Historia ya uislamu Tanzania Kabla na baada ya uhuru Mtoa Mada Ust Ilunga H Kapungu Prt 3 By Ahmed Sh Ahlusuna TV Mwanza Tz

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 125

  • @walidamour867
    @walidamour867 Рік тому +6

    Allah akurehemu na pepo ya juu iwe makazi yako mzee wetu

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Рік тому +5

    MWENYEZI MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA SHEIKH ILUNGA EEN YA RABI ALAMEEN IN SHAA ALLAH

  • @allyshomari7417
    @allyshomari7417 Рік тому +3

    Allah Akbar!! Mungu akupe Nuru ktk kaburi Yako. Akupe mapumziko yaliyo mazuri. Ww ni true man of Muslim. Allah humma maskana fil janna aamin!!

  • @saidhamad7504
    @saidhamad7504 4 роки тому +6

    Allah akupandshe daraja sheh wtu na akufungamanishe na matabiin. Amiin

  • @sabralillah7070
    @sabralillah7070 7 років тому +14

    Allah akujalie pepo ya firdaus kwa history nzuri ya dini yetu watu wengi hawajui

  • @abdallahesika8407
    @abdallahesika8407 3 роки тому +4

    Allah akufufue miongoni mwa waja wema siku ya Qiyama, Nasi pia waislam wengne vilevile

  • @farijalamasonjo2977
    @farijalamasonjo2977 Рік тому +4

    Allah amrehemu sheikh wetu

  • @minaminaa1669
    @minaminaa1669 6 років тому +17

    Allah amrehemu na aturehemu na sisi tuliobakia

  • @omarykimweri1493
    @omarykimweri1493 6 років тому +11

    Ee Mwenyezi mungu mwingi wa rehma mlehemu mja wako huko aliko amin

  • @Garusahir
    @Garusahir 15 днів тому

    Allah akurehemu akulipe jannat firdaus

  • @Allytemba88
    @Allytemba88 2 роки тому +3

    Rehma za Allah ziwe juu yakoo

  • @mbwanaathuman4544
    @mbwanaathuman4544 7 років тому +16

    Allah ajaalie kaburi lako liwe bustani miongoni mwa mbustani ya pepo

  • @SaidKiponza-ni4fk
    @SaidKiponza-ni4fk Рік тому +1

    Allah akuongoze akutilie wepesi huko uliko

  • @Abcdz2835
    @Abcdz2835 12 років тому +12

    jazzakall kheir may Allah swt give you pepo fildausi

  • @sakinajuma1135
    @sakinajuma1135 2 роки тому +1

    Ahsante sana kwa mafunzo yako, Allah (SW) akujaalie mahali pema huko ulipo.

  • @omarykwasirisana6107
    @omarykwasirisana6107 5 років тому +6

    allah akureheemu shekh wetu

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 2 роки тому +1

    darasa zuri sana wasomi wakubwa wakisoma inje wanabadilisha fikira,shekh Olunga allah akuremu ishaalah

  • @maftahmusa9513
    @maftahmusa9513 7 років тому +13

    Allah akuhifadhi akuondolee Adhabu ya kaburi

  • @friesinger0963
    @friesinger0963 7 років тому +12

    Allah akufadhi akupe Nour katk kabri lako

    • @yunusramadhan2546
      @yunusramadhan2546 2 роки тому

      Nisunna ya Allah killa ukisema ukweli unauliwa au unapotezwa

  • @wachugypsumtz2061
    @wachugypsumtz2061 5 років тому +6

    Allah Akujaalie uingie peponi Sheikh Ilunga..

  • @abdullazizmohammed7015
    @abdullazizmohammed7015 Рік тому

    Allahumma ghfirlahu warhamhu

  • @salehesalehe2967
    @salehesalehe2967 Рік тому +2

    Mashallah mungu mjaaalie pepo shekh wetu

  • @alhabibmkama3566
    @alhabibmkama3566 Рік тому

    Allah akbar. Subuhana llah. Hizi ndo darasa zinazotakiwa kwa waislamu wa zama hizi

  • @Kabeya410
    @Kabeya410 Рік тому

    Allahu maghfirlahu warahmatu waskanahu filjanna

  • @faustinconrad2554
    @faustinconrad2554 28 днів тому +1

    Huyu mzee alikuwa mchochezi wa kiimani, Mungu atampa haki yake kwa kile alichokipanda Kibiti na mkuranga.

