Mchungaji nashukuru sana kwa somo zuri. Kweli nimeelewa na kubarikiwa sana. Nina swali moja tu kuhusu siku ya hukumu, maandiko yanasema tunapotubu Mungu anasamehe na hakumbuki tena lkn siku ya mwisho tuna ambiwa kila mmoja dhambi zake zitawekwa hadharani, je dhambi zitawekwa zote hata zile zilizotubiwa au zile tu zilizokutwa baadaye?
Amani halisi ya pekee ni Yesu Kristo. AMEN 🙏🏻 🙏🏻 🙌🙌
Amin amin ,, nawambia kuweni na amani ya kweli katika Kristo Yesu.
Barikiwa sana pastor kwa somo nzuri, hallelujah Amen
Ahsante pastor Kwa kufundisha neno ipasavyo,,Mungu akubariki sana.
Mungu wa mbinguni akubariki mtumishi wa Mungu
Aki hyo creen ikiletwa hapo mbele ya kanisa hakuna ambye atakaa hapo
Maana Mungu atusaidie 😢😢😢😢
Hakika pastor umetumwa na Mungu kutusaidiya Mungu akubariki piya aendelee kuwongezea mafuta siku kwa siku
Eeeh!! Mwenyezi Mungu Nashukuru kwa neema yako.Nabarikiwa sana na Mahubiri haya.
Amina! Barikiwa sana Pr!
Nachukurumungu ameniunganicha namchu ngaji n'aimani mungu atafunguwa mlango wangu amen👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Ubarikiwe
Mungu aendelee kukutumia pasta maana unatumika vilivyo
❤❤❤ ❤ sana Pastor Mbaaga
Ee mwenyez mungu naomba uingilie Kati ktk changamoto yangu ya maden
Iimeisha hilo
Pole sana,..ipo siku Mungu atatenda,endelea kumuomba Mungu
Mungu awabariki viewers wote wa channel hii
Mchungaji nashukuru sana kwa somo zuri. Kweli nimeelewa na kubarikiwa sana. Nina swali moja tu kuhusu siku ya hukumu, maandiko yanasema tunapotubu Mungu anasamehe na hakumbuki tena lkn siku ya mwisho tuna ambiwa kila mmoja dhambi zake zitawekwa hadharani, je dhambi zitawekwa zote hata zile zilizotubiwa au zile tu zilizokutwa baadaye?
Tunahesabiwa haki Kwa Imani
Nabarikiwa sana ,Yesu wa kweli yupo ndani yako nabadilika kila siku
Barikiwa Sana mchungajii
IMANI
Amen
Ni kwa njia ya imani. Niko Kenya
NASIKILIZA SANA MAHUBIRI TV. LKN NACHANGANYIKIWA JUU YA WANAMATENGENEZO MAFUNDISHO YAKE NA MAFUNDISHO HAYA. CJUI NAPATAJE MSAADA HAPA
Pole! Shida iko wapi
Imani
Pastor nashukuru kwa somo ili lakini Kuna time mtu anaomba na anaomba akiwa anaamini Kabisa je inakuaje ombi alijajibiwa
Mchungaji Nina jirani yangu n mwisilamu mtoto wake anaumwa tumbo,kiuno,miguu na amekata haeindi kama ilivyodesturi ya wanawake tusaidie babayetu
Amen
Amen