I was not able to watch the whole interview cause the story does not inspire a poor child as it discourages education which is the only way for a poor child. Zainab had a very bright future ahead due to a concrete family background as she was working while at school that means there was a push behind her that encouraged her and had no fear to fail which everyone of us was missing. Kwa ufupi masikini tusome tusidanganyike na hawa watu wenye familia zenye uwezo.Unaacha shule kivipi.
Nasab ya mtume haipo Tena hapa duniani Hamna kujibasib na imefanywa hivyo kwasababu ilijulikana Kuna watu watakuja kujidai au kujitofautisha na wengine kwajifanya wao ni nasab ya mtume
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako ua-cam.com/video/ye9pJCgjrQU/v-deo.html
Guys Embu acheni roho za korosho bhana... Hajasema watoto zenu waache shule, wewe unayeamini in education well and good. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, sio wote watoto wa mboga Saba wana uwezo wa kufanya hicho alichokifanya! Keep up girl!
Nakupa hongera kwa bidii ya muendelezo wa utajiri na kujituma, baba akiwa mwalimu, ila nakusihi ukasome vizuri uislam na historia kamili ya mtume, usije ukajinasibisha na ukoo wa Rasula Allah, kumbe unainganishwa na ukoo wa mjomba wake mtume Abuu Jahal.
Mnatakiwa muwe waelewa huyu binti hajsema muache shule yeye anatoa storia yake na la kujifunza ni kua kufanikiwa maisha sio lazma usome mpaka uwe na madigirii
Jamani lakini msidanganye watu waache kusoma eti kisa mtu flani aliacha shule na akafanikiwa, huyu anaonekana uwezo wake pia haukuwa mzuri darasani hivyo akaona anapoteza muda tu akiangalia kwao maisha ni mazuri maana amesema kwao kuna ma hardware, maviwanja mengi hivyo alikuwa na uhakika wa kupata mtaji, sikiliza anasema hakuwa na target yoyote kuhusu shule huko mbeleni, so ukiingia shule ukiwa huna malengo basi shule lazima uache, mm nimemsikiliza vizuri hadi mwisho kuwa hakuwa na uwezo. Hivyo ndugu zangu tusiige .
Yaani watz wengi wanachoyo mwenzao akifanikiwa. Nimepitia maoni ya wengi na nimeona yaani ROHO mbaya kweli. Poleni. Mungu atamlinda huyu dada na macho yenu ya UHASIDI poooo
Kwa sisi ambao tunafatalia successfull people in the world na kueleza wao wamefanikiwa vipi wengi wao mafanikio yao yameanza from zero to hero but huyu mdada inaonesha kwao kuna hela then baba ake amechangia asilimia kubwa katk kufanikiwa kwake lakn sio SELFMADE but all in all hongera
Sijui watoa comment za matusi na lawama kwa huyu mtoto sijui zinatoka wapi .huyu mtoto yuko real anasemesha ukweli wake kuwa shule ilimshinda niwangapi shule iliwashinda na hawana hata akili ya kujiongeza? Hata wazazi wakiwa maskini kuna umuhimu wakujiongeza huyu mtoto mpeni hongera zake .
Aliye sikia mshua kanipiga kampani like zangu jamani kwa wale kapuku Kama mm tunaozidi kuasi kila jua likichomoza hakuna Cha mshua kampani au Cha boss kampani wewe Kama wewe ndo nawataka hapa
Kweli kabisa, hawa watu sio wakuwaiga kabisa....yaani huo utajiri sio wakwake ni support kutoka kwenye Famili yake... Angalia shule aliyekua anasoma ni UPANGA hii sehemu wanasomaga watoto wa kishua sana..asitudanganye hapa
We mtangazaji acha ufala, tunahitaji utuletee tajiri ambae ni self-made sio Hawa mboga saba wanaopata mitaji kirahisi na sapoti ya nguvu kutoka kwa wazazi au ndugu.
umemsikiliza vizuri. Huyu dada ni amejitahidi. Pengine wewe ungekuwa katika nafasi yake ungelifeli tu. Anacho kipaji na wazee wake wamesimama na yeye na kufanikiwa kwake anasaidia ambao hawana uwezo. Very creative.
😂😂😂 Apo akili kichwani mwako, ukimfatisha huyu utapotea. Ina maana uo umbali alikua yeye tu anasoma kutoka mbali? Alafu kuna school buss sasa kama mukichelewa kosa si la dereva iweje adhabu apewe mwanafunzi? Uyu alikua hapendi shule tu ila asiongope umbali
Mm sijaelewa lkn uyu mdada apa nikama aalisaidiwa na familia yake ndo akawa tajiri sasa anatufunza tuache shule tufate dream mm dream yangu yanpotosha heri nisome kwanza kwetu ukiacha shule naa wazazi wanakuacha sasa ndio utajiunga na vikosi vinavopotosha hapo hujaongea dada heri tusome. Umefanikiwa ju kwenu kuna hela banaa uko na zaree.....usituharibu ety tuache shule kama sishiki heri niendde ivo ivo kuliko kukaa nyumbani....
Hatutaki mtuletee watu kama hawa ,,sisi tunataka watu walioanzia chini ,,hawa hawawezi tufundisha kitu sisi,,tunataka wale ambao hawakupewa support kutoka kwa baba wala ndugu,,,,hawa sio Akina sisi
@@NR-ll4sr Hakuna mwenye hela mjinga.... Na kusoma si mpaka uende shule..... kuna home schooling na matajiri wengi watoto wao wanasomea nyumbani na wanafanya vizuri.... Shule ni ujinga hata alieanzisha Shule hakusoma
Mabrouk Alf Mabrouk ukhty. You are very inspiring girl at your tender age and being a muslim girl. Big up to your parents and entire family. Radhiya Qoyan commenting.
