Kakamatwa na Bangi Kagera lakini alivyojitetea kila mtu akacheka
Вставка
- Опубліковано 17 вер 2024
- Hii imetokea katika Wilaya ya Karagwe mkoa wa Kagera ambapo Mkuu wa Wilaya hiyo Godfrey Mheruka anafanya Oparesheni ya kukamata Watuhumiwa wa dawa za kulevya ambapo anashirikiana pia na Wanajeshi kwenye Oparesheni hiyo.
Dah, huyu jamaa yangu msameheni tu 😂😂😂😂😂😂
Msameheni jamani amejitetea Sana inatosha mpeni into tu na umri wake ndo Kama huo
Mzee amesema ukweli anafaa apewe Onyo ,Let him be free.That might be his source of income .
ua-cam.com/video/ChtDpxxsCZY/v-deo.html
That's true
His source of income yet he's destroying youths life
@@mackdonaldmwasha9198 which youth
Us the youth
mwachien jmn kha arudii tena
Huyu mzee mnunulueni trekta la kulimia.ni very innocent amesema ukweli ni ugumu wa maisha na kutonielewa vimemponza.
ILA KAFICHA JAMANI 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂
Actually the army use it more than that guy 😂😂😂😂😂😂😂
😀😀😀😀
sure
kweli kabisa
Wajeshi waongoza sana kuvuta bangi ila ajabu wanawaharasi wazalishaji
Wao wamepewa kazi ya kufanya operation tu so hayo ya wengi kulingana na kazi waliyokuwa wanaiyendea
The government needs to learn that weed can be used for medical purposes hence why it's being legalized most parts of world.
Chini ya raisi wetu sijui kama itawezekana.
msameheni jamani
Naseer Mohamed true its the best cure for all type of cancer people around the world their testify the benefit of bangi kwa kutibu magonjwa ya lio pandwa na beside hule ni mmea mungu ameumbua hvyoo hauwezi kua halamu dunia inaipinga bangi inabenefit nyingi ikitumiwa kama dawa pharmacy na hospital zitafungwa ni mmea unaotibu magonjwa mengi
This guy is talking scientific facts despite being in poverty and the obvious lack of technology! Jaman Mtu aniambie madhara ma5 ya Bangi, I’ll wait!
Loss of memory
Miaka miwili sasa na umejibiwa madhara 1 kat ya 5 😂😂
msameheni wa llahi mpaka machozi yananitoka yaani wanaacha kutokomeza madanguro na ulevi ambao umekatazwa na dn zito dah inna li llahi wa inna ilayhi raajiuun kama ni laana hata bia zina laana ila semeni kwa kuwa bangi hamna maslahi nayo
imamu mponda lmamumumpp
Kwa hyo bangi hizo dini yako imeruhusu bas kawaambie huko kwenu wavute unako swali
Mzee Ni msema ukwel mumuachie tu
hahahahah, "Naficha kabisa kabisa"
mmwache tu, kakamateni viwanda vya sigara
hatariii
Hahahaaaaaa nikivuta bangi nalima ekali 1 kwa wiki moja Msamehen tu huyo
Ndio hivyo,, psychological issues
Kwakweli wanajeshi wa TZ mna hekima sana wangekuwa wa nchi zisizo na amani huyu mtu angepigwa risasi, MUNGU awazidishie maarifa ktk kazi yenu ngumu
Jamaa si mwizi ana jasho tele kazi hiyo, leave him alone BANA kamata jambazi wasugu kule kijijini!
Poa
tatizo elimu.....kukamata na kuwafunga sio dawa!tunaongeza matatizo ndani ya familia zao ambayo gharama yake hatuwezi kuimudu
Why am late to view this......he made my day 😂😂😂😂
Psalms 104:14 He causeth the grass to grow for the cattle,and HERB for the service of man:that he may bring forth food out of the earth.
True
That's true bro
He knows how bangi can help him those soldier have no education on say if bangi will help him or not (acheni hizo nyinyi mna itaji more education)100%ninge mtetea wao hawezi kusema inasaidia ama haisaidii.
KWELI KABISA!!
