Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
Thank you very much Mr Joel Nanauka... Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,, Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,, Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji.... But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough. Thank you Joel 😊 this story made me cry. Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
Nimedawnloded video zaidi ya 250 za hivi ila hii huwa naiona ni ya ushindi Sasa huwa napenda sana kuiludia ludia maana inanifanya niwe Mature in all 6 areas but only financially mature
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
Me na miaka 23 ila naona umli ushaenda sana nasoma udom naweza kuibua kipaji changu cha mpira mwaka 2017 nimecheza mechi kubwa sjawahi kucheza ila darsani nilikuwa spendi sana shule badae nikapenda shule nikapunguza michezo naweza kuanza tema sahv nipo chuo kikuu cha UDOM nimesoma certificate na diploma ya information communication technology na sahv nipo degree
Nina jitaidi sana kukufatilia agarau kile nilicho kosa darasani agarau nipate ata kidogo kwako ninacho oba mungu akulinde akupe afya jema ware tulio nahamu nashauku ya kujifuza kwako tuederee kunifuza
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
Believing un seen Hapo mm kabisa kila nikiongea lazima nijenge gorofa hawaelewi, lazima niende China nikajibiwa kwa maneno ya Iman but what i believe others cant believe
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha Am so excited to see One day i will meet you again if god wish
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
Mimi nilikataliwa na baba yangu mzazi ni kweli ni maumivu makubwa lakini hiyo imenipa ukomavu mkubwa sana na moyo yaani nimetokea kujiamini na naona chochote kile naweza fanya . Mimi kukataliwa kumenijenga.
Mimi niliambiwa na fundi wangu alokuwa akinifundisha kushona , alinambia we hauwez kufanya chochote kwa hii kazi bora ukalime nyumbani , ila sikukata tamaa nimesimama na mpaka sasa nimekuwa fundi bora kumshinda
Nilikata tamaa nakujiona sistahili kabisa . Ila kuanzia Leo nyanza kujiona mimi ni bora zaidi naninaweza kufanya mambo makubwa pia najiona ni mtu mwingine
Asante sana professor Joel nakumbuka 2013 nilikua nafatilia passport ili naende zangu Oman 😅nikawa namwambia sister nikifanikiwa nataka kujenga nyumba nitanunua gari tutaishi km watu wengine vile wanaishi😅😅😅alinicheka wakati huo mshahara ilikua laki 2.5 tu bac imechukua muda kufika kununua kiwanja nikaanza kujenga na now tunaendea kumalizia ujenzi sasa hivi yy alieye nicheka ile siku namwambia kuhusu kujenga ndio ananihamasisha kumalizia nyumba haraka so kukataliwa tunakataliwa hata na watu wetu wakaribu maana hawaamini kile ambacho unataka kujifanya akifikiria kazi yenyewe ni kazi ya ndani sikukata tamaa kutoka kwenye shahara wa laki 2.5 mpaka sasa napata mshahara ambao kuna watu wamesoma na wapo oficn wanaringa bado lkn hawapi mshahara ninao pata na sina hata mtu wakunipa maneno mazuri ila huwa najifariji mwenyewe nikijiangalia kwa kioo najiambia never give up 😂😂😂zulfa
Hongera Zulfa kwa ushuhuda wako huu, inatia moyo na inathibitisha kuwa kama mtu hatakatishwa tamaa na maneno ya watu wengine, basi anaweza kutimiza ndoto na malengo yake.
