Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
MashaAllah umuhimu wakuwa Na wazazi dua ya mzazi haina kiziwizi Allah mpe umri mrefu mama yangu
Heshima kwako mama tunakupenda Mwenyezi mungu akupe maisha marefu
Hongera mama Ibra umejitahidi Mungu akuhifadhi na family yako na akuongozee wanao.❤
Hongera sana mama, Allah akuzidishie hekima na busara za kujali watoto wako na watoto wa wenzako na uzidi kuwaombea duwa.
Mama bora sana huyu mungu ampe maisha marefu
Jamani huyu mama baka yuko safi kujieleza mashallah❤❤❤❤
Mashaallah Mashaallah..mama..nimefurahi sn..kuskia muda wote ukimtaja..muweza qa kila..inshaallah..ALLAH Azd kuwongoza kwa kumtegemea ALLAH
15:01
Umezungumza ukweli mama huyo kijana alijifundisha mpira na kufundishwa mpira pemba na Dula okocha timu yao ilikuwa inaitwa young boys mm nikiwa na timu yangu super Falcon
Allah warehemu wazazi wangu wape Nuru ktk makabur yao
Amiin. Mungu awape rehma wazaz na walezi wote waliotangulia. Amiin
Ammiin
Amin
Hongera sana mama ,tumefurahi sana kukuona mama yetu💥💥💥
mpaka rahaaaaaa baba mheda mama mjeda mtoto mjeda tena wote wananidhamu nzuri
Mashaallah mama yuko vizuri, bado kijana kabisa
Hongera sana mama unaongea kwa nidhamu kubwa.
Jamaa alikichafua sana mama mzaa chema huna baya mama ana nidham sana❤❤❤ ukiw na mama kam huyu hutopata shida
INGEKUWA MAMA YAKE FEISAL HAPA MANENO YANGEKUWA MEEENGI SANA KWELI ELIMU INASAIDIA
Hahaha 😂
Kama feisal anakula ugali sukari lazima mama apige kelele😂
Hayo ni YAKO mjaa chuki
Acha kusema mama za watu wewe
@@MACHOYATAI-jk6fu chezea ugali sukari lazima mama atoe mlioo!!
cheo alichonacho kwa hapa tz ni mkuu wagereza la wilaya au mkuu wa polisi wa wilaya hongera sana mama
Yeah au ocd kwa upande wa JW ni Mejor
Kam Unakubal Wa Mama Wote Duniani Weka Likes Hapa 🎉🎉🎉🎉
Acha unafiki
Dua ya mzazi haipingiki mashaallah umeongea km mzazi lkn nimejikuta nalia mimi alhamdulil,la m,mungu awaongoe watoto wetu
Wallahi..me mwenyewe mwil unanisisimika kwa maneno mazur..mashaallah
Daah yan hapa nimejifunza kitu hapa ukiw kweny familia inayopenda dini na kumtukuza mwenyez mungu lazima mamb yak yaende vizur
Duh !!!!! haya waislamu tusome sana dini yetu tuifahamu subhana Allah
Siipendi kabisa yanga,ila kuna wachezaji wa yanga nawapenda mno,mmoja wapo ni huyu bacca,mama kama huyu anaonekana ni mama bora sana.
HONGERA SANA MAMA BACCA MZAA CHEMA
Baca katoka familia yenye kipato,Dogo hana njaa.Safi sana beki letu la kazi.
Alambi sukari😊
Nimekupenda unavyojieleza vizuri n huna roho mbaya n watoto w wenzio unamkubali Feisal n hata kumpa nafasi kwamba pengine hii siku ingekuwa Feisal Day, hakika huo n moyo w kuridhika
😊😊😊😊 18:42
Mwanao kashakuwa staaa
Nani kaona tofauti ya mama Feisal toto na mama Bacca.
Ww mbona hujasema mamaako nae ana cheo gan
@@omarylukindo5306kwan kasema cheo jmn kasema utofauti yan ana maanisha ktk mazungumzo khe
@@omarylukindo5306 achana na mama angu.Usimfananishe na mama ako maraya kahaba.Au nikutumie picha za mama ako akiwa anagalagazwa
😂😂😂😂😂😂😂😂😂mama fei alilishwa tango poriii
Mama Feisal sio mbaya ila alilishwa Sumu na matango pori na machawa wale wakujiita Mawakala
Kumbe katokea kwenye familia ya majeshi kabisa 😊😊😊🙌
Mungu amzidishie uwezo mkubwa wa uchezaji, Mama samia hongera kwa kuendeleza nchi na michezo sasa watanzania tunacheka tunafurahi saaaaana
Mungu akutunze mama na uzao wako..ukale matunda ya uvumilivu wako.
Ahaa! Kumbe ndio maana kwenye dk 90 anawaweka washambuliaji korokoroni!! 😂😅
Huyu mama ni kiongozi na mama bora ,amejieleza vizuri sana.big up mama mzee chema,Nimecheka anasema baba Ibra mkali yupo kijeshi zaidi😃😀😀
Baraka za wazazi zinaonekana nimempenda sanaaa mama hapindishiiii
Mashallah,mumezaa chema kabisa,Allah amuongezee mafanikiyo.
