Nmezijua nyimbo za hyu mama toka nikiwa mdogo,,nlikuwa napenda sana taarabu,kuna baba wa kipemba alikuwa anapenda sana kuzisikiliza akiwa dukan kwake,,maashallah bi fatma mpk leo namfuatilia♥️♥️
Mungu awasamehe wazee wetu na warudi wa mola kutaka msamaha lkn watu wa zamani waliimba na watu wa leo wanakwimba. Maneno ya marehemu bikidude muimbaji hamalizi siteji.
aso kasoro hakuna aloumbwa muweza mwenye lile hili hana ndio shani yake adha tabia kutolingana si jambo la kushangaza kinachonikera sana nisonalo kupakazwa kunisema sichukui kusengenywa haifai ni hekima njema rai kunionya sikatai la msingi niiteni na wala sitopuuza sikatai nambieni wallah ntawasikiza mengine msinidhani yakuwa ntawabeza nami ntawashukuruni kwa vile mmenifunza
Masha Allah marehem baba yangu aliipenda sana hii nyimbo imenikumbusha mbali sana machozi yanitoka hasa niliskia dogo msilipe mwanya likaja likachachizaaaaaa
imependeza sana sana mpangilio na sauti nzuri dada umebarikiwa nayo.Hi Taarab inanipeleka ulimwengu mwingine wa hali ya juu sana. Love nikiwa hapa Kenya
Si choki kusikiliza nyimbo zake huyu dada ina mafunzo kweli , but si kwa majuha mafunzo kwa waliyo n'a akili but ikiwa kichwa empty kakojoe ulale♥️♥️♥️♥️love home Zanzibar 😘😘😘
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo ulivo mzuri tangu Mashairi Musiki na Muimbaji. Malkia wa tarabu na huu wimbo una mambo na waadha wote bora. Amazing to say the least
hakika ni tamu sana kukusikieni ndugu zetu mungu awabariki na atuzidishie umri mwingi allah yaallah zanzibar is gold ndugu zangu tutaweza kupokonywa yote but talent's ni zetu heko nyumbani
Bi Fatma sadapta maneno yako ni Elimu kwa wale wasengenyaji wamuogope Allah km umeona mapungufu kwa mwenzako muase ajue kosa lake wewe unayako kibao na yaliyopo upande wako mbona huyaweki hadharani haifai
Jamani mnyonge mjyongeni a la haki yake mpeni kwa upande wangu hatotokea muimbaji mzuri wakike kwa upande wa taarab kama huyu maana huwa anatunga mwenyewe mashairo mwenyewe mziki mwenyewe pia na kuimba huwa anaimba mwenyewe jee ameshawahi kutokea muimbaji akafanya hivyo hatokei huyu mama yuko juu amepewa sauti
Nmezijua nyimbo za hyu mama toka nikiwa mdogo,,nlikuwa napenda sana taarabu,kuna baba wa kipemba alikuwa anapenda sana kuzisikiliza akiwa dukan kwake,,maashallah bi fatma mpk leo namfuatilia♥️♥️
Mungu awasamehe wazee wetu na warudi wa mola kutaka msamaha lkn watu wa zamani waliimba na watu wa leo wanakwimba. Maneno ya marehemu bikidude muimbaji hamalizi siteji.
Kama una kabala kazi kutoka Zanzibar gonga like yako mpaka 2020
Who's still watching 2024 😊
Mmmmmh nyimbo inanitoa machozi hiii namkumbuka marehem shemeji yangu akiludi job ananiwekea nisikilize Daaaah mwenyezi mungu ampunguzie adhabu ya kabriii🙏🙏🙏Asokasoro hakuna
Allah amlaze pema peponi(Amiin)
AMWONDOSHEE HASA SIO AMPUNGUZIYE YAARABBI.
HIZI NYIMBO UNAONA LADHA HADI LEO KUZISIKILIZA.
🤲🏼
Mungu amfutie makosa yake yote na awarehem umma WA Muslim wote aminnn
Nani mwezangu anasikiliza 12 April 2021 gonga like hapo tuwe pamoja
Dogo msilipe mwanya likaja likatatiza sadaqqqta dada yangu❤
Hizi ndio nyimbo zenye maneno ya maaana.Old is gold.