Wanajua na ndo wavutaji no 1 ivo ilobaki shambani wataishughulikia wenyewe.
millard Aksante sana kwa news
msameheni jaman kuna watu vijijini hawanaelim yabange hakijini kwetu wanalima mpasasa
Mara ya kwanza kusikia mtu ameaga sababu ya bangi duniani
ha ha ha ha ha haaaaaaa uwiiiii jaman mbavu zangu mimi!! ad wazee wa kazi wamecheka chezea
ua-cam.com/video/ChtDpxxsCZY/v-deo.html
Kiujumla Kama serikali inafata haki na kujali afya za watanzania, basi inabidii izuie madawa yote nchini au kila aina ya kilevi. Kwanza hao wanajeshi wasijifanye kumuoji huyo mzee maneno mengi,mwenye huko kambini wanakula bangi Kama vichaa, Bob Marley anaiga. Kwanza wangeanza kukamatwa wao. Kiukweli duniani hakuna haki ila haki tutaenda kuikuta kwa Mungu, ndipo itajulikana ki sawa sawa nani alikuwa anakula bangi na nani walikuwa wanazulumiwa haki zao.Dunia ni gereza la maskini, ndio Maana mungu akaweka watu tuishi mda mfupi tufe akatulipe Yale tuliyoyafanya. Tungekuwa hatufi basi maskini wangesagika mpaka wakome.
Mbona Sigara zinaua watu kuliko bangi ? Mwachieni mzee wa watu focus iwe madawa
yan sasa ni kutafta sifa tu.
bangi is harmless
Mara bangi mara mirungi wawaulize wamarekani mambo ya kufanya vitu kwa papara unaishia kufunga watu milioni 3 na bado tatizo la madawa bado lipo pale pale
hahahahaaa!!!! jamaa anafaa comedy!
Adnan Kashogi
Daah ila hay maisha jaman mwachien tyu mzee wa watu anashidaa
Hahahaha uwiiii mbv zang mie waliocheka kama mm gonga like hapa twende sawa
Mwanahamis Nsillah 👍
Ah, umaskini mbaya sana..
Kwa kwel
Umaskin mbaya ndugu yang, tena unatia haya.
Askari:mbona unalima bangi
Mtuhumiwa: Mimi nalima bangi katumbaku kangu kadogo kakutumia ataukiangalia,,,,,
Askari:wewe hujui Kama serikali inazuia kutumia bangi
Mtuhumiwa:Mimi seseserikali naifahamu
Majibu anayotoa yamenivunja mbavu
Hahahaha Jamaa ningekua mm ningemsamehe nadhan dishi limeyumba 😂😂😂
Felix Kilave
Nimependa Yuko Honesty
Brother Huyu Dishi Liko Sawa .
Analima Hekari Sababu Ya Bangi.
Wamemsamehe
Aniset Nyaki 😂😂😂 sure hata me ningemsamehe kabisa life nadhan limempiga Sana dah
Felix Kilave jaman anatia huruma
Felix Kilave 😂😂😂😂😂😂😂😂
Felix Kilave ha ha ha dishi limeyumba ha ha umenichekesha sana
Hata mungu hamchulii kosa mja aliekosea bila elimu ya kosa anamsamehe , muelimisheni , hata kipindi cha Mtume s.a.w. kuna mtu alifanya kosa kuubwa la la kukojoa sehemu takatifu ya Ibada, watu wakamtia nguvuni mwisho mtume akawaambia muacheni kwa kua hakua anajua kua pahala pale hapafai kukojolea mtume alimsamehe,
HUYU JAMAA KANICHEKESHA SANA!! 😂😂😂😂 JAMAA HAZISOMI MNARA UMEPOTEA!! HAUSOMI 😂
What a brotherly love😊..Yani unakubali na unasema kwa nini una makosa..
Uongo kuhusu milungi (miraa). Kenya wakulima wa milungi ni matajiri. Miraa haisababishi uvunjaji wa sheria. Miraa na bangi ni vitu tofauti kabisa.
