ACHILIWA KWA JINA LA YESU // MAOMBI MAALUM YA KUVUSHWA
Вставка
- Опубліковано 7 вер 2024
- Ujumbe: Maombi ya kuvuka
Andiko: Ezekieli 34:16
Pastor: Innocent Mashauri
Ezekieli 34:16
Nami nitawatafuta waliopotea, nitawarudisha waliofukuzwa, nitawafunga waliovunjika, nitawatia nguvu wagonjwa; nao wanono na wenye nguvu nitawaharibu; nitawalisha hukumu.
Maarifa ya Ki-Mungu
@SIRI ZA BIBLIA
www.sirizabiblia.com
+255 758 708 804
linktr.ee/siri...
Instagram Account
/ siri_za_biblia
SADAKA YAKO YA KUCHANGIA INJILI IFIKE MBALI ZAIDI:
M-PESA +255 758 708804 INNOCENT MASHAURI
CRDB ACC: 0152523574100 INNOCENT LEONARD MASHAURI
Mungu achilia ukombozi kwenye maisha yangu vifungo vya ibilisi shetani viachie familia yangu nikumbuke baba Amen.
Amen 🙏
AMEN AMEN, 🙏🙏 ASANTE YESU KWA KUNITENDEA, ASANTE KWA KUNIKOMBOA KWENYE VIFUNGO VYA GIZA 🙏🙏
Asante bwana unaweza yote,baba naomba ukanivushe nakunitoa Kwa kila kifungo,pia kuharibu kila mipango YA shetani Kwangu hata kwatoto wangu Kwa Jina la yesu🙌🙌🙏❤️
Amen amen eeeeh Bwana Yesu nivushe katika madhabahu za kutoolewa,uganga na uchawi na hata nisizozijua ila ww unajua maisha yangu maana ulinijua kabisa hujaniweka tumboni mwa mama yangu umeyachunguza malango yangu na unajua kila kiandamacho maisha yangu Jehovah
MUNGU MWENYEZI NASONGA MBELE ZAKO NIKIOMBA TOBA NA MSAMAHA. BABA DAMU YA MWAÑAO YESU KRISTOR IKAKATE KILA MINYORORO KWA MAISHA YANGU 🙏 WATOTO WANGU UKAWE MWANGA WA NJIA ZAÑGU AMEN
YESU 😢 usinipite unapo Sulu wengine unikumbuke mm na wanangu,uyafute machosi haya, unisamehe dhambi zangu,uniokoe Baba 🤲 Kwa uwezo wako Amina.
Nivushe ee Bwana katika Hali zote ninazopitia
Mungu akubark mtumish kwa mafundisho hii kwel ni sir za biblia
Wewe ni Bwana niponye nikujue zaidi Yesu
Hallelujah Amen, naomba siku ya leo iwe baraka kwangu na watoto wangu na family yangu
Asante mtumishi wa mungu kwa majira haya kwamaombi🙏
Yesu yesu tawala kwenye maisha yangu
Ee mungu wangu nahomba nihachiliwe kwa Jina la Yesu
Mungu msaidie mama angu aweze kulipa madeni yote katika jina la yesu
❤amen
Kombowa ndugu zangu Yesu navifungo vyahulevi piya naroho zatamaha yamwili. Ponya hukoo, jamihi na familiya yangu yote kwahujumla usinipite Yesu naomba
Nivushe Bwana Yesu kwenye uzao😢
Emeeeen
Ee Mungu nifungue na vifungo vyote mimi na familia yangu natamka ufaulu mzuri kwa binti yangu na Ajira kwa kijana wangu naachilia uponyaji kwa mwanangu mdogo na hamu ya kula chakula nivushe katika magumu yaliyojuu ya uwezo wangu niepushe na majaribu yanayozidi uwezo wa Imani yangu Mungu naomba Uinue Uchumi wangu inua mauzo ya juu kwenye biashra yangu gusa wale woote wanaogusa maisha yangu kwa namna moja au nyingine wazingire kila Eneo la maisha yao katika jina la Yesu ilinde familia yangu yote AMEN🙏
Amina kwa uwezo wako ee Bwana
Mungu nivuguwe vifugo vyote vyakira aina na family yangu 🙏🏽
Usinipite Mungu wangu nivushe nakutegemea
Asante yesu🙏🙏🙏
Nivukishe yesu
Amen ubarikiwe mtumishi
ameeeeen
Asante YESU 😊
Amina
Ehe mungu nifungulie milango yangu ya maisha..
