RAIS MWINYI AANZA KUIJENGA MPYA PEMBA KWA KASI
Вставка
- Опубліковано 22 лип 2023
- Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline
#AlfatahCharitableAssociation
#ZANZIBAR
Allah ajalie kher Insha Allah na amlinde rais wetu na maadui
Ameen
Leteni mwarabu atujengee pemba bandari kubwa bagamoyo watching watanganyika waendelee kupiga kelele
Umeongea tunamuhitaji mwarabu aje aijenge bandari yetu ya Pemba kama Tanganyika hawamtaki sisi tunamtaka
Ndo gati Gani io kutia watu ujinga tu ,Gati umbali wake ni km unatoka chake mpk wete .
Kuna jengo la abiria mbona hawaruhusiwi kukaa wanaishia kubaki nje tu,je hiyo ni hakki?
Tengenezi barabara sahivi za mkowani ni mbovu sana ni mtihani ulize fumbi na mashimo mengi mkowani shida tupu😮
Mungu akutangulie Rais mwiny baada y karume n ww t kwa zanbar
Mwenyezi Mungu atujaalie tuzidi kufanikiwa katika kheri.
Munataja mambo mengiii lkn hatuoni kinachotendeka
Ivi nyie hamuoni ata haya bandari gani iyo ya kujidai haifai ata kuegesha vidau
Nyinyi bhana sasa kuekwa hayo mabati juu ndio maendelea😅😅😅😅😅😂
Kake bora hayo mabati kuliko makuti,angalau wanaojiweza kutembea hawatazongwa ni jua au mvua
We are not serious kuna bandari gani hapo kuweka hio Shade
Yadi hata konteina moja hamna
Barabara mbovu zote
WAONGO WAKUBWA HAKUNA LOLOTE LA MAANA LABDA KULA PESA.HAKUNA KILICHOONGEZEKA KULETA MELI KUBWA ZA MAKONTENA
Mashallah pemba imependeza
Ilitupwa na watawala waliotangulua etu sababu ni siasa.
Kumbe wameeka bati tuu juu sehemu ya kutembea kwa miguu
Sio tu bandari barabara mbovu sana kutoka mkoani to chake tengezeni barabara ya kufika happo bandarini
Mbona sisi ni masikini wa kudanganyana kila siku waongo wakubwa sisi tulipo huku katika nchi za watu tunaumia sana tukiona uchafu kama huo tunatamani hukokwetu japo robo tufikie kama Hawa wezetu
Wewe unachangia nini katika nchi yako or unaumia 2
Hivi ww nikuulize upo sawasawa na watu wengine,mtu anafurahia alichonacho
Hapo tumefanikiwa kuezeka baada ya miaka mingi na meli ya kontena haiwez kuja, kwani huko si mushapita siasa za kijinga
Kashapigwa Mtu hapo
Masha Allah miss you pemba
mashallah mitano tena mwinji
Munatuchezea akili zetu,bandari gani hiyo!si ndio ile ile,munatufanya sisi watoto
Lete hiyo ya kwenu
@@mbaroukally8655 kwamba ndio hamuoni au munataka tunyamaze tusiongee?linapoamuliwa kufanywa jambo lifanywe kikweli sio leo umefanya na kesho munarejea pale pale kama uwezo haupo ni bora liachwe tusubiri mbeleni,ila inakera kwakweli
😅😅😅
Eti Pemba imefunguliwa kwa tuta lile
Teleteeni DPW
Watujengee bandari ya kisasa mkataba miaka yote
Mashallah!
Utapeli tu Pemba hakuna mradi hata mmoja mkubwa
Mi naona mijiwe tu hapo hem ipigeni plasta iyo mijiwe
Bandari za ukweli hazijengwi mwaka mmoja. Zanzibar yangu inaharibiwa
😂😂😂
Wanachekesha kweli nlijuwa bandari ya maana
Umeonae!vichekesho kwakweli,ety unaweka godoro kwenye kitanda cha kamba na shuka lakufuma,khaa!umeona waapi?
Usanii mtupu 😅
Air port
Meli za tanga mbona sahivi hamna pemba.. tukitaka kwenda tanga mpaka tupite unguja dar si wengine hatuwezi kupanda mitumbi & mashua
Hakuna bandari hapo, nilidhani kuna bandari mpya kumbe ndio hio hio ah wp, ni usanii tu hapo. Bandari haina hata ramani, bandari gn inayojengwa kwa TSH 5B wakati bandari ya Tanga kukamilika kwake ni TSH 400B
😂😂😂😂
@@nailamohd-wn6sb kwn unadhani uongo, hakuna meli kubwa inayoweza kufunga gati pale. Bado usiasa umetawala ktk maendeleo bandari itakayojengwa mpigaduri , m/pwani zote ni kubwa zenye ramani kubwa na zenye bajeti kubwa. Et unaenda kujenga bandari kwa Bilioni tano khaaa!!! Bilioni 5 hio ni pesa ya kifusi tu et
@@alhudhaify7810 tena bandari inajengwa kwa miezi tu imeisha!na nilijuwa zitakuja meli zaakontena ije ishushe,kumbe kontena zinatiwa kwenye Azam kama abiriaa!aaa!balahau hii too much,kweli mjenga nchi ni mwananchi na muuza nchi ni mwananchi,kiongozi nzima anasimama mbele ya hadhara anasifia!lla simlaumu saana ndio anatekeleza majukumu yake na kulinda ugali wake
Kwani maendeleo yanatangazwa ya naonekana tuu km yapo ila hapo hamna kitu usanii tuu ndio ulokuwepo ccm haiwezi kuleta maendeleo miaka 60 naa bado tuu unachekelea 🎤 maik 😅 ah
Hakun mel kubw hat moj itakay fung hap bandar ndog
Bandari gani hioo,,, nchi ishawashinda hii
katombweni uko nyinyi mikundu wa kimakunduchi
Na Wete pia alone co mkoani tu peke yake
Congratulations to our president, in fact, I agree with you
Ndioo hongera nimependa nani kama mwinyi, meli kubwa zitakuja kuleta kontena kama Dar.
Hongera sana dr. Mwinyi
Mwinyi anafanya haya kwa maslaha yake na sio ya wapemba... hata ashushe dhahabu Pemba basi hatumtaki.. kama kweli ana nia nzuri basi aturudishie nchi yetu.. ajiuzulu atuwachie wazanzibari tusiemchagua tumpe tunaemtaka ama si hivyo ni kubabaisha bwege na usanii tu. .... Hasbiyallah waneemal wakeel
Ww unawez kurudish nchi
Ww unawez kurudish nchi
Hamna bandari hapo 😮
Hongera serekali ila ushauri wangu miradi munayo ifanya iwena manufaaa ya muda mrefu siyo baada tamiaka 5 ikawabaki kuwa nimiradi isiyo jitosheleza tena
Mwenpye macho ya kuona ndio ataopna😊
Wapemba sasa tupo furahan kias kikubwa san