Umeacha shule kwa sababu nyumbani hela ipo na bussiness umeanzishwa nyumbani. Msije mukaacha shule mukaona mtatajirika kirahisi kama huyu. Huyu kwao tajiri kutoka asubuhi. Kajua ataanzishiwa mradi tuu
Alaf mm huwa c hamasishwiii na hawaa wanaokuta magar nyumban kwaooo napendaaa inspiration anaetoa toa stor had unahc kweeeel pagumuuuu......sas huyuuu ad alkua anapelekwa na school bus shule🤣🤣🤣🤣
@@pilihamis9657 kweli kabisaaaaa,mtu kwao kuna kila kitu,hajui kuteseka kabisa.Twataka wale ambao wamekula msoto mkali.Huyu hakuwa na interest ya masomo kabisa.....😂😂😂😂
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako ua-cam.com/video/ye9pJCgjrQU/v-deo.html
I am of the opinion that education is more vital now, in todays world. This is my advice to our youngsters - if you have to make a break from your studies do it, but later on finish your diplomas and degrees. For Africa, education is the key.
What is really the meaning of Hijab? Kajielezea vzur but hio hijab imekua kofia kwa kichwa au ni kitu chakuheshimiwa katika dini.......coz why aivae nusu!!!!!! WAISLAM MPOOO!!!! Sawa Ni tajiri, but sio matajiri wote wana hojiwa why #SIMULIZINASAUTI. Nyie fanyeni ivo TRA WAMUONE.
Shule si kila kitu kinachokufanya ufanikiwe maishani ni uwe na mwelekeo maishani na ujue unataka nini big up Zena sharif would like to meet you one day am from kenya a lady like you 🤣🤣🤣
Wee uliesema shule si kila kitu pia kumbuka unaweza kosa shule na ukakosa vyote pia maisha na shule kuna wanaokosa vyote, hapa inategemeana mfano kwa mtoto anaetoka familia ya kimasikini ama hali duni Kwake shule ni mkombozi msimdanganye, lakni kwa ambao kwao uwezo upo shule sio lazima kwani hata akiacha anaweza Pewa mtaji kirahisi na akafanya mambo makubwa lakni mtoto wa masikini akiacha aseme apambane aisee mtoko wake ni mgumu na inachukua muda mrefu Sana na pengine asipate kabisa ndugu zangu watu wengi mnaosikia oh sijui nilianza na nn leo niko hapa sijui saivi ni tajiri sio Kweli, angalia akina MO utajiri ni wa baba zao, Alihaji Aliko Dangote babu yake alikuwa ni tajiri mkubwa Nigeria akamwachia mwanae ambae ndo baba wa Aliko Dangote leo huyo hapo tunamsikia, lakni alisoma na ana Bachelor degree of business administration hivyo alienda kusoma ili aje kusimamia biashara na Kama ni mtaji alipewa mtaji sio wa kitoto, hivyo sio kila anaeonyeshwa mtandaoni anajinadi oh mm tusiige, ni dada mmoja eti nilianza kupika Makande na leo nina ofisi kubwa ya kuuza Makande ukiangalia amesoma Marekani ndo akaja Tanzania hivi mtu Aliesoma Marekani unadhani wazazi wake walikuwa kapuku na hakuwa na Scholarship, Kaja kapewa mtaji lkni anakuambia oh niwashauri wasomi wasikae tu, wabuni vitu vya kufanya hivi Nani asie penda kufanya kitu shida atatoa wapi mtaji wa kufanya hicho kitu ndugu zangu.
She go lakin anasupport ya familia pia yaaan kwao wako vizuri sio kwamba ametoka shimon afu anachozunguzia ni mafanikio ya kawaida kwa watoto wa kishua story za kusisimua za maisha kama erick shigogo ivi jaman ametumia nguvu zake Lyke 90%
Sasa huyu kashikwa mkono na wazee wake pesa kwao ipo kinachotekea kitu gani mafanikio tuu ata dada zetu mboga moja wanajituma kinoma ila bado wana yumba na kila biashara wanafanya ngoma ngumu maisha hadi ushikwe na watu ndo wende tena wenye navya maisha ni kma pakacha ukitia maji yanavuja maisha hadi uchenguke huyu ata shida hajapata mtoto hana ata wasi huyu wakati wajota anakoga wakati wa baridi anakoga wakati sisi huku wakati wa baridi tujipija mafuta ya nazi
Ebu fikili angekuwa mtoto wa mkulima huyu, Baba na mama washika jembe Bush hivi angeongea upuuzi wake huo, angeweza acha shule kwelo akamsaidie babayake kazi ya shamba. Huyu alijua hana chakupoteza coz alijua familia anayotoka ni loyal family.
Muwe mnatafuta na wale walioacha shule wapo mtaani wanahangaika na shida kibao maana ndio wengi, kuliko hao wachache walio fanikiwa, kiasi kwanba inaweza kuhamasisga vijana wengine kuacha shule kuingia mtaani kupambana kisha wanaenda kupata tabu sana. Watu wasome kwanza wamalize shule kisha wakapambane na maisha
Jistir kwnza halafu utajtangazia nasabu ya mtume na mafanikio ya dunia ni muhim kwa binadam lkn usisahau na ya huko akhera izo nywele zihifaz mdogo wangu 🙋
Mfyuuu Wengine Wanawapaga Hela Muwafanyie Interview Kupata Kiki Mtu Anaonekana Alipewa Mtaji Katoka Ushuani Alafu Mnataka Danganya Watu Waache Shule Jamani Jamani 😃😃😃😃😃😃
Tuwe tunaangalia sana tusipende kuiga sana maisha ya watu ya wapi wamepitia ili yawe kama inspiration kwetu kila mtu ana njia zake tukianza kuhoji kila mtu hakuna asiyepitia changamoto so tupite njia zetu
Waogopeni sana hawa walioacha shule lakini wanapenda kujieleza kwa kutupia kiingereza. Jueni walizaliwa na golden spoon, walikuwa wakila butter na mkate. Kama ulikula kiporo asubuhi au uji na muhogo. Someni kwa bidii zote elimu yako ndio ufunguo wako wa maisha. Hawa wazazi wao bank zilikuwa zinapumua hela za wazazi wao, na nyingine wamefaidi mali za nchi. Useless and meaningless interview for the poor child of Tanzania. Mtoto wa maskini bank gani itakukopesha? Someni watoto.
