SITAKI USHAMBENGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 211

  • @sihamnjagi
    @sihamnjagi Місяць тому +8

    Nimerudi hapa 28 December 2024 baada ya zuchu kuimba hii song na mamake Khadija kopa kwenye usiku wa hinna jana.gonga like kama uliona

    • @Fatuma-e8z
      @Fatuma-e8z Місяць тому +1

      Mm pia shost 😂😂

    • @HalimaAlly-fn2wl
      @HalimaAlly-fn2wl Місяць тому +1

      Omary alijua kuimba sana hii taarabu ❤❤

  • @NUSRATRAJABUMTANDIKA
    @NUSRATRAJABUMTANDIKA 10 місяців тому +15

    2024 nipo hapa natafuta nyimbo ya harusi na sijapata bwana harusi 😂😂💔 inshallah ipo siku ntakuja kueka hii nyimbo nikiwa na mume wangu 🙏❤️

  • @CatherineMalela
    @CatherineMalela 10 місяців тому +4

    Kaka anasautiii inasisimuaaaa❤❤❤ hii sasa ndo TAARAB 2024 Still inagusaaa

  • @kalamabushir8187
    @kalamabushir8187 5 місяців тому +6

    Nyimbo imepangika vizuri sana. Mtunzi, aliyetia muziki na aliye imba ni yeye mwenye, kwa hiyo ladha imekoleya. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi

  • @Dasoor-tt3vf4dj8i
    @Dasoor-tt3vf4dj8i 9 місяців тому +13

    Kila nikisikiliza hi nyimbo inanikumbusha mbali sana adi sasa naipenda sana2024

  • @anafimilanga2039
    @anafimilanga2039 Рік тому +7

    Jamani naipenda hiii song love it💯💯💯💯

  • @japhetkasililwa4117
    @japhetkasililwa4117 4 роки тому +61

    Kama omary kopa angekuwa hai TAARAB isingekuwa imekufa kama ilivyokufa. Huyo ndiye hasa angeshindana na mzee yusuph. Kama unakubaliana na mimi gonga like

    • @mansourally91
      @mansourally91 2 роки тому +8

      KWA MOTO WA MAREHEMU OMARI HATA MZEE YUSUPH HAINGII KABISA.

    • @hajratihamidu6962
      @hajratihamidu6962 Рік тому +2

      Kwanza mzee yusufu alikua amfikii omary kopa kabisaa

    • @PatrickHebron-ge3xe
      @PatrickHebron-ge3xe Рік тому +2

      Xana mungu ampunguzie adhabu ya kaburi

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Рік тому +1

      @@PatrickHebron-ge3xe Ameen😭😭😭

    • @timasalim8700
      @timasalim8700 Рік тому

      Mzee yusuph huyu angelimuonea kwa mbali sanaa....MashaaAllah alikua anaimba si haba..Allah amfanyie wepesi kwenye adhabu za kabri ,,,ameen yarraby😢

  • @lalyshekue6908
    @lalyshekue6908 4 роки тому +60

    Allah akupe kauli thabiti huko uliko
    Kama upo 2020 na umeiplay hii gonga like twende sawa

  • @khadijatwaha8013
    @khadijatwaha8013 Місяць тому +1

    Hii nyimbo kama kaimba jana wakati Dec 2024, MUNGU amlaze mahali pema inshallah amsamehe madhambi yake

  • @ikam2066
    @ikam2066 2 роки тому +16

    2023 still loving this song💕💕💕💛💚

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 6 років тому +26

    2019 love you forever omary sijamuona anajua kughan Kama ww

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 3 місяці тому +2

    October 2024 King of taarab no one like you ever 😢 ndio mimi ndio mimi anipate hupoaaaa na animkataee hujutiiaaaa aiyeeeeeeee aaaaaaaaahaaaaaaaaa hapo kwenye kughan uwiiiiiiiii I love you omary wanguuu

  • @اجوايالمرسال
    @اجوايالمرسال 4 роки тому +9

    Leo 2021 bado unaishi moyoni mwetu Mungu akuweke sehemu salama omary 😭🙏🙏

  • @kastohamza6489
    @kastohamza6489 5 років тому +21

    Dar Aise Kweli Uyu Bwana mkubwa Ndio alikua mfarume wa Taharabu R.I.p .2019 Bado iko good zaid

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 6 років тому +22

    Daa wakati anaimba wimbo huu ndo alikua anaumwa masikini nakumbuka siku hiyoo mama yake aliimba wimbo wake omari akiwa hospital magala zakhem enzi hizo aliimba huku analia pole sanaa mama sisi sote wapitaji

  • @aishakibarati1379
    @aishakibarati1379 4 роки тому +4

    Duuuuuuuh!...nyimbo inanikumbusha marehemu Amina chifupa alikuwa anaipenda sana kwenye kipindi chake..