12/11/1999 siyo jumatano ni ijumaa but much respect mom
Mama usiache kuswali Bacca day furaha inoge murudi Zanzibar nafuraha
Masha-Allah
nimemwona na kumsikiliza mama ananipa moyo wa kupambana moyo wa kupambana ili mama aje anisifie na mimi
Hongera sana mama huna roho mbaya kweli in'gekuwa feisal day
Mashallah nimekupenda sana mama una busara na hofu ya mungu❤❤❤
Mashaallah mabrook 🥰
Mama anahekima na moyo wake mkunjufu sana anamkubali sana fei na alishukuru jambo kuisha ila anaipenda yanga ba wachezaji wake pendwa ni Job na Mwamnyeto japo mwanae ndio nafasi anayocheza pia aseee mama hana kinyongo big up mama
Kweli bacca kalelewa kijeshi jeshi
I IOVE MY MOTHER 💚🖤💕
Ma sha Allah
zanzibar mpira tokea asubuh watoto wetu wanapenda mpira huku
Mi nimempenda mama
Mama Bacca siyo sacap mama, wewe ni super mama
Na yeye amesema super hajasema sacp
Superintendent
@@mwasoprince3459 Kifupi chake super
Allah Amjaalie Maisha Mema kijana mwenzangu 🙏🏽🙏🏽
Yanga oyee mama anajua kuupiga mwingi❤❤
Good family
Hongera sana mama Bacca
Ukiona beki kapita Taifa Jang'ombe tena beki simchezo Vita Costa Nyumba Nampoka pia kapita
Kumbe baca ni Young boy was born 1999
Yanga damu
🤣🤣🤣 hata me nashangaa
Weeeee Mama wewe haaaaaaaa😂
Milad ayo tunasubir muendelezo wa kaka Dullah kocha wa mwanzo wa Ibrahim bacca yoko please 🙏 pemba sio mbali tunakuamin
Wow mama mzaa chema namkubali sana Bacca bonge la beki yani🥰🥰🥰💛💚💛💚
Asante mama mpende mwanawe.
Mamake mzuri ma sha Allah
Tarehe 12 Novemba 1999 ilikuwa Ijumaa, kalenda
Maisha bwana ni kigeugeu 🙆🙆 yaani furugu zote za fei kumbe M/MUNGU alikuwa anamuweka kando ili amuibue Ibrahim, fanya ujinga uondoka wenzio tunapataka 😂😂😂😂😂😂 Asante MUNGU .
We mama bado mdogo jmn hacha kumbania mzee. Zaeni bwana mkwanja mnao wa kuwalea
Mashaallah mama 🎉🎉
Miaka ya 1990 mpaka 2001 Pemba mpira ulikuwa kama ibada, kulikuwa na wachezaji wakali mno
Asante mma nimekuelewa
Maashallah mama
Asante sana mam mzaa chema
Tumepata fuzo kuwa kila jambo unalotaka mkimbilie الله ndio suluhisho pekee
Hongera sana mama kwa malezi Bora ya Ibrahim bacca
Umeelezea mpka nimelia mama anaongea uhalisia kabisa imenipa hisia sana
Kwa sale wazazi wetu waliotangulia mbele za haki mungu awaweke mahala pema,
Masha'Allah
wewe mama bora kabisa nawara si mama wakambo kama mh samia anae jari znz kuriko tanganyika kwa mikataba yake mibovu mungu akurinde mama irahim bakakar amina
Unachanganya mada
Hujielewiii😂
@@user-lt1bi5nr1xkadata tayari hawa watu wa yule mzee wapewe ushauri nasaha sana wanaweza kujinyonga..😅😅😅
Maafande wa magereza hawanaga mambo mengi.
Respect bacca zanbar talent
Masha Allah Alhamdulillah.
Huyumama anabusarakweli nikweli huyu niaskari
Kumbe zile takoling huwa sio kawaid ni za kijeshi hakika nimeamin🔥🔥🔥🔥🔥
Mama bacca alikuambia anakula ugali na sukari kama fei au alikuambiaje? Love you mama bacca
Hongera mama ❤
Dah longtime since Mapembean,Mpira pesa,Taifa jang'ombe, Malindi,Kmkm,Yanga. Wayback we know Bacca❤.
Hongera sana mama mzaa chema
Ongera mama umeupiga mwingi❤❤❤
Mashallh
Hongera sana mama
Mama kaongea 💯 naupendo ❤
Bacca wa 1999??? Du huu mpira unawazeesha😊
Nimeipenda hii interview ni ya ukwel kabisa ata baba yake mzazi aliongea kama alivyoongea mama na hasa historia ya jina la bacca
مشالله تبارك
Interview nxuri sana
Allah akujalie umri mrefu akuepushie husda fitna uwe namoyo huohuo pia dini ukiijua huwi na kinyongo wala roho maya hongera mama
❤❤❤mashallah
🔥🔥🔥🔥
Jamani kwani uyu bacca amefanyaje mbona kila Kona yeye ? 😢 mwenye kujua anijuze plsss
Hongera sana mama❤❤❤❤❤❤❤🌹🌹🌹🌹🥀🥀🥀🥀
Thank you mom kwa maneno mazuli hakika sitakata tamaa
Hongera mama
Aiseee safi sana
Nakubari🎉🎉🎉🎉❤
👏👏👏👏👏
Huyu mama anamfatilia sana mtoto ake hadi raha
So nice
Kitasaa 🎉 bacca