Amen amen pastor mm niko na ushuhuda na hili fungu juzi nilitoa nyumba ya konokono mdogo wale wa baharini kwa mkono wangu wakulia kulikua kama jibu nikakamua nikatoa hicho kinyumba chake na niko saudi nafanya kazi amen amen kupitia mafunzo yako nimesimama na mungu zaidi kukaa ndani yangu
Pastor ushuhuda WA swala la ada limeniyokea wiki chache zilizopita pale MUNGU aliponilipia ada kwa muda wa masaa mawili tu..ada ya mwanangu wa std seven 2023...amount ilikuwa milioni moja kasoro....Hakika MUNGU huyu anaweza KULIKO chochote..ukuu wake kwangu HAUELEZEKI
Aminaaaa sana pastor ,Mungu akubariki sana na azidii kukutumia popote palee ulipoo,kupitia ujumbe unaotamkika kinywani mwako .....umeimarisha maisha yangu ya kiroho na kiuchumi piaaah!!!! Jina la Bwan lihimidiwe mileleeee.
Amen 🙏 pastor mungu akubariki ahsante Kwa haya mafundisho tangu nijue nguvu za mungu ndani yangu nashuhudia kuna mambo siyafanyi ambayo hayakuwa yampendeza mungu
Unanibariki sana sana Mchungaji Mbaga sina Mchungaji nabarikiwa nae zaidi yake isipokuwa wewe natamani siku nipate kukufikia ulipo nihudumiwe Kwa karibu zaidi ndo shauku yangu
MUNGU atukuzwe Kwa hubiri hili,,,nimegundua ni kwa sababu gani BANDA LANGU LA KUKU lote lilipatwa na ugonjwa WA ajabu..biashara ya kuku 300 sikufanikiwa kuingiza hata shilingi laki sita kwa mauzo maana walikufa karibia nusu ambao walikuwa ni 150.... Nimepata kitu kikubwa Sasa kutoka Kwa hubiri hili na sasa ninaanza Tena biashara RASMI...Ee MUNGU nisaidie....
Amina haya ndyo mafundisho syo pokea gari lanani Hilo gari. Mm siyo msabato ila Huwa siangaliii dini naangalia Neno la Bwana hakika huyu mchungaji Mungu wambinguni ana mtumia sana
Asante sana Mchungaji kwa neno la Bwana. Lakini ninachangamoto ya ugonjwa wa ulcers, nimejaribu madawa mara kadhaa lakini bado sijapona, naomba nawe uniombee . ( Jina langu ni Bolis Ainebyoona kutoka nchini Uganda)
Pr.mimi kwavile sikujua na niliolewa namchawi ameni angaisha akunakitu naweza Fanya ifanikiwe mi nimwanabiashara tangu nimweleze mikono tangu yoteinagandaikiuma nanimefika sikuiziroho yamaombi sina na nikisikia kuomba mwili inakuamzito na uchofu siwezi omba nisaidie mtumishi ninateseka
Amen amen pastor mm niko na ushuhuda na hili fungu juzi nilitoa nyumba ya konokono mdogo wale wa baharini kwa mkono wangu wakulia kulikua kama jibu nikakamua nikatoa hicho kinyumba chake na niko saudi nafanya kazi amen amen kupitia mafunzo yako nimesimama na mungu zaidi kukaa ndani yangu
B😮j
Mungu wa ajabu
Nimebarikiwa sana na somo hili! Mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu kwa somo hili nzuri na la baraka sana.
Pastor ushuhuda WA swala la ada limeniyokea wiki chache zilizopita pale MUNGU aliponilipia ada kwa muda wa masaa mawili tu..ada ya mwanangu wa std seven 2023...amount ilikuwa milioni moja kasoro....Hakika MUNGU huyu anaweza KULIKO chochote..ukuu wake kwangu HAUELEZEKI
Wow. Mungu atukuzwe
Huu ufalme unao kuwa ndani yangu uniongezeye Imani. Mungu akuzidishiye kwa yote,amina
Aminaaaa sana pastor ,Mungu akubariki sana na azidii kukutumia popote palee ulipoo,kupitia ujumbe unaotamkika kinywani mwako .....umeimarisha maisha yangu ya kiroho na kiuchumi piaaah!!!! Jina la Bwan lihimidiwe mileleeee.