Mamboo
@@joelnanaukaasante sana kaka Joel Mwenyezi Mungu akuoe umri mrefu INSHAALLAH na afya iliyo njema umri mrefu afya njema ni bure nimekuwa nikijifunza mengi na kufarijika kila nisomapo vitabu vyako natama kuoaza sauti ili kila mtu asome vitabu vyako nimesoma juzi kati katabu cha mkombozi wa family kuna page ya mahusiano na family yani ni km umeniandikia mimi jmn km watu wanaweza bac wengenunua hiki kitabu na wakakisoma Mwenyezi Mungu akubariki sana hii video imenigusa sehem nyingi ni vile cwezi kueleza yote ❤❤❤❤❤
@@lutherngoma1270poa
Mashaallah 😘🦋
Mwanangu joel God bless you nimekua nikifatilia vipindi vyako nimegundua kuwa mungu anakusudi kubwa kwako ili kuwaokoa wana wa israel wa kizazi hiki sasa, joel wanangu mungu azidi kukulinda wazushi,natamani npate mawsiliano yko wanangu,kuna neno unisaidie,
Hivi mna uhakika Joel nanauka ni mtu wa kawaida?????? Kama ni mtu wa kawaida basi mungu kampendelea sana 😂🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎄🎊🎊🎊🎊
Nani kasema wakawaida😅huyu n malaika mbona mwenye vityu vyake
Sijawahi juta toka nikufarilie,nilikua natamani nisome lakini nilikatishwa shule nikiwa darasa la nne kutokana na maisha yetu,nikawa nafanya kazi za ndani nilichoka nikaolewa mume akanitesa sana nikaachana nae akanipokonya watoto ,Mungu akanijalia nikapata kazi ,omani hivi sasa nipo nchini Dubai hakika ni kwaneema ya Mungu nimeweza jenga na kumjengea mama yangu ninahitaji siku nifungue mgahawa mkubwa Dodoma naamani inawezekana kwa neema ya Mungu. Mungu akubariki sana @Joel Nanauka
Hongera sana sana, Pole kwa mapito magumu na hongera kwa ujasiri wa kuchukua hatua.
Keep it up, Mungu aendelee kukupigania.
@@joelnanauka🎉
Hellow sir@@joelnanauka
Nimeongeza kitu kikubwa sana leo
Joel Joel Joel nmekuita Mara tatu saut yako Ni mwangaza mungu ambaliki mama ako🌟🌟🌟
Ameen Ameen 🙏🙏
Bro Tokea nianze kukufuatilia January 24 hii Maisha yangu yamebadilika Sana MUNGU akupe Maisha malefu kwa lengo LA kukomboa hiki kizazi Amen
Tuko wengi tunao mfatilia Kwa mwaka 2024
Kweli mimi naona hivyo ,kuna jambo nalifanya nimelianza 2008 wakati nahitimu kidato cha nne hakuna alie niamini mpaka wakasema siko timamu 2016 nikaanza utekelezaji wengi pamoja na ndugu wakaproove maneno ya kuwa siko sawa , 2018 nikaanza kujenga wao wakashauli ninunue usafiri nikajibu moyoni hawaoni ila wataona 2022 nikaomesha utofauti wa maono wakanza kunikwepa nina ofice yangu wengi wananiona tofauti na wanatoa shuhuda na nimfano kwa kufauru kwa ninayo yafanya ( sasa nanauka nimemuona 2023 naona huyu ni mtu / mwalimu wangu tangu 2008 maana yote yaliyo nkuta ndo ansisitiza zaidi nikama ananiona nkiwa nasikiliza nakufuata joel mpaka ulipo unipokee ) yaani nimekusiliza 2023 tuu ume nitosha wewe
Ahsante sanaaaa
Kaka, sina la kusema. Hongera kwelikweli. Umeletwa na Mungu. Twende mbele. Kanyaga twende ndugu yangu. Bado hujafika nyumbani. Kwa kazi hii nzuri, bado unalala chini kabisa. Na godoro bado huna. See you kuleeeeee KING
no retreat no surrender!! it is not over until its over !I feel impowered impressed with your strongest and fruitful speech!! in my journey to my future endeavour!! thank you in advance!!!!!
51:42 Ninachokipata kwenye speech zako kinanipa nguvu sana. Mungu akubariki maana nimebadirika na kujifunza mengi.
Asante kaka kwa elimu bora na maarifa unayotupatia,mungu akupe maisha marefu,kwani elimu unayotupatia huwezi kuipata sehemu nyingine bali ni kwako tu.
Amen, ahsante sana kwa mrejesho🙏
Ahsante MUNGU wangu muumba mbingu na nchi na vyote vilivyomo,na shukrani za kipekee zikuendee ww kaka Joel Ahsante sana Kwa mafundisho Yako yanazidi kuniimarisha kuwa Bora kila iitwapo Leo mungu akubariki sana nd I appreciate you ❤❤❤
God bless you, it's very powerful speech
GOD bless you uncle this is all about me...from now on am changing
Huyu ndo mentor wangu kitambo,,ndo kanifanya nafanikiwa...huyu jamaa anapaswa...akupe maisha marefu sna
Joel Joel Joel you're special one nadhan inabidi serikali ikupe heshima inayo stahili
Kujiamini ni nguzo muhimu sana.Maisha ni mtihani usiyoisha maswali.Tunatakiwa kuwa imara Sana kiakili Ili tuweze kufanikisha malengo yetu.Mungu azidi kukubariki Joel Nanauka,Great Inspiration.
