Nyimbo imepangika vizuri sana. Mtunzi, aliyetia muziki na aliye imba ni yeye mwenye, kwa hiyo ladha imekoleya. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
Kama omary kopa angekuwa hai TAARAB isingekuwa imekufa kama ilivyokufa. Huyo ndiye hasa angeshindana na mzee yusuph. Kama unakubaliana na mimi gonga like
October 2024 King of taarab no one like you ever 😢 ndio mimi ndio mimi anipate hupoaaaa na animkataee hujutiiaaaa aiyeeeeeeee aaaaaaaaahaaaaaaaaa hapo kwenye kughan uwiiiiiiiii I love you omary wanguuu
Daa wakati anaimba wimbo huu ndo alikua anaumwa masikini nakumbuka siku hiyoo mama yake aliimba wimbo wake omari akiwa hospital magala zakhem enzi hizo aliimba huku analia pole sanaa mama sisi sote wapitaji
May his soul r ip...i used to love him..i loves his songs till today..his voice was good anaghani sijasikia saut yake labda kwa ahmed Mgeni may his soul rip too for now hakuna...wanaimba no kughani na mahadhi...
Kifo chake nililia sana. Nikiwa na mimba 2007. Nilitaka kwenda Tanga lkn jamaa nyumbani walinigombanisha sana. Nitoke Mombasa keenda kumzika mtu hata sio jamaa ya gu. Nyinmbo zake zilinijaza mapenzi sana. Mpk leo huwa naskiza
Nimerudi hapa 28 December 2024 baada ya zuchu kuimba hii song na mamake Khadija kopa kwenye usiku wa hinna jana.gonga like kama uliona
Mm pia shost 😂😂
Omary alijua kuimba sana hii taarabu ❤❤
2024 nipo hapa natafuta nyimbo ya harusi na sijapata bwana harusi 😂😂💔 inshallah ipo siku ntakuja kueka hii nyimbo nikiwa na mume wangu 🙏❤️
Mimi nipo apa kma utojali bibie
😂😂😂😂
Kaka anasautiii inasisimuaaaa❤❤❤ hii sasa ndo TAARAB 2024 Still inagusaaa
Nyimbo imepangika vizuri sana. Mtunzi, aliyetia muziki na aliye imba ni yeye mwenye, kwa hiyo ladha imekoleya. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi
Kila nikisikiliza hi nyimbo inanikumbusha mbali sana adi sasa naipenda sana2024
Jamani naipenda hiii song love it💯💯💯💯
Kama omary kopa angekuwa hai TAARAB isingekuwa imekufa kama ilivyokufa. Huyo ndiye hasa angeshindana na mzee yusuph. Kama unakubaliana na mimi gonga like
KWA MOTO WA MAREHEMU OMARI HATA MZEE YUSUPH HAINGII KABISA.
Kwanza mzee yusufu alikua amfikii omary kopa kabisaa
Xana mungu ampunguzie adhabu ya kaburi
@@PatrickHebron-ge3xe Ameen😭😭😭
Mzee yusuph huyu angelimuonea kwa mbali sanaa....MashaaAllah alikua anaimba si haba..Allah amfanyie wepesi kwenye adhabu za kabri ,,,ameen yarraby😢
Allah akupe kauli thabiti huko uliko
Kama upo 2020 na umeiplay hii gonga like twende sawa
I a
Ampekauli thabiti kwa lipi sasa
Hii nyimbo kama kaimba jana wakati Dec 2024, MUNGU amlaze mahali pema inshallah amsamehe madhambi yake
2023 still loving this song💕💕💕💛💚
🎉❤😮😢😅😊
2019 love you forever omary sijamuona anajua kughan Kama ww
October 2024 King of taarab no one like you ever 😢 ndio mimi ndio mimi anipate hupoaaaa na animkataee hujutiiaaaa aiyeeeeeeee aaaaaaaaahaaaaaaaaa hapo kwenye kughan uwiiiiiiiii I love you omary wanguuu
Leo 2021 bado unaishi moyoni mwetu Mungu akuweke sehemu salama omary 😭🙏🙏
Dar Aise Kweli Uyu Bwana mkubwa Ndio alikua mfarume wa Taharabu R.I.p .2019 Bado iko good zaid
Daa wakati anaimba wimbo huu ndo alikua anaumwa masikini nakumbuka siku hiyoo mama yake aliimba wimbo wake omari akiwa hospital magala zakhem enzi hizo aliimba huku analia pole sanaa mama sisi sote wapitaji
Alikuwa anaumwaaa nini
Omari kopa na mzee yusufu
Duuuuuuuh!...nyimbo inanikumbusha marehemu Amina chifupa alikuwa anaipenda sana kwenye kipindi chake..