Pastor ...
Asante Mungu kwa ajili ya mtumishi Mbaga. Mungu kaa nami leo na hata milele
Amen 🙏 pastor mungu akubariki ahsante Kwa haya mafundisho tangu nijue nguvu za mungu ndani yangu nashuhudia kuna mambo siyafanyi ambayo hayakuwa yampendeza mungu
Amina Leo nimeuona upendo wa Mungu kuna jambo nilimwomba Mungu amenijibu sifa na utukufu ni Yesu.
Mungualie ndaniyako nibabayangu sasakila mahubiri tumahewani munitumie ibrahimpopina kutoka Congo bunia
AMEN MCHUNGAJI umenipa ujasiri, mume Ako lakini Mimi ndio mke mume sitawai lalamika.YESU nisamehe.
AMEN 🙏🏻 🙌! Ufalme wa MUNGU uko ndani yangu. Thank you Pastor for the blessings of the word.
Nashukuru sana mchuganji,mola akuzidishie hekima zaidi
Amina mtumishi wa mungu najifunza vingi sana kupitia mafundisho yako from malasyia🇲🇾
My mentor ,yaaani Pastor you don't force things, faith works,niko middle east God has done for me ❤❤I stay strong and positive in Jesus name 🙏
Nashuhudia uwepo wa Yesu ndani yangu. Roho mtakatifu atufunze zaidi.
Amen pastor hapo ni kweli kabisa uko na mume na wewe ndio baba na tena wewe ndio mama barikiwa pastor
Asante pr aliye upande wetu ni mkuu kuliko waoo 🤗🤗🙏
Asante.mchungaji MBAGA.NINAENDELEA KUBARIKIWA KILA IITWAPO.LEO
Amen amen thanks pastor mmbaga thanks a lot and glory go to GOD
Asante mchungaji lakini Mimi nashida ya masikio hayasikii vizuri naomba uniombee nisikie vzr mafundisho yako mtumishi was mungu.Amina
Ninakuombea
Amen mchungaji tunabarikiwa sana na huduma zako kwetu
Ahsante Sana Sana mchungaji kwa neno
Nashukuru ufalme wa Mungu uko ndani yangu, amen pr. Mmbaga
asante mtumishi kwaku neno la kujenga
Mungu akubariki sana sana! Ckujua haya ahsante
Ubarikiwe sana mtumishi wa bwana kwa neno la nzuri .
Mungu hakushidishie neema nimebarikiwa sana ila Tu Kwa siku mbili
Asante mtumishi kwa somo lenye nguvu.
Namshukuru mungu akubariki pia pastor
Mungu akuzidishie mtumishi uzidi kutufundisha ameeen
Ubarikiwe mchungaji umenifundisha mengi kupitia mahubiri yako
Amen ubarikiwe sana mtumishi
Kubarikiwa kweli hua unanifundisha mengi sana sana barikiwa sana Pastor Mbaga 🙏🏻
Mungu tulie nae nimkubwa kuliko wakwao.
ubarikiwe Mch.nimepokea
From Kenya l real enjoy your teachings
Ubarikiwe saana pastor. ... Naweza pata contact za pastor hata kama ni za social media?
Mungu akuzidishie hekima kila siku, zamaisha yako
Pastor ubarikiwe sana
Ubarikiwe baba siku zako ziwe nyingi nipone siku hadi siku
Mungu akubariki sanaa
Unanibariki sana sana Mchungaji Mbaga sina Mchungaji nabarikiwa nae zaidi yake isipokuwa wewe natamani siku nipate kukufikia ulipo nihudumiwe Kwa karibu zaidi ndo shauku yangu
Mkubali yesu
Amen, nmerudi kuangalia tena linikumbuke vitu fulan ubarikiwe pastor.
Amen nimebalikiwa
Wow very powerful teachings be blessed glory belongs to jesus, In fact you've made my inner 🎉 person feel revived again 🙏🙏🙏
Yesu nisaidie Niongezee Imani
Asante pasta, kwa mafundisho
Nimekubari sana
MUNGU atukuzwe Kwa hubiri hili,,,nimegundua ni kwa sababu gani BANDA LANGU LA KUKU lote lilipatwa na ugonjwa WA ajabu..biashara ya kuku 300 sikufanikiwa kuingiza hata shilingi laki sita kwa mauzo maana walikufa karibia nusu ambao walikuwa ni 150....
