Msiojua dini kweli tatizo; tumwonbapo Mungu jambo siyo kazi yetu kujua ni wapi au nini Mwenyezi Mungu amfanyie mtu aliye kufa. Kuona au kuto ona pepo ni kazi ya Mungu.
Uislamu uliletwa na Waomani…. Na Watanganyika walikuwa na imani nzuri kabla ya kuingia Uislamu, haikuwa vigumu kuwafahamisha fadhili ya mwenyezi Mungu. Wakaja wa European kukamilisha.. wengi tena wakaingia Ukristo--- na hao ndio wananchi wa Tanzania 🇹🇿 leo. ❤
Mwenyezmungu akupe kiwanja kizuri kuliko vyote katika viwanja vya peponi iwe ndio makazi yako ustadhi ilunga kapungu tulikupenda sana mno ila imeandikwa kua sote ni wa mwenyezmungu na kwake yeye tutarejea
Hakuna alie mwema Kati ya mzungu na mwarabu kwa Muafrika hata siku Moja, dini hizi sis tumeletewa jmn sisi waafrika tusijazane chuki hapaa kila mtu aiheshimu dini ya mwenzie.
Ss ulitakaje chaguwa kushuka au kunyowa mitume aliwachaguwa Allah kuja kuwatangazia njia aitakayo yeye na baada kuondoka kwao maulamaa ndio warithi WA mitume na Kila ummah unashahidi.kazi kwako kutia pamba sikioni au laa usisahau kaburi
@@MaryamIssa-y7vhayo yawazungungu unajua ya waarabu lakin? Jinsi walivokata watu mikono na jinsi wavomuua kwa sumu mtemi Milambo wa Tabora hawa wote mashetani tu
She anakosa hoja,atambue kwamba hizo ni zama uislam ulikuwa ndo dini yenye nguvu,maeneo mengi ya afrika,hiyo ni kabla ya ukoloni,ukoloni ndo ulisaidia kueneza ukristo,pili hao majimaji hata Kama walikuwa waislamu,hawakuwa wakipigania dini,walikuwa wakipinga ardhi Yao na nchi Yao kutwaliwa na wajerumani.dini yoyote ambayo ingekutwa na wajerumani Bado vita vingepigwa
Allah akurehemu na pepo ya juu iwe makazi yako mzee wetu
MWENYEZI MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA SHEIKH ILUNGA EEN YA RABI ALAMEEN IN SHAA ALLAH
Allah Akbar!! Mungu akupe Nuru ktk kaburi Yako. Akupe mapumziko yaliyo mazuri. Ww ni true man of Muslim. Allah humma maskana fil janna aamin!!
Allah akupandshe daraja sheh wtu na akufungamanishe na matabiin. Amiin
Allah akujalie pepo ya firdaus kwa history nzuri ya dini yetu watu wengi hawajui
Allah akufufue miongoni mwa waja wema siku ya Qiyama, Nasi pia waislam wengne vilevile
Allah amrehemu sheikh wetu
Allah amrehemu na aturehemu na sisi tuliobakia
Ee Mwenyezi mungu mwingi wa rehma mlehemu mja wako huko aliko amin
Allah akurehemu akulipe jannat firdaus
Rehma za Allah ziwe juu yakoo
Allah ajaalie kaburi lako liwe bustani miongoni mwa mbustani ya pepo
ALLAHUMA AMIN
Allah akuongoze akutilie wepesi huko uliko
jazzakall kheir may Allah swt give you pepo fildausi
Abcdz2835 Amiin
Ahsante sana kwa mafunzo yako, Allah (SW) akujaalie mahali pema huko ulipo.
allah akureheemu shekh wetu
darasa zuri sana wasomi wakubwa wakisoma inje wanabadilisha fikira,shekh Olunga allah akuremu ishaalah
Allah akuhifadhi akuondolee Adhabu ya kaburi
Nkv
Amina yarabal alamin
Allah akulipe zaidi na zaidi uko uliko.
Allah akufadhi akupe Nour katk kabri lako
Nisunna ya Allah killa ukisema ukweli unauliwa au unapotezwa
Allah Akujaalie uingie peponi Sheikh Ilunga..