Barikiwa sana mentor wangu🙏✅
Naam ndugu, nashkru siku moja moja unatuzawadia dakika za kutoshaa..Kama hii leo dk. 71. Somo la leo nalipokea Kama zawadi ya Krismasi & Mwaka mpya 2024. Salaam toka 🐟 Mwanza. "Usisubiri kila mtu aone unachoona ndipo uanze Safari yako"(spiritual toughness)
Sawa sawa nashukuru sana, nimepokea pia na ushauri wako🙏
Suala la emotional toughness. Asante sana🙏🏽. Emotional situation ina affect hadi uvaaji na muonekano pia🙌🏽. Ubarikiwe mno Joel Nanauka
Amen Amen, nashukuru sana
Imeisha imeisha. Imeishaje😂😂😂
Maumivu ya kukataliwa ni madogo sana kuliko maumivu ya kutofanya ulichotakiwa kukifanya.KUKATALIWA MAANA YAKE HUJAELEWEKA KABORESHE TENA ULICHO LETA.When you learn more you earn more.
Good 👍
Thank you very much Mr Joel Nanauka...
Umeletwa kwangu katika kipindi sahihi..,,
Sijutii kabisa kuangalia Video hii mwanzo mwisho,,
Nimejifunza mambo mengi na nimepata Nguvu ya kuendelea na Maisha ingawa nimepitia mambo mengi sana Mwaka huu ikiwemo kupoteza Mzazi, kufeli chuo, kupoteza mitaji katika uwekezaji....
But I believe One Day Mambo yatajipa tuu,, Mungu ni mwema and I'm grateful ninaishi 💪
Pole sana
I lost my parent at a young age, and the people I expected them to lift me up don't show. Now, I have 26 years. Indeed, I have a mental toughness, but I still wanna be extraordinary and wanna improve on these 7 tips . Life never goes easy but we human beings get tough.
Thank you Joel 😊 this story made me cry.
Let me know which seminar of yours can i join I really like your speech.
Bro Joel, hongera Sana, kila niangaliapo kazi zako, napata hamasa ya kuongeza bidii katika kuboresha kuyafanya yaleambayo ni kwa ajili ya wengine kupata kufungu nguliwa kwa uzuri wa kuyafikia malengo yao kadhalika na Mimi katika yangu, mwenyezi Mungu mwenye Rehema akuongoze na kukupigania daima katika kutimiza kusudia alilo kutuma
Leo ndio nimepata bahati ya kusikiliza kiongoz wangu live 🙏🙏
Nashukuru sana🙏
@@joelnanauka🎉
What a powerful presentation God bless you bro uwa natulia lisaa na zaidi kupata masomo yako hapa UA-cam
Asante professor. Very pure words. Filled by wisdom. Live long brother. As a society, we need your teachings. Keep going!
Ahsanteeee
Knowing you at my Fifties 😂nabaki kusema "It is never late"my success is in my mind.
May God keep you for this generation.
Keep going no matter the age🙏
Big respect Mr nanauka kiukweli bila kuficha unajua already I transform my mind because of you!!!!
Yani wewe Joel ulizariwa kwa ajiri yetu naamini kila anaekufatilia lazimaaaaa atoke atua hi nakupanda atua nyingine Mungu akubariki sanaaa❤❤❤
Big up sana Brother you are doing very excellent JOB.
Kukataliwa meaning rejection test your commitment. VERY POWERFUL POINT NIMECHUKUA.
Akuna mafanikio mazuri kama Yale uliambiawa Ayawezekani barikiwa sna kaka joel
Nimedawnloded video zaidi ya 250 za hivi ila hii huwa naiona ni ya ushindi Sasa huwa napenda sana kuiludia ludia maana inanifanya niwe Mature in all 6 areas but only financially mature
What a powerful presentation! May God bless you.
Had something from money formular, ASSERT VS LIABILITY
Mungu akubariki sana kaka Joel certified life coach.
Asante sana kwa mafundisho mazuri. Naamini hatma za wengi zimepata mwanga. Ubarikiwe sana Joel Nanauka
Nmejifunza kitu kikubwa Ubarikiwe sana❤
Hata mimi nilishawahi kukataliwa,lakini sasa niko vizuri sana.
