USIJE UKASHANGAA UKIFIKA PEMBA, ''CHAKULA CHAO, USAFIRI WANAOTUMIA, NUNGWI KUNA BALAA''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 131

  • @mohammedalnabahan.4127
    @mohammedalnabahan.4127 4 роки тому +25

    Pemba home najivunia sanaa kua mzaliwa wakisiwaa cha Pemba.

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani2450 4 роки тому +18

    Mtu n kwao na mkataa kwao ni mtumwaaa oyooo kuzaliwa pemba ni degree toshaa 😍

    • @omarsaid4661
      @omarsaid4661 3 роки тому +2

      Swadaqta chezea pemba wee,acha tuu.

  • @andrewsekei8895
    @andrewsekei8895 4 роки тому +13

    Hahaha nimewahi kukaa Pemba wana utamaduni wao bhana mzuri sana, lakini kubwa zaidi ni ukarimu wao na uaminifu, kiukweli ktk sehemu nyingi nchi hii nilizowahi kufika hakuna sehemu kwenye watu wakarimu na waaminifu kama Pemba

    • @salhanassor1077
      @salhanassor1077 3 роки тому +1

      Karibu tena pemba.. green island kisiwa murua cha watu murua

    • @kiri5807
      @kiri5807 3 роки тому +1

      shukran kwa kuliona hilo .

    • @ismailel-mazrui6983
      @ismailel-mazrui6983 2 роки тому

      xhukran ndugu

    • @MaulidFakiKhamis
      @MaulidFakiKhamis 3 місяці тому

      Dini inasaidia then roots n culture asante kwa pongezi

  • @hamisunited4489
    @hamisunited4489 4 роки тому +12

    Milad ayo nimependa ulivo tukumbuka

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 4 роки тому +16

    Mimi asili yangu ni Pemba.... Wazazi wote wanatoka Pemba.... Tunashukuru mpaka leo hii kuna Maadili mazuri sana na mavazi ya heshima sana ila Dunia ilivyo na watu wenye roho ya kiadui sana wanatamani hichi kisiwa kiwe na Laana za Dunia.... Mwenyezi Mungu kilinde kisiwa chetu na Hanasa za Walimwengu wabaya

  • @MahmoudMohamed-ct8no
    @MahmoudMohamed-ct8no 4 роки тому +11

    Kwa kweli nyumbani Pemba ni raha sana kweli kweli Allhamdullillah
    Ng'oma mpaka upapatike kama kuku akichinjwa hahahahaaa

  • @kheirmbarouk8373
    @kheirmbarouk8373 4 роки тому +9

    nimeipenda lakini ingependeza zaidi ungeliingia mitaani zaidi ... WANAKUITA PEMBA MM NAKUITA NYUMBANI ...

  • @sichaguisibaguitv6643
    @sichaguisibaguitv6643 4 роки тому +14

    Asikuambie MTU Pemba kuzuri

    • @eddimalon6051
      @eddimalon6051 4 роки тому +1

      naam kwa shelisheli la nazi na kombe, aaaa utapenda.

  • @zahorsalum663
    @zahorsalum663 3 роки тому +5

    Najivunia kuzaliwa pemba

  • @suleimankhamis8298
    @suleimankhamis8298 3 роки тому +4

    kwa maoni yangu tu , gari za abiria zibadiliswe. abiria ni mtu yoyote lakini je mmungu alio wapata mtihani wa ulemavu .Mjamzito wa miezi 8 je mlemavu wa miguu je mlemavu wa mikono je mtu mzima na ukija upande wa dini ni kusuguana kati ya wanawake na wanaume stara haipo enzi ya 79 yalikuwepo mabasi hasa ya abiria

  • @hamishamis9905
    @hamishamis9905 4 роки тому +8

    Pemba nkwetuuuuu 🤣🤣🤣🤣

  • @rashidally1149
    @rashidally1149 4 роки тому +7

    Ndio mujue kua Hilo neno yakheee munaliongeza nyinyi wabongo maana mtu anajiona ili aongee kipemba lazima atie neno yakheee Sasa msikilizeni huyo wapi Katia neno yakheee

    • @bisunmwamini6993
      @bisunmwamini6993 4 роки тому +1

      Wabaguzi nyieee!sasa wabongo wamefata nn apo!