Llllllplpllppppllllllllllllpppppppppppppppppppppppp
pPppppplllllllllllpplpllpplllpppplpllppp
Ppppplp
Lllllp
P
Allahumma ghfirlahu warhamhu
Mashallah mungu mjaaalie pepo shekh wetu
Ewe.moro.wetu.mjariye.janatt.firdawus.shkh.wetu.jemedari.
Allah akbar. Subuhana llah. Hizi ndo darasa zinazotakiwa kwa waislamu wa zama hizi
Allahu maghfirlahu warahmatu waskanahu filjanna
Huyu mzee alikuwa mchochezi wa kiimani, Mungu atampa haki yake kwa kile alichokipanda Kibiti na mkuranga.
Wengi wao wapo hivo
Ayo ndio mambo ya kuzungumza mungu akupe kauli thaabiti
Asante kwa darsa nzuri yenye mazingatio
Nyerere laanatullah alayhi
Sasa nyerere kafanyaje nawewe
allaah akulipe kher
ALHAMDULILLAH
Allahumma ighifirillah warhamuhu
Allah akulipe shekh
Alhamdulilahi Alhamdulilahi Allah akupe janna ya firdausi
ah. tuwaombe dua
Allah akuhifadhi Inshallah
Allah akuweke mahali pema peponi amaan
Msiojua dini kweli tatizo; tumwonbapo Mungu jambo siyo kazi yetu kujua ni wapi au nini Mwenyezi Mungu amfanyie mtu aliye kufa. Kuona au kuto ona pepo ni kazi ya Mungu.
HAYA MANENO YAKO SIO SAHIHI KWA ASILIMIA 100%
Allah amjaalie pepo
mashallah
amin
Allah amraham
Makubwa umetuachia na kutufungua Allah akuhifadhi mahali pema pepon Aaamin
Alibasaleh Speeches
Ameen
Allah akulipe kheir
Shukran sana
Uislamu uliletwa na Waomani…. Na Watanganyika walikuwa na imani nzuri kabla ya kuingia Uislamu, haikuwa vigumu kuwafahamisha fadhili ya mwenyezi Mungu.
Wakaja wa European kukamilisha.. wengi tena wakaingia Ukristo--- na hao ndio wananchi wa Tanzania 🇹🇿 leo.
❤
Haukuletwa na wa omani, uislam ulikua ushaingia visiwani ila wao waliusambaza sehemu nyingi za East Africa.
@@Rad07919 unaweza kutuambia hapo visiwan uislam ulifikaje?
Mungu akuhifadhi
Kiukweli sitachoka kukuombea maghfira akupokeee ilhal amekuridhia
R.i.p ilunga
Shkh kutoka songea mapakka mahrge itachikuwa siku ngapi
Huyu jamaa Kama ameandka vtabu yanpasa nisome aise
Who's here 2021..?
Jinga sana hilo shehe chochezi la vulugu
Huna adabu,inaonyesha namna gani akili yako Giza Hadi unabishana na marehemu
Sawa.., haya sema wewe usio uchochezi kuhusu hili jambo analoongea...
mtoaa post tunaomba utumalizie Historia yote plez hii ni intrested kwa watu wote wanaopenda nchi yao
shekhe Ilunga wewenishujaa wetusisi waislam tutakukumbuka kwaushujaawako wakujiani nakuteteadiniyamungu.
Kwaiyo unatakaje mbona mnapenda sana kutufatilia cc wakristo.
M Joseph mkristu lkn naunga mkono aslmia kubwa Sana maneno yako just kwa huelewa tu wa kawaida kabsa
Jackobo nime kukubari ikiwezekana njoo huku kwenye uiaslamu kaka zambi zako zote zina futwa,mimi nilikuwa kwenye uslamu👍
Magufuli where are you??
Ukisema ukweli unauliwa dah ! Viongozi wa Tanzania watafute majibu mazuri siku ya kiama
allah. atulinde
Asalaam Aleykum Ust, naomba kujua kuna dvd ya hiyo histolia? kama ipo nitaipataje?