Hakika nimejikuta mpyaaaa baaada ya hili somo MUNGU wangu akutunze saaana kwaaajili ya utukufu wake
Ameen Ameen
Kaka nakushukuru sana kwa mafundisho hakika wewe ni mtu wa mhimu sana kwangu hakika sijutii kukufatilia Mungu akubarik umenifundisha mengi
Mungu akubariki kupitia masomo yako nimevuka vipindi vigumu na leo mm ni mama mshindi hakika nitaendelea kuamin yote ninayoyaona moyoni mwangu na ninaiman yanatokea.
Mwalimu mzuri sana. Be blessed
Ameenn yan i was stressed ila wow am ok
Mungu hakulinde
Umenitoa mbali maneno yako ni zaidi ya faraja.
Ameen Ameen, nashukuru sana🙏
Umenifunza kuwa imara mungu akubariki sana bro
Historia ya familia yangu na historia yangu huwa kila siku nikiifikiria inanifanya niiue kweli Mungu anaishi
Nimejifunza kitu kipya,asante sana
Me na miaka 23 ila naona umli ushaenda sana nasoma udom naweza kuibua kipaji changu cha mpira mwaka 2017 nimecheza mechi kubwa sjawahi kucheza ila darsani nilikuwa spendi sana shule badae nikapenda shule nikapunguza michezo naweza kuanza tema sahv nipo chuo kikuu cha UDOM nimesoma certificate na diploma ya information communication technology na sahv nipo degree
Nimejifunza kitu kikubwa
Chenye napenda zaidi nikuwa tunachambuliwa kwa lugha ya mama tunanauka vizuri kabisa mbali lugha za kigeni hongera sana mkuu..
❤
Kiukweli kaka Joel nlikuwa nimekata tamaa mimi ila hii clip imenipa nguvu na naamin ntafanya vilivyobora zaidi na sintokata tamaa kamwee
Siku moja nitaisimulia kwa ulimwengu mzima
1:02:57 "Kuwa na furaha ni maamzi yako wewe mwenyewe ". Nimeipenda.
Asante umeinipa nguvu yaku songa mbele.
Successful people always seek mentorship ,to me Mr Joel Nanauka you're my mentor
Kaka joeli uko vizuri Nina tamani kuwa kama wewe kwenye misimamo
Tuendelee kujifunza🙏
@@joelnanauka amina
As long as I breathe I’ll never give up in my life 🙏
No giving up💪🏼
As long as breath I'll never give up in my life.
Amina
Hii ndo nimeanza nayo asubuhi.
Asante sana mtumishi 🙏
Nina jitaidi sana kukufatilia agarau kile nilicho kosa darasani agarau nipate ata kidogo kwako ninacho oba mungu akulinde akupe afya jema ware tulio nahamu nashauku ya kujifuza kwako tuederee kunifuza
Kwaza na mushukuru mungu kwa kuzidi kunipa nafasi na ya ku endeleya kuku sikiliza
Niliwayi kuwambiwa kuwa Sito weza kununuwa viwaja wala ku jenga vikanitiya hasira nikapeka hasira zangu kwenye ku pambana aliye nambiya ni ndungu ni kapata nafasi ni kasafiri Saudi Arabia mwaka 2019 nikaaza kazi ni liyaza kuku sikiliza siku nyingi ni ka tuma mtu aniwuziye vitabu byako akaniyagiziya sikujali garama ili binifikiye nili hakikisha na bipata nikaza kusoma
Kwa Sasa nina viwaja na manyumba na byashara niliyo iyazisha aliye nambiya siwezi chochote ndiye niliye muwajiri na Sasa mimi joo boss wake na account ina soma vizuri I'm 26 years alhamdulillah never give up
Mungu azidi kuku bariki ume nikuza ki akili ❤🇧🇮
Shukhani Sana
Hongera sana sanaaaaaa👏🏻👏🏻👏🏻
Powerful teaching barikiwa sana mutumishi wa MUNGU ❤
Asante sana ninavuka sasa
Nmeikuta hii leo live nmefurahi sana nipo pamoja na wewe kaka joel
Thenx brother my GOD BLESS YOU
A wonderful being.. the heaven send guy.