Asante kwa neema hii Bwana
AminA
Ee bwana nivushe kwe kwegne vita vya shetani kwa jina la yesu cristo maisha yangu ya achiliwe kwa jina la yesu cristo
Usinipite Bwana
Nivushe kwa hili jaribu kwa jina la Yesu
Asante bwana haujatuacha
Nayaweza mambo yoye katika yeye anitiaye nguvu
Nimeombewa hadi nimefikia hatua naona kama nawachosha watumishi.afya takribani mwaka wa 3.kupungukiwa damu hadi 2g.napenda niombe lakini nashindwa kabisa, kufunga ndo siwezi kabisa.mwanangu mdogo miaka 5 ndiye anakaa akiniombea na kunifariji pakubwa.naomba msaada, siwezi kabisa kuomba wala kufunga.naumwa siwezi kueleza Sana.Imefikia mahali naona ni hali ya kawaida kwangu, hili suala linanisumbua Sana.Naomba neema ya MUNGU izidi sana kwenye maisha yangu na mwanangu.
Mcheck tu lakini pia usiache kuomba na shiriki binafsi meza ya Bwana nyumbani Kwa Imani, Mcheck huyu @reen_herbal kwaajili ya kubadilisha ulaji wako.
Pole sana mungu atakuinua
Eeeh yesu usinipite baba yangu sinamwingine wakuniponya nie pushe namambo ya washawi wananitesa nipiganie baba
Mungu mponye mwanangu apone migu yake awe mzima
Mungu wangu naomba unifungulie vifungo vyote nilivyo fungwa pamoja na family yangu kwa ujumla asante mungu kwa yotee 🙏🙏
Eeeh mungu nifungue vifungo
Eeee Mungu usinipite ww ndo tegemelo langu
❤❤❤
Usinipite baba nivushe kwenye haya nayo yapitia achilia uponyaji kwa mdogo wangu na baba yangu ukawavushe kwenye mapito yao AMEN
Amina naomba iwe siku njema kwangu ikawe ya baraka kwa jina la yesu
Asante sana Yesu Kwa kunivusha katika kipiind hiki kigumu
Ee Mungu usiniache tawala maisha yangu, watoto wangu, familia yangu, afya yangu na ndoa yangu
Asante Yesu kwa kutukomboa kutokana na vifungo vywa shetani
Mungu wangu naomba wataki huu unimpe matamanio ya moyo wangu baba😢😢😢😢
Naomba tumbo langu lifunguke Kam ulivofungua Kwa Hana ee MUNGU pia mume wangu aokoke naomba baba ingilia kati maisha yetu
Muchungaji bwanayesu asifiwe naomba nambayawasapu
Bwana nipo hapa naomba univushe kwenye changamoto ya afya ninayopitia nyakati hizi ngumu kwangu naomba uibariki siku yangu ya leo
Usinipite mokozi nisikie unapogusa wengine na Mimi niguse nimechoka naomba kusikika mbeleza Bwana
Kwako bwana nimekua salama
Usinipite bwana nipo mikonon mwako shusha ulizikwangu ukawe falaja kwangu naombafungua balaka kwangu namajibu
Amen 🙏
Amina
Nimeombewa hadi nimefikia hatua naona kama nawachosha watumishi.afya takribani mwaka wa 3.kupungukiwa damu hadi 2g.napenda niombe lakini nashindwa kabisa, kufunga ndo siwezi kabisa.mwanangu mdogo miaka 5 ndiye anakaa akiniombea na kunifariji pakubwa.naomba msaada, siwezi kabisa kuomba wala kufunga.naumwa siwezi kueleza Sana.Imefikia mahali naona ni hali ya kawaida kwangu, hili suala linanisumbua Sana.Naomba neema ya MUNGU izidi sana kwenye maisha yangu na mwanangu.
Mwambie MUNGU ana sikia hata kwa sauti yako unamkumbuka hezekia aliambiwa atakufa asipo tengeneza mambo ya nyumbani kwake aka tubu aka mlilia ADONAI akiwa kitandani naye akajibu maombi yake nae akapona usimuche mungu usichoke kwani ata kujibu saa yoyote kataa roho za mauti na majin utapona Amen
Mwambie MUNGU ana sikia hata kwa sauti yako unamkumbuka hezekia aliambiwa atakufa asipo tengeneza mambo ya nyumbani kwake aka tubu aka mlilia ADONAI akiwa kitandani naye akajibu maombi yake nae akapona usimuche mungu usichoke kwani ata kujibu saa yoyote kataa roho za mauti na majin utapona Amen
@@danielsamuel7557 nashukuru sana kaka
Amen
Amen
Amen 🙏
Amen
Amen
Amen
Amen