KOPAAAAA!!!!!!!alikuwa hatariiiiiiiiii..na Wala hatotokea mwengineeeee
tugombane asubui jion tunaongea kama naimbiwa mm omari mungu akulaze pema pepon
R.I.P OMARI
pole Malkia Khadija Kopaaa kwakupotezaaa hiki kifaaaaaa Daaaah huuuu Wimbooo unaniumizaaaa Pumzikaaaa kwaaa Amani Omari Yusuph Kopaaa
Amigo
Jahaz
05/09/2022 12:55 nasikiliza this song😭😭 Allah amrehem Omar kopa
Anacheza mechi zangu number zote hucover yeye 👌 Omar hakuna mwengine wallah
Mungu akurehemu, akuswamehe madhambi yako, akueke palipo na wema amin.
Saut nzur nimeeanza kumsiliza tangu utoto wang..mpka leo2023 pumzika kwa aman
Alikua karithi sauti kwa mamake Huyu mashallah...Mungu amrehemu aliko...
pumzika Kwa amani kaka yetu kipenzi
Ioyuiuppppl my
Yes sauti kama ya mamaake . He was good kwa kweli. Mungu amrehemu
Omari mi shabiki yako mpaka 2021 japo nnapoisikia napata machungu mashaallah Allah akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia.
Mungu akurehemu inshaallah
May his soul r ip...i used to love him..i loves his songs till today..his voice was good anaghani sijasikia saut yake labda kwa ahmed Mgeni may his soul rip too for now hakuna...wanaimba no kughani na mahadhi...
minnah minnah hammer q ana ghani Sana pia
Me too I loved him soo much may his soul rest in peace 😥😥😥😥
Huyu jamaa hatotokea mwengine kama yeye nlitokea kukupenda sn toka utoton till now 2024 😢 RIP
daaah kam yupo vile MWENYEZ MUNGU akupunguzie adhabu kaka angu.
Nakupenda milele Amina....Mungu akulaze mahala pema peponi Omary Kopa.
Daaaah nashukulu Mume Wangu kwa wimbo mzuli nimeupenda sana Mungu tujarie tuzidi kudumu
Pambeeeee mahaba kama yoteee miaka mia na ntakupenda omary pumzika kwa amani baba Allah akuepushe na adhabu za kabri
Pambeeee naipenda sana hii daaaaah
2021, Nan tupo pamoja🔥🔥🔥🔥🔥
Kama bado uko hapa 2020 leta likes ya marehemu❤⚘
ok
Daah umeenda na utamu wako😭😭😭 hakika huu ni msumari na uliwachoma kotekote
Naipenda sana hii nyimbo
@omary copa
Athumani Idd mohammed kamota,, kiukwel Omary Kopa alikua ni mtunz wa mashair na huimba taratiiiib hakua na papara R, p,, Omary Kopa.
2020, nani tupo pamoja?