  • @zainabuhemedy9352
    @zainabuhemedy9352 5 років тому +2

    Ayo ndio mambo ya kuzungumza mungu akupe kauli thaabiti

  • @mbarikiahamadjuma6824
    @mbarikiahamadjuma6824 2 роки тому +1

    Asante kwa darsa nzuri yenye mazingatio

  • @sammarley1413
    @sammarley1413 3 місяці тому

    Nyerere laanatullah alayhi

  • @hizzamtunguja8133
    @hizzamtunguja8133 6 років тому +3

    allaah akulipe kher

  • @hmsrashd7910
    @hmsrashd7910 2 роки тому +2

    ALHAMDULILLAH

  • @yahayasumbe4098
    @yahayasumbe4098 4 роки тому +1

    Allahumma ighifirillah warhamuhu

  • @ramaissa4883
    @ramaissa4883 8 років тому +4

    Allah akulipe shekh

  • @shekhekassim6402
    @shekhekassim6402 6 років тому +2

    Alhamdulilahi Alhamdulilahi Allah akupe janna ya firdausi

  • @hashimmakeha9586
    @hashimmakeha9586 Рік тому +1

    Allah akuhifadhi Inshallah

  • @faustinconrad2554
    @faustinconrad2554 28 днів тому

    Msiojua dini kweli tatizo; tumwonbapo Mungu jambo siyo kazi yetu kujua ni wapi au nini Mwenyezi Mungu amfanyie mtu aliye kufa. Kuona au kuto ona pepo ni kazi ya Mungu.

    • @NassirShayo
      @NassirShayo 13 днів тому

      HAYA MANENO YAKO SIO SAHIHI KWA ASILIMIA 100%

  • @abdallahhadinani6660
    @abdallahhadinani6660 5 років тому +2

    Allah amjaalie pepo

  • @nassorhemedjuma8743
    @nassorhemedjuma8743 3 роки тому +1

    mashallah

  • @naifatkhamis2841
    @naifatkhamis2841 6 років тому +2

    amin

  • @AfnanAfshan
    @AfnanAfshan Рік тому

    Allah amraham

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama 9 місяців тому

    Makubwa umetuachia na kutufungua Allah akuhifadhi mahali pema pepon Aaamin

  • @razamohammed2700
    @razamohammed2700 Рік тому

    Alibasaleh Speeches

  • @munirayusra91
    @munirayusra91 8 років тому +2

    Ameen

  • @mauloveamani6579
    @mauloveamani6579 7 років тому +1

    Allah akulipe kheir

  • @AkitakaHuwa
    @AkitakaHuwa 9 місяців тому

    Shukran sana

  • @saidalmarjibi6112
    @saidalmarjibi6112 6 місяців тому

    Uislamu uliletwa na Waomani…. Na Watanganyika walikuwa na imani nzuri kabla ya kuingia Uislamu, haikuwa vigumu kuwafahamisha fadhili ya mwenyezi Mungu.
    Wakaja wa European kukamilisha.. wengi tena wakaingia Ukristo--- na hao ndio wananchi wa Tanzania 🇹🇿 leo.

    • @Rad07919
      @Rad07919 4 місяці тому

      Haukuletwa na wa omani, uislam ulikua ushaingia visiwani ila wao waliusambaza sehemu nyingi za East Africa.

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Місяць тому

      ​@@Rad07919 unaweza kutuambia hapo visiwan uislam ulifikaje?

  • @abdulmlawa302
    @abdulmlawa302 4 роки тому +2

    Mungu akuhifadhi

  • @salhidsalhida4151
    @salhidsalhida4151 Рік тому +3

    Kiukweli sitachoka kukuombea maghfira akupokeee ilhal amekuridhia

  • @rshidmwasa8493
    @rshidmwasa8493 4 роки тому +2

    R.i.p ilunga

  • @feisal6592
    @feisal6592 2 роки тому +1

    Shkh kutoka songea mapakka mahrge itachikuwa siku ngapi

  • @josephjosephat7826
    @josephjosephat7826 5 років тому +6

    Huyu jamaa Kama ameandka vtabu yanpasa nisome aise

  • @alriyamy613
    @alriyamy613 3 роки тому +1

    Who's here 2021..?