Munazingua sana
Katazen pombe zote
Ikiwemo BEER nk kwasababu
Zinamazala kwann serikal
Amulisikii hili katazen POMBE
msameheee jamani....loooo lol anatia huruma
Bahati Dan 😂😂😂
Bahati Dan lol
Naloli mwee
Watamuachia uyo
asamehewe he seems to be a hard worker
😂😂😂😂😂jaman anajitetea had anataman kuwaramba miguu 😂😂😂😂😂
Sifa tu kwan bangi nidawa za kulevywa😭😭😭😭
Sasha Nyange
Bangi sio madawa ya kulevya it is an herb and a flower wamsamehe tu sio kwa msamaha huo
Tanzania yetu inafuataa mkumbo...!! Bangi ni zao zuri sana na tena halina madhara kama tumbaku. Tunaomba bangi iaharalishwee
Bangi sio madawa ya kulevya...!! Bali bangi ni botanical agent uliniletea na Mungu kwa ajili ya mwili na ubongo. Soma mwanzo 1:29 ndio uelewe et bangi inaleta uchizi...!! Hama kweli ni bora unyimwe elimu lakini upewe akili.
Jamaa bora mumsamehe tu. Mbona Bangi 💥haina ubaya wowote
mambo ya double standard hayo....unamkamata mkulima wa bangi halafu ukitoka kazini kwako unakaa kiti kirefu unakunywa Konyagi....sasa tuangalie kipi chenye madhara zaidi hapo....sisemi bangi ni nzuri, lakini ukweli ni pombe kali zina madhara zaidi kuliko bangi na hiyo mirungi....nishapoteza ndugu zangu wengi kwa matumizi ya pombe lakini sina kumbukumbu ya kupoteza yeyote kwa matumizi ya bangi....kama kweli tupo serious tupige marufuku vyote na sio kusumbua wanyonge kwa kuwa hana uwezo wa kukaa kiti kirefu.
Bangi nchi zilizoendelea wanaruhusu kupandwa na kuuzwa hata ku export.
Denmark kuna sehemu inaitwa cristiana ni kijiji cha wavutaji n wauzaji. Wapi zinapopandwa serikali ya Denmark yajua.Ukifika Amsterdam uholanzi kuna maduka ya kuuza Coffeeshops zipo almost 5000 nchi nzima na walipa Kodi na serikali yapata kipato, hivyo hakuna uharamu wa kuvuta wala kuuza. Kila raia anaruhusiwa kuwa na miche 5 ya bangi nyumbani. Sababu hawataki biashara haram.kuna mji unaitwa( Almere Buiten) pale kuna duka la serikali lauza hiyo bangi kwa wavutaji. Ukifika California Marekani kuna maduka ya kuuza bangi kama Dawa. Tena unaenda kununua kwa ajili ya dawa ulioandikiw na daktari. Its a million dollar business .Snoop Dogg kafungua duka lake hapo anauza.
Sisi nchi zetu hizi za kimaskini Elimu hii hawatki tuijue wakati viongozi wetu wengi wanatumia Weed. Bangi sio mmea haram ni Herb kama Herb zingine.
Knowledge is power and Knowledge is for sharing.
@@alvinsafi2733 #Appreciate_Daddy 💪✌
Kweli kabisa mkuu
Its high time this suff to be legalized
Foreal
Totally
Sasa nyie mnapoteza muda wa kupambana na bang mna acha kupambana na waizi wenye Mali nyingi wanao iba kilasiku
inamazara gani bangi? kuliko sigara? serikali iangalie kwa jicho la pili?
Nam sigara zafunga nyoyo za wanainchi
True venye ajuwe ataieleza aje, anti axiety, UGONJWA macho we must not Puff we must boil the Marijuana sip it
Bangi have a medicinal value,
jaman!!!!!
I like the Tanzanian police,,,they are smart when addressing the citizens
Bangi imekuwa unga? Yaani hawa watu bwana. Awajui wanachotaka kukiondoa nchini mwao.
Sweet Mama bangi NI mijawapo ya mihadarati na inamadhara
fanya research kama kweli ina madhara....hao wazungu waliokuambia ina madhara leo baada ya research wamegundua wamefeli,nchi za watu wanatumia kutibu hadi cancer sasa.