Mungu akubariki mama angu
Nasikiliza 2024 yani hizi nyimbo hazitachuja milele
Dada fatma issa kwa ubora wake mashaallah maneno Safi kabisa♥️👏👏👏👏
Kama unatizama 2023 gonga like hapo twende sawa
Kama unatizama Kama Mimi 2019 Weka like yako
Habari somo mm nasikiliza nikiwa oman
Roho yangu hii nyimbo
@@kassimuyahaya1483 wn
@@azizasalim8777 NM j in love fundi,a
Ma!@@kassimuyahaya1483
aso kasoro hakuna aloumbwa muweza
mwenye lile hili hana ndio shani yake adha
tabia kutolingana si jambo la kushangaza
kinachonikera sana nisonalo kupakazwa
kunisema sichukui
kusengenywa haifai
ni hekima njema rai
kunionya sikatai
la msingi niiteni na wala sitopuuza
sikatai nambieni wallah ntawasikiza
mengine msinidhani yakuwa ntawabeza
nami ntawashukuruni kwa vile mmenifunza
Mashallah shukran sana
Maneno na mpangilio wa Hali ya juu sana . Taarab asili nzuri sana 🇰🇪
Masha Allah marehem baba yangu aliipenda sana hii nyimbo imenikumbusha mbali sana machozi yanitoka hasa niliskia dogo msilipe mwanya likaja likachachizaaaaaa
Pole sana
Pole
Allah awarehemu wazee wetu waliotutangulia mbele ya haki awasamehe makosa yao Amiin 🤲🤲
N mimi Marehemu baba yangu aliupenda sana.Mungu akurehemu KK
Dah bi fatma issa ww utaniuaaaaa
Itazikwa
2020 old is gold
Can't get enough
imependeza sana sana mpangilio na sauti nzuri dada umebarikiwa nayo.Hi Taarab inanipeleka ulimwengu mwingine wa hali ya juu sana. Love nikiwa hapa Kenya
Si choki kusikiliza nyimbo zake huyu dada ina mafunzo kweli , but si kwa majuha mafunzo kwa waliyo n'a akili but ikiwa kichwa empty kakojoe ulale♥️♥️♥️♥️love home Zanzibar 😘😘😘
Hhhhhh ushakojowa tyr ww
Love to kweli hizi old is gold kweli ukisikiliza Kuna hisia unazipata
Real tyme taarab,essence of social civilisation in East African coastline... sio taarab mseto.
1 of ur best song ever Fatma Issa. What a lyrics composition and ur Melodius Voice. Wwwwwwooowwwwwww
Thank you!for this sweet lovely song of mama Fatma...old is Gold.#
Pambeeeeeee kinancho nipa udhia nikule kuniapiza asokasoro hakuna aloumbwa na mwezao kinancho nikera sana nisonalo kupakazaaaaaaa
Sensational Fatma Issa Aaddaabbb, THIS song has it all, LYRICS singing and composition of highest calibre. Wwwwoooooowwwwwwew
dogo mcilipemwanya mukawa mwaedeleza hapo tu
@@mariamomar9644kabisa mummy
Sijui nisemeje kuhusu huu wimbo ulivo mzuri tangu Mashairi Musiki na Muimbaji. Malkia wa tarabu na huu wimbo una mambo na waadha wote bora. Amazing to say the least
ASokasoroo hakuna aloumbwa na muwezaaa,,hongera bi fatma kaz nzur ,.
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza,, ndio anavyotwambia mamaetu Bi Fatma Issa
Ahsante bi Fatma kwa kazi nzuri isiyo chacha Wala kuoza.
Taarabu za saahivi nimapenzi 2 hakuna tena taarabu kbs watu walikuwa wanaimba jmn.
mwenye lile hili hana...ndio shani yake AZA...huhuhuuuu!!! ni raha sana Fatma Issa
Acha tu hadi basi yani hadi unakuwa na hisia kali Sana na unyumbani wetu asikwambie mtu kuwa mzanzibar raha we
Congratulations keep it up💪
Old is gold 100%
2021 still nasikiliza huu wimbo
hakina ndugu yangu asokasoro hakuna, kinachonipa udhiya ni kule kuniapiza wala sioni vibaya kule kunielekeza heko dada mtanzania maneno ni kibaao
Wallahy hii ni sweet song japo sikua zama izo ila nimetokea kuupenda huu wimbo...Fatma aki u really got a blessed voice.
Kweli na ilikuaje nipashe niilimike
Fatma Issa amongst ur best songs
Nikweli jmn asokasoro hakuna kila aloumbwa na mueza
Inanikumbusha mbali mnooo, binaadamu hatuyaoni yetu tunayaona ya wezetu
Nice muzic old is gold ❤👏👏
Hii nyimbo inanikumbusha mbl sn jmn
Nice music old Zanzibar ftma nice ming ming
Nyimbo za zamani ulikuwa unasikiliza zaid ya mara sita hujajua kilichokusudiwa na hiyo ndio maana ya tungo. Sasa mambo yote hadharani.