  • @angelomalimi2444
    @angelomalimi2444 Рік тому

    Jinga sana hilo shehe chochezi la vulugu

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Рік тому

      Huna adabu,inaonyesha namna gani akili yako Giza Hadi unabishana na marehemu

    • @sumayasumaya6455
      @sumayasumaya6455 Рік тому +1

      Sawa.., haya sema wewe usio uchochezi kuhusu hili jambo analoongea...

  • @friesinger0963
    @friesinger0963 7 років тому +6

    mtoaa post tunaomba utumalizie Historia yote plez hii ni intrested kwa watu wote wanaopenda nchi yao

    • @ernestmichael5914
      @ernestmichael5914 6 років тому

      shekhe Ilunga wewenishujaa wetusisi waislam tutakukumbuka kwaushujaawako wakujiani nakuteteadiniyamungu.

  • @adventsumari5776
    @adventsumari5776 2 роки тому

    Kwaiyo unatakaje mbona mnapenda sana kutufatilia cc wakristo.

  • @josephjosephat7826
    @josephjosephat7826 5 років тому +5

    M Joseph mkristu lkn naunga mkono aslmia kubwa Sana maneno yako just kwa huelewa tu wa kawaida kabsa

    • @jaffarchimbuvu7499
      @jaffarchimbuvu7499 3 роки тому

      Jackobo nime kukubari ikiwezekana njoo huku kwenye uiaslamu kaka zambi zako zote zina futwa,mimi nilikuwa kwenye uslamu👍

    • @ellsonmkonyi1319
      @ellsonmkonyi1319 Рік тому

      Magufuli where are you??

  • @abuunajat4450
    @abuunajat4450 3 роки тому +3

    Ukisema ukweli unauliwa dah ! Viongozi wa Tanzania watafute majibu mazuri siku ya kiama

  • @sadikingonyani8124
    @sadikingonyani8124 5 років тому +2

    Asalaam Aleykum Ust, naomba kujua kuna dvd ya hiyo histolia? kama ipo nitaipataje?

  • @MdNasr-jm8pj
    @MdNasr-jm8pj 20 днів тому

    Ili mrad wawaritadishe wenzio 😢 wazungu maluuni kweli

  • @MwanaidMaulid-ou9sk
    @MwanaidMaulid-ou9sk 6 місяців тому

    Pepo iwe makazi yako shekhe wetu

  • @mohamedmtoi8773
    @mohamedmtoi8773 8 років тому +4

    TWAYBU

  • @idrisabakari584
    @idrisabakari584 9 років тому +8

    Mwenyezmungu akupe kiwanja kizuri kuliko vyote katika viwanja vya peponi iwe ndio makazi yako ustadhi ilunga kapungu tulikupenda sana mno ila imeandikwa kua sote ni wa mwenyezmungu na kwake yeye tutarejea

  • @mohammedmussa7378
    @mohammedmussa7378 2 роки тому +2

    kisha wanasema nchi hii haijamwagika damu

  • @faustinconrad2554
    @faustinconrad2554 28 днів тому

    Waliopigania uhuru kwa dua walipenda, maana uhuru ulikabidhiwa kwa awamu kwa nchi nyingi za Afrika na duniani kote, ilikuwa lazima uhuru tupewe.

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 5 місяців тому

    Hakuna alie mwema Kati ya mzungu na mwarabu kwa Muafrika hata siku Moja, dini hizi sis tumeletewa jmn sisi waafrika tusijazane chuki hapaa kila mtu aiheshimu dini ya mwenzie.