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 6 років тому +12

    KOPAAAAA!!!!!!!alikuwa hatariiiiiiiiii..na Wala hatotokea mwengineeeee

  • @semenayub3551
    @semenayub3551 6 років тому +9

    tugombane asubui jion tunaongea kama naimbiwa mm omari mungu akulaze pema pepon

  • @nyabisemaro2095
    @nyabisemaro2095 7 років тому +8

    pole Malkia Khadija Kopaaa kwakupotezaaa hiki kifaaaaaa Daaaah huuuu Wimbooo unaniumizaaaa Pumzikaaaa kwaaa Amani Omari Yusuph Kopaaa

  • @teahmajid5502
    @teahmajid5502 2 роки тому +6

    05/09/2022 12:55 nasikiliza this song😭😭 Allah amrehem Omar kopa

  • @riyamaramzy3968
    @riyamaramzy3968 4 роки тому +3

    Anacheza mechi zangu number zote hucover yeye 👌 Omar hakuna mwengine wallah
    Mungu akurehemu, akuswamehe madhambi yako, akueke palipo na wema amin.

  • @sophiatonny5128
    @sophiatonny5128 Рік тому

    Saut nzur nimeeanza kumsiliza tangu utoto wang..mpka leo2023 pumzika kwa aman

  • @aisharashid6756
    @aisharashid6756 7 років тому +29

    Alikua karithi sauti kwa mamake Huyu mashallah...Mungu amrehemu aliko...

  • @zuhurambonde1982
    @zuhurambonde1982 3 роки тому +1

    Omari mi shabiki yako mpaka 2021 japo nnapoisikia napata machungu mashaallah Allah akupe kitabu chako kwa mkono wa kulia.

  • @mwanatumumwamtsumi7974
    @mwanatumumwamtsumi7974 3 роки тому +3

    Mungu akurehemu inshaallah

  • @minnahminnah6179
    @minnahminnah6179 8 років тому +19

    May his soul r ip...i used to love him..i loves his songs till today..his voice was good anaghani sijasikia saut yake labda kwa ahmed Mgeni may his soul rip too for now hakuna...wanaimba no kughani na mahadhi...

    • @saloombahmad9180
      @saloombahmad9180 6 років тому +3

      minnah minnah hammer q ana ghani Sana pia

    • @maimunamwinyi5657
      @maimunamwinyi5657 6 років тому +1

      Me too I loved him soo much may his soul rest in peace 😥😥😥😥

  • @yussufKibwana
    @yussufKibwana 6 місяців тому

    Huyu jamaa hatotokea mwengine kama yeye nlitokea kukupenda sn toka utoton till now 2024 😢 RIP

  • @aishasuleiman5946
    @aishasuleiman5946 Рік тому

    daaah kam yupo vile MWENYEZ MUNGU akupunguzie adhabu kaka angu.

  • @judithmwambe4767
    @judithmwambe4767 5 років тому +1

    Nakupenda milele Amina....Mungu akulaze mahala pema peponi Omary Kopa.

  • @mariajulius943
    @mariajulius943 4 роки тому +1

    Daaaah nashukulu Mume Wangu kwa wimbo mzuli nimeupenda sana Mungu tujarie tuzidi kudumu

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 6 років тому +6

    Pambeeeee mahaba kama yoteee miaka mia na ntakupenda omary pumzika kwa amani baba Allah akuepushe na adhabu za kabri

  • @shaniabdallah6910
    @shaniabdallah6910 4 роки тому +20

    2021, Nan tupo pamoja🔥🔥🔥🔥🔥

  • @abdul-azizawadh1670
    @abdul-azizawadh1670 5 років тому +30

    Kama bado uko hapa 2020 leta likes ya marehemu❤⚘

  • @saadboss1
    @saadboss1 4 роки тому +5

    Daah umeenda na utamu wako😭😭😭 hakika huu ni msumari na uliwachoma kotekote

  • @dicksonnnko7583
    @dicksonnnko7583 4 роки тому +2

    Naipenda sana hii nyimbo
    @omary copa

    • @athumanikamota4882
      @athumanikamota4882 3 роки тому

      Athumani Idd mohammed kamota,, kiukwel Omary Kopa alikua ni mtunz wa mashair na huimba taratiiiib hakua na papara R, p,, Omary Kopa.

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 5 років тому +18

    2020, nani tupo pamoja?

