Kumbe Pemba ni ya zamani sana

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 жов 2024
  • Makala haya kwa hisani ya PeNA TV ya kisiwani Pemba.

КОМЕНТАРІ • 40

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 роки тому +9

    Wallah nna uchungu na Zanzibar, maana Zanzibar ni nchi ya Kiislam.
    Allah ihifadhi Zanzibar wa watu Wake.

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 2 роки тому +9

    Mungu avituze visiwa vyetu 🙏

  • @Sidik-d7e
    @Sidik-d7e 16 днів тому

    ASSLAMALAKUM WARAMATUALLAH WABARAKATU I LOVE PEMBA PEOPLE THEY ARE TOO KIND MY ALLAH BLESSED THEM AMEEN SUMA AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sultanmikoi
    @sultanmikoi Рік тому +2

    Waandishi wa historia ya Uislam hii ndio nafasi ya kufanya utafiti zaidi juu ya kuingia kwa Uislam Pwani ya Africa Mashariki

  • @saakabdalla2066
    @saakabdalla2066 2 роки тому +2

    Hii inaonesha wazi waislam ndio waanzilishi na watawala wa mwanzo visiwa vya znz kuishi katk visiwa hivo

  • @omarame2071
    @omarame2071 2 роки тому +3

    Ni utafiti Mzuri wa kihistoria

  • @DadialiDadi
    @DadialiDadi Місяць тому

    Home boy saf Sanaa Kwan taarifaa shehe Wang wa nyumban wingwii❤❤

  • @imsimk.khamis574
    @imsimk.khamis574 2 роки тому +4

    Very inresting Archiology findings. The government should look at these important historian of our Islands

    • @ahmedalbalooshi8518
      @ahmedalbalooshi8518 Рік тому

      Imsim, huo muda wa kufanya utafiti wa aina hii ni ngumu maana mawazo ni namna gani ya kuchota mali ya umma.

    • @fatmaali2050
      @fatmaali2050 Рік тому

      Serikali wenyewe inavunja hayo mahistoria ya Zanzibar mbwa haw

  • @seifseifmohamed7118
    @seifseifmohamed7118 2 роки тому +2

    Hata ule Msikiti Wa Kilwa Kisiwani Nguzo Arubaini Ulijengwa na Masahaba au Matabiina wakiwemo watoto wa Sayyidna Athman Bin Afaan (RA).

  • @suleimanrashid3918
    @suleimanrashid3918 2 роки тому +2

    Sheikh hao itakua ni wale watu waliokuja na nabii Suleiman enzi hizo na ndio maana kihistoria kisiwa cha misali alifika nabii Suleiman.

    • @saidkaim768
      @saidkaim768 Рік тому

      Hhhhh we Tena umefika mbali

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz Рік тому +1

      Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz Рік тому

      Lkn historia Ya zanzibar wtu wanaificha sjui wanahofia Nn Hao

    • @suleimanrashid3918
      @suleimanrashid3918 Рік тому

      @@Muhammad-el9iz wanacho kigicha wanaadam mjngu hukifichua ndio inaanza kufichuliwa hio sasa

    • @Muhammad-el9iz
      @Muhammad-el9iz Рік тому

      @@suleimanrashid3918 Ok Wanasema ukweli haupingiki. Zanzibar nin hi ndgo lkn Ina historia kubwa sema hio historia ipo kwenye vifuwa na midomo na Dunia kwassa inaamini maandishi lkn ndyo mambo yanadhihiri Kama hvo. Wanasema ukweli haupingiki.

  • @sayidabdillah8505
    @sayidabdillah8505 2 роки тому +1

    Asalam alykum,ahsante sana sheikh wetu tunashuru sana sisi vizazi kwenye asili ya Pemba kujuwa asili na ukongwe wa nchi yetu ya Pemba, asili yetu ni dini ya kiislam tuu pekee na sio ukafiri wa kikiristo

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 2 роки тому +3

    Historia ya Zanzibar inazidi kutuumiza Wazanzibar

  • @nassorsuleiman6063
    @nassorsuleiman6063 2 роки тому +1

    Interesting study to be published

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529
    @alhamdulillahalhamdulillah7529 2 роки тому +1

    Shukran Baarakallahu fiiqu

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 місяці тому

    Ustadhi khamis tunataka kujuwa zaid kusu historia Ii kwaiyo napendekeza kutafutwe watu wa afya Ili tujuwe ukweli zaidi

  • @salmasalim6055
    @salmasalim6055 2 роки тому +1

    Mashallah

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Рік тому

    Mashaallah sheikh murubain nakuelew muda tokea nyumban ALLAH akupe afya njema

  • @mahfoudhcalender2747
    @mahfoudhcalender2747 2 роки тому

    Kwa utafiti wangu, zama hizo ni zama za Mataabiina baada ya Maswahaba. Na Swahaba wa Mwishu kufa ni Abuu Tufayli Amir bin Waathilah (R.A) mwaka 100 H.

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 місяці тому

    Aslam a likum warahmatullah 5:55 5:59

  • @adambakar8265
    @adambakar8265 Рік тому

    Nenda na tumbatu

  • @IlyasaBakar
    @IlyasaBakar 3 місяці тому

    Aslam a likum warahmatullah

  • @husseynhamad9790
    @husseynhamad9790 2 роки тому

    Mashallah

  • @kassimomar7589
    @kassimomar7589 2 роки тому

    Muarubaini

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 роки тому

    رضي الله عنك شيخنا

  • @Binfuad
    @Binfuad 2 роки тому

    Maashallah

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 2 роки тому

    رضي الله عن اجدادنا

  • @yassirrashid7802
    @yassirrashid7802 2 роки тому

    Duuh

  • @jumafundi2871
    @jumafundi2871 2 роки тому +1

    Tumetoka pazuri ila tumepelekwa pabaya tenasana kilamtu analijua hilo, na dini ipo mudamrefu zaidi ya hiyo miaka700