Nimepata kitu kikubwa Sasa kutoka Kwa hubiri hili na sasa ninaanza Tena biashara RASMI...Ee MUNGU nisaidie....
AMINA PASTOR. ZIDI KUBARIKIWA.
Amen and amen from Lusaka zambia
God bless you mtumishi
Nabarikiwa sana
Mtumishi wa Mungu Naomba namba Yako
Katika wachungaji wanaonibari ki MChungaji mbaga wewe ni no Moja Mungu akubariki Sana Sana. 🙏
Ubarikiwe sana unanitia moyo sana
Amina haya ndyo mafundisho syo pokea gari lanani Hilo gari. Mm siyo msabato ila Huwa siangaliii dini naangalia Neno la Bwana hakika huyu mchungaji Mungu wambinguni ana mtumia sana
Mungu akubariki Mchungaji Mungu amejibu maombi yangu Asante Mungu Asante Mchungaji Mungu akutunze
@@tatually9055❤❤❤❤❤
Barikiwa sana mtu wa Mung
Najiungamanisha na maombi haya Mungu nisaidie
Asante sana Mchungaji kwa neno la Bwana. Lakini ninachangamoto ya ugonjwa wa ulcers, nimejaribu madawa mara kadhaa lakini bado sijapona, naomba nawe uniombee . ( Jina langu ni Bolis Ainebyoona kutoka nchini Uganda)
Mungu akuponye, nenda kwa prophet kakande yupo uganda utapona
Bwana yesu asifiwe Mutumishi wa mungu Mimi nipo Oman ninaitwa Rehema ninachangamoto ya kichwa naomba uniombee
@@Jastus100 kakande ni mzanii tu mungu ndiye mponyanji tu bora tu akuwe na imani kidogo kama mbunje ya haratani
Ukimsikiliza Pr mbaga utaweza kuomba mwenyewe na Mungu atakujibu msidanganywe na ma prophet
Amini tu Mungu atakuponya mpendwa!!
Nimeongezewa jambo
Ahahahah paster umenifurahisha Leo umenifundisha kitu nayabwaga yote kwa mungu shetani ataisoma no...
Mungu akulinde
Amen happy Sabbath day pastor 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Amen Amen amen
🙏 Amen
Kweli Mungu anakutumia kwa viwango vya juu sana mwanangu ,Zidi kunyenyekea chini ya mkono waMungu ili akukweze kwa wakati wake
Amina Pastor 🙏 ubarikiwe.
Asante sana kwa mahubiri
Amen, Pastor 😇
Ameeen Pastor 🇹🇿🇴🇲
Amina Amina
Hallelujah
Ameen barikiwa sana mutumishi wa Mungu 🙏🙏🙏
Suala la kupendezwa na mahubiri ya pastor Mbaga, ni nyeti sana. Sisi tumuombeeni yule mwovu, asije ruhusiwa akamdhoofisha kama vile pastor Mhando.
😅🎉
Ufalme wa MUNGU upondaniyangu
Amen
Amen Amen Amen
Pr.mimi kwavile sikujua na niliolewa namchawi ameni angaisha akunakitu naweza Fanya ifanikiwe mi nimwanabiashara tangu nimweleze mikono tangu yoteinagandaikiuma nanimefika sikuiziroho yamaombi sina na nikisikia kuomba mwili inakuamzito na uchofu siwezi omba nisaidie mtumishi ninateseka
Amen 🙏
Natamani niwe na Imani kubwa kama hii !!ee Mungu nisaidie!!
AMEN MTUMISHI
Amen Mungu akubariki uzidi kuinuliwa Kwa viwango
Hata choon inawezekana?maana mili nikienda uani huwa nasukumwa sana kusali lakin naogopa
Amina
AMINA
AMEN 🙏🏽
Ameen
🙏🙏🙌
Mchungaji niaomba namba yako ninashida ya kitu kinanisumbua sana
+255 755 932 283
Aminaa kubwaaa, Mungu anaishi ndani yangu 🙏🙏🙏
Live? Mala ya kwanza Amen
Amen
🎉
Amen 🙏
Amen
Hello
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen🙏
Namshukuru Mungu kwa kujua hili somo