Joel! Nice having u
Tuko pamoja sana kaka
Excellence is everything Amen
Ubarikiwe San mungu akulinde akupe afya uzima umri mrefu nizidi kujifunza 🙏🙏🙏
thanks professor I was in emotional breakdown now I understand I have to move on,Godbless in your mind
Keep going 👏🏻👏🏻
Mungu azid kukubaliki
Ameenn
Uko vzri mkuu
Umemaliza kila kitu Prof🙌🙌🙌🙌
Na uwezo kubwa sana wa mpira ila nimepambana sahv nimeamua kusoma tu baada ya kuona changamoto nying ambo mengi sana
Ubarikiwe
Asante bro
Asante sana🙏
Mtumishi napitia hali mbaya nashindwa kufanyaa maamuzi nimekuwa muoga kila jambo nalikatia tamaa nashindwa fanya maamuzi nawezaa nikajua kuwaa nakosa nazdy amini nashindwa kujitoa kwenye hi hali cjui nifanyejee niludy kuwaa sawaa
🙏🙏🙏leo nimepata nguvu mpya kabisa😀😀kuanzia leo sitoogopa tena rejection
Believing un seen
Hapo mm kabisa kila nikiongea lazima nijenge gorofa hawaelewi, lazima niende China nikajibiwa kwa maneno ya Iman but what i believe others cant believe
Had something from money formular, ASSERT VS LIABILITY
Kabisaaa
Asante sana bloo joel naamini mungu alikuleta kwa makusudi duniani umekuwa tunu kwangu mungu azidi kukubaliki na kukupa uzima tuzidi kula matunda yako
Nimesikiliza tangu mwanzo,nimepata madini ya kutosha,Mungu aendelee kukutumia kwa ajili yetu ktk maisha yetu ya kila siku.
Unachokipata nijuhudi zako,ili kiwasidia wazazi wako,mwenyezi Mungu atupe nguvu na uimamara wa kuwajengea nyumba.
Shukrani sana kiongozi hakika kuna kitu hapa nimejifunza, Mungu akubariki sana.
Wafanya kazi za ndani hasa mlioko nje nawapenda Sana Sana sana hongereni Kwa ujasili japo mwanzo sio kitu chepesi lakini Kwa msaada wa Mungu Maisha yetu ni sawa na wasomi maana tuna alama za kuonyesha ktk utendaji kazi wetu tuzidi kupambana tu Mimi nimwenzenu Mungu hajatuacha labda tumuache sisi
Brother joel nilikutana na wewe karibu na mwaka tower z o office, nilisau kukuomba picha
Am so excited to see
One day i will meet you again if god wish
😂 mimi nawaambia familia yangu kwamba mimi ni tajir wanacheka na kunikosoa lkn nawaambia nyie subilini na napambana kweli kwel na kumuomba mungu kile ninacho kitaka na nina lmani nitakuwa boss lady soon watanisalimia kwa heshima never give up
Mimi nilikataliwa na baba yangu mzazi ni kweli ni maumivu makubwa lakini hiyo imenipa ukomavu mkubwa sana na moyo yaani nimetokea kujiamini na naona chochote kile naweza fanya . Mimi kukataliwa kumenijenga.
Nakupenda sana kaka Joel MUNGU akuinue zaidi MUNGU akuzidishie
Thank brother you have a lot for many to reach their dreams and vision
Ameen Ameen, ahsante sanaaa🙏🙏
Be blessed brother 🙏
Asnte kakaangu wewe ni watofaut sana Mungu akutunze uzidi kutuamsha
POWERFUL MESSAGE (NAKUMBUKA KISA CHA SEVEN UP)
Mimi niliambiwa na fundi wangu alokuwa akinifundisha kushona , alinambia we hauwez kufanya chochote kwa hii kazi bora ukalime nyumbani , ila sikukata tamaa nimesimama na mpaka sasa nimekuwa fundi bora kumshinda
Aseeee Rejection inaumiza sanaaa imenikuta mara kadhaa great five times rejection i had meet It was harder and painful but somehow I overcomed.
Hongera sana sana, keep going 👏🏻👏🏻
thanks mkuu nimepata kitu sasa naweza kuendelea nilipoishia.
Nilikata tamaa nakujiona sistahili kabisa . Ila kuanzia Leo nyanza kujiona mimi ni bora zaidi naninaweza kufanya mambo makubwa pia najiona ni mtu mwingine
Funzo zuri sana ktk maisha. Jitahidi sana kuifikia new generation taifa litapona