Asalam alkum dadayanga nimea furahi sana kwamaendeleyo yako napia niko namawazo yakukupa uka andeleya zaidi yaivo dadayangu kwa biyashara ukawa tajiri sana bora uwamini tuuuu namimi sitakosakitu kwamungu amiin amiin amiin piya dada wewe ninasaba ya mtume plz jistiri nyele zako anakama nime kukoseya nisamea ni broo yako al habibi kutoka kenya mombasa mashaalh amiin amiin amiin
nimemfatilia her story and big up to her maana yea even tho anaeza kua ametokea from a family ambayo wanazo but shes a hardworking gal as well,,,ila dada elimu ndo kila kitu yes inaeza isiwe ya maana kwako leo cuz unahela but mali bila daftar hupotea bila habari,,this advice haiapply kwa wote maana inawezapotosha watu wengine kua shule haina umuhimu which is not true 100%,,,afu kuhusu swala la kujiajiri ni mtu tu kua na mtaji na kua na akili ya maisha na ubunifu ila haimaanishi uache shule cuz unaweza kua unasoma na pia unakabiashara chako na kuhusu distance isiwe reason watu wanatembea kutoka vijijin kwenda mjin shule kwa miguu na hata km inachosha but ni kupambana tu maana fursa mtu anazopata akiwa ameelika ni nyingi sana ukiachana na kuajiriwa au kufata routine, mtu anaweza kujisimamia binafsi na kupanga maisha yake bila kuwa dependent kwa watu wengine na inakufanya uheshimike sana,,, kwahiyo hapo nakataa na ushauri unaotoa hapo,,wewe upo different na asilimia ya watu wengi sana ambayo elimu ndo ufunguo wa maisha na pia a good degree will make you so respectable hata ukiwa na hela kiasi tu,,,stay at school!
Jmn Mtoto mzr na ametoboa maisha kiukwel wasichana wenzake naona wanavyo chukia nakumponda huyu mrembo jmn Shariifu au Saydah komaaa zaidi wanao kuhusudu washiiiiti
Watoto wa masikini someni aiseee huyu kwao tayari walishantengenezea mazingira ohooo kama unahustle usimkatishe tamaa anaesoma na kama unasoma usimkatishe tamaa anaehustle kila mtu na njia zake
Ungejistiri vzuri mrembo binti scaba Mana nasaba na kipenzi Cha umma mtume MUHAMMAD(s.w) then unaonesha nywele zako mtihani huo INNA LILLAHI WAINNA ILAIHI RAJI'UN..!
Sasa huyu angekua kasoma angekua zaid ya hapo... trust mi ukiwa na Mungu, akili ya maisha nzur..alaf pia una elimu..you won't be the same...Hasa dunia ya sasa inahamia kweny tech...maskin kama huna elimu inaanza kua kipengele..matajir wote Dunian angalia wapo kweny information technology...ndio dunia inakoelekea saiz... investment zimekua kweny stock, currencies,share,real estate,e marketing etc..kama hujasoma na una mtoto make sure unamsomesha mwanao vitu vya msingi,ajue vitu nje ya shule...Shule hufundishwi jinsi ya kutunza pesa,jinsi ya kumake pesa..so elim awe nayo ili imsaidie kuyajua haya ya nje...jiulize kuna mzungu gan anajenga chumba sebule ili apangishe?😁 Sasa bongo ndo investment kubwa hyo..mtu akistafu kajenga vyumba za kupangisha kamalza...damn!!! Utakufa hta hela ya msingi haijarud...wazaz somesha mwanao... internet ina elimu nying sana ya pesa hasa investment za wenzetu...mwanao akitumia elim yake kujifunza uchumi wa dunia wa sasa kamwe hafi maskini...
Afu kuna interview zingine ukituekea sisi watoto wa chini Kama unatuchanganya tu, Sasa MTU anakuambia, mpaka kufika shule amekuwa amechoka sababu ya long way drive, kudadeki huyu mdada ni kiazi kweli watu wanatembea kwa mguu kilo 10 kutafuta shule na wanafika on time yeye anatuambia kudrive, kwao Kuna mpunga so asivuruge watu hapa😰
Embu acheni majungu huyo msichana ni selfmade millionare kuna watu wanawazazi wenye fedha na hawawezi kizitumia hizo fursa salute kwako dada
Hongera kwa office kali
I was not able to watch the whole interview cause the story does not inspire a poor child as it discourages education which is the only way for a poor child. Zainab had a very bright future ahead due to a concrete family background as she was working while at school that means there was a push behind her that encouraged her and had no fear to fail which everyone of us was missing. Kwa ufupi masikini tusome tusidanganyike na hawa watu wenye familia zenye uwezo.Unaacha shule kivipi.
U have said it all....yy tayar anatoka kwny familia yenye uwezo...
Exaactly
I second you👏👏 education is everything
Keeli kabisa
@@helenkambi3918 umeonaa eeh!
Allah haangalii ukoo ama nasaba ya mtu cha Muhimu kwake Ucha Mungu(TAQWA)
Familia ya kitajiri kufanikiwa ni kwaida hahaaha , kingine kumbuka huyo ni ngozi ya yemeni
🤔🤔
Nasab ya mtume haipo Tena hapa duniani Hamna kujibasib na imefanywa hivyo kwasababu ilijulikana Kuna watu watakuja kujidai au kujitofautisha na wengine kwajifanya wao ni nasab ya mtume
@@sashasasha9253 wako NASAB wamtume wako
@@sashasasha9253haha huo niuongo bwana
Nasabu ipo bibie ila wengi wajinasibisha kwakwe
Jamani Mimi huwa napenda kusema hivi, hatupendi kujifunza wenzetu wanafanikiwaje. Hatusikilizi mazuri tunasikiliza makosa tu. Tujaribu kusikiliza na kujifunza. Huyu Dada yupo safi. Supper woman
nani aliesikia "nilipofanikiwa kuacha shule"😀😀 a gonge like hapa
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako
ua-cam.com/video/ye9pJCgjrQU/v-deo.html
Nimesikia. Ana bahati familia yao ina uwezo . Wengi wetu tunangangana na masomo kwa sababu wazazi wetu walifikiri that was the only way to make it.
@@trishtrish2349 Ndio the only way unaweza kuajiriwa na hicho cheti
@@mrsliverpool4235 Cheti husaidia but not all the time . Many times uta realise masomo hai endani na kazi ambayo we end doing.