Old is Gold Salute to bi Fatma
Kswahili hichooooo❤💃🙋
hakika ni tamu sana kukusikieni ndugu zetu mungu awabariki na atuzidishie umri mwingi allah yaallah zanzibar is gold ndugu zangu tutaweza kupokonywa yote but talent's ni zetu heko nyumbani
love you mamy big up wala msijedhani yakuwa nitawabeza niongozeni jamani
J'adore cette chanson merci 💃💃💃💃💃
Hakuna alie kamilika zaidi yake Allah
hongera fatma issa
Fatuma isa waaaaaa.naipenda vars kinacho nikira sana nisonalo kupakazaaa
mashallah maneno kuntu
Amina Yusud e
swadaktaa
swadaktaa
mashallah Fatma Issa..ktk ubora walke
Ikiwa nimekosea wajibu kuniongoza asantaa fatma issa
haswaaaa😄😄😄
Mmmmmhhh duuuuuuuuuhhh iko pouw sana aaa
Fatma Issa Mwaaahhhhh❤🎉
Fatuma issa ni noma
Best old is Gold I like it .❤❤❤
Hakika zamani itabaki kua zamani sichoki kusikiliza ❤️❤️😘
ahsant bint issa maneno mazuri!! Asokasoro hakuna!!!
Kitu na boksi sichoki kuskiliza huu wimbo naupenda hatarii😂😂sauti dada madaha kama yote
Old is Gold 👍
J'adore cette chanson je pense fort ma mère une très bonne chanson asante sana
Karibu Sasa toka hapa kenya 🇰🇪
Hii ndio tarabasilia
MASHAALLAH OLD IS GOLD NAMPENDA SANA FATMA ISSA NYIMBO ZAKE ZOTE
⁰0000
Maanii na muimbaji mzuri Mashallah
4 day in a leo nyimbo tamu🎼🎧🪕
Kinacho niumiza ni kule kuniapiza 🦚
Asante Fatma Issa
MashaAllah my Fav Fatma Issa
awsome hakika aliimba huyu mama
Maneno yalimchosha ndo akaimba hii nyimbo we sikiliza vzr tu iyo nyimbo utajua km aliwatungia watu fulani😄😄😄😄
Asokasoro hakuna
hongera yako cz binadamu waleo hawajui km hakuna mkamilifu
Kuwa haikuwa watoto ulowazaa mwenyewe......itakua???
Asokasoro hakuna aloumbwa na muezaa.....
Mwenye lile hili hana.....
Tabia kutolingana sio jambo la kushangaza.....
Asokasoro hakuna aloumbwa na muweza
Kweli aso kasoro hakuna ...... maneno kuntu.
Bi Fatma sadapta maneno yako ni Elimu kwa wale wasengenyaji wamuogope Allah km umeona mapungufu kwa mwenzako muase ajue kosa lake wewe unayako kibao na yaliyopo upande wako mbona huyaweki hadharani haifai
Jamani mnyonge mjyongeni a la haki yake mpeni kwa upande wangu hatotokea muimbaji mzuri wakike kwa upande wa taarab kama huyu maana huwa anatunga mwenyewe mashairo mwenyewe mziki mwenyewe pia na kuimba huwa anaimba mwenyewe jee ameshawahi kutokea muimbaji akafanya hivyo hatokei huyu mama yuko juu amepewa sauti
Asokasor hakun jmni
Hamna mjadala kabsaa kama mawaidha, mane I ya hikma na yenye utulivu
Nazikubali nyimbo za huyu mama bado yupo? Ananikumbusha mbaliiii 2021
hujanishinda mimi yani ndo vile kashazeeka hoi bin taaban lakin ningelikuwepo enzi zake ningemuoa wallah....habibt wangu huyu nampenda rohoni.
Aso kasoro hakuna alouumbwa na mueza
lamsingi niiteni na wala sitopuuzaaa
Lovee mingming waalhh mungu akuweke
Nice music with lovely view 👍👍
daaaaah yaani weeeee achaaaaaa tu
Maneno kuntu,hakuna mkamilifu chini ya jua
Nyimbo naipenda hii asokasoro hakuna mm mweusi lakin shepu ipo hahaha kweli asokasoro hakuna
Nakupendaa
Ktk nyimbo uloimba hii ni kiboko yao
That's no one is a perfect except Allah. Nash's Allah.
Masha allah!!
Kinachonikera sana nisonalo kupakazwa
Maneno ya ukweli na mziki wa kukupa funzo
Vya kale dhahabu
Mashaallah pambe maneno kuntu
wajina'umeona'eeenh'amina
Nice song
Asokasoro hakuna...👌
siichok hii nyimb jmni dah uliimba hp sauti ssa ndio hoi mm
Huu wimbo naupenda mno.naomba mwenye ataweza kunitumia pls
Zakale dhahabu kweli
Fatma issa vp bado unaimba
Vibaya msinidhan yakuwa nitawabez
Mashaaallah