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 4 роки тому +8

    Hahahaha 😂 wambie hawajua hao

  • @grandmaempiresecret
    @grandmaempiresecret 4 роки тому +8

    Mashaallaaaaa

  • @omarsaid4661
    @omarsaid4661 3 роки тому +4

    Pemba wacha tu kuitwe pemba,chake chake wapo micheweni je na wete yake👍👍👍👍👍👍👍👍.

  • @adamsaid5772
    @adamsaid5772 4 роки тому +14

    Hongera sana milad kutusogezea kisiwa chetu love ll.

  • @yahyakasunga186
    @yahyakasunga186 4 роки тому +10

    Wapili naombeni like zenu wapendwa

  • @yahyakasunga186
    @yahyakasunga186 4 роки тому +12

    Wakwanza naombeni like zenu wapendwa

  • @abdallamasoud7734
    @abdallamasoud7734 3 роки тому +8

    Hongera sana Millard ayo kwa kufika Pemba karb sana Pemba.

  • @mimiapa8436
    @mimiapa8436 4 роки тому +4

    Milard mbona hukufiia wilaya zote asante kwa kufika pemba

  • @mselemhaji1969
    @mselemhaji1969 4 роки тому +5

    ,,hahahahahahaha papatikaaaa

  • @sulaimanead8060
    @sulaimanead8060 4 роки тому +5

    Pemba kwetu

  • @sharifamohammed809
    @sharifamohammed809 3 роки тому +3

    Love pemba nawapa pole wanao kwenda ugenini wakakuzarau kwetu ila nase hakuna kisiwa chenye uziri wakila hali kama pemba ukarimu chakula chetu usiseme yani ata niende wapi sipati laza ya chskula chetu mungu tulindiye kisiwa chetu na utupe ukarimu uwouwo tuliyo wawo🤗💋🙏💪🔥👌👌👌

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 4 роки тому +7

    Usafiri wa chai maharage

  • @saidjuma9782
    @saidjuma9782 4 роки тому +6

    Thanks to Millard Ayo for sharing this with us

  • @suleimanalkindy6502
    @suleimanalkindy6502 3 роки тому +3

    Ufafanuzi mazidhawa kabisa kutoka kwa maalim Bakar.

  • @barakakihaga6481
    @barakakihaga6481 3 роки тому +4

    Nimefurahi sana millard oyooo😍😍

  • @salhanassor1077
    @salhanassor1077 3 роки тому +3

    Alipojitaja tu jina nlijua kuwa niwakaskazini maana watu wamichewen nashumba wanalipenda jina la bakari..asant millard ayo kwakuja nyumbani

  • @salwasuleiman3525
    @salwasuleiman3525 3 роки тому +4

    Maa shaa Allah

  • @sahilnaass5090
    @sahilnaass5090 4 роки тому +5

    Wabongo wafujaji wa misamiat ya pemba . Fyuuuuuuu

    • @bisunmwamini6993
      @bisunmwamini6993 4 роки тому +2

      Kisiwa kizur sana ila kasoro moja tu!mna ubaguzi wa kishamba sana!

    • @khulayfnassor6938
      @khulayfnassor6938 3 роки тому

      @@bisunmwamini6993 wee hufirwii mpumbavu iyo kujiona umetoka katika ujinga uliona nao mshukuru sana mpemba mbwawee

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Рік тому

      Sema acheni maneno maneno hapo hamna mbongo ati apo ushamba Tu umewajaa

  • @diznoles882
    @diznoles882 4 роки тому +4

    Gari
    ua-cam.com/video/r37SGXWQOtI/v-deo.html

  • @idrisabakar7928
    @idrisabakar7928 4 роки тому +5

    Proud my father

  • @majidimansury3751
    @majidimansury3751 4 роки тому +5

    my sweet home pemba

  • @aipysaleh5647
    @aipysaleh5647 3 роки тому +2

    Karibu pemba upembani kisiwa cha marashi ya karafuuu Nakupenda nyumbani kwetu

  • @yassirmohd3069
    @yassirmohd3069 3 роки тому +4

    Proud pemba boi

  • @salhanassor1077
    @salhanassor1077 3 роки тому +3

    My beautifully island..pemba al mussalama.. Karibuni mje mjifunze ustaarabu.. ila mkija mje na adabu zenu