@@trishtrish2349 kina umuhimu wake Lakini, ni vizuri kua nacho kama I'd
Guys Embu acheni roho za korosho bhana... Hajasema watoto zenu waache shule, wewe unayeamini in education well and good.
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni, sio wote watoto wa mboga Saba wana uwezo wa kufanya hicho alichokifanya! Keep up girl!
Sawa
Huu sasa pisi kaliii👌🏾👌🏾👌🏾
Ila mkono wa wazazi umechangiya
ALLAAH azidi kuku endelezaaa
Nakupa hongera kwa bidii ya muendelezo wa utajiri na kujituma, baba akiwa mwalimu, ila nakusihi ukasome vizuri uislam na historia kamili ya mtume, usije ukajinasibisha na ukoo wa Rasula Allah, kumbe unainganishwa na ukoo wa mjomba wake mtume Abuu Jahal.
Jamani nothing is impossible..tuendeleze hustle..usikate tamaa.
nakubali vijan
Mnatakiwa muwe waelewa huyu binti hajsema muache shule yeye anatoa storia yake na la kujifunza ni kua kufanikiwa maisha sio lazma usome mpaka uwe na madigirii
Jamani lakini msidanganye watu waache kusoma eti kisa mtu flani aliacha shule na akafanikiwa, huyu anaonekana uwezo wake pia haukuwa mzuri darasani hivyo akaona anapoteza muda tu akiangalia kwao maisha ni mazuri maana amesema kwao kuna ma hardware, maviwanja mengi hivyo alikuwa na uhakika wa kupata mtaji, sikiliza anasema hakuwa na target yoyote kuhusu shule huko mbeleni, so ukiingia shule ukiwa huna malengo basi shule lazima uache, mm nimemsikiliza vizuri hadi mwisho kuwa hakuwa na uwezo. Hivyo ndugu zangu tusiige .
Watu wagumu kuelewa ila wepesi kunakili
Kabisa yani kila mtu anauelewa wake
Yaani watz wengi wanachoyo mwenzao akifanikiwa. Nimepitia maoni ya wengi na nimeona yaani ROHO mbaya kweli. Poleni. Mungu atamlinda huyu dada na macho yenu ya UHASIDI poooo
Hajapondwa ila kapotosh mn yy yupo family ya kitajir then kajinasbish na mtume yaan mtum nasab yak iliishy njian iko hiv
@@faudhiyahimidi2129 choyo jitathmini.
Wal cn choyo upo mm maish yng ctoyatoa mitandaon wal ctojip nasab zilokuw cfanan naz hooi
@@faudhiyahimidi2129 kwani ungenyamaza ingejuwa nini?. Kila kitu museme. Mengine muyapishe.
Hongera sana Sister kwa baba mzazi, ni neema laki pekee kumpata baba mwenye usikilivu kama yeye.🇨🇩
Kwa sisi ambao tunafatalia successfull people in the world na kueleza wao wamefanikiwa vipi wengi wao mafanikio yao yameanza from zero to hero but huyu mdada inaonesha kwao kuna hela then baba ake amechangia asilimia kubwa katk kufanikiwa kwake lakn sio SELFMADE but all in all hongera
Amejitahidi ila utajiri wake sio wa kujivunia Sana kwa sababu ya background yake
Mmi nikajua kapambana mwanzo mwisho mwenyewe kumbe kwao pesa na viwanja vipo 😅😅😅
Sijui watoa comment za matusi na lawama kwa huyu mtoto sijui zinatoka wapi .huyu mtoto yuko real anasemesha ukweli wake kuwa shule ilimshinda niwangapi shule iliwashinda na hawana hata akili ya kujiongeza? Hata wazazi wakiwa maskini kuna umuhimu wakujiongeza huyu mtoto mpeni hongera zake .
kama alikua ana uwezo wa kulipiwa school bus kwa nn asihamie boarding
Apewe hongera zanini au kwakuufanikiwa kuwachashule upumbavu huyu kazaliwa kazikuta helazipo kwao alicho kufanya yeye kipi kigumu
Nasabu ya MTUME alafu unatuonyesha mkia wa farasi kichwan duu...
Pole sis
Very true
nice words
I also belong there bt it doesn't min unajionyesha
We are bin hashim 🤷🏽♂️
@@maryanshariph6778 what is wrong with u guys
Mashallah na atusaidiye sisi masikini mana twafaa njaaa.
Haya sasa watoto wa kitanzania nanyinyi acheni shule mumeone mwisho weyu 🤣😃😂😂 jamani naombeni like hapa
hahahaaa
Mashallaah
Mtangazaji chukua Like yako Napenda sana unavyo chomeka maswali
Still you came from rich family
hahahaha
She's really intelligent..elimu ya Tanzania haiwezi kuhandle akili kama ya huyu dada thank God she found her true calling. Congrats!!
Naamin hili hujaliona peke yako, angekua juu angekua NASA
Bulshit
Acha zako Dogo we inspire watu wasome ,we mtoto wa kixhua ndio maana imekuwa hivyo.my fellow students strive to excellent.
Nice sana kazuri nakupenda na pesa unazo mashallah
Aliye sikia mshua kanipiga kampani like zangu jamani kwa wale kapuku Kama mm tunaozidi kuasi kila jua likichomoza hakuna Cha mshua kampani au Cha boss kampani wewe Kama wewe ndo nawataka hapa
MTUME 😳 HAPO UMEKOSEA SNA TUBIA UPESI NAUBADILI MANENO YKO MTUME KWELI KAKUFUNZA UNYESHE NYWELE ZAKO MBONA UNAUKOSEA UISILAMU 😭😭 UNAPO MSINGIZIA MTUME BC UMEMSINGIZIA ALLAH. NYWELE UMEZIACHIA NAUNALIJUA HILO ILA UMEAMUA TU 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭UMEIZALILISHA DINI 😭😭😭😭
Uyo hajatafuta pesa kwao zipo. Ache ni kupotosha masikini
Kweli kabisa, hawa watu sio wakuwaiga kabisa....yaani huo utajiri sio wakwake ni support kutoka kwenye Famili yake...