Tupo
Ya mola
Eeeeh ,uliye danganyishwa na dunia ,ukafanya mambo mengi una nguvu una jeur hakika ya umauti unakuja ghafla na karibu ni saduku la matendo yk
Lala kwa amani mwamba wewe ndio mfalme wa Taarabu 2022 tuzo zilikuwa zako
Ushambenga n ware watu wanapenda kufuatilia mambo ya watu na kugombanisha
Mungu akuraze mahari pema amin
12/02/2022 still is one of my best of the best songs
Hi ni bahat yngu kanichaguwa yy
Same here
Naku kubali
Mke wangu
Alla amrehemu jamani huyu mtoto alikua anaimba jamani karithi kweli namrithi huzidi jamani pole mama diiii
I love 💝 this song nice voice mshllh
ameapa hatoki kwangu, mnokerwa mjiueee
Nani yupo hapa 2020 kama mimi
2021
Jamaaa anajua
2023👌👌👌 October
Aisee huu wimbo unanikumbusha mbali saana
Napenda sana huu wimbo
2021 still🔥🔥🔥 endelea kupumzika kwa amani
Nice song love it
Tugombane asubuhi jioni tunaongea👌👌👌
mambo hayo raha tupu pambeeeee
Ulazwe pema ln shaa Allah,
Ameen in shaa Allah
Mungu akulaze mahali pema peponi
kugombana si twabia yetu, kupatana kawaida yetu
Vitu kulishana ndio raha kwetu, Kushikana shikana haina shobo kwetu
Kwake khadija kopa.
Pokea salamu kutoka kwa famili yangu kwaujumla.
Ala pia tuna sema pole sana kwa msiba wanguvu ulo kugusa.
regendar Wa taarab rest and piece for ever
Huyu jamaa tishio kwa tarabu mzee yusufu akasome engekua hai
Mpaka Dunia itaisha atotokea kma Omar ktk taarab kwa waimbaji wanaume
Wallah nyimbo zake pambe 2022 yni haziishi utamuuu
Swadakta
Old is gold listening in 2020 rip kopa
Ulikuaga hatari mungu akuweke mahali pema
R.I.P omary kopa.. kamanda wa kughan mashairi.. njia ni moja umetangulia na sisi tunafata.
Kaa bila kurukaruka baada ya kumchagua mpenziye. Nani amekushurutisha?? Zoea mapema, Kaka wee! Dr. Ogeto International
Yani mpaka 2023 tunasikiliza mziki mzuri
Lo hatatutoka mioyoni mwetu. Huyu ndiye alikuwa anakuja kuwa kumrithi mama fani yake
Lakini Mungu hakupenda RIP Omary
Yaitwa timeless music. 2023 tupo kujinafas
10 Dec 2023 Still listening 🎧❤
❤Haishi ladha...🥰Allah Arehem🤲
Naomba kujua maana ya neno ushambenga.
Love ❤❤so much this song
21/1/2021 naipata kwa uzur kabisa
Inakumbusha mbali sn hii na machozi hutiririKa nikisikia hii R I P Kopa
Allah amlaze pahala pema ampe janna 🤲🌹
Mm sikuvunja zizi kila mtu anajua, nimechagua mpnz nikimwambia anasikia ... atar na nusu huyu jamaa alikua shida
Jaman napenda hizi melody 2021 wimbo bado mkali
2021hapa kwa mfalme wa kughan rest in peace omary
2021 nipo nasikiliza tena
Dah kitambo xn asee mshikaj alkuw fundi mno km mama ake
Rip omary
Pumzika kwa amani Omar kopa😭😭😭😭😭
2021 tupo pamojaa
Naiskikiza leo tarehe 22,1,2025 uzi ndio zilikua ta harabu
Nimesema sitak ushambenga
January 2022 tutaona baadae mfalume wa kughani💕👌👌
Kichuna nineye mie,2020
Kweli kabisaaaaa
bonge la ujumbe aiseee
2021 still listening
20/10/20023 bado kwangu nyimbo nzulii
2021.... Rest easy Omary
9/2023 Nasikiliza song rip omary kopa
mood🔥🔥🙌🏼
2024 nackiliza wimbo huu
Tupo sote mwanaisha salimu ❤
Nauskiliza nikiwa middle east, yani nakumbuka nyumbani tu
❤❤❤❤❤❤❤
Nasema sitaki ushambengaaa
Akiacha anarud kaowa kwavshindo karud hapahapa huyu niwangu
walotaka kututenganishq wambea
Kifo chake nililia sana. Nikiwa na mimba 2007. Nilitaka kwenda Tanga lkn jamaa nyumbani walinigombanisha sana. Nitoke Mombasa keenda kumzika mtu hata sio jamaa ya gu. Nyinmbo zake zilinijaza mapenzi sana. Mpk leo huwa naskiza
Same story 😂😂
Nyimbo yakuingilia ukumbini nishapata bado mume
continue rip kopa