basi tujue umefanikiwa hata wewe hujafanikiwa
Amina