Angalia shule aliyekua anasoma ni UPANGA hii sehemu wanasomaga watoto wa kishua sana..asitudanganye hapa
Kweli kabsaaa
Mm namjua sana babaake sio maskini
Kweli
@@kubrymtutala1736 😂😂
We mtangazaji acha ufala, tunahitaji utuletee tajiri ambae ni self-made sio Hawa mboga saba wanaopata mitaji kirahisi na sapoti ya nguvu kutoka kwa wazazi au ndugu.
umemsikiliza vizuri. Huyu dada ni amejitahidi. Pengine wewe ungekuwa katika nafasi yake ungelifeli tu. Anacho kipaji na wazee wake wamesimama na yeye na kufanikiwa kwake anasaidia ambao hawana uwezo. Very creative.
Ishu sio kutoka kwenye ushua ishu ni akiri yake tu ipo vizuri Kuna watu wametoka familia tajiri ila hawana chochote kile
Naam
Kabisa👋👏👋
Mm naona anaongeza pesa kwao tu maana zipo
Hao waarabu in nature huw hawapend shule Wana vichwa vigumu San kuelew darsna
Mungu wang jaman
Kweli
@Warda Ahmed muongo warda Ahmed nd nature yen bhna
@Warda Ahmed 👍🤞
Kabla sjamaliza kuangalia hauwezi shindana kibiashara na mwarabu Kwanza mtoto anazoeshwa biashara bado mdogo hata asiposoma biashara itamuinua
Huyu dada nilisoma neye jaman duh mashaallah mungu akufungulie tena na tena
Ameolewa?
Ety ana unasaba na mtume mmmh naomb npte kdg mm........ half we kapuku mwezng acha shule thn uone na ufala wako
😂hajafunika hata kichwa vizur
😂😂😂 Apo akili kichwani mwako, ukimfatisha huyu utapotea. Ina maana uo umbali alikua yeye tu anasoma kutoka mbali? Alafu kuna school buss sasa kama mukichelewa kosa si la dereva iweje adhabu apewe mwanafunzi? Uyu alikua hapendi shule tu ila asiongope umbali
Jamani umeshindwa kujistiri vzr hicho kichwa dada? Mbona mnautupa uisilamu hivi ndiyo kwenda na wakat sindio, Allah anakuona
Lol ww sharifu kisha wasema uko na nasaba ya mtume then shungi wazi huna hata haya jiheshimu
Hawa waarabu koko wanapenda kujishaua sana nahawana lolote wamepotea kweli Allah atunusur
@@aminamohamed1828 Kabisaa
Nasaba ya mtume nywele ziko wazi subhana Allah
Mikono iko nje
Swag hio mtajuaje ana singaa
Mtihani kwa kweli nasabu ya Mtume (SAW) hawako hvo aseme2 ni muarabu lkn so ktk nasabu hyo
Mwambie huyoo
😂😂😂😂😂😂😂😂
Zenna wajina jamani Etiii ulifanikiwa kuacha shule😜😅😅😅hongera zenna km zenna
MASHAA ALLAH. .zena binti Shariff .Allah akubariki nice job
Amesema sharifu nasaba ya mtume alaf nyele wazi dadangu waonesha picha gani hapo???
ndo hapo sasa sjui mtume gani uyoo ahahaha
Mm sijaelewa lkn uyu mdada apa nikama aalisaidiwa na familia yake ndo akawa tajiri sasa anatufunza tuache shule tufate dream mm dream yangu yanpotosha heri nisome kwanza kwetu ukiacha shule naa wazazi wanakuacha sasa ndio utajiunga na vikosi vinavopotosha hapo hujaongea dada heri tusome. Umefanikiwa ju kwenu kuna hela banaa uko na zaree.....usituharibu ety tuache shule kama sishiki heri niendde ivo ivo kuliko kukaa nyumbani....
Hatutaki mtuletee watu kama hawa ,,sisi tunataka watu walioanzia chini ,,hawa hawawezi tufundisha kitu sisi,,tunataka wale ambao hawakupewa support kutoka kwa baba wala ndugu,,,,hawa sio Akina sisi
SubhanaAllah Allah atuhidii yaraab. MWANANGU jistirii kisharia nyele haifai kuonekana ☹️
👍
Khadija Abdulqadir nyie msio na pesa ndio inatakiwa mfuate sheria zote
Yusuph kumbuka kwamba wewe ni muislaam acha kejeli,kukejeli sheria za dini humtoa mtu kwenye uislaam.
Chunga ulimi wako ndugu yangu
Khadija Mashallah uko sahihi kujisitiri sio lazima usiwe na hela, wangapi wanamiliki mabilioni ya mapesa lakini wanajisitiri kisheria
@@yusuphmwalunu2307 🤣🤣
Shule mara nyingi ni tumaini la maskini kupata kazi nzuri kama wazazi wanahela Shule ni waste of time
Huu ndio upumbavu wetu wa Africa kusoma sio lazima uajiriwe, kusoma ni kufuta ujinga,hata ukiwa na biashara yako mwenyewe ukisoma huibiwi kirahisi
Umeongea utopolo majinaa mpk unatia hurima walai
@@NR-ll4sr Hakuna mwenye hela mjinga.... Na kusoma si mpaka uende shule..... kuna home schooling na matajiri wengi watoto wao wanasomea nyumbani na wanafanya vizuri.... Shule ni ujinga hata alieanzisha Shule hakusoma
@@nanaleetz Umesemaje? Kiswahili chako si cha nchi hii 🤣🤣
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe
ua-cam.com/video/Et2V-nqV7CI/v-deo.html
Mabrouk Alf Mabrouk ukhty. You are very inspiring girl at your tender age and being a muslim girl. Big up to your parents and entire family. Radhiya Qoyan commenting.
Hustle kama hustle👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏
Umeacha shule kwa sababu nyumbani hela ipo na bussiness umeanzishwa nyumbani. Msije mukaacha shule mukaona mtatajirika kirahisi kama huyu. Huyu kwao tajiri kutoka asubuhi. Kajua ataanzishiwa mradi tuu
Alaf mm huwa c hamasishwiii na hawaa wanaokuta magar nyumban kwaooo napendaaa inspiration anaetoa toa stor had unahc kweeeel pagumuuuu......sas huyuuu ad alkua anapelekwa na school bus shule🤣🤣🤣🤣
Kabisa, hata huo mkopo aliamini akishindwa kulipa baba atalipa .
