Ifahamu Historia ya Idara ya Usalama wa Taifa ya Tanzania: Kutoka Special Branch Hadi TISS
Вставка
- Опубліковано 21 сер 2024
- Wakati Marekani wana CIA na NSA huku Urusi nao FSB na uingereza wana MI5 na MI6 kwa Tanzania, kuna Idara ya Usalama wa Taifa ama kwa kimombo inafahamika kama Tanzania Intelligence and Security Services, TISS, ambayo ipo kwa mujibu wa Sheria ya mwaka 1996 na marekebisho yake ya mwaka 2023.
Fuatilia makala hii mwanzo mwisho uweze kufahamu historia ya Idara hii.
Rejea
Peter D. M. Bwimbo (2016), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, Mlinzi Mkuu wa Mwalimu Nyerere
Thomas J. Maguire and Hannah Franklin (2020), International History Review, Creating a Commonwealth security culture? State-building and the international politics of security assistance in Tanzania.
George Roberts (2021), Cambridge University Press, London, Revolutionary State-Making in Dar Es Salaam: African Liberation and the Global Cold War, 1961-1974.
Paul Bjerk (2015), University of Rochester Press, Building a Peaceful Nation.
Issa G. Shivji, Saida Yahya-Othman, and Ng’wanza Kamata. Mkuki na Nyota, Dar es Salaam, 2020, Development as rebellion: A biography of Julius Nyerere.
Issa G. Shivji (1990), Institute of Southern African Studies, State Coercion and Freedom in Tanzania.
James Robert Brennan (2021),The International History Review, The Secret Lives of Dennis Phombeah: Decolonization, the Cold War, and African Political Intelligence, 1953-1974
Mark J. Mwandosya & Juma V. Mwapachu (2022), Mkuki na Nyota Publishers, Tanzania, 38 Reflections on Mwalimu Nyerere
Yoweri Kaguta Museveni (2016), Moran Publishers,Kenya, Sowing the Mustard Seed
Stephen Isaac Mtemihonda (2023), Mkuki na Nyota Publishers, Vita vya Kagera
Watafiti/Wahariri
Joel Ntile
Tony Alfred K
Sauti
Tony Alfred
Mhariri Video/Sauti
Shafii Hamisi
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com....
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved.
Unaweza kutufuatilia kupitia;
TWITTER: / thechanzo
INSTAGRAM: / thechanzo
FACEBOOK: / thechanzo
TIKTOK: www.tiktok.com/@thechanzo?is_...
Au tembelea tovuti yetu: www.thechanzo.com
Je, una habari? wasiliana nasi kupitia Telegram/WhatsApp +255 753 815 105
Idara yetu ya usalama wa taifa ni kati ya idara bora sana shida imeshikiliwa na wanasiasa wanaitumia vibaya
Inaumiza sana
Umesema ukweli kabisa
Kama imeshikiliwa na wanasiasa basi sio idara bora. Ingekuwa bora ingesimamia malengo mapana ya Taifa na sio matakwa binafsi ya wanasiasa. Haina tofauti na idara nyingine zozote kwenye serikali zetu ambazo zinapelekwa hovyo na wanasiasa wasio waadilifu.
Naomba hii historià iruduwe kusoma ni nzuri sana
Hongera msomaji wa makala hii umesoma vizur.Mungu awabariki staffs wote wa TISS
Hongera sana kweli Kuna kila sababu ya nchi yetu kupanda milima na mabonde
Naipenda saaaana kazi hii,,,inapatikanaje???
Hako kamziki kanakopigwa kwa nyuma, tafadhali husikatoe. Safi sana hako
Hongeren sana. yaani historia yetu ni kubwa sana na ipo kizalendo🎉
Hongera chana chawa ni watu wema Sana na hii idara inatusaidia Sana iwapo kiongozi mwenye mamlaka anawatumia vizuri , pia nashukuru sana maana amani tulionayo ni usalama Wana sababisha nchi yetu iwe na amani pia nampongeza sana mwandishi amechambua vizuri mungu ambariki Sana yupo vizuri sana tuandalia na vitabu.
Msomaji wa makala hii umesoma vizuri sana, kiswahili kimenyooka, hakuna shida za L na R, safi sana, japo angepatikana msimulizi mzuri zaidi ingekuwa tamu zaidi.
Msomaji Mzuri zaidi ni yupi?Huyu kaeleweka vyema tu...