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 4 роки тому +6

    Eeeeh ,uliye danganyishwa na dunia ,ukafanya mambo mengi una nguvu una jeur hakika ya umauti unakuja ghafla na karibu ni saduku la matendo yk

  • @uriojoseph328
    @uriojoseph328 2 роки тому +1

    Lala kwa amani mwamba wewe ndio mfalme wa Taarabu 2022 tuzo zilikuwa zako

  • @mussamkali9926
    @mussamkali9926 4 місяці тому +1

    Ushambenga n ware watu wanapenda kufuatilia mambo ya watu na kugombanisha

  • @yassinsalum1864
    @yassinsalum1864 2 роки тому +1

    Mungu akuraze mahari pema amin

  • @samiraabdallah1348
    @samiraabdallah1348 3 роки тому +20

    12/02/2022 still is one of my best of the best songs

  • @jumaudongo4221
    @jumaudongo4221 4 роки тому +1

    Naku kubali
    Mke wangu

  • @aldanaudana2633
    @aldanaudana2633 6 років тому +4

    Alla amrehemu jamani huyu mtoto alikua anaimba jamani karithi kweli namrithi huzidi jamani pole mama diiii

  • @zeinabathman4969
    @zeinabathman4969 2 роки тому +1

    I love 💝 this song nice voice mshllh

  • @aminakassim8272
    @aminakassim8272 6 років тому +1

    ameapa hatoki kwangu, mnokerwa mjiueee

  • @Asilimedia
    @Asilimedia 4 роки тому +9

    Nani yupo hapa 2020 kama mimi

  • @HusseinMbuguni
    @HusseinMbuguni Місяць тому

    Jamaaa anajua

  • @tabiahamis302
    @tabiahamis302 Рік тому +2

    2023👌👌👌 October

  • @asminemsimika8832
    @asminemsimika8832 4 роки тому +1

    Aisee huu wimbo unanikumbusha mbali saana

  • @fatmakiweru2860
    @fatmakiweru2860 4 роки тому +1

    Napenda sana huu wimbo

  • @mwanaherimohamed7135
    @mwanaherimohamed7135 4 роки тому +12

    2021 still🔥🔥🔥 endelea kupumzika kwa amani

  • @ReymahOzil
    @ReymahOzil Рік тому

    Nice song love it

  • @mamuuulook7575
    @mamuuulook7575 6 років тому +3

    Tugombane asubuhi jioni tunaongea👌👌👌

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 7 років тому +8

    Ulazwe pema ln shaa Allah,

  • @maryammkassim635
    @maryammkassim635 3 роки тому

    Mungu akulaze mahali pema peponi

  • @aminakassim8272
    @aminakassim8272 6 років тому +4

    kugombana si twabia yetu, kupatana kawaida yetu
    Vitu kulishana ndio raha kwetu, Kushikana shikana haina shobo kwetu

  • @kumulwa
    @kumulwa 6 років тому +1

    Kwake khadija kopa.
    Pokea salamu kutoka kwa famili yangu kwaujumla.
    Ala pia tuna sema pole sana kwa msiba wanguvu ulo kugusa.

  • @AshrafuHaji
    @AshrafuHaji Місяць тому

    Huyu jamaa tishio kwa tarabu mzee yusufu akasome engekua hai

  • @HusseinMbuguni
    @HusseinMbuguni Місяць тому

    Mpaka Dunia itaisha atotokea kma Omar ktk taarab kwa waimbaji wanaume

  • @salmermohd3284
    @salmermohd3284 3 роки тому +2

    Wallah nyimbo zake pambe 2022 yni haziishi utamuuu

  • @saylily_xav7705
    @saylily_xav7705 4 роки тому +2

    Old is gold listening in 2020 rip kopa

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 3 роки тому

    Ulikuaga hatari mungu akuweke mahali pema

  • @naylacecil7540
    @naylacecil7540 6 років тому +7

    R.I.P omary kopa.. kamanda wa kughan mashairi.. njia ni moja umetangulia na sisi tunafata.

  • @ogetoj6245
    @ogetoj6245 2 роки тому

    Kaa bila kurukaruka baada ya kumchagua mpenziye. Nani amekushurutisha?? Zoea mapema, Kaka wee! Dr. Ogeto International

  • @FrancisNgoliga-w6f
    @FrancisNgoliga-w6f Рік тому +2

    Yani mpaka 2023 tunasikiliza mziki mzuri

  • @blandinamwarabu5025
    @blandinamwarabu5025 2 роки тому

    Lo hatatutoka mioyoni mwetu. Huyu ndiye alikuwa anakuja kuwa kumrithi mama fani yake
    Lakini Mungu hakupenda RIP Omary

  • @marionwangeci9530
    @marionwangeci9530 Рік тому

    Yaitwa timeless music. 2023 tupo kujinafas

  • @bwakahamisi9607
    @bwakahamisi9607 Рік тому

    10 Dec 2023 Still listening 🎧❤

  • @miminani48
    @miminani48 Рік тому

    ❤Haishi ladha...🥰Allah Arehem🤲

  • @thedemystifier5480
    @thedemystifier5480 2 роки тому

    Naomba kujua maana ya neno ushambenga.