😂😂😂😂😂😂Hapo sasa
@@pilihamis9657 kweli kabisaaaaa,mtu kwao kuna kila kitu,hajui kuteseka kabisa.Twataka wale ambao wamekula msoto mkali.Huyu hakuwa na interest ya masomo kabisa.....😂😂😂😂
Mishonoya vitenge MAHARUSI nk bonyeza link pia usisahau kusubscribe
ua-cam.com/video/Et2V-nqV7CI/v-deo.html
Sawa kwao zipo vizuri ndio mana akaacha shule PESA IPO HATA MIMI ZINGEKUWEPO NIHANGAIKE NA MADAFTARI YA NINI
Apo sasa
HAHAHAHHAHAHAHA
Nasibu ya mtume sasa usiweke kichwa waz nywele izo zinaonekana wewe umebeba jina kubwa la mtume wetu sw ,,mana wewe nishalifu
Sasa huyu kwao walikua na pesa ... aseme tu ataka kujulikana sana
Huyu ni kiki tu hkuna kizazi chochot kilobkia kwenye nasabu ya mtume
@jamila athumani na wewe umedanganywa umeamini ukoo wa mtume!!!!!
Hhhhhhh ety kuwa sharifu ndo kizazi cha mtume bc tupo weng maana hata mm ni sharifu na nasabu yng inatokea YEMENI pia
@@atfyahabdulfatah3197😁
Wa kwanza Leo jamani like bas
subscribe, share, like, comment kwenye link yetu .. Angalia hizi uvunjike mbavu.. Usipocheka nakurudishia PESA yako
ua-cam.com/video/ye9pJCgjrQU/v-deo.html
I am of the opinion that education is more vital now, in todays world. This is my advice to our youngsters - if you have to make a break from your studies do it, but later on finish your diplomas and degrees. For Africa, education is the key.
Congrats sister ni Mimi kakako all the way from lamu kenya njoo unichukue Allah barik lakum
Hongera Sana... Mungu hawezi kukunyima yote.
Warab huwa hawapendi kusoma siku zote.... Kinacho wasaidia ni biasharaa zao
What is really the meaning of Hijab?
Kajielezea vzur but hio hijab imekua kofia kwa kichwa au ni kitu chakuheshimiwa katika dini.......coz why aivae nusu!!!!!! WAISLAM MPOOO!!!!
Sawa Ni tajiri, but sio matajiri wote wana hojiwa why #SIMULIZINASAUTI. Nyie fanyeni ivo TRA WAMUONE.
☝️ sioni amevaa hijab na amesema ni familia ya mtume, watu wanacheza na dini 🤔
Maelezo mazur , ILA YAMEJAA CHUKI , TAFUTA PESA KIJANA
@@barakaohani5438I was jus curious
nothing more... sina chuki coz life n mzunguko wenda ataniajir apo mbelen
Mwenyewe hananishtua..sasa inamaan ngani kwa kichwa.onyesha nywele zote dah but ujui unywele umoja dhambi.njee ziko ngapi kwa kichwa.
Lazima aonyeshe hzo pasta
Shule si kila kitu kinachokufanya ufanikiwe maishani ni uwe na mwelekeo maishani na ujue unataka nini big up Zena sharif would like to meet you one day am from kenya a lady like you 🤣🤣🤣
Wee uliesema shule si kila kitu pia kumbuka unaweza kosa shule na ukakosa vyote pia maisha na shule kuna wanaokosa vyote, hapa inategemeana mfano kwa mtoto anaetoka familia ya kimasikini ama hali duni Kwake shule ni mkombozi msimdanganye, lakni kwa ambao kwao uwezo upo shule sio lazima kwani hata akiacha anaweza Pewa mtaji kirahisi na akafanya mambo makubwa lakni mtoto wa masikini akiacha aseme apambane aisee mtoko wake ni mgumu na inachukua muda mrefu Sana na pengine asipate kabisa ndugu zangu watu wengi mnaosikia oh sijui nilianza na nn leo niko hapa sijui saivi ni tajiri sio Kweli, angalia akina MO utajiri ni wa baba zao, Alihaji Aliko Dangote babu yake alikuwa ni tajiri mkubwa Nigeria akamwachia mwanae ambae ndo baba wa Aliko Dangote leo huyo hapo tunamsikia, lakni alisoma na ana Bachelor degree of business administration hivyo alienda kusoma ili aje kusimamia biashara na Kama ni mtaji alipewa mtaji sio wa kitoto, hivyo sio kila anaeonyeshwa mtandaoni anajinadi oh mm tusiige, ni dada mmoja eti nilianza kupika Makande na leo nina ofisi kubwa ya kuuza Makande ukiangalia amesoma Marekani ndo akaja Tanzania hivi mtu Aliesoma Marekani unadhani wazazi wake walikuwa kapuku na hakuwa na Scholarship, Kaja kapewa mtaji lkni anakuambia oh niwashauri wasomi wasikae tu, wabuni vitu vya kufanya hivi Nani asie penda kufanya kitu shida atatoa wapi mtaji wa kufanya hicho kitu ndugu zangu.
Daah! Awesome..👍
Masha allah allah akuzidishie dada ufanikiwe zaidi
Usisubutu kuacha shale kufata huyu dada huyu ni wakishuwa 😂😂😂 katoka shule naingia kwenye campun ya mdingi zingatieni ilo
Mamb
Mtangazaji unazinguwa umeganda hapo kwenye shule tu itatusaidia nini uliza mawsali mengine bana...peole wanataka alifanikiwa vipi ktk maisha yake....