@@wechemakambo2182 unasifia na kuponda, binadamu bhana😁
mkuu hata hii Mimi nime ipenda sana tu
Kwa kweli ni historià nzuri sana kwa taifa hili ni safi mie nimeipenda big up chanzo
kazi nzuri sana hii me napenda sana hii kazi
Kabisa. na kama ulivyoona, wachambuzi wa Chanzo wamezama na kutuletea madini hasa. toka enzi ya Mwalimu mtu kuwa katika idara hii ulijua anakubalika kwa uzalendo, weledi. Zaidi wamezuia maadui wa nje na ndani. Hata Yugoslavia yenyewe ilisambaratika kwa idara yao kutotabiri mipango ya maadui wa nje. Angalia Somalia, hadi leo vita na mgawanyiko, Somali land ilijitenga na hakuna wa kuzuia. Watu kama Kitine hadi leo anakemea kabisa tabia za rushwa na unafiki.
FBI ,CIA ,KGB na zote zinazofanana na hizo, Ni Kazi nzuri lakini kama una hofu ya Mungu Zina maswali mengi saana mbele ya Mungu, some of careers u learn not to question orders in order to put food on the table, hasa ukiwa mtu wa operation, ukipewa maelekezo tu mfyatue fulani haina kuhoji hata kama Ni mwenzenu, mnaweza mumchome Dawa ya usingizi na kumzamisha kwenye swimming pool alafu mnatangaza jamaa kafa Maji, asilimia kubwa mwisho wao huwa mbaya saaana vifo vyao vinatisha
Kazi ngumu sana hii ni kazi ambayo unamjua mkurugenzi tu ila watendaji huwajui kma wachawi tu vile yan kuna watu wanaipenda sana hii ila dahh!!! Inaonekana ni kazi hatar sana hasa ukifikiria mwisho wetu kma binadamu
duuuuu mungu aninusuru sifahamu
Big up to TISS
Kazi nzuri pongezi kwenu, Mungu awatunze.
Hongera kwake Mr Mombo....Mtu Mpole Sana na Mnyenyekevu
🎉 Hongera sana show up
HONGERA SANA BRO MOMBO
Hii ni ya kizalendo Zaidi .nimeipenda ila kuna hichi kizazi kipya kichunguzwe sana kimeweka tamaa mbele kuliko uzalendo adui pia anaweza kuwashawishi wakaleta mihemko. Naipenda nchi yangu na nitaifia nchi yangu ya mababu zetu na bibi zetu mungu ibariki tanzania 🇹🇿mungu ibariki Africa 🌍
hapo sasa. zamani watu wote wa Usalama walikuwa wanaitwa , Vijana wa Mwalimu, ikimaanisha waliopikwa na kupikika, hakuna rushwa, ubadhirifu, unafiki, nk..sasa wakati wa Magufuli yupo afisa wa Usalama wa Wilaya, nadhani Mkoani Arusha alihusishwa narushwa..aibu..ila wachache hao
mbwa hyo ange kufa tu na mlengaji haku lenga
vzuri angelenga kichwa tu akafa .mbaguzi sana
Idara ya usalama wa Taifa ni idara Bora Sana pongezi kwao
Hongera sana idara ya usalama wa taifa Kwa kulinda amani ya nchi
Upo sa sahihi kabisa naamini hivyo na mimi mwenye ndoto za kuwa kwenye hicho kitengo
Kwa kweli chanzo mpo vizuri kwa stori yote ulioeleza ni kweli kabisa
Sikujua kama tuko vizuri kwenye intelijensia big up sana
Hii ingewekwa voice na yule shafii ingenoga sana, anajua kusimulia
Au Sky Walker wa SNS
@@Dr_Heart. hatupaswi kumdharau aliyefanya tukajua badala yake tumtie moyo azidi kuwa bora...Sasa Shafii hakuyajua haya.
@@wechemakambo2182 Hakuna aliyedharauliwa hapo, kila kazi na mtaalamu wake, haina haja ya kuwa na unafiki kwenye suala linaloeleweka, pongeza panapostaili pongezi....nyie ndo machawa nyie mnataka kusifia kila kitu bastard😎
Hii ilikuwa Idara kabambe sana. Siku hizi nashuku majukumu yake ni kuwakomoa Watanzania kuitumikia CCM. Haijui hata jinsi rasilmali za Tanzania zinavyoibiwa! Hivi wanaweza kuwaambia Watanzania Magufuli alikufaje?
@@Nedjadist wewe ukitaka afe vipi kwa mfano?
Siku yako ikifika hata ashuke yesu utakufa tu. Acha kuuliza uozo kama huo jiongeze?