Eriq Vuio tofauti na wanavyotumia kutibu Cancer nitofauti na kuvuta kwa upande wetu Africa
Khadija Wendo Mwachirenje Madhara ya bangi ni kidogo saaaana kama mtu ubongo wake ni wapanzi. Na hauwezi kufananisha madhara ya unga na ya bangi. Watu wanatumia na wanafanya shughuli zao vizuri na wanafamilia zao kabisa. Mke analelewa vizuri na watoto pia. Yaani kwa kifupi waache kuweka BANGI kwenye mkondo wa UNGA. Waache upuuzi wao bwana. Kupotezeana tuu ramani za maisha. Sasa angalia kama huyo baba. Akivuta inamsaidia kuwa fit nakufanya shughuli zake. Sasa asipo tumia ataleaje familia yake? Wang'ang'ane na vitu vya maana na vyenye kuangamiza watu waachane na BANGI. Tena Bangi ni mjani tuu kama mti wowote uotao shambani au maporini. Ni mjani kutoka kwa Mwenyenzi Mungu. Pia ni dawa. Wakaangaike kushika vibaka uko. Matapel, Majambazi, wabakaji na kadhalika. Ukiangalia ma hospitalini hawana dawa, vitanda, magodoro, mashuka na vitu vingine muhimu wanakuja kukimbizana na bangi. Mimi kwangu naona ni upuuzi hawanajipya. 😏
Sweet Mama wacha mwanao aanze kuvuta then utajua ubaya WA Bangi ,,
C sahih kufany njia zisizosahii kinyum na mapenz ya mung kusingizia vum vimeban kuvunj utalatib wa nch husik
Daah hofu imemjaa masikin mbk anacho ongea ni kituko tu
😯
Mackini dah!
Saum😄♥️♥️
Hahahahaha aki I op aliachiliwa.. kujitetea kwake hufanya nicheke tu! 😂😂
Nimeficha Jamani! 🙉🙆🙉
Uyo hafungwi 🤣🤣
I see it looking smart
Eeh mwenyezi mungu jitogeze utusaidie sisi wanyonge hatuna pakwenda zaidi yako wewe babaa
Jamn huyu mzee ni shida tu masikini
Ukoloni mambo leo! Achaneni na mzee. Bangi haina madhara!
Jamani anahurumisha
Vp
Umetisha father noma sanaa
Mwacheni uyu mzee Weed is natural and nothing wrong with weed .In Kenya its about to be legal fyi
God create all the plan....and says all are beatifull...bt don't tao advantage
Hiyo ni dawn nzuri ya degedege
Beef Beef 😂😂😂😂 seriously ni dawa ya degedege au?!
Bhang ( Marijuana ) it has positive impact to the human being body thus it help to increase the transmission of nerve impulse to take place very rapidly thus may result to hard working,Thinking capacity take place fast.Sigara inanadhara kuliko bang kwasabab inaaffect mapafu na ukivuta sigara moja unapunguza sekunde11 za maisha yako.Bang haiaffect mapafu Bali inaaffect akili hivo msikilizen mzee mpeni onyo tu
GANJAAAAAAAAAAAAAAH DE BEST HELB,
kwa MTU anayesoma saikolojia, bas angemfikiria vzr sana uyu mzee
Kama umependa kujitetea kwa uyu mzee like apochini na Kama ujapenda bc dislike apo chini
Nimepnda sna
Daaa pole San mzee
N Sawa Kuzuia Bangi Lakn Mkuu Kuna Wengne Bila Kula Mirungi Hatuwezi Kufanya Kazi Na Pia Haina Madhara Kabsaaaa.. #FreeMirungi
Zayn Maleek kuja vacation kenya utapata mirungi
Nakubali niga
Hapana si sawa
Dah inaumiza sana kwa kweli ,kaka mellard nataka namba zako .
Daaaaaa inaskitisha...! 😢 😢 😢 😢
Huyu asamehewe tu.... Amejitetea vizuri... Serekali ijenga nchi umaskini ikiisha Africa Mambo kama haya hutayaona....254
kazi ipo!!
jamani mpaka machozi yamenitoka😢😢 alingumu msameheni
Mh baba Wawatu Bora Angelima mahindi yake
Salimatu yahhaya haha huyu bwana ako sawa
Mnashindwa kukamata wezi mnakamata vijana wa waziri bashe ..... Wanaofanya kazi zao kwa bidii kbsa . Hii Tanzania 🇹🇿 au karagwe gn ambako mwanajeshi anakamata bangi .