Siliza mpaka mwisho kwanza hii ni sehemu ya kwanza hivyo bila shaka Kuna vitu vingi huko mbeleni
Mhhh Saleh ilo tu njo unataka?ao unataka aulizwe kama huko single ao kipi ili upenye😲😲😄😄🏃🏃nakimbiya mimi
👏
nikweli umzuri masha allha ilajitandevizuri mm kusema kweli nimekupenda kweli
Tena mtanga mwezangu jaman nina bahati miyee dah nisaidiye angalau pesa ya mtaji
🤣🤣😂😂🤣🤣, kama kwenu baba yako na mama yako (familia yenu kiujumla) hakuna mchele "umate mate" usijaribu hyo upuuzi
Kbsaa😂
Hahahaha
Huyo ni Mtt wa marehem babu yangu mzaa rafiki yangu wa classmate wangu niliesoma nae kabla cjapata rafik mwingne
Maashaallaah nimependa stara yako ungekua mkewangu ningesikia raha sana aisee
She go lakin anasupport ya familia pia yaaan kwao wako vizuri sio kwamba ametoka shimon afu anachozunguzia ni mafanikio ya kawaida kwa watoto wa kishua story za kusisimua za maisha kama erick shigogo ivi jaman ametumia nguvu zake Lyke 90%
Sasa huyu kashikwa mkono na wazee wake pesa kwao ipo kinachotekea kitu gani mafanikio tuu ata dada zetu mboga moja wanajituma kinoma ila bado wana yumba na kila biashara wanafanya ngoma ngumu maisha hadi ushikwe na watu ndo wende tena wenye navya maisha ni kma pakacha ukitia maji yanavuja maisha hadi uchenguke huyu ata shida hajapata mtoto hana ata wasi huyu wakati wajota anakoga wakati wa baridi anakoga wakati sisi huku wakati wa baridi tujipija mafuta ya nazi
🤣🤣🤣
Mmm wengine nao waache shule waone moto wake! Uyu dada ukimuona anaonekana mpole, akianza tu kuongea mtu unashtuka kweli sijui kwanini🙉
Hahaa pia mm nilijua anasautinyororo
🤣😅😅😂Ana asili ya kiarabu mumesahau, ya kuongea sana
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Exerctly hutarajii, ni muongeaji sana na atakaye muoa ajiandae 😉😁
@@aminanamoyo83 yani ajipange kuwa msikilizaji tu
Ebu fikili angekuwa mtoto wa mkulima huyu, Baba na mama washika jembe Bush hivi angeongea upuuzi wake huo, angeweza acha shule kwelo akamsaidie babayake kazi ya shamba. Huyu alijua hana chakupoteza coz alijua familia anayotoka ni loyal family.
Muwe mnatafuta na wale walioacha shule wapo mtaani wanahangaika na shida kibao maana ndio wengi, kuliko hao wachache walio fanikiwa, kiasi kwanba inaweza kuhamasisga vijana wengine kuacha shule kuingia mtaani kupambana kisha wanaenda kupata tabu sana. Watu wasome kwanza wamalize shule kisha wakapambane na maisha
Exactly, my sister . Msimamo ni kitu muhimu
Kumbe pesa toka mwanzo ipo umepewa mtaji wa kutosha 😂😂😂
Jistir kwnza halafu utajtangazia nasabu ya mtume na mafanikio ya dunia ni muhim kwa binadam lkn usisahau na ya huko akhera izo nywele zihifaz mdogo wangu 🙋
Mfyuuu Wengine Wanawapaga Hela Muwafanyie Interview Kupata Kiki Mtu Anaonekana Alipewa Mtaji Katoka Ushuani Alafu Mnataka Danganya Watu Waache Shule Jamani Jamani 😃😃😃😃😃😃
Mhhh. unajinasibisha na Mtume wakat Hassan na Hussein wajukuu wa mtume hawakuendeleza familia. wewe umetokea wapi??
Unafi
Muongo2 hyo kua na nasabu ya Mtume so masihara ni muarabu2 asitudanganye
Apo sasa
Nmependa
Sio kweli Huseni alikuwa na watoto na waliendelea kuzaliwa.
Nasaba ya mtumee umeacha nyewele wazi inalilah wainailahi rajiuun
Yani kaacha nywele wazi alaf anajisifia et nasaba ya mtume
Innalillah
msiba
Allah ayibariki kazi ya mikono yako
M/Mungu akubarik na akulinde na hasad za watu na za majini
Woyoooooooooo👏👏👏👏👏👏👏👏👏👏hongera sana binti
Tuliofanikiwaa kuachaa xhulee kama dada,ila kwasisi homee kunaukapuku tujuanee hapaa😂😂😂
Umenichekesha
🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣
Tuwe tunaangalia sana tusipende kuiga sana maisha ya watu ya wapi wamepitia ili yawe kama inspiration kwetu kila mtu ana njia zake tukianza kuhoji kila mtu hakuna asiyepitia changamoto so tupite njia zetu
masha allha mrembo mzuru sana ilafunikanywelezao
Sasa mtu ana jifunza nini hapa next tm mje na vitu vyakueleweka ,kwamba watoto wakishua ndio wana toboa au watu waache shule, sns hapa mme feli
Waogopeni sana hawa walioacha shule lakini wanapenda kujieleza kwa kutupia kiingereza. Jueni walizaliwa na golden spoon, walikuwa wakila butter na mkate. Kama ulikula kiporo asubuhi au uji na muhogo. Someni kwa bidii zote elimu yako ndio ufunguo wako wa maisha. Hawa wazazi wao bank zilikuwa zinapumua hela za wazazi wao, na nyingine wamefaidi mali za nchi. Useless and meaningless interview for the poor child of Tanzania. Mtoto wa maskini bank gani itakukopesha? Someni watoto.
Asalam alkum dadayanga nimea furahi sana kwamaendeleyo yako napia niko namawazo yakukupa uka andeleya zaidi yaivo dadayangu kwa biyashara ukawa tajiri sana bora uwamini tuuuu namimi sitakosakitu kwamungu amiin amiin amiin piya dada wewe ninasaba ya mtume plz jistiri nyele zako anakama nime kukoseya nisamea ni broo yako al habibi kutoka kenya mombasa mashaalh amiin amiin amiin
Asante kwa ukwel bhana kama kichwa hakina kitu bora ujisemee tu😹😹✍
Acha kuji mwambafai kua na nasabu ya mtume sio sababu ya kujiona "Allah" haangalii nasabu anaangalia Taqwa ndani ya moyo
بارك الله فيك وجزاك الله خير يا أخي
Uhakika
Kweli kabisaa
Watu Kama hawa huwa wanatabia moja mbaya Sana na mtu wa hivi ukiish nae uwe mtumwa cos anajikweza Sana
Kujimwambafai🙆♀️😹😹😹😹✍
nimemfatilia her story and big up to her maana yea even tho anaeza kua ametokea from a family ambayo wanazo but shes a hardworking gal as well,,,ila dada elimu ndo kila kitu yes inaeza isiwe ya maana kwako leo cuz unahela but mali bila daftar hupotea bila habari,,this advice haiapply kwa wote maana inawezapotosha watu wengine kua shule haina umuhimu which is not true 100%,,,afu kuhusu swala la kujiajiri ni mtu tu kua na mtaji na kua na akili ya maisha na ubunifu ila haimaanishi uache shule cuz unaweza kua unasoma na pia unakabiashara chako na kuhusu distance isiwe reason watu wanatembea kutoka vijijin kwenda mjin shule kwa miguu na hata km inachosha but ni kupambana tu maana fursa mtu anazopata akiwa ameelika ni nyingi sana ukiachana na kuajiriwa au kufata routine, mtu anaweza kujisimamia binafsi na kupanga maisha yake bila kuwa dependent kwa watu wengine na inakufanya uheshimike sana,,, kwahiyo hapo nakataa na ushauri unaotoa hapo,,wewe upo different na asilimia ya watu wengi sana ambayo elimu ndo ufunguo wa maisha na pia a good degree will make you so respectable hata ukiwa na hela kiasi tu,,,stay at school!