Hii ni ndoto yangu ila kuipata ndio shida
asante
Kazi iendeleeeeeeeee
I wonder where you guys get infomations
Huyo mama waisulamu ndio kwenye hii nchi miaka yote. Yakwake.......
Lakini serekali yetu Haina dini
Wewe ndio mpumbavu kweli pimbi wewe.
Unavyosema muislam una maana gani? Unaijua history ya nchi hii vzr?
Pwani ya waislam ndio chimbuko wa kila kitu nchi hii.
Nani alifahamu mikoa ya huko porini?
Hata uhuru umedaiwa mikoa ya pwani na sio mikoa ya mbugani.
Acha ujinga waislam ndio vinara wa kila kitu bongo mzima
Wewe ulitaka vp Kwan wanahubir au wanafanyakazi tu? Kazi yao ni utendaji hakuna hata siku moja uliosikia wanahubir ..watu wote wapo huru makanisa yapo na misikiti ipo hakuna siku huyu mama amezuia watu kwenda kanisani wala msikitini sio vzur hata kidogo kuhusisha Serikali na mambo ya kidini ...akili zako Zina ujauzito wa mawazo
JPM aliwatumia vizuri usalama wa Taifa hasa kwenye maswala ya usama wa uchumi wa Nchi.
@@JK-uq1tv mbona viroba vya maiti kila siku coco Beach ktk utawala wake, hao TISS walikuwa wapi??
Habyarimana alionywa na Mkuu wa usalama wa taifa Tanzania Luteni jenerali Imran Kombe, Mobutu na Rais Moi hawakuja Tz, walikubali onyo la Kombe, lasivyo habyarimana asingetunguliwa kwenye ndege mwaka 1994 na hatimaye mauaji ya kimbari Rwanda yasingetokea.
@@peterchristopher5216 Acha kutupeleka peleka wewe, Kombe atawaambiaje hao marais wasije kwani kulikuwa na tatizo gani Dar?
Huyo Habyarimana na mwenzake wa Burundi wametunguliwa wakiwa wanarudi kwao baada ya kuhitimisha mkutano na sio ndani ya Tanzania, walitunguliwa ktk ardhi ya Rwanda huko.
@@MilloWamilonga-ft8ir hujaelewa mantiki yangu, najua kuwa hawajatunguliwa Dar, ila Kombe alivujisha Siri ya assassination kwa mmoja wapo, Hadi wengine hawakuja, waliambiana, Habyarimana alishauriwa asiondoke hiyo tarehe, badala yake akalazimisha, yakamkuta.
Usijibu mjinga nawe utakuwa mjinga@@peterchristopher5216
Hawa ni watu wanaojua nini kinachoendelea Tz.
Kazi yao ni mhimu mno Ila kuna halufu mbaya na minong' ono mhimu kujilekebisha maana idara hi kisheria ni nyeti Mungu awapefikra za uweredi katika majukumu yenu.
Hii ndiyo Idara iliyo na watu wasiojulikana? Mbona watu wasiojulikana hawajaweza kujulikana hadi leo? Hii Idara haiwezi kuwajua?
Historia ni kitu kizuri sana,tunaomba irudiwe,na kurudiwa tena na tena. Kumbe chanzo cha TIS kuwa chini ya Rais ikulu ni hii iliyopelekea Idara hii kuwa chombo chini ya Rais na chama kimoja na ulinzi wa viongozi wa serikali na chama pekee na sio chombo cha usalama wa nchi na maadui kutoka ndani na nje pekee na Polisi kubakia mambo ya ndani ya ulinzi wa wananchi na mali zao!
Kumbe mzena ni hospital ya viongoz coz mzena alikuwa kiongozi WA usalama WA taifa
Twalipo , KAMBI YA TWALIPO IKO KALIBU NA UHASIBU
Uchambuzi mzuri saana na Idara yetu ina historia ya kizalendo saana. Kazi kwao viongozi wa sasa nao kuweka historia nzuri kwa kutenda haki kwa watanzania wote na kulinda rasilimali za nchi yetu kwa wivu mkubwa
Idalayenuee
Niliwahi kutuma maombi lakini sikufanikiwa . Kisa kikubwa cha kutuma maombi ni uzalendo .
Tafadhali nijulishe namna ya kuomba maombi tafadhali
Edwardo Mondlane wa Msumbiji alikufa mwaka 1969 na siyo 1965
Huyu Laurence Gama mwanae ndio Leonidas Gama aliyekuwa mkuu wa mkoa kilimanjaro kwa sasa ni marehem??