  • @عبداللهالإسماعيلي-ظ6ن

    Tumefurahi sana kwa kuitambua Zanzibar kua ni Jamhuri. Hongereni sana kwa kufika

  • @fatmaabdulla9518
    @fatmaabdulla9518 4 роки тому +9

    Home sweet home 💕

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 3 роки тому +2

    Nimefurah kwa kutembelea nyumban👏👏😘😘🙏🙏

  • @mulhazinzibar6912
    @mulhazinzibar6912 3 роки тому +3

    Hongera Sana Chuma nakukubali hahahaha 😂

  • @hajjmohd3602
    @hajjmohd3602 3 роки тому +1

    Alieskia KOFIA BORIDO🤣🤣🤣 , , uyu jama namkobali kwa kiswahili , ASANTEE TEAM CCK

  • @sultansaidy2187
    @sultansaidy2187 3 роки тому +1

    Wambie hawoo wabongo amiy ngomastarehe sikupapatika

  • @solomonadams6337
    @solomonadams6337 4 місяці тому

    Pemba ni home ov my Parents also for my self ,buh Pemba Island is not Tanzania, Pemba is part ov Zanzibar Arkipelego, thanks

  • @jayjay4313
    @jayjay4313 4 роки тому +7

    Haha, wapemba msitunge wabongooo🤣🤣🤣, Bongo twawapenda sana tu. Lugha yenu burudaaani kabisa. Tuletee nyingi tu habari za Pemba Tanzania yetuuu. Asante kwa elimu ya Pemba, tutakuja kuwasilimu, Pemba inapendeza sana.😁❤✔

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 3 роки тому +3

    Pemba nkuzurii

  • @seifelbusaidy9967
    @seifelbusaidy9967 4 роки тому +4

    Home sweet home ❤❤❤❤❤

  • @yussufhamad1268
    @yussufhamad1268 3 роки тому +2

    Nimecheka sana unawaeka kofia yako borido

  • @saidmohammed6385
    @saidmohammed6385 3 роки тому +2

    Hahahaha pemba

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 2 роки тому +1

    Hatarieti twalaliya shiba hatulali bofulo jamani pemba raha kwaza wanasifa zote

    • @MbaroukKhalifa
      @MbaroukKhalifa 6 місяців тому

      Dah asikwambie mtu Pemba Raha sana na tunaipenda sana

  • @chicagousa2695
    @chicagousa2695 4 роки тому +7

    Sweet Home♥♥♥♥♥♥

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan 5 місяців тому

    Nkweli wapemba hatugongewi mwiko

  • @waheedawaheeda152
    @waheedawaheeda152 3 роки тому +2

    Mbn watu wanasem wabaguzi

  • @husseinali9760
    @husseinali9760 3 роки тому +3

    Masha Allah. Sweet home Zanzibar Pemba

  • @fumuali1605
    @fumuali1605 3 роки тому +2

    Furaha yetu

  • @kambinikichokochwe-we4xn
    @kambinikichokochwe-we4xn Рік тому +1

    Ilove you pemba💜💜💜

  • @nahirhamidu-ms3lq
    @nahirhamidu-ms3lq 23 дні тому

    Najivunia pemba yetu ❤

  • @LatifAmars
    @LatifAmars 4 роки тому +2

    Nimeipenda hii tamthilia

  • @fayeezomary6563
    @fayeezomary6563 3 роки тому +1

    Sio jamuri sem nch y Zanzibar

  • @ramazubery2641
    @ramazubery2641 4 роки тому +2

    Tayari eee😂😂😂

  • @bakamuubakamuu1556
    @bakamuubakamuu1556 4 роки тому +2

    Tayari 😂😃

  • @bahatinassorali5222
    @bahatinassorali5222 5 місяців тому

    😂😂😂 mkisifu ila siji ngoo

  • @frankfrancis5736
    @frankfrancis5736 Рік тому

    NUNGWI CHINA YA OCEAN KUTAKUWA KUNA Oceanic trench YANI BONDE AU TUITE SHIMO NI HATARI SANA

  • @yussufmohd5281
    @yussufmohd5281 4 роки тому +2

    Ndy ukatuona Twangara

    • @fatmasaid9765
      @fatmasaid9765 3 роки тому

      Eti ndio ukatuona twangara hahahahah

  • @ashaherezi7488
    @ashaherezi7488 3 роки тому +1

    Kyannakannaka!!!