  • @SalamaMasegedo
    @SalamaMasegedo Рік тому

    Love ❤❤so much this song

  • @rehemajames7705
    @rehemajames7705 4 роки тому +6

    21/1/2021 naipata kwa uzur kabisa

  • @halimaabdul7703
    @halimaabdul7703 4 роки тому +2

    Inakumbusha mbali sn hii na machozi hutiririKa nikisikia hii R I P Kopa

  • @shamsamohammed6386
    @shamsamohammed6386 8 місяців тому

    Allah amlaze pahala pema ampe janna 🤲🌹

  • @abrajuma7014
    @abrajuma7014 3 роки тому +1

    Mm sikuvunja zizi kila mtu anajua, nimechagua mpnz nikimwambia anasikia ... atar na nusu huyu jamaa alikua shida

  • @beatricesway6875
    @beatricesway6875 3 роки тому

    Jaman napenda hizi melody 2021 wimbo bado mkali

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 3 роки тому +2

    2021hapa kwa mfalme wa kughan rest in peace omary

  • @abiyamahenge8605
    @abiyamahenge8605 4 роки тому +3

    2021 nipo nasikiliza tena

  • @mzeewajambo8293
    @mzeewajambo8293 6 років тому

    Dah kitambo xn asee mshikaj alkuw fundi mno km mama ake
    Rip omary

  • @tabyhamisi7797
    @tabyhamisi7797 4 роки тому +1

    Pumzika kwa amani Omar kopa😭😭😭😭😭

  • @shasakenzo3825
    @shasakenzo3825 4 роки тому +4

    2021 tupo pamojaa

  • @BeniWiliam
    @BeniWiliam 17 днів тому

    Naiskikiza leo tarehe 22,1,2025 uzi ndio zilikua ta harabu

  • @WinMalangusi
    @WinMalangusi Місяць тому

    Nimesema sitak ushambenga

  • @salha.d5060
    @salha.d5060 3 роки тому +2

    January 2022 tutaona baadae mfalume wa kughani💕👌👌

  • @asumthamanyahi5255
    @asumthamanyahi5255 4 роки тому +2

    Kichuna nineye mie,2020

  • @AishaHasssan-pw7tc
    @AishaHasssan-pw7tc Рік тому

    Kweli kabisaaaaa

  • @abiyamahenge8605
    @abiyamahenge8605 4 роки тому

    bonge la ujumbe aiseee

  • @Evezawadi
    @Evezawadi 3 роки тому +2

    2021 still listening

  • @Faineskizanye
    @Faineskizanye Рік тому

    20/10/20023 bado kwangu nyimbo nzulii

  • @mwanaherimohamed7135
    @mwanaherimohamed7135 3 роки тому

    2021.... Rest easy Omary

  • @hajrabaitwa9946
    @hajrabaitwa9946 Рік тому

    9/2023 Nasikiliza song rip omary kopa

  • @bonita329
    @bonita329 4 роки тому +2

    mood🔥🔥🙌🏼

  • @MwanaishaSalim-pg3kq
    @MwanaishaSalim-pg3kq 6 місяців тому

    2024 nackiliza wimbo huu

  • @francepam9832
    @francepam9832 Рік тому +1

    ❤❤❤❤❤❤❤

  • @saidsaid9463
    @saidsaid9463 6 років тому +2

    Nasema sitaki ushambengaaa

  • @MwajumaMrisho-em7yw
    @MwajumaMrisho-em7yw 7 місяців тому

    Akiacha anarud kaowa kwavshindo karud hapahapa huyu niwangu

  • @ashaali9260
    @ashaali9260 7 років тому +4

    walotaka kututenganishq wambea

  • @NoorAisEnterprises
    @NoorAisEnterprises 10 місяців тому

    Kifo chake nililia sana. Nikiwa na mimba 2007. Nilitaka kwenda Tanga lkn jamaa nyumbani walinigombanisha sana. Nitoke Mombasa keenda kumzika mtu hata sio jamaa ya gu. Nyinmbo zake zilinijaza mapenzi sana. Mpk leo huwa naskiza

  • @ViolaDaffa
    @ViolaDaffa 25 днів тому

    Nyimbo yakuingilia ukumbini nishapata bado mume

  • @romonakoplo4721
    @romonakoplo4721 2 роки тому

    continue rip kopa