Sigara inaumiz na kuua kila cku lakn haikatazw bhangi inacure kansa lakn ikatazwa... Kwel ndio akil hy?? Na mbona serikal inachkua kodi ya rizla waltak tul rollie nini???
huyu jamaa.masikini weeeh mie ningemsameheee maama.anasema kila kitu anatowa ushirikiano kabisa
Bimkubwa Ali motoo
Mnamkosea Mungu sana. Bangi ni mmea alisia. Pigeni vita pombe. Na bangi imetajirisha watu kama sio vikwazo vyenu
Alokamatwa na bangi nae bangi🤣🤣🤣🤣
bangi inamatatizo gani jamani kitu chochote kilicho umbwa na mwenyezi mungu akina madhara kwa utumiaji wake
I wish Kenyans police could learn how to arrest a person
😅 😅 Napenda inavyo muda wa 4 20
Hahaha kasema ukweli wake
Heal of the nation
muacheni jameni ina maana hamuoni tu alivyo
Jmn mungu awasaidie
Serikali ya Tanzania bado sio hao waliosema na kuwa bangi ni mbaya mbona hao sasa wamehalisha Inchi inapoteza mapato wangeacha watu walime kisha watengeze dawa za mauvivu kifafa, saratani na mengine mengi
Msamehe aki amalima
tz police r nice mmmmhh, Kenyan police watakuchapa na hizo bangi zako
Huwezi kuchukua shilea mkononi ikiwa vyombo vipo
@@fatmarashid2384 siyo Shelia sema sheria
@@godblessmbise3781 Nyooo
@@fatmarashid2384 nyoo nini na niukweli sio shleia ni sheria hujui kuongea sawa basi pia kutext huwezi dah!!!!
Kenya unachapwa nayo ukiitwa nyangaooao oo....wewe unadhani mimi ni nyanyako😂😂😂😂
Wow Tz swa is so fluent hata hakuna kumix na english...
BANGI IHALALISHWE TU. HAINA MADHARA KABISAAA
Babylon don't like it so evil 😈 wicked system one day you pay for what you are doing for this innocent hard working man
Yaah man. This is Babylonian system
wachaneni na bibi hana makosa
,mxamehe Hanan
Mungu musaidie kbx
Hahahahaha kweli dunia ina mambo yake
muacheni 2
Mwachilieni jameni serikali yetu.. Kuko Wale wanauaana nawanakana🥺🥺😭😭
Mbona hamukamati wauza unga jamani uonevu huu vikete viwili tu mnamnyanyapaa kuna wauza unga wakubwa humu tz hatuoni kamata kamata kulikoni na wanajulikana na unga unapitishwa uwanja wa ndege haifai kukamata wanyonge wakati wapi wanene aaahh hii siungi mkono mpaka nione wauza unga videoni
kisukuma
Wasenge Wanazarau Sana Hawa!! Wanaruhusu Pombe watu wakinywa wanalewa Kisha wanaanzisha Ugomvi wengine Wanatukana Mpaka Wazazi Wao. Sigara Sio Nzuri Hata Kidogo Lakini Kila Leo Matoleo Mapya Yanazidi Kuongezeka. Alafu Mnazuia Ganja huku Mnachukua Ushuru Walizla.
When Tanzania will become free
Probably NEVER
Uhuru gan
Mirungi iko sawa , Kenya hadi viongozi hutumia
Fala sana,,, mirungi mlime mkitoa beu wapi😂😂
Sigara mnawaruhusu. Sigara imemaliza watu lakini yenyewe power. Crazy
Yuko sawa
RAJUM PICTURES kabisa
kawaida
Mzee asamehewe hakuna mtu mzur kama msema kweli mhurumieni jaman
sasa uyu mkubwa mbona aongelei cocaine anapambana na mirungi na bangi? unga unamadhara sana jamani vijana wanakufa kila siku kwajili ya unga.Mkuu usisahau unga uo ndo wenyewe unauwa.