    • @MaryamIssa-y7v
      @MaryamIssa-y7v 4 місяці тому +1

      Ss ulitakaje chaguwa kushuka au kunyowa mitume aliwachaguwa Allah kuja kuwatangazia njia aitakayo yeye na baada kuondoka kwao maulamaa ndio warithi WA mitume na Kila ummah unashahidi.kazi kwako kutia pamba sikioni au laa usisahau kaburi

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 Місяць тому

      ​@@MaryamIssa-y7vhayo yawazungungu unajua ya waarabu lakin? Jinsi walivokata watu mikono na jinsi wavomuua kwa sumu mtemi Milambo wa Tabora hawa wote mashetani tu

  • @faustinconrad2554
    @faustinconrad2554 28 днів тому

    Sarafu ina pande 2, kwani wasingepigania uhuru huo hadi leo tungekuwa bado tunatawaliwa?

  • @godfreymwamaso2424
    @godfreymwamaso2424 Рік тому

    Siyo majina ya kiislamu ni majina ya kiaraabu okey weka hoja yako vizuri mzee

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Рік тому

      Vijiba vya roho chuki kwa waarabu zitawauwa

  • @abdulbarri5915
    @abdulbarri5915 4 роки тому

    Magufuli

  • @MohamedKasalama
    @MohamedKasalama 9 місяців тому

    Akili zenu fupi hata kama jina ni la kiarabu huyo muarabu mkiristo anatoka wapi? Mtamuelewa tuu sheikh

  • @manyandaramadhani5427
    @manyandaramadhani5427 Місяць тому

    Na wewe kwa nini huktpiga picha hukua na sim maneno mengii

  • @faustinconrad2554
    @faustinconrad2554 28 днів тому

    Kwa asemavyo huyu mzee anamaanisha nini, wakati hao waislamu wanapigania uhuru huo, Wakristo na watu wa dini nyingine walikuwa Wapi?

  • @deokasomambuto1288
    @deokasomambuto1288 Рік тому

    Ielezwe shule ili isaidie nini?

  • @msukuma1
    @msukuma1 2 роки тому +1

    Acha uchochezi ww

  • @faustinconrad2554
    @faustinconrad2554 28 днів тому

    Mambumbumbu na udini; waislamu wapiganie uhuru, halafu nchi apewe Nyerere, kirahisi hivyo? Tafakari mnaopandikizwa roho ya kuzimu.

    • @fasterwalker1464
      @fasterwalker1464 10 днів тому

      😂😂😂😂😂😂 haf wanamtukana na wanamwita kafiri

  • @faustinconrad2554
    @faustinconrad2554 28 днів тому

    Kazi ya kulaani mutu siyo kazi yako, ni kazi ya Mungu 😂

  • @charlesmazigo8106
    @charlesmazigo8106 Рік тому +1

    She anakosa hoja,atambue kwamba hizo ni zama uislam ulikuwa ndo dini yenye nguvu,maeneo mengi ya afrika,hiyo ni kabla ya ukoloni,ukoloni ndo ulisaidia kueneza ukristo,pili hao majimaji hata Kama walikuwa waislamu,hawakuwa wakipigania dini,walikuwa wakipinga ardhi Yao na nchi Yao kutwaliwa na wajerumani.dini yoyote ambayo ingekutwa na wajerumani Bado vita vingepigwa

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Рік тому

      Sasa kuelezea Historia ndio kosa?

    • @charlesmazigo8106
      @charlesmazigo8106 Рік тому

      @@aminasaid6555 off course,ni kosa kupotosha kwamba waislam ndo waliopigana na mjerumani,hao walikuwa watanganyika

  • @lazarusbasil1762
    @lazarusbasil1762 Рік тому

    Hakuna jina la kiislamu ....kuna majina ya kiarabu

    • @amourworldbeats
      @amourworldbeats Рік тому

      Unayajua Majina Ya Kiarabu Ni Yapi Na Kiislamu Ni Yapi?

    • @aminasaid6555
      @aminasaid6555 Рік тому

      Vijiba vya roho chuki uzanditi juu ya waarabu itawauwa

  • @abdulrahmansalim9773
    @abdulrahmansalim9773 Рік тому +2

    NYERERE HE WAS VERY BAD MAN BUSTARD

  • @ansapapi
    @ansapapi 12 років тому +1

    amin