Ili mrad wawaritadishe wenzio 😢 wazungu maluuni kweli
Pepo iwe makazi yako shekhe wetu
TWAYBU
Mwenyezmungu akupe kiwanja kizuri kuliko vyote katika viwanja vya peponi iwe ndio makazi yako ustadhi ilunga kapungu tulikupenda sana mno ila imeandikwa kua sote ni wa mwenyezmungu na kwake yeye tutarejea
amiin
Rashid Othman poa
M.mungu akujalie pepo yafirdaus
Vizuli avidumu
Wasio waisilaam walio hai no bora wasilim kabla ya umaut
kisha wanasema nchi hii haijamwagika damu
Waliopigania uhuru kwa dua walipenda, maana uhuru ulikabidhiwa kwa awamu kwa nchi nyingi za Afrika na duniani kote, ilikuwa lazima uhuru tupewe.
Hakuna alie mwema Kati ya mzungu na mwarabu kwa Muafrika hata siku Moja, dini hizi sis tumeletewa jmn sisi waafrika tusijazane chuki hapaa kila mtu aiheshimu dini ya mwenzie.
Ss ulitakaje chaguwa kushuka au kunyowa mitume aliwachaguwa Allah kuja kuwatangazia njia aitakayo yeye na baada kuondoka kwao maulamaa ndio warithi WA mitume na Kila ummah unashahidi.kazi kwako kutia pamba sikioni au laa usisahau kaburi
@@MaryamIssa-y7vhayo yawazungungu unajua ya waarabu lakin? Jinsi walivokata watu mikono na jinsi wavomuua kwa sumu mtemi Milambo wa Tabora hawa wote mashetani tu
Sarafu ina pande 2, kwani wasingepigania uhuru huo hadi leo tungekuwa bado tunatawaliwa?
Siyo majina ya kiislamu ni majina ya kiaraabu okey weka hoja yako vizuri mzee
Vijiba vya roho chuki kwa waarabu zitawauwa
Magufuli
Kafanyaje?
Akili zenu fupi hata kama jina ni la kiarabu huyo muarabu mkiristo anatoka wapi? Mtamuelewa tuu sheikh
Na wewe kwa nini huktpiga picha hukua na sim maneno mengii
Kwa asemavyo huyu mzee anamaanisha nini, wakati hao waislamu wanapigania uhuru huo, Wakristo na watu wa dini nyingine walikuwa Wapi?
Ielezwe shule ili isaidie nini?
Kwani inakuhusu?
Acha uchochezi ww
SUMU inapandwa 😂
Yani mnabishana Hadi na marehemu loooh!
Mambumbumbu na udini; waislamu wapiganie uhuru, halafu nchi apewe Nyerere, kirahisi hivyo? Tafakari mnaopandikizwa roho ya kuzimu.
😂😂😂😂😂😂 haf wanamtukana na wanamwita kafiri
Kazi ya kulaani mutu siyo kazi yako, ni kazi ya Mungu 😂
She anakosa hoja,atambue kwamba hizo ni zama uislam ulikuwa ndo dini yenye nguvu,maeneo mengi ya afrika,hiyo ni kabla ya ukoloni,ukoloni ndo ulisaidia kueneza ukristo,pili hao majimaji hata Kama walikuwa waislamu,hawakuwa wakipigania dini,walikuwa wakipinga ardhi Yao na nchi Yao kutwaliwa na wajerumani.dini yoyote ambayo ingekutwa na wajerumani Bado vita vingepigwa
Sasa kuelezea Historia ndio kosa?
@@aminasaid6555 off course,ni kosa kupotosha kwamba waislam ndo waliopigana na mjerumani,hao walikuwa watanganyika
Hakuna jina la kiislamu ....kuna majina ya kiarabu
Unayajua Majina Ya Kiarabu Ni Yapi Na Kiislamu Ni Yapi?
Vijiba vya roho chuki uzanditi juu ya waarabu itawauwa
NYERERE HE WAS VERY BAD MAN BUSTARD
Anakula alichopanda huko
amin
Manshaalllah