#mahubiri

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 30

  • @froline5209
    @froline5209 Рік тому +7

    Amani halisi ya pekee ni Yesu Kristo. AMEN 🙏🏻 🙏🏻 🙌🙌

  • @bonnie...8650
    @bonnie...8650 Рік тому +2

    Amin amin ,, nawambia kuweni na amani ya kweli katika Kristo Yesu.

  • @eunicenyandiko1389
    @eunicenyandiko1389 Рік тому +2

    Barikiwa sana pastor kwa somo nzuri, hallelujah Amen

  • @romanmwaisela
    @romanmwaisela Рік тому +2

    Ahsante pastor Kwa kufundisha neno ipasavyo,,Mungu akubariki sana.

  • @ywydhhd7941
    @ywydhhd7941 Рік тому +2

    Mungu wa mbinguni akubariki mtumishi wa Mungu
    Aki hyo creen ikiletwa hapo mbele ya kanisa hakuna ambye atakaa hapo
    Maana Mungu atusaidie 😢😢😢😢

  • @zawadiamuli4186
    @zawadiamuli4186 Рік тому +3

    Hakika pastor umetumwa na Mungu kutusaidiya Mungu akubariki piya aendelee kuwongezea mafuta siku kwa siku

  • @derickodeny4064
    @derickodeny4064 Рік тому +2

    Eeeh!! Mwenyezi Mungu Nashukuru kwa neema yako.Nabarikiwa sana na Mahubiri haya.

  • @happinessmaregesi253
    @happinessmaregesi253 Рік тому +2

    Amina! Barikiwa sana Pr!

  • @Joch09Kasereka
    @Joch09Kasereka Рік тому +1

    Nachukurumungu ameniunganicha namchu ngaji n'aimani mungu atafunguwa mlango wangu amen👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Рік тому +3

    Mungu aendelee kukutumia pasta maana unatumika vilivyo

  • @gahetohodari166
    @gahetohodari166 Рік тому +3

    ❤❤❤ ❤ sana Pastor Mbaaga

  • @janethfwamba8561
    @janethfwamba8561 Рік тому +3

    Ee mwenyez mungu naomba uingilie Kati ktk changamoto yangu ya maden

  • @amjudith
    @amjudith Рік тому +7

    Mungu awabariki viewers wote wa channel hii

  • @wiza2309
    @wiza2309 Рік тому +1

    Mchungaji nashukuru sana kwa somo zuri. Kweli nimeelewa na kubarikiwa sana. Nina swali moja tu kuhusu siku ya hukumu, maandiko yanasema tunapotubu Mungu anasamehe na hakumbuki tena lkn siku ya mwisho tuna ambiwa kila mmoja dhambi zake zitawekwa hadharani, je dhambi zitawekwa zote hata zile zilizotubiwa au zile tu zilizokutwa baadaye?

  • @danielkomu3275
    @danielkomu3275 Рік тому +2

    Tunahesabiwa haki Kwa Imani

    • @severamtungi7036
      @severamtungi7036 Рік тому +1

      Nabarikiwa sana ,Yesu wa kweli yupo ndani yako nabadilika kila siku

  • @PendoDorah
    @PendoDorah Рік тому +1

    Barikiwa Sana mchungajii

  • @barmedastv
    @barmedastv Рік тому +1

    IMANI

  • @ridanceemmanuel479
    @ridanceemmanuel479 Рік тому +3

    Amen

  • @collinschepkwony4138
    @collinschepkwony4138 Рік тому +1

    Ni kwa njia ya imani. Niko Kenya

  • @michaelgumbo9044
    @michaelgumbo9044 Рік тому +1

    NASIKILIZA SANA MAHUBIRI TV. LKN NACHANGANYIKIWA JUU YA WANAMATENGENEZO MAFUNDISHO YAKE NA MAFUNDISHO HAYA. CJUI NAPATAJE MSAADA HAPA

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 10 місяців тому

    Imani

  • @AnnShua-lh2yk
    @AnnShua-lh2yk Рік тому +1

    Pastor nashukuru kwa somo ili lakini Kuna time mtu anaomba na anaomba akiwa anaamini Kabisa je inakuaje ombi alijajibiwa

  • @JosephinaBoni-ex8nd
    @JosephinaBoni-ex8nd Рік тому

    Mchungaji Nina jirani yangu n mwisilamu mtoto wake anaumwa tumbo,kiuno,miguu na amekata haeindi kama ilivyodesturi ya wanawake tusaidie babayetu

  • @SuperYoungAdolph
    @SuperYoungAdolph Рік тому +1

    Amen

  • @leahwainaina4396
    @leahwainaina4396 10 місяців тому

    Amen