  • @nassorchollo4708
    @nassorchollo4708 3 роки тому +1

    Home sweat home

  • @AbdulWaqqas
    @AbdulWaqqas 3 роки тому +1

    Kyannakannaka!!!

  • @abuufaki2814
    @abuufaki2814 2 роки тому

    Home sweet home # Alhamdullai,,,, Najivunia sana nyumbani kisiwani pemba ( mkoa wa kaskazini kojani)

  • @feifei9620
    @feifei9620 3 роки тому +1

    Yakheee 😀

  • @munirazenji9819
    @munirazenji9819 4 роки тому +2

    😃😃😃

  • @nicksonnewton1991
    @nicksonnewton1991 4 роки тому +2

    Wakojani hao

  • @nasranassor6796
    @nasranassor6796 4 роки тому +2

    Swafi

  • @idrisaali4934
    @idrisaali4934 3 роки тому

    hahaha upapatike kuku achinjwae aisee nyumbani kutamuuuuu wallah narudi nyumbani

  • @mwalimusaid5095
    @mwalimusaid5095 3 роки тому +1

    Saw

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Рік тому

    Vp ishu ya ubaguzi shekh ,,kwa cc watu wa bara?

  • @AbeidRamadhan
    @AbeidRamadhan 5 місяців тому

    Pemba nkwetu

  • @hamadrashid5140
    @hamadrashid5140 3 роки тому +2

    Sisi twala hasaa,,,, twanlalia shiba

  • @abuuamourmuhamed1934
    @abuuamourmuhamed1934 Рік тому

    Waoooo pemba sichoki kumiss nyumbani

  • @saidissa8273
    @saidissa8273 Рік тому

    NIPO PEMBA.HIZI GARI KWA SASA ABIRIA HAWAZIPENDI MAANA SIKU HIZI WENGI NI WAFANYABIASHARA SIO ZA MAZAO.WATOFAUTISHE ABIRIA NA MAZAO

  • @umsoud3306
    @umsoud3306 2 роки тому

    Jioni upo upepo unanukia Marashi ya Karafuu , Ma Sha Allaah

  • @is.hakaomar1630
    @is.hakaomar1630 3 роки тому +1

    Hm pemba

  • @MohamefMullah
    @MohamefMullah Рік тому

    Mashaallah umejieleza vizur

  • @kihogonitv7627
    @kihogonitv7627 2 роки тому

    Fanya ufike na pemba kusini sasa

  • @mohdsalum4066
    @mohdsalum4066 Рік тому

    Pemba

  • @josej9888
    @josej9888 4 роки тому +4

    Chai maharage

    • @muhammedkhamis1407
      @muhammedkhamis1407 3 роки тому +1

      Masha Allah Jazira Ipovizuri Allah Ibariki Pemba Yetu Na Watu Wake ila anayehojiwa Alikuwa Baharia Huyo Kk

    • @muhammedkhamis1407
      @muhammedkhamis1407 3 роки тому

      Masha Allah Wa Micheweni Mupo Juu Kwa Pemba Yetu Nawakubali Kwenye Misosi 😂🤣🤝🤝

    • @muhammedkhamis1407
      @muhammedkhamis1407 3 роки тому

      Kung'ara mwilini si kwasababuyakula viyazi na sheli la Piki ni maumbile tu hayo kk ya kibina adamu tu

    • @sasha-ri7tf
      @sasha-ri7tf 3 роки тому

      Corona company.

  • @sharifaabdull8913
    @sharifaabdull8913 2 роки тому

    Asante 🙏🙏🙏

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 роки тому

    Home sweet home

  • @ulipoulipotupo7564
    @ulipoulipotupo7564 3 роки тому

    Home sweet hime

  • @sahilnaass5090
    @sahilnaass5090 4 роки тому

    Ubaguz gn

  • @tushmakka2912
    @tushmakka2912 3 роки тому +2

    Lve my hom pba

  • @boyyaechi4957
    @boyyaechi4957 3 роки тому

    Ok

  • @hassanramadhani2450
    @hassanramadhani2450 4 роки тому +2

    Jmn imeisha harakaa