Nimekuelewa saana sana
xzz
.
0qq
Jmn Mtoto mzr na ametoboa maisha kiukwel wasichana wenzake naona wanavyo chukia nakumponda huyu mrembo jmn Shariifu au Saydah komaaa zaidi wanao kuhusudu washiiiiti
Watoto wa masikini someni aiseee huyu kwao tayari walishantengenezea mazingira ohooo kama unahustle usimkatishe tamaa anaesoma na kama unasoma usimkatishe tamaa anaehustle kila mtu na njia zake
Ishikilie Sana elimu usimwache aende zake 🤔🤔🏃🏾♀️🏃🏾♀️
Haaaaa umetxha
Na pesa zinachangia 😁Asa we kapuk acha shule uone 😋
😂😂😂😂😂😂wakishua huyu
Mtoto wa kifaru siuangarie hata rangi ya kinyaturu hiyo
Acha shule utakula msoto hadi njaa ikuzoee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yaani acha shule uone uwe punda wa mtaani
Ungejistiri vzuri mrembo binti scaba Mana nasaba na kipenzi Cha umma mtume MUHAMMAD(s.w) then unaonesha nywele zako mtihani huo INNA LILLAHI WAINNA ILAIHI RAJI'UN..!
I love her ♥️🔥🇧🇮
From 🇧🇮 Saudia ila jameni mwarabu awana akili 🤣🤣ya Shula ata kidog🤣
😂😂😂😂
😁😁😁
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣
Uko saudia sehem gani
Kisharifat huo ni Mtandio au nywele ziko wazi
Uyu bdo hajaolewa au
Kuna anar acha shule kwasababu anaweza kusuppotiwa na wazazii na kuna ww utakae acha shule huna chochote zaidi ya kuwa house girl
💃💃🙄🙄🙄🙄 jamani hahaha AstakafiriAllah nasaba ya mtume duh bora salama nywele ziko wazi basi hongera habithy
Oya uyo sio tajiri kwanza familia yake ndo tajiri kwhy ikambeba ila angeanzia chini ndo ungesema tajir
Alafu kavivu😂😂😂kusoma hahahhahhaa
ZENA NA KUFUATILIA SANA NA KUKUBALI SANA ILA HILI LA UKO WA UTUME HUUU NI UWONGO UTUPU MUNGU ALIUONDOA UKOOO WA MTUME
U can have the money. To invest but if you don’t have a great connection everything is zero😂😂.
What connection you mean??
Money means connections
😂😂😂😂😂
Nice love kila la khery.
Sasa huyu angekua kasoma angekua zaid ya hapo... trust mi ukiwa na Mungu, akili ya maisha nzur..alaf pia una elimu..you won't be the same...Hasa dunia ya sasa inahamia kweny tech...maskin kama huna elimu inaanza kua kipengele..matajir wote Dunian angalia wapo kweny information technology...ndio dunia inakoelekea saiz... investment zimekua kweny stock, currencies,share,real estate,e marketing etc..kama hujasoma na una mtoto make sure unamsomesha mwanao vitu vya msingi,ajue vitu nje ya shule...Shule hufundishwi jinsi ya kutunza pesa,jinsi ya kumake pesa..so elim awe nayo ili imsaidie kuyajua haya ya nje...jiulize kuna mzungu gan anajenga chumba sebule ili apangishe?😁 Sasa bongo ndo investment kubwa hyo..mtu akistafu kajenga vyumba za kupangisha kamalza...damn!!! Utakufa hta hela ya msingi haijarud...wazaz somesha mwanao... internet ina elimu nying sana ya pesa hasa investment za wenzetu...mwanao akitumia elim yake kujifunza uchumi wa dunia wa sasa kamwe hafi maskini...
Familia wamewekeza hapo asitudanganye.Scaba scuba inajulikana wameshafanikiwa so asituingize mkenge shule muhimu....
Namm namjuwa uyo mzee ckaba mwenye pesa zake
ni kweli asitudanganye shule muhimu!
Ksbisa asitudanganye tupike keki kazi hizo tumuachie shilole
We dada acha kutudanganya kwa nini usipelekwe karibu na shule sema tu ulitaka kuacha shule
😂😂😂😂😂Umeonaeee
Kabisa alikua sio msomaji lakini asisingizie umbali watu wanasoma kwa tabu na mbali lakini wanawah shule
😀😀😀😀😀
Izo nywe nibiashara nazo?
Unavinasab vya mtume kwa sifa ipi nywele was unaongea macho yot ju ju mh Mimi naoka
Afu kuna interview zingine ukituekea sisi watoto wa chini Kama unatuchanganya tu, Sasa MTU anakuambia, mpaka kufika shule amekuwa amechoka sababu ya long way drive, kudadeki huyu mdada ni kiazi kweli watu wanatembea kwa mguu kilo 10 kutafuta shule na wanafika on time yeye anatuambia kudrive, kwao Kuna mpunga so asivuruge watu hapa😰
Hakika
kumbe tayar amezaliwa kwenye maisha sisi tunataka mtu kama mond pure kazaliwa kwenye family haina hata kitegauchum kimoja