Mmmh
Mwamba hapa alikuwa laurance Gama na Imran kombe. Kuuawa kwa kombe ni hasara kubwa
@@user-pj7ng8il4t kuuwawa ka Kombe haikuwa hasara kwa taifa, bali ilikuwa kwa faida ya taifa
Ndio maana unakuta yeye aliuliwa na polisi live kwa pengine malengo flan.
morning tiss 3:40 3:44 3:47
Itoshe kusema 'madingi' walikua ni watu wenye akili, wabishi, wenye maono pia wazalendo, tuna kazi kubwa ya kuyaishi yaliyoanzishwa
Amani na Usalama tunajivunia...
Msomaji ameeharibu kiswahili. "HICHO" na siyo "Hiko"
Dahh mung nijalie na mim hii kazi natamni siku moj na mm niwe TISS
😮😢😢
Hapa ndio utajuwa vp muungano huu tulonao m zanzibar hakuekwa hata mmoja kwenye itara hii
Kikao cha maraisi 2015 au 2005
Hii idara hakuna m zanzibar anaewe kuongoza sindio
✌️👊👍.
Kuna mmoja anaitwa lilungulu umemsahau kwenye hiyo orodha
Hapo kwenye gazeti la 1965 la nationalist linasema watatu zaidi wakamatwa ni juu ya ile uasi wa jeshi inaonekana picha ya huyo afisa Wayne Mbwambo na J.T.Zangira sasa huyu Zangira baadaye 1977 alikamatwa tenaa na kufungwa kwa kusidiana na Wazungu wa Southern Rhodesia(Zimbabwe),hii imekaaje?
@@wechemakambo2182 uasi wa jeshi ni 1964, Nyerere alifichwa Kigamboni na matokeo yake Julius hakumsaidia lolote hadi kifo chake.
Julius alikuwa ni kiongozi mwenye roho ya kwa nini halafu roho mbaya nature
Kwaiyo Tiss ni jwtz au polis???
Kujiunga unafanyaje napenda pia
Mbona marehemu ng'itu hayupo
Hakuwahi kuwa mkurugenzi
Mbona uteuzi umeegemea udini zaidi..tumeshuhudia matumizi mabaya ya madaraka ya ukiukaji wa katiba na viongozi kuingiza nchi kwenye mikataba isiyonufaisha nchi idara ikiwa kimya maana yake nini. hizi ni nchi mbili zilizouungana.idara inawajibika vipi kuhakikisha viongozi hawatumii nafasi zao kuhamisha rasilimali za upande moja. Isiieshie kushauri tu. Pia ichukue hatua
Huna akili kama ni udini basi huyo Julius. Kuanzia TISS wa kwanza hadi wanane na hakuna mtu alieliongelea hilo coz hatuna udini, umefahamu wewe pimbi?
Udini unakuja baada ya kukosekana hoja zenye mashiko.
Kuna sheikh kateuliwa kwani? Acheni mawazo finyu sidhani kma ni uzalendo kuhusisha Serikali na mambo ya dini.
Siku zote mbona hamjasema kwann? Au sababu ni huyu mama tu je umeona sehemu yoyote kiongozi wa Serikali anahubir dini ?
Mbona LUKUVI alipoenda kanisani na kuongea udini hukusema lolote?
@@suleimansalym7537 wakristo huwa hawajiamini, na wengine hujiamini kutokana na dikteta Nyerere kuwa rais wa kwanza lkn hawajui bidii zote zilifanzmywa na waislam wa pwani na ndio wenye pwani yao rasmi, kuanzia Mtwara, Lindi, Pwani. Dar na Tanga.
Hata uhuru haujapatikana huko porini bara ndani.
Kila kitu kwa wastaarabu pwani (DUR AL SALAAM)
ambayo ndio Dar es salaam ya sasa.
Ndugu ukisema Udini kwa kuwa aliyechaguliwa ni Muislamu, Basi Waislamu nao wataanza kusema, mbona Wakuu wote wa jeshi la wananchi ni wakristo toka uhuru isipokuwa mmoja tu Abdallaah Twalipo? Kiongozi anatakiwa aingoze vizuri bila kujali dini
mbn kam umechanganya apo kweny diwan athuman msuya mbele yake hakuja uyo uliemuek badala yake alikuj moj kw moj Ali iddi
😅p
Nifanyeje ili niwe members TISS
Kuwa 🐞
We zombie haujui😂 shughuli kaka
Kazi siipendi kabisa
😂@@henrymjema1685
Umeshaikosa tayari
Muongo wewe
Okay
Kazi iendeleeeeeeeee
Kujiunga unafanyaje napenda pia